BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

Mjadala mkali unahubiriwa nje ya nchi kati ya Wakristo Waadventista Wasabato na Waislamu.

karibuni nyote

karibuni nyote

1 June 2024

1 June 2024

1 June 2024

1 June 2024

May 21, 2024

May 21, 2024

May 4, 2024

May 4, 2024

April 24, 2024

April 24, 2024

April 18, 2024

April 18, 2024

MUNGU WA BIBLIA NI NANI?

MUNGU WA BIBLIA NI NANI?

March 25, 2024

March 25, 2024

March 24, 2024

March 24, 2024

March 20, 2024

March 20, 2024

kumekucha

kumekucha

Manabii sio Waislamu

Manabii sio Waislamu

TAREHE 16:17 DECEMBER

TAREHE 16:17 DECEMBER

November 20, 2023(2)

November 20, 2023(2)

November 20, 2023(1)

November 20, 2023(1)

Пікірлер

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f8 сағат бұрын

    Nakuliza ndacha kuna dhambi kusali ijuma ine au ijuma tano ? nipo moçambiqwe

  • @ibrahimhamza832
    @ibrahimhamza83212 сағат бұрын

    RAHA kua muislamu ☪️☝️

  • @AlfredMusemakweri
    @AlfredMusemakweri15 сағат бұрын

    Yani kumjua Mungu wakweri katika utata wake ni ufunuo waroho mutakatifu siyo hakiri za kibinadamu mc ndacha wewe niwakuwahubiri waisilam ili wamjue yesu tu waokoke wasiingie jehanam

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga668916 сағат бұрын

    Unapoangalia chimbuko la yesu uanze kwa kuangalia kabla hajazaliwa na mariam alipokuwa mbinguni je kule mbinguni alizaliwa ? NAYE NENO ALIKUWA KWA MUNGU NAYE NENO ALIKUWA MUNGU NENO AKAFANYIKA MWILI ndipo alipozaliwa na mariamu . Je akiwa anaitwa NENO kule mbinguni alizaliwa ? . Ndiyo mana Yesu anasema Mimi ni ALFA NA OMEGA . alfa na omega kwanza na wa mwisho aliyepaa mbinguni ni nani ?

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga668917 сағат бұрын

    Huyu jamaa anapotosha watu kwa mfano yesu kabla hajazaliwa na mariamu alikuwepo je alikuwa amezaliwa na nani kabla ya kuzaliwa na mariamu ? Mungu hazai anaumba huyu jamaa hajui hata maana ya kuzaa je kabla yesu hajazaliwa duniani alikuwa mbinguni kule mbinguni alizaliwa Kwa mama yake aitwaye nani ? YESU KABLA YA KUZALIWA NA MARIAMU ALIKUWA MBINGUNI JE NA KULE MBINGUNI ALITOKEA WAPI? Ndacha asema Nako alizaliwa, kama Nako mbinguni alizaliwa mama yake kule mbinguni aliitwa nani ? Acha kufundisha ujinga ww

  • @JohnNchimbi-i8t
    @JohnNchimbi-i8t20 сағат бұрын

    Wafilipi 2:6 kuwa SAWA na MUNGU maana yake nini?Mwl ndacha nifafanulie!!?

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3soКүн бұрын

    Sabato ni ibada siyo siku ibada yoyote ya mungu wa mbinguni ni sabato

  • @peterndungu6980
    @peterndungu6980Күн бұрын

    Mtumishi mie niliungana nawe asili mia moja ata nikikosa hera ya kutuma mie niko pamoja nawe pia nakuombea sana barikiwa na Mungu akuzidishie Neema Amina 🙏🙏🙏

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7uКүн бұрын

    Mmepotea

  • @alexphabian6836
    @alexphabian6836Күн бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi

  • @M2Salimo
    @M2SalimoКүн бұрын

    Mazinge wetu ubarikiwe na Alhahu sisi tunakuo mbea kwa Alhahu ubarikiwe insha alhahuhu

  • @M2Salimo
    @M2SalimoКүн бұрын

    Hapo uchomoki anaitwa porfesor mazinge uyo waki mataifa

  • @M2Salimo
    @M2SalimoКүн бұрын

    Dacha ukichoka hapo we siyo mkirisito we ni kafiri mshenzi yesu ni mtume wa mungu pambavu wewe

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlКүн бұрын

    Kama tanga kuna kuna vichaa balaa

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlКүн бұрын

    Waslam watu wa ajabu sana wanawapenda majini wanawachukia wayaudi lo mungu awaulumie tu

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlКүн бұрын

    Sema sema mwalim waslam mambumbumbu elim efu usetani tu umewatawala chuki kwa bnadam wenzao

  • @AnafBanda
    @AnafBandaКүн бұрын

    Kiukwel mwalim ndacha na mwalim mwamkemwa awa wawil nitishio la waislam

  • @geofreymulei5695
    @geofreymulei5695Күн бұрын

    Asante mwalimu ndacha kwa kufichua mengi katika dini hii huisilam tumenjua mengi kupitia wewe

  • @DieudonneNiyonkuru-ix2xe
    @DieudonneNiyonkuru-ix2xeКүн бұрын

    Jamani.mungetafuta.hojanyingine.mana.ukisha.kubarikuwa.muzariwa..unakuwa.mwanatu,wayure.ariyekuza.hiyo.inaereweka.ndacha.wewe.tunakupendasana.hukuburundi.ira.rudi.zizini.manakuasi kanisara.wasabato.nikama.kujitosa.motoni

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562Күн бұрын

    YESU ni yote ndani ya yote , Bikira atazaa mwana ,mshauri wa ajabu Mungu mwenye nguvu ,mfalme wa Milele,hata YESU aliwaita wanafunzi wake wanangu.

  • @williambaraka8619
    @williambaraka86192 күн бұрын

    hii mada sio utatu bali uugu wa Yesu

  • @victorbeno
    @victorbeno2 күн бұрын

    Punguza jazba mwalimu mwakemwa.

  • @victorbeno
    @victorbeno2 күн бұрын

    Huyu MWAKEMWA ndio ni mwalimu kwenye hili somo akasome vizuri.

  • @victorbeno
    @victorbeno2 күн бұрын

    Huyo mwalimu chenga kweli kwenye hili somo kazingua mchungaji mwakemwa.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73382 күн бұрын

    Mungu ni mmoja, anajitambulisha katika kazi zake. Baba (Kazi ya kuumba), nafsi ya Mwana( ukombozi), Roho Mtakatifu (Utakaso).

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu68412 күн бұрын

    Mzee wa Upako yuko sahihi, ukiifuatilia clip yake, ana hoja, maandiko mliobaki hamna hoja za kibiblia.

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu68412 күн бұрын

    Mzee wa Upako yuko sahihi, ukiifuatilia clip yake, ana hoja, maandiko mliobaki hamna hoja za kibiblia.

  • @EusebioEduardoAntonio
    @EusebioEduardoAntonio2 күн бұрын

    uyo mwalimu Ndacha ni sawa kabisa na waeslam kwa sababu waeslam wanaamini ya kwamba akuna mungu mwana na ndacha anasema akuna mungu mwana tofauti iko wapi?ni bora tu usiwe mkristo 🇲🇿

  • @EusebioEduardoAntonio
    @EusebioEduardoAntonio2 күн бұрын

    Ukweli mtupu kutoka kwa mwalimu Mwankemwa.🇲🇿

  • @EmmanuelLyimo-q4b
    @EmmanuelLyimo-q4b2 күн бұрын

    Yes ni mungu na ndiye aliyepewa ufalme wote mbingun na duniani

  • @CharlesPaul-g6o
    @CharlesPaul-g6o3 күн бұрын

    Mungu akubarki mchungaji

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn3 күн бұрын

    Mkali wanini rumbaneni wenyewe uisilamu umenjooka hana lolote huyo

  • @michaelkishosha2391
    @michaelkishosha23913 күн бұрын

    Mch Ndacha Mungu akubariki uendelee kufanyka Nuru Kwa wengi,nna hakika wale Mungu aliokusudia wataongolewa.

  • @navokisembo
    @navokisembo3 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi Ndacha na Paulo

  • @didasmajor9288
    @didasmajor92883 күн бұрын

    Nimependa sana mdahalo huu, barikiweni nyote kwa elimu nzuri

  • @IsackMntaji
    @IsackMntaji3 күн бұрын

    Mch,ndacher,punguza munkari ninyi wote ni wakristo,nakuomba uongozwe na roho wa bwana kama mwenzako danieri ili tuwaelewe vizuri mbona danieri tunamuelewa?

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania15393 күн бұрын

    Kwahiyo hapo Myahudi ni nani na asiye Myahudi ni nani? 😢Yesu tuhurumie imeshindikana kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi? Ninachoona hapa ni kuumana na kulana woiii 😢 bytheway MWALIMU MWANKEMWA SIKUELEWI KWENYE HII MADA.

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist51103 күн бұрын

    Barikiwa mtumshi .Tuko pamoja kwa kazi Ya Mungu

  • @Sindato-xy3xu
    @Sindato-xy3xu3 күн бұрын

    Amen sana mtumishi wa mungu akubariki

  • @daudmtoba191
    @daudmtoba1913 күн бұрын

    Jameni usiku kuamkia Leo tarehe 30/06/2024 Kuna njozi imenitokea niliona kitu kikiwa kina Toka Juu angani kika piga ndani ya bahari baada ya muda kidogo kutazama Juu pale icho kitu kilipo tokea Nikaona mbingu zina funguka Nika ona kundi kubwa wamepanda farasi wame vaa mavazi meupe na kiongoz alikua na taji kichwani ya dhahabu ilikua iking'a baada ya muda kidogo Nika ona kiumbe Kwa mbali kime simama angani kina umbo la kibinadamu kinang'aa sana angani mwanga mkubwa ukawa una mlika duniani watu wakawa Wana kimbia kimbia Nika shituka usingizini najiuliza maswali sipati majibu

  • @navokisembo
    @navokisembo3 күн бұрын

    Ndacha Mungu akulinde baba

  • @benardmwamboneke9612
    @benardmwamboneke96123 күн бұрын

    Hekima alionayo mzee wa neema si ya kidunia niyaulimwengu mpya kwani ajigambi ila anaekima ya kimungu hivyo ndivyo anaitaji mungu tufundishane mfanye mwenzio kuwa bora ndo mana amesamini uwepo wa ndacha nakumpenda, ndacha wewe ni bonge la mwalimu ila nakuomba kuwa endelea kudadisi utapata majibu kuwa torati ni kivuli cha neema

  • @ServantofGod-tg8hn
    @ServantofGod-tg8hn4 күн бұрын

    Amen 🙌

  • @ephraimkanyambo4829
    @ephraimkanyambo48294 күн бұрын

    Musa alioa baada ya Sipora kufariki

  • @DimaDaro-ts1kq
    @DimaDaro-ts1kq4 күн бұрын

    Danieli wewe hueleweki kabisa

  • @KelvinKachikulu
    @KelvinKachikulu4 күн бұрын

    Mwalim ndach fundisha na mda yakuusu nyimbo ambazo znapaswa kuimbwa kanisan

  • @daudmtoba191
    @daudmtoba1914 күн бұрын

    Hakika wew ni mtumishi wa Mungu

  • @BONIFACEANANIA
    @BONIFACEANANIA4 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @BONIFACEANANIA
    @BONIFACEANANIA4 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi