MUNGU akulinde daima. umenifundisha sana na nimekombolewa kupitia mahubiri Yako ya kweli mtumishi wa MUNGU
@JoyceMbise-zr2xh14 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa BWANA,hakika huu ndio ule mwisho
@user-qz9bz3ni9y10 күн бұрын
Mungu akubariki sana naakurinde usjal maneno ya watu Mungu endeleakusema ukweli mwenye masikio na askie
@eneamalamla4848 күн бұрын
Bwana Akubariki mtumishi, Songa mbele
@gitongaz12 күн бұрын
Heli kupinga mapstor wa ukweli , kwa kukosa ufahamu wa kiroho kuliko wenye wanafahamu hawafanyi ukweli but wanapada dege kudaganya wakristo
@harrietkiden780814 күн бұрын
GOD BLESS YOU SO MUCH PASTOR PASCHAL 🙏
@GustaveAbedi-td9yv13 күн бұрын
Que la force de Dieu vous accompagne par tout.🇨🇩🇨🇩
@valenakomba921813 күн бұрын
Sanaa.ni kweli . Bwana Mungu akutie nguvu zaidi.
@martinahlighare649514 күн бұрын
Ameeen, amen. Mungu anisaidie, imani yangu iambatane na matendo yangu kwa wengine.
@lewistz13 күн бұрын
Ihubiri kweli kivyako acha kunyooshea watu kidole Kuna muda shetani anamtumia mtu afu wasioona rohoni watamuamin pia😢😢😢, Hapo unatumia akili zako mzee kunyooshea watu vjdole sio moja ya kalama za roho mtakatifu, 1wakorintho12:1-11 Hapo paulo alijaribu kuwaelezea wakorintho sio wote tutakuwa na karama moja pia usisahau, Hata kama umepewa macho ukaona flan anachofanya ni kibaya mfuate umuonye sio kumdharirisha kwenye media kwa fikra zako wala huwez kumnyamazisha shetani kwa njia hii, Omba HEKIMA na BUSARA acha kutafutia kiki neno la MUNGU majina ya watu
@user-qy7he6cl8w
11 күн бұрын
Sio kumdhalilisha nikumnyoosha aiache Njia yake anapoteza wengi
@chantalmariesony299612 күн бұрын
Niwa uongo awo wa pastor wakike
@godyfashion712514 күн бұрын
Huu ndio muda wa kuambiana ukwelii huu ndio muda wa kuiweka dhambi hadhalani huu sio muda wakufarijiana farijianaa sema paschal tenaa pigaaaa keleeeleeeee kwa kuitajaaa dhambiiiiiii kama ilivyoooo
@geitandelwa299
13 күн бұрын
Yes ujinga umezidi mno
@SolomoniNgulai10 күн бұрын
Hakika nyakati za mwisho ndio hizi imebaki tu yesu kurudi kunyakuwa kanisa
@joycefaida654814 күн бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🙏,,,pia umenisaidia kuijua kwel 🌎🙏
@MwabilaElias13 күн бұрын
Mwnjilist paschal wew waisema kwel ,,,,,,hzi ni nyakat za mwisho endleaa kuisema kwel had mwisho ,,maan mtu kuelewa haya unayoyasema ni lazma awe anamjua mungu kwel kwl na sio kuokoka TU kwnda kanisan ,,,paschal mungu awe pamja nawe ,,,mtu weng sna wanaishia kuokoka TU na si kudumu ndan ya wokovu hakika waliookoka na kudumu ndan ya wokovu watakuelewa ,.
@MwabilaElias
13 күн бұрын
Jaman paschal hajahukumu ila anasema kwl kutoka katka biblia takat tazam yohana 17:17
@misscesty581714 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa wangu..yaani kuna watu wanafaa kupigwa viboko ndio waelewe.
@user-xd7gb9ub4t13 күн бұрын
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Yesu kristo aligawa vipawa mbali mbali, Ipo siku cassian utafanyiwa deliverence na watumishi hawa unao wasema, ni suala la mda tu .
@furahag309813 күн бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi uzidi kufichua ukweli 🙏
@AliceNgandu202314 күн бұрын
Tuko mwisho waduniya Mungu akutiye nguvu mutumishi wa Bwana
@agnessndabhalu13 күн бұрын
Mungu Azidi kikupigia mtumishi 🙏🙏
@EstherJoshua-u6b14 күн бұрын
MUNGU Akupe Ulinzi wa kimbingu kaka yangu
@jovettedenise259113 күн бұрын
Mungu akulinde🎉
@veronicahkhaikwa49298 күн бұрын
Hata kama kuna watu mnapingana humu kusema ukweli haya mavavi mtu hawezi nihubiria nayo ,tofauti yake nami hamna ,siezi msikiza
@sarahmwadime85014 күн бұрын
End times....tunaomba roho ya uvumbuzi
@Taysonmick-q1f13 күн бұрын
Mungu akubariki usikate taa fundisho unaweza
@ElizabethMuia-ro9yh13 күн бұрын
Yaani unayo yaogea ni kweli kabisaaaa
@user-ul2vc7od1w12 күн бұрын
pastor anasema kweli hayo sio mavazi yakusimama kwa madhau nakuubiri mkristo n barua inayo somwa na wengi unadhani watu wanasoma nini ka mavazi hayo yasiyo na utukufu mbele za Mungu
@KeviNgailo-ex4wd14 күн бұрын
AMEN🙏
@womanofgod22179 күн бұрын
Amen mutumishi Ubarikiwe.
@BishopEllie12 күн бұрын
Mtumishi mwenzangu, ifike mahali uchoke KUHUBIRI WATU NA MATATIZO YAO YA KUCHAKACHUA NENO...ILA UANZE SASA KUMUHUBIRI CHRISTO...ROHO MTAKATIFU ANAFANYA NINI LEO??? HAO WANAPOCHAKACHUA INJILI WEWE HUBIRI NENO NA BWANA ATATHIBITISHA KWA ISHARA NA MAAJABU. TWENDE KAZINI.
@patiencehumbled351914 күн бұрын
Leo mahali nilikuwa kanisa Bishop amemtaja huyo mwanamke kama mtumishi wa uongo
@user-tt7cu2et1x
14 күн бұрын
Mwanamke yup
@paulbwanana788614 күн бұрын
Hatari sana
@user-jl5un4wf3u6 күн бұрын
Watu hawajamuelewa shetani naibaadazake nikua angamiza jamiikubwa yeye hujaribu kushindananawatu waMungu.maandiko yakowazi endelea kutukumbusha kweli yazMungu mchungaji....
@patiencepaul229412 күн бұрын
Kweli kabisa...nyakati za mwisho izi😮
@fridberthahaule948914 күн бұрын
Mungu atusaidie kt nyakati hizi za mwisho. Hata muonekano tu wa huyo mhubiri ni wa kuzimu,mbona jamani?
@colyndelwa173813 күн бұрын
Ukweli ambao kizazi hiki hatutaki kuusikia. Mungu atusaidie sana
@LizyKinabo8 күн бұрын
Wacha aseme watu wapone maana wengi wanaangamia kwa kutokujua
@neemaneychricious649312 күн бұрын
Wew fanya kile umeitiwaa acha kupotosha watu kuwachanganyaa mana yakwako mbna ucyaweke wazi kila mtu kaitwa kwa nafasi yake anafanya kile ameambiw na aliyemtuma hawez fanya unachoongea atafanya alichoambiw utapamban na Mungu bila kujua unapambna na Mungu aliyewatuma
@janethdavidsanga599913 күн бұрын
Kaka unatuchanganya wacha kila mtu aamin anacho amin,maana unatuvuruga
@gitongaz12 күн бұрын
Wagojwa wamevaa kwa adabu kushida uyo dada
@gitongaz12 күн бұрын
Sasa imagine mtu akikuja kuokoka anakuta pastor akionesha hips na panti si atadhani wanaokoka wakiwa wawili
@laurentraphael547013 күн бұрын
Makanisa ya mashetani yamejaa kila kona. Mungu atusaidie sana maana sio kitoto.
Pia swiming pool singine niza freemason watu wakingia wajionesha mwiili yao hekaru ya mungu , sinafutia dhabi sio kujifulahisha ,yaan shetani ameletakanisasaje na kusigeuza kuwa swiming pool ili wale hawapedi kweda kanisa hashikiwe apo ,then swimming pool watu hufanya ngono uko dani na mabinti ama wengine kuwa rappedwakifundishwa kuogelea
@johncharlessingano855113 күн бұрын
Wewe HUMPENDI MUNGU
@JustinKituyamaana-og3bg14 күн бұрын
Kumbukumbu 22;5. Maandiko inayakataa kabisa. Nasiyo apa tu
@Taysonmick-q1f13 күн бұрын
Somen vitabu kubukub ratorat 22 5 timoseo wa kwanza 2 9 10 Hosea 2 13 yakobo 2 14 15 17 timoseo wa kwanza 2 4 5 wakorito wa kwanza 11 13 wakorito wa pir 5 12 13 14
@AnnaMyala13 күн бұрын
Be blessed
@AthonySaimon13 күн бұрын
Duh! Yaan paschel unatuambia ukwl ila watu wanapuuzia!!
@JustinKituyamaana-og3bg14 күн бұрын
Siku ni Matata Sana. Mpaka Christo atafika na wengi bila kujuwa
@festinamwakipale391912 күн бұрын
Wahubiri wa.sasa biblia hawasomi jaman.biblia hawasomi mnaosoma.hubirini kweli msichoke jamani sio kila vazi mcha.Mungu.atavaa sio kila kinywaji mcha Mungu anaweza kunywa ivi hawa.wadada watumishi kwamba hawajui kabisa kuwa suruali kwA mwanamke ni.vazi la kikahaba da wamefungwa kufungwa gani wadada.nyie watumishi mnatia huruma shetani anawatia aibu mkutane na neema kama kweli mnahubiri kweli acheni misuluwali kama mmetumwa na mafreemason.muiharibu Tanzania hamtaiweza Tanzania
@Pendopasilika14 күн бұрын
Ameni ameeni
@chantalmariesony299612 күн бұрын
Yes njo njia wako wanafanya nikweli kabisa
@festinamwakipale391912 күн бұрын
Wanang'ang'ania din wokovu hawataki.mwe.inauma.sana biblia inasema mwanamke kichwa chake kiwe.kama.cha.mwanaume.maana.yake asijipambe.au.afunike.kichwa.chake.jaman.tutataman.milima.itufunike.da.haitawezekana mbona.uhuru.umezidi.mawimbi.ni.mengi.sana
@user-xw8om1qd1g14 күн бұрын
MUNGU aturehemu
@user-pb3bx7rl6c13 күн бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@hegikibaby112012 күн бұрын
angalau wewe una uthubutu wa kuwambia ukweli hadharani. watumishi wengine wanaogopa kukemea ushetani unaofanyika
@user-tt7cu2et1x14 күн бұрын
Cku hiz tumekuwa wavivu saana kuomba kma Biblia inasema tumtake yeye na nguvu zake...tumtafute uso😢.lait tukiomba kwa bidii macho yetu ya rohon yatafunguliwa...😢atutasumbua watumish waongee saana kuhus uwongo wa manabii.kabla ajamtaja unamjua n mtu flan Roho mt. Atakuwa tayr alishakwambia
@user-xw8om1qd1g
14 күн бұрын
Watu wanapenda Sana mteremko
@kayombotv975814 күн бұрын
Sasa wewe utachunguza mangapi mbona hueleweki zunguka Tanzania nzima uhubiri wewe tuu maana wengine hawafai.
@Visionofeagle968914 күн бұрын
Yezebeli , wajinga ndio waliwao.🥹
@elijohofficial104912 күн бұрын
we unatafuta hela youtube tu😂😂 huna lolote
@ramseyngwejela49913 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mengindegeya278014 күн бұрын
Brother kwa muonekano kweli huyo ni kungwi wa makungwi anakungisha ndoa duuuuuu!!!!!;;;;;!!!!!!!!!
@dh-bioproducts8205
14 күн бұрын
Kassian ingependeza kama ungetuonyesha kazi zako na miujiza Yako. Uwaache watumishi wenzako wenye upako wanaowagusa watu wanaanguka.
@odilomwemeziernest646
14 күн бұрын
@@dh-bioproducts8205 nani kakwbia kuanguka kunaonyesha upako?umesoma wapi kwenye biblia mahali upako uliwangusha watu wasiyo na mapepo?
@AdamJonas-sx4mi14 күн бұрын
Jamani muwe munapost na ya makanisani kwenu ili tuone munacho ongea kinatokana na Mungu? Munaponda wengine yamakanisani kwenu hatuyaoni ili tujifunze harafu unatumia hasira inayokaa kifuani mwa mupumbavu.
@Elize391
14 күн бұрын
Mbona matusi
@user-tt7cu2et1x
14 күн бұрын
@@Elize391Yahn asira kma yote....C muombe muingie magotini MUNGU n mwaminifu sana awape macho ya rohn
@rhodamaha1637
14 күн бұрын
hivi wewe kama hutaki kupona nyamaza kimya anayongea mrumishi ni kwwki tuou
@Rashid-vm1fk
13 күн бұрын
Huyu atakuwa bila shaka mmoja wa muumini wa manabii hawa, Tumuombe Mungu macha ya rohoni ili tutambue miujiza hii
@jameskilasa759
13 күн бұрын
Kwan huoni hapo kapost yuko kanisan
@roselyimo367614 күн бұрын
Hatujakataa wanatumiwa na shetani ila tunataka kujua wewe una lipi jipya na una jina lipi ambalo linalutofautisha nao??? Wote mnatumia jina la Yesu na unajiona uko tofauti nao?????😊😊😊😊😅😅
@user-ol4my2mx1u
14 күн бұрын
Mungu akusaidie upate kutambua utofauti wao
@roselyimo3676
14 күн бұрын
Hakuna utofauti wowote kumbuka kabla kuwako Yesu walikuwapo waliofunga agano akina mfalme Daudi lakini Mungu alileta jina jipya kwakuwa giza linakuwa limetanda. Hawezi kuendelea na jina lile lile@@user-ol4my2mx1u
@Namtumbo
14 күн бұрын
Wengi watakuja kwa kina langu wakisema madiya,msidanganyike Mungu atupe macho ya rohoni,
@johncharlessingano8551
13 күн бұрын
We Nyamaza usiongee tena
@NataliaPetro-ej7bf14 күн бұрын
Bhan eeh shetani atamtoaje shetani mwenzake kwanza kazi ya kuhukumu sio yetu nikazi ya Mungu kila siku ni kusema watumishi fungua kanisa ufundishe hiyo kweli hata yesu alisema tutafanya zaidi ya hayo sasa nyie mwataka wafanye nini fundisha yako yaliyo ya kweli
@godyfashion7125
14 күн бұрын
Samahani wewe kama ni BABA mtoto wako akiendaa kinyumee na kanuni zako utamuachaa kumuonyaa na kumkea kwa kuogopa utakuaa unahukumu ... sikiliza kukemeaa na kuhukumu ni vitu viwili tofauti ..ni kwelii kabisaa watumishi wengi wa makanisani wanamionekano ya KIKAHABA kwani uongo lazimaa ukweli uzungumzwee bwanaaa
@tinnahagustinolyelu424713 күн бұрын
Yaani anachoniuzi huyu kaka yupo kama falisayo mwache Mungu atawahukumu mwenyewe maana wewe kila mtumishi mbaya na kwanini wewe unajihesabia haki sana
@Rashid-vm1fk
13 күн бұрын
Kwahiyo unataka asifie uovu? Kama itakuwa ww ni miongoni mwa wapenda miujiza, soma mandiko tuwatambua kwa matendo yao ambayo hayaendani na Neno la Mungu
@happnesskitumbo5713
13 күн бұрын
Yesu akufumbue macho tuko nyakati za mwisho Sana.
@user-xd7gb9ub4t
13 күн бұрын
Kabla ya kutoa kibanzi kilichoko Kwa jicho la mwenzako hebu ondoa bolt ndani ya jicho lako....Enyi wanafiki...hili ni agano jipya dhambi haiondolewi Kwa kukemea, utakemea wangapi? Ujue Yesu alirahisisha sana C's hatupo chini ya Sheria, wafundishe watu Neno Ili wampokee Yesu kristo yeye ndiye atakaye yabadilisha maisha Yao sio wewe, ndio Maana injili ni uweza wa MUNGU it means ndani yake kunauweza wa Mungu wa kubadilisha. Agano la kale ndio waliokuwa wakipiga kelele C's roho alikuwa hakai ndani yetu, ndio Maana wakina Nabii Isaya waliambiwa wapige kelele Ili watu wabadilike na kuyaishi mapenzi ya MUNGU, C's watu wengi Leo hii hakuna asiye ijua dhambi ila issue ni kuishinda dhambi hata kama utawaeleza lakini kama hautawajenga katika misingi ya neno la MUNGU kwaajili ya kuufisha mwili bado wataanguka dhambini so wafundishe Neno Ili roho ipate Nguvu ya kuushinda mwili ( warumi 8:6) C's Sheria iliishindwa dhambi sababu ya mwili, kwa hiyo adui yetu wa kwanza ni mwili na sio watu, Kwa hiyo Ili tumshinde shetani tunahitaji kupata Nguvu za roho C's shetani ni roho, ndio Maana Neno linasema zichunguzeni hizo roho na sio watu, Kwa hiyo MUNGU atufungulie milango ya fahamu ya rohoni, hii ya mwilini haitaweza kumshinda adui,C's adui ni roho, sasa watu wengi wanasoma Neno la MUNGU Kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili ndio Maana wanachanganya mambo hata Yesu alipatashida sana watu walimwambia eti anatumia pepo kuwafungua watu, na hao walimwambia ni watumishi kama hivi Leo mnavyo waona Hawa wanavyopinga ni mfano wa mafarisayo Kwa Maana ya watu wa Dini, hebu tubadilike kukemea dhambi ni sawa lakini kumbuka maneno Yako ya kuwakashfu wenzako hayawezi kuwabadilisha watu ma elfu Duniani Mwenyezi MUNGU alilijua hilo ndio Maana akatupa msaidizi ambaye ana uweza wa kuwabadilisha watu kwakuhubiri injili yenye uweza ndani yetu, kuwafungua watu wenye vifungo mbalimbaluli na kuwafundisha Neno, Soma Matendo ya mitume 1:1 utaona Yesu kristo alifundisha na kufanya, sasa hilo suala la original na feki ni lako wewe kujibidiisha katika Neno Ili roho wa BWANA akuongoze, MUNGU awabariki sana na kuwatia Nguvu.....❤
@dh-bioproducts820514 күн бұрын
Kwani wanapaswa kuvaa nini? Na je wazungu waliotuletea dini wao wanavaaga nini. Tumwache Mungu abaki kuwa mhukumu kama alivyosema ktk kitabu chake. Wewe ni nani uhukumu watumishi wa Mungu? Mtumishi,ingependeza kama ungedeal na kufundisha kile ulichoitiwa na kuendelea kulitangaza jina la bwana pamoja na Injili yake, na sio kuendelea kuwahukumu watumishi wenzako. Kila.mtu ameitwa kitofauti na amepewa maelekezo tofauti
@gitongaz
12 күн бұрын
Huyu pastor anafanya kazi nzuri sana but yesu akufanya Ivo ,alionya watu hakutaja mtu yeyote but huyu anaoneaha video za watu na sio vzuri, yesu alisema mwenye macho aone na mwenye Akio asikie so watu Dio wanapashwa wajiaemee kwa roho Sio kuexppose, hio unataka hekima nyingi sana
@gitongaz
12 күн бұрын
Mwabie afanye picha ikue cartoon na asitaje jina la mtu,watu wataelewa ni kina nani
Пікірлер: 108
MUNGU akulinde daima. umenifundisha sana na nimekombolewa kupitia mahubiri Yako ya kweli mtumishi wa MUNGU
Mungu akutie nguvu mtumishi wa BWANA,hakika huu ndio ule mwisho
Mungu akubariki sana naakurinde usjal maneno ya watu Mungu endeleakusema ukweli mwenye masikio na askie
Bwana Akubariki mtumishi, Songa mbele
Heli kupinga mapstor wa ukweli , kwa kukosa ufahamu wa kiroho kuliko wenye wanafahamu hawafanyi ukweli but wanapada dege kudaganya wakristo
GOD BLESS YOU SO MUCH PASTOR PASCHAL 🙏
Que la force de Dieu vous accompagne par tout.🇨🇩🇨🇩
Sanaa.ni kweli . Bwana Mungu akutie nguvu zaidi.
Ameeen, amen. Mungu anisaidie, imani yangu iambatane na matendo yangu kwa wengine.
Ihubiri kweli kivyako acha kunyooshea watu kidole Kuna muda shetani anamtumia mtu afu wasioona rohoni watamuamin pia😢😢😢, Hapo unatumia akili zako mzee kunyooshea watu vjdole sio moja ya kalama za roho mtakatifu, 1wakorintho12:1-11 Hapo paulo alijaribu kuwaelezea wakorintho sio wote tutakuwa na karama moja pia usisahau, Hata kama umepewa macho ukaona flan anachofanya ni kibaya mfuate umuonye sio kumdharirisha kwenye media kwa fikra zako wala huwez kumnyamazisha shetani kwa njia hii, Omba HEKIMA na BUSARA acha kutafutia kiki neno la MUNGU majina ya watu
@user-qy7he6cl8w
11 күн бұрын
Sio kumdhalilisha nikumnyoosha aiache Njia yake anapoteza wengi
Niwa uongo awo wa pastor wakike
Huu ndio muda wa kuambiana ukwelii huu ndio muda wa kuiweka dhambi hadhalani huu sio muda wakufarijiana farijianaa sema paschal tenaa pigaaaa keleeeleeeee kwa kuitajaaa dhambiiiiiii kama ilivyoooo
@geitandelwa299
13 күн бұрын
Yes ujinga umezidi mno
Hakika nyakati za mwisho ndio hizi imebaki tu yesu kurudi kunyakuwa kanisa
Ubarikiwe sana 🙏🙏,,,pia umenisaidia kuijua kwel 🌎🙏
Mwnjilist paschal wew waisema kwel ,,,,,,hzi ni nyakat za mwisho endleaa kuisema kwel had mwisho ,,maan mtu kuelewa haya unayoyasema ni lazma awe anamjua mungu kwel kwl na sio kuokoka TU kwnda kanisan ,,,paschal mungu awe pamja nawe ,,,mtu weng sna wanaishia kuokoka TU na si kudumu ndan ya wokovu hakika waliookoka na kudumu ndan ya wokovu watakuelewa ,.
@MwabilaElias
13 күн бұрын
Jaman paschal hajahukumu ila anasema kwl kutoka katka biblia takat tazam yohana 17:17
Ubarikiwe mtumishi wa wangu..yaani kuna watu wanafaa kupigwa viboko ndio waelewe.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Yesu kristo aligawa vipawa mbali mbali, Ipo siku cassian utafanyiwa deliverence na watumishi hawa unao wasema, ni suala la mda tu .
Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi uzidi kufichua ukweli 🙏
Tuko mwisho waduniya Mungu akutiye nguvu mutumishi wa Bwana
Mungu Azidi kikupigia mtumishi 🙏🙏
MUNGU Akupe Ulinzi wa kimbingu kaka yangu
Mungu akulinde🎉
Hata kama kuna watu mnapingana humu kusema ukweli haya mavavi mtu hawezi nihubiria nayo ,tofauti yake nami hamna ,siezi msikiza
End times....tunaomba roho ya uvumbuzi
Mungu akubariki usikate taa fundisho unaweza
Yaani unayo yaogea ni kweli kabisaaaa
pastor anasema kweli hayo sio mavazi yakusimama kwa madhau nakuubiri mkristo n barua inayo somwa na wengi unadhani watu wanasoma nini ka mavazi hayo yasiyo na utukufu mbele za Mungu
AMEN🙏
Amen mutumishi Ubarikiwe.
Mtumishi mwenzangu, ifike mahali uchoke KUHUBIRI WATU NA MATATIZO YAO YA KUCHAKACHUA NENO...ILA UANZE SASA KUMUHUBIRI CHRISTO...ROHO MTAKATIFU ANAFANYA NINI LEO??? HAO WANAPOCHAKACHUA INJILI WEWE HUBIRI NENO NA BWANA ATATHIBITISHA KWA ISHARA NA MAAJABU. TWENDE KAZINI.
Leo mahali nilikuwa kanisa Bishop amemtaja huyo mwanamke kama mtumishi wa uongo
@user-tt7cu2et1x
14 күн бұрын
Mwanamke yup
Hatari sana
Watu hawajamuelewa shetani naibaadazake nikua angamiza jamiikubwa yeye hujaribu kushindananawatu waMungu.maandiko yakowazi endelea kutukumbusha kweli yazMungu mchungaji....
Kweli kabisa...nyakati za mwisho izi😮
Mungu atusaidie kt nyakati hizi za mwisho. Hata muonekano tu wa huyo mhubiri ni wa kuzimu,mbona jamani?
Ukweli ambao kizazi hiki hatutaki kuusikia. Mungu atusaidie sana
Wacha aseme watu wapone maana wengi wanaangamia kwa kutokujua
Wew fanya kile umeitiwaa acha kupotosha watu kuwachanganyaa mana yakwako mbna ucyaweke wazi kila mtu kaitwa kwa nafasi yake anafanya kile ameambiw na aliyemtuma hawez fanya unachoongea atafanya alichoambiw utapamban na Mungu bila kujua unapambna na Mungu aliyewatuma
Kaka unatuchanganya wacha kila mtu aamin anacho amin,maana unatuvuruga
Wagojwa wamevaa kwa adabu kushida uyo dada
Sasa imagine mtu akikuja kuokoka anakuta pastor akionesha hips na panti si atadhani wanaokoka wakiwa wawili
Makanisa ya mashetani yamejaa kila kona. Mungu atusaidie sana maana sio kitoto.
Kumbe kuna makungwi wa kiroho na watu awasemi 😂😂😂
Wanao coment , kukuvunja moyo achana nao piga injili, ubarikiwe sana
Pia swiming pool singine niza freemason watu wakingia wajionesha mwiili yao hekaru ya mungu , sinafutia dhabi sio kujifulahisha ,yaan shetani ameletakanisasaje na kusigeuza kuwa swiming pool ili wale hawapedi kweda kanisa hashikiwe apo ,then swimming pool watu hufanya ngono uko dani na mabinti ama wengine kuwa rappedwakifundishwa kuogelea
Wewe HUMPENDI MUNGU
Kumbukumbu 22;5. Maandiko inayakataa kabisa. Nasiyo apa tu
Somen vitabu kubukub ratorat 22 5 timoseo wa kwanza 2 9 10 Hosea 2 13 yakobo 2 14 15 17 timoseo wa kwanza 2 4 5 wakorito wa kwanza 11 13 wakorito wa pir 5 12 13 14
Be blessed
Duh! Yaan paschel unatuambia ukwl ila watu wanapuuzia!!
Siku ni Matata Sana. Mpaka Christo atafika na wengi bila kujuwa
Wahubiri wa.sasa biblia hawasomi jaman.biblia hawasomi mnaosoma.hubirini kweli msichoke jamani sio kila vazi mcha.Mungu.atavaa sio kila kinywaji mcha Mungu anaweza kunywa ivi hawa.wadada watumishi kwamba hawajui kabisa kuwa suruali kwA mwanamke ni.vazi la kikahaba da wamefungwa kufungwa gani wadada.nyie watumishi mnatia huruma shetani anawatia aibu mkutane na neema kama kweli mnahubiri kweli acheni misuluwali kama mmetumwa na mafreemason.muiharibu Tanzania hamtaiweza Tanzania
Ameni ameeni
Yes njo njia wako wanafanya nikweli kabisa
Wanang'ang'ania din wokovu hawataki.mwe.inauma.sana biblia inasema mwanamke kichwa chake kiwe.kama.cha.mwanaume.maana.yake asijipambe.au.afunike.kichwa.chake.jaman.tutataman.milima.itufunike.da.haitawezekana mbona.uhuru.umezidi.mawimbi.ni.mengi.sana
MUNGU aturehemu
Kweli kabisa mtumishi
angalau wewe una uthubutu wa kuwambia ukweli hadharani. watumishi wengine wanaogopa kukemea ushetani unaofanyika
Cku hiz tumekuwa wavivu saana kuomba kma Biblia inasema tumtake yeye na nguvu zake...tumtafute uso😢.lait tukiomba kwa bidii macho yetu ya rohon yatafunguliwa...😢atutasumbua watumish waongee saana kuhus uwongo wa manabii.kabla ajamtaja unamjua n mtu flan Roho mt. Atakuwa tayr alishakwambia
@user-xw8om1qd1g
14 күн бұрын
Watu wanapenda Sana mteremko
Sasa wewe utachunguza mangapi mbona hueleweki zunguka Tanzania nzima uhubiri wewe tuu maana wengine hawafai.
Yezebeli , wajinga ndio waliwao.🥹
we unatafuta hela youtube tu😂😂 huna lolote
😂😂😂😂😂😂
Brother kwa muonekano kweli huyo ni kungwi wa makungwi anakungisha ndoa duuuuuu!!!!!;;;;;!!!!!!!!!
@dh-bioproducts8205
14 күн бұрын
Kassian ingependeza kama ungetuonyesha kazi zako na miujiza Yako. Uwaache watumishi wenzako wenye upako wanaowagusa watu wanaanguka.
@odilomwemeziernest646
14 күн бұрын
@@dh-bioproducts8205 nani kakwbia kuanguka kunaonyesha upako?umesoma wapi kwenye biblia mahali upako uliwangusha watu wasiyo na mapepo?
Jamani muwe munapost na ya makanisani kwenu ili tuone munacho ongea kinatokana na Mungu? Munaponda wengine yamakanisani kwenu hatuyaoni ili tujifunze harafu unatumia hasira inayokaa kifuani mwa mupumbavu.
@Elize391
14 күн бұрын
Mbona matusi
@user-tt7cu2et1x
14 күн бұрын
@@Elize391Yahn asira kma yote....C muombe muingie magotini MUNGU n mwaminifu sana awape macho ya rohn
@rhodamaha1637
14 күн бұрын
hivi wewe kama hutaki kupona nyamaza kimya anayongea mrumishi ni kwwki tuou
@Rashid-vm1fk
13 күн бұрын
Huyu atakuwa bila shaka mmoja wa muumini wa manabii hawa, Tumuombe Mungu macha ya rohoni ili tutambue miujiza hii
@jameskilasa759
13 күн бұрын
Kwan huoni hapo kapost yuko kanisan
Hatujakataa wanatumiwa na shetani ila tunataka kujua wewe una lipi jipya na una jina lipi ambalo linalutofautisha nao??? Wote mnatumia jina la Yesu na unajiona uko tofauti nao?????😊😊😊😊😅😅
@user-ol4my2mx1u
14 күн бұрын
Mungu akusaidie upate kutambua utofauti wao
@roselyimo3676
14 күн бұрын
Hakuna utofauti wowote kumbuka kabla kuwako Yesu walikuwapo waliofunga agano akina mfalme Daudi lakini Mungu alileta jina jipya kwakuwa giza linakuwa limetanda. Hawezi kuendelea na jina lile lile@@user-ol4my2mx1u
@Namtumbo
14 күн бұрын
Wengi watakuja kwa kina langu wakisema madiya,msidanganyike Mungu atupe macho ya rohoni,
@johncharlessingano8551
13 күн бұрын
We Nyamaza usiongee tena
Bhan eeh shetani atamtoaje shetani mwenzake kwanza kazi ya kuhukumu sio yetu nikazi ya Mungu kila siku ni kusema watumishi fungua kanisa ufundishe hiyo kweli hata yesu alisema tutafanya zaidi ya hayo sasa nyie mwataka wafanye nini fundisha yako yaliyo ya kweli
@godyfashion7125
14 күн бұрын
Samahani wewe kama ni BABA mtoto wako akiendaa kinyumee na kanuni zako utamuachaa kumuonyaa na kumkea kwa kuogopa utakuaa unahukumu ... sikiliza kukemeaa na kuhukumu ni vitu viwili tofauti ..ni kwelii kabisaa watumishi wengi wa makanisani wanamionekano ya KIKAHABA kwani uongo lazimaa ukweli uzungumzwee bwanaaa
Yaani anachoniuzi huyu kaka yupo kama falisayo mwache Mungu atawahukumu mwenyewe maana wewe kila mtumishi mbaya na kwanini wewe unajihesabia haki sana
@Rashid-vm1fk
13 күн бұрын
Kwahiyo unataka asifie uovu? Kama itakuwa ww ni miongoni mwa wapenda miujiza, soma mandiko tuwatambua kwa matendo yao ambayo hayaendani na Neno la Mungu
@happnesskitumbo5713
13 күн бұрын
Yesu akufumbue macho tuko nyakati za mwisho Sana.
@user-xd7gb9ub4t
13 күн бұрын
Kabla ya kutoa kibanzi kilichoko Kwa jicho la mwenzako hebu ondoa bolt ndani ya jicho lako....Enyi wanafiki...hili ni agano jipya dhambi haiondolewi Kwa kukemea, utakemea wangapi? Ujue Yesu alirahisisha sana C's hatupo chini ya Sheria, wafundishe watu Neno Ili wampokee Yesu kristo yeye ndiye atakaye yabadilisha maisha Yao sio wewe, ndio Maana injili ni uweza wa MUNGU it means ndani yake kunauweza wa Mungu wa kubadilisha. Agano la kale ndio waliokuwa wakipiga kelele C's roho alikuwa hakai ndani yetu, ndio Maana wakina Nabii Isaya waliambiwa wapige kelele Ili watu wabadilike na kuyaishi mapenzi ya MUNGU, C's watu wengi Leo hii hakuna asiye ijua dhambi ila issue ni kuishinda dhambi hata kama utawaeleza lakini kama hautawajenga katika misingi ya neno la MUNGU kwaajili ya kuufisha mwili bado wataanguka dhambini so wafundishe Neno Ili roho ipate Nguvu ya kuushinda mwili ( warumi 8:6) C's Sheria iliishindwa dhambi sababu ya mwili, kwa hiyo adui yetu wa kwanza ni mwili na sio watu, Kwa hiyo Ili tumshinde shetani tunahitaji kupata Nguvu za roho C's shetani ni roho, ndio Maana Neno linasema zichunguzeni hizo roho na sio watu, Kwa hiyo MUNGU atufungulie milango ya fahamu ya rohoni, hii ya mwilini haitaweza kumshinda adui,C's adui ni roho, sasa watu wengi wanasoma Neno la MUNGU Kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili ndio Maana wanachanganya mambo hata Yesu alipatashida sana watu walimwambia eti anatumia pepo kuwafungua watu, na hao walimwambia ni watumishi kama hivi Leo mnavyo waona Hawa wanavyopinga ni mfano wa mafarisayo Kwa Maana ya watu wa Dini, hebu tubadilike kukemea dhambi ni sawa lakini kumbuka maneno Yako ya kuwakashfu wenzako hayawezi kuwabadilisha watu ma elfu Duniani Mwenyezi MUNGU alilijua hilo ndio Maana akatupa msaidizi ambaye ana uweza wa kuwabadilisha watu kwakuhubiri injili yenye uweza ndani yetu, kuwafungua watu wenye vifungo mbalimbaluli na kuwafundisha Neno, Soma Matendo ya mitume 1:1 utaona Yesu kristo alifundisha na kufanya, sasa hilo suala la original na feki ni lako wewe kujibidiisha katika Neno Ili roho wa BWANA akuongoze, MUNGU awabariki sana na kuwatia Nguvu.....❤
Kwani wanapaswa kuvaa nini? Na je wazungu waliotuletea dini wao wanavaaga nini. Tumwache Mungu abaki kuwa mhukumu kama alivyosema ktk kitabu chake. Wewe ni nani uhukumu watumishi wa Mungu? Mtumishi,ingependeza kama ungedeal na kufundisha kile ulichoitiwa na kuendelea kulitangaza jina la bwana pamoja na Injili yake, na sio kuendelea kuwahukumu watumishi wenzako. Kila.mtu ameitwa kitofauti na amepewa maelekezo tofauti
@gitongaz
12 күн бұрын
Huyu pastor anafanya kazi nzuri sana but yesu akufanya Ivo ,alionya watu hakutaja mtu yeyote but huyu anaoneaha video za watu na sio vzuri, yesu alisema mwenye macho aone na mwenye Akio asikie so watu Dio wanapashwa wajiaemee kwa roho Sio kuexppose, hio unataka hekima nyingi sana
@gitongaz
12 күн бұрын
Mwabie afanye picha ikue cartoon na asitaje jina la mtu,watu wataelewa ni kina nani