MUFTI WA BAKWATA AIOMBE RADHI SERIKALI | SISI HATUTOACHA KUTANGAZA MWEZI - Sheikh Salim Barahiyan

Ni kalima fupi yenye faida nyingi mno iliyotolewa baada ya Khutba ya Ijumaa katika Msikiti wa Ansaar Barabara ya 19, tarehe 15/03/2024

Пікірлер: 989

  • @user-rv5nz6et4m
    @user-rv5nz6et4m3 ай бұрын

    Bwana wetu Muhammad swalallahu aley wasalam alituachia Quran na hadithi sahihi msituchanganye na unafikiwenuuu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot3 ай бұрын

    Shekh Salim Allaah akulipe kila lakheri, kwa hakika umeongea maneno ya busara sana, na nimaneno mazima Maashaa Allaah, tuko pamoja.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e3 ай бұрын

    Twahiby ala akujahalie umri mrefu shekhe wetu Salim barahyani,nakupenda kwaajili ya Allah,hakika umefanya kazi kubwa hapa TZ kuinusuru sunna ya bwana mtume,Muhammadi s.a .w japo unapitia mitihani mingi katika dahwa tunaomba matusi,kejeli na kudhihakiwa na pomoja na hila za watu wanayoipinga sunna ya bwana mtume.Mambo haya hata mtume wetu muhammadi alipata dhiki kubwa na taabu kisa kueneza haki,so mtume alitukanwa matusi makubwa,alifanyiwa hila na wanafiki na washirikina walimuita mwenda wazimu walimuita mchawi walimuita mtunga mashahili,Walimpiga mawe na kumtukana matusi makubwa lakini Allah akumuacha alisimama pamoja nae na kumusuru na vishindo kama hivyo,na vitisho vikubwa dhidi ya kina abujahali walitumia vyeo vyao na pesa zao lengo mtume aache kuwabainishia watu kweli lakini mtume wa mungu hakuacha na Allah alimtia nguvu,Hivi ndivyo ilivyo watu wa batwil siku zote hupenda kuwazuilia watu na njia ya mwenyezi mungu na hata Allah kawataja katika kuraani, watu wa dizaini kama hii ya mufti.Anawaletia fitna waislamu wenzie juu ya Jambo la ibada na hali ya kuwa kila mtu,na dhehebu lake na msimamo wake,anaongea kwa kibri kwakuona kuna mahali anategemea,yeye anawatu wake, wanao muamini na wengine Wana shekhe zao wanao waamini.kwanza mwezi so wake ni wa Allah na dini so yake ni Allah,katiba inamruhusu mtu yeyote kuabudu anachoweza kuabudu,sijawahi kuona askofu anawaambia serikali wachukulieni hatua wanao sali jumamosi,Sabu wakristo nao kila mtu anaibada zake na madhehebu yake hakuna kiongozi wa dhehebu Fulani akaishawishi serikali et mbona Hawa wanasali jumamosi na sisi tunasali jumapil wachukuliwe hatuwa wanaosali jumamosi why uliona wapi hiyo? Ye kwakuwa anajivunia madaraka yake na kutegemea sehemu sisi tunamtegemea mwenyezi mungu ndie atakae simama na sisi katika haki.

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula49653 ай бұрын

    Miaka yote nimekua nikifunga kwa matangazo ya bakwata ila mwaka huu allha kaniongoza ktk njia ilionyooka Alhha akuhifadh shekhe barakhiyan.

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    3 ай бұрын

    Acha uongo we wahabi tu

  • @mohammedmhina3973

    @mohammedmhina3973

    3 ай бұрын

    Wahbi bhna

  • @ibrahimmatumla231

    @ibrahimmatumla231

    3 ай бұрын

    Ww mnafki tu

  • @sports007tv4

    @sports007tv4

    3 ай бұрын

    Sheikh hao unaosema wamekuongoza kwenye njia sahihi wao wanafata mwez wa saudia alaf mwez wao washauandaa kwenye calendar nakupa elimu fatilia calendar yako ya simu ishakuandikia mwez wenu huo wa njia sahihi mpka 2027 yan ww inakua haina haja yakuangalia mwez nyie mnaangalia calendar tu kaangalie kwenye simu yko eid pia ipo tyr na ukitaka kujua kma njia yko ni sahihi ww fatilia hiyo calendar yko tu kila eid mshaandikiwa na Ramadhan zenu zte mshaandikiwa kwenye calendar 📅

  • @yussuphsultan1400

    @yussuphsultan1400

    3 ай бұрын

    ​@@sports007tv4Allah sw amuongoze ndugu yetu. Kufunga na kufungua pamoja haiwezekani. Huu mjadala ulishaisha mbona! Hivi ukitangulia kuonekana Tanzania, Suudia watatufuata!Majuzi nimemsikia Sheikh mmoja wa kisalafi wa Kenya, akisema mwezi wa kimataifa na mwezi wa eneo ulilopo yote ni sahihi, na hoja zote zina mshiko! Ingawa yeye alitamani tufuate mwezi mmojawapo ili kuunga waislamu. Kwa mnasaba huu, sheikh aache hii hoja, kila mtu afuate kilicho sawa wake! Tusipeane hoja kila siku ambazo tunazijua! Ambacho nakubaliana na sheikh ni kuwa kuna tatizo BAKWATA na tatizo hili ni kihistoria kutokana na jinsi baraza lenyewe lilivyoanza. Ila kwenye mwezi mtuache kwanza, muhimu waislamu waone mwezi sio kusubiri kutangaziwa na BAKWATA!

  • @jumamohamedkidiaunga9224
    @jumamohamedkidiaunga92243 ай бұрын

    Mashaallah shekhe wetu Allah akuweke umejaaliwaa elimu zote kwa hakika

  • @ustadhikhatwibukibaraza

    @ustadhikhatwibukibaraza

    3 ай бұрын

    وفوق كل ذي علم عليم

  • @SharifaYaru-ev9su

    @SharifaYaru-ev9su

    3 ай бұрын

    Jamani sisi waislamu wote wa Tanzania Bara na visiwani kwanini hamtaki kulimaliza hili na sisi maamuma tukafahamu kua ni lini kufunga na kufungua kazi yenu mabishano kama kwamba akhera haiko mbali jamani ebu malizaneni nasi maamuma tumfate nani mashehe ndio nyie tunao wasikiliza

  • @abdulomari4932

    @abdulomari4932

    3 ай бұрын

    Hamna sheikh apo,njaa tu

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    3 ай бұрын

    ​@@SharifaYaru-ev9su Muwahabi anapenda ukubwa hawapendi wawe wanafuata watu wengine

  • @bashiru_moh1060
    @bashiru_moh10603 ай бұрын

    ALLAH atuongoze katika njia iliyonyooka

  • @trustman8034
    @trustman80343 ай бұрын

    Daima Maneno ya Haki ukiyasikiliza yanakutosheleza.. Mungo Akupe umri mrefu tupate faida zaidi..hakika ni msiba kuona Muislam unapigana vita na muislam mwenzio eti wakamatwe wafungwe Kisha iweje..muogopeni Mungu atakukamata kaburini kunatisha tusidanganyike na vyeo na kujipendekeza kwa wakubwa. maisha ni mafupi mno Kuna maisha baada ya kufa na tutahesabiwa. Tujijlize wangapi wamelishwa wakati mwezi haujaandama.wangapi wameshafariki na tutawaomba radhi Vipi.na swaumu ulofungua kwa makisudi Hailipiki..mtihani kweli kweli.Tunamuomba Mungu atusameh makosa tulosababishiwa na viongozi wetu tuliowaamini.

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy86663 ай бұрын

    Shekh barahiyyan baarakallah fiika...umeseme kweli kabisaa

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b3 ай бұрын

    Allah akuhifadhi Sheikh Salim Barahiyan

  • @EagerHerculesBeetle-en9bj
    @EagerHerculesBeetle-en9bj3 ай бұрын

    Mashallah sheikh wetu Allah atupe elim na misimamo ya dini

  • @user-hv3pw8qr3o
    @user-hv3pw8qr3o3 ай бұрын

    Maashallah haki na batwil havikai pamoja wao wamelewa bahasha za kakii ilihali waisillam Wana madhilla njinzima.

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga15873 ай бұрын

    Masha allah.Shekh allah akuhifadhi miaka mingi umetutoa mbari

  • @user-wu3gi9eg9s
    @user-wu3gi9eg9s3 ай бұрын

    Allah warasulahu aalam, Ukweli nastajabu sana kuwaona wasomi wengi wa dini yetu hawawezi kabisa jinsi ya kupambanua mambo yenye utata

  • @kdrama_lovers406
    @kdrama_lovers4063 ай бұрын

    Ewe Allah tukubalie ibada zetu pamoja na mapungufu yetu 😢

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    3 ай бұрын

    Aamiin Aamiin allaahumma Aamiin

  • @AllyKp-pj9tw

    @AllyKp-pj9tw

    3 ай бұрын

    Allahumma aamin

  • @nafoinvestimento9688

    @nafoinvestimento9688

    3 ай бұрын

    Amin

  • @user-el3fh4dw5e
    @user-el3fh4dw5e3 ай бұрын

    Alhamdulillah sheikh salim barahiyan allah akuhifadhi na hasadi za walimwengu Allah akupe umri mrefe wenye kheir na wewe uendelee kutuelimisha

  • @user-yw5no8hw4h
    @user-yw5no8hw4h3 ай бұрын

    Mashaallah allah akulipe kheli tuendelee kwa msimamo wetu

  • @user-pz9hk8wp5c

    @user-pz9hk8wp5c

    3 ай бұрын

    Mwambien muft awe anajielewa

  • @KhatibKhamis-nj7nk

    @KhatibKhamis-nj7nk

    3 ай бұрын

    Endeleeni na maradhi tafuteni kila walilosema maulamaa mufanye ili mukhitilafiane na watu kama hamuyajui ulizeni huo ndo usuli wenu

  • @KhatibKhamis-nj7nk

    @KhatibKhamis-nj7nk

    3 ай бұрын

    Na hao mashekhe wenu walokutakeni musifanye sijui hawakusoma au nyie mshasoma sana au mna mashaka gani ?

  • @user-mr1sl6dd7g

    @user-mr1sl6dd7g

    3 ай бұрын

    Msimamo wa kupotosha

  • @ibrahimsirhim1893
    @ibrahimsirhim18933 ай бұрын

    Mungu akueke inshaallah kisiki muhimu sana katika sunnah

  • @user-yp9il8lu9y
    @user-yp9il8lu9y3 ай бұрын

    Mashallah shekhe Allah akujaze kher zaid

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft3 ай бұрын

    ALLAH AMUHIFADHI sh Salim barhiyani

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    3 ай бұрын

    Ameen

  • @salumrashidabdullashmely2558

    @salumrashidabdullashmely2558

    3 ай бұрын

    Umekosea jina, anaitwa barahayawani

  • @HassanHaji-uu8km

    @HassanHaji-uu8km

    3 ай бұрын

    Hatujafundishwa hivyo katika QURAN. Umetereza brother. Tengeneza ulichokiharibu ndugu. Ni Barahiyani sii hivyo ulivyoandika wewe! Hata kama unamchukia mtu kwa misingi yeyote ile!​@@salumrashidabdullashmely2558

  • @NanahHassan-cd2vl

    @NanahHassan-cd2vl

    3 ай бұрын

    Amiin

  • @SwalehNunda

    @SwalehNunda

    3 ай бұрын

    Sisi tunashukuru sana

  • @joharithabiti334
    @joharithabiti3343 ай бұрын

    Maa shaa Allah Mwenyezi Mungu akuhifadhi shekh wetu na huyu mufti tumuombee hakika dunia inamuhadaa

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa83723 ай бұрын

    Allah akulipe kher kaka hapa Dunia tunapita haki hii itabaki kuwa Bora...

  • @HappyBlackKitten-nt2lp
    @HappyBlackKitten-nt2lp3 ай бұрын

    بارك الله فيك يا شيخي

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie3 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu Barihiyan akulinde na watu wabaya. Uzid kutuelimisha

  • @user-vy5lw5iw9p
    @user-vy5lw5iw9p3 ай бұрын

    mashalla shekhe wetu Allah akilind

  • @ahlusunna8932
    @ahlusunna89323 ай бұрын

    Hakika mufti wa bakwata dunia inamuhadaa sana tunamuomba Allah amuongoze katika njia ya haq.

  • @user-gx8fj5pn4m
    @user-gx8fj5pn4m3 ай бұрын

    Mashaallah mungu akulipekila la kheri she kwakuupigania uislam ao wanfata selikali uku selikali inaendeshwa kikatoliki na serikari haina dini jamn🙏

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul11343 ай бұрын

    Mzee wetu umezeeka mwili tu lkn ufahamu alhamdulillah Allah kakuhifadhia kuzidi hata vijana

  • @user-mf2kv3qf9u
    @user-mf2kv3qf9u3 ай бұрын

    Shekh Allah Akuhifadhi Inshaallah

  • @abdallahmbonabona8860
    @abdallahmbonabona88603 ай бұрын

    ALLAH SUBEHANA WATAALLAH AMUHIFADHI HUYU SHEIKH SALIM BARAHIYAN NATAMANI NINGEPATA MAWASILIANO YAKE YUKO VERY SERIOUSE! Hii Bakwata itajikuta imekuwa Tatizo kweli kwanini watake kutumia Nguvu nyingi kwa kuwambia waisilam wafunge ao wafunguwe kwa wao watangaze? Hivi Hawajuwi kuwa wao ni Taasisi Tafauti na zingine? Na zingine Taasisi zimesajiliwa serekalini? Kwa kweli Hili ndo Tatizo liko mu jamii hasa hawa watu wa Bakwata wao wanasahau kama wao ni Taasisi japo wao wanajiona wanawakilisha waisilamu wengi inchini! lakini pia yafaa watambuwe kwa sasa tuko kwenye ulimwengu wa kisomi taasisi zote za kidini zipo huru kuendesha Ibadah sawa na Katiba ya inchi!!! Ndio maana wapo wenye mtazamo tafauti na Bakwata nao pia wanahaki ya kuendesha ibada zao kwa uhuru sababu ni Taasisi zimesajiliwa serekalini pia hizo taasisi hazijasema kama zinaongozwa na Bakwata! Kama serekali inaibeba Bakwata ni sababu tuu kuna watu wengi kwa hio inapitisha tuu baadhi ya mambo bakwata lakini sio kusema kiibada waumini wanaotokana na Taasisi zingine kinyume na Bakwata hawana mamlaka!!! mathalan jee wa Salafi, wa Answar sunna, wa soufi, wa Shia hawa wana haki ya kuwa na taasisi zao pia na Mufti wao!? Ebu watazame basi upande wa wakristo.Piko taaasisi za kikatolika , piko za ki pentecosti piko wa kilutheri, piko wa aglican, piko wa jehova, piko wa injilist hawa wote wanatambulika kama taasisi za kidini za kikristo ila kila moja yuko huru hakuna kiongozi wa kikatolika atawalazimisha waumini wa kilutheri, ao wa ki injilist matakwa yake kila Taasisi ya kidini iko huru kufanya shughuli zake na ibadah zake ca lazima ni kulinda amani ya taifa ila Huyu Mufti wa Bakwata asitake kuwalazimisha watu matakwa yake kuna kipindi wao wanafanya kibri kukosa kutangaza wanakuta wanawafturisha mcana siku ya ramadhani wakati imeanza ao wanawafungisha swaumu siku wengine wanasali! Na Baadaye wanajikuta walikosea lakushangaza hawawataki Radhi waumini wa Inchini kuwa walikosea pia hawawambi kuwa walipe siku waliwapotosha wakawalusha siku ya swaumu !!! Wawatake Radhhi pia Kwa kuwaambia waumini wafunge siku ya laidi haya mambo ya kujidai eti bila sisi kutangaza wangine hawana haki ni kibri na udikteta kwani inaamana Kiongozi wa Answari Suni akitangaza kakosea wakati wao wametangaza kwa mujibu wa taarifa zimekwisha thibiti kuwa Mwezi umeonekana Ulimwenguni! Yaani Inaamana wa wahabi wakitangaza hawana haki? Ao wa Shia nao ? Mambo ya kukinzana kinzana ni ujinga mtupu ! Inchi ya Tanzania ni inchi ya ki secular haiegemii kwenye Dini yoyote kwa hio watu wako huru Wa wahabi wa answari wa sufi wa shia wanao uwezo hata wakuteuwa wa Mufti wao ao qadhwi wao!! Bakwata kama serekali inawasikiliza ni juu myaka mingi wanaonekana wanawakilisha walio wengi na serekali iko na interest ya kuwa na mawasiliano na kirafiki kizuri na dini zote! ila pia pamoja na kuwa Taasisi ya Bakwata inakirafiki na serekali ni kutambuwa kuwa inchini kuna maa taasisi mengine yana mitazamo na Bakwata hawa Bakwata kama wakitaka watu wawatambuwe kama wao ndo wawakilishi wawaisilam wa taasisi zote basi waikae cini wajadili hilo na taasisi zote waweke kiongozi moja anao wakilisha umaja wa hizo taasisi zote! wafanye kikao waunde ao waidhinishe taasisi moja la sivyo watu watafwata sawa na gisi wanaelewa sawa na fasi wao wanaonakuna Haki !!! watatafuta fasi wanaonahaki ! Kwani wakristo siwako na ma taasisi ulisha wahi sikia wa katolika wanawalazimisha, wa pentecosti wa luther, wa aglican wa jehova wa injilist? Ila kwanini Bakwata wao tu ndo wajione kuwa wao tuu ndo wana haki ya kuwatangazia waisilamu mwezi? Na kwanini wajikute kwa sababu ya kibri chao wanawafturisha waisilam mchana? Ukinzani wa Bakwata unaenda Hadi siku ya kusimama Arafat huwa wanaipinga iyo siku eti hiyo tarehe haijakutana na matakwa ya Bakwata? Waisilam wanamaco wanaona huwezi ukawapeleka Waislam kama vitunga wakukubalie Ndugu zako waisilam wakitangaza wameuona mwezi kwanini wewe uwapinge?

  • @bonifasiemanueli21

    @bonifasiemanueli21

    3 ай бұрын

    Msigombane,Ninyi Kwa Ninyi Nani kawaloga

  • @jumaally6007
    @jumaally60073 ай бұрын

    Barakallahu fiika

  • @HusnaAboubakar
    @HusnaAboubakar3 ай бұрын

    Muft abubakar bin zuber mungu akuongoze akuondolee hasad husda shari na akupe umri mrefu.upole wako ucheshi iman yako hakika nakupenda sana sana mzee wangu.

  • @hatibumohamedi3471

    @hatibumohamedi3471

    3 ай бұрын

    Nenda kamsifie kwenye post yake

  • @awadhkannah6587

    @awadhkannah6587

    3 ай бұрын

    Mufti wa Tanzania Kwa maana ya Baraza la Kiislamu Tanzania hapa, hakuna namna , tunataka ama atutaki, twende kwenye jambo la Msingi la mwezi, Mufti wetu sote, nashauri achukue majukumu yote mawili atangaze mwezi wa kimataifa, pia atangaze mwezi wa Tanzania, asitubague wengine wote ni Waislamu

  • @user-lf4yx8ho1k

    @user-lf4yx8ho1k

    3 ай бұрын

    ​@@awadhkannah6587mufti wa bakwataaaaa

  • @user-lf4yx8ho1k

    @user-lf4yx8ho1k

    3 ай бұрын

    Mzee wako wewe

  • @abuuaidh6500

    @abuuaidh6500

    3 ай бұрын

    Sheikh mwenye akili anaejitambua hapewi nafasi ya juu . Hata mukiona Mtu kapewa nafsi ya juu huyo ujuwe ni mzandiki .

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p3 ай бұрын

    Sheikh uko sawa sawa kabisa Mufti wa tasisi ya bakwata ajasema sawa Inaonekana ana msukumo kutoka sehemu fulani

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    3 ай бұрын

    Kwel kabisaa bakwata ni chombo cha serekali

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    3 ай бұрын

    Sio chombo cha dini

  • @binaamour318

    @binaamour318

    3 ай бұрын

    Hivi huko suodi mnako fata chombo kinacho tangaza n Cha Nani? Kama cio serikali? Huwezi lazimisha watuwote kuwa fata sehemu moja mufti anasema kuheshimu mamlaka huko suodia hakuna shekh anaetangaza mwezi bila y mamlaka hajazuia msufate kutangaza ndio shida!

  • @saidtembele3070

    @saidtembele3070

    3 ай бұрын

    ​@@binaamour318 Saudia na Tanzania ipi dawlatul islamiyyah yaani inaongozwa kwa sheria za kiislamu!??? Ukipata jibu hapo tuendelee....

  • @user-cp5fh3tc1j

    @user-cp5fh3tc1j

    3 ай бұрын

    ​@@saidtembele3070zote sio nchi zakiislamu

  • @salumtakao9828
    @salumtakao98283 ай бұрын

    Mashallah. Shekh wetu sisi hatutawafata bakwata Abadan .wao sio waadilifu wanafata matamnio yao tu . Htuwaamini na hatutawaamn Hadi wabadilike

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    3 ай бұрын

    Nikweli

  • @assadyabdull5146

    @assadyabdull5146

    3 ай бұрын

    Na sisi hatutawaamini na hatutawafata nyie na masheikh zenu Maan itikadi zenu sio sahihi sio tu MATAMANIO Kila kitu chenu sio Sawa

  • @salumtakao9828

    @salumtakao9828

    3 ай бұрын

    @@assadyabdull5146 Allah humuongoa mtakaye yeye. Na nyinyi ikifika zamu yenu mtaongoka kwa baadhi ya mamb ambyo bdo yanawatatiza. Muhimu lazimianeni na kuacha siasa na kufata mkubo ni hivo tu nawashauri. Mamb haya hayahitji elimu kubwa kumzindua mtu acheni ushabiki tu mtaona haqqi na Yale ya sawa. Msipelekeshwe Kila siku .

  • @shabanimussa4269

    @shabanimussa4269

    3 ай бұрын

    ww mwehu wahabi nyinyi mnaelemu Gani

  • @salumtakao9828

    @salumtakao9828

    3 ай бұрын

    @@shabanimussa4269 ukitok kwenye ushabiki na siasa utaelewa we tok tu kwanza huko yote utyaelewa haya

  • @uledihassan6065
    @uledihassan60653 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh Barahiyyani

  • @YusufuOmari-pz7vt
    @YusufuOmari-pz7vt3 ай бұрын

    Shekhe saajimu barqhani Allah akupe maisha marefu kwa busara zako kuelekeza pia awafanyie wepesi wakuelewe inshalah❤

  • @user-in2ey5iw2n
    @user-in2ey5iw2n3 ай бұрын

    Maneno ya Sheikh Salim barahyan yako sahihi

  • @user-ih5vr6lf3f
    @user-ih5vr6lf3f3 ай бұрын

    Maashallah Tabaarakallah Shukran Sheikh kwa ufafanuzi na msimamo Allah Haafidhkum

  • @muhudharimohamed
    @muhudharimohamed3 ай бұрын

    Allah akuhifadhi fidunia wal-akhera

  • @user-ec9dn5mp8y
    @user-ec9dn5mp8y3 ай бұрын

    Mashaallah ❤kwa jili ya Allah

  • @abdulazizhabib4581
    @abdulazizhabib45813 ай бұрын

    Allah akuzidishie hekima na afya njema,bwakwata hakuna vision

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo3 ай бұрын

    Jambo la kushangaza Mufti wa Bakwata amesema kwamba eti Walikubaliana na wenzao wa nchi jirani sasa hapa hakusema kuonekana kwa mwezi ktk nchi zote lkn moja ktk nchi hizo ikiona innatosha sasa je huku si kuruka najisi ndogo ukakanyaga kubwaaaa!

  • @user-lg4ph6id8n
    @user-lg4ph6id8n3 ай бұрын

    Mungu akubarik sheh wangu

  • @user-et6bf4zs7e
    @user-et6bf4zs7e3 ай бұрын

    Sheikh Barahiyan Allah akuhifadhi Wana sunna wa to take na wewe

  • @user-hc1ir8en9d
    @user-hc1ir8en9d3 ай бұрын

    MwenyeziMungu akubarik

  • @seifkhalfan1881
    @seifkhalfan18813 ай бұрын

    Barahiyyan unafaa kupewa ww hicho cheo Bac tuuu Allah akuongozee na akuhifadhi

  • @AdmiringCorgi-rg5tj

    @AdmiringCorgi-rg5tj

    3 ай бұрын

    Na apewe halafu ndio mutaona mutakavyokunya

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    3 ай бұрын

    ​@@AdmiringCorgi-rg5tj acha chuki ww. Chiki zitakuuwa hizo

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    3 ай бұрын

    ​​@@AdmiringCorgi-rg5tj tena mavi mekundu

  • @hamadally501

    @hamadally501

    3 ай бұрын

    Ila je unakijua cheo au unasema tu apewe

  • @Bashirubakarisalala
    @Bashirubakarisalala3 ай бұрын

    ❤❤❤Alllah akuhifadhi sheikh wetu

  • @idrisamsilagi2204
    @idrisamsilagi22043 ай бұрын

    Maaashaa baarakallahu fiika shekh barahiyan

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari97603 ай бұрын

    maaashaallah

  • @fikirimachela4778
    @fikirimachela47783 ай бұрын

    Mashaallah

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc2 ай бұрын

    Mungu akulinde duniani na ahera

  • @jimpazclimpaz1794
    @jimpazclimpaz17943 ай бұрын

    Mungu akubariki Sheikh

  • @danaklinnaturopathy5385
    @danaklinnaturopathy53853 ай бұрын

    Huyu Mzee anajenga Sana hoja asikilizwe

  • @YahyaHussein-rd4kx
    @YahyaHussein-rd4kx3 ай бұрын

    Allah abaarik ya sheikh

  • @MkongweMullah
    @MkongweMullah3 ай бұрын

    ALLAH akuhifadhi shekh akupe umri mrefu ili utupiganie

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi71993 ай бұрын

    Bakwata iliundwa na mkatoliki Nyerere baada ya kuivunja east Africa muslim welfare mwaka 1968 guy ndio ukweli waislam wa Tanzania msitegemee mabadiliko kwenye Bakwata

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    3 ай бұрын

    Akhy umeongea kweli kabisa

  • @AliNassor-qt6fm

    @AliNassor-qt6fm

    3 ай бұрын

    Swadacta ❤❤❤

  • @focusernest5610

    @focusernest5610

    3 ай бұрын

    Na ndyo ukwel yule mzee alion mbal syo tu waislam tu,,,pia aliwavuruga na wasukuma hakutak wastaw maan machafuko yangekuwa rahs anawaelewa😅

  • @abdallahsaid1713

    @abdallahsaid1713

    3 ай бұрын

    ​Kuna kuongea na kuropoka we ni mropokaji tu kondo msojitambua kila mnalo ambiwa mnafwata mnajazwa ujinga mnajazika hamjui kuhoji wala kuchunguza mnapo letewa jambo ndio mana kila kukicha kwenu wanaibuka watu wano jita manabii na wanawadnganya wanaongea na mungu x hv x vile na nyi mnayapokea tu, mpka leo mmeshindwa kujiuliza vp mungu aje duniani ajifanye mtu alafu afe kwa ajili ya dhambi za viumbe alivyo viumba yye na yye ndie mtoa hizo dhambi kwann azunguke kote huko wkti yye ndie mwenye mamlaka yote ndio mana serekali hawasumbuki nanyi mana hamjitambui😅 ......nk ​@@focusernest5610

  • @roggoyacny

    @roggoyacny

    3 ай бұрын

    😭

  • @Khalifaibrahim-oh7ti
    @Khalifaibrahim-oh7ti3 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu amiin inshallah

  • @tumainjoseph7189
    @tumainjoseph71893 ай бұрын

    Allah akuhifadhiii

  • @xhebynjuu9395
    @xhebynjuu93953 ай бұрын

    ALLAH akuhifadhi sheykh❤️

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam15213 ай бұрын

    Mashaalah

  • @AmiriSwalehe
    @AmiriSwalehe3 ай бұрын

    Inaskitisha sana waislam kuwa na uelewa finyu juu ya mas'hara haya Allh atufanyie wepes ili waislam wote tuione haki tuweze kufunga pamja kwa mwezi wa kimataifa. Allhahumma aaaamin

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari97603 ай бұрын

    huyu sheikh allah ampe afya maan ni hazin ya hapa tz

  • @NanahHassan-cd2vl
    @NanahHassan-cd2vl3 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu Sheikh saalim barahian

  • @salummbarouk4216
    @salummbarouk42163 ай бұрын

    Sheikh barahiyani Allah akulipe

  • @user-zs4xz1vv4o
    @user-zs4xz1vv4o3 ай бұрын

    Allah akuhifadh shewetu mkwwli mbona tumewajua zamani wababaif

  • @mussaabedi9339
    @mussaabedi93393 ай бұрын

    heshima itabaki katika Sunna ya kumfata mtume muhammad.na sio mtu mwingine .mtu akienda kinyume na Sunna .na muandamo .si tunamuacha aende na watu wake.izi ni zama za kufata Sunna .ya mtume muhammadi.sio masaailu jahilia

  • @user-sn9nm1wu9j

    @user-sn9nm1wu9j

    3 ай бұрын

    mussa abedi wewe ufati sunna ya mtume Muhammad (s.a.w) wewe unafata saudia kufata saudia sio sunna jiulize umewahi kufata sehemu nyingine pasipo saudia sasa hao saudia wanautaratibu kama huu walionao bakwata kwanza nikufaamishe sio watu wote saudia dhehebu moja hili mnatakiwa mufahamu sasa nakufahamisha Tanzania taasisi za dini zina uhuru mkubwa kuliko saudia saudia uwezi kufanya shughuli yoyote ya dini lazima likubaliwe na balaza lao la dini hakuna taasisi inayoweza kubishana na selikali ya saudia tujiulizeni maeneo mtakatifu yanalindwa na wasio waislamu ingekua linafanyika napa kwetu ingekua vip kwaiyo saudia wanatangaza selikali kupitia balaza lao la mahulamaah je Tanzania ni dhambi kutangaza mufti?

  • @srafiy

    @srafiy

    3 ай бұрын

    Jambo muhimu la kujiuliza iweje Saudia Arabia ndio iwe ya kwanza kuona mwezi siku Dunia nzima? Hata pale ambapo astronomical data zinasema mwezi hauwezi kuonekana saudia, wale jamaa wanatangaza. Waslamu wote tukibaki kwenye sunna na mafundisho ya dini kwamba fungeni kwa kuuona mwezi na fungueni kwa kuuona mwezi, basi hakutakuwa na shida kabisa.

  • @user-sn9nm1wu9j

    @user-sn9nm1wu9j

    3 ай бұрын

    wewe ufati maneno ya mtume wewe unafata saudia kama unafata maneno ya mtume mtu aliyekua America anawezaje kufunga na wewe siku moja kwa mujibu wa tarehe ya kiislamu kuishia baada ya sala ya maghalibi wakati yule aliopo a america ajafika hata saa tano asubuh mfano wakifata saudia kufunga unafaamu wa America atakua usiku mfano saudia wakiwa mwezi 29 jioni mwezi wameuona America wao 28 alfajiri vipi mtakua sawa tatizo inawezekana wewe umesoma saudia au umefundishwa na aliesoma saudia maana saudia wao wanamsimamo wao kwa ajiri ya watu wao wao hawafati nchi yoyote duniani ila watu wote waliosoma saudia wanatakiwa wafate misimamo yao kwani wao ndio wanao wadhamini nakuwafadhili kwahiyo hapo akuna sunna kunakutetea masirahi yao kama sunna ya mtume akuna waumini nchi nyingine wenye kufata sunna tusomeni dini tusisome Quran pekee maana dini nisomo pana linalo usisha sanyansi giografi history hesabati pamoja na maalifa tukisoma Quran na hadithi tunasema tumekua mashekh dini inaitaji watu wenye elimu shekh ni elimu ya awari tu inawezekana mtuakausoma uislamu kisha akakuchalenji ukashindwa kujibu mfano nakuliza ule ukuta uliowazuia wale viumbe juja wa maajuja upo nchi gani uijui wakati habali ipo ndani ya Quran tukufu

  • @user-sn9nm1wu9j

    @user-sn9nm1wu9j

    3 ай бұрын

    tumeamlishwa tusome sio kuwafata watu waliosoma zama hizo wamepita kwa waalimu we wengi unaweza kusoma ila kufahamu usifahamu maana kufahamu ni riziki na riziki Allah umpa amtakae kusoma wengi wamesoma ila kwenye kufahamu wanafahamu wachache mungu akupe ufahamu mwema ilihujuwe ukweri wa dini yako na jifunze kwa wengine kumbuka nabii mussa alipo muuliza Allah kuna mtu aliemzidi elimu Allah alimjibu nabii mussa kuna wajawetu tuliowaruzuku elimu maana wapo wenye elimu kuliko hao waliokufundisha wewe nabii mussa aliomba afahamiswe hili akasome alipofahamishwa na alipo fika akushikishwa kit kitabu wala ubao alifundishwa hekima hiyo ndiyo dini dini ni neno lenye maana pana sana usinganie jambo tu kalisome hata china kutafuta elimu ni bora tumeimizwa kusoma atujachanguliw a lazima usome sehemu furani

  • @HassanAbdalah-fv9ow

    @HassanAbdalah-fv9ow

    3 ай бұрын

    ​@@user-sn9nm1wu9jhuna hoja za kielimu,,, mcheni Allah jamani si Kila mtu huizungumzia dini, jambo hili la mwezi lina khilafu kwa wanachuoni na kauli yenye nguvu kwa maulamaa ni kufuata mwezi wa kimataifa, ukionekana popote duniani sio saudia tu.

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam7083 ай бұрын

    Sheikh allah akupe ulinzi na kila wenye chuki na wewe allah awasafishe nyoyo zao

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    3 ай бұрын

    Ameen

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын

    Kizuri ni kuwa Barahiyani hawatangazii watu wote anawatangazia wano msimamo na itikadi ya mwezi wa kimataifa basi.

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz3 ай бұрын

    kazi yao kuharibu hii dini ya mwenyezi mungu watashidwa duuuu

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah90183 ай бұрын

    Huna baya Sheikh, kiti chako utakikuta firdous.

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji33353 ай бұрын

    Wasitusumbue hao ela wasituendeshe Sisi tunajua tunachokifanya dini halazimishwi MTU wasitukosee kabisa waendelee nabakwata Yao Sisi watuache na Sunna zetu

  • @sadiqfatma
    @sadiqfatma3 ай бұрын

    AL-Hamduli(A)llahi wa shukruli(A)llahi , Allaahu A-k-bar ×3 wali(A)llahi (A)L-Hamd !

  • @user-uu4uv4bj3u
    @user-uu4uv4bj3u3 ай бұрын

    Maashaallah shekh allah akuhifadhi.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37643 ай бұрын

    HAWA BAKWATA hawajitambui,wanataka kujiona wao ni bora kuliko taasisi nyingine!!eti kwa sababu tu wao wanabebwa na mbeleko na serekali!! Lakini BAKWATA kwa sasa haina nafasi kwa WAISLAM!! kama si kubebwa na serekali na MASHIA isingekuwepo tena!!

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    3 ай бұрын

    Kwel kabisaa

  • @jumaa052

    @jumaa052

    3 ай бұрын

    Asa habib kama taasisi zote zingel kua Sawa c kungelikua na mamufti waso idadi

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi71993 ай бұрын

    Bakwata ndio chombo kinachowarudisha nyuma waislamu Tanzania .Kenya ina waislamu wachache lakini wana nguvu kwenye mambo mfano Mahakama ya Kadhi ambayo ipo kwenye Katiba ya Kenya ya 2010

  • @ramygichero1016

    @ramygichero1016

    3 ай бұрын

    Hawa ni magaidi Mawahabi

  • @mkude

    @mkude

    3 ай бұрын

    ​@@ramygichero1016 hizo chuki zenu zilishapitaga muda mrefu sanaa, sasa hivi mmekuja na kueneza ushoga duniani baada ya kuona ugaidi mmefeli, sasa mnahamasishana ushoga😮

  • @HekimaFashion-wr1ml
    @HekimaFashion-wr1ml3 ай бұрын

    Shekhe salim mungu akuongoze naakupe afya ilio njema

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma54083 ай бұрын

    Masha Allah ❤❤

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe17503 ай бұрын

    Mufti hapo alikosea sana

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r3 ай бұрын

    Hata mm mara hii niliinqia kwenye mteqo lakini wallah mwezi ule ulikuwa ni mwezi pili

  • @user-vn6so3on7z

    @user-vn6so3on7z

    3 ай бұрын

    Umeona😮Umeonanaee

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    3 ай бұрын

    Mche Allah

  • @rahmaabdallah4514

    @rahmaabdallah4514

    3 ай бұрын

    Kila mmoja anajiona sahihi mungu ndo anajua zaidi.... mungu atupe mwisho mwema

  • @user-xt3pq4hb2r

    @user-xt3pq4hb2r

    3 ай бұрын

    @@rahmaabdallah4514 amiin

  • @catchall9364

    @catchall9364

    3 ай бұрын

    Shekhe, mwezi ulizaliwa saa sita mchana siku ya jumapili kwa majira ya Afrika Mashariki, hivyo wataalam wanasema usingeweza kuonekana kokote katika maeneo ya Afrika, Mashariki ya Kati na Asia, kwa maana ungekuwa ni mchanga sana labda kwa bara la Amerika ambao wako nyuma yetu masaa zaidi ya nane, kwa minajili hiyo ndio maana siku ya jumatatu ukaonekana ni mkubwa kwa sababu ushakomaa kwa masaa zaidi ya 30. Ukubwa wa mwezi unategemea una masaa mangapi toka ulipozaliwa na sio wa jana au wa leo kakaaa.. Fuatilia mambo hayo kitaalam sio vijiweni..

  • @mbarakaissa9232
    @mbarakaissa92323 ай бұрын

    Siku zote kwa waislam ni siku za ibada na kazi pia Mashaallah

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula54153 ай бұрын

    Sheikh wangu mzee wangu mimi namuomba Allah akujaalie afya njema inshaallah na usiache kusimama na khakih hao wanaojiona nakutegemea yakwamba wataiendesha dini ya Allah kwafikra zao namawazo yao inshaallah Allah atawalipa hapahapa duniani coz uislam sio dini ya bakwata wala serikali yatanzania leo watu wabakwata wanajifanya waijua dini kumbe nichanzo chamigogoro ktk uislam

  • @jumaabdulrahim5553

    @jumaabdulrahim5553

    3 ай бұрын

    Nikweli kabisa Masha Allah

  • @jumaabdulrahim5553

    @jumaabdulrahim5553

    3 ай бұрын

    Hii imekua ni kawaida ya bakwata kujificha katika kivuli Cha dini kumbe ni serekali

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust18523 ай бұрын

    Mbona ww ulilalamika Tv Iman walipotangaza mwezi kabla ya kaul yako

  • @abubakarally3413

    @abubakarally3413

    3 ай бұрын

    Kama alilalamika kwasababu yeye ndio basuta walimchagua na hio tv imaan walikua chini yake kwenye jambo la kutangaza mwezi

  • @AdmiringCorgi-rg5tj

    @AdmiringCorgi-rg5tj

    3 ай бұрын

    Barahiyani uliwahi kukasirika ulipotangazwa Mwezi kwakua hukusema wewe

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    3 ай бұрын

    ​@@AdmiringCorgi-rg5tjKwa sbb yeye ndie kiongozi wa basuta lakin walioko wakatangaza mwez bila yeye kuambiwa

  • @mkude

    @mkude

    3 ай бұрын

    ​@@AdmiringCorgi-rg5tj mnatafuta hoja za kitoto, wao wote ni dhehebu Moja wakamteua Salim barahiyyan awe anatangaza, mfano mufti anatangaza mwezi wa bakwata akitokea mtu mwingine ndani ya bakwata Kutangaza mufti anahaki ya kuchukia, lakini mufti Hana mamlaka ya kuchukia dhehebu lingine likitamgaza siku ya ibada Yao Kwa katiba ya Tanzania

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft3 ай бұрын

    Kweli amejuwa makusudio ya mufti wa bukwata nikutaka kuwachochea watu wa SUNNA kwa serekali lakin serekali inaakili sio kukurupuka

  • @user-vn6so3on7z

    @user-vn6so3on7z

    3 ай бұрын

    Kweli uyo mzee hataki kuongeza watu hatumtaki

  • @zaituniluboge8897
    @zaituniluboge88973 ай бұрын

    Tuache kurumbana na kutupiana maneno machafu hasa kwa viongozi wetu muhimu kila mmoja afate imani yake inavomtuma kwa maana iman yako ndy itayokuponya baadae haya marumbano ya mwezi tutayaacha hapa hapa duniani wala hayana manufaa kwetu muhimu allah apokee funga na ibada zetu

  • @AbdulKarimu-lj8iu

    @AbdulKarimu-lj8iu

    3 ай бұрын

    😂 Iman na mwezi ni vitu tofauti tafuta elimu hakuna kitu kama hiko ati kila mtu abaki na Iman yake

  • @dahlainismail6837
    @dahlainismail68373 ай бұрын

    Naam mwalim Allah akuhifadhi bakwata kama kirefu chao bana kabisa waislam Tanzania hao ni wafedhul maulamaa usuhii

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78023 ай бұрын

    Sasa ikiwa wameswali kabla watakua wameswali na nani? Na aliposema anaenda kuftri atakua kafunga na nani? Jibu ni kwamba tangaza mwezi wa kimataifa..

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka71993 ай бұрын

    Siku zote watu wanasema bakwata ni chombo cha serikali sasa imejidhihilisha wazi..

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    3 ай бұрын

    Kwani nyinyi hicho kitaasisi chenu hakijasajiliwa na serikali?

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    3 ай бұрын

    @@rashidsuleiman9253mbn unachanganya mada kaka iv unajielew kweli mmh

  • @kheriabubakar4674
    @kheriabubakar46743 ай бұрын

    Allah akulipe kilalakheri shekhe.

  • @AbduliSeleman
    @AbduliSeleman3 ай бұрын

    Allah akure umlimref Allah azdikuupa msmamowako😊

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa95133 ай бұрын

    Tatizo la Mufti wa BAKWATA hujisahau akajifikiria yeye ni mufti wa waislamu wa tanzania wakati yeye ni mufti wa BAKWATA

  • @LouisMambaAloyce-cu6ud

    @LouisMambaAloyce-cu6ud

    3 ай бұрын

    Hakika

  • @ismailhassan5209

    @ismailhassan5209

    3 ай бұрын

    Kamata huyo kama anakaidi kamata weka ndani

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    3 ай бұрын

    Tatizo la muft wa Bakwata na viongozi wote wa Bakwata kujivesha joho la wao kuwa watumishi wa serikal.

  • @user-mf2ll7nz5g

    @user-mf2ll7nz5g

    3 ай бұрын

    Yaani we ndo jaahil kabisa eti mufti wa bakwata

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    3 ай бұрын

    ​@@user-mf2ll7nz5gwewe ndio jahili katika uislamu hakuna kitu kinachoitwa bakwata

  • @YuzzoKhalifa-zq6xf
    @YuzzoKhalifa-zq6xf3 ай бұрын

    mashaallah shekhe,wafafanua vizuri sana, kwanza bakwata ndio nn

  • @mussaabedi9339
    @mussaabedi93393 ай бұрын

    we unaesema wahabi .shida sio wewe shida ni uchache wa elim yako.sema muhammadi bni abdull wahaabi .mwanazuoni aliekuja kuwafunua washirikina wa kiislaa.wanao jiita .waganga wa kitabu.na kumbe ni ushirikina.someni mjue msiwe mashabiki bila elim.dini sio mpira eti uchague kipa bora.dini ni hakk ya Allah .na kufata maelekezo ya mtume muhammad

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    3 ай бұрын

    Asante kwa kumjibu huyo jahil

  • @mariamumkwamba2333
    @mariamumkwamba23333 ай бұрын

    Allah akupe maisha malefu inshaallah

  • @user-bx5cn5no5e
    @user-bx5cn5no5e3 ай бұрын

    Shekh Mche Allah

  • @AllyKp-pj9tw

    @AllyKp-pj9tw

    3 ай бұрын

    Hata ww pia umche allah haki itabaki haki na batwil itaisha biidhnillah

  • @mgazamhina840

    @mgazamhina840

    3 ай бұрын

    kakosea nini

  • @ksmally1985

    @ksmally1985

    3 ай бұрын

    Sisi tutafunga na mwezi wa kimataifa mile Le na Wala hatutosubiri mwezi wa bkt, hapo mtatusamehe

  • @jumasalum3684

    @jumasalum3684

    3 ай бұрын

    Nasikitika sana kwa watu ambao allah amewapa akili na utambuzi,akaipotosha akili yake,dini yoyote ya mbinguni inakanuni zake,pia adabu katika majibizano,halafu dunia sio kifuu cha nazi ,katika kipande cha ile khadithi ya mtume s a wa,kwamba mawingu yakiwazuiya kuona mwezi kamilisheni shabani siku 30,hivi inamana hayo mawingu wanaweza kutanda dunia nzima?mbona mnafanya ushindani ambao hauna faida muogopeni mungu

  • @jumasalum2842
    @jumasalum28423 ай бұрын

    Inalilah wainairay rajiun yaan tunasikitika sana waislam tunakwenda wap jamani mungu atunusuru na hili

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    3 ай бұрын

    Sikiliza hoja kisha fuata haki

  • @memorataedson7895
    @memorataedson78953 ай бұрын

    waislamu mnapenda malumbano yaani hakiwapiti kitu

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani48963 ай бұрын

    Ni mtihani sana

  • @user-ro1fn7lv1l

    @user-ro1fn7lv1l

    3 ай бұрын

    Jayyidi

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu3 ай бұрын

    Allah akuhifadh shekh Salim

  • @user-qp8sm6st7r
    @user-qp8sm6st7r3 ай бұрын

    Tupo pamoja allah akupe ulidhi inshaaallah

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat66573 ай бұрын

    Mungu akulipe kwa niayako ya kuwagawa watu waislamu yani wewe mungu anakukumbusha kwa kukupa maradhi lakni wewe ubadiliki wa ajili ya fedha

  • @ahlusunna8932

    @ahlusunna8932

    3 ай бұрын

    Kumbe kuongea ukweli ni kuwagawa watu? Na je shekh ameongelea habar ya fedha hapo kama unavyodai ww? Mche mola wako wewe achana na maneno ya mipasho tafuta dini yako uijue vzr utaacha kupelekwa kichwa mchunga.

  • @msarama5406

    @msarama5406

    3 ай бұрын

    Maradhi ni ibada hata wewe utapata hasa ukiaanza kuzeeka

  • @abuukarata9653

    @abuukarata9653

    3 ай бұрын

    Maradhi sio adhabu shekh wangu. Ni mtihani mwanadam kapewa.

  • @Aminahlamranl420-hw2ie

    @Aminahlamranl420-hw2ie

    3 ай бұрын

    Hata ww utaumwa kwan ww nan mpa usiumwe, acha kufuru kuumwa ni ibada. Na wale walio mahospital wanaumwa ni Barahiyan!!??

  • @zainabjumaa3055

    @zainabjumaa3055

    3 ай бұрын

    ​@@Aminahlamranl420-hw2ieMaa shaa Allah swali mtambuka akikujibu unishtue

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3kАй бұрын

    (فأما قول من قال إنه ينبغي أن يكون المعتبر رؤية هلال مكة خاصة ، فلا أصل له ولا دليل عليه)

Келесі