HAJIRA KIDOTI AMLIPUA STEVE MWEUSI, HATAKI KUOA, HANA MKE WALA MCHUMBA
Жүктеу.....
Пікірлер: 133
@Ramadhan61156 ай бұрын
Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
@VitalBalemba
6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
@ZaharaniAlmahadi
6 ай бұрын
Semeni ukweli
@Ramadhan6115
6 ай бұрын
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
@mohamedsheealom8745
6 ай бұрын
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
@user-oj8ml6bw8y6 ай бұрын
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
@alfredkasololo52426 ай бұрын
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
@aflahabdula40846 ай бұрын
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
@KiongoziMwandamizi6 ай бұрын
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@user-zt3ug9wv7f
6 ай бұрын
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@user-zt3ug9wv7f
6 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
@chantalharakandi25766 ай бұрын
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
@BenemuluBillyado-ji4ze6 ай бұрын
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
@christaoman8890
6 ай бұрын
Yupo anaendelea na Steve
@ChenchiKing6 ай бұрын
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
@Mpe123396 ай бұрын
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
@zulachama10676 ай бұрын
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
@ZulfaJuma-qi9kv
6 ай бұрын
Y😂😢😮😮😅😅😅
@shukranikasereka7166 ай бұрын
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
@silassimwamusa41716 ай бұрын
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
@PaskaliCharles-pz8ds6 ай бұрын
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
@BonithNimpagaritse6 ай бұрын
Nakupenda bule hajra kidoti❤
@lordenoughforme44176 ай бұрын
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
@dubabaxakatv2993
6 ай бұрын
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
@RuhuneKabose2 ай бұрын
Atra Unajuwa Valasana Dada Tenaukomuzurisan❤❤
@kevinkioo2546 ай бұрын
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
@rodgersmwagu2396 ай бұрын
Uyu dad nampendaga laaans
@user-mt6fb7tq1q6 ай бұрын
Wewe uolewe naye ❤❤
@user-uz9px6cr7m6 ай бұрын
I love you kidot juu ameongea true
@NzabiFaustingabo12hb6 ай бұрын
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@yusuphchankwa47596 ай бұрын
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
@fatumakidoa40066 ай бұрын
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
@Wigoz_puppy6 ай бұрын
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@OVMTV17736 ай бұрын
Nitamkujia😊❤❤❤
@lawmaina786 ай бұрын
Huyu mwanamke huwa nampenda sana.
@silaspete6 ай бұрын
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
@kudoson_tz6 ай бұрын
Dada kasem kweli
@hafidhali43366 ай бұрын
Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo
@YunusBakar-lf3bi6 ай бұрын
Nakupend san ❤ ww hajra❤
@benedictinelusambo0696 ай бұрын
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
@KALULUALLI6 ай бұрын
HAJRA MWAAA VERY NICE
@EvansNeavy-xv3tv6 ай бұрын
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
@fatmamusa2757
6 ай бұрын
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
@faidhacute6 ай бұрын
Reina ❤❤❤
@mancargo_996 ай бұрын
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
@jamalibaruti71266 ай бұрын
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
@jameskenny18086 ай бұрын
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
@Njunwa-DK6 ай бұрын
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
@AmooTena6 ай бұрын
Kweli kabisa
@mohammedkidody56186 ай бұрын
Nakupenda cn hajra❤❤❤
@user-ch2it3qt5z6 ай бұрын
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
@JamesKhisa-yl2br6 ай бұрын
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
@AdrienMathayoadrison3 ай бұрын
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
@elikanaernesti84406 ай бұрын
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
@user-ff4zm3hk7b6 ай бұрын
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
@congratulationmayunga38336 ай бұрын
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
@SamMalaxy-gf2xn
6 ай бұрын
Yes
@JosephuPatrick943 ай бұрын
Yuko good sana❤
@kdpretoria7806 ай бұрын
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
@kassimukipingu79176 ай бұрын
Wewe ndio weefy acha kujificha
@khamisali59786 ай бұрын
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
@user-qf9uj2oc1b6 ай бұрын
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
@abdulhajiahmed87356 ай бұрын
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
@ramadhanabdul22975 ай бұрын
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
@salamsabdullah-st9pt5 ай бұрын
Wow Dada mzuri huyu
@benedictinelusambo0696 ай бұрын
Kapendeza kweli yan
@DamarisKerubo-cm5df6 ай бұрын
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌
@manibahodaniel8405
5 ай бұрын
Wewe nani?
@haruniaisha59056 ай бұрын
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
@user-iv1ry9bo3x6 ай бұрын
Dada kazi poa
@RobertChacha-hb9re6 ай бұрын
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
@user-jv5dq2zf2o6 ай бұрын
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
@alfredkasololo52426 ай бұрын
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
@lilchampion19606 ай бұрын
❤
@KayagoAziza6 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-ps5jv4jk1c6 ай бұрын
Hajra kapendeza jmn
@festobabely74446 ай бұрын
Hongereni
@JosiasFidele-dz8fg6 ай бұрын
Namu penda hajira ❤
@user-ev6bq9gf1f6 ай бұрын
Alafu kizuri bala
@user-ni4hv1bq1z6 ай бұрын
Ft
@HarrisonKatana-yv7eeАй бұрын
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
@rodgersmwagu2396 ай бұрын
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
Mhhh unamjua
@ZulfaJuma-qi9kv
6 ай бұрын
Set timer
@michaelkitundu14894 ай бұрын
Naomba connection mrembo huyo.
@kladahmad33336 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤❤
@caissemalatinho2526 ай бұрын
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
@hamisisalim6 ай бұрын
Kidoti MashaAllah uko vizuri
@Liliana-mc2su6 ай бұрын
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
True
@RizikiZiki6 ай бұрын
Nice
@zohrazohra10516 ай бұрын
Mashallah
@ashabady96166 ай бұрын
😂😂😂😂Hahaha
@JosephOsanya-ik7bk5 ай бұрын
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
@user-sd8sq5zc7c6 ай бұрын
Stive sakapesa
@MELOPHILEBOY-oj8uy5 ай бұрын
Steve owa
@NzaiShux6 ай бұрын
Nikikupata ww
@bobboris48596 ай бұрын
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia
@user-hk2si3nf8q5 ай бұрын
Pao
@user-zmusansomi6 ай бұрын
Mmmh
@Mr-VOCHAchannel6 ай бұрын
Anahekima sana huyo dada
@noelbryson78406 ай бұрын
Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅
@DanielMasiko-oz8mf19 күн бұрын
Nataka nikuoe
@KIDAWAFILIM6 ай бұрын
❤❤
@user-zk8qj6xc4l6 ай бұрын
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
@coolbz1336 ай бұрын
Jajra naja
@Hassan-bq8bg5 ай бұрын
Landau jogoo hawiki
@husseinjums54046 ай бұрын
Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo
Пікірлер: 133
Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
@VitalBalemba
6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
@ZaharaniAlmahadi
6 ай бұрын
Semeni ukweli
@Ramadhan6115
6 ай бұрын
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
@mohamedsheealom8745
6 ай бұрын
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@user-zt3ug9wv7f
6 ай бұрын
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@user-zt3ug9wv7f
6 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
@christaoman8890
6 ай бұрын
Yupo anaendelea na Steve
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
@ZulfaJuma-qi9kv
6 ай бұрын
Y😂😢😮😮😅😅😅
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
Nakupenda bule hajra kidoti❤
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
@dubabaxakatv2993
6 ай бұрын
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
Atra Unajuwa Valasana Dada Tenaukomuzurisan❤❤
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
Uyu dad nampendaga laaans
Wewe uolewe naye ❤❤
I love you kidot juu ameongea true
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Nitamkujia😊❤❤❤
Huyu mwanamke huwa nampenda sana.
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
Dada kasem kweli
Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo
Nakupend san ❤ ww hajra❤
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
HAJRA MWAAA VERY NICE
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
@fatmamusa2757
6 ай бұрын
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
@ElishaSolomoni-kc4zk
6 ай бұрын
Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.
Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰
Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
Reina ❤❤❤
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
Kweli kabisa
Nakupenda cn hajra❤❤❤
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
@SamMalaxy-gf2xn
6 ай бұрын
Yes
Yuko good sana❤
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
Wewe ndio weefy acha kujificha
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
Wow Dada mzuri huyu
Kapendeza kweli yan
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
@KiongoziMwandamizi
6 ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌
@manibahodaniel8405
5 ай бұрын
Wewe nani?
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
Dada kazi poa
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
❤
❤❤❤❤
Hajra kapendeza jmn
Hongereni
Namu penda hajira ❤
Alafu kizuri bala
Ft
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
Mhhh unamjua
@ZulfaJuma-qi9kv
6 ай бұрын
Set timer
Naomba connection mrembo huyo.
😂😂😂😂❤❤❤❤
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
Kidoti MashaAllah uko vizuri
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
@DaudAshery-ie2pf
6 ай бұрын
True
Nice
Mashallah
😂😂😂😂Hahaha
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
Stive sakapesa
Steve owa
Nikikupata ww
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia
Pao
Mmmh
Anahekima sana huyo dada
Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅
Nataka nikuoe
❤❤
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
Jajra naja
Landau jogoo hawiki
Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo
ajira mbona mumeto sana dubu tz kapokonya
𝑯𝒂𝒋𝒓𝒂 𝒎𝒓𝒆𝒎𝒃
Kamdomo tu jmn hako daah