SIRI ZAFICHUKA | BAKWATA YAWAFUNGUZA WAISLAMU BILA YA KUONA MWEZI - Sheikh Salim Barahiyan

Watch full video on KZread
• MUFTI WA BAKWATA AIOMB...

Пікірлер: 71

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja88374 ай бұрын

    Mimi nilikua simuelewi salimu abdarahimu lakini kwahili tuko pamoja

  • @user-rr6to1rd9j
    @user-rr6to1rd9j4 ай бұрын

    Kila mmoj na uelew wke mm nimemuelew vizuri mufti bila kutia makundi na itikati

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu57674 ай бұрын

    Mufti umechemsha sana kWa maneno yako

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38464 ай бұрын

    Vibarakati

  • @ahmadsleman5856
    @ahmadsleman58564 ай бұрын

    Waislamu hakuna kitu kizuri kama kusikiliza kitu uka kielewa kisha ndio ukaanza kuchangia kama utakuwa na elimu nacho kama huna ni kheri kukaa kimya tu ili ubaki kuwa salama kwa Mungu wako na sibusara kufata mkumbo tukawa sio watu wa kufata utaratibu pia tujitahidi kuchunga ndimi zetu kwani kila neno linaandikwa.

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan14524 ай бұрын

    Hii inaonyesha mkapa hakuwa mtu mzuri. Sasa BAKWATA ipo Sawa

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3k4 ай бұрын

    Sheikh mche mola nyinyi kila mwaka mwalisha waislamu kwa mwezi usoonekana wa falaki hayo hamuyaoni ila mufti akielezea yalio tokea hukonyuma na unasema bakwata wanatumiwa na serikali jee na nyinyi munatumiwa na nani kama si maamuma wa kisiudi

  • @user-rr6to1rd9j

    @user-rr6to1rd9j

    4 ай бұрын

    Haw wnampinga kw iyo wmeelew vibaya wmepat nafac y kuongea..

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz4 ай бұрын

    utuelezee juu wapi uko usitubabaishe mungu atatulipiyaa hawa bakwata wanatuvuruga sana waislamu wa nchi hii duuuu

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    4 ай бұрын

    Taasisi ya ya serkari hi yo

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    4 ай бұрын

    @@salumjumaruhaga2513 Wewe yako ni taasisi ya manabii na mitume!

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p4 ай бұрын

    Wewe ni Hani

  • @SALIMABDULLA-ro8rn
    @SALIMABDULLA-ro8rn4 ай бұрын

    Sis tunajua zamani kwamba bakwata sio waislam

  • @abuukarata9653

    @abuukarata9653

    4 ай бұрын

    Ni waislam sema ni sehemu ya serkali

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu4 ай бұрын

    Mzee kweli unasimamia selikal nasiio din

  • @badrukheir4
    @badrukheir44 ай бұрын

    Ukisikia kupaswa ndo huku hatari kweli kweli

  • @hamishassan6784
    @hamishassan67844 ай бұрын

    kwa kauli hio unangoja nini kujiuzuru wewe na wote mliopo kwenye baraza hilo ili kupisha uchunguzi wa jambo hilo ambalo mmelikalia muda wote bila kuwafahamisha waislam na jamii kwa ujumla ili sasa ifike mahala chombo hiko kipate kuwa cha kuaminika na waislam bila ya kuwachonganisha na serikali yao kama vile ambavyo umesema?

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar4 ай бұрын

    Za juu zipi ww munatuchanganya dini munaizia ugumu sanaaaaa iv wamesoma kweli hawa ila yote njaa hio

  • @nusalim3389
    @nusalim33894 ай бұрын

    Dini inaenda na misdaqia na uthibitisho na uwazi itabaki kuwa mwezi wa kimataifa ni WA ukweli zaidi Kuliko wa bakwata,kwsbb unasimamiwa live duniani na vyombo vikuu vya dunia zana za kisasa na watu wachamungu na pia haijakusanya watu wa aina moja tu maustadhi kama bakwata,wenzetu kwny kamati Kuna Kila aina ya watu Kila mmoja anasimamia uwakilishi wake kwsbb wanajua mwisho wa yote nchi ni moja na wote ni wahusika wa kufunga na kufungua

  • @bakaribakari6444

    @bakaribakari6444

    4 ай бұрын

    Umepotea kabisa....wasaudia pia wako chini ya mayahudi😂😂 wanatangaza kwa oda kama huku

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    4 ай бұрын

    ​@@bakaribakari6444 una uhakika na hayo unayoyaongea au na ww ilimradi umeropkwa tu uwepo kwenye comments

  • @mirosasaromi6079
    @mirosasaromi60794 ай бұрын

    Swali langu ni kuwa Sunna ya mtume haipo kwenye suala la muandamo wa mwezi?? Kwa maana utandawazi umekuja kuondosha hiyo sunna??

  • @user-iw1bm1kv8w
    @user-iw1bm1kv8w4 ай бұрын

    Nabado, bakwata mtabakia pekeyenu. Tumesha wajua nyinyi niwatu mnaetizama maslahi yenu binafsi na sio maslahi ya dini

  • @ahmadsleman5856

    @ahmadsleman5856

    4 ай бұрын

    Tufunge akisema Shekh Barahani

  • @user-wn6pz1jp3k
    @user-wn6pz1jp3k4 ай бұрын

    Kiongozi wa kiislam mwenye mamlaka kisheria kutoa fatwa ni yule anayeongoza dola ya kiislam khilafa,siyo aliyewekwa na dola ya kitwauti yenye kuhararisha mifumo ya riba,pombe,kamari,zinaa,demokrasia,watamtii bakwata wenzake,sisi tunawatii masheh wanaofuata haki,nabii S.A.W na makhalifa,walikuwa viongozi waliosimamisha khilafa walitoa fatwa dunia nzima,inatii siyo yeye kibaraka alafu umma umtii

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25134 ай бұрын

    Juu wapi sasa mbona husemi

  • @ForodhaniZanzibar

    @ForodhaniZanzibar

    4 ай бұрын

    Nashangaaaa juu wapi na nn ndio tunatakiwa kujua

  • @user-iw9wo1tr3v
    @user-iw9wo1tr3v4 ай бұрын

    Acha uchonganishi ww

  • @mokitaa8750
    @mokitaa87504 ай бұрын

    kwa hili mufti kateleza kama binadamu

  • @abubakarnyerere5263
    @abubakarnyerere52634 ай бұрын

    Mungu kaanza kuwaumbua na bado kuna mengi wameficha Allah awaumbue wanafiq😂

  • @user-cp1pu4ev8h

    @user-cp1pu4ev8h

    4 ай бұрын

    Huyo shehe zuberi ni ibilisi

  • @ZuwenaOday

    @ZuwenaOday

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @muhammedaloufy4086

    @muhammedaloufy4086

    4 ай бұрын

    Mbona pia kuna Siri ilifichuka kuwa Salim Barahiyani kaiba milioni 200! Au hujaskia wewe?

  • @muhammedaloufy4086

    @muhammedaloufy4086

    4 ай бұрын

    @@user-cp1pu4ev8hhaya ndio mafundisho y wajiitao watu wa Sunnah! Matusi ndio manhaj yao! Kwani mbona kuna tuhma barahyani kaiba milioni 200? Au huna khabari hiyo!

  • @khamiskhamis9947

    @khamiskhamis9947

    4 ай бұрын

    Mushafedheheka​@@muhammedaloufy4086

  • @user-sr5kd5kd5j
    @user-sr5kd5kd5j4 ай бұрын

    Huko juu ni wapi mufti mbhn hujatuweka wazi jamani tujuee

  • @MwanaidMagasa
    @MwanaidMagasa4 ай бұрын

    Ndio mana Allah SWA alisema iqraa kila muislam asome uielewe dini yako ina taka ufate nini umfuate nani na sio ushabiki hapa comments nyingi za wasomi na waelewa ila wachache ndio wakuburuzwa masking some kwani siku za kuishi Duniani ni cache z Akhera ni nyingi utajikuta unaondoka mtupu Duniani kwa kuburuzwa someni tafuteni ukweli,usahihi

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida9654 ай бұрын

    BARAHIANI WEWE UNATANGAZA MWEZI KAMA NANI?

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex23064 ай бұрын

    Huyo Mufti ni mtu wa serikali sisi waislam hatumtambui kwanza ndo chanzo cha kuwagawanya waislam

  • @user-rp9dm5vo9f
    @user-rp9dm5vo9f4 ай бұрын

    Mufti. Muokope Mungu usijifanyi kama. Nabi ivi hunahata. Aibu. Kuongea ongea. Kama. Mtoto acha hayomambo chekh

  • @allymanyika3502
    @allymanyika35024 ай бұрын

    Duhh 😀 hii hatari wallah,kumbe bakwata habari zenu za ibada mpaka mpate kutoka huko juu 😅😅sijui ni wapi huko juu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg4 ай бұрын

    Kwani Bakwaata si ni taasisi ya watu wake, kwani Askofu mkuu wa Catholic ndio mkuu wa Wakristo wote, au ni wa taasisi yake tuu,

  • @laylayl5166
    @laylayl51664 ай бұрын

    Sasa mbona Kuna nchi nyingiitu hazikufunga nazo ximemfata bakwata ikiwa nyie viongozi ndio hivoo malumbanotu ya kuchafuana jesisi tusio jua dini vizuri tumfate nanii? Naombeni jibu maana. Hata hamleti picha nzuri nyotee niwatu wazima tumfate nanii Kati yenui

  • @msabahaali758
    @msabahaali7584 ай бұрын

    bakwata sio taasisi ya waislamu ni taasisi ya serikali na ccm wao wasijipe uhalali wakafanye vikao na maaskofu ndio waahirika wao

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    4 ай бұрын

    Yako ndio taasisi ya uislam imeundwa nawaislam au kikundi fulani cha watu? Tuonyeshe jinsi taasisi yako hio ilivyoundwa jee waislam wote walishiriki au ni baadhi ya watu na itikadi zao?

  • @abiiclevertz
    @abiiclevertz4 ай бұрын

    Hamna mashehe hapo wote wawili wanatafta sifa wazifa ili wajaze matmbo yao tena mijitu mizima na mvi zao na hina juu 😡 mambo hayo wafanye walevi wanafanya wao😡😡

  • @ABUUAMINAABDALLAH

    @ABUUAMINAABDALLAH

    4 ай бұрын

    3:32

  • @mullahthematrix816

    @mullahthematrix816

    4 ай бұрын

    Sasa umma usipoelezwa ukweli kwa kupitia vyombo vya Habari sisi tutafahamu vp ? Acha wasahihishane mimi na wewe tupime kwa akili na dalili then tumuache Allah atuongoze

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official4 ай бұрын

    😂😂😂😂mbona mufti wa bakwata anaongea kama hajielewi?? au mimi sijielewi??? ebu msikilizeni vzr

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    4 ай бұрын

    Nyinyi ndio hamujielewi ndio maana watanzania hatuendelei Kwa ujingaa mwingi na ubishii mwingi tulonao ,alichokisema mufti ni sahihi hapo wewe kichwa mchungwa ndio hujaelewa

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    4 ай бұрын

    @@ABUUALLY-tv8rl na ile funga moja unayo daiwa kushailipa????

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    4 ай бұрын

    @@ABUUALLY-tv8rl ahaa sawa kumbe mimi ndio sjaelewaaa!!! ok..... ila hii ni dini kuwa makini mufti ana kabur lake na ww una kabur lako msije mkalaumiana mbele ya safar kwa kuburuzwa bila kujielewa

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool42164 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl4 ай бұрын

    Wewe Mzee muogope Allah 😂😂 acha kujifanya huelewi alichokisema mufti kumbe wewe na hao unaokhutubia akili zenu kama za kuku hamuelewi 😂😂😂

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    4 ай бұрын

    Mbna wajifanya zuzu ww tafuta elimu acha kuleta mipasho

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv4594 ай бұрын

    BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU. kzread.info/dash/bejne/dKKGy8STZMyxfqQ.htmlsi=29NLMGK22NsBklh9

  • @user-rp9dm5vo9f
    @user-rp9dm5vo9f4 ай бұрын

    Mijinga. Ipo hapa. Tz. Sasa. Siku mlisubiri. Huyo. Mwenzi wa kitanzania ndomfunge. Mliuona. Ulikuwa wasiku. Ile. Ao. Niabu. Tu. Ndiyo. Mlibaki. Nao wapitevu

  • @bakaribakari6444
    @bakaribakari64444 ай бұрын

    Sasa huyu anapinga nini....mbona hapingi mwezi wao wanaotangaziwa na saudia ambao wako chini ya myahud

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    4 ай бұрын

    Ww ndio haujielewi kbsa

  • @sports007tv4
    @sports007tv44 ай бұрын

    Sasa jiulize ni mwaka gan bakwata walifungua kabla yenu wahabi

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p4 ай бұрын

    Wewe sege kafiri wewe

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    4 ай бұрын

    we usimtukane mufti

Келесі