MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa

Пікірлер: 34

  • @mams1892
    @mams1892 Жыл бұрын

    Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb

  • @abdulrashidjuma8229
    @abdulrashidjuma8229 Жыл бұрын

    Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallahАй бұрын

    Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahirАй бұрын

    Umefeli sanaa

  • @HamijeyHamijey
    @HamijeyHamijey3 ай бұрын

    Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2uАй бұрын

    Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahirАй бұрын

    Wewe shiba ukalale

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi64843 ай бұрын

    Allah akuongoze ktk sunna

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Жыл бұрын

    Jazaka llaah kheira

  • @SherallyHussein-tu1nk
    @SherallyHussein-tu1nkАй бұрын

    Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2uАй бұрын

    Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !! LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    20 күн бұрын

    Nenda mahakamani

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahirАй бұрын

    Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    mashia ndio wakweli masuni waongo sana

  • @yateramadavaathumanmmbaga7776

    @yateramadavaathumanmmbaga7776

    16 күн бұрын

    Acha kupotosha watu weeeee naona ushalambishwa za wa Iran

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa20 күн бұрын

    Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam

  • @rajabuhashimu-bv8qt
    @rajabuhashimu-bv8qtАй бұрын

    Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын

    Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana. Mawahabi wazee wa Mtandao

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahirАй бұрын

    Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene4 ай бұрын

    Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA

  • @Kekulebenzene

    @Kekulebenzene

    4 ай бұрын

    Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu? BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    3 ай бұрын

    ​@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын

    BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS

  • @saidkitula4982

    @saidkitula4982

    Жыл бұрын

    Mashia hawana sifa ya uislaam hata

  • @dauddavid6837
    @dauddavid6837Ай бұрын

    Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira

  • @Sh_Taqee
    @Sh_TaqeeАй бұрын

    Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.

  • @AL-WAARITHUUNTZtv
    @AL-WAARITHUUNTZtv6 ай бұрын

    Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie

  • @dauddavid6837
    @dauddavid683726 күн бұрын

    Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote

Келесі