Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
@happinesserasto48065 күн бұрын
Sjawai kuona nabii hasie na hekima na hofu ya Mungu kama ww unaejiita kiboko ya wachawi, Yesu akusaidie uokoke kwa jina la yesu kristo
@gosbertmuta5421
4 күн бұрын
Huyu ni nabii wq wachawi
@HamoudMahamud
2 күн бұрын
Unaonekana wewe ni mshamba wa wa wachungaji uliza wazee wako nini maana ya dini,,,,halafu utapata dini za kileo ni nini?
Tuko tunamfuatilia kwa utaratibu mchungaji anatubarki na neno la mungu,mungu ambariki sana mchungaji
@ruthhamisi29028 күн бұрын
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
@user-jl1db6lc1w7 күн бұрын
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
@beatricemwashiti77638 күн бұрын
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
@user-ow9hn7xs3u6 күн бұрын
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
@paulpastory11937 күн бұрын
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
@user-gs9rx1ep8m
5 күн бұрын
Amina munga azidi kumulinda
@LylianeBaumaLyly7 күн бұрын
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
@georgekifyasi12057 күн бұрын
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
@justingeorge24514 күн бұрын
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
@PastorVitalisSheshe8 күн бұрын
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
@MariumChristopher16 сағат бұрын
Munguu akushikee mkono masii wa bwanah
@mkutitv3 күн бұрын
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
@morrissanyano36544 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@EzekiaMtwale5 күн бұрын
Kwa hili asiekuelewa ana shida ktk ufahamu wake!
@hellenngwilla5504 күн бұрын
Mungu akubariki sana sana 🙏🙏
@user-ld6nn7py5f
3 күн бұрын
Amina mutumishi
@user-qy7wv3xv4o3 күн бұрын
Katika jina la yesu kiristo, damu yake ikufunike, juu chini kulia, nakushoto mungu akulinde mana umesema kweli, hata mm nimesikitika mno.
Mtumishi Casian ubarikiwe sana kwa kusena ukweli endelea tu na Mungu atakulinda hakika
@AlfredyLimu8 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
@DanielNasibu8 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
@user-gs9rx1ep8m5 күн бұрын
Hakika umesema kweli, mungu akupe maisha malefu malefu sana mtumishi wa bwana yesu
@JanetAdislous
3 күн бұрын
Bwana haandikwi kwa herufi ndogo jmn huyu anakuwa ni bwana wa Dunia Bwana hata bibilia inamtamka kwa herufi kubwa
@leticiamakoye48717 күн бұрын
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
@jovettedenise25918 күн бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
@ruthhamisi29028 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@mkutitv
3 күн бұрын
SIO WANA ANGAMIA BALI BIBLIA INASEMA WANAANGAMIZWA.... isome vizuri hilo andiko
@mkutitv
3 күн бұрын
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
@user-ow9hn7xs3u6 күн бұрын
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
@mapendodorcas263417 сағат бұрын
manabii wengi wahuongo wanazidi kujitokeza, na injili ya kweli inaanza kupotea, hatuambiwi kuacha dhambi na kutubu, bali pokea nyumba,magari, ma contains... Mtumishi, hendelea kukemea dhambi na Mungu wetu aku protect kwa njia zote Amen 🙏🙏🙏
@user-ck5hx8pr5v7 күн бұрын
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
@Evangelist_DannyVuninga3 күн бұрын
Binafsi namshukuru Mungu aliye kuita ndugu Paschal. Huduma yako inatubariki sana.
@JacklineMoti8 күн бұрын
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@mariamswedi1140
5 күн бұрын
😭😭
@GiftMkwizu4 күн бұрын
Mungu akubarikii kwa kusema kweliii
@Ushindiemmanuelushindi8 күн бұрын
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687
7 күн бұрын
Kweli kabisa
@Life100614 күн бұрын
Amina baba sema ,yani kwa hapa dar es salaam matapeli wengi sana siku hizi
@user-ow9hn7xs3u6 күн бұрын
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
@DamwenaKulinan4 күн бұрын
Mungu azidi kukupigania,
@nancykasekoКүн бұрын
Hallellujah Yesu akutunze man of God
@isayamwashibanda58198 күн бұрын
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
@user-ko5it5hz6b5 күн бұрын
Mungu akulinde siku zote ktk maisha yako
@PavlovBestfriend-fb3kh6 күн бұрын
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@EsterbernardoVumo-kn2xv6 күн бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
@bethmahela2182Күн бұрын
Acha kuwasema watumishi wa mungu hivi pepo anaweza akamtoa pepo mwenzie
@MargaretMwenda-sw4iw4 күн бұрын
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
@justingeorge2451
4 күн бұрын
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
@selinpareso1374 күн бұрын
Asante mtumishi wa mungu
@YOHANARIREMMA5 күн бұрын
Mungu akufikishe mbinguni kwasabbu umezijua sili ukiwa ndogo mafanikio yaako uliapata huko badae ukaokoka hongera sana
@AmaniMushi-c2u6 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
@sarahkeivaly33518 күн бұрын
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
Hakika Mungu amekutuma kutuokoa wanadamu tunangamia huku tunaona 🙏🙏
@retiekadarling9925 күн бұрын
Nakupenda buree mtumishi
@AminaIssa-lx9hs9 сағат бұрын
Hatuwezi kushindana na Kweli, kweli ndio Nuru yenyewe. Mungu akutunze kaka.
@AyshaSliman-cg8dr5 күн бұрын
Walaahi Dunia inaelekea mwisho😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
@user-dp3um7rf3r4 күн бұрын
mtumishi mungu akuweke miaka mingi iliuwafungue watu akili
@NTEMI-OBURUDANI8 күн бұрын
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@EzekiaMichael-jn5np4 күн бұрын
Cassiani Mungu akubariki Kwa kazi ngum unayoifanya
@MahraKhan-gd7pb8 күн бұрын
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
@estherchilewa85112 күн бұрын
Mungu atusaidie Sana na Hawa manabii
@innocenteliyaofficial76457 сағат бұрын
Mtumishi Mungu akubariki
@hovongajilo12362 күн бұрын
Amen mtumishi
@mbezisalasala95367 күн бұрын
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
@ShadrakaAthumani4 күн бұрын
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
@TusaKiblaga-vp9jg3 күн бұрын
Ubarikiwe endelea kusema kweli na Mungu yuko pamoja nawew
@jacquelineswai6024 күн бұрын
Pascco Mungu alikuponya na ile Ajali (mauti kwa makusudi kamili mtumikie Mungu wa kweli Baba
@EmmyJerremiah8 күн бұрын
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5r
8 күн бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-
7 күн бұрын
We acha tu
@jacklinakinabo6479
5 күн бұрын
Kama mataira ndugu yangu😂😂😂,ety Amen...jamani Mungu atusaidie
@ruthmwamburi7563 күн бұрын
Alie ndani yetu ni mkuu kuliko aliye inje.Injili ya Yesu ivume.
@OmbeniSilaaКүн бұрын
Mungu atutie nguvu
@joshuaandrew3868 күн бұрын
Ni Amina na kweli, Ubarikiwe Sana sana MUNGU azidi kukutumia kwaajili ya KUOKOA nafsi zilizo potea
@RobsonEnock8 күн бұрын
Hakika mwana wa mungu yu karibu zidi kuwahubiria wakuokoka waokoke atakaye shupaza shingo lake atajijua Amina mtumishi uko sawa.
@geegalax64797 күн бұрын
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
@BertinabernardoFernandoКүн бұрын
Ubarikiwe sana
@Paulo-wo2yy5 күн бұрын
Kaza buti jembe la yesu inapenya
@PeterSimoni-th2re6 күн бұрын
Ninakuelewa sana brother Mungu akulinde na wabaya
@jestinamwambu555715 сағат бұрын
Hongera kwa kuwa umekuwa mtoa hukumu,sijawahi ona mafundisho zaid ya kuwahubir watumish wengne kwan hujui kuwa imeandikwa kwamba yatatokea???,
@user-cr6fc7nt8k8 күн бұрын
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
@Youngers96021 сағат бұрын
Uyo kiboko wa wachawi ana mwitaji yesu amuokowe, mahana akuna mchungaji wanamna iyo
@WillyBanzi7 күн бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
@JofreyDamson-nm6ec
7 күн бұрын
Sema mtumishi ,watu wamegeka wanafanya biashara
@samyotimotheo378 күн бұрын
Mungu akubariki sana na aendelee kukupa ujasiri
@MoshiHaymuКүн бұрын
Mungu atafanya kilicho bora
@jesusfirstchurch41623 күн бұрын
Anasema ana fuata mambo matatu..ni ana vibuyu vitatu kwenye chumba.
@chantalmariesony29966 күн бұрын
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
@ngelelanangale67988 күн бұрын
Jamani injili imevamiwa na waganga wa kienyeji na wataalamu wa majini na kujipachika utummishi wa Mungu
@EligiSebastian3 күн бұрын
Nakubali hi ni nyekati ya mwisho jamani
@henrysizya2398 күн бұрын
Duh! Hii ni kama comedy flani hivi, Mungu atusaidie
@user-cr6fc7nt8k8 күн бұрын
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
@jesusfirstchurch41623 күн бұрын
Tubuni murejee maanake wageuke waache uovu wamrejee Mungu MKUU. Siyo kutubu ili ukose na kukosa ili utubu.. MUNGU hadhihakiwi.
@dismasvinono22663 күн бұрын
Kiboko ya wachawi ni shetani na alaniwe katika jina la mungu baba muumba mbingu nchi na ardhi
@LeahCosmasNzoka-po3drКүн бұрын
Tumwachiage mungu tu maana mambo ni tafrani
@mossesezekiel78626 күн бұрын
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
@witnesdiana2373 күн бұрын
hakika mungu akusimamie kwenye huduma Yako ya kuweza kusema ukweli
@JoshuaGoliama8 күн бұрын
Semaji la tz Cassian my role moddle
@PascalSabonga7 күн бұрын
TUTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Kanisa lolote ambalo dhambi haikemewi kimbia haraka sana mnaenda kupotea
@stewartmdebe43146 күн бұрын
MUNGU AWE NAWE DAIMA UBARIKIWE SANA
@user-nz4ff6dq4t7 күн бұрын
Kiboko ya wachawi mwenyewe anazungumza mambo mambaya na watu wanazidi kufuatia niatari
Пікірлер: 447
Wanaomkubali Cassian Gonga like hapa💪🏻💪🏻
@EbsonMakanika
8 күн бұрын
Mungu, akubariki,sana,kwa kukemea manabii wa uongo
@EbsonMakanika
8 күн бұрын
Nami nasema, alaaniwe,
@EbsonMakanika
8 күн бұрын
Hakika shetani amejidhilisha waziwazi ,kupitia makanisa, Mtumishi,Mungu akuinue sana,pamoja ,Na Mbalikiwa,
@mathiasdioniz5891
8 күн бұрын
Mungu ambariki sana huyu kaka Cassian,
@user-bm9gh6hu4w
5 күн бұрын
Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
Sjawai kuona nabii hasie na hekima na hofu ya Mungu kama ww unaejiita kiboko ya wachawi, Yesu akusaidie uokoke kwa jina la yesu kristo
@gosbertmuta5421
4 күн бұрын
Huyu ni nabii wq wachawi
@HamoudMahamud
2 күн бұрын
Unaonekana wewe ni mshamba wa wa wachungaji uliza wazee wako nini maana ya dini,,,,halafu utapata dini za kileo ni nini?
Wakenya wanaopenda utakatifu mko wapi?more grace mtumishi 🙏
@user-dt5wp5qo4n
2 күн бұрын
Tuko tunamfuatilia kwa utaratibu mchungaji anatubarki na neno la mungu,mungu ambariki sana mchungaji
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
@user-gs9rx1ep8m
5 күн бұрын
Amina munga azidi kumulinda
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
Munguu akushikee mkono masii wa bwanah
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Kwa hili asiekuelewa ana shida ktk ufahamu wake!
Mungu akubariki sana sana 🙏🙏
@user-ld6nn7py5f
3 күн бұрын
Amina mutumishi
Katika jina la yesu kiristo, damu yake ikufunike, juu chini kulia, nakushoto mungu akulinde mana umesema kweli, hata mm nimesikitika mno.
Amtegemeaye Mungu, awezi kuogopa mwanadamu Bwana aliekuita akutunze daima
@helencyprian8745
3 күн бұрын
Amtunze aendelee kuangamiza roho zenu
Mungu atakulinda mungu ajawahi kushindwa
Mungu akubariki sana mtumishi
Mtumishi Casian ubarikiwe sana kwa kusena ukweli endelea tu na Mungu atakulinda hakika
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
Hakika umesema kweli, mungu akupe maisha malefu malefu sana mtumishi wa bwana yesu
@JanetAdislous
3 күн бұрын
Bwana haandikwi kwa herufi ndogo jmn huyu anakuwa ni bwana wa Dunia Bwana hata bibilia inamtamka kwa herufi kubwa
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@mkutitv
3 күн бұрын
SIO WANA ANGAMIA BALI BIBLIA INASEMA WANAANGAMIZWA.... isome vizuri hilo andiko
@mkutitv
3 күн бұрын
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
manabii wengi wahuongo wanazidi kujitokeza, na injili ya kweli inaanza kupotea, hatuambiwi kuacha dhambi na kutubu, bali pokea nyumba,magari, ma contains... Mtumishi, hendelea kukemea dhambi na Mungu wetu aku protect kwa njia zote Amen 🙏🙏🙏
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
Binafsi namshukuru Mungu aliye kuita ndugu Paschal. Huduma yako inatubariki sana.
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@mariamswedi1140
5 күн бұрын
😭😭
Mungu akubarikii kwa kusema kweliii
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687
7 күн бұрын
Kweli kabisa
Amina baba sema ,yani kwa hapa dar es salaam matapeli wengi sana siku hizi
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
Mungu azidi kukupigania,
Hallellujah Yesu akutunze man of God
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
Mungu akulinde siku zote ktk maisha yako
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
Acha kuwasema watumishi wa mungu hivi pepo anaweza akamtoa pepo mwenzie
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
@justingeorge2451
4 күн бұрын
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
Asante mtumishi wa mungu
Mungu akufikishe mbinguni kwasabbu umezijua sili ukiwa ndogo mafanikio yaako uliapata huko badae ukaokoka hongera sana
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
Nakupenda bure mimi mtumishi cassian unasemaga ukweli baba yangu taji yako nikubwa mbinguni kaka yangu.
Mungu akukumbke sna mtmshi
Safi sana, Mungu azidi kukutumia kwa kusudi lake
Akika mung ni mwema atusaidie barikiwa sana
Ubarikiwe kwa huduma njema Cassian
Amina pasita ashindwe kwa jina la yesu
Hakika Mungu amekutuma kutuokoa wanadamu tunangamia huku tunaona 🙏🙏
Nakupenda buree mtumishi
Hatuwezi kushindana na Kweli, kweli ndio Nuru yenyewe. Mungu akutunze kaka.
Walaahi Dunia inaelekea mwisho😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
mtumishi mungu akuweke miaka mingi iliuwafungue watu akili
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Cassiani Mungu akubariki Kwa kazi ngum unayoifanya
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
Mungu atusaidie Sana na Hawa manabii
Mtumishi Mungu akubariki
Amen mtumishi
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
Ubarikiwe endelea kusema kweli na Mungu yuko pamoja nawew
Pascco Mungu alikuponya na ile Ajali (mauti kwa makusudi kamili mtumikie Mungu wa kweli Baba
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5r
8 күн бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-
7 күн бұрын
We acha tu
@jacklinakinabo6479
5 күн бұрын
Kama mataira ndugu yangu😂😂😂,ety Amen...jamani Mungu atusaidie
Alie ndani yetu ni mkuu kuliko aliye inje.Injili ya Yesu ivume.
Mungu atutie nguvu
Ni Amina na kweli, Ubarikiwe Sana sana MUNGU azidi kukutumia kwaajili ya KUOKOA nafsi zilizo potea
Hakika mwana wa mungu yu karibu zidi kuwahubiria wakuokoka waokoke atakaye shupaza shingo lake atajijua Amina mtumishi uko sawa.
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
Ubarikiwe sana
Kaza buti jembe la yesu inapenya
Ninakuelewa sana brother Mungu akulinde na wabaya
Hongera kwa kuwa umekuwa mtoa hukumu,sijawahi ona mafundisho zaid ya kuwahubir watumish wengne kwan hujui kuwa imeandikwa kwamba yatatokea???,
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
Uyo kiboko wa wachawi ana mwitaji yesu amuokowe, mahana akuna mchungaji wanamna iyo
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
@JofreyDamson-nm6ec
7 күн бұрын
Sema mtumishi ,watu wamegeka wanafanya biashara
Mungu akubariki sana na aendelee kukupa ujasiri
Mungu atafanya kilicho bora
Anasema ana fuata mambo matatu..ni ana vibuyu vitatu kwenye chumba.
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
Jamani injili imevamiwa na waganga wa kienyeji na wataalamu wa majini na kujipachika utummishi wa Mungu
Nakubali hi ni nyekati ya mwisho jamani
Duh! Hii ni kama comedy flani hivi, Mungu atusaidie
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
Tubuni murejee maanake wageuke waache uovu wamrejee Mungu MKUU. Siyo kutubu ili ukose na kukosa ili utubu.. MUNGU hadhihakiwi.
Kiboko ya wachawi ni shetani na alaniwe katika jina la mungu baba muumba mbingu nchi na ardhi
Tumwachiage mungu tu maana mambo ni tafrani
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
hakika mungu akusimamie kwenye huduma Yako ya kuweza kusema ukweli
Semaji la tz Cassian my role moddle
TUTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Kanisa lolote ambalo dhambi haikemewi kimbia haraka sana mnaenda kupotea
MUNGU AWE NAWE DAIMA UBARIKIWE SANA
Kiboko ya wachawi mwenyewe anazungumza mambo mambaya na watu wanazidi kufuatia niatari