MAJIBU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN | FUNGA YA ARAFA NI KUFUATA SAUDIA | Muhammad Bachu.

Ойындар

Пікірлер: 584

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7qАй бұрын

    Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako

  • @hamidaawadh9024

    @hamidaawadh9024

    27 күн бұрын

    Aamiin

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550Ай бұрын

    Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah

  • @SamhatPandu
    @SamhatPanduАй бұрын

    ❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    Ай бұрын

    Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710Ай бұрын

    Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.

  • @JK-um6op
    @JK-um6opАй бұрын

    جزاك الله خير الجزاء شيخنا الفاضل محمد باشو ونفع الله بك.

  • @RamaNassry
    @RamaNassryАй бұрын

    YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗

  • @MamaYussuf
    @MamaYussufАй бұрын

    A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын

    Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .

  • @ExcitedChefHat-ef5jt

    @ExcitedChefHat-ef5jt

    Ай бұрын

    Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6crАй бұрын

    Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante

  • @hansimassirhassan8154
    @hansimassirhassan8154Ай бұрын

    Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin

  • @user-fe8rp5lt8n
    @user-fe8rp5lt8nАй бұрын

    Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza

  • @ambarimwajuwa3870

    @ambarimwajuwa3870

    Ай бұрын

    HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI

  • @khadijaabdulrazak8008

    @khadijaabdulrazak8008

    Ай бұрын

    Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia

  • @Jumaa-rp5ye

    @Jumaa-rp5ye

    Ай бұрын

    ujinga ni mzigo

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    Mtihani Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti

  • @omarjuma3793

    @omarjuma3793

    Ай бұрын

    Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401Ай бұрын

    Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son

  • @abdulbandari1551

    @abdulbandari1551

    Ай бұрын

    Improved genes: more than the father.

  • @HusnaKombo

    @HusnaKombo

    Ай бұрын

    Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah

  • @user-me2dj4jd1t

    @user-me2dj4jd1t

    Ай бұрын

    MashaAllah

  • @d15355

    @d15355

    Ай бұрын

    @@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?

  • @abdelazizmuombwa4714

    @abdelazizmuombwa4714

    Ай бұрын

    Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын

    UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3riАй бұрын

    Dalili tosha ndio hio mashaAllah Mungu atuongoze pia wewe Bachu Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.

  • @amazing_ERA
    @amazing_ERAАй бұрын

    Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223Ай бұрын

    Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake

  • @amisafaraji5796

    @amisafaraji5796

    Ай бұрын

    Allahumma aamin 🤲

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4mАй бұрын

    ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN

  • @ajmographic-ur1ix

    @ajmographic-ur1ix

    Ай бұрын

    Amin

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7qАй бұрын

    Safi sana muhammad allah akuhifadhi

  • @DarlinKuchage
    @DarlinKuchageАй бұрын

    Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    Ай бұрын

    Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza

  • @swafiaismail-ji1op
    @swafiaismail-ji1opАй бұрын

    Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika

  • @tariksalim2659
    @tariksalim2659Ай бұрын

    MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860Ай бұрын

    Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003Ай бұрын

    Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391Ай бұрын

    Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947Ай бұрын

    DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..

  • @AmiriRashidiMajinji
    @AmiriRashidiMajinjiАй бұрын

    A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.

  • @Yasminaslamaslam
    @YasminaslamaslamАй бұрын

    Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132Ай бұрын

    Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110Ай бұрын

    MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa

  • @timermedia3509
    @timermedia3509Ай бұрын

    Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.

  • @SurprisedCurling-si9yr
    @SurprisedCurling-si9yrАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852Ай бұрын

    SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA

  • @Mahli1995
    @Mahli1995Ай бұрын

    Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele! Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!

  • @binaamour318

    @binaamour318

    Ай бұрын

    Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu​@@binaamour318

  • @jamalijamali6820

    @jamalijamali6820

    Ай бұрын

    Acha kuwatetea masufi​@@binaamour318

  • @swalehbakari2667

    @swalehbakari2667

    Ай бұрын

    😂😂😂 kabisa

  • @amisafaraji5796

    @amisafaraji5796

    Ай бұрын

    Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini

  • @user-py3cb3kx9p
    @user-py3cb3kx9pАй бұрын

    الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981Ай бұрын

    Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo

  • @abuuaidh6500

    @abuuaidh6500

    Ай бұрын

    Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.

  • @yussufsule4793

    @yussufsule4793

    Ай бұрын

    Humjui wewe huyu Like lion kwa watu wa bidaa

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    Ай бұрын

    @@yussufsule4793 kkkk kakimia kamezesho mate mombassa na kutoroka hadharani nAni hakuoba

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    24 күн бұрын

    Yaani ni kweli BADO SANAAAAA

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828Ай бұрын

    Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha

  • @fatmasuleiman2710

    @fatmasuleiman2710

    Ай бұрын

    Kiboko kabisaaa.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2ypАй бұрын

    Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao

  • @user-uj2ym8ku8p
    @user-uj2ym8ku8pАй бұрын

    Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Well said. Shukran

  • @user-kc4fv6cf8l
    @user-kc4fv6cf8lАй бұрын

    Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?

  • @Nusrat_Khalifa

    @Nusrat_Khalifa

    Ай бұрын

    Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?

  • @user-ye3fy9kk6r

    @user-ye3fy9kk6r

    Ай бұрын

    Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    Ай бұрын

    @@user-ye3fy9kk6r Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ? Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091Ай бұрын

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @yussufsule4793
    @yussufsule4793Ай бұрын

    Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah

  • @alwysalehmohamedalammary3507
    @alwysalehmohamedalammary3507Ай бұрын

    Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4nАй бұрын

    Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki

  • @user-tm2zk5gn4e
    @user-tm2zk5gn4eАй бұрын

    Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri

  • @user-je6qh6it5w
    @user-je6qh6it5wАй бұрын

    Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын

    IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudiАй бұрын

    MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all

  • @twahamkasi-gn1lo
    @twahamkasi-gn1loАй бұрын

    nakukubali Sana bachu

  • @user-hg7jb3ho2y
    @user-hg7jb3ho2yАй бұрын

    Shukrani sheihewetu

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын

    WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .

  • @MaryamRashid-yw1wx
    @MaryamRashid-yw1wxАй бұрын

    Umejichanganya leo

  • @antoniousinbird9008
    @antoniousinbird9008Ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401Ай бұрын

    Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah

  • @user-rq3yj8vi8b
    @user-rq3yj8vi8bАй бұрын

    Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma

  • @Hawwamajidy
    @HawwamajidyАй бұрын

    Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI

  • @bashirusalumbigapsana673

    @bashirusalumbigapsana673

    Ай бұрын

    Huo ndo ukweli

  • @mohamedlamimu

    @mohamedlamimu

    Ай бұрын

    Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!

  • @SalumNyumba
    @SalumNyumbaАй бұрын

    Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiryАй бұрын

    Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336Ай бұрын

    JAZAKALLAHU LKHAYRY

  • @mukhlisukamugisha9956
    @mukhlisukamugisha9956Ай бұрын

    🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu

  • @masoud744
    @masoud744Ай бұрын

    Mashallah.. allah akuhifadhi

  • @maktab3679
    @maktab3679Ай бұрын

    Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??

  • @khalidmziwanda9024

    @khalidmziwanda9024

    Ай бұрын

    Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂

  • @SuweidJuma
    @SuweidJumaАй бұрын

    Shukran

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын

    Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde

  • @user-bu8mn1dv2y
    @user-bu8mn1dv2yАй бұрын

    Wataka kujikojolea tena

  • @sheikh_abdulkarim
    @sheikh_abdulkarimАй бұрын

    Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni

  • @bashirusalumbigapsana673

    @bashirusalumbigapsana673

    Ай бұрын

    Unaakili sana

  • @allyjuma9669
    @allyjuma9669Ай бұрын

    ماشاء لله بارك لله فيك

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalidАй бұрын

    am the first one . Gonga like

  • @isaack100
    @isaack100Ай бұрын

    Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376Ай бұрын

    Maa sha Allah Jazaqallahu khaira

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2puАй бұрын

    Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤

  • @SalumNyumba
    @SalumNyumbaАй бұрын

    Ostadh Bachu allah akuhifadh

  • @JUMAATHUMANI-zx3tu
    @JUMAATHUMANI-zx3tuАй бұрын

    Lete ingine hii bado hatujaielewa

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4nАй бұрын

    Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128Ай бұрын

    Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi

  • @muhammadkhatwab
    @muhammadkhatwabАй бұрын

    Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!

  • @khamismussa6258
    @khamismussa6258Ай бұрын

    Masha Allah

  • @maktab3679
    @maktab3679Ай бұрын

    Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .

  • @user-ms3nz5iz7z
    @user-ms3nz5iz7zАй бұрын

    Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin

  • @LovelyBrain-wz7si

    @LovelyBrain-wz7si

    Ай бұрын

    Wewe ndo hujaelewa arafa ni Moja duniani

  • @user-ms3nz5iz7z

    @user-ms3nz5iz7z

    Ай бұрын

    @@LovelyBrain-wz7si sasa umeambiwa kuna wanofunga siku mbili?

  • @user-ms3nz5iz7z

    @user-ms3nz5iz7z

    Ай бұрын

    Soma

  • @MaalimKhatib
    @MaalimKhatibАй бұрын

    Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia

  • @fatumajuma592

    @fatumajuma592

    Ай бұрын

    Allah hapendi hivyo

  • @husseinislamicmediatv4376

    @husseinislamicmediatv4376

    Ай бұрын

    hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini

  • @Bombwejr18

    @Bombwejr18

    Ай бұрын

    Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    29 күн бұрын

    Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157Ай бұрын

    Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.

  • @mkude
    @mkudeАй бұрын

    Barakh allah kher sheikh

  • @khadijaabdulrazak8008
    @khadijaabdulrazak8008Ай бұрын

    Mashallah tabarakallah jazakallah kheir Allah atuongoze cc na vizazi vyetu amiin

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372Ай бұрын

    Allah akulipe kheri Shekh..

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pjАй бұрын

    Ndugu yangu bachu twataka elimu lkn jaribu kukaa nao huku mkijadiliana sio lamatangazo ni ww tuu na yy basii ndio tutaelimika

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    29 күн бұрын

    Iv ww ni muelewa mmh au na ww unafuta mihemko..yy alisha sema km kwa shekh anae fikisha kwa njia ya media anafikishiwa kwa style hiyo hiyo kutokana na watu walisha potoka kwake

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216Ай бұрын

    Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video

  • @misbahukhalifa3216

    @misbahukhalifa3216

    Ай бұрын

    Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah ​@@saidimkwinzu9106

  • @misbahukhalifa3216

    @misbahukhalifa3216

    Ай бұрын

    ​@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah

  • @hadiyamohamed594

    @hadiyamohamed594

    Ай бұрын

    Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын

    NA SWALI LA MWISHO KWANINI MASHEKHE WOTE WA AFRICA MASHARIKI TUSIEENDE KWA PAMOJA MAKKA TUKAONANE NA MUFTY WA MAKKA NA MAULAAMAA WOTE WATOWE FATUWA ILI HILI LA MIZOZO LIMALIZE? AU HAMNA UWEZO WA KUKUTANA NA MUFTY WA HUKO MAKKA?

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y18 күн бұрын

    Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hyАй бұрын

    Mmmm nenda mambrui ukasome sasahiv dini imetekwa

  • @MkindiRama-lp6hy

    @MkindiRama-lp6hy

    Ай бұрын

    Anasoma mwe nyewe hajui anachokisoma bachoo

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502Ай бұрын

    Kweli Hali Ni mbaya leo Masufi ndio wakutangulizwa mbele ya kina Fawzan na Masheikh was SaudiArabia.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rvАй бұрын

    Kijana wa Bachu watu thihirishoia upungufu wa elimu yako

  • @Suleimansalum
    @SuleimansalumАй бұрын

    Shiekhh Muhammad tukubaliene hapa. kuna tanaakudh kwenye maneno ya sheikh Uthaymeen au mengine sio yake yakanwe kwa kinywa kipana

  • @maktab3679
    @maktab3679Ай бұрын

    Mtume saw asema mukiona miezi . Ahhilla ni miezi hilal ndo moja . Kwa nn katumia miezi.

  • @ambarimwajuwa3870
    @ambarimwajuwa3870Ай бұрын

    shaykh BACHU UMEKOSEA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI SOMA VIZURI

  • @bashirusalumbigapsana673

    @bashirusalumbigapsana673

    Ай бұрын

    Unaakili sana na uko makini🙏

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pdАй бұрын

    بارك الله فيك ويزيد لك في علمك.

  • @faridijuma6020
    @faridijuma6020Ай бұрын

    Good job 👏

  • @Maresca368
    @Maresca368Ай бұрын

    Shukran sana sheikh Bachu!

  • @gelamuyombo6783

    @gelamuyombo6783

    Ай бұрын

    Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka

  • @amisafaraji5796

    @amisafaraji5796

    Ай бұрын

    ​@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu

Келесі