RAADD KWA MUDILU WA ANSWAR SUNNAH SALIMU BARAHIYANI |Sheikh Qasim Mafuta

Sheikh Abul Fadhli Kassim Mafuta Kassim
______________
Pata faida kwa kuskiliza Durous Mbalimbali kupitia chanel yetu @wajawemaonlineTv
ili kuwa wakwanza kufaidika Usisahau ku subscribe ku like ku share pamoja na kutia maoni yako chini ya Video hii Ahsant
____

Пікірлер: 39

  • @jumasalim6126
    @jumasalim6126

    Hapa hatukupata elimu tumeona ni chuki zenu tu hujatupa elimu kama umetiwa ndani kwamakosa sio kuonewa.

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582

    Shkh Abulfadhil na mfano wako nawanasihi mudeal na watu waliopinda km wale makhurafi hawa wengine watulizeni kwanza maake kila nikitizama naona nyote ni wana sunnah ispokuwa mmekhtilafiana kwa machache tu msichukiane kwa ajili ya mambo yasiyo na msingi ktk dini....Wallahu almusta'añ

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman1300

    Nyinyi nyote nimahizbi ila tofauti mmetofautiyana ktk maslahi yenu ya kiduniya sasa mwatuleteya zahazaha mara mbuzi mara tende daawah mmeiweka pembeni

  • @MaarufuHussein
    @MaarufuHusseinСағат бұрын

    Mkweli na muongo mjuzi wake ni Allah. Tufanyeni ibada inshaallah!! Masheikh zetu, tufundisheni dini, kila mmoja atabeba mzigo wake

  • @allysalimu338
    @allysalimu338

    Barahiyani, na weye wote ni wasunnah elimishani watu wajee.. katika din ya allah sikupingana na kuhikhtilafiana niny kwa ninyi.

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y

    Kwa ufupi hamuwezi kumuangusha bahahiyani

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315

    ,na kudhulumu haki za waislam kavuka mpaka na kuwadhulumu yatima na mama yao na 😅Bibi yao meneja nae kajenga gorofa mali ya yatima allah Karim atawalipia hapa duniani kesho akhera inshaallah

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464

    Sasa vita vinawarudi nyinyi kwa nyinyi baada ya kuingilia twariqa sasa mandondi baina yenu . Vita bado mbichi 😂😂😂😂😂

  • @DaniDani-v3w
    @DaniDani-v3w14 сағат бұрын

    Hatakama wakimaliza tofauti zao ndo sheh kasim anyamaze asiseme haki tafautisha tafauti zao na kuchezewa dini

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536221 күн бұрын

    Upigaji kama upigaji kwa mgongo wa salafi salih

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595

    Nimeipenda

  • @bakarfaki-vb8kv
    @bakarfaki-vb8kv

    Nyinyi nyote Muna tofauti zenu jaribuni kuondosha musiishi kwa aman na si chuki….

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241

    Sjapata Friday yyte zaidi ya mipasho na hasadi

  • @CalvinVenance
    @CalvinVenance

    Nabado

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h

    Nyie ndio wanabaishaji

  • @HalidiMzee-xd2yl
    @HalidiMzee-xd2yl

    Hizi mbona za zamani

  • @jamalabdullahi6575
    @jamalabdullahi6575

    Sheikh hivi akuna unachoweza kuzungumza isipokuwa kuingilia watu mpaka wameingilia al Habib Umar wale maulama ambaye Allah kawapa utuku na wapendwa na ulimwengu we ingilia watu naona umekosa kazi sheikh

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tqКүн бұрын

    Kassim mafuta huna jipya mipasho na Matusi

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852

    Kulaneni nyinyi kwa nyinyi

  • @abdisalumfadhil117
    @abdisalumfadhil1172 сағат бұрын

    acheni basi kuchafuana bainisheni haki tu (acheni kuzungumzia mtu binafsi)

Келесі