Hii ndio TABLIGHI na daawa yao.

" Hatusemi haya kwa kuwadhulumu ndugu zetu bali tunawahurumia wao kutozidhulumu nafsi zao. "

Пікірлер: 29

  • @user-wr5zi4wc4z
    @user-wr5zi4wc4z5 ай бұрын

    Namuomba Allah akuhifadh sheikh..

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo5 ай бұрын

    Pia nakupenda ya sheikh.....allah akubarik

  • @20y556
    @20y5564 ай бұрын

    Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu wenye manufaa, uendelee kuwafungua watu ufahamu.

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo5 ай бұрын

    Ewe Allah....mbariki huyu sheikh....mkinge huyu shaikh....anaongea ukwel......tunanufaika san alhamdulillah

  • @JumaabedNzota

    @JumaabedNzota

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @abdulhakeem8897

    @abdulhakeem8897

    4 ай бұрын

    Ameen

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @mohamedalkhaify563

    @mohamedalkhaify563

    4 ай бұрын

    Aamin Yaa Rabb

  • @mohamedkuchengo9477

    @mohamedkuchengo9477

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @user-ep7jw8gt5i
    @user-ep7jw8gt5i5 ай бұрын

    Allah akuhifadh shekhe Abuu fadhil

  • @JumaabedNzota
    @JumaabedNzota4 ай бұрын

    ALLAH akuhifadhi shekhe wetu JazaakaNLLAH khayrah

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz
    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz4 ай бұрын

    Allah akuhifadhi hata kwa kiumri yaa shaikhanal fadhil

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Huku kenya vijiji vyingi tumewaongoza katika shirk tukawatia katika‍Tawhiid na mimi binasfsi Nimekuwa sababu ya kuozesha ndoa zaidi ya Ishirini na walikuwa wakizini

  • @msabahaali758
    @msabahaali7584 ай бұрын

    sheikh Allah akupe afya siha

  • @theCashmanier
    @theCashmanier4 ай бұрын

    Allahu Akbar hii Audio niliisikia kitambo na ndo ilinipelekea kuachana na Jamaat Tabligh. Na kuanza kuijua Dawat Salafiyah.

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Moshi uliingizia maneno ambayo hayapo kwenye muntakhab kwamba kuna mambo ya kaburi na hayo hayakuandikwa na wasomi wapo wengi kwa daawa mimi mmoja nasomesha usuulu thathala, Ahkamuu tajweed n.k katika msikiti wangu na wote wanaokaa ni Tabligh

  • @somosomo4860
    @somosomo48604 ай бұрын

    Heri wamarekani kuliko wasaudia Hawa wasaudia ndie walimkimbiza Mtume S.A.W.

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Mimi ni mmoja katika Tabligh na msikiti wangu nimeweka ukuta kutofautisha baina ya ukuta na kaburi pili tuko na halaqaat za kiilimu tatu kila mwezi twaenda vijiji jirani kwa daawa kisha lengo la kutoka ni tahriikul Imaan ili kile utakichokissoma ukilete kivitendo ucha mungu na Ilmu ni vitu viwili tofauti leo kina wasomi walevi, wazinifu, waizi n.k kwa hivyo kusoma si kila kitu kwa mazoezi ya kimazingira ya msikiti kukaa mda mrefu kuskiza Ilmul fadhwail na Ilmul Haal

  • @Swafhatul_Iymaan

    @Swafhatul_Iymaan

    3 ай бұрын

    Kwa Maana yako Mtu aweza Kuwa Mchamungu Bila Elimu??

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Malizia aya je Hamzingatii n Aya nyengine wanapoulizwa nani Ameumba mbigu na ... wasema ni Allah Allah hayo ni mazingatio kwa wanao Amini mwisho wa Ayah si makafikiri hawana mazingatio Ibn Baaz asema kuamrisha mema ni kw Aam kama hajui kutawadha waambiwa mpeleke kwa Imaam musome nyote

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Sasa moshi sokoni kuna mitihani mingi sana ya kiiman na hujawahawi kutembelea wala wanafunzi hawaendi

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Alafu misikiti yote ina Maimamu ukimchukua mtu na hajui kuswali muhusishe Imaamu wa msikiti mujifunze nyote ndivyo wanazofundishwa

  • @Swafhatul_Iymaan

    @Swafhatul_Iymaan

    3 ай бұрын

    Tablighi Haijaanza Jana Twaijua zaidi ya Miaka 20 Sidhani kama Kuna Jipya Utakaloliongea ambalo halijulikani!

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed48493 ай бұрын

    Utaratibu wote uko kwenye kitabu na sunnah kasome hayaatu swahaba ya muhamad yusuf iliyofanyiwa Tahqiiq na Albaany soma mujaladaat zote tatu sio juu juu

  • @somosomo4860
    @somosomo48604 ай бұрын

    Tablik ni kazi wa ambiaa na mitume woote walipotumwa na Allah.na zinaenea duniani licha za kuzuiliwa na wasomi wa elimu wa juu.naeleme za mashekhe zinabaki kwa mimbra. Wasomi wa elemu endeleeni kukaa kwa mimbr na kuwatukana watu wa mwalidi na watu daawa na bida.tablig na mwalidi zitaendelea licha vileumedai hawana elimu.

  • @omarmohammed2697

    @omarmohammed2697

    4 ай бұрын

    😂 zero brain

Келесі