Chanzo cha UGOMVI wako na KASSIM MAFUTA ni nini? | Sheikh Salim Barahiyan

Пікірлер: 380

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын

    Salafy sio wabaya mm huwapenda zaidi pale wanapoingia peponi kabla ya kufa,na dini ni ya kwao tu ukienda kinyume na mitazamo yao ww ni kafiri sema bado kuvaa msalaba tu,Allah anatutazama tunavyoyakoroga halafu atupe tathmini ya matendo yetu,turudi ktk njia sahihi nayo ni kuheshimiana na kufuata muongozo sahihi wa qur an na sunna

  • @sahirmwanyuki7091
    @sahirmwanyuki7091 Жыл бұрын

    Sheikh muongo mie Kassim nimesoma nae na nimekuwa nae mtaa mmoja Kassim katika ukuwaji wake akuwa mtu wa kuweza kufanya hayo anayozungumza amtafute sababu nyingine

  • @abuuyusra6139
    @abuuyusra61392 жыл бұрын

    Mzee uliulizwa maswali kumi na shekh Abul faadhl Qasim mafuta حفظه الله Fanya mpango wakuyajibu mamb yakae Waz me najuwa hauto wez basi jitahid ujibu ata Moja

  • @hafidhsalum9149
    @hafidhsalum91492 жыл бұрын

    Na milioni 200 pia uzitolee ufafanuzi apo

  • @RamadhaniAlysalafi-rv6hi
    @RamadhaniAlysalafi-rv6hi Жыл бұрын

    Hizibi mkubwa wewe hata uoshwe na maji ya bahari wewe barahiani hutakati Kasimu Yuko kwenye haki wewe Ni hizibi tuu

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788

    wewe na kasim wote ni wahun!!! mawahab wote hawana adabu

  • @sadambakari2579
    @sadambakari2579Күн бұрын

    Ndio mjue sasa kuwa uwahabi nifitna katika umma Kwahiyo elimu imekuja nanyi wengine wote waliopita hawajui dini mtihani huu Allah atunusuru nakina Barahiyan tufate wema waliotangulia

  • @mustafahkapopwa-bi7yb
    @mustafahkapopwa-bi7yb

    Acha upuuzi wewe na qassim wote mmepoteya!

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh18122 жыл бұрын

    Namuomba Allah aziunganishe nyoyo zenu kama ziiivyokuwa hapo awali.

  • @salehabri6957
    @salehabri69572 жыл бұрын

    Shek mafuta KAZI ya kusafisha iendelee👍sms zinafika mahala pake.

  • @zedon2047
    @zedon20472 жыл бұрын

    Wallah Sheikh Salim umeongea vizuri mno na umetuwekea wazi haya Majambo..!!

  • @user-hk6ls3yw9q
    @user-hk6ls3yw9q

    Allah akuhifadhi.

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176

    DHIKRI FIKFI SHUKRI SUBRI..

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan95232 жыл бұрын

    Tumekuelewa Mwalimu wetu Allah akuhifadhi

  • @user-nf6uk6kj6r
    @user-nf6uk6kj6r Жыл бұрын

    جزاك اللهُ‎

  • @AbdulkhadirMaulid
    @AbdulkhadirMaulid

    ALLAH akuhifadhi shekhe ila mioyo ilopigwa mihuri ya kiza na ALLAH haiwezi kupenya haki

  • @abdulhamidkassim7019
    @abdulhamidkassim70192 жыл бұрын

    masha allah

  • @Abuu-bakarHamzaAlawi-re6xq
    @Abuu-bakarHamzaAlawi-re6xq

    Nashauri kama nyote ni Masheikh wa Da'awa ya Kisalafy basi muondoe tofauti zenu. Macho yetu waislam yako juu yenu

  • @kigu3
    @kigu3 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @muniratalal9273
    @muniratalal9273 Жыл бұрын

    Allah atuoneshe haqi tuifwate na baatil tuepuke