Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎
@user-hm6uz7zc5bАй бұрын
Nakukubali sana waziri wangu chukua zawadi hiyo❤❤❤❤❤❤
@othumanomari1589Ай бұрын
Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️
@thomassalvatory83032 ай бұрын
usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi
@edgarmwambapa2789
Ай бұрын
Mzee unamachok
@user-jo1zp7fj7r2 ай бұрын
police nae anarespect kwa kichwa
@spantonsamba61912 ай бұрын
Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani
@selemanmaganga-le4zg2 ай бұрын
Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.
@user-oh6pc7zd4s2 ай бұрын
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI
@mohammedkhimji75052 ай бұрын
Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣
@MrGallaba2 ай бұрын
Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...
@AliAbdallah-yo8dxАй бұрын
Haki haizami hata iweje
@furahaseth12152 ай бұрын
Nakuelewa sanaa afande
@ttss77162 ай бұрын
Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢
@angellomarcel5677Ай бұрын
Silaa udumu Milele
@elizageorge24142 ай бұрын
Jery unafraid sana
@kitwanashem32722 ай бұрын
Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi
@ngalutuju3992 ай бұрын
Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure
@user-tk4es1uw7e2 ай бұрын
Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe
@Shehasweet-hy6xnАй бұрын
S.H.amon wewe???? Shame of youuu
@DM_152 ай бұрын
Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr
Пікірлер: 23
Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎
Nakukubali sana waziri wangu chukua zawadi hiyo❤❤❤❤❤❤
Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️
usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi
@edgarmwambapa2789
Ай бұрын
Mzee unamachok
police nae anarespect kwa kichwa
Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani
Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI
Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣
Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...
Haki haizami hata iweje
Nakuelewa sanaa afande
Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢
Silaa udumu Milele
Jery unafraid sana
Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi
Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure
Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe
S.H.amon wewe???? Shame of youuu
Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr