"DIAMOND HAKUNIPA KAZI KWA KUNIHURUMIA, ALIAMINI UWEZO WANGU" - ZUNGU AELEZA MBELE YA MAKONDA

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 58

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba242519 күн бұрын

    Zungu na Charles William pale wasafi ni wataalam sana wa mambo ya kisiasa wanajuwa kuchambua siasa na kuhoji wanasiasa kwa ufanisi mkubwa mno🎉🎉

  • @saidsemainda1005
    @saidsemainda100519 күн бұрын

    Mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    19 күн бұрын

    Sahihi siyo wa mkoa ni wadunia nzima

  • @frankngoloka5416

    @frankngoloka5416

    19 күн бұрын

    ​@@Peterchila-un2lxYuko vzr kwa kweli ktk uwongozi,Sema mafisadi hawampendi

  • @ConfusedClipperButterfly-rk1gz
    @ConfusedClipperButterfly-rk1gz19 күн бұрын

    Nakupenda sn makonda kwa. Utendaji wako

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi277019 күн бұрын

    Mashaallah zungu ❤❤❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe19 күн бұрын

    Zungu ni bonge la presenter 🎉🎉🎉🎉

  • @doctormkulima9474
    @doctormkulima947419 күн бұрын

    Makonda anafaa kuwa rais ajeye mwaka fulan ujao

  • @user-fh3yb4fk8j
    @user-fh3yb4fk8j19 күн бұрын

    Makonda yani wewe ni magufuli mtupu chapa kazi baba

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu19 күн бұрын

    Huyu ndie mkuu wa mkoan wa Tanzania nzima

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    19 күн бұрын

    Sahihi ndugu siyo tanzaniatu ni rc wa dunia

  • @MohamediKalanje

    @MohamediKalanje

    19 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @HusseinAmiri-pp8dy

    @HusseinAmiri-pp8dy

    19 күн бұрын

    4sure ndugu

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya521319 күн бұрын

    MUNGU akuinue juu juu juu,kadri impendezavyo YEYE

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul56019 күн бұрын

    Inafurahisha sana

  • @johariyahaya8794
    @johariyahaya879419 күн бұрын

    makonda jembe sana mungu akuweke mno

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia794019 күн бұрын

    My leader makonda 💪💪💪

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu19 күн бұрын

    Lik za kutosha wakwanza Leo

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169419 күн бұрын

    Zungu hongera sana

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169419 күн бұрын

    Diamond mtu kazi nakuaminia sana

  • @abdillahrashidnassor7973
    @abdillahrashidnassor797319 күн бұрын

    Makonda anampenda sana zungu. Siku moja Makonda akiwa mkubwa zaidi zungu atakula shavu

  • @hajiramadhan6970

    @hajiramadhan6970

    19 күн бұрын

    Kweli umeona mbali kama mimi kaka

  • @saadabakar7750
    @saadabakar775019 күн бұрын

    Zungu umenenepa kaka 😂

  • @shamzone388
    @shamzone38819 күн бұрын

    Kweli huku gulf wapo madoctor na engineer ni maalbino… kweli nchi zetu za afrika ndio wanawabagua

  • @elidifridajingu3153
    @elidifridajingu315318 күн бұрын

    Safi sana. Kwa nn watanzania tusimchague makonda kuwa raisi??? Wewe ni raisi ajaye

  • @marymanoni5536
    @marymanoni553616 күн бұрын

    Zungu makonda kakupenda mimi nakwambia wewe unatoka ww umeshatoka utakuwa mtu mkubwa sn kwanza bwana mdogo elimi unayo amini.

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaula19 күн бұрын

    Asante makonda

  • @amoootradertz2350
    @amoootradertz235019 күн бұрын

    makonda awe Rais

  • @Bumutz-po2df

    @Bumutz-po2df

    19 күн бұрын

    Unaonaje uwe raisi wewe 😅😢😅

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    19 күн бұрын

    Acha wivu​@@Bumutz-po2df

  • @Butondo
    @Butondo19 күн бұрын

    Safi sana Makonda.

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s19 күн бұрын

    Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani nakuomba Ikikupendeza inshallah usimuache Mueshimiwa makonda Kwakazi nzuri anayo fanya Alha akuongoze salama mueshimiwa

  • @kisinza6077
    @kisinza607715 күн бұрын

    Absolutely for you ZUNGU, are you very strong and Genius brother! 🎉🎉🎉

  • @JohaivenMzee-vo1dl
    @JohaivenMzee-vo1dl15 күн бұрын

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mkuu wa mkoa nakuelewa sana.

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169419 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa Arusha piga kazi

  • @mohamedathman3310
    @mohamedathman331017 күн бұрын

    Huyu jamaa mkimuamini kwa uraisi mtafika mbali sana Tz ❤from🇰🇪

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya650319 күн бұрын

    Kweliii kaka

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga52714 күн бұрын

    Mungu akutunze baba. Nikija Arusha siku moja Mungu aniwezeshe nikuone na nipate kibali cha kukuona

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard582119 күн бұрын

    ❤❤ Makonda

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica436819 күн бұрын

    Magufuri

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vq19 күн бұрын

    Da🎉

  • @stevengeorge4661
    @stevengeorge466119 күн бұрын

    Mwamba kabisa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica436819 күн бұрын

    Makonda ni mtu na nusu

  • @DewingeJuma-k3h
    @DewingeJuma-k3h14 күн бұрын

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @jabirihanthu
    @jabirihanthu19 күн бұрын

    Tumpe uraisi

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm18 күн бұрын

    Bgp. Diamond platnumz na makonda

  • @MartinSilungwe-ws2se
    @MartinSilungwe-ws2se16 күн бұрын

    Namupenda makonda❤

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen729919 күн бұрын

    Makonda ni bonge la Kiongozi,kwani ni mbunifu sana.

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten956016 күн бұрын

    Brother mimi nakupenda Sana maconda

  • @shabanirojo
    @shabanirojo16 күн бұрын

    Namkubali sana kiongozi wa kweli kwa nini mama asituludishie dar es salaam

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian19 күн бұрын

    Tesi kugombe uraisi ili ujue sisi tuna akri timamu au uwone kivumbi cha wana ichi

  • @shukranitv2971
    @shukranitv297119 күн бұрын

    Makonda awe president tu tz

  • @stanslauskiwal7441
    @stanslauskiwal744114 күн бұрын

    makonda hiyo nafasi aliyo nayo samia ni ya kwako 2030

  • @nassolongonyaningonyani8984
    @nassolongonyaningonyani898417 күн бұрын

    Daa Yan makonda pamoja na mapungufu ya kibinadam ni mchapakaz sana Yan daa

  • @deniskagwe571
    @deniskagwe5719 күн бұрын

    Duuh nataman makonda aje kwetu kigoma afanye kazi hata Kwa miez sita tu ili atusafishie ujinga na uchafu ulioko huku

  • @SufianFrench
    @SufianFrench13 күн бұрын

    Piga Kaz kk wananchi tunakuona ata ukigombea urahic ni haki yako

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten956016 күн бұрын

    Huo albino anakili sana sana Tena

Келесі