maa shaa Allah shaikh qassim yani hii dini bila allah kuweka watu kama shaikh qassim mafuta basi wazushi wangekua wanaleta uvumi tuuu lkn skuiz wana adabu kwa sababu wanaraddiwa
@salumhamed5074Ай бұрын
Allah akupe umri mwema
@salumhamed5074Ай бұрын
May Allah bless you
@AbbasMwakichui-db9tn2 ай бұрын
ALLAH TABAARAKA WA TAALLAH. akulipe kila la kher sheikh wetu kwa kuunasihi UMMA na makundi ya upotovu kama hayo ya mashia na wazushi wengine
@user-yq4zy7vm8xАй бұрын
Shekh Abdul Fadhili Kasim Mafuta,Allah muhifadhi ampe umri mrefu.Tunafaidika sana kupitia ww sheikh.Yeyote mwenye akili timamu akimsikiliza sheikh bila ushabiki atamuelewa mara zote sheikh hulingania tauhidi hii ndio da'awa ya mitume wote.Shekh nakupenda kwaajili ya allah shekh
@abubakarilugina-zw4gt
Ай бұрын
Allah awaongoze mashia warudi katika Uislamu sahihi.... Mashia ni makafiri , laa shakka fiiyhi
@salumhamed5074Ай бұрын
بارك الله فيك
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
وإياك بارك الله فيك
@user-qo9xg9zc2pАй бұрын
Mashaallah shekh qassim
@user-qo9xg9zc2p
Ай бұрын
❤
@salumhamed5074
Ай бұрын
ما شاء الله
@hassanmsangi4149Ай бұрын
ELIMU YAKO BDO NDOGO SANA MZEE MAFUTA
@rightskillstv
Ай бұрын
We yako kubwa ?
@SadamMwalim2 ай бұрын
Maashaalah Allah baarik fiika
@hassanmsangi41492 ай бұрын
USHIA NDIO UKWELI HATA MKIWA MNAONGEA HAMUWEZI KUWAWEZA , USHIA NDIO MADHHEB YA KWELI YA KWELI HAKUNA USUNI WENYE UKWELI
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
si kweliiii hebu semeni Abuubakar na omar ni nani kwa mashia?
@hassanmsangi4149
Ай бұрын
@@Ruqayyah_Hussein_2004 nitumie namba zako nikufundishe dini
@HamadHamduni
Ай бұрын
Ushia ni ukafiri haswaa
@abuuuyaynah2 ай бұрын
huyo shafii siku hizi kazidi kukufuru na yeye anatakiwa kutumiwa makombora yake ya ruduud
@AdamJuma-ov9ebАй бұрын
Unakomenent sheikhe shaf ana mkosa gan ach taghassub zako
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
kakaangu huyo shafi ww humjuii? m yan huyo ndo mtukanaji mkubwa wa mashekhe na tabia hii ni ya mashia wote kiwatukana maswahaba na wanachuoni
@hassanmsangi41492 ай бұрын
MASUNI WANA ELIMU NDOGO KABISA KWENYE MASWALA YA HISTORIA
@hassanmsangi4149Ай бұрын
hoja za masuni hazina mashiko
@salumhamed5074Ай бұрын
Simba wa sunna katika nchi ya Tanzania
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Allah atasamahe mazambi yetu na aizihirishe sunna katika mitaa yetu
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Mitaa imeoza kwa mazambi
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Kwa zinaa na shirki
@salumhamed5074Ай бұрын
Kuwawa Rais wa irani ni nusra kwa watu sunna irani
@hassanmsangi4149Ай бұрын
ukiwa unamsikiliza huyu mzee kuna vitu utaona havijui kwanza ni historia ya uisilam ipo ndogo sana , pili ni elimu ya kufahamu mambo tatu ni kutokuwa na uhakika na anchokitetea. VIZURI ARUDI DARASANI PALE KIGOGO POST AKAFUNDISHWE ELIMU YA DINI TENA.
@user-uu5qw4mm3i21 күн бұрын
Astaghafirullah unadanganya watu
@youssefsanje8743Ай бұрын
Sheikh huu si wakati wa kukosoana sisi kwa sisi Ndg zetu wapalestina wanauliwa kinyama huko badala ya kuungana kuwanusuru mnaweka mihadhara ya malumbano mayahudi wanazidi kufanya jinai za kutisha hivi huo ndio uislam mbona mashia wapo msitari wa mbele keitetea Al-aqsa na ninyi mupo bega kwa bega na mayahudi kuangamiza roho za ndg zenu waislam?
@AlfarouqIslamic
Ай бұрын
Ni kweli ndugu,hawa mashehena ubwabwa kila siku ni kupiga porojo mitandaoni. Hawa wapo chini ya mtandao wa kijasuai wa mayahudi
@bennymochiwa4800
Ай бұрын
Katika swala la Wapalestina Shia nmewakubali, Sunni wameonyesha unafki tu
@wanguzomaster7610
Ай бұрын
Mbon hao wanaombewa duua
@makhanguwakhutu2408Ай бұрын
Hata wanafiq walikuwa wanajulikana wakati inatangazwa jihad wao wanatafuta sababu zakutokuenda sasa hivi Palestine imevamiwa sasa ni jukum la kila muislam mkweli kutetea Palestine sasa wewe salaf na serikali yako ya saudi mbona hatuoni mkituma jesh kutetea Palestine sasa story mingi na huko mashia ndio wanapambana kunusuru Palestina sasa nyinyi ni mdomo tu lakini vitendo mnanusuru myahudi
@makhanguwakhutu2408Ай бұрын
Mimi ni sunni lakini mashia nimeanza kuona ukweli wao wakati Palestine imevamiwa serikali zote za kisuna zimesimama na Israel ni mashiaa tu pekee ndio wanapambana kuokoa Palestine hata mayahudi wenyewe wanajua adui wao ni mashiaa
@abubakarilugina-zw4gt
Ай бұрын
Wewe sio sunni wewe ni Shia Kwa maneno yako haya
@user-tw4nf6bv8b
29 күн бұрын
Wakati nchi za kisunn zikipambana na Israel kuanzia mwaka 1940 mpaka 1967 Iran( Mashia)walikua wapi au walikua bado hajawa ni nchi???????? Unakurupuka tu mashia ndio wakweli kasomeeee
@user-tw4nf6bv8b
29 күн бұрын
Vita ya Israel na Palestine imeanza tarehe 7 unaonekana hujui lolote unadandia tu basi hao Mashia ndio walikabidhi Palestine kwa Israel soma historia Mikurupuko itakufanya kutojua chochote Misri Jordan Syria Saudia zimekua zikipambana vitani na Israel Mashia walikua wapi kipindi hicho ww umeona leo Natambua Israel wanatimiza karne tangu walipoichukua Palestine muda wote walikua wapi hao mashia
@MohammedSaid-zk7yg
21 күн бұрын
@user-tw4nf6bv8b wewe ndugu yangu huoni inafiq wa waarab jinsi wabavyowaacha ndugu zao kiimani,maana Palestine ni masuni na Saud na waarab wengi ni masuni kwa nini hawawasaidii innama lmuuminiin ikhwah
Huyu sheikh amepandikizwa na mayahudi kuwavuruga wanamuqawama kwa hilo amechemka shia ni wazee wakutembeza kichapo hawana ujinga-ujinga katika dini wayahudi hawalali kwasabab ya mashia,wewe kama dhehebu lako ni sahihi mbona serikali zenu mpaka sasa zinasusua kutoa msimamo imara kuwalinda wapalestina badala yake mnampa msaada adui?Sasa huu ni wakati wa vitendo kuwanusuru wapalestina sio kutuletea ushoga ktk dini
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
allah akubarik
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
mche Allah, una uthibitisho wowote kua sheikh qassim mafuta ana mahusiano na mayahudi? au ndo umemezeshw uninga kakaangu?
@AlfarouqIslamic
Ай бұрын
@@Ruqayyah_Hussein_2004Salafi ni mtandao wa kiyahudi100%
@AhmedAli-gh1lm
Ай бұрын
Masalafi wanawaona Waislamu wote wasio fuata kundi la Salafi ni wapotofu. Wanawaona Wapalestina na hasa wapiganaji wakikundi cha HAMAS kuwa ni wapotofu na hawapaswi kupewa sapoti bali wapigwe vita hasa. Masalafi wanafurahi kuona wapiganaji wa HAMAS wakiuliwa.
@makhanguwakhutu2408
Ай бұрын
Masalafi wa ukweli walikuwa mujahidina Wacha Hawa wakujisifu tu Kwa mitandao na @@Ruqayyah_Hussein_2004
Пікірлер: 51
maa shaa Allah shaikh qassim yani hii dini bila allah kuweka watu kama shaikh qassim mafuta basi wazushi wangekua wanaleta uvumi tuuu lkn skuiz wana adabu kwa sababu wanaraddiwa
Allah akupe umri mwema
May Allah bless you
ALLAH TABAARAKA WA TAALLAH. akulipe kila la kher sheikh wetu kwa kuunasihi UMMA na makundi ya upotovu kama hayo ya mashia na wazushi wengine
Shekh Abdul Fadhili Kasim Mafuta,Allah muhifadhi ampe umri mrefu.Tunafaidika sana kupitia ww sheikh.Yeyote mwenye akili timamu akimsikiliza sheikh bila ushabiki atamuelewa mara zote sheikh hulingania tauhidi hii ndio da'awa ya mitume wote.Shekh nakupenda kwaajili ya allah shekh
@abubakarilugina-zw4gt
Ай бұрын
Allah awaongoze mashia warudi katika Uislamu sahihi.... Mashia ni makafiri , laa shakka fiiyhi
بارك الله فيك
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
وإياك بارك الله فيك
Mashaallah shekh qassim
@user-qo9xg9zc2p
Ай бұрын
❤
@salumhamed5074
Ай бұрын
ما شاء الله
ELIMU YAKO BDO NDOGO SANA MZEE MAFUTA
@rightskillstv
Ай бұрын
We yako kubwa ?
Maashaalah Allah baarik fiika
USHIA NDIO UKWELI HATA MKIWA MNAONGEA HAMUWEZI KUWAWEZA , USHIA NDIO MADHHEB YA KWELI YA KWELI HAKUNA USUNI WENYE UKWELI
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
si kweliiii hebu semeni Abuubakar na omar ni nani kwa mashia?
@hassanmsangi4149
Ай бұрын
@@Ruqayyah_Hussein_2004 nitumie namba zako nikufundishe dini
@HamadHamduni
Ай бұрын
Ushia ni ukafiri haswaa
huyo shafii siku hizi kazidi kukufuru na yeye anatakiwa kutumiwa makombora yake ya ruduud
Unakomenent sheikhe shaf ana mkosa gan ach taghassub zako
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
kakaangu huyo shafi ww humjuii? m yan huyo ndo mtukanaji mkubwa wa mashekhe na tabia hii ni ya mashia wote kiwatukana maswahaba na wanachuoni
MASUNI WANA ELIMU NDOGO KABISA KWENYE MASWALA YA HISTORIA
hoja za masuni hazina mashiko
Simba wa sunna katika nchi ya Tanzania
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Allah atasamahe mazambi yetu na aizihirishe sunna katika mitaa yetu
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Mitaa imeoza kwa mazambi
@salumhamed5074
14 күн бұрын
Kwa zinaa na shirki
Kuwawa Rais wa irani ni nusra kwa watu sunna irani
ukiwa unamsikiliza huyu mzee kuna vitu utaona havijui kwanza ni historia ya uisilam ipo ndogo sana , pili ni elimu ya kufahamu mambo tatu ni kutokuwa na uhakika na anchokitetea. VIZURI ARUDI DARASANI PALE KIGOGO POST AKAFUNDISHWE ELIMU YA DINI TENA.
Astaghafirullah unadanganya watu
Sheikh huu si wakati wa kukosoana sisi kwa sisi Ndg zetu wapalestina wanauliwa kinyama huko badala ya kuungana kuwanusuru mnaweka mihadhara ya malumbano mayahudi wanazidi kufanya jinai za kutisha hivi huo ndio uislam mbona mashia wapo msitari wa mbele keitetea Al-aqsa na ninyi mupo bega kwa bega na mayahudi kuangamiza roho za ndg zenu waislam?
@AlfarouqIslamic
Ай бұрын
Ni kweli ndugu,hawa mashehena ubwabwa kila siku ni kupiga porojo mitandaoni. Hawa wapo chini ya mtandao wa kijasuai wa mayahudi
@bennymochiwa4800
Ай бұрын
Katika swala la Wapalestina Shia nmewakubali, Sunni wameonyesha unafki tu
@wanguzomaster7610
Ай бұрын
Mbon hao wanaombewa duua
Hata wanafiq walikuwa wanajulikana wakati inatangazwa jihad wao wanatafuta sababu zakutokuenda sasa hivi Palestine imevamiwa sasa ni jukum la kila muislam mkweli kutetea Palestine sasa wewe salaf na serikali yako ya saudi mbona hatuoni mkituma jesh kutetea Palestine sasa story mingi na huko mashia ndio wanapambana kunusuru Palestina sasa nyinyi ni mdomo tu lakini vitendo mnanusuru myahudi
Mimi ni sunni lakini mashia nimeanza kuona ukweli wao wakati Palestine imevamiwa serikali zote za kisuna zimesimama na Israel ni mashiaa tu pekee ndio wanapambana kuokoa Palestine hata mayahudi wenyewe wanajua adui wao ni mashiaa
@abubakarilugina-zw4gt
Ай бұрын
Wewe sio sunni wewe ni Shia Kwa maneno yako haya
@user-tw4nf6bv8b
29 күн бұрын
Wakati nchi za kisunn zikipambana na Israel kuanzia mwaka 1940 mpaka 1967 Iran( Mashia)walikua wapi au walikua bado hajawa ni nchi???????? Unakurupuka tu mashia ndio wakweli kasomeeee
@user-tw4nf6bv8b
29 күн бұрын
Vita ya Israel na Palestine imeanza tarehe 7 unaonekana hujui lolote unadandia tu basi hao Mashia ndio walikabidhi Palestine kwa Israel soma historia Mikurupuko itakufanya kutojua chochote Misri Jordan Syria Saudia zimekua zikipambana vitani na Israel Mashia walikua wapi kipindi hicho ww umeona leo Natambua Israel wanatimiza karne tangu walipoichukua Palestine muda wote walikua wapi hao mashia
@MohammedSaid-zk7yg
21 күн бұрын
@user-tw4nf6bv8b wewe ndugu yangu huoni inafiq wa waarab jinsi wabavyowaacha ndugu zao kiimani,maana Palestine ni masuni na Saud na waarab wengi ni masuni kwa nini hawawasaidii innama lmuuminiin ikhwah
@salumhamed5074
14 күн бұрын
@@makhanguwakhutu2408 hao wanatukana masahaba hao wanafiki
Shia laanatullaah makafiri wakubwa
Huyu sheikh amepandikizwa na mayahudi kuwavuruga wanamuqawama kwa hilo amechemka shia ni wazee wakutembeza kichapo hawana ujinga-ujinga katika dini wayahudi hawalali kwasabab ya mashia,wewe kama dhehebu lako ni sahihi mbona serikali zenu mpaka sasa zinasusua kutoa msimamo imara kuwalinda wapalestina badala yake mnampa msaada adui?Sasa huu ni wakati wa vitendo kuwanusuru wapalestina sio kutuletea ushoga ktk dini
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
allah akubarik
@Ruqayyah_Hussein_2004
Ай бұрын
mche Allah, una uthibitisho wowote kua sheikh qassim mafuta ana mahusiano na mayahudi? au ndo umemezeshw uninga kakaangu?
@AlfarouqIslamic
Ай бұрын
@@Ruqayyah_Hussein_2004Salafi ni mtandao wa kiyahudi100%
@AhmedAli-gh1lm
Ай бұрын
Masalafi wanawaona Waislamu wote wasio fuata kundi la Salafi ni wapotofu. Wanawaona Wapalestina na hasa wapiganaji wakikundi cha HAMAS kuwa ni wapotofu na hawapaswi kupewa sapoti bali wapigwe vita hasa. Masalafi wanafurahi kuona wapiganaji wa HAMAS wakiuliwa.
@makhanguwakhutu2408
Ай бұрын
Masalafi wa ukweli walikuwa mujahidina Wacha Hawa wakujisifu tu Kwa mitandao na @@Ruqayyah_Hussein_2004