MCH NDACHA AFICHUA SIRI ZA WACHUNGAJI BILA WOGA

MCH NDACHA AFICHUA SIRI ZA WACHUNGAJI BILA WOGA

Пікірлер: 47

  • @josephmachange2024
    @josephmachange202429 күн бұрын

    Ni vyema Francis Ndacha atumie vizuri mitandao ya kijamii. Kama ishu ni vifaa, atuambie tumtolee sadaka. He is an asset.

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp28 күн бұрын

    Mch, Mungu akubariki sana, kwahoja zenyenguvu na mashiko.

  • @benadethajohn2696
    @benadethajohn2696Ай бұрын

    mungu akulinde mwalimu ndacha umetufundisha mengi na utaendelea kutufundiaha

  • @Andaybuidingworks
    @AndaybuidingworksАй бұрын

    I salute you sir

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Pole sana

  • @denismutethia2613
    @denismutethia2613Ай бұрын

    Technician kudos 🙏💕💕💕

  • @MariaWambugha-nh1wh
    @MariaWambugha-nh1whАй бұрын

    Ndacha mwalimu wa kipekee sana wa mafundisho ya ki Bibilia songa mbele mwalimu wetu Mungu akuwezeshe kwa kila jambo tuko wengi sana nyuma yako

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957Ай бұрын

    Amen 🙌🙌🙌🇺🇬🇺🇬

  • @thiswayministy
    @thiswayministyАй бұрын

    Mungu atukuzwe milele na akupee amani

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Maaoni yako mazuri

  • @tumpaleakim825
    @tumpaleakim825Ай бұрын

    Mungu akubariki na akupe maisha marefu mchungaji Ndacha

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Maisha marefu wapi

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Maisha marefu wapi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31329 күн бұрын

    Nakupenda sana lkn Kuna waislamu wanakuharibia mdahalo wewe na sure wanahasira kuwa makini sana

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6cАй бұрын

    MUNGU akuongoze sku zote. Shetani na jeshi lake waaibike milele

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Yeye mwenyewe anafanya kazi na shetani kwanza shetani ataabika aje

  • @programminglanguagestutori9118

    @programminglanguagestutori9118

    Ай бұрын

    @@jumamnyonge2148 Kwa jina la Yesu na kweli yote aliutupa Shetani na wafuasi wake wameshidwa kabisa na hawainuki wakati wowote.

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966Ай бұрын

    Ukweli kabisa na hat ikiwepo lazima mpaka mungu awape ufahamisho Kwa ajili ya jambo hilo

  • @minanielikana
    @minanielikanaАй бұрын

    Ndacha nagupongeza saaana Yesukristo awe Pamoja nawe.

  • @zipczionkanada6
    @zipczionkanada6Ай бұрын

    Na Mimi pia Ni Mchungaji nakubaliana na mtumishi Wa MUNGU MCH DACHA

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Wambiye watu uyu Mwanamke wasabato wanamuabudu ni ni nani na hakuna pahali yesu alisema salamu msalimiyane Bwana yesu asifiwe weee .mwandishi wa habari

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    Ай бұрын

    Hatu muabudu mtu boss

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@donaldmwahalende4841 ok uyu Allen G white ninani kwenu nataka tu kuelewa

  • @SifaelMpagike-gt1gz

    @SifaelMpagike-gt1gz

    28 күн бұрын

    Mbona kama unajifunza kusoma.... Sisi tunamtikuza Aliye ukomboa ulimwengu.. na ndiyo maana tanasema BWANA YESU ASIFIWE.....HIYO NI SALAM YA WAKRISTO

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Na ufichuwe hata zako

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Hakuna Ufalme wa Mungu utaona wewe kupitiya Iyo andiko Luka 18:22

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Luka 18: 22 Yesu aliposikia hayo alikwambiya Umepungukiwa na neno Moja Bado viuze ulivyo navyo vyote ukawagawanyie maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni Kisha njoo unifate

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Kusema ukweli pastor Gani ameuza mali yake akawagawiya maskini ili amjoin yesu bali wana hukuwa Kwa maskini Alafu uje hapa uniambiye pepo ya Mungu utapenya Wacha kudanganya watu

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Na hapo unasema mtu Muhammad kunawale walikuwa mbele yake juu Wasabato mnaamini Mtu wenu Allen G white niyeye ndiyo alikuwa kabla ya Mtume

  • @programminglanguagestutori9118

    @programminglanguagestutori9118

    Ай бұрын

    Hilo ulitoa wapi tunaamini maneno ya mtu yeyeote kama inaedana na biblia kado na biblia hatuamini

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Wee unapoteza watu Umejiita Mchungaji Yeremia 50:6 Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea wachungaji wao wamewapoteza wamewapotosha milimani wamekwenda toka mlima hata wamesahau mahali pao pa kupumzika

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Alafu wewe na walokole wenzako muuone Ufalme wa mbinguni labda paradise ya Michigan America siyo ya Mungu aliye Juu

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Unaona kwanini unapoteza watu na iyo usabato wako (isaya 1:13 Msilete tena matoleo ya ubatili uvumba ni chukizo kwangu mwezi mpya na Sabato kuita makutano siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Alafu hapa unaenda aje paradise iyo hakuna iyo dini yako ya kisabato Mungu haitambuwi maybe shetani tu nakila anaye kufuta nyinyi ote Motoni

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Ndiyo sababu unachuki na waislamu juu Nidi ya Mungu yenu ameikata cz imeanziya Michigan American na Mwanamke akiitwa Allen G white

  • @stephaniekendi

    @stephaniekendi

    24 күн бұрын

    Una majina ya watakao ingia mbinguni😢shughulikia nafsi yako.pia wewe uko kundi moja nao na mbingu nayo ni neema ya Mungu tu.kila mahali unaeneza chuki​@@jumamnyonge2148

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Wee huwezi kua ngusha Quran juu maneno yako wala ya bible

  • @SifaelMpagike-gt1gz

    @SifaelMpagike-gt1gz

    28 күн бұрын

    Neno la Mungu ndo litaangusha maana hakuna Uhalisia wowote

  • @JuliusMotorcycle

    @JuliusMotorcycle

    19 күн бұрын

    Iliisha Anguka mbona.

  • @SurprisedApron-uq7kg
    @SurprisedApron-uq7kg28 күн бұрын

    Mjinga pumbavu kafiri tafta ugari rakiri kaburi inakungoja kafiri mjinga

  • @JuliusMotorcycle

    @JuliusMotorcycle

    19 күн бұрын

    Acha kutukana, sio vizuri ndg yangu.

  • @hassanmaalim7008
    @hassanmaalim7008Ай бұрын

    Kafirikubw

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Aliepopowe

  • @JuliusMotorcycle

    @JuliusMotorcycle

    19 күн бұрын

    Una khasira, naye? Acha maneno mabaya kwa wenzio.

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k25 күн бұрын

    Hakuna mwanadam aliyemuona mungu wakati wowote hapohapo wakristo wanageuzwa kuambiwa yesu alikuja duniani akahubiria watu na wanaambiwa tena ni mungu wakati hapo hakuna mwanadam yeyote aliyemuona mungu tena yesu anakuwaje mungu wakristo muwe mnahoji msizubae tu hojini VINGINEVYO MTADANGANYWA MPAKA KUFA 😂😂😂

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k25 күн бұрын

    Wakristoooo hakuna mwanadam aliyemuona mungu vipi tena yesu alionekana kwa watu atakuwaje mungu FUNGUKENI wakristo mtachezewa sana VINGINEVYO 😂😂😂😂😂😂 huyohuyo ndacha baadae ataingiza gia nyingine kumpa uungu yesu ZINDUKENI MBONA NYIE NI WATU WAZIMA SIO WATOTO?

  • @mhandoonthebeats8581

    @mhandoonthebeats8581

    25 күн бұрын

    Wewe ndio huwezi kuelewa kabisa yaani inabidi ukae ufundishwe uungu wa Yesu

Келесі