2. HUU NDIO UKWELI KUHUSU USHIA||SHAIKH QASSIM MAFUTA حفظه الله

#habarimubashara #tanzanianyoutuber #habarizauhakika #livestream #livestreaming #juhany #habarimubashara #tanzanianyoutuber #livestream #salafimanhaj

Пікірлер: 51

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii2 ай бұрын

    maa shaa Allah shaikh qassim yani hii dini bila allah kuweka watu kama shaikh qassim mafuta basi wazushi wangekua wanaleta uvumi tuuu lkn skuiz wana adabu kwa sababu wanaraddiwa

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074Ай бұрын

    Allah akupe umri mwema

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074Ай бұрын

    May Allah bless you

  • @AbbasMwakichui-db9tn
    @AbbasMwakichui-db9tn2 ай бұрын

    ALLAH TABAARAKA WA TAALLAH. akulipe kila la kher sheikh wetu kwa kuunasihi UMMA na makundi ya upotovu kama hayo ya mashia na wazushi wengine

  • @user-yq4zy7vm8x
    @user-yq4zy7vm8xАй бұрын

    Shekh Abdul Fadhili Kasim Mafuta,Allah muhifadhi ampe umri mrefu.Tunafaidika sana kupitia ww sheikh.Yeyote mwenye akili timamu akimsikiliza sheikh bila ushabiki atamuelewa mara zote sheikh hulingania tauhidi hii ndio da'awa ya mitume wote.Shekh nakupenda kwaajili ya allah shekh

  • @abubakarilugina-zw4gt

    @abubakarilugina-zw4gt

    Ай бұрын

    Allah awaongoze mashia warudi katika Uislamu sahihi.... Mashia ni makafiri , laa shakka fiiyhi

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074Ай бұрын

    بارك الله فيك

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    وإياك بارك الله فيك

  • @user-qo9xg9zc2p
    @user-qo9xg9zc2pАй бұрын

    Mashaallah shekh qassim

  • @user-qo9xg9zc2p

    @user-qo9xg9zc2p

    Ай бұрын

  • @salumhamed5074

    @salumhamed5074

    Ай бұрын

    ما شاء الله

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149Ай бұрын

    ELIMU YAKO BDO NDOGO SANA MZEE MAFUTA

  • @rightskillstv

    @rightskillstv

    Ай бұрын

    We yako kubwa ?

  • @SadamMwalim
    @SadamMwalim2 ай бұрын

    Maashaalah Allah baarik fiika

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    USHIA NDIO UKWELI HATA MKIWA MNAONGEA HAMUWEZI KUWAWEZA , USHIA NDIO MADHHEB YA KWELI YA KWELI HAKUNA USUNI WENYE UKWELI

  • @Ruqayyah_Hussein_2004

    @Ruqayyah_Hussein_2004

    Ай бұрын

    si kweliiii hebu semeni Abuubakar na omar ni nani kwa mashia?

  • @hassanmsangi4149

    @hassanmsangi4149

    Ай бұрын

    @@Ruqayyah_Hussein_2004 nitumie namba zako nikufundishe dini

  • @HamadHamduni

    @HamadHamduni

    Ай бұрын

    Ushia ni ukafiri haswaa

  • @abuuuyaynah
    @abuuuyaynah2 ай бұрын

    huyo shafii siku hizi kazidi kukufuru na yeye anatakiwa kutumiwa makombora yake ya ruduud

  • @AdamJuma-ov9eb
    @AdamJuma-ov9ebАй бұрын

    Unakomenent sheikhe shaf ana mkosa gan ach taghassub zako

  • @Ruqayyah_Hussein_2004

    @Ruqayyah_Hussein_2004

    Ай бұрын

    kakaangu huyo shafi ww humjuii? m yan huyo ndo mtukanaji mkubwa wa mashekhe na tabia hii ni ya mashia wote kiwatukana maswahaba na wanachuoni

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi41492 ай бұрын

    MASUNI WANA ELIMU NDOGO KABISA KWENYE MASWALA YA HISTORIA

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149Ай бұрын

    hoja za masuni hazina mashiko

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074Ай бұрын

    Simba wa sunna katika nchi ya Tanzania

  • @salumhamed5074

    @salumhamed5074

    14 күн бұрын

    Allah atasamahe mazambi yetu na aizihirishe sunna katika mitaa yetu

  • @salumhamed5074

    @salumhamed5074

    14 күн бұрын

    Mitaa imeoza kwa mazambi

  • @salumhamed5074

    @salumhamed5074

    14 күн бұрын

    Kwa zinaa na shirki

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074Ай бұрын

    Kuwawa Rais wa irani ni nusra kwa watu sunna irani

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149Ай бұрын

    ukiwa unamsikiliza huyu mzee kuna vitu utaona havijui kwanza ni historia ya uisilam ipo ndogo sana , pili ni elimu ya kufahamu mambo tatu ni kutokuwa na uhakika na anchokitetea. VIZURI ARUDI DARASANI PALE KIGOGO POST AKAFUNDISHWE ELIMU YA DINI TENA.

  • @user-uu5qw4mm3i
    @user-uu5qw4mm3i21 күн бұрын

    Astaghafirullah unadanganya watu

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743Ай бұрын

    Sheikh huu si wakati wa kukosoana sisi kwa sisi Ndg zetu wapalestina wanauliwa kinyama huko badala ya kuungana kuwanusuru mnaweka mihadhara ya malumbano mayahudi wanazidi kufanya jinai za kutisha hivi huo ndio uislam mbona mashia wapo msitari wa mbele keitetea Al-aqsa na ninyi mupo bega kwa bega na mayahudi kuangamiza roho za ndg zenu waislam?

  • @AlfarouqIslamic

    @AlfarouqIslamic

    Ай бұрын

    Ni kweli ndugu,hawa mashehena ubwabwa kila siku ni kupiga porojo mitandaoni. Hawa wapo chini ya mtandao wa kijasuai wa mayahudi

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    Ай бұрын

    Katika swala la Wapalestina Shia nmewakubali, Sunni wameonyesha unafki tu

  • @wanguzomaster7610

    @wanguzomaster7610

    Ай бұрын

    Mbon hao wanaombewa duua

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408Ай бұрын

    Hata wanafiq walikuwa wanajulikana wakati inatangazwa jihad wao wanatafuta sababu zakutokuenda sasa hivi Palestine imevamiwa sasa ni jukum la kila muislam mkweli kutetea Palestine sasa wewe salaf na serikali yako ya saudi mbona hatuoni mkituma jesh kutetea Palestine sasa story mingi na huko mashia ndio wanapambana kunusuru Palestina sasa nyinyi ni mdomo tu lakini vitendo mnanusuru myahudi

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408Ай бұрын

    Mimi ni sunni lakini mashia nimeanza kuona ukweli wao wakati Palestine imevamiwa serikali zote za kisuna zimesimama na Israel ni mashiaa tu pekee ndio wanapambana kuokoa Palestine hata mayahudi wenyewe wanajua adui wao ni mashiaa

  • @abubakarilugina-zw4gt

    @abubakarilugina-zw4gt

    Ай бұрын

    Wewe sio sunni wewe ni Shia Kwa maneno yako haya

  • @user-tw4nf6bv8b

    @user-tw4nf6bv8b

    29 күн бұрын

    Wakati nchi za kisunn zikipambana na Israel kuanzia mwaka 1940 mpaka 1967 Iran( Mashia)walikua wapi au walikua bado hajawa ni nchi???????? Unakurupuka tu mashia ndio wakweli kasomeeee

  • @user-tw4nf6bv8b

    @user-tw4nf6bv8b

    29 күн бұрын

    Vita ya Israel na Palestine imeanza tarehe 7 unaonekana hujui lolote unadandia tu basi hao Mashia ndio walikabidhi Palestine kwa Israel soma historia Mikurupuko itakufanya kutojua chochote Misri Jordan Syria Saudia zimekua zikipambana vitani na Israel Mashia walikua wapi kipindi hicho ww umeona leo Natambua Israel wanatimiza karne tangu walipoichukua Palestine muda wote walikua wapi hao mashia

  • @MohammedSaid-zk7yg

    @MohammedSaid-zk7yg

    21 күн бұрын

    ​@user-tw4nf6bv8b wewe ndugu yangu huoni inafiq wa waarab jinsi wabavyowaacha ndugu zao kiimani,maana Palestine ni masuni na Saud na waarab wengi ni masuni kwa nini hawawasaidii innama lmuuminiin ikhwah

  • @salumhamed5074

    @salumhamed5074

    14 күн бұрын

    @@makhanguwakhutu2408 hao wanatukana masahaba hao wanafiki

  • @user-qo9xg9zc2p
    @user-qo9xg9zc2pАй бұрын

    Shia laanatullaah makafiri wakubwa

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743Ай бұрын

    Huyu sheikh amepandikizwa na mayahudi kuwavuruga wanamuqawama kwa hilo amechemka shia ni wazee wakutembeza kichapo hawana ujinga-ujinga katika dini wayahudi hawalali kwasabab ya mashia,wewe kama dhehebu lako ni sahihi mbona serikali zenu mpaka sasa zinasusua kutoa msimamo imara kuwalinda wapalestina badala yake mnampa msaada adui?Sasa huu ni wakati wa vitendo kuwanusuru wapalestina sio kutuletea ushoga ktk dini

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    allah akubarik

  • @Ruqayyah_Hussein_2004

    @Ruqayyah_Hussein_2004

    Ай бұрын

    mche Allah, una uthibitisho wowote kua sheikh qassim mafuta ana mahusiano na mayahudi? au ndo umemezeshw uninga kakaangu?

  • @AlfarouqIslamic

    @AlfarouqIslamic

    Ай бұрын

    ​@@Ruqayyah_Hussein_2004Salafi ni mtandao wa kiyahudi100%

  • @AhmedAli-gh1lm

    @AhmedAli-gh1lm

    Ай бұрын

    Masalafi wanawaona Waislamu wote wasio fuata kundi la Salafi ni wapotofu. Wanawaona Wapalestina na hasa wapiganaji wakikundi cha HAMAS kuwa ni wapotofu na hawapaswi kupewa sapoti bali wapigwe vita hasa. Masalafi wanafurahi kuona wapiganaji wa HAMAS wakiuliwa.

  • @makhanguwakhutu2408

    @makhanguwakhutu2408

    Ай бұрын

    Masalafi wa ukweli walikuwa mujahidina Wacha Hawa wakujisifu tu Kwa mitandao na ​@@Ruqayyah_Hussein_2004

Келесі