MSIMAMO WETU NIKUA MASHIA SIYO WAISLAMU

Пікірлер: 159

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын

    YAA Rabbi hawo mashia kwelii kwa hayo wanayoyatamka sio waislaam,izo laana Zao wanaowalaani vipenzi WA MTUME na Mwenyezi Mungu ziwarudie wenyewe na waingie wenyewe motoni Allahumma Amiin Yaa Rabbi

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Жыл бұрын

    MashaAllah! Sheikh ! Umeongea Clear umeweka mambo wazi. Asietaka kuelewa hiari yake na shida zake .

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Жыл бұрын

    MashaAllah mmenielimisha sikuwa najua mashia kuwa si waislamu asante sana Sheikh wetu

  • @shalbaonlinetv

    @shalbaonlinetv

    Жыл бұрын

    Ahsante kwa kua mwanafamilia wa Shalba Onlinetv, na tumefurahi kuona unafaidiaka na elimu sahihi ya kiislamu

  • @salmaseif5001

    @salmaseif5001

    Жыл бұрын

    Shekhe allah akupe umri mrefu na afya na akulindie vizazi vyako awaongoze katika njia ya kheri .nimekupenda sana kwa ajili ya allah .umenielewesha vizuri sana

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Жыл бұрын

    Masha Allah Ustaz.Ukweli usemwe.

  • @husseinomar4294
    @husseinomar429411 ай бұрын

    Shekh Allah akuhifadhi na akulipe kheyri inshaa allah umesema ukweli na ndiyo hivyo.

  • @HASSANMUSHI-fb5cm
    @HASSANMUSHI-fb5cm3 ай бұрын

    Maashaallah

  • @joshuaemanuelishoo7031
    @joshuaemanuelishoo7031 Жыл бұрын

    Allah awaifadhi ndug zangu wote Muslimini wallah nawapenda waislamu alisunna walijamaa watu wahaki wallah kwajili ya Allah mtukufu Shia ni waovu zaidi ya makafir yahudi manosaraa njia yao moji Allah awaangamize

  • @seifmussa9003

    @seifmussa9003

    2 күн бұрын

    Daah msiba ni mzito tumeingia mtego wa mayahudi..tumeshindwa kuwatetea ndugu zetu wapelstina wananyanyaswa waz waz ..wanadhulumiwa..tunatumia nguvu kufarikiana msiba ni mzito

  • @user-gy4ur4ze9s
    @user-gy4ur4ze9s3 ай бұрын

    Mashia hao sio waislamu kabisa Na kama kutakuwa na sheikh atawaunga mkono hawo bc ajuwe ajipange na chakumjibu Allah (SW) . Mungu tuepushe na watu hao wanaichezea Dini yako

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg9 ай бұрын

    Jazakumullwaahu ya mashukhaai Allah awahifadhi nyote Kwa msimamo huo

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5uАй бұрын

    Nyinyi mungu wapuuzi wakubwa amna ushehe wowote

  • @SherallyHussein-tu1nk

    @SherallyHussein-tu1nk

    Ай бұрын

    Lete HOJA. Acha kupaparuka. Sheikh kaleta ushahidi wa HOJA na DALILI za MADAI yake. Sasa WEWE Pinga Kwa kuleta Dalili na HOJA DHIDI ya MANENO yake.

  • @mohamedsheha-jz6hn
    @mohamedsheha-jz6hnАй бұрын

    Hao sio waislam

  • @FetymaaJuma
    @FetymaaJuma14 күн бұрын

    Tunajua mnao wateteA mashia melipwa visenti na mmenunuliwa sisi tunajua

  • @JAFARIHASSANI-dc3ed
    @JAFARIHASSANI-dc3ed3 ай бұрын

    Elim yk bd ndg saan wallah

  • @husseinomar4294
    @husseinomar429411 ай бұрын

    Astaghfilr llah mimi kwa kweli nimeshindwa kuwavumilia hao mashia wallah !

  • @MwamvuaJafari-fq4ku
    @MwamvuaJafari-fq4ku8 ай бұрын

    Mashaallah

  • @YogweMwakulola
    @YogweMwakulola2 ай бұрын

    Uyu hajui kitu

  • @user-zp3ki3cm8n

    @user-zp3ki3cm8n

    12 күн бұрын

    Sio useme hajui kitu toa fact kwanin hajui , ibua hoja

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy622819 күн бұрын

    kama kweli unajua nipe maisha ya aisha baada ya kifo cha mwahamad

  • @saidally9896
    @saidally9896 Жыл бұрын

    Mashia ni motoni

  • @swahabaninga
    @swahabaninga6 ай бұрын

    Maarifa yako NI madogo sana

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    MASHIA WAO KAZI YAO NI KUWADHALILISHA MASWABA WA MTUME NA WAKEZE MTUME!! ALLHA AWAVUNJE MIGONGO YAO!!

  • @MwamvuaJafari-fq4ku
    @MwamvuaJafari-fq4ku8 ай бұрын

    Nimekuele shekhe wanga

  • @swahabaninga
    @swahabaninga6 ай бұрын

    Wewe NI choko wa mtaani hujui chochote

  • @swahabaninga
    @swahabaninga6 ай бұрын

    Wewe ndo mchonganishi Sana

  • @imhotepheru436
    @imhotepheru436 Жыл бұрын

    Ingelikuwa vizuri sana uyu atoe ushaidi wa kitabu na namba ndio kila mtu akasome mwenywe

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Жыл бұрын

    Kwa nn wataka usome mwenyewe wakati hujui kitu? Wacha usomewe ndio utaelewa .ushahidi ni mwingi sana.

  • @salmalisu5017

    @salmalisu5017

    Жыл бұрын

    0ll

  • @yussufsaid8223

    @yussufsaid8223

    Жыл бұрын

    Si ametoa kitabu na no au

  • @imhotepheru436

    @imhotepheru436

    Жыл бұрын

    @@yussufsaid8223 please nisaidie na izo verses

  • @yahyaayoub4999

    @yahyaayoub4999

    Жыл бұрын

    Inaonekana hukusikiliza vizuri, kitabu amekieleza bado na video ameonyesha ya wanaofundishana shahada vyote hukuona?

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Жыл бұрын

    Acheni mambo hayo ni mipango ya makafiri tugombane kwanza umoja wa waislam hayo mengine hayana maana makafiri wametofautiana lakn wakitaka kupambana na waislam wanakuwa kitu kimoja nyny mnaenda kusoma Makkah na Makkah ni mmarekani na ndio maana Makkah ndio nchi inaongoza kupga vita nchi za kiislam baada Marekani

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    Жыл бұрын

    Chuki ni ugonjwa mbaya sana, sasa marekani ameingiaje hapa?

  • @MohamedAli-bn6ye

    @MohamedAli-bn6ye

    Жыл бұрын

    Sw we kasome china uje uwe shekhe mkubwa uje utuongoze Maana cjuw cjakusudia nn kuiponda nchi ambayo allah ameitukuza

  • @MohamedAli-bn6ye

    @MohamedAli-bn6ye

    Жыл бұрын

    Bora umulize ao hawataki kusoma alafu wanaropokwa mambo ya dini

  • @bahajjahmad647
    @bahajjahmad6474 ай бұрын

    Ustadh ninda ukasome naona hujakua n hoja

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    MASHIA WANACHUKI KUPITA KIASI KWA WAISLAM AHLUSUNNAH WALJAMAA KULIKO WANASWARA NA MAYAHUDI!! INGAWA USHIA UMETOKANA NA YAHUDI IBN SABAA!! ALLAH AWAVUNJE MIGONGO YAO!!

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Hakika makafir kwa Shahada hizi mitihan Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho wa dunia litazuka jeshi la maisih Dajali kabla kuja kwa Masih Dajali ndio hili la Mashia,Mtume Muhammad alitufunza dua ktk swala Wamin fitnat haiy wallmayta Wamin fitnat masih Dajali,Allah atujaliye khatima njema na kufa hali yakuwa waislamu

  • @athmanidi4879
    @athmanidi48798 ай бұрын

    Rudi Madarasa shehe.hujui hata tafsiri ya uislam

  • @muntadhwarhussein7800
    @muntadhwarhussein78008 ай бұрын

    Utofaut wa madhehebu mpaka watu wakakhtilafiana katika madhehebu tofaut tofaut sababu nimbili tu 1. Masuni wanasema mtume ameondoka Bila kuacha kiongozi msaidiz katika imma baada yake 2. Mashia wanaamini kua mtume hakuacha umma Bila kiongozi kwasababu mung amesema hatoacha ulimwengu bila kiongozi @ swali kwamwenye akili jiulize pia niulize msunni - wakati wanafanya kikao wanachagua kiongozi ulimwenguni muwakilishi wamtume alikua ninani? Kwakua mung kasema hawezi kuacha ulimwengu bila muwakilishi?

  • @muntadhwarhussein7800
    @muntadhwarhussein78008 ай бұрын

    Mtu kila akisimama kwenye mimbar huwa anaongea ukweli wengi wapo na propaganda zakidini tu ndio maana uislamu umeweka shart kusoma Sana kwasababu weng niwaongo

  • @officialrashrayz4140
    @officialrashrayz4140 Жыл бұрын

    Ila HUYU sheikh amezua mambo yake wallah, na siku ya mwisho atajibu juu ya huu uzushi wake. Mungu akusamehe tu

  • @swahabaninga
    @swahabaninga6 ай бұрын

    Wewe Rudi chuo

  • @muntadhwarhussein7800
    @muntadhwarhussein78008 ай бұрын

    Sisi ambao tunaamini kua kila anapozid kukashif mashia ndipo anapozid kua kuwafanya wawe wengi kwasababu sii kila mtu anaesikiliza nichiz au hawezi kusoma Kuna wengine waaakili na watafuatilia katika kuusoma ushia na kuwasoma nyie na atakuta ukweli ukowapi jaman tusomeni Sana hahahahaha Hawa mashekh wallah mung atawalaan

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 Жыл бұрын

    Rwechungra tulia km Moja huna unachokijua kwenye dini iliyoyakweli kafuge ngurue

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Жыл бұрын

    TAFADHALINI SANA WACHUKUWAJI KAMERA, JITAHIDINI MUMUEKE KWENYE PICHA MSEMAJI. NA SIO HAKI KUWEKA PICHA ZA WATU WENGI WALIOKUWA HAWAKUSEMA JAMBO KUHUSU HILO.

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    ndugu yangu nyie mnawachukuliaje Abubakar ra, Umar ra, Othman ra na Alli ra?? maanq mnakataa kuwa hamuwatukan ijapokua tunaona maandiko katika vitabu vyenu!!! sasa nataka kujua kwny vitabu vyenu mnawazungumziaje hawa mabwana

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    @@Yu-jr9uf suali zuri umewauliza. Lakini ukweli haswa ni mgumu mpaka wakae pande zote mbili yaani mshitaki na mshitakiwa ili tuujue ukweli kuliko kurushiana maneno huwa tunapata tabu waskilizaji. Propaganda hazitusaidii waislamu. Waislamu tunataka watu wakae wachuane kwa hoja mpaka paeleweke. Tutajua kuyapima mambo kwa njia hio. Wapo mashia wasuahili wanatukana mke wa Mtume saw nishawasikia. Bila shaka ndivyo walivyofunzwa. Lakini napenda mijadala ya kielimu kuliko kukurupuka.

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    @@hilalkhalfan1452 ndio ni vzur zaid km zitakaa pande mbili alafu hoja zijengwe na zijibiwe

  • @yahyaayoub4999

    @yahyaayoub4999

    Жыл бұрын

    Kwani amewaumbua? Si anatoa ushahidi wa kweli, msije mkasema amezusha

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    @@yahyaayoub4999 kwaio ukiiba wewe anafungwa babaako?

  • @SULEIMANMussin
    @SULEIMANMussin19 күн бұрын

    Aya gang ya quran iliyo taja madhehebu ila imetaja uislam wacheni kubaguana ikiwa waisla mnabaguana jee wakristo watasilimu mbona wakristo hawabaguani

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir392611 ай бұрын

    Na wakae na shahada yao

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Жыл бұрын

    Wewe abi abi hujielew vizuri,hiv unadhani Kuna yeyote anayemfikia kwa matendo mazur swahaba wa mtume hiv Sasa?

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa10 ай бұрын

    Mmmmmm sheikh hayo maneno mazito yalihitaji kila nukta uje na kitabu na sio kutaja kitabu utaje na juzu na utaje na ukurasa maana mmmm vitabu alivyovitaja nimevitafuta lakini sijaona chochote mfano umesema kuwa wanasema hakupaswa kuwa mtume lakini hukutaja kitabu chochote cha kishia kinachosema hayo maneno na umesema inamaana husipotaja kitabu yanakuwa ni maneno yako unawasingizia sio hivyo tu umesema wanatuhumu bibi Aisha lakini hukututajia kitabu chochote cha mashia chenye maneno hayo sheikh wangu kumbuka hukitoa maneno tu au ukataja kitabu ambacho ni cha kishia lakini ulichokisema hakimo unakuwa ni chachu ya kuwafanya wanaokusikiliza kuwa mashia maana wakikuta uliyoyasema hayamo tayari hawezi kukuamini sasa jiulize wasipomwamini shaikh wao watawamwamini nani jua watawamini hasiyekuwa shekhi wao tayari utachangia katika kuwafanya wawe mashia sheikh wangu sio kila anaekusikiliza anataka maneno yako hapana mwingine anataka hushahidi wa maneno yako hizi sio zama za kuja na makaratasi umeandika maneno hayo uliyokuwa unasena nahuku ukisema vitabu hivi ninavyo sheikh wangu sasa yanini kug'ag'ania kuandiki kwa mate nawino hupo nakuomba siku nyingine uje na vitabu hivyo utufunurie utuonyeshe maana kama mimi mfatiliaji unanipa wakati mgumu kufuatilia maneno ambayo siyakuti katika vitabu unavyovitaja sheikh wangu mbona unakuja na wanazuoni ambao hawategemewi katika dalili zako maana ktk kufuatia nimekuta mashia wenyewe hawawakubali yaani wanawakataa mpaka sasa naendelea kutafiti khutuba yako na kama umeona maneo haya basi nifuate wasapu unijibu maswali yangu maana sijapata majibu ya baadhi ya maneno uliyoyama

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Mimi siyo muislam lakini sifurahishwi kuona waislam wanagombana na kukashifiana

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    Жыл бұрын

    Mashia c waislam

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Жыл бұрын

    Sio kugombambana ila ni kuweka mambo clear. Hatuwezi kuwakumbatia ni ukafiri mkubwa. Wameyazua wenyewe hayapo ktk uislamu.

  • @swahabaninga
    @swahabaninga6 ай бұрын

    Shkh wewe nahisi hujafunzwa na mama yako wewe no mchonganishi wa jamii ilikua no vyema uzungumzie maana ya Shia kwanza kabla hujaanza kuwasema maana Hadi Sasa Mimi sinajua nishia wakina Nani?

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Жыл бұрын

    sasa mashia inakuaje mnamkataa Othman ra alaf mnaisoma Quran aloikusanya yeye??

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Жыл бұрын

    Je wanashahada gani Je mawahabi nawo niwaislam tawhd yao mbovu

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Juha kalulu we, hujielewi Shia mkubwa we

  • @ahlul-kisaamedia6280
    @ahlul-kisaamedia6280 Жыл бұрын

    Wewe kwani huo wislam ni wako ?? Hata historia ya Ushia hujui unadanganya watu, utakwenda kujibu kwa mungu na kabla ya kufa Allah atakuadhibu hapa Duniani

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Жыл бұрын

    Usijitoe fahamu ww maneno yanayosemwa ni sahihi. Huwezi kututungia ujinga tukaukumbatia.

  • @malikitelaki845

    @malikitelaki845

    Жыл бұрын

    vipi hizo clip za shahada zenyuuu?

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Жыл бұрын

    Tukulize ww ABI ABI je km hafsa ni mbya he mtume kwnn asimwache?inamaana mtume Hana alijualo?km mtume hajui je mungu pia hamjui km hafsa ni mbya?

  • @muntadhwarhussein7800
    @muntadhwarhussein78008 ай бұрын

    Hebu jamani nyie mnaesikiliza hizi clip kwayule kwenye akili timamu lakini hebu Anza kuwafuatilia mashia someni vitabu vyao sio kusikiliz Hawa wapuuzi halaf chukua vitabu vyake na akiongea kitu linganisha katika vitabu utamjua kua nimuongo nandio maana siku Zote unakatazwa kuwasoma mashia, kuwafuatilia, kuwajua, ya uachane nao kivyovyote kwanini hem jiulizeni wenye akili mnafichwa Nini? Hebu someni mtajua

  • @alternativeislamicmedicine8396
    @alternativeislamicmedicine8396 Жыл бұрын

    MASUNI SIO WAISLAMU kzread.info/dash/bejne/dKCNtKR7f7Gtgrw.html

  • @khalifaallyibnadam9983

    @khalifaallyibnadam9983

    Жыл бұрын

    Duuh ..... we umechanganyikiwa au umevuta bangi

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Hujielewi wewe,, pamoja na ushahid wote unaotolewa bado huelewi tu! Ndo maana hukuwa na akili darasani, mi nakufahamu sana ila wewe umenisahau.

  • @jabuhizzah5605
    @jabuhizzah5605 Жыл бұрын

    Hakuna anayeweza mvua uislamu mja isipokuwa Allah, Mashia Ni waislam, sababu wamwamini Allah na Muhammad, ww shekh pia huna uhakika juu ya hayo sabau, ni Allah pekee ndiye anayejua yaliyo vifuani mwawatu...,

  • @complex7582

    @complex7582

    Жыл бұрын

    Mashia wamejuvua wenyewe uislam kutokana matendo yao

  • @abdulkisome9538

    @abdulkisome9538

    Жыл бұрын

    labda ujui misingi ya uislam...ukikanusha aya za mwenyez mungu wew ushakua kafiri...mashia wanakanusha aya waz waz

  • @complex7582

    @complex7582

    Жыл бұрын

    Wao wameshadhihirisha yaliyo vifuani mwao unattractive nini tena,wanasema quran imebadilishwa kuna surah initially riwaya imetolewa na abubakar na omar,unataka nini tena,wanasema mama wa waumini Aisha mzinifu bado tu unawaita waislam wenzako?hao ndio wakushirikiana nao

  • @MohamedAli-bn6ye

    @MohamedAli-bn6ye

    Жыл бұрын

    Na vp kuhusu haqqi za kadhi wa kiislam he hawezi kusema huyu ni.kafir karitad ?

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Wakumbatie wanaokupa mkate, utakutana na Mola siku hiyo.

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Жыл бұрын

    Mtume Muhammad hajawahi kusema yeye ni Sunni ila alituachia Sunna, hajawahi kusema yeye ni Shia ila alikuwa na mtoto wake fatma na wajukuu hasan na Hussein,hajawahi kusema yeye suf,ibadhi,hanaf au kadiyan.Kuweni alivyokuwa!! Yeye alikuwa Muislam na hakuwa na dhehebu.

  • @malikitelaki845

    @malikitelaki845

    Жыл бұрын

    una maanisha nini? kwamba Fatma na watoto wake walikua mashia? kusema sunn au shia ni kujipambanua itiqad yako ni ipi.. je ni itiqad ya kufuata yale yote alokuja nayo Mtume s.a.w au mi kuja na itiqad zaako ambazo umebeba kwa waliokuja nazo wanaoenda kinyume na masahaba wa Mtume s.a.w mtume s.a.w amesesma; shikamaneni na sunna zangu na sunna za makhalifa wangu waongofu

  • @yahyaayoub4999

    @yahyaayoub4999

    Жыл бұрын

    Umesahau moja wala hakuwa Answar Sunna

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Жыл бұрын

    Kwani ndugu yangu unayesema shia ni waislam, ulisoma japo kidogo kweli?

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Жыл бұрын

    Ww jabu lete dalili ya kuwa mashia ni waislam kw qaida zao au umeolewa na mashia?

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Hueleweki bro!

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын

    Acha kulazimisha watu kile unachoamini wewe, acha kuwazushia mashia hao wanaosema hivyo ni mashia wa michongo.

  • @ramadhanomar8093

    @ramadhanomar8093

    Жыл бұрын

    Nimegundua una shida kubwa wewe

  • @zahormbwana9916

    @zahormbwana9916

    Жыл бұрын

    Ww muislam na km muislam ww bs hujatambua akida yako tena ukasilimu tene ww

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Жыл бұрын

    Akida ndio nn , akida ni upuuzi tu, akida ni makundi tu ya watu ya kujinasibu kwamba wao ni Bora kuliko wengine na ni michongo tu ya mayahudi kuugawa umma wa kiislam. Mimi ni muislam na sijinasibu na upuuzi wowote unaoitwa akida. Wewe kaa na ujinga wako wa akida ukiamini kuwa ndio utakufikisha peponi, kumbuka ubora wako ni uchamungu wako na sio akida. Acha kuamini kila ujinga unaombukizwa na masheikh wako , Soma Kisha tumia akili yako uliyopewa na mungu kufikiri na kupambanua mambo.

  • @ramadhanomar8093

    @ramadhanomar8093

    Жыл бұрын

    @@ramadhanmwandambotuntufye5972 ama katika washenzi wakubwa na wewe umo

  • @MohamedAli-bn6ye

    @MohamedAli-bn6ye

    Жыл бұрын

    Kawaida ukweli ukizihiri kuna watu wanauchukia uo ukweli

  • @umbopaday
    @umbopaday Жыл бұрын

    Andika hivi kwenye youtube (chickens mourn for imam hussein)

  • @abdillahijalalkhan2128

    @abdillahijalalkhan2128

    Жыл бұрын

    TWAMUHISHIMU IMAM AL HUSSAYN(AS)

  • @umbopaday

    @umbopaday

    10 ай бұрын

    @@abdillahijalalkhan2128 not (as) (it’s (ra)

  • @hamynas
    @hamynas Жыл бұрын

    kuhusu hizo shahada nyingine za motoni je zimethibiti ktk vitabu vya kishia au ni huyo shekhe kafanya kwa matakwa yake binafsi?

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Жыл бұрын

    Aikil8za tena utamuelewa tu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Mie sio shia, lakini kwanini sijaona mjadala?. Naona kusemana tuu

  • @hamynas

    @hamynas

    Жыл бұрын

    @@hilalkhalfan1452 mawahabi hawataki mjadala wanasema mpaka mashia waache itikadi yao ndipo watafanya mjadala nao sasa wakiwacha itikadi yao hakuna haja ya mjadala!!!

  • @NoorAli-vj4gn

    @NoorAli-vj4gn

    Жыл бұрын

    @@hamynasiweje aliye kwenye haki aogope mtu wa batili

  • @officialrashrayz4140

    @officialrashrayz4140

    Жыл бұрын

    Hawa wanajizuia mambo Yao tu juu ya chuki

  • @hamynas
    @hamynas Жыл бұрын

    kwani shahada maana yake hasa kiarabu ni mbili au wingi ?

  • @AshaHamisi-jz5mk
    @AshaHamisi-jz5mk Жыл бұрын

    Huo ni uongo m mwnyw mshia ila shahada umezusha mbona shahad yetu n mbili tu ila mungu atakuadhib kwa kutuzushia uongo

  • @shalbaonlinetv

    @shalbaonlinetv

    Жыл бұрын

    Hiyo ya Ally waliyu llah nini dada

  • @yahyaayoub4999

    @yahyaayoub4999

    Жыл бұрын

    Na hiyo video ya mtu anayetamkishwa shahada nayo ni ya uongo? Isije kuwa wewe ni Shia wa mchongo

  • @husseinomar4294

    @husseinomar4294

    11 ай бұрын

    Kwa hiyo wewe unaejisema na wewe mshia hujasikia pale shahada zenu shekh wako kamtajidha mtu ???

  • @husseinomar4294

    @husseinomar4294

    11 ай бұрын

    Yaani nyinyi mashia ndiyo makafiri wa kwanza kwanza kabisa !

  • @husseinomar4294

    @husseinomar4294

    11 ай бұрын

    Hujitambui ndiyo maana umekomaa na ujinga wako huo mpuuzi wewe !

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Жыл бұрын

    Masunni mtaendelea na propaganda zenu lkn hamna hoja za kielimu kujibu hoja za mashia. Nasema hivi namtaka kidume wasunni anithibitishia inakuaje maswahaba wote wawe waadilifu.mimi nafikiri hii ni itikadi yakijinga. Pia nata sunni akatae kuwa surat tahrim aya ya 3 hadi 5 haisemi kuwa aisha na hafswa mioyo yao imepotoka na kwamba ni wanawake ambao hawana imani ya kweli

  • @shalbaonlinetv

    @shalbaonlinetv

    Жыл бұрын

    Uelewe wenu nifinyu sana Mnavyoielewa Qur an nikinyume na mafuhum halisi mmeonywa hamsikii Sasa subirini Adhabu za Allah

  • @ramadhaniomary9241

    @ramadhaniomary9241

    Жыл бұрын

    Hivi nyinyi mashia baada mna akili kweli juzi kiongozi wenu wa tanzania Balala amejitahidi kujikosha kuwa hamtukani maswahaba Leo wewe umemtia aibu kweli mnafiki hajifichi

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@ramadhaniomary9241 sisi kweli hatuwatukani maswshaba Bali tunawakosoa tu.kwamfano swahaba wa mwanzo mwanzo ambao mnasema wameridhiwa Abdulrahman ibn udais aliye muuwa halifa othman. Hivi Nikki utasema aliridhiwa? Ndiyo maana nikasema siyo wote wslioridhiwa ni baadhi tu. Au nikisema surat tahrim aya ya 3 hadi ya 5 inasema kuwa aisha na hafswa mioyo yao imepotoka. Je nimewstukana au nimesema Quran ilivyosema

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    ni kweli mashia huwa mnaruhusu mume kumuingilia kinyume na maumbile mkewe kwa dharura yeyote ile??? kama hiyo aya itatafsiriwa hvo ya surah tahrim, vp Allah alivosema wanawake wabaya ni wanaume wabaya?? ina maana unataka kutuambia nn kama Hafsa na Aisha watakua ni wanawake waovu??

  • @bwagizoselemani8434

    @bwagizoselemani8434

    Жыл бұрын

    Kwanza kubishana na mashia nikama unatwanga maji kwenye kinu kiukwel sheitwaan amewafanya kua ndio vichwa vyao kua ndio nyumba yake. Wanatakiwa tu kujua kua hata waungane vip wafanye mema kujaza dunia hawawez kufikia hata chembe wao nawapinge tu nakutukana maswahaba ila watakuja kulipa haya duniani hapa tunapita tu

  • @umbopaday
    @umbopaday Жыл бұрын

    Angalia kwenye youtube chanel hii anti-majos utajua mashia ni kina nani arabia yote pamoja ulaya wana wajua viongozi wao wana chaguliwa na ufalme uingereza

  • @kawayaradjabunisaba9073

    @kawayaradjabunisaba9073

    Жыл бұрын

    Hahahahaha, mutakufanacho kidiba Cha moyo, na jini umchae ndiye akusawazae, . Lakini nikuulize: wewe eti unaamini kunamuislamu asiyekuwa muwahabi, au kama munavyo jiita, masalafi, tafadhali unijulishe nami kwamba Ash' Ary, na maturidy, ni waislamu kwa imaniyenu ya kiwahabi,???

  • @kawayaradjabunisaba9073

    @kawayaradjabunisaba9073

    Жыл бұрын

    Umuongo mzushi,

  • @paulorckesra7452

    @paulorckesra7452

    10 ай бұрын

    Kwanini hamua invite ma Sheikh wa madhehbu Shi'a? Ili tuwauliseze maswali,wapate kujibu wenyewe?

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa10 ай бұрын

    Mmmmmm sheikh hayo maneno mazito yalihitaji kila nukta uje na kitabu na sio kutaja kitabu utaje na juzu na utaje na ukurasa maana mmmm vitabu alivyovitaja nimevitafuta lakini sijaona chochote mfano umesema kuwa wanasema hakupaswa kuwa mtume lakini hukutaja kitabu chochote cha kishia kinachosema hayo maneno na umesema inamaana husipotaja kitabu yanakuwa ni maneno yako unawasingizia sio hivyo tu umesema wanatuhumu bibi Aisha lakini hukututajia kitabu chochote cha mashia chenye maneno hayo sheikh wangu kumbuka hukitoa maneno tu au ukataja kitabu ambacho ni cha kishia lakini ulichokisema hakimo unakuwa ni chachu ya kuwafanya wanaokusikiliza kuwa mashia maana wakikuta uliyoyasema hayamo tayari hawezi kukuamini sasa jiulize wasipomwamini shaikh wao watawamwamini nani jua watawamini hasiyekuwa shekhi wao tayari utachangia katika kuwafanya wawe mashia sheikh wangu sio kila anaekusikiliza anataka maneno yako hapana mwingine anataka hushahidi wa maneno yako hizi sio zama za kuja na makaratasi umeandika maneno hayo uliyokuwa unasena nahuku ukisema vitabu hivi ninavyo sheikh wangu sasa yanini kug'ag'ania kuandiki kwa mate nawino hupo nakuomba siku nyingine uje na vitabu hivyo utufunurie utuonyeshe maana kama mimi mfatiliaji unanipa wakati mgumu kufuatilia maneno ambayo siyakuti katika vitabu unavyovitaja sheikh wangu mbona unakuja na wanazuoni ambao hawategemewi katika dalili zako maana ktk kufuatia nimekuta mashia wenyewe hawawakubali yaani wanawakataa mpaka sasa naendelea kutafiti khutuba yako na kama umeona maneo haya basi nifuate wasapu unijibu maswali yangu maana sijapata majibu ya baadhi ya maneno uliyoyama

  • @NADUAonlineTV

    @NADUAonlineTV

    26 күн бұрын

    Hiyo shahada ujaisikia na sikiliza hizo nguzo tu

Келесі