ACHENI KIBURI NYINYI SIO SALAFI, SHIA, SUUFI WALA SUNNIH HUKO NI KUMKOSEA MOLA WENU KISA ELIMU ZENU
#RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkMuharramMziwanda
Жүктеу.....
Пікірлер: 141
@HassanHassan-sn5cj2 жыл бұрын
Mimi kwa uchache wangu wa kujua pengine naona yupo sahihi Sana anajitahidi kuurudisha umma pamoja kwa alivyofaham nami nmuunga mkono!! Ila elimu Wallah nipana mnooo !! Allah anajua zaidi!!
@user-zs6qg7ql1i3 ай бұрын
Allah akup pepo shwkh una elimu ya hali ya juu matunda ya shekh amer tajo
@awadhgahtan96432 жыл бұрын
Masha Allah shekhe Allah akuhifadhi na akupe umbri mlefu wenye kheri kwa kweli ulionao
@saidyusuf92452 жыл бұрын
Shukran shekhe wangu kwa nasaha yako mungu atu oneshe haki tuiyandame nabatili tuiyepuke
@Mustafaxelad2 ай бұрын
خزاك خيرا
@hadijaosman77042 жыл бұрын
MashaAllah Jazakkah llahu khair sheikh kwa ilmu hii nzuri
@yusufsadic2930
2 жыл бұрын
Kama ingekuwa inawezekan Ujumbe kam huuu Ingekuwa unatafasiriw kwa Luga ya kingerez ili unufaishe Duniy mzima Haswa haswa Malawi kuna watu Amvao wanajit kuwa ni Wailsam lakin kuna ujinga mkubwa san
@salumselemani10592 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze ktk njia iliyonjooka
@gichanidd.jazaakumullaahkh28562 жыл бұрын
Maashaallah Jazaakumullaahu Shukrani Aksant
@dungayusufu19542 жыл бұрын
mashaalah shekh Allah akulipe
@la_raib9532 жыл бұрын
MashaaAllah
@sheikhabuusakakin32432 жыл бұрын
جزاك الله خيرا
@hashakimanaasman53312 жыл бұрын
Assante mashekhe ALLAH awape mwisho mwema
@halimali27402 жыл бұрын
Mashaallah jazzakum allah kher
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHAA ALLAH.
@halimaauthman93242 жыл бұрын
Shukran sana
@abdichongowe22552 жыл бұрын
Ukimsikiliza vizuri shekh huyu kwa mtazamo usiowakimadhehebu na Ushabiki utamuelewa, tumuombe Allah tuchukue haki kwa yeyote
@muhammadmwakitubu6548
2 жыл бұрын
M'Mungu akuhifadhi na akuzidishie ilimu akupe umri mrefu wenye kheri tuendelee kunufaika nawe
@muhidinzaidi14082 жыл бұрын
Masha Allah
@ramadhaniharouna96092 жыл бұрын
Shukran wajazakallahu kheir
@fathmaoman11862 жыл бұрын
Waleykumsalaam warahmatullah wabarakatuh
@salmamrembo43602 жыл бұрын
Mashallah
@badimruma66952 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@shishybaby45242 жыл бұрын
Subuhana llah taqbiriiiiii .
@shishybaby4524
2 жыл бұрын
Mwenyezimungu atuafikishe inshallah
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Barakallahu
@HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын
Mashaallaah jazakumullah kheir
@udymakame52692 жыл бұрын
Mashallah...
@saadaabdallah74732 жыл бұрын
MashaAllah
@jengajuma88252 жыл бұрын
MAASHAALLAH
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Sheikh AlhamduLiLah unafamisha uzuri baina yamaimu pia mamu hapana hata moja aliji kimedhebi wate walikua wana madheb moja nayalokuja kufudisha Nabi Mhamad wasalatu wasalam ni uwislamu si madheb kausemavo maimamu tuwapede khitalafu Zao zitufaida tuwe kuta patapokua wepesi katika shida
Mashaallah, Allah akulinde sannnnna sheikh wetu.....
@abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын
Shekh mziwanda baarallah fiikum...taarifuu hizo ziko kwenye kitabuu ganiii??? Na Kuna mwanazuoni aliekutangulia katika hizoo taarifuu ulizo zitioa???? Baarallah fiikum..
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
حييت وبوركت سيدي الأستاذ
@omarsirleem71052 жыл бұрын
Allah atufahamishe zaidi 🤲
@jengajuma88252 жыл бұрын
جملآ جيدا
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kwani wenye pesa ndio wanawatuma mashekh watoe fatwa au vitabu ndio vinaongea kila aamini abacho kiona kipo sawa lakini usiseme matajiri ndio wanawatuma unakosea kwa hapo
@abuuaminah56552 жыл бұрын
Ma Sha Allah, maneno mazito
@salum-mkumbila20162 жыл бұрын
Manen matam MashaAllah shekhe wang
@petercharles7472 жыл бұрын
Mashaallah Yuko gudsana
@shabanimngazija34092 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema
@jafarimpawa82372 жыл бұрын
Vipi waislamu kutofautiana katika masiala ya kiakida,ikhtirafu hii mbona hujaizungumzia,je ikhtirafu hii waislamu watakua wamoja
@rashidmwambala775 Жыл бұрын
Uko sawa n mkeo
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
UISILAM UNA DHEHEBU MOJA TU!! NA NI ILE ALIYOKUWA NA MTU ME WETU NA MASWAHABA WAKE!!
@JRN26122 жыл бұрын
Sheikh anaongea in general, hajabase upande wa dhehebi lolote., hoja yake ni kulingania umoja tu. But kuna wale visirani ambao wanadhani pepo ni kwa ajili yao peke yao ndio wanamtolea maneno. Shubamiti zao😅😅😅
Masalaf Ni kikundi kilichoundwa na mayahudi lengo kuja kuleta mifarakano na wahakikishe nuru ya mtume waizime
@mudarisuburhan71822 жыл бұрын
Kasome wew bado huna hoja Katka ...unaudhaifu mkubwaa sana
@JRN2612
2 жыл бұрын
Ukisoma wewe inatosha😅
@bimumaulid11712 жыл бұрын
ustadh leo umenichanganya
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
Huyu ni mtu wa kupewa nasaha
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Kwakweli mtihani mzito Jamani haya madhehebu ndio yanayo tufanye tubaguane waislam Kwa waislam.. haya yalitabiriwa na mtume Kuwa itafika kipindi cha akhiru Zamaan Uislam utagawika makundi Kwa makundi ndio Sasa tunaona athari zake
@Pedeshee01
2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kuna watu watabeba sana lawama kwa kuanzisha mikanganyiko hii hasa baada ya kufa mtume na Ukhalifa wa Abuu bakr Omar Othmaan na Ali,sijui ushia sijui sunni na vyengine.Kwa nini wasingeacha vile alivyofundisha tu mtume S.A.W ehh,
@nasrikileo72912 жыл бұрын
Tumepewa akili kuitafuta akili timam, hizi dini za mapokeo ni chanamoto sana
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kipozeo alisema ujinga cio tusi ni mtu ambaye hajui lakini hataki kujua lakini usimuite mwinzio mjinga mbele za watu
@asaduzamanalmaxmud76712 жыл бұрын
M.a
@feisal6592 Жыл бұрын
Maulidi
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
رضي الله عنك شيخي محرم
@wakwetu24442 жыл бұрын
Ni Muhadhara mzuri sana.
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Sababu yako mengi yakuchangiwa kuhusuana na Ibada Bali washerehekea na kuchamgia mashekhe kugombana ni makafiri nafkiri wanifanya Waislam
@engineertuwere60282 жыл бұрын
Kinacho sikitisha ni kwamba, nondo hizi zilitakiwa kumwagwa mbele hasa ya madaaiya wetu ambao imma kwa kughafilika au kwa makusudi wanajua lakini wanayumbisha umma, hiyo hadhira yote hapo haina shida na mada hiyo. walengwa hasa wako pembeni wanasubiri kuja potosha mantiki na lengo la shekhe kuandaa mada hiyo.
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Hafidhimaalim una matatizo kichwani
@rachidesaide36382 жыл бұрын
Wakomeshe manaa hatuna hatuna Amani na hawajui lolote
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Ahamadi faki Ina one kanaunafungu unapata upended mwengine Yani kwama Neno haya mazuri una andaika upuuzi
@maulideabdala38322 жыл бұрын
w.masha Allah
@bigdawstz72582 жыл бұрын
MashaAlllah.... Shekh wangu iii itapendeza Kama mutaifanya Maulamaa wote wa Tanzania!!!!!
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Hizi TV ni zakikafiri manake kazi zao kuwagombanisha mashekhe na maustaz Hawa ni banuuu Izrail
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Watuletea mambo ya kifikhir eti utuchanganye ..twende kwenye itikadi sheikh usiwazonge watu
@SalimSalim-ec9jo2 жыл бұрын
Huku kusoma Sana mwishowe nikuburi kwa maana kila mtu nimjuaji... Heri tuwe mazuzu kwa kile kidogo tulichonacho na tufwate sheria za Allah
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
SALIMU bin Salimu@ Unawezaje muislaam kufuata sheria za Allah ukiwa zuzu bila ya elimu? (kujuwa elimu ya dini)
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
MWISLAM anapokuwa zuzu au mbumbumbu Kisha akazungumzia masuala ya dini kwenye kahawa tambua atawapoteza watu wengi sana. @Salimi Salimu
@shekhlukuman2 ай бұрын
𝑨𝒔𝒂𝒍𝒂𝒎𝒘𝒂𝒓𝒚𝒌𝒎𝒖 𝒏𝒂𝒘𝒎𝒃𝒂𝒖𝒏𝒊𝒑𝒊𝒈𝒊𝒚𝒆
@hafidhmaalim4082 жыл бұрын
Anapotosha kielimu
@musabadawi99502 жыл бұрын
Umisema saw ila ulikua unaogea nawatu uwelewa wa wao wa chini
@gaboudghussein527
2 жыл бұрын
Umejuaje mwenzetu
@AhmedSaid-mn4vv
2 жыл бұрын
@@gaboudghussein527 jamaa akiona tu watu anawajua....intelligent sana😆😆😆
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
Kipengele Cha kinyume Cha elimu ni ujinga anapinga kwa hoja ipi?
@nyawebabu56442 жыл бұрын
Hayo makundi yote wanzilishi ni mayahudi wanawapa pesa kama masheikh wa bakwata ili kugombanisha waislam
@Ahmadasshii-raazy8888
2 жыл бұрын
Maneno yako yahitaji dalili habeeb
@Ahmadasshii-raazy8888
2 жыл бұрын
Hata wasingekuepo mayahudi bado tungetafautiana kwa sababu twatafautiana maono
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Tatizo la mafuriko hayo ya mpasuko ni nn?? Ili upate suluhisho ndio mada yako italeta manufaaa Lkn kuwataka kua pamoja waislam ni ngumu moja ya sbb za kuwagawa waislam tz ni baraza
@mussamsuya85952 жыл бұрын
KALALE
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Maghribi ni mchana?
@bimumaulid1171
2 жыл бұрын
mwanzoni mwa usiku
@abdulrahmanmwadini5925
Жыл бұрын
Kwa Mujibu wa Qur'an ni Mchana
@jengajuma88252 жыл бұрын
Nime elimika sana
@abdulkadiryowerimahmud4193
2 жыл бұрын
Sheikhe abarikiwe kwakufaidika kwako💚💚💚
@maulidihassani83242 жыл бұрын
Silisilayake tuijueeee
@ibnomar81442 жыл бұрын
Sheikh kachanganya saana tu haeleweki nini anachotaka kufika eko ila umeleweka wale ambao wametaka kusikiya haqqi pasina ushabiki jazzakallahkheir. Wallah a'alam
@abdulkadiryowerimahmud4193
2 жыл бұрын
Naomba rejeleya kuiya sikiliza haya mawaidha Mara nyingine asanti 👏👏👏
@feisal6592 Жыл бұрын
Kivuko tazara
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kasa wa ada ya bidaa haliwi
@ahmadashauqiy46152 жыл бұрын
Mwambaaaaaaaa
@ahmadifakimjaka14332 жыл бұрын
Asituelezee tofauti za kifiqhi hizo hazipelekei mgawanyiko aeleze tofauti ktk Aqidah ambazo zinagawa watu kutokana na utofauti wa misingi yao hilo ndio la muhimu. Pia hata ktk fiqhi si kila mahala itazingatiwa ikhtilafu bali inapothibiti dalili yenye nguvu yenye kuzidi nguvu dalili za wanachuoni wengine basi hiyo ndio yakufuata. Kuna watu wanataka kuutumia mlango wa ikhtilafu kufanya biddah
@al-itrahenterprise2862
2 жыл бұрын
Ahmad wewe ni wahabi wa waaasziii
@hosseinmiraj6509
2 жыл бұрын
Mashaalla
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Wee lala uko
@juwairiakimaro2119
2 жыл бұрын
Allah akuongoze acha dharau na ushabiki ktk mambo ya dini.umma umegawanyika kwa sababu yenu ,shekh yuko vizuri
Huyu ndugu inafaa apewe nasaha kwa upole hivi huyu anajua kiarabu kuliko sheikh Abdulrahmaan bin Abdulrazizi ibn Baaz rahimahullah ktk kitabu chake maarufu kiitwacho Darsa muhimu
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
Kelele nyamaza dawa ikuingie
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 ukhty vp mbona unakuwa Kama tupo kwenye Vita? nakuomba Kama unahoja tuzungumze
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
@@ibnhassan9980 una hoja ndugu yangu wewe tulia dawa ya ostadhi ikuingie
@burhanimahmoud8985
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 wewe hoja hoja yako ipo wapi?
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
@@burhanimahmoud8985 unataka kuiona hojayangu ili iweje tulia dawa ya ostazi iwaingie
@habibrwegoshora66242 жыл бұрын
KWA MFANO UKAUONA MWEZI UMEANDAMA UKIWA TZ JE AMBAO KWAO MUDA HUO HUO NI SAA 9 USIKU AU SAA 10 AU 12 ALFAJILI WANAWEZAJE KUAMKA NA SWAUMU AU WAKASALI EID ? NAOMBENI MAJIBU SIO UJANJA UJANJA
@rashidabdul-aziz3399
2 жыл бұрын
Kila mji utafata muandamo wake kwa mujibu wa swahaba wa mtume ibni abasi
@mwinyimohamed97462 жыл бұрын
Salafi ni wewe mganga wa kienyeji
@jamilahjamilah4157
2 жыл бұрын
Asalam aleykum hii ndio taabu ya ss Waisilam sasa ww wenamkejeli at toka ww ndio salafi na nio maana mganga unamdhalilisha uwisilam unatwambia motoring mwezako na mungu atakustiri ss ww mbona unamdhalilisha
Пікірлер: 141
Mimi kwa uchache wangu wa kujua pengine naona yupo sahihi Sana anajitahidi kuurudisha umma pamoja kwa alivyofaham nami nmuunga mkono!! Ila elimu Wallah nipana mnooo !! Allah anajua zaidi!!
Allah akup pepo shwkh una elimu ya hali ya juu matunda ya shekh amer tajo
Masha Allah shekhe Allah akuhifadhi na akupe umbri mlefu wenye kheri kwa kweli ulionao
Shukran shekhe wangu kwa nasaha yako mungu atu oneshe haki tuiyandame nabatili tuiyepuke
خزاك خيرا
MashaAllah Jazakkah llahu khair sheikh kwa ilmu hii nzuri
@yusufsadic2930
2 жыл бұрын
Kama ingekuwa inawezekan Ujumbe kam huuu Ingekuwa unatafasiriw kwa Luga ya kingerez ili unufaishe Duniy mzima Haswa haswa Malawi kuna watu Amvao wanajit kuwa ni Wailsam lakin kuna ujinga mkubwa san
Mashallah Allah atuongoze ktk njia iliyonjooka
Maashaallah Jazaakumullaahu Shukrani Aksant
mashaalah shekh Allah akulipe
MashaaAllah
جزاك الله خيرا
Assante mashekhe ALLAH awape mwisho mwema
Mashaallah jazzakum allah kher
MASHAA ALLAH.
Shukran sana
Ukimsikiliza vizuri shekh huyu kwa mtazamo usiowakimadhehebu na Ushabiki utamuelewa, tumuombe Allah tuchukue haki kwa yeyote
@muhammadmwakitubu6548
2 жыл бұрын
M'Mungu akuhifadhi na akuzidishie ilimu akupe umri mrefu wenye kheri tuendelee kunufaika nawe
Masha Allah
Shukran wajazakallahu kheir
Waleykumsalaam warahmatullah wabarakatuh
Mashallah
MASHA ALLAH
Subuhana llah taqbiriiiiii .
@shishybaby4524
2 жыл бұрын
Mwenyezimungu atuafikishe inshallah
Barakallahu
Mashaallaah jazakumullah kheir
Mashallah...
MashaAllah
MAASHAALLAH
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Sheikh AlhamduLiLah unafamisha uzuri baina yamaimu pia mamu hapana hata moja aliji kimedhebi wate walikua wana madheb moja nayalokuja kufudisha Nabi Mhamad wasalatu wasalam ni uwislamu si madheb kausemavo maimamu tuwapede khitalafu Zao zitufaida tuwe kuta patapokua wepesi katika shida
Allah akuhifadhi shekhe
Waleiku salam warahmatullah wabarakatuh ijumaa mubarak
Mashaallah, Allah akulinde sannnnna sheikh wetu.....
Shekh mziwanda baarallah fiikum...taarifuu hizo ziko kwenye kitabuu ganiii??? Na Kuna mwanazuoni aliekutangulia katika hizoo taarifuu ulizo zitioa???? Baarallah fiikum..
حييت وبوركت سيدي الأستاذ
Allah atufahamishe zaidi 🤲
جملآ جيدا
Kwani wenye pesa ndio wanawatuma mashekh watoe fatwa au vitabu ndio vinaongea kila aamini abacho kiona kipo sawa lakini usiseme matajiri ndio wanawatuma unakosea kwa hapo
Ma Sha Allah, maneno mazito
Manen matam MashaAllah shekhe wang
Mashaallah Yuko gudsana
Mungu akupe afya njema
Vipi waislamu kutofautiana katika masiala ya kiakida,ikhtirafu hii mbona hujaizungumzia,je ikhtirafu hii waislamu watakua wamoja
Uko sawa n mkeo
UISILAM UNA DHEHEBU MOJA TU!! NA NI ILE ALIYOKUWA NA MTU ME WETU NA MASWAHABA WAKE!!
Sheikh anaongea in general, hajabase upande wa dhehebi lolote., hoja yake ni kulingania umoja tu. But kuna wale visirani ambao wanadhani pepo ni kwa ajili yao peke yao ndio wanamtolea maneno. Shubamiti zao😅😅😅
Shekh wangu naona maadaa ya Askofu kamtukana angaliya kauli tamkoo alisema Askifu
Umesema kweli shkh
Shekh gn
Shekh leo umenifunua kichwa sawa sawa, inshaallah
@abdulkadiryowerimahmud4193
2 жыл бұрын
usiache kumfollow inshaAllah 🙏🙏🙏💯 ubarikiwe
@nasrahashimu5675
Жыл бұрын
Masalaf Ni kikundi kilichoundwa na mayahudi lengo kuja kuleta mifarakano na wahakikishe nuru ya mtume waizime
Kasome wew bado huna hoja Katka ...unaudhaifu mkubwaa sana
@JRN2612
2 жыл бұрын
Ukisoma wewe inatosha😅
ustadh leo umenichanganya
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
Huyu ni mtu wa kupewa nasaha
Kwakweli mtihani mzito Jamani haya madhehebu ndio yanayo tufanye tubaguane waislam Kwa waislam.. haya yalitabiriwa na mtume Kuwa itafika kipindi cha akhiru Zamaan Uislam utagawika makundi Kwa makundi ndio Sasa tunaona athari zake
@Pedeshee01
2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kuna watu watabeba sana lawama kwa kuanzisha mikanganyiko hii hasa baada ya kufa mtume na Ukhalifa wa Abuu bakr Omar Othmaan na Ali,sijui ushia sijui sunni na vyengine.Kwa nini wasingeacha vile alivyofundisha tu mtume S.A.W ehh,
Tumepewa akili kuitafuta akili timam, hizi dini za mapokeo ni chanamoto sana
Kipozeo alisema ujinga cio tusi ni mtu ambaye hajui lakini hataki kujua lakini usimuite mwinzio mjinga mbele za watu
M.a
Maulidi
رضي الله عنك شيخي محرم
Ni Muhadhara mzuri sana.
Sababu yako mengi yakuchangiwa kuhusuana na Ibada Bali washerehekea na kuchamgia mashekhe kugombana ni makafiri nafkiri wanifanya Waislam
Kinacho sikitisha ni kwamba, nondo hizi zilitakiwa kumwagwa mbele hasa ya madaaiya wetu ambao imma kwa kughafilika au kwa makusudi wanajua lakini wanayumbisha umma, hiyo hadhira yote hapo haina shida na mada hiyo. walengwa hasa wako pembeni wanasubiri kuja potosha mantiki na lengo la shekhe kuandaa mada hiyo.
Hafidhimaalim una matatizo kichwani
Wakomeshe manaa hatuna hatuna Amani na hawajui lolote
Ahamadi faki Ina one kanaunafungu unapata upended mwengine Yani kwama Neno haya mazuri una andaika upuuzi
w.masha Allah
MashaAlllah.... Shekh wangu iii itapendeza Kama mutaifanya Maulamaa wote wa Tanzania!!!!!
Hizi TV ni zakikafiri manake kazi zao kuwagombanisha mashekhe na maustaz Hawa ni banuuu Izrail
Watuletea mambo ya kifikhir eti utuchanganye ..twende kwenye itikadi sheikh usiwazonge watu
Huku kusoma Sana mwishowe nikuburi kwa maana kila mtu nimjuaji... Heri tuwe mazuzu kwa kile kidogo tulichonacho na tufwate sheria za Allah
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
SALIMU bin Salimu@ Unawezaje muislaam kufuata sheria za Allah ukiwa zuzu bila ya elimu? (kujuwa elimu ya dini)
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
MWISLAM anapokuwa zuzu au mbumbumbu Kisha akazungumzia masuala ya dini kwenye kahawa tambua atawapoteza watu wengi sana. @Salimi Salimu
𝑨𝒔𝒂𝒍𝒂𝒎𝒘𝒂𝒓𝒚𝒌𝒎𝒖 𝒏𝒂𝒘𝒎𝒃𝒂𝒖𝒏𝒊𝒑𝒊𝒈𝒊𝒚𝒆
Anapotosha kielimu
Umisema saw ila ulikua unaogea nawatu uwelewa wa wao wa chini
@gaboudghussein527
2 жыл бұрын
Umejuaje mwenzetu
@AhmedSaid-mn4vv
2 жыл бұрын
@@gaboudghussein527 jamaa akiona tu watu anawajua....intelligent sana😆😆😆
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
Kipengele Cha kinyume Cha elimu ni ujinga anapinga kwa hoja ipi?
Hayo makundi yote wanzilishi ni mayahudi wanawapa pesa kama masheikh wa bakwata ili kugombanisha waislam
@Ahmadasshii-raazy8888
2 жыл бұрын
Maneno yako yahitaji dalili habeeb
@Ahmadasshii-raazy8888
2 жыл бұрын
Hata wasingekuepo mayahudi bado tungetafautiana kwa sababu twatafautiana maono
Tatizo la mafuriko hayo ya mpasuko ni nn?? Ili upate suluhisho ndio mada yako italeta manufaaa Lkn kuwataka kua pamoja waislam ni ngumu moja ya sbb za kuwagawa waislam tz ni baraza
KALALE
Maghribi ni mchana?
@bimumaulid1171
2 жыл бұрын
mwanzoni mwa usiku
@abdulrahmanmwadini5925
Жыл бұрын
Kwa Mujibu wa Qur'an ni Mchana
Nime elimika sana
@abdulkadiryowerimahmud4193
2 жыл бұрын
Sheikhe abarikiwe kwakufaidika kwako💚💚💚
Silisilayake tuijueeee
Sheikh kachanganya saana tu haeleweki nini anachotaka kufika eko ila umeleweka wale ambao wametaka kusikiya haqqi pasina ushabiki jazzakallahkheir. Wallah a'alam
@abdulkadiryowerimahmud4193
2 жыл бұрын
Naomba rejeleya kuiya sikiliza haya mawaidha Mara nyingine asanti 👏👏👏
Kivuko tazara
Kasa wa ada ya bidaa haliwi
Mwambaaaaaaaa
Asituelezee tofauti za kifiqhi hizo hazipelekei mgawanyiko aeleze tofauti ktk Aqidah ambazo zinagawa watu kutokana na utofauti wa misingi yao hilo ndio la muhimu. Pia hata ktk fiqhi si kila mahala itazingatiwa ikhtilafu bali inapothibiti dalili yenye nguvu yenye kuzidi nguvu dalili za wanachuoni wengine basi hiyo ndio yakufuata. Kuna watu wanataka kuutumia mlango wa ikhtilafu kufanya biddah
@al-itrahenterprise2862
2 жыл бұрын
Ahmad wewe ni wahabi wa waaasziii
@hosseinmiraj6509
2 жыл бұрын
Mashaalla
Wee lala uko
@juwairiakimaro2119
2 жыл бұрын
Allah akuongoze acha dharau na ushabiki ktk mambo ya dini.umma umegawanyika kwa sababu yenu ,shekh yuko vizuri
O
Pengine hicho kitabu alosoma uyu jamaa hajakifaham yaonekana kajisomea mwenyew t Arudi akasomeshwe kabsaa aache kibri hakitamsaidia Mfikishien nasaha izi huenda zkamfika
@ramadhanimsukuma8438
2 жыл бұрын
wee umesomeshwa na mtume ?
@abubakarkassanura3515
2 жыл бұрын
@@ramadhanimsukuma8438 🤣🤣🤣🤣
Huyu ndugu inafaa apewe nasaha kwa upole hivi huyu anajua kiarabu kuliko sheikh Abdulrahmaan bin Abdulrazizi ibn Baaz rahimahullah ktk kitabu chake maarufu kiitwacho Darsa muhimu
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
Kelele nyamaza dawa ikuingie
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 ukhty vp mbona unakuwa Kama tupo kwenye Vita? nakuomba Kama unahoja tuzungumze
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
@@ibnhassan9980 una hoja ndugu yangu wewe tulia dawa ya ostadhi ikuingie
@burhanimahmoud8985
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 wewe hoja hoja yako ipo wapi?
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
@@burhanimahmoud8985 unataka kuiona hojayangu ili iweje tulia dawa ya ostazi iwaingie
KWA MFANO UKAUONA MWEZI UMEANDAMA UKIWA TZ JE AMBAO KWAO MUDA HUO HUO NI SAA 9 USIKU AU SAA 10 AU 12 ALFAJILI WANAWEZAJE KUAMKA NA SWAUMU AU WAKASALI EID ? NAOMBENI MAJIBU SIO UJANJA UJANJA
@rashidabdul-aziz3399
2 жыл бұрын
Kila mji utafata muandamo wake kwa mujibu wa swahaba wa mtume ibni abasi
Salafi ni wewe mganga wa kienyeji
@jamilahjamilah4157
2 жыл бұрын
Asalam aleykum hii ndio taabu ya ss Waisilam sasa ww wenamkejeli at toka ww ndio salafi na nio maana mganga unamdhalilisha uwisilam unatwambia motoring mwezako na mungu atakustiri ss ww mbona unamdhalilisha
kufunga ndevu ni amri arrasuul ukiipinga umekwendanae kinyume ukinyoa ww demutu
@kinyauherbalist2806
Жыл бұрын
Huna Adabu
Na wewe kasome uwe na elimu
Wewepotofu hujuwi usemalo
kama unanyoa ndevu wewe demtu
@mwalimumuhidini1544
2 жыл бұрын
Wewe huna akili
@ramadhanimsukuma8438
2 жыл бұрын
kama ww
@kinyauherbalist2806
Жыл бұрын
Sasa ndio uislaam gani huo haya tupe dalili kutoka kwenye quran au hadiyth kwamba ukinyoa ndevu ni demu
Masha Allah
Wewepotofu hujuwi usemalo
@shabanijuma2085
2 жыл бұрын
Subhanallah mtihani.Allah atupe elimu.Maana uislam siyo kufuata mkumbo.
@yusuphpazzy4880
2 жыл бұрын
Masha allwa
Masha Allah
@suleimanhaji8
2 жыл бұрын
Khamisi Ali mustapha rudi kasome fiqih utaujua ukweli wa dini ya kiislam sheghe amezama kifiqih kufuga ndevu ni sunna si faradhi.