WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA"

Пікірлер: 153

  • @hildajoel5
    @hildajoel5Ай бұрын

    Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896Ай бұрын

    Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽

  • @johasaeed391

    @johasaeed391

    Ай бұрын

    Aisee kwakweli nimelia

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323Ай бұрын

    Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285Ай бұрын

    Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084Ай бұрын

    Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785Ай бұрын

    Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.

  • @susanwambui6361
    @susanwambui6361Ай бұрын

    Kazi nzurii mhesimiwa👏👏

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835Ай бұрын

    Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117Ай бұрын

    Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403Ай бұрын

    Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze

  • @rehemaadam4102
    @rehemaadam4102Ай бұрын

    Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭

  • @christainc.5217

    @christainc.5217

    Ай бұрын

    Mutafute makonda kaka atakusaidiy

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914Ай бұрын

    I love this man

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759Ай бұрын

    Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2zАй бұрын

    Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624Ай бұрын

    Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nqАй бұрын

    JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257Ай бұрын

    Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #

  • @Natashawaziri-bv2xl

    @Natashawaziri-bv2xl

    Ай бұрын

    Wallah tunaumizwa sana ktk hili

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673Ай бұрын

    Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia

  • @fatmamati5246
    @fatmamati524628 күн бұрын

    Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin

  • @StellaWaillu
    @StellaWailluАй бұрын

    Mungu akulinde mh Jerry

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658Ай бұрын

    Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏

  • @naigeorge7765
    @naigeorge7765Ай бұрын

    MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276Ай бұрын

    Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika

  • @janetchinga695
    @janetchinga695Ай бұрын

    Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa

  • @THOMASMAYOGU-vu5ny
    @THOMASMAYOGU-vu5ny25 күн бұрын

    Hongera sillaa❤❤❤❤❤

  • @njuka3515
    @njuka3515Ай бұрын

    Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini

  • @RASHIDMOHAMMEDI
    @RASHIDMOHAMMEDIАй бұрын

    Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu

  • @ruthleonard2958
    @ruthleonard295815 күн бұрын

    Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo

  • @ahmesaofficial9611
    @ahmesaofficial961120 күн бұрын

    Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын

    Pole Sana

  • @user-cb5zb3fy8y
    @user-cb5zb3fy8yАй бұрын

    MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline633321 күн бұрын

    Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314Ай бұрын

    Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918Ай бұрын

    Huyu kaka ameongea Kwa uchungu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175Ай бұрын

    Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo788025 күн бұрын

    Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia

  • @user-gr6wb9oq1n
    @user-gr6wb9oq1nАй бұрын

    Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo

  • @user-vf5gs7ik7w

    @user-vf5gs7ik7w

    Ай бұрын

    Kbs

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    Ай бұрын

    Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa

  • @Josephineexsuper
    @JosephineexsuperАй бұрын

    Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana

  • @mwantumuhassani5086
    @mwantumuhassani508628 күн бұрын

    ❤ mwenyezi mungu akulinde silaha

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898Ай бұрын

    Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa

  • @christaoman8890
    @christaoman8890Ай бұрын

    Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu

  • @fifo262
    @fifo26227 күн бұрын

    Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia

  • @johasaeed391
    @johasaeed391Ай бұрын

    Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana

  • @MonicaDamsoniMonikaDamsoni
    @MonicaDamsoniMonikaDamsoni23 күн бұрын

    Mungu akubari sana kaka

  • @user-kt1vy1wf7d
    @user-kt1vy1wf7dАй бұрын

    Ooh lord, it's so painful, but God is good

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669Ай бұрын

    Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын

    Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious649329 күн бұрын

    daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah

  • @mswadikinamambo2276
    @mswadikinamambo2276Ай бұрын

    Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626Ай бұрын

    Pole sana brother..

  • @MrishoHussein-oz9nr
    @MrishoHussein-oz9nrАй бұрын

    Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bgАй бұрын

    Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatikoАй бұрын

    Mungu hajaruhusu kifo chako

  • @eddietaxidriverzanzibar4395
    @eddietaxidriverzanzibar4395Ай бұрын

    Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930Ай бұрын

    Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭

  • @PASCHAL-kh8qp
    @PASCHAL-kh8qpАй бұрын

    Kazi nzurii mheshimiwa wazir

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5dАй бұрын

    Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.

  • @user-yp8vt8ni8e
    @user-yp8vt8ni8eАй бұрын

    Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991Ай бұрын

    Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Ай бұрын

    Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    Ай бұрын

    Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.

  • @KS-iw7qv

    @KS-iw7qv

    Ай бұрын

    Akili za kufikiri ujinga 😢😢

  • @giftyjohn3852
    @giftyjohn3852Ай бұрын

    Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭

  • @thomastemu3332
    @thomastemu333229 күн бұрын

    Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu

  • @ajaykilawah2622
    @ajaykilawah2622Ай бұрын

    Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅

  • @LudovickTibakyenda-gs2wh

    @LudovickTibakyenda-gs2wh

    Ай бұрын

    Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais

  • @LeonardChacha-it2pb
    @LeonardChacha-it2pbАй бұрын

    Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,

  • @user-pd1kt3xr3s
    @user-pd1kt3xr3s29 күн бұрын

    Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula222723 күн бұрын

    Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana

  • @babazungu3180
    @babazungu3180Ай бұрын

    Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285Ай бұрын

    Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi

  • @frankazalia5985
    @frankazalia5985Ай бұрын

    Polèe sanaaa aseeee

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fzАй бұрын

    Arusha kumezidi kwa dhulma

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda500529 күн бұрын

    Aise dah! Inauma sana

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu559229 күн бұрын

    Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034Ай бұрын

    Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm

  • @KassianChengo
    @KassianChengo28 күн бұрын

    Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.

  • @MariaChiwaligo
    @MariaChiwaligo28 күн бұрын

    Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje

  • @chany9950
    @chany995025 күн бұрын

    Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾

  • @EsterMbise-pj4vd
    @EsterMbise-pj4vd29 күн бұрын

    Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742Ай бұрын

    So painful 💔 😢

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569Ай бұрын

    Inaumiza sana

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku

  • @ChemworldTV

    @ChemworldTV

    Ай бұрын

    Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk23 күн бұрын

    Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge547828 күн бұрын

    Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.

  • @jabirpombe1333
    @jabirpombe133329 күн бұрын

    Sema mheshimiwa huku kwetu majoe dar mnatusahau kuhusu barabara hebu tusaidie kiongozi wewe unaweza

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias392220 күн бұрын

    2025 nje nje au!!!!!

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2puАй бұрын

    Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢

  • @fifo262
    @fifo26227 күн бұрын

    Da ! Mambo magumu

  • @julius_wankyo
    @julius_wankyoАй бұрын

    Nimegundua Kwa miaka ya hivi karibuni Kumekuwa na wimbi la viongozi wa tanzania kumwaga machozi, hii ina ishara gani?

  • @Rahima-kv6mn

    @Rahima-kv6mn

    Ай бұрын

    Akuna ishara yeyote Bali Mungu tu amewabariki kuwa na nyoyo za. Huruma maana nawao binadam km sisi tofauti yetu ni vyeo tu walivyonavyo kikubwa Tuwaombee tu

  • @julius_wankyo

    @julius_wankyo

    Ай бұрын

    @@Rahima-kv6mn je viongozi wa miaka ya zamani hawakubarikiwa mioyo ya huruma?? Maana Kwa kumbukumbu zangu vilio vya viongozi vimeanza tu miaka ya juzi juzi hapa.

  • @Rahima-kv6mn

    @Rahima-kv6mn

    Ай бұрын

    @@julius_wankyo Zamani pia walikuwepo walifanya vzr wengi tu sema media zilikuwa sio nyingi km Sasa mpk sisi walala hoi tunaona nani mzr nani mbaya Lakini akuna kizazi kisicho kuwa kizr abadani asilani kikubwa tuzidi kuwaombea na wanao jiona wanatabia sizo ndo wakati wa kubadilika huu maisha yenyewe mafupi haya unakusanya Mali unadhurumu kila kona mwisho wa siku kifo tu aina faida 😭😭😭😭

  • @imanimussa6256
    @imanimussa625627 күн бұрын

    Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema

  • @dr.phormenykishaija6508
    @dr.phormenykishaija650827 күн бұрын

    Da😪

  • @frankdablacknation2057
    @frankdablacknation2057Ай бұрын

    Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote

  • @ArafaJafari
    @ArafaJafari29 күн бұрын

    Dah 😢😮

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792Ай бұрын

    hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅

  • @SayiMadaha-fq7tu
    @SayiMadaha-fq7tuАй бұрын

    Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er29 күн бұрын

    Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166Ай бұрын

    😢

  • @Natashawaziri-bv2xl
    @Natashawaziri-bv2xlАй бұрын

    Daaah

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tcАй бұрын

    Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560Ай бұрын

    Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777Ай бұрын

    Kuna wananchi wanateseka Sana so sad😢

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk29 күн бұрын

    Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042Ай бұрын

    Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani

Келесі