USTADHI DANIEL AWAVURUGA DR SULLE NA USTADHI SHAFII KWENYE SUALA LA MAJINI NA UISLAMU

KATIKA MJADALA MKALI MWALIMU DANIEL MKEMWA AMEELEZEA ASILI YA MAJINI NA KWANINI WAKRISTO WANAYAPINGA NA KUYAITA MASHETANI

Пікірлер: 255

  • @samweljackson5754
    @samweljackson57542 күн бұрын

    Asante mwalimu Daniel mwankemwa, MUNGU akulinde saaana,barikiw

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba348410 күн бұрын

    Asante Mwalimu Kuna Watu tunapona sana Be Blessed Bwana Yesu Mzuri sana

  • @user-cn7gq2bc6n

    @user-cn7gq2bc6n

    9 күн бұрын

    Haujapona chochote msikilize vizur anachoongea usifuate visherehesho tu

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n9 күн бұрын

    Mwenyezi mungu akubariki sana pastor Daniel mwendelee kutubariki na ujumbe

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u10 күн бұрын

    daniel tunashukuru sana kwa kuzidi kufumbua ukweli hao ndugu zetu wamjue yesu wakweli mwana wa mungu aliye hai

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    8 күн бұрын

    Anaongea pumba tu tangu neno lake la kwanza kafanganya mtaliwa sana Hela nyie na mtapotezwa sana

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    Duh, na wewe nawe, Mara yesu mwana wa Mungu mara ndie Mungu😂 mbona hamueleweki nyinyi??? mmerogwa?

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances10 күн бұрын

    Mbarikiwe Sana Watumishi Wa Mungu Kwa Elimu Hiyo Mnazidi Kutufumbua Akili"

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga519110 күн бұрын

    Asante sana mtumishi KAZI Yako ni Njema.

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n9 күн бұрын

    Mungu ni mkuu,barkiwa daniel,mungu akulinde

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo949310 күн бұрын

    Asante mtumishi Daniel tumefunguliwa kwa elimu hiyo

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi412210 күн бұрын

    Ustadhi Daniel ameiva kwa Neno Bwana akutie nguvu

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    8 күн бұрын

    Usimshushe thamani mtumishi wa Mungu,kwa kumuita ustaadh(mwalimu wa Quran,majini) muite Pastor au Muinjilisi,au Mwalimu wa Neno la Mungu

  • @mayangeramadhani8497

    @mayangeramadhani8497

    7 күн бұрын

    @@Mahershalalhashbazi-kf6xi hana anachojua yy tu anashindwa kutofautisha majini na malaika ww unamuona bonge la mwalimu malaika hajawai kuwa jin

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    6 күн бұрын

    @@mayangeramadhani8497 Soma ufafanuzi wa Surat Al Fatiha utajuwa anachokisema Mwalimu Daniel

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn85338 күн бұрын

    Mwaka 570BK alizawali mtu aliyekuja kuleta sumu mbaya sana mwaka 610BK alitokewa na shetani akampa kazi ya kudanganya watu. Mamailioni wanapotea na imani ya uongo😭😭😭😭

  • @mtz5582

    @mtz5582

    8 күн бұрын

    Sidhani kama wengi wanatamba huyo mtu alikuwa possessed na evil spirit na pia suicidal thoughts may be ndo mana followers wa hiyo MTU wote wana suicidal traits na almost as if always possessed with the DRAGON

  • @user-cn7gq2bc6n
    @user-cn7gq2bc6n9 күн бұрын

    Wakristo njoeni huku ivi huyu ndio padri au mchungaji?? Jaman wakristo somoni dini huyu mchungaji hana elimu ya dunia wa ya akhera hamna analolijua inalilah

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    8 күн бұрын

    Kwa hiyo hivyo vitabu nivya uongo anavyo Soma?

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    8 күн бұрын

    Quran 3:7

  • @happnesskitumbo5713

    @happnesskitumbo5713

    6 күн бұрын

    Ongea ukweli na wewe tukusikie.

  • @mwoso
    @mwoso10 күн бұрын

    Umeeleza vizuri Sana .

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana35989 күн бұрын

    Yesu pia hakusoma, niambie wapi yesu aliambiwa soma, lakini Muhammad aliambiwa soma kwa jina la Allah

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    9 күн бұрын

    Luka 4:17-19 Neno: Bibilia Takatifu 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifun gua mahali palipoandikwa: 18-19 “Roho wa Bwana yu juu yangu. Amenichagua kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatan gazia wafungwa kuwa wako huru, kuwaambia vipofu kuwa wanaweza kuona tena; na kuwaweka huru wanaoonewa, na nitangaze mwaka ambao Bwana atawabariki watu wake.”

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l9 күн бұрын

    Mnaombea vipofu wanapona lakini nyinyi mkitaka kusoma bibilia mnavaa miwani

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l9 күн бұрын

    Na wakati mnaanguka makanisani uwa mnaangushwa na nini?

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z9 күн бұрын

    ndacha mwenyewe hampati uyo mch danieli kwa ubishi...uyo mwisho

  • @binseif2216
    @binseif221610 күн бұрын

    Mungu kaumba Majini na binadamu ili wamuabudu yeye na hayo ni maneno ya Mungu mwenyewe ndani ya Quran (WALA SIKUWAUMBA MAJINI NA BINADAMU ISPOKUWA WANIABUDU MIMI)

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    10 күн бұрын

    Shidaaa nikuwa MUNGU wa kwenye Biblia c MUNGU wa kwenye Quran hapo ndipo watu wanashindwaa kutambua na ubishii hauwezi kuishaa kwamaana kila mtu hapo na imani yake.

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    10 күн бұрын

    Na ndomaana Quran unawezaa kulogeaa kitu chochotee yaan ushirikina lkn Biblia haiwezii na inakatazaa huoni hapo Tofauti? Muhammad alipozaliwa majini na mashetani yalishangilia YESU KRISTO alipozaliwa malaika mbinguni walishangilia huoni Tofauti hapo? Biblia iliandikwa na manabii wakiongozwaa NA ROHO WA MUNGU LKN QURAN WALIOANDIKA WALE AKINA OMARY WALIKUWA WANAPANDISHAA MASHETANI KICHWANI HUONI TOFAUTI HAPO??

  • @binseif2216

    @binseif2216

    10 күн бұрын

    @@0badiaMwasongwe-rt1wr Naomba andiko yakuwa Mtume Muhammad SAW alipozaliwa mashetani walifurahia usilete maneno yko,na ukumbuke pia Quran ndo mwongozo wa maisha,na hata Mungu ndani ya Quran kuna Aya zinatulinda na mabaya lkn hakuna Aya ya kuroga na ukumbuke huo ulimi wako kesho kwa Muumba utakwenda kujibu

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    10 күн бұрын

    ​@@0badiaMwasongwe-rt1wrbibilia ina n mpaka nyaraka za Enonga

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    10 күн бұрын

    ​@@binseif2216msikilizeanatoa Aya kwenye vitabu vyenu auusikiliziiii????

  • @joezeno8
    @joezeno88 күн бұрын

    Mtangazaji uko vizuri bro

  • @BabaFuraha
    @BabaFuraha9 күн бұрын

    Mzee aujue kitu kabisa polesana nakuonea urum

  • @salumharuna5872
    @salumharuna58724 күн бұрын

    Kama ndio mchungaji wa wakristo wanamuamini basi dah msiba mkubwa. Akili hamna kabisa, eti majini ni malaika walioasi...

  • @realramjen3270
    @realramjen327010 күн бұрын

    Mchungaji Daniel Mwankemwa siyo ustadhi

  • @samsonkariuki9696
    @samsonkariuki969610 күн бұрын

    Daniel na mwalimu dacha wanafilisi uislamu

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    10 күн бұрын

    Jipe moyo

  • @OmariShuli
    @OmariShuli10 күн бұрын

    Eti Quran ina vyanzo vinne: Taurat,Injili na zaburi, Baada Muhammad kurogwa na Kwenye Mashairi. Huyo ndio Daniel, chuki yake juu ya uislaam yamsukuma kusema lolote la uongo, bila kujali kwamba anayoyasema yana baki na wajukuu zake watayasoma na watauona uwongo wake.

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu71687 күн бұрын

    Jini si malaika kwa imani ya kiislamu, ni viumbe viloumbwa na Mwenyezi Mungu kwa moto kama binaadamu walivyoumbwa kwa udongo. Malaika wameumbwa kwa nuru na hawawezi kumuasi Mwenyezi Mungu kamwe. Sasa kwa imani yenu mnaweza kuzungumzia viumbe vyengine tofauti na wanavyovizungumzia waislamu kwa kuwa waislamu hawaamini majini kuwa ni malaika

  • @haidar438
    @haidar4384 күн бұрын

    I like the way you ask him 🙈

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p8 күн бұрын

    sasa huyu hana andiko majini wote wamelaaniwa wakristo mnatumia kiungo gani kufikiri eti huyu nae mwalimu

  • @qerysir4410
    @qerysir441010 күн бұрын

    ASANTE SANA KWA SOMO HILI, NIMEELIMIKA PAKUBWA👏👏👏 OMBI: Wakutanishe DANIEL na NDACHA kwa ajili ya HOJA YA SABATO na UTATU MTAKATIFU🔥🔥🔥🔥

  • @user-jl5un4wf3u

    @user-jl5un4wf3u

    10 күн бұрын

    Kumbe ndiyomaana hujibishiatu bilakuwana uthibitisho kwakilewanachokijua.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    HATA PAULO ALICHUKULIWA NA JINI! 2 Wakorintho 12:7. 7. Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi, kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili, mjumbe wa Shetani ili anipige, nisije nikajivuna kupita kiasi. 1 Timotheo 1:20. 20. Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    UCHAWI UPO ISRAELI! Isaya 47:12. 12. Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda. Matendo ya Mitume 13:6. 6. Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje87434 күн бұрын

    Huyu amelaaniwa hawezi kuitambua haki jini na malaika ni viumbe viwili tofauti

  • @k4cmmhcn297
    @k4cmmhcn2979 күн бұрын

    Mzee sioni hoja zako huwezi kusimama na dr sule wala ust shafii vile ni vichwaa vitakuumbuwa mzee

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    Umeona eeeh😅 yaani hawa ni mabwabwa kweli, eti majini ni malaika walioasi dah😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60015 күн бұрын

    Mtangazaji umemuuliza swali zuri lkn unaona mwankemwa hana analojua ,

  • @amissiradjabu6561
    @amissiradjabu65619 күн бұрын

    majini sio malaikaa bali ni biumbe tofauti n'a malaika n'a mwanadamu

  • @user-dt5wp5qo4n

    @user-dt5wp5qo4n

    8 күн бұрын

    Majini nimalaika waliowaasi,ndio maana mungu akawatupa hapa duniani ili wakae mbali na mungu mpaka siku ya kihama,toka kwa hio dini yamajini waliosilimu njoo kwa njia iliyo nyooka ambayo ni yesu kristo ndie njia,kweli,na uzima, kariba,

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    ​@@user-dt5wp5qo4nlete abdiko kuwa majini ni malaika walioasi. 😂😂😂

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    Hawa elimu hawana ndo mana wanapata shida sana juu ya elimu ya viumbe hawa😂😂

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    Mbona Mungu Wako alishirikiana na Majini? 1 Wafalme 22:20.,21.,22.,23. 20. BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi. 21. Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya. 22. BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo. 23. Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.

  • @faustinelias3284
    @faustinelias32848 күн бұрын

    Yeye anasoma kama irivo andikwa naona hajakosea rabda nyie mnaokubariana namajin ndoo mnaona akosea

  • @msemakweli243
    @msemakweli2438 күн бұрын

    Hapo mwankemwa unaongopa sakaramentu ya ni ya kiroma hili humshinde shetani lazima utii amri na sheria na imani ya yesu

  • @Pablolookman
    @Pablolookman6 күн бұрын

    Dunia inapolekea mapastor watajiandikia Quran ya kwao ili kuwapoteza

  • @husseinothman1257
    @husseinothman12573 күн бұрын

    Inaonesha hajui kuwa malaika hawana sifa ya kumuasi MUNGU, kwa hiyo si kweli kamba majini ni malaika walioasi, malaika ni viumbe wengine na majini ni viumbe wengine. Kama hamjui semeni mfahamishwe.

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo7 күн бұрын

    UKWELI UNAUMA MASHEHE WAO NDO WANAYATUMIA KWENYE UGANGA KUPIGA RAMLI

  • @user-tz8zu2gt6u

    @user-tz8zu2gt6u

    5 күн бұрын

    @@StanleyMwaipopo pamoja nakuroka watu pakana na muisilamu utasumbuliwa na jini hawa nihatari sana

  • @mikerutto8164
    @mikerutto81649 күн бұрын

    Hakuna muasi mzuri shetani pamoja na malaika zake majini walitupwa kutoka mbinguni

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    IBILISI MWENYE-KITI WA KANISA NI JINI ..? Ufunuo wa Yohana 2:12.,13. 12. Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. 13. Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.

  • @oscarwilliam8341
    @oscarwilliam83417 күн бұрын

    Mwalimu unapunguza ukali ukweli nomashetani kwasabab Majin nikizazi Cha ibilisi alie akolewa na malaika wakati alla alipo ombwa na malaika waje kuangalia je kipikilichobaki wakamkuta mtoto mdogo ndio anebaki nae alikua ni ibilisi wakamchukua wakampeleka ndio hao maji vp shetani awe na kizazi chema nimashetani Huu ndio wislamu kwetu sis wakristo huu upagani haupo wao ndio wametusimulia

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq9 күн бұрын

    Kwa hiyo maislam wite wanasupport majini badala mpinge hile

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu8 күн бұрын

    Jini hajawahi kuwa maraika Wala maraika hajawahi kuwa jini

  • @user-tz8zu2gt6u

    @user-tz8zu2gt6u

    5 күн бұрын

    @@Hussein-gx4qu aja kupingana na qurani Muhammad alisimu mapepo au kwa lugha nyingine majini sule anayatumia kukanga watu pamoja nakutoa kafara cku mnaita yakujinja majini husheherekea damu unadhani hatujui

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk9 күн бұрын

    Yes

  • @HamisiNgomango
    @HamisiNgomango7 күн бұрын

    Huyu mchungaji hajui lolote et malaika ni jini😂😂😂shenzi sana

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku8 күн бұрын

    Weeeeeee koma nyokooo unajua Qur'an gani shindwe ,,,,mtume wetu hana mahusiano n majini Wala nini hivi viumbe kama mimi na wewe tena ukome ukomae ulimwengu wao tofauti na sisi Wana maisha yao wanaoa wanaolewa juu n viumbe wanatuona hatuwaoni kwa uwezo w Allah

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    7 күн бұрын

    Kwa matusi haya bila shaka wewe ni mwislam swafi, mtume wako alimsilimisha shetani akawa mwislam lakini wewe maamuma subiri usomewe na mashehe

  • @hassanWanjiku

    @hassanWanjiku

    7 күн бұрын

    @@FridayMwassa 🤣🤣🤣😭😭ati alisilimisha nani weee wajua majini na mashetani ni akina nani acheni ukafiri mkiwa waislamu ndo mtajua ni akina nani majini na je tunauhusiano ,,,,

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani21727 күн бұрын

    vp zile nguo anazovaa papa na maaskofu au mapadri.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63465 күн бұрын

    Sema ukweli uongoze wakiristo wacha kupoteza wenzako. Unajua kabisa uislamu ndio dini lakini unakataa

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    MAJINI HUWAINGIA WAKRISTO! Mathayo 12:43.,44.,45. 43. Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate. 44. Halafu husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa. 45. Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya. HAKUNA AYA HATA MOJA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YA MAJINI AO MASHETANI! UNANUKUU UFUNUO AMBAO NI NDOTO SI MAMBO HALISIA! WAPI AYA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YENU DHIDI YA MAJINI??.

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa7 күн бұрын

    Technologia imekuja kuufunu uislam ulivyo

  • @samxx411
    @samxx4119 күн бұрын

    Ila wakristo mnahitaji kusomeshwa kweli, hawa walimu wenu watawapoteza sana ila kwa baadhi ya wakristo nadhani wanafahamu hivyo...

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    8 күн бұрын

    Unabishana na ukweli

  • @samxx411

    @samxx411

    7 күн бұрын

    @@msemakweli243 ukweli upi tatizo wakristo hamsomi vitabu yaani mchungaji akisema sawa

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    7 күн бұрын

    @@samxx411 anasoma vitabu bado wewe unabisha

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    7 күн бұрын

    ​@@samxx411sisi ndiyo watu wa kitabu au unabishana na koran yako

  • @samxx411

    @samxx411

    7 күн бұрын

    @@msemakweli243 wewe huwezi fahamu wanasoma vitabu wanavyotaka wao wanabadili maana, kwa mfano biblia inasema wakujuwe wewe Mungu wa kweli na pekee na yesu uliyemtuma...sasa hapa Mungu wa kweli na pekee wakristo wanabadili mnasema mmoja lkn ana utatu, yesu pia na yeye ni Mungu umeona tatizo lenu

  • @deusNjimba
    @deusNjimba8 күн бұрын

    WEWE NI KIBOKO. ULIMTOA JASHO. MAZINGE. PALE IGOMA. MWANZA

  • @drmahwa8166

    @drmahwa8166

    7 күн бұрын

    Hahahaha huyo ni poyoyo hanaelim ya kiroho anafuata matamanio yake.msikilize vizuri kisha utafakari?

  • @shabandamas1759
    @shabandamas17595 күн бұрын

    KINACHO WATATIZA NYINYI NIKWAMBA HUWA MNADHANI NAKUAMINI UNAPOISHIA UKOMO WA MTU KUFIKIRI KATIKA JAMBO FULANI HUWA NDO UHALISIA NA MWISHO WAKE THUS WHY MNAHITIMISHA KUPATA MATOKEO KTK JAMBO.. BASI ENDELEENI KUWEKA MIPAKA KATIKA AKILI ZENU ILI MSIPATE KUJUA KILICHO NJE YA UFAHAMU WENU.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    Umejaa chuki na hasadi na ndio sababu haupati mwili!😮😮😮

  • @hamiskidunda9770
    @hamiskidunda97706 күн бұрын

    Tatzo muandishi anaelimu kuliko mchungaji😂😂😂 na ndio maana wanagona

  • @shabandamas1759
    @shabandamas17595 күн бұрын

    ELIM NI PANA NA UELEWA UMEFICHWA KATIKA KUULIZA, ACTUALLY SIKITIKO LANGU NA HUZUNI YANGU NI KWAMBA WEMGI HAWANA ELIMU, HAWAJUI NA HAWAJUI KAMA HAWAJUI NA HAWAKO TAYARI KUJIFUNZA.. HUYU NAE ANAJITATHMINI KAMA MWALIMU..!! ELIM NI BAHAR BADO UNASAFARI NDEFU SANA..

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj5 күн бұрын

    Ww huwezi kupambana na shafi wala sule mana hata majini hujui jini ni jini na malaika nimalaika tu vitu viwili tafauti

  • @drmahwa8166
    @drmahwa81667 күн бұрын

    Wakristo someni majini wanaishi mikunduni mwenu.soma matayo 12:40-45

  • @kennedyMacharia-ns9pq

    @kennedyMacharia-ns9pq

    2 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @anwarabdallah7095
    @anwarabdallah70959 күн бұрын

    Mzee wewe mwenyewe sahii Jini yuwakutumia hauko Sawa kimaelezo kunakifungu Kwa bibilia yesu alibebwa Na shetani hapo VP Buda.

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    9 күн бұрын

    Shidaa uelewa hakubebwaa Kama unavyofikili wewe ila alijalibiwa

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    8 күн бұрын

    Alikuwa anajalibiwa

  • @SaleheKijazy
    @SaleheKijazy2 күн бұрын

    Yaani ww unae muhoji una kosea ume shindwa kumuuliza maswali ya umuhimu. Alipo sema majini ni malaika waasi kwanini asinge kupa Usha hidi kwenye vitabu kuthibitisha hayo maneno yake.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98372 күн бұрын

    majini hawajawahi kuwa malaika

  • @drmahwa8166
    @drmahwa81667 күн бұрын

    Wewe hunaelim.jini ni kiumbe malaika nikiumbe na binadamu nikiumbe.shetani ni tabia siyo kiumbe .na malaika hawana sifa ya kuasi

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f8 күн бұрын

    😂😂😂😂 Duuh noma ndio maana bibilia ina waita wachungaji ni umbwa walio bubu 😂😂😂😂sasa hapo vp

  • @haidar438
    @haidar4384 күн бұрын

    Eti Ustadh Daniel 😂😂😂

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc5 күн бұрын

    Dk sure kayatakamwenyewe

  • @samweljackson5754
    @samweljackson57542 күн бұрын

    Mwalimu unanishangaza sana hii elimu uliipataje? Unaipataje? nataman sana niwe nawe na mm kichwa kifunguke, duuuu!

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p8 күн бұрын

    Jinga jinga unawaja tu moto utawameza nyinyi bipofu

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98372 күн бұрын

    Hata biblia imetaja Pepo wachafu ikimaanisha kuwa na wema wapo

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    MUHAMMAD ALOKIRI ISA NI MTUME ,ROHO NA NENO LAKE ALLAH LEO WEWE WAMTUHUMU NI MWONGO? { يَٰٓأَهۡلَ ٱلۡكِتَٰبِ لَا تَغۡلُواْ فِي دِينِكُمۡ وَلَا تَقُولُواْ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلۡحَقَّۚ إِنَّمَا ٱلۡمَسِيحُ عِيسَى ٱبۡنُ مَرۡيَمَ رَسُولُ ٱللَّهِ وَكَلِمَتُهُۥٓ أَلۡقَىٰهَآ إِلَىٰ مَرۡيَمَ وَرُوحٞ مِّنۡهُۖ فَـَٔامِنُواْ بِٱللَّهِ وَرُسُلِهِۦۖ وَلَا تَقُولُواْ ثَلَٰثَةٌۚ ٱنتَهُواْ خَيۡرٗا لَّكُمۡۚ إِنَّمَا ٱللَّهُ إِلَٰهٞ وَٰحِدٞۖ سُبۡحَٰنَهُۥٓ أَن يَكُونَ لَهُۥ وَلَدٞۘ لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۗ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلٗا } [Surah An-Nisāʾ: 171] Ali Muhsin Al-Barwani: Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n8 күн бұрын

    Hujuwi nani jini nani malaika

  • @user-dx8dz4kl1u
    @user-dx8dz4kl1u3 күн бұрын

    Huyu muongo hajui jioni Wala sheteni kwani ukristo dini? Cini eti kama hujui SEMA ufahamishwe wewe ilo halitaki kusoma

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan4 күн бұрын

    Yani hijamaa kama chizi halijuwi lolote da kama sege duuu

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    SHETANI HUWAPEPETA NA KUWAINGIA WAKRISTO YESU MWENYEWE AKIWEPO ACHA UONGO! Luka 22:3.,31. 3. Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara. 31. Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;

  • @Pablolookman
    @Pablolookman6 күн бұрын

    Hayo majini wanakataza maasi kwa watu gani ?

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    WAPI AYA YA BIBLIA JINI NI MALAIKA MUASI?

  • @salisali3738
    @salisali373810 күн бұрын

    Eti ni malaika waasi jamanii jini kawa malaika ume tupiga hapo😅

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    8 күн бұрын

    Hujuwi kitu wewe kasome tena

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial16299 күн бұрын

    Huyu anae kuhoji uwezo wake ni mdogo sana wa kuelewa.

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    8 күн бұрын

    Kwani ulisema uwezo wake mdogo wa kumuhoji

  • @user-dx8dz4kl1u
    @user-dx8dz4kl1u3 күн бұрын

    Huyo anaye kuuliza anakuli kuliko wewe padri

  • @HajiAmbali-jq9dr
    @HajiAmbali-jq9dr4 күн бұрын

    Huna jipya

  • @OmariShuli
    @OmariShuli10 күн бұрын

    Acha uongo. bibilia haija eleza asili ya majini. wala hakuna andiko ktk bibilia linalo sema kuwa Majini ni malaika walio asi. na andiko ulosoma kutoka ufunuo 12:3-6 ni ndoto.

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    8 күн бұрын

    Bila shaka una pepo au PhD ya ujinga

  • @OmariShuli
    @OmariShuli10 күн бұрын

    Kwa nini tukio la kusulubiwa na kufa na kufufuka kwa Yesu liwe jambo la kiimani? kwani halikutokea hapa Duniani? kwani halikushuhudiwa na watu? walio lishuhudia-kama wapo-agizo la kuamini litawafaa nini?

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    8 күн бұрын

    Sio jambo la kuamini bali ni ukweli sasa unashindwa kuamini ukweli?

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    KUHUSU NABII MWONGO PAULO AMPINGA YOHANA UNAYENUKUU! PAULO AONA MTUME MWONGO NI YULE ATUMIAYE HILA! 2 Wakorintho 11:13. 13. Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. NA KATIKA HAO WAONGO MMOJA WAO NI PAULO MWENYEWE! 2 Wakorintho 12:16. 16. Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu naliwapata kwa hila.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    JE, MUHAMMAD ALIKUA MKRISTO ALI AWE NABII WENU AO MTUME WENU MUONGO? DANIELI UMEJAA UONGO KAMA MUNGU WAKO! Yeremia 4:10. 10. Nami nikasema, Aa, Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu, ukisema, Mtakuwa na amani lakini upanga umeingia katika nafsi za watu.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta4 күн бұрын

    AMBIA WATU HAWA PEPO WA CHAFU WANAWATII WAKRISTO KWA NJIA IPI KATI YA NZURI NA MBAYA? Luka 10:17. 17. Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa51510 күн бұрын

    Huyu jamaa hata haelewi, sasa hapa anatuambia ni madai majini hudai kuwa wanatoka miji mitukufu na hujiuwanisha na majina mazuri kama vile sharif, huyu jamaa hajielewi kiswahili kina mchanganya

  • @edinahbonareri2251

    @edinahbonareri2251

    10 күн бұрын

    yuko sawa kabisa. toka katika dini ya ibilisi

  • @AbdullahKigua
    @AbdullahKigua4 күн бұрын

    Ila uyu hamna kitu

  • @user-dx8dz4kl1u
    @user-dx8dz4kl1u3 күн бұрын

    Jini ni kumbe namwnadamu ni kiumbe sheitani ci ikumbe sheitani ni uovu kati yetu baina ya majini na mwanadamu

  • @nassorokilindo8609
    @nassorokilindo86099 күн бұрын

    Marini said mashetani

  • @bilid4128
    @bilid412810 күн бұрын

    Eti kumbe walishamalizana 😂😂😂

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71505 күн бұрын

    Sodoma nagomora iliangamizwa kwamadhambi ya kamari na kuingiliana kinyume cha maumbele ukisema waliofanya niyetuwote unakosea

  • @OmariShuli
    @OmariShuli10 күн бұрын

    Quran iko wazi katika lipi? majini wote ni waovu au kuna majini wema na waovu?

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo418 күн бұрын

    Mwandishi kayatupe majnin ya sule uliyonunua LMAO! Dogo ameng'ang'anaaa kutafuta upenyo pale Daniel ambapo angesema eeh ndio majini yana faida! Yaani nimecheka sana! Wengine leo hii wanadai eti mapenzi ni mapenzi.. na wamewakubali mashoga kwenye makanisa yao badala ya kuwahimiza kufanya toba!?

  • @SIMULIZIZONE

    @SIMULIZIZONE

    8 күн бұрын

    Na wewe Joseph elewa, mimi nauliza ili nikielewa naamini hata wewe utaelewa

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw10 күн бұрын

    Je? Danieli majini au mashetani unakumbuka kuwa Yobu alikuwa mtu safi mbele ya Mungu lakini mashetani walimjaribu. Wapo watu wanaingiwa na mashetani na bila hata wao kujua na wanateseka TU. Wapo watu wachawi wanawatupia wengine shetani na Kuna mashetani wengi wanaranda duniani ili kuwaharibu binadamu na kuwateswa.

  • @edinahbonareri2251

    @edinahbonareri2251

    10 күн бұрын

    yesu ni mwana wa mungu amerithi jina la babake sio Mungu wewe vipi?. kwani mtoto wako hawezi tumia jina lako?. ni follow upate elimu utoke kwa dini ya mohammed na uchawi anawafundisha yenye walikuwa wakiabudu kule makkah.

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana35989 күн бұрын

    Mchungaji mimi sina elimu saana! Ila kuna malaika na majini, na ndio maana wakati mungu alipowaamuru malaika wamsujudie adamu lakini ibilisi alikataa kwa kua yeye sio miongoni mwa malaika, hujawa na elimu bado

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    9 күн бұрын

    Sasa kwanini Allah alimuhukumu ibilisi japo yeye hakupewa hiyo amri ya kumsujudia Adamu? Yaani Allah siye mkweli?

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    8 күн бұрын

    Ibilis alikuwa nani kama sio malaika

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    8 күн бұрын

    @@msemakweli243 Ndugu wetu ameandika kwamba Iblis hakuwa malaika... Sijuwi kwanini Allah alimuhukumu... Yaani Allah siye mkweli

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    8 күн бұрын

    @@bustedislam3578 hajielewi

  • @samxx411
    @samxx4119 күн бұрын

    Sasa unasema ukiamini kifo cha yesu majini hawawezi kukuchezea, vipi wale wanaokuja kanisani wamepagawa vipi hawaamini kifo cha yesu??

  • @mtz5582

    @mtz5582

    8 күн бұрын

    Wana bacground mbali mbali ,wapo huja kanisani ila Bado hawajaacha maovu yao mfano Imani za kishirikina......hivyo

  • @OmariShuli
    @OmariShuli10 күн бұрын

    Rekibisha lugha yako. sio...."Majini ndio waloshangira..."hiyo ina maana ni majini peke yao ndio waloshangiria. Huo ndio upotoshaji mnaoufanya.Kitabu Barazanje hakisemi hivyo,ila wewe umefahamisha hivyo. Kitabu barazanje kimeorodhesha viumbe wengi waliofurahia kuzaliwa kwa Mtume yakiwamo hayo Majini,lkn kwa khiyana wewe daniel umetaka wafuasi wako wajue kuwa ni majoni peke yao walioshangiria.

  • @EurickMwangunda-wb9wo

    @EurickMwangunda-wb9wo

    10 күн бұрын

    Nyie ni Majin tuu😂😂

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai46519 күн бұрын

    Hio damu huwa haishi hio n pombe tu mumetekwa akili wakristo

  • @RichardHenjewele-gs8rk

    @RichardHenjewele-gs8rk

    9 күн бұрын

    Katumie majini uko

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq9 күн бұрын

    na mbona wanadai ati quran katelemwa😂😂😂😂

  • @samxx411

    @samxx411

    9 күн бұрын

    Si ndiyo kwasababu yupo peke yake anasema anachotaka ndivyo sivyo lakini hana elimu

  • @ramadhanimandoa716
    @ramadhanimandoa7168 күн бұрын

    Huyu jamaa ni kafir dhahir kabisaa anapindish ukweli

Келесі