EXCLUSIVE: SHAFII AFUNGUKA (A - Z) SABABU ZA KUPIGANA NA STEVE MWEUSI

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 197

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n11 күн бұрын

    Kama unamkubali Steve gonga like za kutosha

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    11 күн бұрын

    Steve na mtu na nusu

  • @AdamAmos-rr6fg

    @AdamAmos-rr6fg

    11 күн бұрын

    Mtu nanusu nimwanamke​@@GibsonNtamamilo

  • @ramamakelo3780

    @ramamakelo3780

    11 күн бұрын

    Hawamuwez Stive hawa wangese, gasho. Stive kitambo sana kwenye tasnia hii

  • @amaizingvideo8858
    @amaizingvideo885811 күн бұрын

    Shafii msenge tuu mwongo hana confidence ya kujitetea

  • @ayub6465
    @ayub646511 күн бұрын

    Ukwwli nikwamba Steve yupo level nyingine tofaut sana na shafiii

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira420511 күн бұрын

    Ushamba tu,msemo msemo kwamba wewe ndio wa kwanza kutunga misemo ? Mijitu mingine chefuuu

  • @Muba3304

    @Muba3304

    11 күн бұрын

    Kwanza sio wake shafii kaiba

  • @user-gb1hn5ml8y

    @user-gb1hn5ml8y

    11 күн бұрын

    😂😂😂

  • @MishekiLukali
    @MishekiLukali11 күн бұрын

    Weee shizi to shafii

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa417811 күн бұрын

    Utoto mwingi tu, hamna la maana

  • @ALBATWA5-zh4zk
    @ALBATWA5-zh4zk11 күн бұрын

    Shafi mavi tu huyu Achana na simba kilaka kenge wewe,!

  • @rogersiddy
    @rogersiddy11 күн бұрын

    Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack983611 күн бұрын

    Mm huyu Binti Nampendaga sanaaaa aisee

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z11 күн бұрын

    kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊

  • @piusdriver7842
    @piusdriver784210 күн бұрын

    Huo msemo ni wangu .shafii kautoa kwangu sema nimekosa platform

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula862211 күн бұрын

    Jomba anaonekana kabisa nimuongo wa hatar ww hujui hujui tuu😂

  • @MosesDarius-p7f
    @MosesDarius-p7f11 күн бұрын

    Shaffi unadangaya bro ❤❤❤❤ sema ukweli

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq11 күн бұрын

    😂😂shafii unachuki naunakik t ndouzotk wew acheni kumuonea wivu Steve

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera462911 күн бұрын

    Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz955811 күн бұрын

    Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve

  • @romzy_tz7305

    @romzy_tz7305

    10 күн бұрын

    Kabisa tena kwenye movie ya snake boy😂

  • @bishopalfreddywilliamu2382
    @bishopalfreddywilliamu238211 күн бұрын

    Hahahaha eti msemo? Wahenga wame toa misemo mingapi mbona hawapigi watu

  • @saidtembele3070

    @saidtembele3070

    9 күн бұрын

    Wahenga wote washakufa.😂😂

  • @Hope_Plus
    @Hope_Plus11 күн бұрын

    Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq11 күн бұрын

    Shafii basi tukukipe utuachie huo msemo maana umeendana na sisi aki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim279411 күн бұрын

    Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo

  • @dumabagame3901
    @dumabagame390111 күн бұрын

    Sasa hajawahi kuwa mshkaji wako unamtaniaje

  • @happynkya9770

    @happynkya9770

    9 күн бұрын

    Ajabu anajikanyaga kanyaga tu

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n11 күн бұрын

    Huo ni utoto mnao fanya fanyeni kazi mtufuraishe bhan

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654111 күн бұрын

    Huyo dogo mkorofi sana msemo ndio urushe ngumi mpumbavu Huyo dogo

  • @volkenge

    @volkenge

    11 күн бұрын

    Sasa matusi ya nini ndugu me mwenyew shabiki wa steve lakin kwenye ukweli ubaki ukweli steve pale ndio alioanza alitafuta kupigwa mwenyew

  • @volkenge

    @volkenge

    11 күн бұрын

    Au naongopa

  • @SemeniOjoni

    @SemeniOjoni

    11 күн бұрын

    Ngumi zakimama

  • @KurubhoneJonas-hq4dv
    @KurubhoneJonas-hq4dv6 күн бұрын

    Mtangaji uyo dogo umemuuliza swali zuri sana

  • @paulhema5713
    @paulhema571311 күн бұрын

    Mna hoji upande mmoja ...achen izo bhn muhojin na Steve ...ila Steve ndo kila kit....dog anaonekana mkorof sana

  • @AfidhiRajabu-q2f
    @AfidhiRajabu-q2f8 күн бұрын

    Why haukuwa wa kwanza kutumia acha kujichetua una vitu vingi wap????

  • @madahaisack1268
    @madahaisack126811 күн бұрын

    Aliya ameulizaa swali nzuri sanaa

  • @PaulinaOctavian
    @PaulinaOctavian9 күн бұрын

    Steve sio level yako shafii acha ushamba

  • @user-pi2ih6qr3n
    @user-pi2ih6qr3n9 күн бұрын

    Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi? #learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys

  • @MamlakaAdalbert
    @MamlakaAdalbert11 күн бұрын

    Huyo jamaa mkorofi maanaa anachoongea akina matiki

  • @LuciaMsabila
    @LuciaMsabila11 күн бұрын

    Shafii muongo jmn mwizi sana huyo

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt11 күн бұрын

    Nyie ni kioo cha jamii yaani mnajiaibisha. Alafu kama ungeweza kumuachia kwa nini hukumuachia ili msijiaibishe

  • @stamiliayubu2294
    @stamiliayubu229411 күн бұрын

    Shafii unazingua sana bana

  • @user-bu8nv5gf8d
    @user-bu8nv5gf8d11 күн бұрын

    The last lady is smart. Anaitwa?

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina11 күн бұрын

    Uwo msemo niwa Steven mweusi

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l6 күн бұрын

    Kwani uyo shafii pia msanii na km msanii wanini wakuogelea au wakula sana mimi sijawai kumueelewa uyo jamaa😂😂

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba99811 күн бұрын

    Huyo shafii mjinga sana,kwani we ndiyo wa kwanza kuanzisha misimo,pumbafu sana ww

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi494311 күн бұрын

    Acheni utoto harafu ata hamjatrendi acheni ushamba nyau nyie 😅😅😅😅

  • @mwanaidimatanoabdarahman9135
    @mwanaidimatanoabdarahman913511 күн бұрын

    Uyo safii ikekua museum ni wake zi age-related mwapie ahaje ujinga sana kama umekauka nenda ukalale 2

  • @user-dq4ur9kk6h
    @user-dq4ur9kk6h11 күн бұрын

    Ila watu bana Yaani mwenye msemo ni Mimi nyie mnautafutia ugali 😂😂ngoja nimcheck mwanasheria wangu 😏

  • @Stevemweusioggy
    @Stevemweusioggy10 күн бұрын

    SHAFF KIUKWELI KAFELI TU ATAFUTE MENGINE IRA KWA HUU MSEMO STEVE MWEUSI NDO KAUWEKA MJINI NA SISINTUMEJUA KUPTIA STEVE PIA UMETAMBA KUPTIA STEVE 😂😂😂😂

  • @OmarMwer
    @OmarMwer6 күн бұрын

    Sisi twajuwa Steve aaaah

  • @fadhilimasud-mb9nk
    @fadhilimasud-mb9nk11 күн бұрын

    jamani shafii anaakili

  • @dianerditto
    @dianerditto11 күн бұрын

    Em tutokee huko bwana useme wewe kitu nani akishobokee umebeba mashavu na ulimbukeni tu kwendwaa

  • @DjJackAfricanboy
    @DjJackAfricanboy11 күн бұрын

    Kanasema uongo tyu unwell aaaahh

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu11 күн бұрын

    We ule msemo sio wako Sema umekaa kikikee

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani11 күн бұрын

    Msemo wa wadada wakuvaa visocks na vibagi vya micky mouse ndo mnapigana wacheni ujinga

  • @hollyboyMW254
    @hollyboyMW25410 күн бұрын

    Shafii ni mpumbavuu 😄😄wizi tuu kuoga aaah

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano33311 күн бұрын

    We dogo huna akili unatafuta kiki

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba605611 күн бұрын

    Afu uyo dogo ata huwa simuelewi et

  • @malimathegreattv9251
    @malimathegreattv925111 күн бұрын

    Shafii acha kujibebisha Tutakukataa wote kwa uongo wako Msemo ni wastev

  • @AshaRajabu-h7h
    @AshaRajabu-h7h6 күн бұрын

    U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi223211 күн бұрын

    Msemo lazina urasimishwe... Acheni ushamba fanyeni kazi mazeee watu wapate burudani

  • @JoyceMartin-ex6zw
    @JoyceMartin-ex6zw9 күн бұрын

    Wew NI mwiz shafii hatakama ujiteteeje Mim binafsi swez kukuelew

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx10 күн бұрын

    Hata hapo huna la kusema

  • @oscargolden7932
    @oscargolden793210 күн бұрын

    We dogo unafeli tafuta kazi nyingne ya kufanya...we una jelous sn huwez toboa kwa staili hizo..steve kakuzidi mbali san

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack983611 күн бұрын

    Mambo yakijinga kabisa mpigane kisa Msemo tu

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo881110 күн бұрын

    Hawa ndio maana watu wanasema wanapumuliwa usogoni kwa vitu kama ivi vya kupuuzi aisee ndio nn sasa eti

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p11 күн бұрын

    Wewe shafi huna chochote kojoa ulale😂😂😂😂ujinga 2 muone bithwaaaaaaa kuliosha aaaaaaaah😂😂😂

  • @happynkya9770
    @happynkya97709 күн бұрын

    Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l6 күн бұрын

    Stive atqbaki kua stive tafuta msemo mwengine sisi twajua uwo ni wastive kwende media2 umbea aaa shafii acha longo longo umbea2 kuimba aaaa😂😂

  • @adamsengo1869
    @adamsengo186911 күн бұрын

    Kusema kweli tangu stive amzungumzie ndio nimelijua jina la shafii

  • @AlbetinaIddi
    @AlbetinaIddi11 күн бұрын

    Wewe hacha

  • @Cutterose
    @Cutterose10 күн бұрын

    Wewe hauna haukuufikisha huo msemo kama Steve kulalamika tu kujituma aaaah

  • @Cutterose
    @Cutterose10 күн бұрын

    Shafi Anazengua kwasababu huo msemo alimtania Steve ila yeye hakumuambia official kuwa ni msemo wake wa kazi Unazengua shafi kaonge ukoooo fala wewe

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa882811 күн бұрын

    Mm nyimbo ya Ray Van ya nitatokaje nilijua wa stan bakora mana alitowa adi vdeo😂

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain1726 күн бұрын

    Wapi haooo wabongo wanazingua

  • @user-gx1mn7ub5y
    @user-gx1mn7ub5y11 күн бұрын

    Hana HAKILI huyo msenge

  • @user-samweli
    @user-samweli11 күн бұрын

    Shafii ni msenge tu alafu hapo hawakupigana

  • @blankoboy898
    @blankoboy89810 күн бұрын

    Shafii unajiharibiya

  • @Forester__
    @Forester__11 күн бұрын

    Bas na ule wimbo wa Steve uliotrend ni wako?

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit9 күн бұрын

    Muongo ata auja fika makama ulisha shindwa

  • @biggiee1
    @biggiee111 күн бұрын

    Sasa huyu nae sio mzima sasa atakama yeye ndo alimwambia mwenzake akaona unaweza tumika kama msemo na yeye hakutaka kuutumia sasa analalamika nini.

  • @SabrinaSwalehy
    @SabrinaSwalehy10 күн бұрын

    Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx10 күн бұрын

    Haya chukuwa ww huo msemo lkn haufanani nao mishavu kama mtoto wa pka KENYA SISI TWAMJUA TU STV NDARO ,VEVO NA RINGO NA WENGINE

  • @ommimg2467
    @ommimg246711 күн бұрын

    Kwanza nilikuwa simjui lakin nimemuona Hana akili halafu hichi kitoto cha elfumbili bado hakijakuwa kifundishwe maisha haka

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28969 күн бұрын

    Dada acha choyo misemo ilianzishwa mingi tu na waswahili wala hawapigani acha utoto

  • @isackmbade3181
    @isackmbade318111 күн бұрын

    Bora Aliya umerud mjengoni

  • @RibinByamungu
    @RibinByamungu11 күн бұрын

    Musemo Niwa Steve mweusi.

  • @DeborahBrown-ts2hb
    @DeborahBrown-ts2hb10 күн бұрын

    Uwong tu kusema ukweli aaah

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich895811 күн бұрын

    This people needs to be greated by gen Z

  • @AlbaSnepa-lr4bp
    @AlbaSnepa-lr4bp11 күн бұрын

    😅

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko100210 күн бұрын

    Uyu msenge mm huwa hata simjui ila Steve mweusi ni anamzidi kila kitu 😂😂😂 Steve na uyo bwege anasema Steve hana ubunifu wakati kaajili watu kibao😅

  • @Mariam-k2e
    @Mariam-k2e10 күн бұрын

    hata hueleweki mskn tafuta wakwko 2😂😂😅

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit9 күн бұрын

    Matako yako wa mushamba Mimi Niko Zambia niko ndugu na Steve

  • @user-sx3ys1gs9p
    @user-sx3ys1gs9p11 күн бұрын

    Huyu yeye akachanechane madftari tu

  • @IshaOmary-ln7ti
    @IshaOmary-ln7ti8 күн бұрын

    Aaaanh ni msemo wa stevee😅😅

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx10 күн бұрын

    Msemo haufanani nao yule stev n mwamba buza buza Bambucha mishavu waumia kuwa Stv n mtu mhmu Kwa watu ww huna watu kwenda

  • @AbelNguluchaMasuke-oj7zy
    @AbelNguluchaMasuke-oj7zy11 күн бұрын

    Shafii wewe ni brand kubwa acha ujinga maneno mmezaliwa mkayakuta

  • @NepporSabith
    @NepporSabith11 күн бұрын

    Huyu jamaa aliona wivu ndani yake but sioni sababu yamsingi anaizungumzia au kutetea hoja yake.

  • @user-lo6gd4tg2n
    @user-lo6gd4tg2n10 күн бұрын

    Mi naona mnajiaibisha tu, mtu sio mwanao then unasema ulimtania

  • @CrissDaudi
    @CrissDaudi11 күн бұрын

    Zero kaka

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King11 күн бұрын

    Huyu jamaa ni nani? Mi namjua steve mweusi

  • @user-lp6pc9dk9o
    @user-lp6pc9dk9o11 күн бұрын

    Mahojiano yanaonyesha wazi jamaa kavamia mwenzie kuhusu msimo. Mara nilipo mwambia tu ghafla nikakuta kesho karuka nao, tena sikuwai kuona kama karuka Noa maana mimi si mtu wa KZread. Mara mimi naye si wana lakini Nika mtania tu. nilitaka nione nguvu yamsemo. Binafsi anavyo jibu maswali sipati majibu. Ndugu huyo ajitathmini kwanza

  • @SWEMS2
    @SWEMS211 күн бұрын

    Wasafi media chunguzeni zaidi utakuja kuona shaffi yuko na akili ya kitoto..... By swems

  • @nasramohd9924
    @nasramohd992411 күн бұрын

    Anatakiwa achukuliwe sheria huyo dogo kw kujichukukia sheria mikononi steva kesha fany kazi nyingi kali mpaka china marekn wanamjuwa huyu mim natk ashtkiwe sio mtu mzyr

  • @FredrickNjau-s8r
    @FredrickNjau-s8r11 күн бұрын

    Huo niushamba shafi

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje11 күн бұрын

    Huyu anaznguaga

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani11 күн бұрын

    Wacheni ufuckin msemo msemo msemo gani huuo

  • @CharlesAllan-k3v
    @CharlesAllan-k3v10 күн бұрын

    Shaff acha usenge izo kiki

Келесі