𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.#wasafi #wasafitv #wasafifm
Zungu na Charles William pale wasafi ni wataalam sana wa mambo ya kisiasa wanajuwa kuchambua siasa na kuhoji wanasiasa kwa ufanisi mkubwa mno🎉🎉
Mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
Sahihi siyo wa mkoa ni wadunia nzima
@@Peterchila-un2lxYuko vzr kwa kweli ktk uwongozi,Sema mafisadi hawampendi
Nakupenda sn makonda kwa. Utendaji wako
Mashaallah zungu ❤❤❤
Zungu ni bonge la presenter 🎉🎉🎉🎉
Makonda anafaa kuwa rais ajeye mwaka fulan ujao
Makonda yani wewe ni magufuli mtupu chapa kazi baba
Huyu ndie mkuu wa mkoan wa Tanzania nzima
Sahihi ndugu siyo tanzaniatu ni rc wa dunia
😂😂😂😂
4sure ndugu
MUNGU akuinue juu juu juu,kadri impendezavyo YEYE
Inafurahisha sana
makonda jembe sana mungu akuweke mno
My leader makonda 💪💪💪
Lik za kutosha wakwanza Leo
Zungu hongera sana
Diamond mtu kazi nakuaminia sana
Makonda anampenda sana zungu. Siku moja Makonda akiwa mkubwa zaidi zungu atakula shavu
Kweli umeona mbali kama mimi kaka
Zungu umenenepa kaka 😂
Kweli huku gulf wapo madoctor na engineer ni maalbino… kweli nchi zetu za afrika ndio wanawabagua
Safi sana. Kwa nn watanzania tusimchague makonda kuwa raisi??? Wewe ni raisi ajaye
Zungu makonda kakupenda mimi nakwambia wewe unatoka ww umeshatoka utakuwa mtu mkubwa sn kwanza bwana mdogo elimi unayo amini.
Asante makonda
makonda awe Rais
Unaonaje uwe raisi wewe 😅😢😅
Acha wivu@@Bumutz-po2df
Safi sana Makonda.
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani nakuomba Ikikupendeza inshallah usimuache Mueshimiwa makonda Kwakazi nzuri anayo fanya Alha akuongoze salama mueshimiwa
Absolutely for you ZUNGU, are you very strong and Genius brother! 🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mkuu wa mkoa nakuelewa sana.
Mkuu wa mkoa Arusha piga kazi
Huyu jamaa mkimuamini kwa uraisi mtafika mbali sana Tz ❤from🇰🇪
Kweliii kaka
Mungu akutunze baba. Nikija Arusha siku moja Mungu aniwezeshe nikuone na nipate kibali cha kukuona
❤❤ Makonda
Magufuri
Da🎉
Mwamba kabisa
Makonda ni mtu na nusu
🎉🎉🎉❤❤❤
Tumpe uraisi
Bgp. Diamond platnumz na makonda
Namupenda makonda❤
Makonda ni bonge la Kiongozi,kwani ni mbunifu sana.
Brother mimi nakupenda Sana maconda
Namkubali sana kiongozi wa kweli kwa nini mama asituludishie dar es salaam
Tesi kugombe uraisi ili ujue sisi tuna akri timamu au uwone kivumbi cha wana ichi
Makonda awe president tu tz
makonda hiyo nafasi aliyo nayo samia ni ya kwako 2030
Daa Yan makonda pamoja na mapungufu ya kibinadam ni mchapakaz sana Yan daa
Duuh nataman makonda aje kwetu kigoma afanye kazi hata Kwa miez sita tu ili atusafishie ujinga na uchafu ulioko huku
Piga Kaz kk wananchi tunakuona ata ukigombea urahic ni haki yako
Huo albino anakili sana sana Tena
Пікірлер: 58
Zungu na Charles William pale wasafi ni wataalam sana wa mambo ya kisiasa wanajuwa kuchambua siasa na kuhoji wanasiasa kwa ufanisi mkubwa mno🎉🎉
Mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
@Peterchila-un2lx
19 күн бұрын
Sahihi siyo wa mkoa ni wadunia nzima
@frankngoloka5416
19 күн бұрын
@@Peterchila-un2lxYuko vzr kwa kweli ktk uwongozi,Sema mafisadi hawampendi
Nakupenda sn makonda kwa. Utendaji wako
Mashaallah zungu ❤❤❤
Zungu ni bonge la presenter 🎉🎉🎉🎉
Makonda anafaa kuwa rais ajeye mwaka fulan ujao
Makonda yani wewe ni magufuli mtupu chapa kazi baba
Huyu ndie mkuu wa mkoan wa Tanzania nzima
@Peterchila-un2lx
19 күн бұрын
Sahihi ndugu siyo tanzaniatu ni rc wa dunia
@MohamediKalanje
19 күн бұрын
😂😂😂😂
@HusseinAmiri-pp8dy
19 күн бұрын
4sure ndugu
MUNGU akuinue juu juu juu,kadri impendezavyo YEYE
Inafurahisha sana
makonda jembe sana mungu akuweke mno
My leader makonda 💪💪💪
Lik za kutosha wakwanza Leo
Zungu hongera sana
Diamond mtu kazi nakuaminia sana
Makonda anampenda sana zungu. Siku moja Makonda akiwa mkubwa zaidi zungu atakula shavu
@hajiramadhan6970
19 күн бұрын
Kweli umeona mbali kama mimi kaka
Zungu umenenepa kaka 😂
Kweli huku gulf wapo madoctor na engineer ni maalbino… kweli nchi zetu za afrika ndio wanawabagua
Safi sana. Kwa nn watanzania tusimchague makonda kuwa raisi??? Wewe ni raisi ajaye
Zungu makonda kakupenda mimi nakwambia wewe unatoka ww umeshatoka utakuwa mtu mkubwa sn kwanza bwana mdogo elimi unayo amini.
Asante makonda
makonda awe Rais
@Bumutz-po2df
19 күн бұрын
Unaonaje uwe raisi wewe 😅😢😅
@florencemeza6540
19 күн бұрын
Acha wivu@@Bumutz-po2df
Safi sana Makonda.
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani nakuomba Ikikupendeza inshallah usimuache Mueshimiwa makonda Kwakazi nzuri anayo fanya Alha akuongoze salama mueshimiwa
Absolutely for you ZUNGU, are you very strong and Genius brother! 🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mkuu wa mkoa nakuelewa sana.
Mkuu wa mkoa Arusha piga kazi
Huyu jamaa mkimuamini kwa uraisi mtafika mbali sana Tz ❤from🇰🇪
Kweliii kaka
Mungu akutunze baba. Nikija Arusha siku moja Mungu aniwezeshe nikuone na nipate kibali cha kukuona
❤❤ Makonda
Magufuri
Da🎉
Mwamba kabisa
Makonda ni mtu na nusu
🎉🎉🎉❤❤❤
Tumpe uraisi
Bgp. Diamond platnumz na makonda
Namupenda makonda❤
Makonda ni bonge la Kiongozi,kwani ni mbunifu sana.
Brother mimi nakupenda Sana maconda
Namkubali sana kiongozi wa kweli kwa nini mama asituludishie dar es salaam
Tesi kugombe uraisi ili ujue sisi tuna akri timamu au uwone kivumbi cha wana ichi
Makonda awe president tu tz
makonda hiyo nafasi aliyo nayo samia ni ya kwako 2030
Daa Yan makonda pamoja na mapungufu ya kibinadam ni mchapakaz sana Yan daa
Duuh nataman makonda aje kwetu kigoma afanye kazi hata Kwa miez sita tu ili atusafishie ujinga na uchafu ulioko huku
Piga Kaz kk wananchi tunakuona ata ukigombea urahic ni haki yako
Huo albino anakili sana sana Tena