CASSIAN AMKEMEA PASTA TON KWA KUPOTOSHA MAFUNDISHO POTOFU EV PASCHAL CASSIAN

Ойын-сауық

Пікірлер: 581

  • @Godlovesyou1857
    @Godlovesyou18572 күн бұрын

    Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi 🇺🇸

  • @user-gj2gc4en3t
    @user-gj2gc4en3t3 күн бұрын

    Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya

  • @user-yz3rl8pd6q
    @user-yz3rl8pd6qКүн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.

  • @JACKLINEMAHENGE
    @JACKLINEMAHENGE15 сағат бұрын

    I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any

  • @sharontv3618

    @sharontv3618

    14 сағат бұрын

    Golden comment❤

  • @SarahKibiti

    @SarahKibiti

    13 сағат бұрын

    ❤❤

  • @ellymtenga8127
    @ellymtenga8127Күн бұрын

    Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man

  • @kingsonkambey1436
    @kingsonkambey14363 күн бұрын

    Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!

  • @ruthmuja7792

    @ruthmuja7792

    3 күн бұрын

    Amina Amina

  • @RwidhiaRichard

    @RwidhiaRichard

    3 күн бұрын

    MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4nКүн бұрын

    Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,

  • @AmyeSanga
    @AmyeSanga3 күн бұрын

    Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama

  • @venacyibrahim5056

    @venacyibrahim5056

    21 сағат бұрын

    You are right , this is 100% truee

  • @andrewmwakabela8686
    @andrewmwakabela86863 күн бұрын

    Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t3 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.

  • @keruboirene
    @keruboirene3 күн бұрын

    You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena

  • @EnockMatembele
    @EnockMatembele2 күн бұрын

    Mungu akubarik sana mjoli wa Bwana,, akupe nguvu na maono Zaid amen

  • @tujajackson8142
    @tujajackson81423 күн бұрын

    Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza

  • @piusbaruhuwundi8987

    @piusbaruhuwundi8987

    2 күн бұрын

    Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa

  • @AmyeSanga

    @AmyeSanga

    20 сағат бұрын

    @@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso1863 күн бұрын

    Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u3 күн бұрын

    Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu

  • @isdommushi9536
    @isdommushi9536Сағат бұрын

    Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54703 күн бұрын

    Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.

  • @adelinaruhiye8904

    @adelinaruhiye8904

    3 күн бұрын

    Tru

  • @adelinaruhiye8904

    @adelinaruhiye8904

    3 күн бұрын

    True

  • @rosemarinawiliam3289

    @rosemarinawiliam3289

    3 күн бұрын

    Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh

  • @apostle_AngazaGN

    @apostle_AngazaGN

    3 күн бұрын

    Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake

  • @mariamswedi1140

    @mariamswedi1140

    3 күн бұрын

    ​@@apostle_AngazaGNpesa

  • @dh-bioproducts8205
    @dh-bioproducts8205Күн бұрын

    Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu

  • @estermathias8354
    @estermathias83543 күн бұрын

    Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi29023 күн бұрын

    Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    3 күн бұрын

    Kweli hali ni mbaya mno tuombeane

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m3 күн бұрын

    Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.

  • @theonestrenatus954
    @theonestrenatus9542 күн бұрын

    Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu

  • @user-tw9td1qy6l
    @user-tw9td1qy6lКүн бұрын

    I think its wise to meet one o one guys ..we love you TZ people

  • @user-tw9td1qy6l
    @user-tw9td1qy6lКүн бұрын

    Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏

  • @GraceMuthoni-nz3fh

    @GraceMuthoni-nz3fh

    Күн бұрын

    Apo umenena

  • @kelvinmbogela4718

    @kelvinmbogela4718

    22 сағат бұрын

    Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia

  • @bahatadof5543
    @bahatadof55433 күн бұрын

    Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa

  • @ShawnBeatz

    @ShawnBeatz

    3 күн бұрын

    umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo

  • @mshindimpangala731

    @mshindimpangala731

    2 күн бұрын

    Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika

  • @SisterDuu

    @SisterDuu

    2 күн бұрын

    Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu

  • @obbytouchez_pro9430

    @obbytouchez_pro9430

    Күн бұрын

    🤗​@@SisterDuu

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki3 күн бұрын

    Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel3 күн бұрын

    Ni mapepo muchafu inawaongoza awa wantu, brother pascal,ayifayi kumwita ule kijana pasta,asistahili ,kwitiwa pasta.

  • @ZakayoKalinga-nq5qy
    @ZakayoKalinga-nq5qyКүн бұрын

    Ubarukiwe na Mungu sanaa MWalimu @Cassian

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika3 күн бұрын

    Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba

  • @andrewisaya3382
    @andrewisaya3382Күн бұрын

    Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi29023 күн бұрын

    Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba

  • @alicejohn2567
    @alicejohn25672 күн бұрын

    hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi

  • @RyanElias1

    @RyanElias1

    2 күн бұрын

    God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet

  • @alicejohn2567

    @alicejohn2567

    Күн бұрын

    @@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise25913 күн бұрын

    Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️

  • @ev_abediespoir490
    @ev_abediespoir4903 күн бұрын

    Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko52373 күн бұрын

    2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.

  • @jelemiamkudiso4660
    @jelemiamkudiso46603 күн бұрын

    Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009Күн бұрын

    Nikweli wanamakosq ila ungewaombeq wawe kama wewe au zaidi nasio kuwasema bila kuwaombeq anaeukumu ni mungu tu nao wewe🎉❤

  • @stevenalex9121

    @stevenalex9121

    18 сағат бұрын

    Nini maana ya kemea, karipia onya?

  • @Loyalnaxhon
    @Loyalnaxhon12 сағат бұрын

    Amenii mpendw fanya kazi ya MUNGU Na ss watumw wa mungu tunaomb mungu atup nguv ya kuijua kwel

  • @kelkel4483
    @kelkel44833 күн бұрын

    Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo

  • @Samsonnoahndagw

    @Samsonnoahndagw

    3 күн бұрын

    Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo

  • @user-ll6pj1lg3e

    @user-ll6pj1lg3e

    2 күн бұрын

    umenena vyema

  • @sigimwangombola5915

    @sigimwangombola5915

    9 сағат бұрын

    Bora ungenyamaza tu

  • @gitongaz

    @gitongaz

    8 сағат бұрын

    Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu

  • @PastorVitalisSheshe
    @PastorVitalisSheshe3 күн бұрын

    Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m3 күн бұрын

    Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    3 күн бұрын

    Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    3 күн бұрын

    ​@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh

  • @jemedalimwakalundwa3520

    @jemedalimwakalundwa3520

    3 күн бұрын

    Ko eagt irudi kwa tag

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    3 күн бұрын

    Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be2 күн бұрын

    Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya

  • @anordchaula3458
    @anordchaula34583 күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea

  • @geraldrwey3537
    @geraldrwey3537Күн бұрын

    Alianza vizuri naona sasahivi ameshajiunga na chama cha mungu wa dunia inasikitisha sana

  • @ndojes711
    @ndojes71115 сағат бұрын

    Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas

  • @linahchrissy7574
    @linahchrissy7574Күн бұрын

    Mungu akubariki sanaa

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo77393 күн бұрын

    MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%

  • @zubedagadson2220
    @zubedagadson222015 сағат бұрын

    MUNGU akutunze mno baba umeongea ukweli kabisa😢💯

  • @hanagango6922
    @hanagango692214 сағат бұрын

    Amina mtumish wa mungu 🙏 MUNGU azid kukutia nguvu ya kukemea wanaopotosha neno la mungu

  • @dnewztz
    @dnewztzКүн бұрын

    Akiwa mbishi amuulize Godluck Gozbert na ule wimbo wake wa amenyoa Denge. Baada ya pale kila akijititutumua hola. Mungu sio wa Utani

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3qКүн бұрын

    Ubarikiwe sana kasiani kwa kytufichulia haya masheta pia yashindwe kwa jina la Yesu na huo upumbavu wao

  • @GloryLubango-tv4hd
    @GloryLubango-tv4hd16 сағат бұрын

    Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea

  • @edithmassawe5629

    @edithmassawe5629

    11 сағат бұрын

    Well done

  • @JohnMfundo
    @JohnMfundo3 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian

  • @BEATRICE-ge7ff
    @BEATRICE-ge7ff3 күн бұрын

    Hii ndiyo injili sasa mbarikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @phillipowwilliam1131
    @phillipowwilliam113118 сағат бұрын

    Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani

  • @stevenalex9121

    @stevenalex9121

    18 сағат бұрын

    Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake

  • @SophiaThadei-hx4wd
    @SophiaThadei-hx4wd3 күн бұрын

    Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani

  • @mslady5824

    @mslady5824

    Күн бұрын

    😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.

  • @abiadhasmassawes3984
    @abiadhasmassawes398413 сағат бұрын

    Sema bhana mambo ya imani is very trick. Inawezekana ni kweli pia ni uongo. Ukute Cassian anaona wivu sababu ya mwenzake kawahi kufanikiwa

  • @peterclaud-fm2ty
    @peterclaud-fm2ty14 сағат бұрын

    nabarikiwa

  • @joannekesa1835
    @joannekesa18353 күн бұрын

    Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @cydrahope5251
    @cydrahope525110 сағат бұрын

    Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅

  • @Maryc2G
    @Maryc2G3 күн бұрын

    God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.

  • @Maryc2G

    @Maryc2G

    3 күн бұрын

    God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀

  • @EliasGervasMahega
    @EliasGervasMahega7 сағат бұрын

    Mungu akutunze nakukutetea katika huduma nuru yakoizidi kung'aa

  • @galyezamtaganyirwa-qv7vc
    @galyezamtaganyirwa-qv7vcКүн бұрын

    Imani ya kweli ifuateni,ni sabato .Kaeni katika pendo lake kwa kushika amri za Mungu na imani ya Yesu,ufun 14:12

  • @linahchrissy7574
    @linahchrissy7574Күн бұрын

    Ee mungu nijalie mwisho .wema waokovu wangu 😢 Ameen

  • @zyonhopefaith3692
    @zyonhopefaith36922 күн бұрын

    Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....

  • @veeJesus

    @veeJesus

    2 күн бұрын

    Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony

  • @AnnaJackson-zi3xe

    @AnnaJackson-zi3xe

    2 күн бұрын

    @@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu

  • @upendoryobafrancis98

    @upendoryobafrancis98

    Күн бұрын

    Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.

  • @teklaagustino

    @teklaagustino

    22 сағат бұрын

    Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa

  • @kelvinmbogela4718

    @kelvinmbogela4718

    22 сағат бұрын

    ​@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa

  • @ukweliwanenokatikahili7526
    @ukweliwanenokatikahili7526Күн бұрын

    Shida Sana , Mtumishi Mungu akutunze

  • @TheHabitationOfChrist
    @TheHabitationOfChristКүн бұрын

    Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. 2 Wakorintho 4:5 Mungu atusaidie.

  • @Mrfinancial-lh3jw
    @Mrfinancial-lh3jwКүн бұрын

    Alafu bado watatokea viumbe wasieleewe huu ujumbe na wakapinga huu ukwel.....hizi nyakati Yesu yupo karibu sana kurudi kuliko tunavyofikir.....

  • @zaralsham3257
    @zaralsham325723 сағат бұрын

    Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢

  • @alinependo-bk4jj
    @alinependo-bk4jj14 сағат бұрын

    Kweli shetani yupo kazini Mungu tusaidie

  • @UkweliTopic
    @UkweliTopic3 күн бұрын

    Motivation preaches are very dangerous. Makini sana mwanadamu.

  • @loveandrew9694
    @loveandrew96942 күн бұрын

    Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....

  • @BEATRICETEWA-on6qo

    @BEATRICETEWA-on6qo

    21 сағат бұрын

    Mi pia nlijua hivo et

  • @lusekelomwasandube2992

    @lusekelomwasandube2992

    17 сағат бұрын

    Mbona anajiita pastor 😂😂

  • @user-oc9gb6jv6o
    @user-oc9gb6jv6o2 күн бұрын

    Ukweli tupu pastor, mungu akubariki.

  • @user-zj9op4fb7w
    @user-zj9op4fb7w16 сағат бұрын

    Sijui Yesu akirudi itakuaje? maana watu wanaanza vizuri badae wananichanganya vibaya mno...Mungu akulinde Casiani

  • @salima2658
    @salima26583 күн бұрын

    Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika

  • @priscillahpolepole8427

    @priscillahpolepole8427

    3 күн бұрын

    Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.

  • @annewanjiru818

    @annewanjiru818

    3 күн бұрын

    True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪

  • @user-sb7lz9xp4v

    @user-sb7lz9xp4v

    3 күн бұрын

    Ameanzaa kulewa sifa ndio maana

  • @veeJesus

    @veeJesus

    2 күн бұрын

    Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama​@@annewanjiru818

  • @BenMudy

    @BenMudy

    2 күн бұрын

    Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika

  • @EstherYoram
    @EstherYoram3 күн бұрын

    Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    3 күн бұрын

    Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna

  • @CcC-lf7on
    @CcC-lf7onКүн бұрын

    awawezikuelewa mimi tunjo nakuelwa vizuri 🙏🙏

  • @debyqueen1
    @debyqueen19 сағат бұрын

    Mungu afungue macho ya roho jmn Mambo yanatisha.

  • @neemawasha8080
    @neemawasha80802 күн бұрын

    Mungu akulinze mtumishi Paschal.Mungu alikuleta duniani na kukuacha hai kwa ajili ya nyakati hizi ili Uonyeshe njia bila kupepesa macho.

  • @GladnessKajuna
    @GladnessKajuna2 күн бұрын

    Wewe nakupenda sana ,maana lazima tuwaue hawa viumbe wanaochafua injili

  • @Iam_wagala
    @Iam_wagalaКүн бұрын

    Ubarikiwe sema tupone

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m3 күн бұрын

    Huyu pascal ameletwa na Mungu

  • @petronilahkedogo2347

    @petronilahkedogo2347

    3 күн бұрын

    😂😂😂Aty mungu

  • @ginimbifamily3995

    @ginimbifamily3995

    3 күн бұрын

    😂😂😂😅😅😅😅

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi94593 күн бұрын

    Mungu hakubariki sana mtumishi wa BWANA

  • @fridberthahaule9489
    @fridberthahaule9489Күн бұрын

    Hawa akina Natasha, christina shusho, pastor tony, libido ya wachawi na wengineo ndio wachungaji wa dini moja mpya ya dunia nzima nayoitwa chistislam, msishangae,unyakuo umekaribia sana wateule mzidi kujitakasa na wadhambi acha tu wazidi sana kuzitenda

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi23 сағат бұрын

    Naam mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x3 күн бұрын

    Ton.anaanza kusifiaa wasanii wa dunia kma nabii mkuu no dev kisongo Arusha wanamsujudia kma mungu wao..na wakiweka nyimbo za Amonais na wengne wengi..wakicheza madhabahuni....n nabii wao

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar52753 күн бұрын

    Amina PST kuonyana c thambi ubarikiwe Sana mtumishi

  • @katarinaJ
    @katarinaJ3 күн бұрын

    Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢

  • @Bambagatz

    @Bambagatz

    3 күн бұрын

    Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.

  • @clarissengeni8885

    @clarissengeni8885

    15 сағат бұрын

    Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.

  • @barakaMlay
    @barakaMlay3 күн бұрын

    Ujamckiliza vizuri ukapata concept yake!!!..angalia uckute unapita apo nawewe update jina..

  • @hoseasteven6241

    @hoseasteven6241

    3 күн бұрын

    Unaona hakili kama hizi za mgando

  • @aron2346
    @aron23463 күн бұрын

    umenena vyema safi sana

  • @mahomamahoma775
    @mahomamahoma7753 күн бұрын

    Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.

  • @AzizalucasMbiduka

    @AzizalucasMbiduka

    3 күн бұрын

    Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako

  • @PaulFidel-fi3sh

    @PaulFidel-fi3sh

    3 күн бұрын

    Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed

  • @esterpeter8556

    @esterpeter8556

    2 күн бұрын

    Daniel nani jmn nimfuatilie​@@PaulFidel-fi3sh

  • @user-xj8jq7ne8r
    @user-xj8jq7ne8r3 күн бұрын

    Uyo tony amepotelea kwenye utafutaji wa pesa, mungu amusaidue

  • @yvonnewitandaye1873
    @yvonnewitandaye18733 күн бұрын

    Watu hawa mujui Yesu; Yesu arikuwa ni Mungu kati ya wanadamu •

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t3 күн бұрын

    Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.

  • @user-vt9pl1bz6x
    @user-vt9pl1bz6xКүн бұрын

    Shida nimoja tu kutafsili mambo tuna tofautiana uwezikupima utumishi kwasabu moja tu yamwimbowadalasa dalasanimdogosana mbele ya uduma ya pasta toni hivyo wingi wamatendo makuu ya Mungu ayabadilishwi nanyimbo za bongo felva tuepuke kuhukumu

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram3 күн бұрын

    Mungu wangu tusaidie

  • @mourineblessed3245
    @mourineblessed32452 күн бұрын

    Na ndio mana Yilima akaimba akasema, "Mungu hana haja na mwanzo wako mzuri ,Mungu anataka kuona unamaliza aje"

  • @EditingTrial01
    @EditingTrial013 күн бұрын

    Napenda unavyo pambania injili ya kweli

  • @Madina-u5g
    @Madina-u5g15 сағат бұрын

    Amen kbs iko kwel unaongea

  • @wemasanga142
    @wemasanga14215 сағат бұрын

    Na nyi mnamsikiliza huyu taila 🙄🙄🙄alie toroka freemason ya uongo 😂😂🙌

Келесі