MUNGU MMOJA NI NANI KULINGANA NA BIBLIA

Ойындар

Пікірлер: 156

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73388 сағат бұрын

    Mungu ni mmoja, anajitambulisha katika kazi zake. Baba (Kazi ya kuumba), nafsi ya Mwana( ukombozi), Roho Mtakatifu (Utakaso).

  • @egidiusedgar5626
    @egidiusedgar562611 күн бұрын

    Ndacha ww ni mwinjilisti wa kweli Na Mungu atazidi kukusimamia ili utusaidie sisi tulitambue vema Neno la Mungu. Ubarikiwe sana (Egidius)

  • @user-iz5fm9rt6n
    @user-iz5fm9rt6n12 күн бұрын

    Kwa nini Yesu Asiseme nasasa Baba Na roho mtakatifu mnitukuze mimi kwa ule utukufu nilio kuwa nao pamoja nanyi kabla ya Ulimwengu kukwako lakini Yesu Lugha ya Baba kumaanisha kabla ya Ulimwengu kuwako Alikuwepo Baba na Yesu full stop which is roho yupo ndani ya mungu si Mungu bali ni roho wa Mungu basi so Yesu Ni Bwana 1 wakorinto 8:6 _7 yohaha 17:3 yohana 17:5_9 God bless you ndacha ❤ and be with you all

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    11 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @qerysir4410
    @qerysir44108 күн бұрын

    HESHIMA ZANGU KWA MCHUNGAJI NDACHA, ROHO AMEMTUMIA KUTUFUNULIA SIRI HII👌

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff311912 күн бұрын

    Yaani hapa ndio wale Yesu akasema wanamasikio lakini wasielewe ndio hawa tanzania kwaheri kenya wapo pia wapo kule kongo pia tuliwaona nihuruma sana😢😢😢😢

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    Inauma sana mtumishi

  • @emmakimisha1221
    @emmakimisha122112 күн бұрын

    walimu wa utatu wanajenga imani kuwa ukipinga utatu unamkataa THE HOLY SPIRIT... hiyo ni sababu wanakuwa wabishi wakiteta hoja kwa kujinadi basipo kuoneshaa ukweli wa maandiko ambayo ndio msingi wa imani,, ndacha MUNGU azidi kukutumia ili uzidi kuwaamsha wengi .. Barikiwaa sana mjoli ndacha unaongozwa na MUNGU

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    12 күн бұрын

    Mbona ndacha kazidiwa Kwa hoja 😂😂😂

  • @emmakimisha1221

    @emmakimisha1221

    12 күн бұрын

    Hakuna hoja iliyomshinda ndacha.. wacha Ushabaki kwa maandiko

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff311912 күн бұрын

    Kweli ndacha wewe ni mwalimu maandiko hayasemi mungu Baba mwana Mungu mwana Mungu roho hakuna kwenye bibilia imeandikwa hivi Mungu baba mwana roho mtakatifu kweli tunapotea ndacha elimu uliyo nayo niya roho mtakatifu hawa wakuenda shule wanapoteza watu

  • @paulkamula9117

    @paulkamula9117

    7 күн бұрын

    Ndacha ni mbishi ndacha si mwalimu hata hajui kitu hata hajielewi chenye anaongea..

  • @MillanDunga

    @MillanDunga

    5 күн бұрын

    Uongo ndugu,, MUNGU NI MMOJA.. Naye ni YESU,KRISTO,, kwa mfano raisi wa Kenya ni Ruto, mkewe ni Rachael, mwanawe ni Sharleen.. Nikisema enda umsalimie raisi wa kenya, bwana wa rachael, babake sharleen utagundua ni William Ruto.. Ni mtu mmoja ana titles Tatu baba, raisi bwana lakini haya si majina,, jina ni Ruto

  • @comsmkemwa2671

    @comsmkemwa2671

    4 күн бұрын

    Kama hujui biblia kaa kimya, ndacha ni mwalimu lkn kipengele cha utatu wa Mungu hajui qnachemka sana, mkristo hakuna mkristo asiyejua utatu wa Mungu na ndio ukweli

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    3 күн бұрын

    @@comsmkemwa2671utatu ni mapokeo tu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73385 күн бұрын

    Mwalimu Daniel hapa ulimfundisha Ndacha maana ya Utatu Mungu mmoja. Asante sana, mwenye akili ameelewa vizuri. Mkawabatize kwa JINA la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Kwa JINA siyo kwa majina. Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni JINA moja.

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam678011 күн бұрын

    Nakukubali sana ndacha kwa kufundisha

  • @shadyz9208

    @shadyz9208

    11 күн бұрын

    Ila naomba ukubali Mungu zaidi

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro653312 күн бұрын

    Mwakema ukimsikiza utadhani akosawa lakin hjulikani anatetea nini

  • @handenitakuru6696

    @handenitakuru6696

    11 күн бұрын

    Kumbe na wewe umeliona hilo😂😂🎉🎉

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 күн бұрын

    Hizo biblia zina mgongano kila mtu anasoma yake na maana tofauti hii imani ya mchongo 😂😂

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym5 күн бұрын

    Ndacha amefeli kabisa kwenye hii mada.,wewe huna tofauti kabisa na waislam. Daniel ni Mkristo wa kweli anayeongozwa na Roho Mtakatifu. Be blessed in richly!

  • @Ayyub_Semtawa

    @Ayyub_Semtawa

    23 сағат бұрын

    Kwa iyo anaeongozwa na roho mtakatifu anatumia nguvu nyingi sana kupayuka..,? Hakuna haja ya kupiga kelele [using agrression tone to get your point across]

  • @JoshuaLeonard-y2w
    @JoshuaLeonard-y2w8 күн бұрын

    Mungu ni mmoja TU

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk3 күн бұрын

    anapotajwa Mungu baba ni katika hali ya uumbaji, Mwana ni pale aliposhuka kuja kumuokoa mwanadamu, Roho mtakatifu ndiye huyu anayetenda kazi ya Yesu hadi leo .

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi2 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu ni mmoja tu ni muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote nae ni ALLAH sio yesu

  • @opujejoshmahjoshmah1432
    @opujejoshmahjoshmah143211 күн бұрын

    Wapendwa Huu ndio mwisho wa Dan mwakemwa kusikika.. wote walio jadili na mtumishi Ndacha leo hii wasikiki maana sio Ndacha wanao pinga ila ni Mungu Baba kupitia Mwanae kwa Watumishi....sio Utani huu

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    11 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @zacharynganga2124

    @zacharynganga2124

    11 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @user-ru4cy1ob8k
    @user-ru4cy1ob8k11 күн бұрын

    Ndacha, hoja zako zina make sense wallah bila ushabiki

  • @user-iz5fm9rt6n
    @user-iz5fm9rt6n12 күн бұрын

    YOHANA 17:11 Wala mimi simo tena ulimwenguni lakini hawa wamo ulimwenguni nami naja kwako Baba mtakatifu kwa Jina lako ulilo nipa uwalinda hawa ili wawe na Umoja ka sisi tulivyo ;;;: Swali sasa kwanini Yesu asiseme nami naja kwenu baba mtakatifu na roho mtakatifu lakini anasema nami naja kwako Baba mtakatifu ni kwamba wewe mwl.? Mwankwemwa unataka kutuambia kwa andiko hili yesu hakujua kama na roho ni Mungu na yupo mbinguni na ndiko anako kwenda??? Wewe hujui ingelikuwa ni kumukosea Mungu roho, na ingelikuwa ni kumshusha Mungu roho hazi ya uungu ila Yesu anacho kijua au anacho tufundisha ni kuwa Mungu ni Baba na Mungu ana roho wake kwahiyo roho si Mungu wakujitegemea bali roho ni roho wa Mungu ndiyo maana yesu hakuona sababu yakumusema roho kama Mungu, bali kuna roho wa mungu Mwanzo 1:2 issaya 40:12_13 Mattayo 3:16

  • @zakayomwalongo9330

    @zakayomwalongo9330

    7 күн бұрын

    Matendo ya Mitume 28:25 [25]Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya, [26]akisema, Enenda kwa watu hawa, ukawaambie, Kusikia, mtasikia wala hamtafahamu; Na kuona, mtaona wala hamtatambua; Hilo fungu linasema Roho mtakatifu alinena kupitia kinywa cha nabii isaya... haya tuone huyo roho alinena vp na nabii isaya..👇👇 Isaya 6:8-9 [8]Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi. [9]Naye akaniambia, Enenda, ukawaambie watu hawa, Fulizeni kusikia, lakini msifahamu; fulizeni kutazama, lakini msione. Jibu liko hapa tunaona Roho Mtakatifu anazungumza na nabii isaya akisema naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu. Ko tunaona hapa Roho Mtakatifu anasema kwa niaba ya nafsi zingine ambazo ni MUNGU BABA NA MUNGU MWANA. hivyo Roho Mtakatifu ni nafsi hai ya inayojitegemea. Roho Mtakatifu azidi kukusaidia pale unaposoma bible uzidi kuelewa jinsi Mungu alivyojifunua.

  • @justine-2707
    @justine-270712 күн бұрын

    Moja mara. Moja mara moja ni moja was shida

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    Hata mtoto we chejechea hiyo hesabu ataksambia ni 3😂😂😂

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    Watu we jumapili wasipochunga, Yesu siku akiludi watanngamia, wabadilike waludi njia kuu

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    2 күн бұрын

    moja jumlisha moja jumlisha moja jumlisha moja jibu ni moja kwa imani yako badala ya usawa kuwa ni tatu 😂

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 күн бұрын

    Nyote mmepotea ndio maana maana mpaka leo mna mgongano katika kumjua mungu huu mtihani

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn11 күн бұрын

    Mwalimu mwankemwa ubarikiwe sana ndacha umempa kibaruwa,na meenyekiti wake Wana Hila Niko Mozambique Pemba ubarikiwe mwl Danieli

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    11 күн бұрын

    Utatu ni upagani

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    4 күн бұрын

    @@fredrickgitonga1972 mathayo 28:19 yesu nimpagan?

  • @EVANGELISTJOHN-qb6bq
    @EVANGELISTJOHN-qb6bq12 күн бұрын

    Mwakemwa Mungu akusaidie kuelewa unachokifundisha..akuondolee dhana..hakuna mungu wa utatu katika maandiko

  • @medadykyabashasa1794

    @medadykyabashasa1794

    12 күн бұрын

    Wapi hujaelewa mpaka hapo au upofu umekufunika? Mwankemwa kaweka wazi UTATU

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    ​@@medadykyabashasa1794analeta ushabiki bila kufatilia maandiko

  • @emmakimisha1221

    @emmakimisha1221

    12 күн бұрын

    Imani huja kwa kusikia ,, na kusikia ni kusema imeandikwa,.... Leta andiko mzee

  • @denisbarasa2035

    @denisbarasa2035

    11 күн бұрын

    Exactly ni vizuri ku prove na andika

  • @msemakweli243
    @msemakweli24311 күн бұрын

    Leo ndo nimejua mwalimu mwankemwa yeye kakalilishwa elimu ya kusoma chuoni sio kusoma biblia na kuomba maarifa kwa mungu amuongoze

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c11 күн бұрын

    Tatizo wajumapili wanaisoma biblia kwa theologea. Mungu. Awafungue macho. Muelewe. Wote niwamoja.

  • @Anza_tz
    @Anza_tz8 күн бұрын

    Wasabato mnachekesha sana mbona elimu iko wazi sana hapo ...Mungu ameamua yeye kua katika Hali tatu Ili utendaji wake na mahusiano yake na wanadamu yafanikiwe ..kwa mfano ..Mungu baba kwa utukufu wake ukimuona kwa macho utakufa kwanza sauti yake tuu inasemekana ni kama radi hata malaika mbinguni sidhani kama wanauona uso wa Mungu baba kwahyo inabidi Mungu baba ajifanye yeye kua na mwili Ili aweze kuwasiliana na watu vizuri..lakini tunajua kwamba Mungu baada ya Yesu ameamua kufanya makao ndani ya watu sasa atakaaje kama hajawa katika mfumo wa Roho? Sasa Mungu ni mmoja lakini ameamua kua katika sehemu tatu Ili kuwezesha uhusiano wake na viumbe vyake uwe na ufanisi zaidi kuliko angebakia katika utukufu wake hakuna mtu angeweza kuongea nae Wala kumsogelea kwanza tuu ukiwa na dhambi hata kidogo ukisogelea utukufu wa Mungu unakufa na ndyo sababu Mungu akaamua kutoa damu yake mwenyewe kama sadaka Ili iwe Kinga kwetu kwa msamaha na ondolea la dhambi.

  • @philipjoseph5931

    @philipjoseph5931

    3 күн бұрын

    Usiseme Wasabato, Sema Ndacha.

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya12 күн бұрын

    Logically hata haieleweki Mungu kuja duniani mbinguni alikuwepo nani?

  • @jamesrichard1084

    @jamesrichard1084

    8 күн бұрын

    Upeo wako wa kufikili mdogo kwani mchawi awezi kuwa paka na muda huo yuko nyumbani amelala sasa kama huyu anaweza Mungu je?

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19958 күн бұрын

    M'mungu mmoja ni Allah? Silimu ndacha

  • @orestsanga6294
    @orestsanga62943 күн бұрын

    Kumuelewa Ndacha kwanza unatakiwa kuwa mpinzani wa hilo fundisho. Ukweli ni Ndacha umeshindwa kwa hoja za maandiko matakatifu

  • @kulwasandali2279
    @kulwasandali227912 күн бұрын

    Anachotetea huyo mwalimu mwakemwa hakipo anatia huruma Sanaa Mungu amsaidie tu maan hatak kukubali ukweli

  • @vincentdaud9954

    @vincentdaud9954

    12 күн бұрын

    Wewe ndo hujitambui .wayahudi hamna jipya. Dhehebu lenu lilianzishwa saa6 mchana siku jumamosi 7 .7.1945 na mwanamke Ellen Gabriel white . Michigan marekani aliyekuwa mtawa wa estern orthodox alipoasi akajiundia kikundi cha wabishi

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    ​@@vincentdaud9954ondoa mhemko, Zile amri za sinai zlianzishwa mwaka huo?

  • @kulwasandali2279

    @kulwasandali2279

    11 күн бұрын

    @@vincentdaud9954 hahaha pole sana ndugu eti limeanzishwa 1945...sasa akili zako ziko sawa kweli daah huyo unaemsema unajua kuwa amefariki miaka ya 1880 huko sasa unasemaje 1945 ndio ameanzisha hahahah aisee unatia huruma sabato Iko Toka mianzo ya ulimwengu imewekwa hiyo ibada na ndio maan Yesu had anakuja akaendeleza tu hkn Kipya acha kufuata mkumbo kijana unapotea Sana unatia huruma

  • @user-hu3uw4pd7y
    @user-hu3uw4pd7y5 күн бұрын

    haya sas mmesahatueka njia panda hatujui tumfatane nani sas na nyote mnatumia kitab kimoja lakin hatujui yesu ni nani nshagair kuingia kwa ukirsto mana biblia inachanganya

  • @zakayomwalongo9330
    @zakayomwalongo93307 күн бұрын

    Ndacha ndacha ndacha we ni mchungaji ni na unafwatiliwa na watu wengi angalia jinsi unavokataa utatu na kuwaaminisha watu... kumbuka watoto wa eli walivyokua makuha n wakawa wakaidharau sadaka ya Bwana. Dhambi inayofanywa kinyume na mpango wa Mungu kwa ajili ya ukonbozi wa wanadamu hawawez kusamehewa hata wakaomba toba . waebrania 6:6. Wanadamu hatuwez kupata wokovu kama hatutaamini katika utatu. Usimuhuzunishe Roho wa Mungu hata akawa adui yako. Mungu akupewepesi wa moyo na uelewe vile Mungu kajifunua kwetu kupitia neno lake

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi2 күн бұрын

    Mwankemwa imefeli na ndacha umefeli kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatumbuiza wote shimoni

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc17278 күн бұрын

    Munayo sema mungu wa utatu au mungu wa uwili nyie wote muapotevu, Mungu ni mu moja ni Yesu tu ,

  • @IsabelClementeNtengo
    @IsabelClementeNtengo7 күн бұрын

    1yohana 5:8-9 dacha ni WA mwili tuu.

  • @IsackMntaji
    @IsackMntajiКүн бұрын

    Mch,ndacher,punguza munkari ninyi wote ni wakristo,nakuomba uongozwe na roho wa bwana kama mwenzako danieri ili tuwaelewe vizuri mbona danieri tunamuelewa?

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539Күн бұрын

    Kwahiyo hapo Myahudi ni nani na asiye Myahudi ni nani? 😢Yesu tuhurumie imeshindikana kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi? Ninachoona hapa ni kuumana na kulana woiii 😢 bytheway MWALIMU MWANKEMWA SIKUELEWI KWENYE HII MADA.

  • @DrNelsonJohnMuhirwe
    @DrNelsonJohnMuhirwe11 күн бұрын

    Mheshimiwa Ndacha

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino1308 күн бұрын

    Hayo ni mambo ya rohoni,hayafundishwi kwa hekima ya kibinadamu --- yaani " kwa kujenga hoja kama anavyojaribu kufanya hivyo NDACHA " Hayo ni mambo ya kiroho,ysnayofundishwa na Roho -- mambo ya rohoni,yanafasiriwa kwa maneno ya rohoni ---- akina Ndacha,ni watu wa tabia ya asili --- (1) Hawna wokovu (2) Hawana Roho mt --- ni watu wa dini tu --- washika sheria kimwili, Mf SABATO,kama ilvyokuwa kwa mafarisayo --- Hawawezi kuyapokea mambo ya rohoni,likiwemo fundisho la utatu,kwao hilo ni jambo gumu,kwa akili zake atasema ni " Upuuzi " --- 1 Kor 2:10 --- 16 --- Ndacha nyenyekea,kaa chini ufundishwe --- " Hauko mbali na ufalme,ikiwa utakubali kufundishwa "

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj12 күн бұрын

    Mwankemwa asipo angalia andiko la Uf 22:18-19 linamshtaki, anajalibu kingiza maneno yake ya nje ya biblia

  • @GodfreyErene
    @GodfreyErene8 күн бұрын

    Barikiwa sana mch mwakema, tatizo wasabato wapo mwilini hawaelewi kabisa habari za rohoni, niatari sana kusikia mkristo haelewi utatu wa nafsi za mungu,

  • @estakenia

    @estakenia

    7 күн бұрын

    😂unahitaji kujifunza vizuri

  • @BakangayaBantaba

    @BakangayaBantaba

    2 күн бұрын

    Wew ndie huelewi unachozungumza ndugu nafsi tatu ni nini

  • @CHRISTOPHERKAKINGO
    @CHRISTOPHERKAKINGO5 күн бұрын

    Aliva mwili akaitwa yesu kabla hajavaa mwili alikuwa nani

  • @FredrickNyangweso
    @FredrickNyangweso9 күн бұрын

    Kwa umoja ya Uungu Daniel mwakemwa akosahihi hapo Ndacha umelemewa mbona Yesu amwita Roho yeye,,na Kuna Mungu Baba na Kuna mwana na hawa wote ni umoja unasema nafasi tatu Kwa Uungu shida ni Moja unasoma Bibilia na fixed mind funguka Wacha kufundisha Bibilia jinsi unavyo fanya kwenye mdahalo wa kislamu naye Roho wa Mungu atakuongoza vyema

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi2 күн бұрын

    Yesu ni mtume kwa wana wa israel

  • @EvgLeonidas
    @EvgLeonidas7 күн бұрын

    Mbona uyo mwalimu mmemkata maneno yake kumbe mna upendeleo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino1308 күн бұрын

    Wasabato kwa habari ya doctrine mko hoi kweli kweli --- mnataka kumfafanua Mungu A to Z kwa kuzitegemea akili za kibinadamu,yaani kwa kujenga hoja --- yaani mwanadamu umfafanue Mungu,kwamba anaanzia wapi na anaishia wapi ? Hapo sasa mwanadamu,si atakuwa uwezo kuliko Mungu --- neno linasema," Siri ya utauwa ni kuu... 1 Tim 3:16.

  • @japhetndoro6533

    @japhetndoro6533

    7 күн бұрын

    Mungu amejifunua mwenyewe ww

  • @EvgLeonidas
    @EvgLeonidas7 күн бұрын

    Kumbe mwankemwa ni hatari hivi nimempata kiboko wa ndacha

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack1212 күн бұрын

    Mwalimu balikiwa sana❤❤❤❤

  • @philipjoseph5931
    @philipjoseph59313 күн бұрын

    Ndacha Tulia kwanza Ujifunze Biblia. Tatizo lako umesoma Biblia kwa njia ya Qur'an. hapo lazima uchanganye Mafaili.

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc8 күн бұрын

    NAOMBA NISOMEWE LIKA 2:1-23 AU MWISHO WA AYA MNIFAFANULIE SURA HII YA LIKA NANI KAZALIWA NANI KAZAA NANAI KASEMA MARIAMU UTAPATA MIMBA NANI KAPOTEA NANI ANATAFUTWA NANI KAJA KUWAKOMBOA WA ISRAELI NANI KAUTWA MTOTO KWA MUJIBU WA LUKA NISAIDIENI.SURA HII AIO METHALI WALA FUMBO IPO WAZI HAIITAJI KACHUMBALI KAMA ASEMAVYO NDACHA

  • @salimobeid1470
    @salimobeid14704 күн бұрын

    Masikini wakiristo fungueni akili zenu mtafute ukweli na njia ya haki yavkwenda kwa mungu wa ukweli hapa kuna usanii mkubwa sana unatumika wa kucheza na akili za watu jamani kila mmoja atazikwa pekee yake tafuteni ukweli someni quran mtaona ukweli jamani njia sio sahihi hii ya ukiristo namuomba mungu awafungue macho na nyoyo kila anaetaka kuona njia ya mungu ya ukweli

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Nilicho kiona Kwa ndacha anacho kiamini Huwa ataki kuelimishwa zaidi ya hapo Yeye anaamini anajua kila kitu hiyo Ndio shida.

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Kwani Mungu anashindwa kitu?..... Maana hata Musa alisema nae Kwa njia ya Moto Akuna kitu Mungu anashindwa kuwa anauweza wa yote Ndio maana tumeambiwa alikuwa mwili kwa jinsi ya mwili mbona Hiko wazi sana.

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Simple like that kama Mume na mke kuwa mwili Mmoja why not Mungu anashindwa kuwa ktk hutatu?..... Ndacha ni mwalimu Mzuri Hila nae anaitikadi za Ubishi Ubishi kama wayaudi.

  • @robertjoseph4196
    @robertjoseph41966 күн бұрын

    Ndacha hapa umeferi % zote

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje115811 күн бұрын

    Mwl mwakemwa amekaririshwa theology wachungaji mukubali ukweli UTATU NI Giza totolo

  • @Shomariamuri1

    @Shomariamuri1

    7 күн бұрын

    Kabisa ndugu yangu. Hata mtoto wa nursery hawezi kubali Mungu mwenyezi alikuja kuzaliwa duniani laaaa 😂😂😂

  • @OmaryKawambwa
    @OmaryKawambwa3 күн бұрын

    Fafanua

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj12 күн бұрын

    Watu wa jumapili mchungaji wao Mwankemwa kakubali hakuna andiko la Baba, mwana na roho kuwa Mungu mmoja hakuna, ndio atubu dhambi yake ya uongo

  • @FelixGitonga-co8ng
    @FelixGitonga-co8ng12 күн бұрын

    Daniel mwalimu kubali tua mungu baba na mwana mungu na roho mungu hio kwa bilia akuna ?

  • @Kanyawela
    @Kanyawela8 күн бұрын

    Ili ujue Yesu razima uwe rohoni kwenye akili utafeli ndacha

  • @paulkamula9117
    @paulkamula91177 күн бұрын

    Ndacha hakuna kitu anajua..

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f11 күн бұрын

    Ndana na mzee wa upako ni ndugu moja

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino1308 күн бұрын

    Kuhusu kuwasingizia waroma ni kwasababu ya matango mwitu aliyolishwa na Nabii wao White.

  • @frankathanas

    @frankathanas

    5 күн бұрын

    sina Hakika kama unauelewa unabii yaan roho ya unabii vzr

  • @livetrendmedia
    @livetrendmedia10 күн бұрын

    Elohim is one of the Hebrew words for God, usually referring to the one God of the monotheistic religion of the Israelites described in the Hebrew Bible. However, Elohim is not the only Hebrew word for God, nor is every usage of the word Elohim a reference to the God of Israel, whose name is Yahweh.

  • @MillanDunga
    @MillanDunga5 күн бұрын

    Ukiwa makini unaposoma (YOHANA 13 NA 14). Jiulize hili jambo 1."nitamuomba BABA awatumie msaidizi kwa Jina langu" "YESU KRISTO 2." Msaidizi huyo dunia haimjui ila nyinyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi na baadaye atakuwa ndani yenu"", YESU ALIKUWA PAMOJA NAO KATIKA KIMWILI NA BAADAYE ATAKUWA NDANI KIROHO 3."Nitamuomba BABA awatumie msaidizi,,,,, ni vizuri kwenu nikienda, nikienda nitamtuma" "YESU ANASEMA ATAMUOMBA BABA AMTUME HUYO MSAIDIZI MBELE KIDOGO YESU MWENYEWE ASEMA NIKIENDA NITAMTUMA.. 4"MUNGU NI ROHO na wamwaputuo wapaswa kumwabudu kwa uwezo wa roho." ikiwa MUNGU NI ROHO NA TUNAELEWA MUNGU NI MTAKATIFU KUMAANISHA ROHO MTAKATIFU Kwa hiyo YESU KRISTO ndiye MUNGU BABA MUUMBA, NDIYE MWANA NA BADO NI YEYE TU ROHO MTAKATIFU

  • @petersammy218

    @petersammy218

    3 күн бұрын

    Na ni nani huyu atamuomba ama yesu ni muongo??

  • @habililailo271
    @habililailo27111 күн бұрын

    Wacha mm niongozwe na roho wa Mungu

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Hukisema handiko lisomwe huyo Msemaji anakuwa kama hajui kusoma nikijana ambaye anaenda kishindani shindani kama mwalimu wake Ndacha analazimisha kutokuelewa sababu ya ushindani tu kukalili alivyo amini na kuona wao wanajua zaidi kuliko wengine ngumbe sivyondivyo maashi yalivyo hunacho kijua ktk Elimu yako yuko mwingine ambaye anajua tofauti nawe.

  • @Shomariamuri1

    @Shomariamuri1

    7 күн бұрын

    Usiwe na ushabiki ndugu yangu. Ebu soma Waebrania 1-8-9 Mungu wa mbinguni hawezi kua tena na mungu wake. Pia soma Yohana 17-3 Yesu anasema uzima wa milele ni kumjua Mungu wa Pekee na Yesu kristo uliyemtuma Maandiko yako wazi kabisa. Hata mimi zamani nilikua na imani iyo. Jaribu kujisomea mwenyewe

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa620612 күн бұрын

    Tuzidi kujitakasa,hayo mengine tutayaelewa mbinguni,mwenye kujitakasa azidi jitakasa

  • @davidwambura5915
    @davidwambura591511 күн бұрын

    Usipomuelewa mwankemwa hautamuelewa mwingine yeyote.

  • @BakangayaBantaba
    @BakangayaBantaba2 күн бұрын

    Sasa unapaswa ubatizwe kwa jina gani

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c8 күн бұрын

    Mungu ni mmoja !! Ila anafanya kazi kaktika nafsi tatu,Yesu Roho mtakatifu ni Mungu huyohuyo Yesu ni mwokozi ,Roho mtakatifu nimtendaji ,,Yesu tuko kila mahali Roho mtakatifu anajuwa yote!!! Hizi sifa ni za Mungu tu. Huwezi kumuomba Mungu bila kutaja jina la Yesu,na huwezi kuomba ipasavyo bila Roho wa Mungu Mungu!! Kwahio Mungu ni mmoja katika nafs tatu Baba ,Mwana,na Roho mtakatifu, hizi nafsi tatu ndo anakamilika Mungu alie hai.Kwahio Yesu ni Mungu,

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    8 күн бұрын

    Maelekezo mengi no fungu

  • @japhetndoro6533

    @japhetndoro6533

    7 күн бұрын

    Wew mwongo

  • @rasitkipkoech7441
    @rasitkipkoech744111 күн бұрын

    Tunajaribu kujionyesha upabe wetu kw hii mjadala. Kitu moja tu munatofuutiana.... Mipakilio y MUNGU BABA, MWANA, N RONO...... WOTE WAKO NA JINA LAKE LAKINI WOTE WAFANYA KAZI PAMOJA ndio tunasema wote ni MUNGU KWA MAHANA WANAFANYA KWA NGUVU YA MUNGU... muko sawa pmoja

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    11 күн бұрын

    Akuna Mungu watatu

  • @programminglanguagestutori9118

    @programminglanguagestutori9118

    11 күн бұрын

    Sasa ukiulizwa Mungu wa pekee wa kweli ni nani utasema nani? Tunaongelea Mungu mmoja

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Ndacha ktk hili humefeli inabidi kusaidiwa

  • @filexbenefits5612
    @filexbenefits561211 күн бұрын

    Tena Mungu aangalii Elimu ya vitabu maana anasema yaitwa Elimu kwa uongo 1 Tim 6:20-21, hatutaki Elimu iyo ya kungeuza maandiko uko shule wakindaganyana, to hell

  • @thomasrodriguez7684
    @thomasrodriguez768412 күн бұрын

    Mwalimu mwankemwa unaeleweka tupatie namba ya mpesa tufanye jambo. Uyu anaekataa utatu Wa Mungu ni kafiri km walivyo waisilamu.

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    12 күн бұрын

    Hii sawa kabisa😂😂

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    11 күн бұрын

    Hata wayahudi sio wote walio amini Yohana mbatizaji na Mwana wa Mungu

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    6 күн бұрын

    ukita kujua umepotea fikiria manabii waliopita kabla ya yasu kuwepo duniani walifundisha utatu ?

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack1212 күн бұрын

    Ndasha nimukweri hakuna mwalimu wa jumapiri mukweri wote ubwamuntu

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    11 күн бұрын

    Yah umbwa walio bubu isaya 56:10-12 si matusi

  • @barakaharony4396
    @barakaharony439611 күн бұрын

    Ndacha MUNGU ni mmoja TU naye jina lake YESU kristo ndiye MUNGU Baba na ndiye mwana ye mwenywe hawako hawo wawili unao wasema

  • @qerysir4410

    @qerysir4410

    8 күн бұрын

    kwa hiyo YESU alipoomba alikuwa anajiomba mwenyewe?! LAHAULA!

  • @Shomariamuri1

    @Shomariamuri1

    7 күн бұрын

    Hakuna andiko inayosema ivo 😂

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f11 күн бұрын

    Ndacha mimi nilikuwa nakufatilia ila kwa mafundisho yako ya kukataa utatu wala skufatilii

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    11 күн бұрын

    Kataa kwa hoja sio kwa sababu unaamini hivo ndo maana utaki

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel8 күн бұрын

    Ndacha Nauliza swali Yesu ni Mungu au sio Mungu?.... Kuna maandiko ambayo Huwa unayasomaga wewe mwenyewe nitakuzibitishia kwanza Naomba nijibu Hilo Yesu ni Mungu au sio Mungu?....

  • @realramjen3270
    @realramjen327011 күн бұрын

    Mch Mwakemwa una kitu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya12 күн бұрын

    Mbona unafupisha have relationship with father umeacha

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65337 күн бұрын

    Mwakema ameshindwa hii mada

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl8 күн бұрын

    Tuwawekee shehe apo au tuwaache?

  • @andrewmhagama9816

    @andrewmhagama9816

    8 күн бұрын

    Mashehe habari za Roho mtakatifu Unawachanganya tu na hawajui chochote mpaka Yesu anarudi

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial162912 күн бұрын

    Wasabato Wana matatizo ndiyo maana kunakipindi walitangaza mwisho wadunia wakaanza kuwambia waumini wao wauze vitu vyao 2020 kutafasiri maandiko kwako ni ngumu kipindi kingine wakaenda uwanja wa ndege wa Julias Nyerere kupanda bure kwa imani 😂😂😂😂

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    11 күн бұрын

    Sifa za msabato unasijua ww, eti wasabato alf mtu mwingine akiamuka toka na uko kusema vitu vyake inaunganisha na wengine, huoni io ni kuchanganyikiwa lakini sikulaumu ww uko uko tu, Babylon(confusion)

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    11 күн бұрын

    You can't combine people to blame, judgement will come to an individual, u must be conscious

  • @FelixGitonga-co8ng
    @FelixGitonga-co8ng12 күн бұрын

    Mbona Daniel wako watatu wazundia mbunguni daza anakubali hio

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f11 күн бұрын

    Nyinyi walimu mbona munatuchanganya

  • @estakenia
    @estakenia7 күн бұрын

    😂mwakemwa hua unajichanganya katika maelezo yako. Aya ziko wazi kuwa Yesu ni mwana wa Mungu.

  • @GodfreyErene
    @GodfreyErene7 күн бұрын

    Alafu nyie waabudu siku mnapotoa comment muwe mnafikiria vizuri, ndacha anapokataa hakuna mungu mwana maana yake ana Manisha yesu sio mungu ? Hayo ni mafundisho ya kishetani, hata kule congo ni huyo huyo ndacha aliwafundisha watu kuwa yesu ni mungu, na Leo anakataa. Anaitaji shule kuhusu mambo ya rohoni😂

  • @user-jy8cg2ly1j
    @user-jy8cg2ly1j11 күн бұрын

    Metronomy 29:29

  • @DimaDaro-ts1kq
    @DimaDaro-ts1kq2 күн бұрын

    Danieli wewe hueleweki kabisa

  • @peternyaga-jh7zb
    @peternyaga-jh7zb11 күн бұрын

    Leo ndacha amepelekwa shule

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    11 күн бұрын

    Shule kwa Elimu ngani isipokuwa mithali 14:15 mtu mjinga huamini kila kitu bali mwenye busara hufikiria njia zake

  • @Shomariamuri1

    @Shomariamuri1

    7 күн бұрын

    Huo unaitwa ushabiki 😂

  • @daudmtoba191
    @daudmtoba19112 күн бұрын

    Mbona hawa wamadhehebu wana badilisha maandiko

  • @DanielErnest-nn2zj

    @DanielErnest-nn2zj

    12 күн бұрын

    Hawajui maandiko😂😂😂

  • @daudmtoba191

    @daudmtoba191

    12 күн бұрын

    @@DanielErnest-nn2zj ni mungu wao atuwez kataa maana makanisani wamejaza masanamu sana

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c11 күн бұрын

    Tatizo wajumapili wanaisoma biblia kwa theologea. Mungu. Awafungue macho. Muelewe. Wote niwamoja.

  • @daudmtoba191
    @daudmtoba19112 күн бұрын

    Apo kuna mpotoshaji na mwalimu sasa awa wajuma pili awaelewi

  • @medadykyabashasa1794

    @medadykyabashasa1794

    12 күн бұрын

    Umeelewa UTATU SASA

  • @obedkalinga9704

    @obedkalinga9704

    11 күн бұрын

    Mungu amewapofusha wasiweze kujua siri yake. Sabato ni Siku ya kupumzika na kustarehe. Andiko gani linasema sabato ni jumamosi. Ukiamini hivi inamaana umefuata mapokeo ya watu kwa kutengeneza kalenda

  • @fredykiluka6606

    @fredykiluka6606

    11 күн бұрын

    ​@@obedkalinga9704soma neno kijana utapotea ooh 😢😢😢

  • @user-jl5uh1xq9f

    @user-jl5uh1xq9f

    11 күн бұрын

    Mwalimu mwamkema uko sawa wasabato wabishi sana

  • @user-jl5uh1xq9f

    @user-jl5uh1xq9f

    11 күн бұрын

    Ndacha ukikataa utatu mtakatifu undoka Tanzania mafundisho yako potofu

Келесі