MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa
Жүктеу.....
Пікірлер: 34
@mams1892 Жыл бұрын
Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb
@abdulrashidjuma8229 Жыл бұрын
Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli
@HassanAhmedAbdallahАй бұрын
Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika
@HabibuMudhwahirАй бұрын
Umefeli sanaa
@HamijeyHamijey3 ай бұрын
Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!
@user-gp1rj2hp2uАй бұрын
Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.
@HabibuMudhwahirАй бұрын
Wewe shiba ukalale
@wazirihamisi64843 ай бұрын
Allah akuongoze ktk sunna
@habibuchakusaga7981 Жыл бұрын
Jazaka llaah kheira
@SherallyHussein-tu1nkАй бұрын
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
@hassanmsangi41492 ай бұрын
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
@user-gp1rj2hp2uАй бұрын
Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !! LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!
@FridayMwassa
20 күн бұрын
Nenda mahakamani
@hassanmsangi41492 ай бұрын
😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini
@HabibuMudhwahirАй бұрын
Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi
@hassanmsangi41492 ай бұрын
mashia ndio wakweli masuni waongo sana
@yateramadavaathumanmmbaga7776
16 күн бұрын
Acha kupotosha watu weeeee naona ushalambishwa za wa Iran
@FridayMwassa20 күн бұрын
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
@rajabuhashimu-bv8qtАй бұрын
Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele
@user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын
Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana. Mawahabi wazee wa Mtandao
@HabibuMudhwahirАй бұрын
Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini
@Kekulebenzene4 ай бұрын
Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA
@Kekulebenzene
4 ай бұрын
Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu? BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu
@wazirihamisi6484
3 ай бұрын
@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS
@saidkitula4982
Жыл бұрын
Mashia hawana sifa ya uislaam hata
@dauddavid6837Ай бұрын
Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu
@hassanmsangi41492 ай бұрын
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
@Sh_TaqeeАй бұрын
Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.
@AL-WAARITHUUNTZtv6 ай бұрын
Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie
@dauddavid683726 күн бұрын
Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo
@hassanmsangi41492 ай бұрын
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote
Пікірлер: 34
Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb
Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli
Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika
Umefeli sanaa
Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah
KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!
Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.
Wewe shiba ukalale
Allah akuongoze ktk sunna
Jazaka llaah kheira
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa
BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !! LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!
@FridayMwassa
20 күн бұрын
Nenda mahakamani
😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini
Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi
mashia ndio wakweli masuni waongo sana
@yateramadavaathumanmmbaga7776
16 күн бұрын
Acha kupotosha watu weeeee naona ushalambishwa za wa Iran
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele
Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana. Mawahabi wazee wa Mtandao
Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini
Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA
@Kekulebenzene
4 ай бұрын
Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu? BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu
@wazirihamisi6484
3 ай бұрын
@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka
BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS
@saidkitula4982
Жыл бұрын
Mashia hawana sifa ya uislaam hata
Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.
Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie
Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote