KIBARAKA WA DR SULE APELEKWA SHULE //Ust SHAFI

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 133

  • @Dearm-ome2in1huba
    @Dearm-ome2in1hubaАй бұрын

    Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya

  • @abuuzunayrah3029
    @abuuzunayrah3029Ай бұрын

    Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws

  • @hafizmubarakmussa1780
    @hafizmubarakmussa1780Ай бұрын

    Ustaadh shafii Allah akuhifadhi

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    Uislam haina unafiq ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa Mbogo ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini Allah akuhifadh Shifiii

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230Ай бұрын

    Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama154218 күн бұрын

    Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua

  • @alidingongo443
    @alidingongo443Ай бұрын

    Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja

  • @richardmshiu5118

    @richardmshiu5118

    Ай бұрын

    Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.

  • @williamgabrielmassawe3654

    @williamgabrielmassawe3654

    Ай бұрын

    Mohamedi alitoa dalili gani?

  • @pascalvirgilio7208

    @pascalvirgilio7208

    Ай бұрын

    Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂

  • @pascalvirgilio7208

    @pascalvirgilio7208

    Ай бұрын

    Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    Ай бұрын

    Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna​@@pascalvirgilio7208

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608Ай бұрын

    Wafundishe sheikh shafi

  • @salumsimai642
    @salumsimai642Ай бұрын

    Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah

  • @user-xw5tf6xi4z
    @user-xw5tf6xi4zАй бұрын

    Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332Ай бұрын

    Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo

  • @user-zm6kz8mx5v
    @user-zm6kz8mx5vАй бұрын

    Ma sha Allah shafi ww kiboko

  • @tanihsayyd8524
    @tanihsayyd8524Ай бұрын

    Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh. Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi? Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu… Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran

  • @NM-rq9dr

    @NM-rq9dr

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293Ай бұрын

    Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂

  • @AbedRamadhan
    @AbedRamadhanАй бұрын

    shafii ww jeshi sn

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Shafii mwambie mwambie Mbogo atakuitaje Sheikh Mbugila Mbugila bhana😂😂😂😂😂😂😂

  • @Ambeniwatano
    @AmbeniwatanoАй бұрын

    Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅

  • @SmilingCondorBird-wo3wk
    @SmilingCondorBird-wo3wkАй бұрын

    Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.

  • @MassoudHamad
    @MassoudHamadАй бұрын

    Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2fАй бұрын

    Naam Sheikh Shafi tupe vitu

  • @bekatng1006
    @bekatng1006Ай бұрын

    Acheni kiki za Wana muziki

  • @kassimomari7505
    @kassimomari7505Ай бұрын

    Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678Ай бұрын

    Uongo siku zote huzihirika Subhuna Allaah

  • @19ddr
    @19ddrАй бұрын

    Kweli shee

  • @ismailally3219
    @ismailally3219Ай бұрын

    mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8oАй бұрын

    Ule sio Dr kuanzia leo

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619Ай бұрын

    Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6opАй бұрын

    Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina

  • @SolomomAdams-pf5zy
    @SolomomAdams-pf5zy17 күн бұрын

    Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri.. Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine. Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani

  • @user-ry8bx1fr7v
    @user-ry8bx1fr7vАй бұрын

    Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂

  • @EmilyKamoto
    @EmilyKamotoАй бұрын

    Kimeumana

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352Ай бұрын

    Wahadhir nyote wapigaji tunawajua

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847Ай бұрын

    Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772Ай бұрын

    Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu

  • @shabanimadobe972
    @shabanimadobe972Ай бұрын

    Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapelaАй бұрын

    Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Ай бұрын

    Aende kwa Sule amgawiye jini moja limuletee fedha.

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    Ай бұрын

    Hahaaa hawa. Wanaoneana choyo

  • @uongohaunanafasi8572
    @uongohaunanafasi8572Ай бұрын

    Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili

  • @MoBortion

    @MoBortion

    Ай бұрын

    Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!

  • @jefwabaya2637
    @jefwabaya2637Ай бұрын

    Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake

  • @emmanuelomary1725
    @emmanuelomary1725Ай бұрын

    MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU

  • @BradothAdm

    @BradothAdm

    Ай бұрын

    Acha matusi mpuuz

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9vАй бұрын

    Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tuАй бұрын

    Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9pАй бұрын

    mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini خدوا زینتکم عند کل مسجد

  • @abdallaabdalla998
    @abdallaabdalla998Ай бұрын

    Duh sauti ndio sna

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6opАй бұрын

    Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894Ай бұрын

    Sule agongolewe misumari kwakweli

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332Ай бұрын

    Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dwАй бұрын

    Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995Ай бұрын

    Bora mwisho mwema tu

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847Ай бұрын

    Mzee Sule anajua ...unaongea uongo

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388Ай бұрын

    Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293Ай бұрын

    Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna

  • @fredyunga2138
    @fredyunga2138Ай бұрын

    Huu ndo uislam.

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6wАй бұрын

    Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.

  • @richardmshiu5118

    @richardmshiu5118

    Ай бұрын

    Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873Ай бұрын

    QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1ydАй бұрын

    Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552Ай бұрын

    Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo

  • @SALUMCHALO
    @SALUMCHALOАй бұрын

    Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo

  • @omarymbonde6748

    @omarymbonde6748

    Ай бұрын

    Wanamlinda kwa amri ya Allah

  • @user-pg4qx1sv5x
    @user-pg4qx1sv5xАй бұрын

    Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975Ай бұрын

    Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah

  • @edwardbenard4578
    @edwardbenard4578Ай бұрын

    Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din

  • @edwardbenard4578

    @edwardbenard4578

    Ай бұрын

    Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea

  • @ismailally3219
    @ismailally3219Ай бұрын

    maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700Ай бұрын

    Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.

  • @Del_busi5
    @Del_busi5Ай бұрын

    Nikisema maalim sha’afi hanaga unafki mnazani natania 😂😂😂😂

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    Ай бұрын

    Wew. Nae tunayajua yakwake ila tustiriane

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945Ай бұрын

    Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    Ай бұрын

    ni dini yaungo ndio maana!

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    Ай бұрын

    Wacha wafrahi mi nilijua wanaingia peponi

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    Ай бұрын

    sule nimfanya byashara ndani ya dini!

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230Ай бұрын

    Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha

  • @peteramollo5329

    @peteramollo5329

    Ай бұрын

    Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media. Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume. Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh. Jaluo kutoka Kenya

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    @@peteramollo5329 Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646Ай бұрын

    Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561Ай бұрын

    kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo

  • @aljalilatiba9873

    @aljalilatiba9873

    Ай бұрын

    QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @suleim505

    @suleim505

    Ай бұрын

    inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080Ай бұрын

    Shameful

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmgАй бұрын

    Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Ай бұрын

    Na wewe una miliki au sio😊

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmgАй бұрын

    sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8bАй бұрын

    Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo

  • @user-ry8bx1fr7v
    @user-ry8bx1fr7vАй бұрын

    sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo

  • @alidingongo443

    @alidingongo443

    Ай бұрын

    Anajibu hoja kua mpole

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Ай бұрын

    Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule

  • @EmmanuelJulius-vw2dl
    @EmmanuelJulius-vw2dlАй бұрын

    Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂

  • @coyancodavao4004

    @coyancodavao4004

    Ай бұрын

    Endelea kujidanganya

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Ай бұрын

    Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki

  • @coyancodavao4004

    @coyancodavao4004

    Ай бұрын

    Endelea kujidanganya

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅

  • @haidarsaid6800

    @haidarsaid6800

    Ай бұрын

    Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327Ай бұрын

    Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei? Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize. Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi? Tunaomba majibu. Mbona unakwepa kujibu hili swali?

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3kАй бұрын

    Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini

  • @halimaa9367
    @halimaa9367Ай бұрын

    Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi

Келесі