Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya
@abuuzunayrah3029Ай бұрын
Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws
@hafizmubarakmussa1780Ай бұрын
Ustaadh shafii Allah akuhifadhi
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Uislam haina unafiq ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa Mbogo ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini Allah akuhifadh Shifiii
@fundimorisho8230Ай бұрын
Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo
@augustomariosama154218 күн бұрын
Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua
@alidingongo443Ай бұрын
Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.
@williamgabrielmassawe3654
Ай бұрын
Mohamedi alitoa dalili gani?
@pascalvirgilio7208
Ай бұрын
Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂
@pascalvirgilio7208
Ай бұрын
Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa
@adamhashim3352
Ай бұрын
Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna@@pascalvirgilio7208
@abdallahjuma2608Ай бұрын
Wafundishe sheikh shafi
@salumsimai642Ай бұрын
Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah
@user-xw5tf6xi4zАй бұрын
Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii
@shabanihugo8332Ай бұрын
Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo
@user-zm6kz8mx5vАй бұрын
Ma sha Allah shafi ww kiboko
@tanihsayyd8524Ай бұрын
Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh. Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi? Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu… Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran
@NM-rq9dr
Ай бұрын
Kweli kabisa
@nasrihussein4293Ай бұрын
Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya
@paulmushi2428Ай бұрын
Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂
Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao
@paulmushi2428Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅
@SmilingCondorBird-wo3wkАй бұрын
Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.
@MassoudHamadАй бұрын
Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani
@user-fy4op1sw2fАй бұрын
Naam Sheikh Shafi tupe vitu
@bekatng1006Ай бұрын
Acheni kiki za Wana muziki
@kassimomari7505Ай бұрын
Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi
@rahmamohammed9678Ай бұрын
Uongo siku zote huzihirika Subhuna Allaah
@19ddrАй бұрын
Kweli shee
@ismailally3219Ай бұрын
mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Ule sio Dr kuanzia leo
@alhimnamussasaid3619Ай бұрын
Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu
@AbubakarAlly-th6opАй бұрын
Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina
@SolomomAdams-pf5zy17 күн бұрын
Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri.. Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine. Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani
@user-ry8bx1fr7vАй бұрын
Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao
@paulmushi2428Ай бұрын
Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂
@EmilyKamotoАй бұрын
Kimeumana
@adamhashim3352Ай бұрын
Wahadhir nyote wapigaji tunawajua
@godfreydavid6847Ай бұрын
Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi
@hajiabdalla5772Ай бұрын
Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu
@shabanimadobe972Ай бұрын
Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu
@MukulasiKapelaАй бұрын
Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Aende kwa Sule amgawiye jini moja limuletee fedha.
@adamhashim3352
Ай бұрын
Hahaaa hawa. Wanaoneana choyo
@uongohaunanafasi8572Ай бұрын
Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili
@MoBortion
Ай бұрын
Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!
@jefwabaya2637Ай бұрын
Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake
@emmanuelomary1725Ай бұрын
MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU
@BradothAdm
Ай бұрын
Acha matusi mpuuz
@user-hd3pi3bc9vАй бұрын
Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓
@RamadhanMgeni-gt1tuАй бұрын
Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani
@user-ts1kz1lw9pАй бұрын
mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini خدوا زینتکم عند کل مسجد
@abdallaabdalla998Ай бұрын
Duh sauti ndio sna
@AbubakarAlly-th6opАй бұрын
Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina
@aishaarusha894Ай бұрын
Sule agongolewe misumari kwakweli
@shabanihugo8332Ай бұрын
Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake
@MusaRamadhani-wj2dwАй бұрын
Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Bora mwisho mwema tu
@godfreydavid6847Ай бұрын
Mzee Sule anajua ...unaongea uongo
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma
@nasrihussein4293Ай бұрын
Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna
@fredyunga2138Ай бұрын
Huu ndo uislam.
@user-bo1ew3xq6wАй бұрын
Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu
@aljalilatiba9873Ай бұрын
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu
@rezikomer9552Ай бұрын
Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo
@SALUMCHALOАй бұрын
Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo
@omarymbonde6748
Ай бұрын
Wanamlinda kwa amri ya Allah
@user-pg4qx1sv5xАй бұрын
Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2
@thedriver.michael.3975Ай бұрын
Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah
@edwardbenard4578Ай бұрын
Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din
@edwardbenard4578
Ай бұрын
Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea
@ismailally3219Ай бұрын
maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v
@nubianqueen6700Ай бұрын
Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.
Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
ni dini yaungo ndio maana!
@adamhashim3352
Ай бұрын
Wacha wafrahi mi nilijua wanaingia peponi
@Hamis-ks1syАй бұрын
Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
sule nimfanya byashara ndani ya dini!
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah
@fundimorisho8230Ай бұрын
Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha
@peteramollo5329
Ай бұрын
Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media. Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume. Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh. Jaluo kutoka Kenya
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@peteramollo5329 Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox
@odilomwemeziernest646Ай бұрын
Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.
@aliyyuhibu3561Ай бұрын
kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo
@aljalilatiba9873
Ай бұрын
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@suleim505
Ай бұрын
inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini
@bakarikaoneka1080Ай бұрын
Shameful
@saiddgsmgАй бұрын
Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.
@aishaarusha894
Ай бұрын
Na wewe una miliki au sio😊
@saiddgsmgАй бұрын
sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote
@user-ow2jv4vn8bАй бұрын
Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo
@user-ry8bx1fr7vАй бұрын
sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo
@alidingongo443
Ай бұрын
Anajibu hoja kua mpole
@mohdkhatib223
Ай бұрын
Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule
@EmmanuelJulius-vw2dlАй бұрын
Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂
@coyancodavao4004
Ай бұрын
Endelea kujidanganya
@aishaarusha894
Ай бұрын
Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki
@coyancodavao4004
Ай бұрын
Endelea kujidanganya
@paulmushi2428
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅
@haidarsaid6800
Ай бұрын
Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂
@omaryjumas6327Ай бұрын
Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei? Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize. Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi? Tunaomba majibu. Mbona unakwepa kujibu hili swali?
@user-id1gz3ng3kАй бұрын
Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini
@halimaa9367Ай бұрын
Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi
Пікірлер: 133
Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya
Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws
Ustaadh shafii Allah akuhifadhi
Uislam haina unafiq ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa Mbogo ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini Allah akuhifadh Shifiii
Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo
Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua
Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.
@williamgabrielmassawe3654
Ай бұрын
Mohamedi alitoa dalili gani?
@pascalvirgilio7208
Ай бұрын
Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂
@pascalvirgilio7208
Ай бұрын
Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa
@adamhashim3352
Ай бұрын
Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna@@pascalvirgilio7208
Wafundishe sheikh shafi
Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah
Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii
Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo
Ma sha Allah shafi ww kiboko
Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh. Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi? Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu… Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran
@NM-rq9dr
Ай бұрын
Kweli kabisa
Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya
Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂
shafii ww jeshi sn
Shafii mwambie mwambie Mbogo atakuitaje Sheikh Mbugila Mbugila bhana😂😂😂😂😂😂😂
Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao
😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅
Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.
Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani
Naam Sheikh Shafi tupe vitu
Acheni kiki za Wana muziki
Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi
Uongo siku zote huzihirika Subhuna Allaah
Kweli shee
mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo
Ule sio Dr kuanzia leo
Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu
Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina
Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri.. Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine. Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani
Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao
Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂
Kimeumana
Wahadhir nyote wapigaji tunawajua
Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi
Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu
Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu
Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Aende kwa Sule amgawiye jini moja limuletee fedha.
@adamhashim3352
Ай бұрын
Hahaaa hawa. Wanaoneana choyo
Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili
@MoBortion
Ай бұрын
Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!
Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake
MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU
@BradothAdm
Ай бұрын
Acha matusi mpuuz
Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓
Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani
mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini خدوا زینتکم عند کل مسجد
Duh sauti ndio sna
Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina
Sule agongolewe misumari kwakweli
Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake
Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake
Bora mwisho mwema tu
Mzee Sule anajua ...unaongea uongo
Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma
Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna
Huu ndo uislam.
Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu
Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo
Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo
@omarymbonde6748
Ай бұрын
Wanamlinda kwa amri ya Allah
Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2
Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah
Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din
@edwardbenard4578
Ай бұрын
Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea
maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v
Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.
Nikisema maalim sha’afi hanaga unafki mnazani natania 😂😂😂😂
@adamhashim3352
Ай бұрын
Wew. Nae tunayajua yakwake ila tustiriane
Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
ni dini yaungo ndio maana!
@adamhashim3352
Ай бұрын
Wacha wafrahi mi nilijua wanaingia peponi
Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
sule nimfanya byashara ndani ya dini!
Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah
Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote
Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha
@peteramollo5329
Ай бұрын
Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media. Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume. Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh. Jaluo kutoka Kenya
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@peteramollo5329 Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox
Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.
kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo
@aljalilatiba9873
Ай бұрын
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@suleim505
Ай бұрын
inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini
Shameful
Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.
@aishaarusha894
Ай бұрын
Na wewe una miliki au sio😊
sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote
Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo
sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo
@alidingongo443
Ай бұрын
Anajibu hoja kua mpole
@mohdkhatib223
Ай бұрын
Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule
Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂
@coyancodavao4004
Ай бұрын
Endelea kujidanganya
@aishaarusha894
Ай бұрын
Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki
@coyancodavao4004
Ай бұрын
Endelea kujidanganya
@paulmushi2428
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅
@haidarsaid6800
Ай бұрын
Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂
Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei? Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize. Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi? Tunaomba majibu. Mbona unakwepa kujibu hili swali?
Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini
Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi