YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI
#ShZaidMakubuli #ZvpOnlineTv #Tabora
Жүктеу.....
Пікірлер: 367
@wiliampaulo55562 ай бұрын
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-dq1lm2be2u3 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah9536
3 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla9428
3 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@user-vy7zv1xx7u
2 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli
@mudhihirIbrahim-hb7ry3 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo8277
3 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi7635
3 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari1551
3 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-zw6xz3lq1x2 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@fahamimiraji23382 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@user-dr1su7pf7w2 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp
6 күн бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Naam
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@abuibra3 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@kimaroabduli3 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@SubiraMndeme-yw7mx3 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@jasminmohamed61453 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@bradleykhanei40922 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@nassornyanyagi51263 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@pauloropian23673 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@hasaabdi71993 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@selemanmcharazo3 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi3377
3 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
@user-xo5lq7mw3n
3 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@user-hi6mb4so8w
3 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@sunwizy6083 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@user-ps6wm2qm4f3 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@habibkuya33273 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye2215
3 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@user-wi8og3sv4j3 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu6841
3 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed999
3 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd
3 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo1378
2 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@danielshimora53153 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu3347
3 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa6809
3 ай бұрын
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@drkalokola58613 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
@comfort-rjtv32912 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@EzraSaid2 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@user-xw1dv3gr8s3 ай бұрын
Sheikh mche mola
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allahu akbsr
@kassuqutbi21993 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb2848
3 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb2848
3 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari9747
3 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl
3 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@saidabdalla89962 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli4366
2 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit9637
Ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@fundibombazanzbar57172 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@jumasibanilo29123 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@miye22153 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@adammaro7836Ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@nadhirunjinjo5790Ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@budodianthony80942 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@stanleysteven19983 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
@OmaryKaniki-hs5mz2 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@mwanakupona3 ай бұрын
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
@mussasenga67322 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@mussasenga67322 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@muhammadjuma84573 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@fathimamct2323 ай бұрын
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
@JosephuSwai2 ай бұрын
Kweli
@HamisaIssa-df7yy3 ай бұрын
Allahyakhalam
@JosephuSwai2 ай бұрын
Kweli shee
@user-sw1ol9jb6z2 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@rizikiallie32663 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@mikidadiyusufu23192 ай бұрын
Umechemka sanaa
@user-ed1cf9nq5w3 ай бұрын
Huyu ana ujahiliyah
@user-sd5zf6fz4v2 ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@1961nungwi3 ай бұрын
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
@muhammadjuma84573 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd
2 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@jumashiyo13782 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@chachamturi2592 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@mwanakupona3 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman179
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@georgesolos3442 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@seifyangawakosawakombo66053 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk
2 ай бұрын
Hana akili chizi
@hassanmzandy14213 ай бұрын
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
@oparetionmaalum90303 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@hamzakimaro37643 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@yusuphmussa5542 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@kadijahajali39183 ай бұрын
Hii
@omarihassani-qu5ie2 ай бұрын
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
@JamaliAmour-jp9dd3 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
@MARIAMKHAMISI-jz6ze2 ай бұрын
Shehe unapofundisha watu tumia hekima na tazama mafundisho Yako yanafikaje kwa waumini wanao kusikiliza
@user-dy8yc5ml1p3 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@user-sw1ol9jb6z2 ай бұрын
We mbaguzi tabora si watu bora wote
@user-dj7bs7si1v2 ай бұрын
إنه امرؤ فيه الجاهلية
@AbrahamanSaidi-uf1dw2 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine
@andrewmagwila16023 ай бұрын
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
@fahamimiraji23382 ай бұрын
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@user-zg6hx6xi3x2 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@yusuphuadhuman90852 ай бұрын
Atumie hekima kwani katukana je iko anacho kisema amekikunga yeye au ameoa aya Basi kitabu au muandishi akutumia hekima shekhe uyupo saii tukimkataa shekhe Basi tunakataa kitabu chetu
@user-dm8vq6yo1e2 ай бұрын
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@HajiHarumbo3 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@captenndunga67453 ай бұрын
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
@user-sl3mc7bv1tАй бұрын
Mbona muaduchanganyA bana, mimi itikadi yangu hakuna cha ukabila Mwenyezi mungu amesema waliowema , Sio wenye kabila tukufu, na isitoshe Mtume Muhammad s.w amesema tuhangalie dini sio kabila! Na wa Islam ni ndugu ukabila munaitoa wapi?
@user-vd4og8md3v3 ай бұрын
Hamna shekhe apo
@cath-ef7wd3 ай бұрын
Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo
@user-wj4dv1pv3r3 ай бұрын
Ukweli unauma jamani
@GeofreyWilliam-ev7qd2 ай бұрын
Hamna sheikh hapo
@ndenengokimaro45022 ай бұрын
Wewe ni mshenzi tafuta neno la kuongea acha mambo ya ukabila Watanzania hatuishi hivyo Hata baba yetu Hayati mwl .J K nyerere alikemea sana mambo ya ukabila.
@chachamturi2592 ай бұрын
Duuh waislam kwakulopoka bhana
@wisemankaniki42003 ай бұрын
Huyu jamaa mpumbavu tu
@IssaKabelwa-zs2ct3 ай бұрын
Jazba weken mbali yeye hajaleta ukabila jambo lakuowa nilazma upete mke alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo kwahiyo kama kabila lako limetajwa vumiliya tuu ukweli nikusemwa
@nasramusaro3 ай бұрын
Huna elimu wewe unaropoka tu
@Sajdayusuf3 ай бұрын
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety
2 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
huyu shekh kapoteza mwelekeo ndio kafikia mwisho wa kufikili
@fahadysungi94622 ай бұрын
Asalaam alyqum warahmatullah wabarakaltu, sheikh wewe ni kati ya wale waliopata elimu ambayo itakuingiza motoni. Kuna dalili ambazo mke akitimiza basi uolewe ila sio kwa kabila lake. Hii sheikh hii ni shirki na allah Atakuhukumu kwa hili. Allah akufanyie wepesi
@abubakarothman35323 ай бұрын
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
@harunaotieno28932 ай бұрын
Huyu ni mpotoshi,Astaghfrillah
@AminaSwaleh-lk2woАй бұрын
unapotezea watu muda mana huna cha maana halafu wajiyta shekhe mche mola wako na ukasome
@HusseinKarumna2 ай бұрын
Shekhe Mbona unapotosha jamii ya Kiislam hata Qur-aan Unakisea kusoma Allaah akuongoze
Пікірлер: 367
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah9536
3 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla9428
3 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@user-vy7zv1xx7u
2 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo8277
3 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi7635
3 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari1551
3 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp
6 күн бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Naam
Mbora ni mchamungu❤
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Kweli kabisa
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
Kweli sheikh wangu
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi3377
3 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
@user-xo5lq7mw3n
3 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@user-hi6mb4so8w
3 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye2215
3 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu6841
3 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed999
3 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd
3 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo1378
2 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Ndio umesema kwel
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu3347
3 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa6809
3 ай бұрын
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv
3 ай бұрын
Mh
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
Yani wewe mungu akusamehe
Sheikh mche mola
Allahu akbsr
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb2848
3 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb2848
3 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari9747
3 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl
3 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli4366
2 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit9637
Ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
Shekhe mimi nimekuelewa sana
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu4545
2 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
Kweli
Allahyakhalam
Kweli shee
We si shekh ila we mpenda kula
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
Umechemka sanaa
Huyu ana ujahiliyah
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd
2 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
Duu weshee bhana noma
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman179
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@user-ez1ky4ls7c
2 ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk
2 ай бұрын
Hana akili chizi
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
Hii
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
Shehe unapofundisha watu tumia hekima na tazama mafundisho Yako yanafikaje kwa waumini wanao kusikiliza
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
We mbaguzi tabora si watu bora wote
إنه امرؤ فيه الجاهلية
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
Ana hekima ata
Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂
@zaunamoody7311
2 ай бұрын
ila ndio kasema hamfai kuolewa
Miyeyusho Tu,🤯
Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
Ukweli Huwa unauma siku zote
Atumie hekima kwani katukana je iko anacho kisema amekikunga yeye au ameoa aya Basi kitabu au muandishi akutumia hekima shekhe uyupo saii tukimkataa shekhe Basi tunakataa kitabu chetu
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
Mbona muaduchanganyA bana, mimi itikadi yangu hakuna cha ukabila Mwenyezi mungu amesema waliowema , Sio wenye kabila tukufu, na isitoshe Mtume Muhammad s.w amesema tuhangalie dini sio kabila! Na wa Islam ni ndugu ukabila munaitoa wapi?
Hamna shekhe apo
Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo
Ukweli unauma jamani
Hamna sheikh hapo
Wewe ni mshenzi tafuta neno la kuongea acha mambo ya ukabila Watanzania hatuishi hivyo Hata baba yetu Hayati mwl .J K nyerere alikemea sana mambo ya ukabila.
Duuh waislam kwakulopoka bhana
Huyu jamaa mpumbavu tu
Jazba weken mbali yeye hajaleta ukabila jambo lakuowa nilazma upete mke alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo kwahiyo kama kabila lako limetajwa vumiliya tuu ukweli nikusemwa
Huna elimu wewe unaropoka tu
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety
2 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
Mwenyeezimungu subhanawataala amesema chagueni ukoowakuolewa. Au. Kuolewa ukooyaani familia sio kabila shkh mtumzima unaropokatu ovyo mkofiauwo
huyu shekh kapoteza mwelekeo ndio kafikia mwisho wa kufikili
Asalaam alyqum warahmatullah wabarakaltu, sheikh wewe ni kati ya wale waliopata elimu ambayo itakuingiza motoni. Kuna dalili ambazo mke akitimiza basi uolewe ila sio kwa kabila lake. Hii sheikh hii ni shirki na allah Atakuhukumu kwa hili. Allah akufanyie wepesi
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
Huyu ni mpotoshi,Astaghfrillah
unapotezea watu muda mana huna cha maana halafu wajiyta shekhe mche mola wako na ukasome
Shekhe Mbona unapotosha jamii ya Kiislam hata Qur-aan Unakisea kusoma Allaah akuongoze