RAADD KWA MUDILU WA ANSWAR SUNNAH SALIMU BARAHIYANI |Sheikh Qasim Mafuta
Sheikh Abul Fadhli Kassim Mafuta Kassim
______________
Pata faida kwa kuskiliza Durous Mbalimbali kupitia chanel yetu @wajawemaonlineTv
ili kuwa wakwanza kufaidika Usisahau ku subscribe ku like ku share pamoja na kutia maoni yako chini ya Video hii Ahsant
____
Пікірлер: 39
Hapa hatukupata elimu tumeona ni chuki zenu tu hujatupa elimu kama umetiwa ndani kwamakosa sio kuonewa.
Shkh Abulfadhil na mfano wako nawanasihi mudeal na watu waliopinda km wale makhurafi hawa wengine watulizeni kwanza maake kila nikitizama naona nyote ni wana sunnah ispokuwa mmekhtilafiana kwa machache tu msichukiane kwa ajili ya mambo yasiyo na msingi ktk dini....Wallahu almusta'añ
Nyinyi nyote nimahizbi ila tofauti mmetofautiyana ktk maslahi yenu ya kiduniya sasa mwatuleteya zahazaha mara mbuzi mara tende daawah mmeiweka pembeni
Mkweli na muongo mjuzi wake ni Allah. Tufanyeni ibada inshaallah!! Masheikh zetu, tufundisheni dini, kila mmoja atabeba mzigo wake
Barahiyani, na weye wote ni wasunnah elimishani watu wajee.. katika din ya allah sikupingana na kuhikhtilafiana niny kwa ninyi.
Kwa ufupi hamuwezi kumuangusha bahahiyani
,na kudhulumu haki za waislam kavuka mpaka na kuwadhulumu yatima na mama yao na 😅Bibi yao meneja nae kajenga gorofa mali ya yatima allah Karim atawalipia hapa duniani kesho akhera inshaallah
Sasa vita vinawarudi nyinyi kwa nyinyi baada ya kuingilia twariqa sasa mandondi baina yenu . Vita bado mbichi 😂😂😂😂😂
Hatakama wakimaliza tofauti zao ndo sheh kasim anyamaze asiseme haki tafautisha tafauti zao na kuchezewa dini
Upigaji kama upigaji kwa mgongo wa salafi salih
Nimeipenda
Nyinyi nyote Muna tofauti zenu jaribuni kuondosha musiishi kwa aman na si chuki….
Sjapata Friday yyte zaidi ya mipasho na hasadi
Nabado
Nyie ndio wanabaishaji
Hizi mbona za zamani
Sheikh hivi akuna unachoweza kuzungumza isipokuwa kuingilia watu mpaka wameingilia al Habib Umar wale maulama ambaye Allah kawapa utuku na wapendwa na ulimwengu we ingilia watu naona umekosa kazi sheikh
Kassim mafuta huna jipya mipasho na Matusi
Kulaneni nyinyi kwa nyinyi
acheni basi kuchafuana bainisheni haki tu (acheni kuzungumzia mtu binafsi)