SHEIKH IBNUUTHAIMIN ATATUA TATIZO LA ARAFA by Sheikh Said Ali Hassan
Жүктеу.....
Пікірлер: 88
@AndulHida-hs5pyАй бұрын
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
@firdaushamid8200Ай бұрын
Marsha Allah shekh sawa sawa tumekuelewa shekh huzungumzii ju ya hajj wazungumziya ju ya muandamo wa mwezi shukran shekh Allah akuhifadhi
@Issa-ht2muАй бұрын
Masha-Allah shukran ya Sheikh
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Arafa ni moja
@abuusafiya2984Ай бұрын
ushauri wangu tujitahidini kusoma na kujielimisha juu ya uislamu wetu kabla mambo kama haya hayajafika ili mtu ujue upi msimamo sahihi na uufuate na sio kupewa miongozo ambayo huielewi kwa kigezo cha ikhtilafu
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
Ukitaka ujue kwamba huyu shehe kakosea au kaamua kupoteza watu kuhusu bin uthaymeen kasikilize Muhammad nasoro bacho kashajibu hili swala bin uthaymeen alikua anajibu kuhusu ramadhan lakin kwenye hijja lazma watu wafate makka
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Unajua kwamba na yeye bachu keshajibiwa
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
@@MuhidiniNassor sawa kama kajibiwa lakin mwambie huyo shehe wako asome maelezo vizur bila kukata ya sheikh bin uthaymeen kama kweli ni mtu WA haqqi
@abubakaromar6101
Ай бұрын
saidmkwinzu9106 haya huyo zuzu wenu bachu asokuwa na Elimu hana tafauti na nyinyi ashajibiwa na Sheikh Izzudin si niliwaambia hajui kusoma Ibara ndio maana yuwatafsiri kwa akili zake azidi kujidhalilisha kwa uzuzu wake
@abubakaromar6101
Ай бұрын
saidimkwinzu9106 na wewe ukitaka yule bichwa nazi Koko asokuwa na Elimu hana ajuwalo kutafsiri kwa akili zake kamsikize Sheikh Izzudin na Mwanafunzi wa Said Ali Hassan
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 hao Akina izudin wote hamna kitu hapo wanabwabwaja nishawasikiliza wote Sasa me nakuambiaje kama umeshindwa kumuelewa Muhammad bacho Kwa dalili alizotoa kutoka Kwa Wana wa chuoni pamoja na kuongelea uongo wa huyo shehe wako hapo kupindisha maneno ya bin uthaymeen kamsikilize sufi mwenzenu sheikh muharami mziwanda na yule shehe lenu kubwa kabisa la misri pamoja na chief kadhi wenu wa Kenya masufi wote hao halafu uje useme we ndo kichwa kokoto Nazi mafuta au ni hao?😄😄 Maskio yenu baadhi ya masufi Yako kwenye visigino sheikh Suleiman kilemile alikua sufi mwenzenu mkubwa lakin kwenye hili la arafa hakua na ninyi mana mnaelewa ukwel lakin mnaamua kupindisha haqqi mkamchukiaaa ALLAH amrehem ukitafta darsa zake humu utaziona pia Muhammad bacho na mwimba Kwa masufi asalimia 💯
@abuusafiya2984Ай бұрын
hapa jambo lao limekwama watu wanajua kufanya baath juu ya fatawa za wanachuoni kwa hiyo haina haja ya kusomewa mara kwa mara
@SurprisedCurling-si9yrАй бұрын
Muhammad nassor bachu ashajibu ..,soma kitabu vzuri shekhe
@abubakaromar6101
Ай бұрын
SurprisedCurling mbona bachu hakuisoma hii Hadithi Ibnu Uthaeimy aloetegemea أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@abubakaromar6101
Ай бұрын
SurprisedCurling-si9yr basi bachu kama ataka kujibu mwanzo kabla kujibu mwambieni atwalii vizuri hizo Ibara yuwaziponda ponda tafuta hicho kitabu cha Ibnu uthaimin uwone alivyoziponda alafu mbona hakuisoma hii Hadithi Ibnu uthaimin aloitaja kutegemea maneno alosema أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@aminuddinwacate
Ай бұрын
Na wewe kasome sana katika mujjalad wa 20 pág 40 Uthaymen anasema wazi wazi
@HamadaZubeirTahir
Ай бұрын
Huyo Bachu kajibu kitu gani mpumbavu mmoja
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@aminuddinwacate sisi tushaelewa sana Ibnu uthaimin ila nyinyi mawahabi ndio hamutaki kumuelewa pale anapotafautiyana na rai zenu hamumkibali hilo ndio tatizo lenu
@MuhammadShariff-ji9yeАй бұрын
Hili. Tutalifwata
@SoudShuraimАй бұрын
Me nafuata Pemba chokocho na mkanyageni nimechoka kupelekeshwa
@alimwawema9932Ай бұрын
Wacha kubabaisha watu mbona huachi usufi ikiwa wasoma kweli wasema ulisikia muhadhara wa Sheikh Muhammad Bin Swaleh Al Utheimeen. Pia si kweli Sheikh Abdulaziz bin Abdallah ibn Baaz Ni Sheikh wa Ibn Utheimeen na bora kuliko mwanafunzi wake.
@husseinshatry938Ай бұрын
Huyu ibn uthaimin ni swahaba kama vile wewe ni shekhe na yeye pia ni shekhe na ikiwa amemshinda bin baz basi wako pia walowashinda wao kwa wateni fitna nyote mumejumuika kupinga chief kadhi wetu kwa kuwa hakubaliani na hizo fatwa zenu
@abiabi9353
Ай бұрын
Wewe jahili kweli wakiwahabi. Huyo chief kadhi wako anatakiwa atupe dalili siyo atuburuze kama watu tusiyojijua
@abubakaromar6101
Ай бұрын
husseinshatry938 na Chief Kadhi ni Swahaba kama huna habari Inbu uthaimin ategemea Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@SirlemNasirАй бұрын
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
@azizikitete7229Ай бұрын
Soma Sana ila kwa hili sheke zidi kukesha
@abiabi9353
Ай бұрын
Sheikh Ali hapo yupo sawa 100%
@spares-repairАй бұрын
Swali langu ni hatukulingana vp? Tym iko sawa. Siku iko sawa. (Leo sudia jumamosi saa 3:31 kenya ni hivo hivo) Asoijua Makkah ni yule hana simu ukiwa na simu wajua leo ni Tarehe mbili dhulhijja Naona ni wakati na sisi tuchanganye pesa kwa umoja wetu tununue vifaa vya kuangalia mwezi na kusoma elimu ya mwezi, endapo saudi wataona mwezi na sisi pia tutaona mwezi bidnilllah wazo tu na toa Mashekhe wangu wa Kenya nijukumu lenu kukaa chini na kutatua hili jambo. Hili sio jambo la kutatizana tukisimama sote ummah mmoja machine china twaipata kwa bei nzuri sana na mm msimamo wangu ni 1ummah (ummah wapotea) (especially dada zetu)
@aliabdalla9297
Ай бұрын
Hoja sio time kuwa sawa hata kama dunia yote ingekuwa time sawa basi kila nchi ingebaki kuwa na wakati wake wa kuzama jua na kuchomoza time tupo sawa kweli mbona wakiswali isha sisi hatufuati kule tunasubiri muda wetu ufike
@spares-repair
Ай бұрын
@@aliabdalla9297 uko na point endelea please nakusikiza
@KomboOmar-iy8zdАй бұрын
Tufuate Mtume (saw) au tufuate sheikh kwa hili tuambirni ukweli
@abiabi9353
Ай бұрын
Ehe twambie mtume alifanyaje
@abubakaromar6101
Ай бұрын
KomboOmar-iy8zd tutamfwata Mtume S.A.W kwa hii Hadithi وهذا حديث كريب إذ يقول: "قدمت الشام، واستهل على هلال رمضان وأنا بالشام، فرأيت الهلال ليلة الجمعة، ثم قدمت إلى المدينة في آخر الشهر، فسألني ابن عباس، ثم ذكر الهلال فقال: متى رأيتم الهلال؟ فقلت: رأيناه ليلة الجمعة، فقال: أنت رأيته؟ فقلت: نعم، ورآه الناس، وصاموا، وصام معاوية، فقال: لكننا رأيناه ليلة السبت،،،فلا نزال نصوم حتى نكمل ثلاثين، أو نراه ّ، فقلت ألا تكتفي برؤية معاوية وصيامه؟ فقال: لا. هكذا أمرنا رسول الله صلى الله عليه وسلم رواه أحمد ومسلم والترمذي
@MuhammadMuhammad-gr2qvАй бұрын
Waendaje HAJJ ZAIDI YA MARA ISHIRINI MTU MMOJA?? HIZO TICKETS ZA BURE ZA KUPEWA AMBAO HAWAJAENDA MWAZIVAMIA NYINYI ...MUTAULIZWA KESHO KIYAMA
@abiabi9353
Ай бұрын
Haikuhusu.Hivyo ndivyo uislam unavyokufundisha kutoa hukmu juu ya jambo usilolijua. Lkn sishangai hiyo ndiyo tabia yao mawahabi
@aliabdalla9297
Ай бұрын
Mbona ww unakula unashiba kila siku jirani yako hawi na njaa hali ya kuwa wewe umeshiba huoni kwamba na wewe utaulizwa
@abubakaromar6101
Ай бұрын
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@sharks11mohamed51Ай бұрын
Kitabu gani?
@sharks11mohamed51
Ай бұрын
Jina haionekani
@AbuwTasniymАй бұрын
Toka lini mkafuata fatwa za maulamaa wa saudia?
@jimjam-xg7rv
Ай бұрын
Waislamu utofautiyana ila awa chukiyani pili tusome kwa malengo ya kuusaidiya umma wala si kwa kuleta fitna
@abiabi9353
Ай бұрын
Mawahabi huwa hawaelewi.Sheikh Ali kumtaja sheikh Uthaymeen haimanishi anafata fatwa zake.bali ametumia kuwa ni dalili kwa nyinyi wafuasi wake
@abubakaromar6101
Ай бұрын
AbuwYasniym mimi nawashanga nyinyi hawa ma imamu yaani maulamaa wenu wakitowa Fat'wa iko kinyume na mataqwa yenu hamumtaki
@MuhammadMuhammad-gr2qv
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 waongea Sanaa haya nenda Leo ukaskize Sheikh Muhammad Bachu alivyomfundisha sheikh wenu Said Ali Hassan na akamjibu kielimu ya hali ya juu .. kupitia huyo huyo sheikh Al utheimiya... Mwaka huu Mutaelewatu Tu insha'Allah
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@MuhammadMuhammad-gr2qv nimemsikia dakika 45 nzima hajajibu kitu ktk hayo maneno alosema Ibnu Uthaeimy vichwa vyenu ni mfinyo sisi tushaelewa kutoka kitambo labda vichwa vigumu bachu mbona
@MuhammadMuhammad-gr2qvАй бұрын
SAID ALI HASANI ASIWAFANYE WAJINGA BURE... MUULIZENI KATIKA MARA HIZO ISHIRINI ALIYOKWENDA MAKAH KUHIJI ASHAWAHI KUSIMAMA ARAFA TOFAUTI NA VILE WALIVYOTANGAZA SAUDIA??? ASIWADANGANYE BURE ASIWAFANYE WAJINGA KIASI HICHO.
@abubakaromar6101
Ай бұрын
MuhammadMuhammad-gr2qv Dah kumbe wajinga ni wengi hata hujielewi atasimama vpi tafauti na yeye yuko huko kwani inchi pia wasimama Arafa? Hata Maswahaba walitafautiana Kwa mwandamo wa mwezi kasome hii Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@HamadaZubeirTahir
Ай бұрын
Sasa akiwa Saudia atafuwataje tarehe ya nje ya Saudia? Khaaaaa??!
@MuhammadMuhammad-gr2qv
Ай бұрын
@@HamadaZubeirTahir KUMBE UNAJUA KAMA SAUDIA HUWA WAKO SAWA... NDIO MUZINDUKE BASI MUWACHE UJINGA WAKUPELEKESHWA KAMA KONDOO..
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Una akili nyengin ama n hihii tu
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@MuhammadMuhammad-gr2qvUwendawazimu si kuokota makopo tu
@fakiiahmedmwijaa2414Ай бұрын
MM KWA UFAHAMU NLONAO NI KUA SIKU NI MASAA 24 LA PILI MAGHARIBI ZIPO MBILI NA MASHARIKI MBILI .
@user-it3ee7zq2yАй бұрын
Uthaymeen Sio hoja Mzee
@abiabi9353
Ай бұрын
Haha mawahabi mnachekesha sana,kila siku mnatutajia uthaymeen Leo kawa siyo hoja.saaa hoja ni nani
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
Wewe jahili muraqab la kiwahabi leo wamkataa uthaimin .skuzote mwatumia ushahidi wake
@hilalkhalfan1452Ай бұрын
Mwezi HAUKUONEKANA, watatangaza. Ni vipi
@abiabi9353
Ай бұрын
Wewe vipi? Kwani kama mwezi haukuonekana ndiyo hafai kutoa muongozo wa siku yakufunga na Iddi
@user-qe8xp6ii1uАй бұрын
Hiz chanel zenu mnakurupuka. Ibn uthaymeen Sio Dalili kwa hyo Tutaangalia Anatumia Dalil gani. Kingine Saudia Hutetea Mamlaka yao.Kwa hyo hata majb Yao huzingatia Dalili. Kama Mnamuamini Ibn utheymeen Je,Anasemaje kuhusu Aqida na jambo la mawlid. Tunachohitaji Dalili!??
@abiabi9353
Ай бұрын
Nyinyi mawahabi vichwa mchunga huwa hamuelewi. Mtu akitumia kitabu cha mtu haimaanishi amkubali,Bali ametumia ni dalili kwa Nyinyi wafuasi wake
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
@@abiabi9353 hiv itafaa kuwa ni hoja dhidi ya watu wengne juu ya kuchukua maneno ya mwanachuoni mmoja au fatawa yake ikawa Ndio Ijamaai na kuwaona wengne wamekosea...?? Pili nataka kujua wahabi ndio nn ??nijibu kwa dalili. Sisi hatuangalii nani kasema ila tunaangalia nin kasema kama ni haki tunaichukua Kauli yake. Huyo huyo ibn utheymeen ana makosa mengi tu ktk Fatawa zake lakn Sisi tunamheshim lakn hatufuati ktk hayo aliyoteleza. Mfno:msimamo wake anaona mtu kushika Utupu wake hakutengui Udhu. Mtu kutumia musabaha ya yafaa ikiwa kama ni Wasila wa kudhibiti idadi tu. Lakin Nyiny masufi kwa itikadi zenu mngemfuata kichwa kichwa tu eti kwa kuwa Mwanachuoni. Mambo hayo Ya Mwez mwandamo,Arafa, Yapo ktk khilafu baina yetu sisi wenyewe Ahlu sunna waljamaa Ktk Kauli na mitazamo tofaut tofauti tena ni Khilafu ya muda Mrefu tokea Karne ya 3 Ya uislam na hata hapo kabla na walijadiliana lkn hawakufikia ktk Kauli moja.Wa hyo tunategmea kauli kama hizo za sheikh Ibn utheymeen ziwepo. ww ndo Huelewi ndo unaona kama Mageni.
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Lakin sisi hatuzingatii kila khitilafu za wanachuoni bali tunaangalia usawa na ipi kauli bora. Tunafuata kanuni.
Пікірлер: 88
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Marsha Allah shekh sawa sawa tumekuelewa shekh huzungumzii ju ya hajj wazungumziya ju ya muandamo wa mwezi shukran shekh Allah akuhifadhi
Masha-Allah shukran ya Sheikh
Maa Shaa ALLAH 💚
Arafa ni moja
ushauri wangu tujitahidini kusoma na kujielimisha juu ya uislamu wetu kabla mambo kama haya hayajafika ili mtu ujue upi msimamo sahihi na uufuate na sio kupewa miongozo ambayo huielewi kwa kigezo cha ikhtilafu
Ukitaka ujue kwamba huyu shehe kakosea au kaamua kupoteza watu kuhusu bin uthaymeen kasikilize Muhammad nasoro bacho kashajibu hili swala bin uthaymeen alikua anajibu kuhusu ramadhan lakin kwenye hijja lazma watu wafate makka
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Unajua kwamba na yeye bachu keshajibiwa
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
@@MuhidiniNassor sawa kama kajibiwa lakin mwambie huyo shehe wako asome maelezo vizur bila kukata ya sheikh bin uthaymeen kama kweli ni mtu WA haqqi
@abubakaromar6101
Ай бұрын
saidmkwinzu9106 haya huyo zuzu wenu bachu asokuwa na Elimu hana tafauti na nyinyi ashajibiwa na Sheikh Izzudin si niliwaambia hajui kusoma Ibara ndio maana yuwatafsiri kwa akili zake azidi kujidhalilisha kwa uzuzu wake
@abubakaromar6101
Ай бұрын
saidimkwinzu9106 na wewe ukitaka yule bichwa nazi Koko asokuwa na Elimu hana ajuwalo kutafsiri kwa akili zake kamsikize Sheikh Izzudin na Mwanafunzi wa Said Ali Hassan
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 hao Akina izudin wote hamna kitu hapo wanabwabwaja nishawasikiliza wote Sasa me nakuambiaje kama umeshindwa kumuelewa Muhammad bacho Kwa dalili alizotoa kutoka Kwa Wana wa chuoni pamoja na kuongelea uongo wa huyo shehe wako hapo kupindisha maneno ya bin uthaymeen kamsikilize sufi mwenzenu sheikh muharami mziwanda na yule shehe lenu kubwa kabisa la misri pamoja na chief kadhi wenu wa Kenya masufi wote hao halafu uje useme we ndo kichwa kokoto Nazi mafuta au ni hao?😄😄 Maskio yenu baadhi ya masufi Yako kwenye visigino sheikh Suleiman kilemile alikua sufi mwenzenu mkubwa lakin kwenye hili la arafa hakua na ninyi mana mnaelewa ukwel lakin mnaamua kupindisha haqqi mkamchukiaaa ALLAH amrehem ukitafta darsa zake humu utaziona pia Muhammad bacho na mwimba Kwa masufi asalimia 💯
hapa jambo lao limekwama watu wanajua kufanya baath juu ya fatawa za wanachuoni kwa hiyo haina haja ya kusomewa mara kwa mara
Muhammad nassor bachu ashajibu ..,soma kitabu vzuri shekhe
@abubakaromar6101
Ай бұрын
SurprisedCurling mbona bachu hakuisoma hii Hadithi Ibnu Uthaeimy aloetegemea أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@abubakaromar6101
Ай бұрын
SurprisedCurling-si9yr basi bachu kama ataka kujibu mwanzo kabla kujibu mwambieni atwalii vizuri hizo Ibara yuwaziponda ponda tafuta hicho kitabu cha Ibnu uthaimin uwone alivyoziponda alafu mbona hakuisoma hii Hadithi Ibnu uthaimin aloitaja kutegemea maneno alosema أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@aminuddinwacate
Ай бұрын
Na wewe kasome sana katika mujjalad wa 20 pág 40 Uthaymen anasema wazi wazi
@HamadaZubeirTahir
Ай бұрын
Huyo Bachu kajibu kitu gani mpumbavu mmoja
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@aminuddinwacate sisi tushaelewa sana Ibnu uthaimin ila nyinyi mawahabi ndio hamutaki kumuelewa pale anapotafautiyana na rai zenu hamumkibali hilo ndio tatizo lenu
Hili. Tutalifwata
Me nafuata Pemba chokocho na mkanyageni nimechoka kupelekeshwa
Wacha kubabaisha watu mbona huachi usufi ikiwa wasoma kweli wasema ulisikia muhadhara wa Sheikh Muhammad Bin Swaleh Al Utheimeen. Pia si kweli Sheikh Abdulaziz bin Abdallah ibn Baaz Ni Sheikh wa Ibn Utheimeen na bora kuliko mwanafunzi wake.
Huyu ibn uthaimin ni swahaba kama vile wewe ni shekhe na yeye pia ni shekhe na ikiwa amemshinda bin baz basi wako pia walowashinda wao kwa wateni fitna nyote mumejumuika kupinga chief kadhi wetu kwa kuwa hakubaliani na hizo fatwa zenu
@abiabi9353
Ай бұрын
Wewe jahili kweli wakiwahabi. Huyo chief kadhi wako anatakiwa atupe dalili siyo atuburuze kama watu tusiyojijua
@abubakaromar6101
Ай бұрын
husseinshatry938 na Chief Kadhi ni Swahaba kama huna habari Inbu uthaimin ategemea Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
MAMABO YAKO WAZ،I, ILA MASUFI MNA MATATIZO SANA. SWALI NI... SAUMU YA SIKU YA ARAFAH, ANAEYEFUNGA NI ALIYE KATIKA HAJI AMA ASIYRKUA KATIKA HAJI.. JE HAPO KUNA MAFUNGAMANO BAINA YA SAUMU YA ARAFAH NA MAHUJAJI AMA HAKUNA.. HUU NI USHAHIDI KAMILI KUWA, SAUMU YA ARAFAH INAMAFUNGAMANO NA MAGUJAJI... HILI LIELEWEKE VIZURI.
Soma Sana ila kwa hili sheke zidi kukesha
@abiabi9353
Ай бұрын
Sheikh Ali hapo yupo sawa 100%
Swali langu ni hatukulingana vp? Tym iko sawa. Siku iko sawa. (Leo sudia jumamosi saa 3:31 kenya ni hivo hivo) Asoijua Makkah ni yule hana simu ukiwa na simu wajua leo ni Tarehe mbili dhulhijja Naona ni wakati na sisi tuchanganye pesa kwa umoja wetu tununue vifaa vya kuangalia mwezi na kusoma elimu ya mwezi, endapo saudi wataona mwezi na sisi pia tutaona mwezi bidnilllah wazo tu na toa Mashekhe wangu wa Kenya nijukumu lenu kukaa chini na kutatua hili jambo. Hili sio jambo la kutatizana tukisimama sote ummah mmoja machine china twaipata kwa bei nzuri sana na mm msimamo wangu ni 1ummah (ummah wapotea) (especially dada zetu)
@aliabdalla9297
Ай бұрын
Hoja sio time kuwa sawa hata kama dunia yote ingekuwa time sawa basi kila nchi ingebaki kuwa na wakati wake wa kuzama jua na kuchomoza time tupo sawa kweli mbona wakiswali isha sisi hatufuati kule tunasubiri muda wetu ufike
@spares-repair
Ай бұрын
@@aliabdalla9297 uko na point endelea please nakusikiza
Tufuate Mtume (saw) au tufuate sheikh kwa hili tuambirni ukweli
@abiabi9353
Ай бұрын
Ehe twambie mtume alifanyaje
@abubakaromar6101
Ай бұрын
KomboOmar-iy8zd tutamfwata Mtume S.A.W kwa hii Hadithi وهذا حديث كريب إذ يقول: "قدمت الشام، واستهل على هلال رمضان وأنا بالشام، فرأيت الهلال ليلة الجمعة، ثم قدمت إلى المدينة في آخر الشهر، فسألني ابن عباس، ثم ذكر الهلال فقال: متى رأيتم الهلال؟ فقلت: رأيناه ليلة الجمعة، فقال: أنت رأيته؟ فقلت: نعم، ورآه الناس، وصاموا، وصام معاوية، فقال: لكننا رأيناه ليلة السبت،،،فلا نزال نصوم حتى نكمل ثلاثين، أو نراه ّ، فقلت ألا تكتفي برؤية معاوية وصيامه؟ فقال: لا. هكذا أمرنا رسول الله صلى الله عليه وسلم رواه أحمد ومسلم والترمذي
Waendaje HAJJ ZAIDI YA MARA ISHIRINI MTU MMOJA?? HIZO TICKETS ZA BURE ZA KUPEWA AMBAO HAWAJAENDA MWAZIVAMIA NYINYI ...MUTAULIZWA KESHO KIYAMA
@abiabi9353
Ай бұрын
Haikuhusu.Hivyo ndivyo uislam unavyokufundisha kutoa hukmu juu ya jambo usilolijua. Lkn sishangai hiyo ndiyo tabia yao mawahabi
@aliabdalla9297
Ай бұрын
Mbona ww unakula unashiba kila siku jirani yako hawi na njaa hali ya kuwa wewe umeshiba huoni kwamba na wewe utaulizwa
@abubakaromar6101
Ай бұрын
أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
Kitabu gani?
@sharks11mohamed51
Ай бұрын
Jina haionekani
Toka lini mkafuata fatwa za maulamaa wa saudia?
@jimjam-xg7rv
Ай бұрын
Waislamu utofautiyana ila awa chukiyani pili tusome kwa malengo ya kuusaidiya umma wala si kwa kuleta fitna
@abiabi9353
Ай бұрын
Mawahabi huwa hawaelewi.Sheikh Ali kumtaja sheikh Uthaymeen haimanishi anafata fatwa zake.bali ametumia kuwa ni dalili kwa nyinyi wafuasi wake
@abubakaromar6101
Ай бұрын
AbuwYasniym mimi nawashanga nyinyi hawa ma imamu yaani maulamaa wenu wakitowa Fat'wa iko kinyume na mataqwa yenu hamumtaki
@MuhammadMuhammad-gr2qv
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 waongea Sanaa haya nenda Leo ukaskize Sheikh Muhammad Bachu alivyomfundisha sheikh wenu Said Ali Hassan na akamjibu kielimu ya hali ya juu .. kupitia huyo huyo sheikh Al utheimiya... Mwaka huu Mutaelewatu Tu insha'Allah
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@MuhammadMuhammad-gr2qv nimemsikia dakika 45 nzima hajajibu kitu ktk hayo maneno alosema Ibnu Uthaeimy vichwa vyenu ni mfinyo sisi tushaelewa kutoka kitambo labda vichwa vigumu bachu mbona
SAID ALI HASANI ASIWAFANYE WAJINGA BURE... MUULIZENI KATIKA MARA HIZO ISHIRINI ALIYOKWENDA MAKAH KUHIJI ASHAWAHI KUSIMAMA ARAFA TOFAUTI NA VILE WALIVYOTANGAZA SAUDIA??? ASIWADANGANYE BURE ASIWAFANYE WAJINGA KIASI HICHO.
@abubakaromar6101
Ай бұрын
MuhammadMuhammad-gr2qv Dah kumbe wajinga ni wengi hata hujielewi atasimama vpi tafauti na yeye yuko huko kwani inchi pia wasimama Arafa? Hata Maswahaba walitafautiana Kwa mwandamo wa mwezi kasome hii Hadithi أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الدارقطني | المصدر : سنن الدارقطني | الصفحة أو الرقم : 2/376 | خلاصة حكم المحدث : إسناده صحيح | التخريج : أخرجه مسلم (1087)
@HamadaZubeirTahir
Ай бұрын
Sasa akiwa Saudia atafuwataje tarehe ya nje ya Saudia? Khaaaaa??!
@MuhammadMuhammad-gr2qv
Ай бұрын
@@HamadaZubeirTahir KUMBE UNAJUA KAMA SAUDIA HUWA WAKO SAWA... NDIO MUZINDUKE BASI MUWACHE UJINGA WAKUPELEKESHWA KAMA KONDOO..
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Una akili nyengin ama n hihii tu
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@MuhammadMuhammad-gr2qvUwendawazimu si kuokota makopo tu
MM KWA UFAHAMU NLONAO NI KUA SIKU NI MASAA 24 LA PILI MAGHARIBI ZIPO MBILI NA MASHARIKI MBILI .
Uthaymeen Sio hoja Mzee
@abiabi9353
Ай бұрын
Haha mawahabi mnachekesha sana,kila siku mnatutajia uthaymeen Leo kawa siyo hoja.saaa hoja ni nani
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
Wewe jahili muraqab la kiwahabi leo wamkataa uthaimin .skuzote mwatumia ushahidi wake
Mwezi HAUKUONEKANA, watatangaza. Ni vipi
@abiabi9353
Ай бұрын
Wewe vipi? Kwani kama mwezi haukuonekana ndiyo hafai kutoa muongozo wa siku yakufunga na Iddi
Hiz chanel zenu mnakurupuka. Ibn uthaymeen Sio Dalili kwa hyo Tutaangalia Anatumia Dalil gani. Kingine Saudia Hutetea Mamlaka yao.Kwa hyo hata majb Yao huzingatia Dalili. Kama Mnamuamini Ibn utheymeen Je,Anasemaje kuhusu Aqida na jambo la mawlid. Tunachohitaji Dalili!??
@abiabi9353
Ай бұрын
Nyinyi mawahabi vichwa mchunga huwa hamuelewi. Mtu akitumia kitabu cha mtu haimaanishi amkubali,Bali ametumia ni dalili kwa Nyinyi wafuasi wake
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
@@abiabi9353 hiv itafaa kuwa ni hoja dhidi ya watu wengne juu ya kuchukua maneno ya mwanachuoni mmoja au fatawa yake ikawa Ndio Ijamaai na kuwaona wengne wamekosea...?? Pili nataka kujua wahabi ndio nn ??nijibu kwa dalili. Sisi hatuangalii nani kasema ila tunaangalia nin kasema kama ni haki tunaichukua Kauli yake. Huyo huyo ibn utheymeen ana makosa mengi tu ktk Fatawa zake lakn Sisi tunamheshim lakn hatufuati ktk hayo aliyoteleza. Mfno:msimamo wake anaona mtu kushika Utupu wake hakutengui Udhu. Mtu kutumia musabaha ya yafaa ikiwa kama ni Wasila wa kudhibiti idadi tu. Lakin Nyiny masufi kwa itikadi zenu mngemfuata kichwa kichwa tu eti kwa kuwa Mwanachuoni. Mambo hayo Ya Mwez mwandamo,Arafa, Yapo ktk khilafu baina yetu sisi wenyewe Ahlu sunna waljamaa Ktk Kauli na mitazamo tofaut tofauti tena ni Khilafu ya muda Mrefu tokea Karne ya 3 Ya uislam na hata hapo kabla na walijadiliana lkn hawakufikia ktk Kauli moja.Wa hyo tunategmea kauli kama hizo za sheikh Ibn utheymeen ziwepo. ww ndo Huelewi ndo unaona kama Mageni.
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Lakin sisi hatuzingatii kila khitilafu za wanachuoni bali tunaangalia usawa na ipi kauli bora. Tunafuata kanuni.