WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 153
@hildajoel5Ай бұрын
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
@joycekisamo4896Ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed391
Ай бұрын
Aisee kwakweli nimelia
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
@augustinesombi6285Ай бұрын
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
@audaxbizimana8084Ай бұрын
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
@kulwankuba2785Ай бұрын
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
@susanwambui6361Ай бұрын
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
@jumapiliissa4835Ай бұрын
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
@mwanakombopopo5117Ай бұрын
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
@neemanziku5403Ай бұрын
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
@rehemaadam4102Ай бұрын
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.5217
Ай бұрын
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
@mr.yahzadochuno7914Ай бұрын
I love this man
@ireneimbuhira7759Ай бұрын
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
@muniraahmed624Ай бұрын
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
@ElihurumaThomas-kz8nqАй бұрын
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
@ashuramuhammed3257Ай бұрын
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl
Ай бұрын
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
@mahmoudhamisi673Ай бұрын
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
@fatmamati524628 күн бұрын
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
@StellaWailluАй бұрын
Mungu akulinde mh Jerry
@malietamalieta9658Ай бұрын
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
@naigeorge7765Ай бұрын
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
@boniventurehussein7276Ай бұрын
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
@janetchinga695Ай бұрын
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
@THOMASMAYOGU-vu5ny25 күн бұрын
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
@njuka3515Ай бұрын
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
@RASHIDMOHAMMEDIАй бұрын
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
@ruthleonard295815 күн бұрын
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
@ahmesaofficial961120 күн бұрын
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
@JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын
Pole Sana
@user-cb5zb3fy8yАй бұрын
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
@OllerDesononline633321 күн бұрын
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
@rewardyesse7314Ай бұрын
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
@paulinakiria7918Ай бұрын
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
@safiaothman5175Ай бұрын
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
@vickyshayo788025 күн бұрын
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
@user-gr6wb9oq1nАй бұрын
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7w
Ай бұрын
Kbs
@judyngowi391
Ай бұрын
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
@JosephineexsuperАй бұрын
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
@mwantumuhassani508628 күн бұрын
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
@ramadhanisalum3898Ай бұрын
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
@christaoman8890Ай бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
@fifo26227 күн бұрын
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
@johasaeed391Ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni23 күн бұрын
Mungu akubari sana kaka
@user-kt1vy1wf7dАй бұрын
Ooh lord, it's so painful, but God is good
@suleymanimixkatafighter2669Ай бұрын
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
@neemaneychricious649329 күн бұрын
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
@mswadikinamambo2276Ай бұрын
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
@eddytheophil7626Ай бұрын
Pole sana brother..
@MrishoHussein-oz9nrАй бұрын
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
@SaadiyaMohammad-og5bgАй бұрын
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
@MagdalenaMatikoАй бұрын
Mungu hajaruhusu kifo chako
@eddietaxidriverzanzibar4395Ай бұрын
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
@abedysteven4930Ай бұрын
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
@PASCHAL-kh8qpАй бұрын
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
@user-cz5oy1od5dАй бұрын
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
@user-yp8vt8ni8eАй бұрын
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
@karolikisaka8991Ай бұрын
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo4896
Ай бұрын
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis9579
Ай бұрын
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qv
Ай бұрын
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
@giftyjohn3852Ай бұрын
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
@thomastemu333229 күн бұрын
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
@ajaykilawah2622Ай бұрын
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh
Ай бұрын
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
@LeonardChacha-it2pbАй бұрын
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
@user-pd1kt3xr3s29 күн бұрын
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
@denisrukangula222723 күн бұрын
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
@babazungu3180Ай бұрын
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
@honoratusmodest285Ай бұрын
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
@frankazalia5985Ай бұрын
Polèe sanaaa aseeee
@SKY-fk3fzАй бұрын
Arusha kumezidi kwa dhulma
@ismailchibonda500529 күн бұрын
Aise dah! Inauma sana
@reginamtitu559229 күн бұрын
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
@zabibubashiri3034Ай бұрын
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
@KassianChengo28 күн бұрын
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
@MariaChiwaligo28 күн бұрын
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
@chany995025 күн бұрын
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
@EsterMbise-pj4vd29 күн бұрын
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
@barakadaprince3742Ай бұрын
So painful 💔 😢
@mohamedkitemwe3569Ай бұрын
Inaumiza sana
@AllybinamourАй бұрын
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV
Ай бұрын
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
@NixonJohnson-zn8nk23 күн бұрын
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
@jareengeorge547828 күн бұрын
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
@jabirpombe133329 күн бұрын
Sema mheshimiwa huku kwetu majoe dar mnatusahau kuhusu barabara hebu tusaidie kiongozi wewe unaweza
@kamrudinelias392220 күн бұрын
2025 nje nje au!!!!!
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢
@fifo26227 күн бұрын
Da ! Mambo magumu
@julius_wankyoАй бұрын
Nimegundua Kwa miaka ya hivi karibuni Kumekuwa na wimbi la viongozi wa tanzania kumwaga machozi, hii ina ishara gani?
@Rahima-kv6mn
Ай бұрын
Akuna ishara yeyote Bali Mungu tu amewabariki kuwa na nyoyo za. Huruma maana nawao binadam km sisi tofauti yetu ni vyeo tu walivyonavyo kikubwa Tuwaombee tu
@julius_wankyo
Ай бұрын
@@Rahima-kv6mn je viongozi wa miaka ya zamani hawakubarikiwa mioyo ya huruma?? Maana Kwa kumbukumbu zangu vilio vya viongozi vimeanza tu miaka ya juzi juzi hapa.
@Rahima-kv6mn
Ай бұрын
@@julius_wankyo Zamani pia walikuwepo walifanya vzr wengi tu sema media zilikuwa sio nyingi km Sasa mpk sisi walala hoi tunaona nani mzr nani mbaya Lakini akuna kizazi kisicho kuwa kizr abadani asilani kikubwa tuzidi kuwaombea na wanao jiona wanatabia sizo ndo wakati wa kubadilika huu maisha yenyewe mafupi haya unakusanya Mali unadhurumu kila kona mwisho wa siku kifo tu aina faida 😭😭😭😭
@imanimussa625627 күн бұрын
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
@dr.phormenykishaija650827 күн бұрын
Da😪
@frankdablacknation2057Ай бұрын
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
@ArafaJafari29 күн бұрын
Dah 😢😮
@teddyndungurusabnu4792Ай бұрын
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
@SayiMadaha-fq7tuАй бұрын
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
@stevenemwakasimba-pt8er29 күн бұрын
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
@mariamdullazy8166Ай бұрын
😢
@Natashawaziri-bv2xlАй бұрын
Daaah
@Zainab-sq1tcАй бұрын
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
@hamzafishten9560Ай бұрын
Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa
@bensonwissa5777Ай бұрын
Kuna wananchi wanateseka Sana so sad😢
@lvanyDaniel_pw7kk29 күн бұрын
Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo
@lusajomwaipopo5042Ай бұрын
Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani
Пікірлер: 153
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed391
Ай бұрын
Aisee kwakweli nimelia
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.5217
Ай бұрын
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
I love this man
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl
Ай бұрын
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
Mungu akulinde mh Jerry
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
Pole Sana
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7w
Ай бұрын
Kbs
@judyngowi391
Ай бұрын
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
Mungu akubari sana kaka
Ooh lord, it's so painful, but God is good
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
Pole sana brother..
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
Mungu hajaruhusu kifo chako
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo4896
Ай бұрын
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis9579
Ай бұрын
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qv
Ай бұрын
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh
Ай бұрын
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
Polèe sanaaa aseeee
Arusha kumezidi kwa dhulma
Aise dah! Inauma sana
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
So painful 💔 😢
Inaumiza sana
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV
Ай бұрын
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
Sema mheshimiwa huku kwetu majoe dar mnatusahau kuhusu barabara hebu tusaidie kiongozi wewe unaweza
2025 nje nje au!!!!!
Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢
Da ! Mambo magumu
Nimegundua Kwa miaka ya hivi karibuni Kumekuwa na wimbi la viongozi wa tanzania kumwaga machozi, hii ina ishara gani?
@Rahima-kv6mn
Ай бұрын
Akuna ishara yeyote Bali Mungu tu amewabariki kuwa na nyoyo za. Huruma maana nawao binadam km sisi tofauti yetu ni vyeo tu walivyonavyo kikubwa Tuwaombee tu
@julius_wankyo
Ай бұрын
@@Rahima-kv6mn je viongozi wa miaka ya zamani hawakubarikiwa mioyo ya huruma?? Maana Kwa kumbukumbu zangu vilio vya viongozi vimeanza tu miaka ya juzi juzi hapa.
@Rahima-kv6mn
Ай бұрын
@@julius_wankyo Zamani pia walikuwepo walifanya vzr wengi tu sema media zilikuwa sio nyingi km Sasa mpk sisi walala hoi tunaona nani mzr nani mbaya Lakini akuna kizazi kisicho kuwa kizr abadani asilani kikubwa tuzidi kuwaombea na wanao jiona wanatabia sizo ndo wakati wa kubadilika huu maisha yenyewe mafupi haya unakusanya Mali unadhurumu kila kona mwisho wa siku kifo tu aina faida 😭😭😭😭
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
Da😪
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
Dah 😢😮
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
😢
Daaah
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa
Kuna wananchi wanateseka Sana so sad😢
Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo
Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani