MMILIKI WA S. H. AMON AKUMBANA NA WAZIRI SILAA KARIAKOO, MGOGORO WA JENGO LA GHOROFA WATATULIWA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 23

  • @JrMambo
    @JrMambo2 ай бұрын

    Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎

  • @user-hm6uz7zc5b
    @user-hm6uz7zc5bАй бұрын

    Nakukubali sana waziri wangu chukua zawadi hiyo❤❤❤❤❤❤

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589Ай бұрын

    Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory83032 ай бұрын

    usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi

  • @edgarmwambapa2789

    @edgarmwambapa2789

    Ай бұрын

    Mzee unamachok

  • @user-jo1zp7fj7r
    @user-jo1zp7fj7r2 ай бұрын

    police nae anarespect kwa kichwa

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba61912 ай бұрын

    Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg2 ай бұрын

    Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    Ай бұрын

    Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s2 ай бұрын

    FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji75052 ай бұрын

    Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣

  • @MrGallaba
    @MrGallaba2 ай бұрын

    Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dxАй бұрын

    Haki haizami hata iweje

  • @furahaseth1215
    @furahaseth12152 ай бұрын

    Nakuelewa sanaa afande

  • @ttss7716
    @ttss77162 ай бұрын

    Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677Ай бұрын

    Silaa udumu Milele

  • @elizageorge2414
    @elizageorge24142 ай бұрын

    Jery unafraid sana

  • @kitwanashem3272
    @kitwanashem32722 ай бұрын

    Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi

  • @ngalutuju399
    @ngalutuju3992 ай бұрын

    Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure

  • @user-tk4es1uw7e
    @user-tk4es1uw7e2 ай бұрын

    Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xnАй бұрын

    S.H.amon wewe???? Shame of youuu

  • @DM_15
    @DM_152 ай бұрын

    Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr

Келесі