ASIMULIA ALIVYOACHA UIMAMU wa MSIKITI na KUWA NABII KANISANI - "Niliamua KUJIUA KULIKO KUWA MKRISTO"

ASIMULIA ALIVYOACHA UIMAMU wa MSIKITI na KUWA NABII KANISANI - "Niliamua KUJIUA KULIKO KUWA MKRISTO"
Isaac Paul Hammoud au Nabii IPM ni Mtumishi wa Mungu ambaye awali alikuwa muumini mwenye itikadi kali ya Dini ya Kiislam lakini sasa ni nabii.
Kwa Mujibu wa Nabii IPM mwenye kanisa lake maeneo ya Mbuyuni, Mbezi-Beach jijini Dar anasema kuwa siyo kwamba kwenye Uislam kuna tatizo, hapana, bali alitii wito wa Mungu.
Anasema kuwa, katika kutii wito huo, alijikuta kwenye nyakati ngumu ikiwemo hatua ya kujaribu kujiua kwani hakuwa rahisi hata kidogo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 787

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @AhmedMwaipopomazinge

    @AhmedMwaipopomazinge

    Жыл бұрын

    CHA KUSHANGAZA HUYU BWANA ANA MHUBIRI YESU MWANA WA MUNGU AU ISSA BIN MARYAM AISYE NA BABA?? MAHUBIRI YAKE HAYANA MSIMAMO....MARA KUTOKA KORAN MARA BIBLIA/// KULINGANA NA IPM, TUMFWATE MUNGU WA YESU AU MUNGU WA ISA???? Ufunuo 3:15-16 Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: Baridi au moto. Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika! NA HII NDIO SIKU YA KUTAPIKWA!! 👇👇 Matayo 7:22 Siku ile itakapofika wengi wataniambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’ 23 Ndipo nitawaambia wazi, ‘Sikuwafahamu kamwe. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’

  • @fhgggffhg7721

    @fhgggffhg7721

    Жыл бұрын

    ​@@AhmedMwaipopomazinge ayo unayo sema niukweli ila ukumbuke kuwa mungu haku maanisha dini alimaanisha uku ukifanya dhambi nauku ukijifany mcha mungu kubali kuwa moto ama kuw baridi nasidin ndiomaana mwanadam wowote anae jielewa hanapande anayoegemea

  • @AhmedMwaipopomazinge

    @AhmedMwaipopomazinge

    Жыл бұрын

    @@fhgggffhg7721 Pande zote haziwezi kuwa kweli/sawa!! Moja ni kweli na nyingine ni uongo!! Kwa mfano///Mungu wa Biblia anaye Mwana...na Mwana ana baba. Mungu wa koran hazai na hana mwana!! KATI YA HAWA WAWILI...MMOJA NI KWELI NA MWINGINE NI UONGO!! USHAFAHAMU???

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 күн бұрын

    Mungu tusamehe! Wewe Yesu ni una nguvu kubwa Sana. Umemjia huyu Isaak ni mpango wake tu. Hata Nami ni kwa Imani tu mungu ananitendea huyu Yesu mwana wa mungu .ameen.

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 Жыл бұрын

    Innalilah wainna iray'h raajiun

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya39482 күн бұрын

    Hongera sana Umechagua fungu Jema ,Una Bahati sana kuwa Mkristo,Mshukuru sana Mungu.

  • @abuumkota5505

    @abuumkota5505

    23 сағат бұрын

    suubutu kaeni hivo hivo

  • @rehemamlyuka6109
    @rehemamlyuka6109Ай бұрын

    Hakika umechagua fungu jema Mungu si mwislamu wala mkristo Mungu ni WA wote Cha msingi tumtafute yy naye atatupokea ,Naimani Mungu alikiona kipaji chako ,Mungu awe nawe daima Ameni!!!

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 күн бұрын

    mmh arudi huko huko

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Жыл бұрын

    Amen mungu hakuongose am from. Kenya 🇰🇪 following from Kuwait 🇰🇼 nitakuja.siku moja

  • @mangeraalbert7982

    @mangeraalbert7982

    Жыл бұрын

    Yule a kenyan but hii story ya kiongo tu, look from the body and face he lying to himself

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Жыл бұрын

    Mungu akulinde na akupe maisha marefu na afya njema na akupandishe daraja lako la imani🙏

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu,umechagua njia sahihi,kwa waliyokuwa hawajakuelewa wasome surat Alimrani yote ambayo inamzungumzia nabii Issa bin Mariam (Yesu Kristo)

  • @zuwenaalamin8985

    @zuwenaalamin8985

    Жыл бұрын

    Mdanganye🤣🤣🤣

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    Жыл бұрын

    @@zuwenaalamin8985 Kama ni kudanganywa basi alidanganywa na aliyekuwa anamtokea ambaye ni Yesu kwa maelezo yake mwenyewe. Sasa kama Uislam unasema Yesu ni muongo basi atakuwa kadanganywa

  • @fatumakiwera7145

    @fatumakiwera7145

    Жыл бұрын

    @@daudimichael7338 mmmh

  • @benabdoul8762

    @benabdoul8762

    Жыл бұрын

    Ni Issa siyo huyo hakuna nabii katika karne hii

  • @Shalom2018

    @Shalom2018

    Жыл бұрын

    @@daudimichael7338 Tusiandikie mate wakati wino upo,someni surat Alimrani yote kwenye Quran yenu mtaona kila kitu kuhusu huyo Yesu ambae nyie mnamuita Issa,kwa kuwasaidia tu someni surat Alimran aya 21,aya ya 9,aya ya 45 ,na surat ya Zukuruf aya ya tisa 9,hii ndio muhimu kwenu maana mmepewa maagizo mumfuate huyo Yesu Kristo mnaemkataa

  • @Alexthadey-lm3ju
    @Alexthadey-lm3ju Жыл бұрын

    Kwa sisi tunaomjua yesu tunamuelewa sana huyu ndugu yetu katika kristo yesu jina la Bwana libarikiwe sana

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    Жыл бұрын

    Amen

  • @josephinejohn2752

    @josephinejohn2752

    Жыл бұрын

    Usifagilie ujinga wewe uyu kakosa ajila kwanini afundishe dini mbili alafu Kila anacho sema lazima aweke mfano wa dini ya kiisilam uyo mpigaji tu

  • @josephinejohn2752

    @josephinejohn2752

    Жыл бұрын

    Kwanini ajakuwa muumini wa kawaida filauni anachezea dini za watu

  • @josephinejohn2752

    @josephinejohn2752

    Жыл бұрын

    Mtu Kama ana akili atamfatilia na kumfata apo kwenye ukumbi wake AmBAR anauita kanisa

  • @josephinejohn2752

    @josephinejohn2752

    Жыл бұрын

    Kakosa hajila ndio maana kakimbilia uko kwenu kwa walokole

  • @kabulamalima5179
    @kabulamalima5179 Жыл бұрын

    Hata kuapa anaapa kwa kiislam inshaalah basi Mwenyezi Mungu ndo ajuae

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    Жыл бұрын

    Yesu yupo!

  • @user-bu7rq6tk2c
    @user-bu7rq6tk2cКүн бұрын

    Yesu Ni njia ya kweli na uzima

  • @joycekaganga6924
    @joycekaganga692417 күн бұрын

    Yesu ana nguvu na ana namna nyingi za kumuokoa mtu hata uwe mpinzani namna gani siku ikifika utasalimu amri tu ❤🎉 songa mbele usirudi nyuma kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana

  • @chiekhthiam980
    @chiekhthiam980 Жыл бұрын

    Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.❤

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele ameen

  • @adammj6258

    @adammj6258

    Жыл бұрын

    Ndio hivyo mnavyopelekwa pelekwa hadi kuuliwa

  • @chiekhthiam980

    @chiekhthiam980

    Жыл бұрын

    @@adammj6258 Sifa na utukufu kwa Mungu juu mbinguni na amani Duniani kwa watu aliowaridhia, Ee Yesu mfalme wa Dunia tunakuabudu na kukutukuza milele na milele.

  • @adammj6258

    @adammj6258

    Жыл бұрын

    @@chiekhthiam980 YESU mwenyewe alifundisha kuabudu MUNGU, wewe unasema unamuabudu Yesu,,,kuna shida hapo

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    @@adammj6258 hayakuhusu wewe utaishi milele na ninyi kujilipua na kuua watu vipi imekaaje

  • @user-rn2fs5jg6n
    @user-rn2fs5jg6n6 күн бұрын

    Ni njaa hizo, Mwenyezimungu akuongoze katika njia ya haki.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын

    Hongera sana Mungu azidi kukubariki🙏🙏sema baadhi ya waslam sijui wapoje wanaubaguzi wa dini sana mkristo akienda uslam sawa ila mslam akienda ukristo ni tatizo nawachukia sana watu kama ao Mungu ni mmoja shida ipo wapi 😏😏

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    Жыл бұрын

    Nasie tunakuchukia kama unavotuchukia

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    ​@@thabitimkufi7388 tunakuchukia sana

  • @kabulamalima5179

    @kabulamalima5179

    Жыл бұрын

    Hata wewe uko hapa ukimpongeza kwa hiyo ulitakaje?? Tumpongeze?? Hakuna mtu anayependa kuona mtu anahama kutoka dini nyingine kwenda nyingine hata wewe usingependa kuona mtu anatoka ukristo kwenda uislam

  • @kabulamalima5179

    @kabulamalima5179

    Жыл бұрын

    Si unyamaze why blaming???

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    Жыл бұрын

    Hata sisi tunakuchukia bi vivyo hivyo cha ajili ya Allah.

  • @kelvinjohnson8952
    @kelvinjohnson8952 Жыл бұрын

    Kila goti litapigwa mbela zake kila ulimi utakiri jina lake. Nabii akubariki kwao ata wazee wao waliwatenda ivyo manabii Mungu yu pamoja nawe kwa neema ya Yesu kristo fanya kazi uliyopewa.

  • @benignajosephwatendewao2065

    @benignajosephwatendewao2065

    6 ай бұрын

    AMEPATA NEEMA SAANA.

  • @benignajosephwatendewao2065

    @benignajosephwatendewao2065

    6 ай бұрын

    MUNGU AENDELEE KUMBARIKI.JAPO MAGUMU YAPO.

  • @Kiyara0000
    @Kiyara00002 күн бұрын

    Bado nasema utapeli mlionao wa kuwafunga watu akili na kuwadanganya waaallah Allah atawaadhibu vikali Sana inshallah

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 Жыл бұрын

    INNALILAH WAINNA ILAIH RAJIUN

  • @ssaa7495

    @ssaa7495

    Жыл бұрын

    Pyeeeeeeeeeeeeeeeee!!!

  • @zuwenaalamin8985

    @zuwenaalamin8985

    Жыл бұрын

    Hakika huu ni msiba

  • @mimahmimah1595

    @mimahmimah1595

    Жыл бұрын

    ​@@zuwenaalamin8985 tena mkubwa

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    Жыл бұрын

    Mtihani huu 😢

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Жыл бұрын

    Yesu alisema sikuleta amani duniani Bali ncha ya upanga, kwa maana ndugu atamchukia ndugu kwaajili ya jina langu, mtu statengana na wazazi wake kwasababu ya jina langu. So jipe moyo mkuu mtumishi , utayashinda

  • @omaryh.mohamed4480
    @omaryh.mohamed448021 күн бұрын

    Majini washenzi sana, wamemchezea huyu kajaa mzima mzima

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 күн бұрын

    Kabisaaa

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Жыл бұрын

    Amen nabarikiwa sana kwakupitia ushuhuda wako ndugu😢

  • @maimoonabakari1426
    @maimoonabakari1426 Жыл бұрын

    Innalillah wainnailahi rajighuun, Allah akuongoze ktk njia sahihi na sisi pia atuongoze hakuna aliekamilika ispokuwa Allah

  • @SalhaUchebe

    @SalhaUchebe

    3 ай бұрын

    Amiiin

  • @user-ng1po1dh4z

    @user-ng1po1dh4z

    Ай бұрын

    HAKUNA CHA UNABII HAPO, Kilicho mpeleka ni TAMAA TU ZA DUNIA. SADAKA, MAGARI YA KIFAHARI, MAJUMBA YA KIFAHARI. NK. Huyo sasa ndiye KAFIRI KABISAA ANAETAMKWA KTK. BIBLIA

  • @agentmsami5303
    @agentmsami5303 Жыл бұрын

    Allah ubhanahu wataala anasema "Enyi mlioamini mcheni Allah haki ya kumcha na wala msife ispokuwa mmekuwa waislam"

  • @johnssaimon450

    @johnssaimon450

    Жыл бұрын

    Muda utafika utaelewa kwamba YESU kristo ndiye BWANA kwake kila goti litapigwa na ulimi wako utakiri kuwa ndiye BWANA.

  • @elsonkingtz4506

    @elsonkingtz4506

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @GiselaLukas-fu6vx
    @GiselaLukas-fu6vxАй бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na akulinde

  • @OG_The_King
    @OG_The_King Жыл бұрын

    Ni ngumu kuamini ila yakupasa kuamini mungu wetu ni mwema sana huwainua walio wake. Jina la yesu ni jina kweli na uwezi kumuona baba yake bila yeye 🙏

  • @benignajosephwatendewao2065

    @benignajosephwatendewao2065

    6 ай бұрын

    UMEBARIKIWA KAKA...

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    INNALILAH WAINAILAH RAJIUN, ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA 😢

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    Жыл бұрын

    Bora umemwombea.maana mnajifanyaga Mungu kuhukumu

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    Жыл бұрын

    @@tanzcanmediatv4473 Hatuhukumu ila hata yeye uyo anaongea Analijua hilo, kuwa hakifa kama sio mwislam motoni, uyu kasoma dini vizur, sio kama nyie wafuasi mnafata tu mkumbo, ila anajua akifa kwenye ukafir motoni upo, sio sisi maneno yetu, ni maneno ya Allah yaliyopo kwenye Quru'an, Fuatilia mahubir yake nae anakir hilo.

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8dКүн бұрын

    Moja kwa moja mimi ni muumin wako kwani ata mimi sija wai kuuchukia uislam au ukrito kwani naamin mungu ni mmoja,uwislam ni dini moja nzuli sana katika mafundisho kidin lakin ata namna gani uishi katika jamii,tatizo lilipo kwa wenzetu namna wanvyo tuchukulia kumwita mtu kafri sio jambo dogo kifupi yani wakristo wangekua kua na imani kama ya juu ya uwislam basi vita inge kua kubwa kiasi kwamba tunge uwana kila siku nashukuru sana mungu kwani ame tutofautisha yani yani mkristo kukubali mapungufu ya mwislam kwanini nasema ivyo ni laisi mkrsito kubadili din na kua mwislam na familia yake ika endelea kumpenda,kuliko mwislam kua kua mkirsto uyo kamwe famlia yake aita kaa impende nadhani iyo nikutona na imani yao walivyo iamini.upande wangu nawapenda sana waislam ata mafundisho yao . Mimi mpaji naamin Mungu ni mmoja kwani ata vifungu vyao na vyetu avi tofautiani sana tuache udini kwapamoja tumwabudu mungu wetu kila mmoja kwa imani yake

  • @maryamalrayami1513
    @maryamalrayami1513 Жыл бұрын

    Allah akuhidi na akurudishe njia iliyokua sahihi Ulitokewa jini wewe Na hakukuachia mpaka akakupoteza maskini

  • @pinieliedward5992

    @pinieliedward5992

    Жыл бұрын

    No

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    Жыл бұрын

    Je Muhammad kule mapangoni alipo banwa mbavu nakupewa utume mbona mlikubali na hamkusema aliye mtokea alikuwa ni jini na siyo MALAIKA Leo huyu mnasema ni jini?

  • @dvjtwentyfivedecember4398

    @dvjtwentyfivedecember4398

    Жыл бұрын

    Huna akili wewe choko

  • @zuwenaalamin8985

    @zuwenaalamin8985

    Жыл бұрын

    Hakuwa mwislamu huyo katumwa tu huyo

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    @ebenezerchurchsupremetv9490

    Жыл бұрын

    Kwahiyo msikitini Kuna majini?

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Жыл бұрын

    Huu ni wakati wa mavuno watu wengi sana watatokewa Yesu hasa wa Imani nyigine

  • @Pharadge

    @Pharadge

    Жыл бұрын

    yesu wa tongereni au yule wa mackenzie kule kenya

  • @benabdoul8762

    @benabdoul8762

    Жыл бұрын

    Ibilisi ananguvu aca awe anawatokeya eti wametokewa na Yesu

  • @davidmnyela2459
    @davidmnyela2459 Жыл бұрын

    Jina la Bwana ya Yesu litukuzwe maana imeandikwa katika Flp 2:10-11 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • @user-bu7rq6tk2c
    @user-bu7rq6tk2cКүн бұрын

    Ndg,yetu wa kweli Ni yesu kristo

  • @happymushi2219
    @happymushi2219Күн бұрын

    Yesu akutunze Sana

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Жыл бұрын

    Nawaonea Huruma sana wanawake wa kikristo. Yani mnavyopenda kuwahurumia watu huyu atakula hela zenu mpka mkome.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 күн бұрын

    hali za kwangu ovyo sasna

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 Жыл бұрын

    Innalilah wainailaih rajiun

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ouАй бұрын

    Usubiri Moto wa alla Kwa unafiki wako ,hukuwa muislamu tokea mwanzo ulikuwa mkiristo,. ,,kwasababu. Yesu hakuja kufundisha ukiristo,n

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 Жыл бұрын

    Njaaa mbaya wallah, mwenyezi Mungu ndiye mjuzi zaidi, tusiwahukumu sana Hawa makafiri hatuwez juwa njaaa labda imewafika had vichwani mwao lazaid tumuombe sana Allan atuepushe tusiwe miongoni mwao na promo zao za uwongo kuwa walikuwa Waislam Allah awasameh kwa kuongea unafki🙏🙏🙏

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    Жыл бұрын

    Yaani nyinyi bana mtu akitoka Ukiristo kuingia Uislam mnapiga makofi ila mkiona mtu katoka Uislam kuingia Ukristo mnaona nongwa 🙄🙄🙄🤣🤣

  • @nesymichael4286

    @nesymichael4286

    Жыл бұрын

    Mnamwona kafili basi sawa yesu ndo njia pekee ya kwenda mbinguni

  • @rafiaahmad168

    @rafiaahmad168

    Жыл бұрын

    @@georgekimasaofficial1629 Anko elewa Swala kutoka uislam kwenda kweny ukristo ni chaguo lake coz hatujui ni Nini kimempeleka ila tunacho kizungumzia anaongea uwongo Hadith za kutunga na hiii ni wachungaji wenu wengi wanawavuta kwa polojo hiii kuwa oooh nilikuwa imamu sijui nilikuwa sheikh mkubwa okay Tanzania nnchi huru kilamtu Ako na haki ya kuongea atakacho ila kuto kuvuka mipaka ya Sheria ila sijui ni dini Gani Ili kuwavuta watumishi kweny kanisa lake lazima aseme uwongo kama alikuwa muislam inna lillah wainnailai rajoon , okay Hata wew George unahaki ya kufungua kanisa lako na kusema ulizaliwa kweny familia ya masharifu nasisi tukiona unaongea Upuuzi lazima tukwambie hakuna mkamilifu ila uwongo uwe na mipaka broooo

  • @rafiaahmad168

    @rafiaahmad168

    Жыл бұрын

    ​@@nesymichael4286ilo ni wazo lako

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    @ebenezerchurchsupremetv9490

    Жыл бұрын

    Wewe una njaa mbona haujaenda?

  • @josephlorri431
    @josephlorri4312 күн бұрын

    Mapovu yamekuwa mengi kutoka kwa wale watoto wa kijakazi.. huwa hawajiamini,hawataki kuguswa.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa YESU raha sana

  • @user-ng1po1dh4z

    @user-ng1po1dh4z

    Ай бұрын

    Hilo jamaa ni njaa tu na tamaa za Dunia. Na kilicho mtokea ni majini yaliyo Muasi Mwenyezi Mungu. (Wewe kula Bata zako hizo.. Na tusubiri tu mbeleni yajayo) Laanakum,

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Жыл бұрын

    Njaa wabongo itawapeleka pabaya , kitu unasahau kuna dunia nakuna Akhera , 😭😭😒

  • @mathewnemes5469

    @mathewnemes5469

    Жыл бұрын

    Msimlazimishe mtu kuamini unachokiamini ww, huyo ni mtu mzima anayo maamuzi binafsi pia hizi dini tumezikuta ni njia tu ya kumtumikia Mungu isikufanye kinywa chako kuachia maneno ya vitisho au kulazimisha mtu aamini imani yako, baki kwenye kile unachokiamini ww.

  • @omariaman7818

    @omariaman7818

    Жыл бұрын

    ​@@mathewnemes5469mbna sasa akiusifiaga uislam mnamponda? Huyo tumbo limempeleka ila hakki anaijua

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Жыл бұрын

    innalillah wainna ilaihi rajiuni. hakuna muislam aliesoma dini alafu baadae akajakukufuru. Allah akuongoze kwenye njia sahihi.

  • @GloriousRestorationTV

    @GloriousRestorationTV

    Жыл бұрын

    Tena wajinga ndio hawawezi ila wasomi wengi humfuata Yesu...

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Hajasoma dini anajua tu baadhi ya mambo kwenye dini kwasababu kuna siku ashasema sie tuna abudu Mungu na Muhammad nikasema hajasoma dini huyu hmna muislam ata mmoja aliesoma dini aseme tuna abudu Mungu na Muhammad

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    Жыл бұрын

    ​@@inesstibenda2832 hakuna muislam aliesoma dini akailewa anaweza kuingia kwenye ukristo dini isiyo weza kujielezea uyo ni msakatonge na hajawahi kuwa muislam katumia uongo ili awapate kondoo wengi

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    Жыл бұрын

    ​@@GloriousRestorationTV kwenye uislamu hakuna wajinga ila kwenye ukristo ndio wamejaa

  • @martinchansamwinyi2508

    @martinchansamwinyi2508

    Жыл бұрын

    He was not a Christian. Let him not lie there, there's no Nabi after Muhammad s.a.w.... He's just after 💰...

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Allah akuongoze usije ukafa kwenye UKAFIRI, aaamin

  • @user-fm6ev2or7b

    @user-fm6ev2or7b

    Ай бұрын

    Mjinga mmoja wewe..kafiri mwenyewe..unaongozwa na chuki za kidini tu na huna mungu ndani yako ndiomaana umekumbatia dini kuliko mungu unakaa kuwaita watu makafiri.. we unajua maana ya kafiri ?? Mbona nyie watu huwa mnachuki za kijinga sana kwenye imani za watu au mnazani mbingu ni yenu? Acha ujinga rafiki angu mshike sana mungu wako acha kukumbatia dini...dini haitakusaidia chochote sasa we komaa kuwaita watu makafiri na kuchukia imani zao

  • @khadijadiswera6979
    @khadijadiswera6979Ай бұрын

    Asante sana

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 Жыл бұрын

    Umepokea fungu lililojema kwa Yesu kila goti litapigwa na Mungu akubariki.

  • @bonifacewanyonyi3555

    @bonifacewanyonyi3555

    Жыл бұрын

    Amen pro

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 күн бұрын

    Pastor Allan wa mbezi beach, karibu Ulutherini Sasa siju ni mchj wa dini ipi katoliki au Lutheran, dint haimpeleki mtu mbinguni tujue hivyo tu. Barikiwa mtumishi, hayo ndo MAPITO yako.

  • @mfaumeh.rissasi226
    @mfaumeh.rissasi226 Жыл бұрын

    jamaa ni good story teller asee.... ukizubaa unaeza muamini 100%. Kumbe mpigaji tu, huko najua umefata fedha tu ndugu... Omba Allah usije fariki hujarudi kwenye njia ilionyooka. tunakuombea. ni Sheytwan amekuzidi nguvu tu.

  • @agripahvaisa2138
    @agripahvaisa2138 Жыл бұрын

    Subhanallah...Allah atujaalie mwishomwema

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Жыл бұрын

    Ana makosa mengi (1) qur an hairuhusiwi kusomwa bafuni (2) hatuamini kama nabii issa kafa (yesu) (3) uislam hauruhusu mtu kujiua (4) aya alizozisoma zina makosa mengi .wakristo kuweni makini na huyu mtu

  • @Farhan-cp1vx
    @Farhan-cp1vx Жыл бұрын

    Dunia imeisha pole sana ndugu rudi kwenye dini ya haki

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    Жыл бұрын

    😂

  • @omarykitenge8283
    @omarykitenge8283 Жыл бұрын

    Uso wake unaonesha yaliyomtokea ni kweli wala sio story za kubuni kama ilivyo kwa wengine ! Mtazamo wangu: 1. Something strange is going on kwenye maisha ya huyu mwamba, na hayatoishia hapo. Yatamtokea tena na tena na yanaweza kua tofauti na hayo au ya ajabu zaidi kushinda hayo. 2. Probably hayo yaliyomtokea hakuna wa kuweza kuyang'amua kwa sasa si yeye mwenyew wala mashekhe, inaonekana yaliyomtokea yamevuka uelewa wa kawaida wa mwanadamu wa sasa ! 3. After sometime haya mambo yatatoa tafsiri kubwa sana na msishangae hali ya ajabu ikajitokeza ! MaSwali Ya Msingi: 1. Siku yakimtokea kinyume na hayo je, Nani atamuamini tena ???? Waislam au Wasio waislam .... 2. Alama ya Sijda kwenye paji la uso wake inatokana na nini ?? Kama uelewa wako ni mdogo usiguse komenti yangu

  • @abdul-azeezmagram4973

    @abdul-azeezmagram4973

    Жыл бұрын

    Wewe mwenyewe huelewi kitu umeskiza stori tu ambayo mtu yoyote anaweza kuitengeneza km director wa movie😂😂😂

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Acha uongo Mungu akuongoze mapasta wengi Huwa wanajuwa saana mambo ya dini ya uislam ila ubishi tu M.mungu akuongoze

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    Zamani tulikuw hatujui ila now tumejua na tunasema uislamu no tupo na Yesu mpk milele

  • @khadidjasuleiman8006

    @khadidjasuleiman8006

    Жыл бұрын

    ​@@madetetv6576 kwendra zako ukristu no And me

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@khadidjasuleiman8006 haya endelea kuabudu Hilo jiwe la mecca.

  • @khadidjasuleiman8006

    @khadidjasuleiman8006

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 Alhamduli llahi kibla changu 😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 💖💖💖💕💕😊👌

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@khadidjasuleiman8006 du kafiri Mkubwa ww unaabudu jiwe na unashukuru kweli uislamu ni ukafiri

  • @alikomwandoto1258
    @alikomwandoto1258 Жыл бұрын

    Amina 🙏🙏 mtumishi

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Жыл бұрын

    Innailah wainnailahi rajiuun Mbona umekimbilia kufungua kanisa lako

  • @hajinkulunge8493

    @hajinkulunge8493

    Жыл бұрын

    Kwanini usiende makanisa ya wengine na kua muumini wa kawaida

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    Ай бұрын

    Ameongozwa na Mungu

  • @user-tg5ru7cb9b

    @user-tg5ru7cb9b

    2 күн бұрын

    Quran yenyewe wala hajui anachapia tu huyo ana mipango yake

  • @emmanuelyeliamajele-yk8hb
    @emmanuelyeliamajele-yk8hb Жыл бұрын

    Barikiwa🙏🙏

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Жыл бұрын

    Wakina Zumaridi Wakutokewa na mwanga na kuongea nao Tutaona mengi kabla ya Dunia kufika mwisho

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    Жыл бұрын

    kwakweli

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    Ай бұрын

    Nakuombea Mungu ukutane na Yesu maana yupo popote ili usiende jehanam

  • @miishhassn
    @miishhassn Жыл бұрын

    We hujaielewa dini yani inaonekeana kabisa umesoma kote huku umepita bado hujaona haki ilipo imani yako ilikuwa ndogo ndio maana ukaamua kumfuata haiwezekan kabisa allah akurudishe inshaallah

  • @husseinhassani8580
    @husseinhassani8580 Жыл бұрын

    Ndugu yangu nakushauri rudi katika dini yako usipotee achana na mambo mengine

  • @fatumamisinga6211

    @fatumamisinga6211

    Жыл бұрын

    Mtihani

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 күн бұрын

    Arudi huyo hajaokoka asitudanganye

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын

    Mimi nishawai uliza wisilam na ukristu ipi dini ya kweli sikujibiwa na mungu ila kuna ishara nilizo onyeshwa ndiopo nikajua kua mungu nimkuu sana ushara navitendo ndivyo vya mungu

  • @adidjandayisenga8320
    @adidjandayisenga832011 ай бұрын

    Innalillah waina illah rajiun, Allah akuongoze kwenye njia sahihi ila wakina zumarida niwengi wanaweza kutokewa ivo

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Жыл бұрын

    AMECHEZEWA NA SHEITWANI NA AMESHINDWA MITIHANI YA ALLAH, AKAAMUA KUKUFURU KWA HAKIKA AMEKULA HASARA KUUWACHA UISLAM NA KWENDA KWENYE UKAFIRI, NI BORA UNGEKUBALI KUFA KWENYE UISLAM WAKO UNGESALIMIKA, ALLAH AKUREJESHE KWENYE UISLAM.

  • @YusoufMjr

    @YusoufMjr

    Жыл бұрын

    maokoto mchezo😂

  • @miishhassn
    @miishhassn Жыл бұрын

    Duh Yan umeacha haki na kufuata baatwil alaah akurudishe katika haki Inshaallah 😥😥maan ni msiba mkubwa huu omba Mungu sana akionyesha haki

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe Жыл бұрын

    HAKIKA MUNGU NI MUNGU TU, HAKUNA WAKUPINDA MPANGO WAKE AKIAMUA HAKUNA WA KUMPINGA! NENO LAKE NI THABITI NA IMARA TENA NI NGUVU. YESU ALIMTOKEA SAULI AMBAYE NI PAULO KWA NJIA HIYO HIYO AKAMWAMBIA ""SAULI SAULI KWANINI WANITEZA?& (Matendo ya mitume. 9:3.19)

  • @protasdmassawe

    @protasdmassawe

    Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi. Mungu akupiganie pia Akulinde.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Hongera shahidi wa yesu kristo usisikilize miluzi ya hao wanaosema lijabu ni uislam wanakuonea wivu

  • @jacklineswanimakindo1320
    @jacklineswanimakindo1320 Жыл бұрын

    Amen

  • @kyakagoro6584
    @kyakagoro6584 Жыл бұрын

    Anasema anajua uislamu je Uislamu Unaruhusu mtu kujiua Huo ni Uongo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын

    hivi kumbe huyu mchungaji alikuwaga mwislamu...aisee Yesu kweli Anaokoa

  • @christinaisanguisangu2974

    @christinaisanguisangu2974

    Жыл бұрын

    Ni kweli wa kwake anawajua

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 күн бұрын

    hajaokoka huyo anatafuta kupoteza Wakristo anafundisha upotovu tu

  • @kakoziSimbi
    @kakoziSimbi Жыл бұрын

    Ukristo raha mtumushi nakuombeya kwa jina la yesu wa nazareth upo katika njia ya kweli maana Ni Mungu aliyekuita sasa

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 Жыл бұрын

    Huyu ni msanii. Imani ya Uislaam sio ya kuichezea na kuifanyia usanii ili ujiingizie kipato. Allah hadhihakiwi jiangalie sana. Imamu gani hata swala 5 za kiislam majina yake hazijui? Hii style uliokuja nayo kudanganya watu eti ulikua Muislam mara umeoteshwa mara ulikua imamu jiangalie sana unaumbuka maana interview zako unazoongea na media zipo mitandaoni unaongea maneno tofauti. (Qur an 109 : 1 - 6) Allah anamwambia Mtume Muhammad (S.A.W) awaambie ..... 1. Sema: Enyi makafiri 2. Siabudu mnachokiabudu 3. Wala nyingi hamuabudu ninae muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu 5. Wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu. 6. *Nyinyi mna dini yenu nami nina dini yangu* Hivo usitafute ulaji kwa kupitia Uislaam. Wafundishe wafuasi wako unachokiabudu wewe. Tutaporudi kwa Allah mtaelewa dini ya haki ni ipi maana qur an haikuacha kitu kila kitu kipo wazi kabisa. Namshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Alhamdulillah

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y8 ай бұрын

    Hakuna dini ya haki mbele ya M/Mungu ila uwislam muogope M/Mung

  • @Mahruqiya
    @Mahruqiya Жыл бұрын

    Inna Lillahi wa Inna Ilaihi Rajioun

  • @dvjtwentyfivedecember4398

    @dvjtwentyfivedecember4398

    Жыл бұрын

    Hii ndio Dini ya kweli

  • @Queensagarika887

    @Queensagarika887

    Жыл бұрын

    Binti Ahmed this is business mwisho wa dunia 😒

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439Ай бұрын

    Hayo ndiyo yaliyomtokea mtume Paulo akisafiri kwenda Damesco kuwakamata wanaomwamini Yesu Kristu. Lakini pia Yule msomali Haji Mohammed mtoto wa SHEIKH MKUU SOMALIA Alipata Hali hii, tafuta muda umsikilize. alivyofuatwa na Bwana Yesu Pia akina Eliuter Mange, wako wengi tu. Ndivyo inavyokuwa.

  • @alinaalina5044
    @alinaalina5044 Жыл бұрын

    Pole sana mchungaji

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Жыл бұрын

    Duuu pole sana kaka uwo mtihani umtafute jibu la kumjibu Alha kesho kiama

  • @umsulaiman7468

    @umsulaiman7468

    Жыл бұрын

    Mtu kama ww haifai kumsikilize yani unasema Allah ndio kakupotosha au umejipotosha tu njaa wee inakusumbuwe ole wako kukusikiliza hana kazi

  • @asa121aminahta.nakshfrombu5
    @asa121aminahta.nakshfrombu5 Жыл бұрын

    innalilah wainnailah rajiunn mungu atakuhukumu kwakuongeya uyo unafki wamunafikuna

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi9328 Жыл бұрын

    Kama Mungu n mmoja iz tofaut zanin iman yako itakupeleka mbingunii nasio tofauti za diniii....

  • @abeidkhamis6130

    @abeidkhamis6130

    Жыл бұрын

    Tofauti ni ushawishi wa shetani na dini ni kama chombo Cha safari na Matendo ya Imani ndio tiketi yako ya kumbandia Cha safari.

  • @xxl5239
    @xxl5239 Жыл бұрын

    Anavuruga tu Aya hata kuzisoma hajui, na Waktisto ndio wanaona ni mtaalamu wa Qurani. Ama kweli kuemewa kubaya

  • @emmadominic9601

    @emmadominic9601

    Жыл бұрын

    Usbeze kabisa,tunaojua dini,tunsikiliza sanaa.Anajua sana Qur'an.

  • @khadijadiswera6979
    @khadijadiswera6979Ай бұрын

    Mungu akuzishiye

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121Ай бұрын

    Waislamu inawaiuma Sisi tunabatiza mashehe wao wanasilimisha wasiojua ukristu

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Жыл бұрын

    M'mungu ajaalie ufe ktk dini uloichagua inshaAllah hakuna imamu wakati ana ilmu na anajua kila kitu eti aritad ni muongona mnafiki wa kupitiliza.

  • @mabrozacpmstancesa1207

    @mabrozacpmstancesa1207

    Жыл бұрын

    Kunawatu wameandikiwa motoni tu jamañ kijana ea kiislam kama huyu kuwa kafiri dah hakika upo kwenye hasara

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    Жыл бұрын

    Duh aisee Waislam nyinyi dah Elimu ya DINi yenu kumbe hamna kabisa hivi hujui kuwa Kuna Imamu ambaye alikuwa swahaba wa Muhammad na alikuwa mmoja wa waindishi wa Aya za QURAN alilitadi na kuacha Uislam kabisa na mwingine akarudi kwenye Ukiristo? Kaulize Waalimu wako watakwambia ukishindwa njoo nikupe ushahidi Ili upate Elimu bure japo Waislam mnaniangusha Kwa kutoijuwa DINi yenu vyema.

  • @ruhaymanllymuhammed2094
    @ruhaymanllymuhammed2094 Жыл бұрын

    Mungu atuongoe na atulinde na sisi tusijepotea kama ww

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    @ebenezerchurchsupremetv9490

    Жыл бұрын

    Unajihesabia haki ambayo hauna kabisa

  • @navioma4882
    @navioma4882 Жыл бұрын

    😢😢😢😢😢 upo kikazi zaid sio imani

  • @Ommyjames313

    @Ommyjames313

    Жыл бұрын

    Yarab tujaalie mwisho mwema huu ni mtihani

  • @khamismohammed7500
    @khamismohammed75002 ай бұрын

    Allah akuongoze akurudishe kabla ya kuchukua roho yako ni hasara kubwa utakuwa umepata daaa

  • @fridakakiko1217
    @fridakakiko12176 ай бұрын

    mungu akuongoze sana utusaidie nikija Dar nutakutafuta 9

  • @user-tg5ru7cb9b
    @user-tg5ru7cb9b2 күн бұрын

    Dunia imekudandanganya rudi katika haki la sivyo utajutia acha kufake

  • @khadijaabdulaziz8297
    @khadijaabdulaziz8297 Жыл бұрын

    INALILAHI WAINAILAYHI RAJIUN NDUGU MAHMOUD KUUWACHA (UISLAM) UISLAM HAutodhurika kitu chocho ila khasara ni kwako NDUGU YANGU NAKUSIHI RUDI KTK DINI YA HAKI BILA KUJALI WALA KUOGOPA MTU KWANI MITUME YOTE WALIKUWA WAISLAM NENDA KASOME QURAN AYA ZIFUATAZO 10,72 NOOH 2,127 IBRAHIM 2, 132 YAAKUB 10,84 MUSSA 3,85 SULAYMAN 2 ,52 ISSA HAWA WOTE NI MITUME NA MWISHO WA MITUMENI NABII WETU KIPENZI CHETU MUHAMMAD SAWA LLAHU AYLYHI WASALAM ALLA AMESEMA ( HAKIKA DINI MBELE YA ALLAH NI UISLAM nenda sura 3 ,19 kwa kukusaidia wewe na wengine wanotaka kujua ukweli

  • @hajihamisi
    @hajihamisi Жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilahi rajiuun huyu mwamba kachagua njia mbaya na mbovu kwake na ukweli anaujua ndiyo maana mara nyingi akiwa kanisa anaongelea sana Uislamu kwa sababu anajua ukweli uko wapi

  • @aminavunde6307

    @aminavunde6307

    Жыл бұрын

    Atokewe yeye ni nani,jamaniiii

  • @zuberikwambiana3574
    @zuberikwambiana3574 Жыл бұрын

    We jamaaa umeingia katika mtihani sana,pambana na umuombe MUNGU akuondoe huko.

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullahАй бұрын

    Wallahi huo wako ni mtihani ila iko siku utajua kwamba umepotea na Allah ni muweza wa kukuongoza na ukawa mtu mwema kwa sasa njaa tu ndio inakusumbua

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Жыл бұрын

    Cha AJABU hili jambo la kusema Yesu kani tokea, ni Uongo dhahiri. Yesu alikuwa .muislamu.

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    Leta ushahidi?

  • @zuberimohamedi5761

    @zuberimohamedi5761

    Жыл бұрын

    Ndugu yng usishangae huyu ni shoga yake Zumaridi

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@zuberimohamedi5761 ww ndio shoga manake kitabu chenu kinaruhusu ushogha

  • @zuberimohamedi5761

    @zuberimohamedi5761

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 saw

  • @mansooralaisri5200

    @mansooralaisri5200

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 Makanisa yenu yana wa nyowa mavuzi wake za watu Mbele ya waumin. Hakuna Dini katika huo mnaosema Ni Ukristo. SHAKAHOLA NAYO IMELETA MSIBA MKUBWA. MWISLAM HUWEZI KUMDANGANYA HATA KIDOGO.

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajiun

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Жыл бұрын

    Muogo huyu Kaka sana miogepe allah

  • @khadidjasuleiman8006

    @khadidjasuleiman8006

    Жыл бұрын

    Muongo saana

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    Жыл бұрын

    Kanunuliwa na Wakristo ili achafue dini yetu ya haki.😄😄😄😄😄

  • @nancychuwa4870

    @nancychuwa4870

    Жыл бұрын

    ​@@abbyadams8691 kama mlivyo mnunua Mwaipopo! Akitoka kwenye ukristo utasikia karibu kwenye dini ya haki, akitoka kwenye uislamu amenunuliwa! Na Bado wataondoka wengi tu, awe amenunuliwa au hajanunuliwa ndio ameshaondoka hivyo sasa

  • @iddyramson2991

    @iddyramson2991

    Жыл бұрын

    muongo mkubwa huyu

  • @faithmapondo7370

    @faithmapondo7370

    Жыл бұрын

    Kumbe ndio tabia yenu ya kutuongopea na kununuliwa Mnaumia wenyewe

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Жыл бұрын

    Innalilah wainnailahi Rajiun Allah akugeuze katika njia potovu

  • @gideonemmanyi9593

    @gideonemmanyi9593

    Жыл бұрын

    😁😁😁 kwa iyo njia sa hii ni ipi?

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311Ай бұрын

    Hongera na Mungu azidi kukuongoza katika Kristo Yesu

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Жыл бұрын

    Alhamdulillah kwa ALLAH kukutoa kwenye dini ya haki na kukupeleka kwenye ukafir.Ungebaki kwenye uislam moto ungekosa watu.Endelea kuwa kondoo ili maneno ya shetan yatimie uwe mjumbe wake.Yaan ukiwa mchafu lazma utokewe na wachafu wenzio ili uislam ubaki kuwa msafi.Kwa kipi hasa mpaka yesu akutokee!!???

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    😂😂😂 hata zumaridi kasema katokewa na mungu huyu na yesu kuna yesu togareni kasema yy yesu karudi yule nabee jodevi anajita na bee nae kapewa funguo na yesu sijui alafungue nn kuna yule wanyoyi anajita nae mungu dah hawa wakristo wana matatizo hawaogopi mmungu wanaongopaaa wakitaka pesa wanasingizia yesu na wajinga wanaamini yule wa kenya kaua watu kibao kuna wengine wanachapwa eti ni dini kuna wengine wanaogesha wanawake kanisani uchii eti wanawasafisha nyota jamani waogope mmungu iko siku wataulizwa kwa uongo wanafata wazungu wazungu hawana dini na hawana mana bee ni wezi tu juzi papa kasema anaifuta biblia hiyo biblia sio injili wazungu wameifuta na kuongeza yao huoni waislam wanafanya ujinga huo

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    Na tunawakumbusha tu kenya wamefunga makafiri mpaka wakafa ili wakamuone yesu

  • @mgalatia

    @mgalatia

    Жыл бұрын

    Matendo 26:16-18 16 Simama! Nimekuchagua wewe kuwa mtumishi wangu. Utawaambia watu habari zangu, ulichoona leo na yale nitakayokuonesha. Hii ndiyo sababu nimekuja kwako. 17 Nitakulinda dhidi ya watu wako na dhidi ya watu wasio Wayahudi, ninaokutuma kwao. 18 Utawafanya waielewe kweli. Watatoka gizani na kuja kwenye mwanga. Watageuka kutoka kwenye mamlaka ya Shetani na kumgeukia Mungu. Ndipo dhambi zao zitasamehewa, na wataweza kupewa nafasi miongoni mwa watu wa Mungu, walifanywa watakatifu kwa kuniamini.’”

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Жыл бұрын

    Mwenzako Afrika Kusini Ibrahim Richmond ameota sauti imemuagiza na amedhihirisha. Amesilimisha kanisa la watu 1,000. Wewe huna ushahidi wa ndoto yako. Usiporudi na kutubia Kwa Allah (SWT) jiandae Jahannam inakungoja. Na muda si mrefu Allah (SWT) Atakuumbua tu. Rudi ktk Uislam haraka. Au wewe ndio ambae Mungu Amekuacha upotoke?

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 Жыл бұрын

    Ña hao waandishi wa mchongo hawaulizi maswali tunayotarajia huyo jamaa anatokea wapi mtaa gani mkoa gani msikiti gani madrasa gani familia gani

  • @barakayesaya5000
    @barakayesaya5000Ай бұрын

    Udini unawasumbua sana watu. Kila mtu anaandika Innalillah, kwani wewe unampangia Mungu nani awe nani au ni mshauri wake. Hukumu inatolewa na Mwenyezi Mungu na Kila mmoja atasomewa, shika Imani yako na mwengine ashike yake. Mungu ana maajabu mengi na Kwa udhaifu wako kama mwanaadamu huna mamlaka ya kujaji Wala kusema chochote Kwa anayetoa shuhuda. Yani Kwakifupi usitake vitu viwe unavyotaka wewe.

  • @pinieliedward5992
    @pinieliedward5992 Жыл бұрын

    Huyo Yesu ndio Bwana wa Mabwana Mungu wa miungu hata nyie mnaopinga sikuakitaka kukuokoa na jehanam atakuokoa.

  • @hamisimkoma7380

    @hamisimkoma7380

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 wajinga ndio wali wao

  • @pinieliedward5992

    @pinieliedward5992

    Жыл бұрын

    @@hamisimkoma7380 huyu Bwana so mwendawazimu mpaka kuacha uislamu na kuwa mkristo naalikuwa anapenda Uisilam

  • @pinieliedward5992

    @pinieliedward5992

    Жыл бұрын

    Haya na huyo Jamaa aliyekuwa Bilonea aliemchinja Yuko yotobe aliemchinja dadake alitokewa Bwana Yesu Msikitini,siku 7,Naalikuwa mtoto wa shehe,Nayuko timamu ,Je na huyo Shetani au jini alimtokea,asante BwanaYesu kuwageuza waisilam kuwa wachungaji,na ndio maombi yetu hayo,

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    Жыл бұрын

    Mm kama mm sitaki kuokolewa na na yesu wako. Kitakachoniokoa ni matendo yangu no more. Kiama kikitokea sitegemei chochote kile zaidi ya Amal yangu na Qadari za ALLAH basi.

  • @sadyrajabu9318

    @sadyrajabu9318

    Жыл бұрын

    Hamnaga ushaidi zaidi yakutokewa na mwanga na yesu hahahaha mtaibiwa sana wakiristu

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын

    Subuhanallha kweli njaa mbaya hadi unaacha din ya haki unaenda kwa ukafir mtihan tumuombe Allha mwisho mwema

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Жыл бұрын

    Hongera.sana.kelele za watu zisikuyumbishe.ktk.imani .simama ktk neno. Bwana yesu.akutunze akuwezeshe.kutimiza kusudi alilokuitia usisahau kuwashuhudia wa nyumbani mwako mathayo. 24:14

  • @mbarakalwahebi4094
    @mbarakalwahebi409411 ай бұрын

    Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin Amin yaaraab Amin alhaamdulilaah uislaam ni dini isiokua na Shaka juuu yake alhaamdulilaah wakristo ni msibaa mkubwa inaaa lilaaahi wainaa ilaaahi raajuuhn poleni sana wakristo waaanaafki njaaa ni kitu kibaya Sana subhaanaalhaah hapa ni duniani Tu wakristo ni biashaaraa na mitume wanasubiri Sana misaada maana ukiwa muislam au maalim wanashukuru Tu mungu wanachopata wanashukuru utamkuta ata piki piki Hana maskini lakini dini IPO moyoni huyooo kafata maslahi

Келесі