ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKULINDE YA SHEIKH BARAHIYAN UMEFANYA KAZI KUBWA SANAA YA KUILINDA SUNNA TANZANIA
@omarynamkape-cg8qx
Жыл бұрын
Kongore shkhBarHyan
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Shekhe barahyani umefanya kazi kubwa hapa tz kulingania sunnah tz allah atakulipa kheri nyingi sana na akusamehe makosa yako hiyo ndo hakki kwa mwenye kutaka sunnah.kwa mwenye kutaka matamanio ya nafsi na ghuruu ndo atajiunga na chama cha majadida ila ukitaka sunnah ni kwa maansari sunnah hata shekhe fawzan alieleza katika fatuwa yake aloulizwa kuwa ansar sunnah ndo jumuiya pekee iliyobaki duniani kulingania hakki na man hajji salimu wenzetu hawa ujiita salafi lakini fatuwa za wanazuoni zawqtupa mbali kule pmj na ria zao zote
@BAHATIJUMANNE-h1m12 күн бұрын
Mti wenye matunda siki zote ndo upigwa mawe ivo babu allah akujalie na yupo nawe ener time
@user-zz9bj1wh5i2 ай бұрын
Sufi huyo asisikilizwe
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ata mtume aliambiwa na washirikina asisikiizwe huyo na akasikilizwa na hawo hawo washirikina na wakasilimu sisi huwezi kutuzuia kusikiliza mtu tutajuaje hakki bila kuskiliza pande mbili zote, et suffi barahyan kaanza dawa ya sunnah huenda ww na shekhe wenu mafuta ya taa huyo Ana piga matwari maulid tamta hapo we vip na kikundi chenu hiko cha ujadida chama cha walotupa mikapaka kuielewa sunnah
@OmariirigoHoseniomari2 ай бұрын
Barahian mbona hatukuelewi
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Mtamuelewa tuu siku na chama chenu kilicho jinasibisha na usalafi hiko mnavyoshambuliana wenyew kwa wenyew mtamuelewa barahyan ni nani
@mzeemwinyihassan97743 ай бұрын
Wewe shekhe wacha kutafuta kiki huna elimu sawa na Nassor bachu hivi unaelimu gani ya kumkosoa imani shafii
@abunusrat3016 Жыл бұрын
Allaah akuongoze Mzee Barahiyani. Badala ya kurudi nyuma na kutubia yale uliofanya, wajipa moyo na kuzidi kupinda. Huna hoja za kielimu. La zaidi unatafuta wingi na genge kuwa na wewe. Kitabu kimejibiwa kwa ufasaha wa hali ya juu. Hoja zote zako za uwongo zilibainishwa na kubatilishwa. Mzee wacha kujipa moyo. Wacha Uhizbiyah Rudi katika Sunnah.
@solomonadams633711 ай бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿nyinyi Masheikh jaribuni sana kumtizama huyu Kassim Mafuta anajaribu kuwagawa Waislam hatari sana...Waislam tusikubali kugaiwa kwa nini huyu Mafuta anapenda kuwaita Waislam wenzake hidhibi¿
@husseinismail7333Ай бұрын
Mzee wakuhimiza watu kulambana nakunyonyana nakudai nisunna! Bila aya wala hadithi.
@abdurazaqiamisi14633 ай бұрын
Watu wa fitina mnapambana wenyewe kwa wenyewe
@aishauwimana276511 ай бұрын
Wenye akili tunasikiliza hatuna Taassub
@dasufurniture Жыл бұрын
Umehimiza jambo kubwa saana sheikh,kwamba vijana tusome sheri,kuliko kujazwa jazba na itikadi za kuwadhalilisha mashekh ,ambao wamejitolea muda mwingi kuitangaza sunna
@abdulmalicktvabdulmalicktv37504 ай бұрын
Mhhhh mwwaaaanza kukosoana wenyew sasa
@AbdullahmuhammadIddy4 күн бұрын
Wewe bado hujaujua usalafiy
@hassankagoma58 Жыл бұрын
Mzee huyu Allah amuongoze yaan BAYAN zote za kuhusiana na ufafanuzi wa manhaji ya assalaf na kuwa HAKUNA USALAFIYA JADIIDA NA MANENO HAYO NI POROJO KUTOKA KWAO SI KWA WANAWACHUON WA AHAL SUNNATU WAL JAMAA ILA BADO ANANG'ANG'ANA Subhaana Allah......
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Mbona nyie hamsikiii bayan anazozitowa yy Mnatakwa msikilizwe nyie tu
@Zainabnoor0087-ze
3 ай бұрын
Wakati shk barahiyan anahangaika kukumbusha Sunnah, huyo mufti wa pongwe alikua anaimba kasida tamta hana jipya
@Zainabnoor0087-ze
3 ай бұрын
Uzee si hoja, hata Nassirdin Albani sheikh Kabir, alikuwa mzee, majadida hamna jipya
@saidymponda1387
Ай бұрын
Mzee tubia kwa Allah acha njaaa
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ujadida upo na aloubainisha ni mwanazuoni shekhe Abubakary zaid kazungumzia hilo neno la ujadida wala so barahyani yey kanukuu
Ata ww utaulizwa kwakule kumzulia shekhe nwe pia muogope Allah na epukeni zana
@leonardmbonea42911 ай бұрын
Kafie mbali lizee la bidaa
@allymkangajela7232 Жыл бұрын
Mzee barayahiyan Allah akuongoze kwanza kwa kuitetea sunna, watu tulikuwa tunakula riba, pesa za kamari, arobaini na mayatima.. Allah akupe afya njema na uendelee kutupa da'awa
@ZuhraMiraji Жыл бұрын
Tubia Kwa mola wako wewe mzee Kifo chaja
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
We janajike kapige uko
@IjumaaShabani
Жыл бұрын
Sheikh saalim yupo sahihi kabisa majadida acheni ujinga
@BaroaniMasanga17 күн бұрын
Tubia wewe mzee
@ibrahimseif7742 Жыл бұрын
Assalam aleykum kitabu kina itwaje
@shiumatangaonlinetv6190
Жыл бұрын
Ni upi usalafiyah jadida ?
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Usiseme kitabu unakosea adabu nafasi ya elimu
@saidimadzumba2266
Жыл бұрын
Mzee wetu uko sawa! Hawana hoja Allah akupe lila kheri!
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
ACHA POROJO ZA KUWASHAMBULIA MASUFI, KAMA AMEKUSHIMDENI HOJA MAFUTA BASI PAMBANENI NA HALI ZENU☹️
@jumakitato42486 ай бұрын
Wewe bora unyamaze tu manake unaongea pumba tu
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Hata mtume aliambiwa na makafiri unaongea pumba ukweli ndo huo kama ww jadida vuumilia sindano zikuchome
@assaneanli2625 Жыл бұрын
Thats not Dawah, it's business, Sheikh Qassimo and other Masheikh of Salafya we only know them for the dawah of Haq they do. So we don't worry about your lake of knowledge.
@adamh1751
Жыл бұрын
100%
@adamh1751
Жыл бұрын
@@allymomoya2615 and you?
@Modyb
Жыл бұрын
Their noise does not change the fact that Sh. Qassim and his brothers are upon Haqq while the bunch wallows into oblivion.
@Modyb
Жыл бұрын
@Ally Momoya who verified and can you mention a few on Sh. Qassim, do not speak just for the sake of speaking because one day you will be standing before Allah for this.
@Modyb
Жыл бұрын
@Ally Momoya the issue of an organization has been addressed by scholars.. due to circumstances I am sure you must be having some information about this. 2. Who are the Islamic scholars he insulted? because i have known him a person with high regard when it comes to true Scholars or Sunnah
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Naomba nyie online tv mnisaidie kukipata kitabu cha " ni upi usalafia jadida* ntakipataje
@mohamedabdul20453 ай бұрын
Mfanyabiashara ww huna lolote,.
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Alikuuza ww kwa watumwa nini mpk useme mfanya biashara vumilia tuu kama ww ni jadida tulia sindano ziwaingie ukweli ndo huo
@aminaosman3315 Жыл бұрын
,ansar😢kampuni ya wayemeni wengine vikanzu vifupi ñdevu wenza mamilionea
@RamadhaniShembillu
3 ай бұрын
Wewe ni mpumbavu huna ujualo. Wajua kukata maunotu kwenye maulid
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Huyu mjinga kweli kanzu fupi aloamrisha kuvaa ni nani na wakwanza kuvaa ni nani kumbe hamumsomi mtume mkamjuwa kazi yenu kuwaza maulidi tuu akili zenu ndo zilipo lala daah! Et una kejeli sunnah ya mtume ndevu au kanzu wakwanza kufanya mtume ssa ww mwenzetu wamfata nani?
@subulus_salaam2023 Жыл бұрын
Mahizbi(Barahyani na genge lake) hao wanadai usalafi lakini hawaufaham isipokuwa kufuata yao matamanio ya nafsi.
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Haswaaaa
@seifnassor3729
Жыл бұрын
Kwanini usalafi usieleweke kwa mtu anayefuata mafundisho ya Mtume (SwallAllaahu alayhi wasallam) na Sunnah za khulafaaur raashidiin na aqwaal za maswahaba?
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Mahizbi ninyi majadida si mmetka katika usalafi wa kweli. Na kuanzisha kikunndi chenu kama chama kinachopendana wenyew kwa wenyew wakajipa pepo duniani nakuona wenzao so masalafi kumbe usalafi so kujiita katika jina tuu bali jinasibishe kimatendo ndo mtakuwa masalafi wa kweli wjiita salafi huku uku daawa yako inapasuwa safu za ahlsunnah na kujitukuza masalafi walikuwa wachamungu hawwkujitukuza kama majadida ninyi kazi yenu kutowa watu katika dinni man hajji ya sunnah hio halikufanywa na salafu swalehe kama kikundi cha wanachama fulani hapo tutawwkubalia ila so salafi ni chama cha majadida
@abukassim5645 Жыл бұрын
Mzee tafuta haki wacha kupotosha watu umeri wako unakuchenga
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ninyi majadida ndo mtafdute hakki na hilo pote lenu la fitina kujitia usalafi usalafi uko mbali na nyie kabisa chama tuu hiko kilichojificha kwenye mwavuli wa sunnah lakin mpi katika mapote kama mengine tyuu sshkhe yupo sawa
@mohamedmasanga913411 ай бұрын
Kumbe kufuata kauli ya sheikh inaruhusiwa kwa masalafi? Na haifai kufuata kauli ya sheikh kwa wanaoitwa watu wa bidaa?
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ww mtu wa bidaa tuubia kwani uache bidaa zako uje katika sunnah
@allyally4228 Жыл бұрын
Hii ni daawa au qahwa
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Hii ndio qahwa yenyewe hii
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Dhihakka haizuilii kufikisha hakki ukweli ndo huo ninyi majadida New salafi.
@mohamedabdul20453 ай бұрын
Million 200 za moshi umepeleka wap?rudisha million 200 kwanza
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Un uwakika na ushahidi epukeni zana hakika zana ni dhambi
@mohamedabdul2045
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ewe unataka uhakika gan?
@abdallahmsham-eb7jz Жыл бұрын
mimi namuunga mkono Muhammed bachu yupo Sawa kabisa
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Mawahhabi mna kazi siku ya Kiama. Mnazozana mno kwa nini wakati nyie wote ni Mawahhabi?
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Ndio asili ya fitna ilivyo ukiianzisha lazima ikurudie. Huyu Barahiyan ni fitna kubwa sana na kwa kiasi flan ni source ya fitna. Kwahiyo sasa inamrudia. Allah atunusuru
@allymahaba3425
Жыл бұрын
Subhaanallah!
@EsharHassan-hr4ug
7 ай бұрын
Vijana wa siku hizi hawana elimu wana mihemko tu dini imevamiwa huyu mzee kafanya kazi kubwa sana tangia miaka ya 92 nikiwa pale tamta huyu mzee kapambania suna sana c wakutukanwa na vijana ambao hata hawafahamu historia ya huyu mzee ,Allah akulinde shekh
@nasraathumani2987
3 ай бұрын
Zdi kupambana
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Siku zote anaeanza kushambulia mwenzie Ana makosa ane jitetea hana makosa Hawa wanaojiita salafi wameleta fitna kubwa sana katk safu za ahlsunnah kujidai wao ndo wameongoka kuliko wenzao wao peke yao ndo watu wa sunnah kumbe amna lolote ni kikundi kilichoibuka ndani ya safu za ahlsunnah zikaleta fitna kubwa ulimwenguni wao kila mtu wamtoa katika man hajji so salafi ni potte kikilo karibbu na hakki lakini lakini vitendo vyao havitofautini na mapote mengine
Пікірлер: 84
ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKULINDE YA SHEIKH BARAHIYAN UMEFANYA KAZI KUBWA SANAA YA KUILINDA SUNNA TANZANIA
@omarynamkape-cg8qx
Жыл бұрын
Kongore shkhBarHyan
Shekhe barahyani umefanya kazi kubwa hapa tz kulingania sunnah tz allah atakulipa kheri nyingi sana na akusamehe makosa yako hiyo ndo hakki kwa mwenye kutaka sunnah.kwa mwenye kutaka matamanio ya nafsi na ghuruu ndo atajiunga na chama cha majadida ila ukitaka sunnah ni kwa maansari sunnah hata shekhe fawzan alieleza katika fatuwa yake aloulizwa kuwa ansar sunnah ndo jumuiya pekee iliyobaki duniani kulingania hakki na man hajji salimu wenzetu hawa ujiita salafi lakini fatuwa za wanazuoni zawqtupa mbali kule pmj na ria zao zote
Mti wenye matunda siki zote ndo upigwa mawe ivo babu allah akujalie na yupo nawe ener time
Sufi huyo asisikilizwe
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ata mtume aliambiwa na washirikina asisikiizwe huyo na akasikilizwa na hawo hawo washirikina na wakasilimu sisi huwezi kutuzuia kusikiliza mtu tutajuaje hakki bila kuskiliza pande mbili zote, et suffi barahyan kaanza dawa ya sunnah huenda ww na shekhe wenu mafuta ya taa huyo Ana piga matwari maulid tamta hapo we vip na kikundi chenu hiko cha ujadida chama cha walotupa mikapaka kuielewa sunnah
Barahian mbona hatukuelewi
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Mtamuelewa tuu siku na chama chenu kilicho jinasibisha na usalafi hiko mnavyoshambuliana wenyew kwa wenyew mtamuelewa barahyan ni nani
Wewe shekhe wacha kutafuta kiki huna elimu sawa na Nassor bachu hivi unaelimu gani ya kumkosoa imani shafii
Allaah akuongoze Mzee Barahiyani. Badala ya kurudi nyuma na kutubia yale uliofanya, wajipa moyo na kuzidi kupinda. Huna hoja za kielimu. La zaidi unatafuta wingi na genge kuwa na wewe. Kitabu kimejibiwa kwa ufasaha wa hali ya juu. Hoja zote zako za uwongo zilibainishwa na kubatilishwa. Mzee wacha kujipa moyo. Wacha Uhizbiyah Rudi katika Sunnah.
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿nyinyi Masheikh jaribuni sana kumtizama huyu Kassim Mafuta anajaribu kuwagawa Waislam hatari sana...Waislam tusikubali kugaiwa kwa nini huyu Mafuta anapenda kuwaita Waislam wenzake hidhibi¿
Mzee wakuhimiza watu kulambana nakunyonyana nakudai nisunna! Bila aya wala hadithi.
Watu wa fitina mnapambana wenyewe kwa wenyewe
Wenye akili tunasikiliza hatuna Taassub
Umehimiza jambo kubwa saana sheikh,kwamba vijana tusome sheri,kuliko kujazwa jazba na itikadi za kuwadhalilisha mashekh ,ambao wamejitolea muda mwingi kuitangaza sunna
Mhhhh mwwaaaanza kukosoana wenyew sasa
Wewe bado hujaujua usalafiy
Mzee huyu Allah amuongoze yaan BAYAN zote za kuhusiana na ufafanuzi wa manhaji ya assalaf na kuwa HAKUNA USALAFIYA JADIIDA NA MANENO HAYO NI POROJO KUTOKA KWAO SI KWA WANAWACHUON WA AHAL SUNNATU WAL JAMAA ILA BADO ANANG'ANG'ANA Subhaana Allah......
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Mbona nyie hamsikiii bayan anazozitowa yy Mnatakwa msikilizwe nyie tu
@Zainabnoor0087-ze
3 ай бұрын
Wakati shk barahiyan anahangaika kukumbusha Sunnah, huyo mufti wa pongwe alikua anaimba kasida tamta hana jipya
@Zainabnoor0087-ze
3 ай бұрын
Uzee si hoja, hata Nassirdin Albani sheikh Kabir, alikuwa mzee, majadida hamna jipya
@saidymponda1387
Ай бұрын
Mzee tubia kwa Allah acha njaaa
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ujadida upo na aloubainisha ni mwanazuoni shekhe Abubakary zaid kazungumzia hilo neno la ujadida wala so barahyani yey kanukuu
Mzee muongoo
Umepotea
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Shekhe barahyan yupo katika hakki ninyi majadida ndo mmepotea kudai usalafi kumbe amna usalafi wowote ule ria tuu
Asalam aleykum..kitabu na mm nakipaje
,Rudisha haki za mayatima muogope mola wako
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ata ww utaulizwa kwakule kumzulia shekhe nwe pia muogope Allah na epukeni zana
Kafie mbali lizee la bidaa
Mzee barayahiyan Allah akuongoze kwanza kwa kuitetea sunna, watu tulikuwa tunakula riba, pesa za kamari, arobaini na mayatima.. Allah akupe afya njema na uendelee kutupa da'awa
Tubia Kwa mola wako wewe mzee Kifo chaja
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
We janajike kapige uko
@IjumaaShabani
Жыл бұрын
Sheikh saalim yupo sahihi kabisa majadida acheni ujinga
Tubia wewe mzee
Assalam aleykum kitabu kina itwaje
@shiumatangaonlinetv6190
Жыл бұрын
Ni upi usalafiyah jadida ?
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Usiseme kitabu unakosea adabu nafasi ya elimu
@saidimadzumba2266
Жыл бұрын
Mzee wetu uko sawa! Hawana hoja Allah akupe lila kheri!
ACHA POROJO ZA KUWASHAMBULIA MASUFI, KAMA AMEKUSHIMDENI HOJA MAFUTA BASI PAMBANENI NA HALI ZENU☹️
Wewe bora unyamaze tu manake unaongea pumba tu
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Hata mtume aliambiwa na makafiri unaongea pumba ukweli ndo huo kama ww jadida vuumilia sindano zikuchome
Thats not Dawah, it's business, Sheikh Qassimo and other Masheikh of Salafya we only know them for the dawah of Haq they do. So we don't worry about your lake of knowledge.
@adamh1751
Жыл бұрын
100%
@adamh1751
Жыл бұрын
@@allymomoya2615 and you?
@Modyb
Жыл бұрын
Their noise does not change the fact that Sh. Qassim and his brothers are upon Haqq while the bunch wallows into oblivion.
@Modyb
Жыл бұрын
@Ally Momoya who verified and can you mention a few on Sh. Qassim, do not speak just for the sake of speaking because one day you will be standing before Allah for this.
@Modyb
Жыл бұрын
@Ally Momoya the issue of an organization has been addressed by scholars.. due to circumstances I am sure you must be having some information about this. 2. Who are the Islamic scholars he insulted? because i have known him a person with high regard when it comes to true Scholars or Sunnah
Naomba nyie online tv mnisaidie kukipata kitabu cha " ni upi usalafia jadida* ntakipataje
Mfanyabiashara ww huna lolote,.
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Alikuuza ww kwa watumwa nini mpk useme mfanya biashara vumilia tuu kama ww ni jadida tulia sindano ziwaingie ukweli ndo huo
,ansar😢kampuni ya wayemeni wengine vikanzu vifupi ñdevu wenza mamilionea
@RamadhaniShembillu
3 ай бұрын
Wewe ni mpumbavu huna ujualo. Wajua kukata maunotu kwenye maulid
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Huyu mjinga kweli kanzu fupi aloamrisha kuvaa ni nani na wakwanza kuvaa ni nani kumbe hamumsomi mtume mkamjuwa kazi yenu kuwaza maulidi tuu akili zenu ndo zilipo lala daah! Et una kejeli sunnah ya mtume ndevu au kanzu wakwanza kufanya mtume ssa ww mwenzetu wamfata nani?
Mahizbi(Barahyani na genge lake) hao wanadai usalafi lakini hawaufaham isipokuwa kufuata yao matamanio ya nafsi.
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Haswaaaa
@seifnassor3729
Жыл бұрын
Kwanini usalafi usieleweke kwa mtu anayefuata mafundisho ya Mtume (SwallAllaahu alayhi wasallam) na Sunnah za khulafaaur raashidiin na aqwaal za maswahaba?
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Mahizbi ninyi majadida si mmetka katika usalafi wa kweli. Na kuanzisha kikunndi chenu kama chama kinachopendana wenyew kwa wenyew wakajipa pepo duniani nakuona wenzao so masalafi kumbe usalafi so kujiita katika jina tuu bali jinasibishe kimatendo ndo mtakuwa masalafi wa kweli wjiita salafi huku uku daawa yako inapasuwa safu za ahlsunnah na kujitukuza masalafi walikuwa wachamungu hawwkujitukuza kama majadida ninyi kazi yenu kutowa watu katika dinni man hajji ya sunnah hio halikufanywa na salafu swalehe kama kikundi cha wanachama fulani hapo tutawwkubalia ila so salafi ni chama cha majadida
Mzee tafuta haki wacha kupotosha watu umeri wako unakuchenga
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ninyi majadida ndo mtafdute hakki na hilo pote lenu la fitina kujitia usalafi usalafi uko mbali na nyie kabisa chama tuu hiko kilichojificha kwenye mwavuli wa sunnah lakin mpi katika mapote kama mengine tyuu sshkhe yupo sawa
Kumbe kufuata kauli ya sheikh inaruhusiwa kwa masalafi? Na haifai kufuata kauli ya sheikh kwa wanaoitwa watu wa bidaa?
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Ww mtu wa bidaa tuubia kwani uache bidaa zako uje katika sunnah
Hii ni daawa au qahwa
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Hii ndio qahwa yenyewe hii
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Dhihakka haizuilii kufikisha hakki ukweli ndo huo ninyi majadida New salafi.
Million 200 za moshi umepeleka wap?rudisha million 200 kwanza
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Un uwakika na ushahidi epukeni zana hakika zana ni dhambi
@mohamedabdul2045
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ewe unataka uhakika gan?
mimi namuunga mkono Muhammed bachu yupo Sawa kabisa
Mawahhabi mna kazi siku ya Kiama. Mnazozana mno kwa nini wakati nyie wote ni Mawahhabi?
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Ndio asili ya fitna ilivyo ukiianzisha lazima ikurudie. Huyu Barahiyan ni fitna kubwa sana na kwa kiasi flan ni source ya fitna. Kwahiyo sasa inamrudia. Allah atunusuru
@allymahaba3425
Жыл бұрын
Subhaanallah!
@EsharHassan-hr4ug
7 ай бұрын
Vijana wa siku hizi hawana elimu wana mihemko tu dini imevamiwa huyu mzee kafanya kazi kubwa sana tangia miaka ya 92 nikiwa pale tamta huyu mzee kapambania suna sana c wakutukanwa na vijana ambao hata hawafahamu historia ya huyu mzee ,Allah akulinde shekh
@nasraathumani2987
3 ай бұрын
Zdi kupambana
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Siku zote anaeanza kushambulia mwenzie Ana makosa ane jitetea hana makosa Hawa wanaojiita salafi wameleta fitna kubwa sana katk safu za ahlsunnah kujidai wao ndo wameongoka kuliko wenzao wao peke yao ndo watu wa sunnah kumbe amna lolote ni kikundi kilichoibuka ndani ya safu za ahlsunnah zikaleta fitna kubwa ulimwenguni wao kila mtu wamtoa katika man hajji so salafi ni potte kikilo karibbu na hakki lakini lakini vitendo vyao havitofautini na mapote mengine