Ni vyema Francis Ndacha atumie vizuri mitandao ya kijamii. Kama ishu ni vifaa, atuambie tumtolee sadaka. He is an asset.
@JosephMpangala-wd5mp28 күн бұрын
Mch, Mungu akubariki sana, kwahoja zenyenguvu na mashiko.
@benadethajohn2696Ай бұрын
mungu akulinde mwalimu ndacha umetufundisha mengi na utaendelea kutufundiaha
@AndaybuidingworksАй бұрын
I salute you sir
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Pole sana
@denismutethia2613Ай бұрын
Technician kudos 🙏💕💕💕
@MariaWambugha-nh1whАй бұрын
Ndacha mwalimu wa kipekee sana wa mafundisho ya ki Bibilia songa mbele mwalimu wetu Mungu akuwezeshe kwa kila jambo tuko wengi sana nyuma yako
@junicnamuwenge6957Ай бұрын
Amen 🙌🙌🙌🇺🇬🇺🇬
@thiswayministyАй бұрын
Mungu atukuzwe milele na akupee amani
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Maaoni yako mazuri
@tumpaleakim825Ай бұрын
Mungu akubariki na akupe maisha marefu mchungaji Ndacha
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Maisha marefu wapi
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Maisha marefu wapi
@sebastiansalamba31329 күн бұрын
Nakupenda sana lkn Kuna waislamu wanakuharibia mdahalo wewe na sure wanahasira kuwa makini sana
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
MUNGU akuongoze sku zote. Shetani na jeshi lake waaibike milele
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Yeye mwenyewe anafanya kazi na shetani kwanza shetani ataabika aje
@programminglanguagestutori9118
Ай бұрын
@@jumamnyonge2148 Kwa jina la Yesu na kweli yote aliutupa Shetani na wafuasi wake wameshidwa kabisa na hawainuki wakati wowote.
@mjombawallace4966Ай бұрын
Ukweli kabisa na hat ikiwepo lazima mpaka mungu awape ufahamisho Kwa ajili ya jambo hilo
@minanielikanaАй бұрын
Ndacha nagupongeza saaana Yesukristo awe Pamoja nawe.
@zipczionkanada6Ай бұрын
Na Mimi pia Ni Mchungaji nakubaliana na mtumishi Wa MUNGU MCH DACHA
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Wambiye watu uyu Mwanamke wasabato wanamuabudu ni ni nani na hakuna pahali yesu alisema salamu msalimiyane Bwana yesu asifiwe weee .mwandishi wa habari
@donaldmwahalende4841
Ай бұрын
Hatu muabudu mtu boss
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@donaldmwahalende4841 ok uyu Allen G white ninani kwenu nataka tu kuelewa
@SifaelMpagike-gt1gz
28 күн бұрын
Mbona kama unajifunza kusoma.... Sisi tunamtikuza Aliye ukomboa ulimwengu.. na ndiyo maana tanasema BWANA YESU ASIFIWE.....HIYO NI SALAM YA WAKRISTO
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Na ufichuwe hata zako
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Hakuna Ufalme wa Mungu utaona wewe kupitiya Iyo andiko Luka 18:22
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Luka 18: 22 Yesu aliposikia hayo alikwambiya Umepungukiwa na neno Moja Bado viuze ulivyo navyo vyote ukawagawanyie maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni Kisha njoo unifate
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Kusema ukweli pastor Gani ameuza mali yake akawagawiya maskini ili amjoin yesu bali wana hukuwa Kwa maskini Alafu uje hapa uniambiye pepo ya Mungu utapenya Wacha kudanganya watu
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Na hapo unasema mtu Muhammad kunawale walikuwa mbele yake juu Wasabato mnaamini Mtu wenu Allen G white niyeye ndiyo alikuwa kabla ya Mtume
@programminglanguagestutori9118
Ай бұрын
Hilo ulitoa wapi tunaamini maneno ya mtu yeyeote kama inaedana na biblia kado na biblia hatuamini
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Wee unapoteza watu Umejiita Mchungaji Yeremia 50:6 Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea wachungaji wao wamewapoteza wamewapotosha milimani wamekwenda toka mlima hata wamesahau mahali pao pa kupumzika
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Alafu wewe na walokole wenzako muuone Ufalme wa mbinguni labda paradise ya Michigan America siyo ya Mungu aliye Juu
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Unaona kwanini unapoteza watu na iyo usabato wako (isaya 1:13 Msilete tena matoleo ya ubatili uvumba ni chukizo kwangu mwezi mpya na Sabato kuita makutano siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Alafu hapa unaenda aje paradise iyo hakuna iyo dini yako ya kisabato Mungu haitambuwi maybe shetani tu nakila anaye kufuta nyinyi ote Motoni
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ndiyo sababu unachuki na waislamu juu Nidi ya Mungu yenu ameikata cz imeanziya Michigan American na Mwanamke akiitwa Allen G white
@stephaniekendi
24 күн бұрын
Una majina ya watakao ingia mbinguni😢shughulikia nafsi yako.pia wewe uko kundi moja nao na mbingu nayo ni neema ya Mungu tu.kila mahali unaeneza chuki@@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Wee huwezi kua ngusha Quran juu maneno yako wala ya bible
@SifaelMpagike-gt1gz
28 күн бұрын
Neno la Mungu ndo litaangusha maana hakuna Uhalisia wowote
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Iliisha Anguka mbona.
@SurprisedApron-uq7kg28 күн бұрын
Mjinga pumbavu kafiri tafta ugari rakiri kaburi inakungoja kafiri mjinga
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Acha kutukana, sio vizuri ndg yangu.
@hassanmaalim7008Ай бұрын
Kafirikubw
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Aliepopowe
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Una khasira, naye? Acha maneno mabaya kwa wenzio.
@user-ks4hh8jb6k25 күн бұрын
Hakuna mwanadam aliyemuona mungu wakati wowote hapohapo wakristo wanageuzwa kuambiwa yesu alikuja duniani akahubiria watu na wanaambiwa tena ni mungu wakati hapo hakuna mwanadam yeyote aliyemuona mungu tena yesu anakuwaje mungu wakristo muwe mnahoji msizubae tu hojini VINGINEVYO MTADANGANYWA MPAKA KUFA 😂😂😂
@user-ks4hh8jb6k25 күн бұрын
Wakristoooo hakuna mwanadam aliyemuona mungu vipi tena yesu alionekana kwa watu atakuwaje mungu FUNGUKENI wakristo mtachezewa sana VINGINEVYO 😂😂😂😂😂😂 huyohuyo ndacha baadae ataingiza gia nyingine kumpa uungu yesu ZINDUKENI MBONA NYIE NI WATU WAZIMA SIO WATOTO?
@mhandoonthebeats8581
25 күн бұрын
Wewe ndio huwezi kuelewa kabisa yaani inabidi ukae ufundishwe uungu wa Yesu
Пікірлер: 47
Ni vyema Francis Ndacha atumie vizuri mitandao ya kijamii. Kama ishu ni vifaa, atuambie tumtolee sadaka. He is an asset.
Mch, Mungu akubariki sana, kwahoja zenyenguvu na mashiko.
mungu akulinde mwalimu ndacha umetufundisha mengi na utaendelea kutufundiaha
I salute you sir
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Pole sana
Technician kudos 🙏💕💕💕
Ndacha mwalimu wa kipekee sana wa mafundisho ya ki Bibilia songa mbele mwalimu wetu Mungu akuwezeshe kwa kila jambo tuko wengi sana nyuma yako
Amen 🙌🙌🙌🇺🇬🇺🇬
Mungu atukuzwe milele na akupee amani
Maaoni yako mazuri
Mungu akubariki na akupe maisha marefu mchungaji Ndacha
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Maisha marefu wapi
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Maisha marefu wapi
Nakupenda sana lkn Kuna waislamu wanakuharibia mdahalo wewe na sure wanahasira kuwa makini sana
MUNGU akuongoze sku zote. Shetani na jeshi lake waaibike milele
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Yeye mwenyewe anafanya kazi na shetani kwanza shetani ataabika aje
@programminglanguagestutori9118
Ай бұрын
@@jumamnyonge2148 Kwa jina la Yesu na kweli yote aliutupa Shetani na wafuasi wake wameshidwa kabisa na hawainuki wakati wowote.
Ukweli kabisa na hat ikiwepo lazima mpaka mungu awape ufahamisho Kwa ajili ya jambo hilo
Ndacha nagupongeza saaana Yesukristo awe Pamoja nawe.
Na Mimi pia Ni Mchungaji nakubaliana na mtumishi Wa MUNGU MCH DACHA
Wambiye watu uyu Mwanamke wasabato wanamuabudu ni ni nani na hakuna pahali yesu alisema salamu msalimiyane Bwana yesu asifiwe weee .mwandishi wa habari
@donaldmwahalende4841
Ай бұрын
Hatu muabudu mtu boss
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@donaldmwahalende4841 ok uyu Allen G white ninani kwenu nataka tu kuelewa
@SifaelMpagike-gt1gz
28 күн бұрын
Mbona kama unajifunza kusoma.... Sisi tunamtikuza Aliye ukomboa ulimwengu.. na ndiyo maana tanasema BWANA YESU ASIFIWE.....HIYO NI SALAM YA WAKRISTO
Na ufichuwe hata zako
Hakuna Ufalme wa Mungu utaona wewe kupitiya Iyo andiko Luka 18:22
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Luka 18: 22 Yesu aliposikia hayo alikwambiya Umepungukiwa na neno Moja Bado viuze ulivyo navyo vyote ukawagawanyie maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni Kisha njoo unifate
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Kusema ukweli pastor Gani ameuza mali yake akawagawiya maskini ili amjoin yesu bali wana hukuwa Kwa maskini Alafu uje hapa uniambiye pepo ya Mungu utapenya Wacha kudanganya watu
Na hapo unasema mtu Muhammad kunawale walikuwa mbele yake juu Wasabato mnaamini Mtu wenu Allen G white niyeye ndiyo alikuwa kabla ya Mtume
@programminglanguagestutori9118
Ай бұрын
Hilo ulitoa wapi tunaamini maneno ya mtu yeyeote kama inaedana na biblia kado na biblia hatuamini
Wee unapoteza watu Umejiita Mchungaji Yeremia 50:6 Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea wachungaji wao wamewapoteza wamewapotosha milimani wamekwenda toka mlima hata wamesahau mahali pao pa kupumzika
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Alafu wewe na walokole wenzako muuone Ufalme wa mbinguni labda paradise ya Michigan America siyo ya Mungu aliye Juu
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Unaona kwanini unapoteza watu na iyo usabato wako (isaya 1:13 Msilete tena matoleo ya ubatili uvumba ni chukizo kwangu mwezi mpya na Sabato kuita makutano siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Alafu hapa unaenda aje paradise iyo hakuna iyo dini yako ya kisabato Mungu haitambuwi maybe shetani tu nakila anaye kufuta nyinyi ote Motoni
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ndiyo sababu unachuki na waislamu juu Nidi ya Mungu yenu ameikata cz imeanziya Michigan American na Mwanamke akiitwa Allen G white
@stephaniekendi
24 күн бұрын
Una majina ya watakao ingia mbinguni😢shughulikia nafsi yako.pia wewe uko kundi moja nao na mbingu nayo ni neema ya Mungu tu.kila mahali unaeneza chuki@@jumamnyonge2148
Wee huwezi kua ngusha Quran juu maneno yako wala ya bible
@SifaelMpagike-gt1gz
28 күн бұрын
Neno la Mungu ndo litaangusha maana hakuna Uhalisia wowote
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Iliisha Anguka mbona.
Mjinga pumbavu kafiri tafta ugari rakiri kaburi inakungoja kafiri mjinga
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Acha kutukana, sio vizuri ndg yangu.
Kafirikubw
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Aliepopowe
@JuliusMotorcycle
19 күн бұрын
Una khasira, naye? Acha maneno mabaya kwa wenzio.
Hakuna mwanadam aliyemuona mungu wakati wowote hapohapo wakristo wanageuzwa kuambiwa yesu alikuja duniani akahubiria watu na wanaambiwa tena ni mungu wakati hapo hakuna mwanadam yeyote aliyemuona mungu tena yesu anakuwaje mungu wakristo muwe mnahoji msizubae tu hojini VINGINEVYO MTADANGANYWA MPAKA KUFA 😂😂😂
Wakristoooo hakuna mwanadam aliyemuona mungu vipi tena yesu alionekana kwa watu atakuwaje mungu FUNGUKENI wakristo mtachezewa sana VINGINEVYO 😂😂😂😂😂😂 huyohuyo ndacha baadae ataingiza gia nyingine kumpa uungu yesu ZINDUKENI MBONA NYIE NI WATU WAZIMA SIO WATOTO?
@mhandoonthebeats8581
25 күн бұрын
Wewe ndio huwezi kuelewa kabisa yaani inabidi ukae ufundishwe uungu wa Yesu