Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako
@hamidaawadh9024
27 күн бұрын
Aamiin
@babatidaawa6550Ай бұрын
Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah
@SamhatPanduАй бұрын
❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.
@fatmasuleiman2710Ай бұрын
Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.
@JK-um6opАй бұрын
جزاك الله خير الجزاء شيخنا الفاضل محمد باشو ونفع الله بك.
@RamaNassryАй бұрын
YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗
@MamaYussufАй бұрын
A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher
@ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .
@ExcitedChefHat-ef5jt
Ай бұрын
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.
@JumaOmar-ku6crАй бұрын
Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante
@hansimassirhassan8154Ай бұрын
Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin
@user-fe8rp5lt8nАй бұрын
Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza
@ambarimwajuwa3870
Ай бұрын
HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI
@khadijaabdulrazak8008
Ай бұрын
Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia
@Jumaa-rp5ye
Ай бұрын
ujinga ni mzigo
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Mtihani Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti
@omarjuma3793
Ай бұрын
Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane
@ramadhanyusuf2401Ай бұрын
Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son
@abdulbandari1551
Ай бұрын
Improved genes: more than the father.
@HusnaKombo
Ай бұрын
Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah
@user-me2dj4jd1t
Ай бұрын
MashaAllah
@d15355
Ай бұрын
@@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?
@abdelazizmuombwa4714
Ай бұрын
Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.
@Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын
UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE
@IssaBachuMuhammadjr-rr3riАй бұрын
Dalili tosha ndio hio mashaAllah Mungu atuongoze pia wewe Bachu Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.
@amazing_ERAАй бұрын
Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake
@amisafaraji5796
Ай бұрын
Allahumma aamin 🤲
@user-qo8uj1ym4mАй бұрын
ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN
@ajmographic-ur1ix
Ай бұрын
Amin
@user-fq6iw1pb7qАй бұрын
Safi sana muhammad allah akuhifadhi
@DarlinKuchageАй бұрын
Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro
@Khalid-mf3iu
Ай бұрын
Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza
@swafiaismail-ji1opАй бұрын
Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika
@tariksalim2659Ай бұрын
MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah
@abdallahhalifa5860Ай бұрын
Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana
@shuaibalula9003Ай бұрын
Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu
@ommarysaid7391Ай бұрын
Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@AshrafBunuАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@swalehahmad8947Ай бұрын
DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..
@AmiriRashidiMajinjiАй бұрын
A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.
@YasminaslamaslamАй бұрын
Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara
@fatmasalim7132Ай бұрын
Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.
@abuuaisha6110Ай бұрын
MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa
@timermedia3509Ай бұрын
Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.
@SurprisedCurling-si9yrАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran
@zuberhamza7852Ай бұрын
SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA
@Mahli1995Ай бұрын
Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele! Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!
@binaamour318
Ай бұрын
Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?
@mohagurey2214
Ай бұрын
Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu@@binaamour318
@jamalijamali6820
Ай бұрын
Acha kuwatetea masufi@@binaamour318
@swalehbakari2667
Ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@amisafaraji5796
Ай бұрын
Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini
@user-py3cb3kx9pАй бұрын
الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ
@fauznuhu9981Ай бұрын
Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo
@abuuaidh6500
Ай бұрын
Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.
Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha
@fatmasuleiman2710
Ай бұрын
Kiboko kabisaaa.
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao
@user-uj2ym8ku8pАй бұрын
Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله
@mohagurey2214Ай бұрын
Well said. Shukran
@user-kc4fv6cf8lАй бұрын
Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?
@Nusrat_Khalifa
Ай бұрын
Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?
@user-ye3fy9kk6r
Ай бұрын
Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah
@user-kc4fv6cf8l
Ай бұрын
@@user-ye3fy9kk6r Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ? Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?
@abdulmwakubambanya9091Ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@yussufsule4793Ай бұрын
Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah
@alwysalehmohamedalammary3507Ай бұрын
Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki
@user-tm2zk5gn4eАй бұрын
Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri
@user-je6qh6it5wАй бұрын
Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.
@salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын
IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.
@MariamAsudiАй бұрын
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all
@twahamkasi-gn1loАй бұрын
nakukubali Sana bachu
@user-hg7jb3ho2yАй бұрын
Shukrani sheihewetu
@DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын
WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .
@MaryamRashid-yw1wxАй бұрын
Umejichanganya leo
@antoniousinbird9008Ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@ramadhanyusuf2401Ай бұрын
Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah
@user-rq3yj8vi8bАй бұрын
Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma
@HawwamajidyАй бұрын
Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Huo ndo ukweli
@mohamedlamimu
Ай бұрын
Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!
@SalumNyumbaАй бұрын
Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq
@YarmanAljahhdiryАй бұрын
Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema
@binbuhakhamis4336Ай бұрын
JAZAKALLAHU LKHAYRY
@mukhlisukamugisha9956Ай бұрын
🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu
@masoud744Ай бұрын
Mashallah.. allah akuhifadhi
@maktab3679Ай бұрын
Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??
@khalidmziwanda9024
Ай бұрын
Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂
@SuweidJumaАй бұрын
Shukran
@KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde
@user-bu8mn1dv2yАй бұрын
Wataka kujikojolea tena
@sheikh_abdulkarimАй бұрын
Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Unaakili sana
@allyjuma9669Ай бұрын
ماشاء لله بارك لله فيك
@ishakakhalidАй бұрын
am the first one . Gonga like
@isaack100Ай бұрын
Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar
@k.kchakua1376Ай бұрын
Maa sha Allah Jazaqallahu khaira
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤
@SalumNyumbaАй бұрын
Ostadh Bachu allah akuhifadh
@JUMAATHUMANI-zx3tuАй бұрын
Lete ingine hii bado hatujaielewa
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi
@muhammadkhatwabАй бұрын
Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!
@khamismussa6258Ай бұрын
Masha Allah
@maktab3679Ай бұрын
Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .
@user-ms3nz5iz7zАй бұрын
Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin
@LovelyBrain-wz7si
Ай бұрын
Wewe ndo hujaelewa arafa ni Moja duniani
@user-ms3nz5iz7z
Ай бұрын
@@LovelyBrain-wz7si sasa umeambiwa kuna wanofunga siku mbili?
@user-ms3nz5iz7z
Ай бұрын
Soma
@MaalimKhatibАй бұрын
Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia
@fatumajuma592
Ай бұрын
Allah hapendi hivyo
@husseinislamicmediatv4376
Ай бұрын
hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini
@Bombwejr18
Ай бұрын
Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie
@cheapunderage8228
29 күн бұрын
Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb
@sultanmohammed4157Ай бұрын
Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.
@mkudeАй бұрын
Barakh allah kher sheikh
@khadijaabdulrazak8008Ай бұрын
Mashallah tabarakallah jazakallah kheir Allah atuongoze cc na vizazi vyetu amiin
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Allah akulipe kheri Shekh..
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
Ndugu yangu bachu twataka elimu lkn jaribu kukaa nao huku mkijadiliana sio lamatangazo ni ww tuu na yy basii ndio tutaelimika
@cheapunderage8228
29 күн бұрын
Iv ww ni muelewa mmh au na ww unafuta mihemko..yy alisha sema km kwa shekh anae fikisha kwa njia ya media anafikishiwa kwa style hiyo hiyo kutokana na watu walisha potoka kwake
@misbahukhalifa3216Ай бұрын
Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video
@misbahukhalifa3216
Ай бұрын
Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah @@saidimkwinzu9106
@misbahukhalifa3216
Ай бұрын
@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah
@hadiyamohamed594
Ай бұрын
Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka
@salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын
NA SWALI LA MWISHO KWANINI MASHEKHE WOTE WA AFRICA MASHARIKI TUSIEENDE KWA PAMOJA MAKKA TUKAONANE NA MUFTY WA MAKKA NA MAULAAMAA WOTE WATOWE FATUWA ILI HILI LA MIZOZO LIMALIZE? AU HAMNA UWEZO WA KUKUTANA NA MUFTY WA HUKO MAKKA?
@user-pu2uw2ib5y18 күн бұрын
Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka
@MkindiRama-lp6hyАй бұрын
Mmmm nenda mambrui ukasome sasahiv dini imetekwa
@MkindiRama-lp6hy
Ай бұрын
Anasoma mwe nyewe hajui anachokisoma bachoo
@nasoros.mgungo5502Ай бұрын
Kweli Hali Ni mbaya leo Masufi ndio wakutangulizwa mbele ya kina Fawzan na Masheikh was SaudiArabia.
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Kijana wa Bachu watu thihirishoia upungufu wa elimu yako
@SuleimansalumАй бұрын
Shiekhh Muhammad tukubaliene hapa. kuna tanaakudh kwenye maneno ya sheikh Uthaymeen au mengine sio yake yakanwe kwa kinywa kipana
@maktab3679Ай бұрын
Mtume saw asema mukiona miezi . Ahhilla ni miezi hilal ndo moja . Kwa nn katumia miezi.
@ambarimwajuwa3870Ай бұрын
shaykh BACHU UMEKOSEA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI SOMA VIZURI
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Unaakili sana na uko makini🙏
@AliJabal-fx8pdАй бұрын
بارك الله فيك ويزيد لك في علمك.
@faridijuma6020Ай бұрын
Good job 👏
@Maresca368Ай бұрын
Shukran sana sheikh Bachu!
@gelamuyombo6783
Ай бұрын
Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka
@amisafaraji5796
Ай бұрын
@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu
Пікірлер: 584
Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako
@hamidaawadh9024
27 күн бұрын
Aamiin
Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah
❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.
Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.
جزاك الله خير الجزاء شيخنا الفاضل محمد باشو ونفع الله بك.
YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗
A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .
@ExcitedChefHat-ef5jt
Ай бұрын
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.
Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante
Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin
Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza
@ambarimwajuwa3870
Ай бұрын
HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI
@khadijaabdulrazak8008
Ай бұрын
Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia
@Jumaa-rp5ye
Ай бұрын
ujinga ni mzigo
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Mtihani Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti
@omarjuma3793
Ай бұрын
Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane
Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son
@abdulbandari1551
Ай бұрын
Improved genes: more than the father.
@HusnaKombo
Ай бұрын
Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah
@user-me2dj4jd1t
Ай бұрын
MashaAllah
@d15355
Ай бұрын
@@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?
@abdelazizmuombwa4714
Ай бұрын
Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.
UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE
Dalili tosha ndio hio mashaAllah Mungu atuongoze pia wewe Bachu Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.
Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera
Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake
@amisafaraji5796
Ай бұрын
Allahumma aamin 🤲
ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN
@ajmographic-ur1ix
Ай бұрын
Amin
Safi sana muhammad allah akuhifadhi
Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro
@Khalid-mf3iu
Ай бұрын
Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza
Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika
MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah
Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana
Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu
Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Allah akuhifadhi sheikh wetu
DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..
A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.
Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara
Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.
MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa
Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.
Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran
SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA
Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa
Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele! Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!
@binaamour318
Ай бұрын
Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?
@mohagurey2214
Ай бұрын
Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu@@binaamour318
@jamalijamali6820
Ай бұрын
Acha kuwatetea masufi@@binaamour318
@swalehbakari2667
Ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@amisafaraji5796
Ай бұрын
Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini
الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ
Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo
@abuuaidh6500
Ай бұрын
Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.
@yussufsule4793
Ай бұрын
Humjui wewe huyu Like lion kwa watu wa bidaa
@fauznuhu9981
Ай бұрын
@@yussufsule4793 kkkk kakimia kamezesho mate mombassa na kutoroka hadharani nAni hakuoba
@sama-_8368
24 күн бұрын
Yaani ni kweli BADO SANAAAAA
Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha
@fatmasuleiman2710
Ай бұрын
Kiboko kabisaaa.
Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao
Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله
Well said. Shukran
Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?
@Nusrat_Khalifa
Ай бұрын
Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?
@user-ye3fy9kk6r
Ай бұрын
Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah
@user-kc4fv6cf8l
Ай бұрын
@@user-ye3fy9kk6r Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ? Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?
Barakh Allah Kher sheikh
Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah
Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.
Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel
Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki
Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri
Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.
IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all
nakukubali Sana bachu
Shukrani sheihewetu
WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .
Umejichanganya leo
Allah akuhifadhi sheikh
Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah
Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma
Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Huo ndo ukweli
@mohamedlamimu
Ай бұрын
Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!
Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq
Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema
JAZAKALLAHU LKHAYRY
🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu
Mashallah.. allah akuhifadhi
Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??
@khalidmziwanda9024
Ай бұрын
Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂
Shukran
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde
Wataka kujikojolea tena
Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Unaakili sana
ماشاء لله بارك لله فيك
am the first one . Gonga like
Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar
Maa sha Allah Jazaqallahu khaira
Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤
Ostadh Bachu allah akuhifadh
Lete ingine hii bado hatujaielewa
Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,
Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi
Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!
Masha Allah
Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .
Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin
@LovelyBrain-wz7si
Ай бұрын
Wewe ndo hujaelewa arafa ni Moja duniani
@user-ms3nz5iz7z
Ай бұрын
@@LovelyBrain-wz7si sasa umeambiwa kuna wanofunga siku mbili?
@user-ms3nz5iz7z
Ай бұрын
Soma
Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia
@fatumajuma592
Ай бұрын
Allah hapendi hivyo
@husseinislamicmediatv4376
Ай бұрын
hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini
@Bombwejr18
Ай бұрын
Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie
@cheapunderage8228
29 күн бұрын
Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb
Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.
Barakh allah kher sheikh
Mashallah tabarakallah jazakallah kheir Allah atuongoze cc na vizazi vyetu amiin
Allah akulipe kheri Shekh..
Ndugu yangu bachu twataka elimu lkn jaribu kukaa nao huku mkijadiliana sio lamatangazo ni ww tuu na yy basii ndio tutaelimika
@cheapunderage8228
29 күн бұрын
Iv ww ni muelewa mmh au na ww unafuta mihemko..yy alisha sema km kwa shekh anae fikisha kwa njia ya media anafikishiwa kwa style hiyo hiyo kutokana na watu walisha potoka kwake
Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video
@misbahukhalifa3216
Ай бұрын
Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah @@saidimkwinzu9106
@misbahukhalifa3216
Ай бұрын
@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah
@hadiyamohamed594
Ай бұрын
Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka
NA SWALI LA MWISHO KWANINI MASHEKHE WOTE WA AFRICA MASHARIKI TUSIEENDE KWA PAMOJA MAKKA TUKAONANE NA MUFTY WA MAKKA NA MAULAAMAA WOTE WATOWE FATUWA ILI HILI LA MIZOZO LIMALIZE? AU HAMNA UWEZO WA KUKUTANA NA MUFTY WA HUKO MAKKA?
Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka
Mmmm nenda mambrui ukasome sasahiv dini imetekwa
@MkindiRama-lp6hy
Ай бұрын
Anasoma mwe nyewe hajui anachokisoma bachoo
Kweli Hali Ni mbaya leo Masufi ndio wakutangulizwa mbele ya kina Fawzan na Masheikh was SaudiArabia.
Kijana wa Bachu watu thihirishoia upungufu wa elimu yako
Shiekhh Muhammad tukubaliene hapa. kuna tanaakudh kwenye maneno ya sheikh Uthaymeen au mengine sio yake yakanwe kwa kinywa kipana
Mtume saw asema mukiona miezi . Ahhilla ni miezi hilal ndo moja . Kwa nn katumia miezi.
shaykh BACHU UMEKOSEA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI SOMA VIZURI
@bashirusalumbigapsana673
Ай бұрын
Unaakili sana na uko makini🙏
بارك الله فيك ويزيد لك في علمك.
Good job 👏
Shukran sana sheikh Bachu!
@gelamuyombo6783
Ай бұрын
Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka
@amisafaraji5796
Ай бұрын
@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu