PROPHET IPM ''MAISHA YANGU YALIKUWA HATARINI/NILIKUA NAKULA CHIPS ZINAZOTUPWA NA WATU DARAJANI''
Жүктеу.....
Пікірлер: 24
@vickymeikasi814725 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu, Mwenyenzi Mungu atembee na wew
@ungwanabilobi-mp3dr Жыл бұрын
Mungu akusaidiyw mtumishi wa Mungu ipm usigeuze mawazo yako ya kurudi maana aliyekuleta kwa ukristo si watu Bali ni Mungu
@JamesPeter-y3w19 күн бұрын
Ongela San namungu akubaliki sana
@GeorgegSend11 ай бұрын
Jipe Moyo❤ mkuu utashinda majalibu❤
@timohmassawe605711 ай бұрын
Amen
@womanofsteel1402 Жыл бұрын
Kwanini unagangania kwamba Ukiwa mkiristo mpaka ushambulie waislamu hivo Ni visingizio mbona watumishi wa Mungu wengine wakikirusto hawashambulii waislamu ,Wewe cha kufanya hubiri injili ulioitiwa bila kuchanganya wislamu madhabahuni ,Wala bila kuwashambulia waislamu
@matridawilium9945 Жыл бұрын
Kama umeitwa kweli na kristo endelea kuomba tu yesu hashidwi na jambo lolote,
@michaelrweyemamu1068Ай бұрын
Hongera kwa kutoka kwa shetani na kuingia kwenye Nuru
@furahamandai6628 Жыл бұрын
Ipm mimi nakukubali endelea na huduma ikiwezekana ukianza tour nitakuja
@jumaboneventure756111 ай бұрын
Ame
@ahmedalbalushi6239Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akusamehe . Njaa mbaya sana 😊
@SuperatusMgwambe-gn1ez4 ай бұрын
Safiii
@coolpara81928 ай бұрын
Ww Yesu unamjuwa au alikutokea shetani
@samsondaudi548313 күн бұрын
Nimependa ushuhuda wako
@DesderiusHaule27 күн бұрын
Bwana Yesu alikuita kutoka kwenye uislamu ili umtumikie yeye kikamilifu, ni kama vile Yesu alivyo muita sauli ambaye baadaye aliitwa Paulo ili amtumikie kikamilifu. lakini wewe kwa kuipenda dunia umeamua uchanganye ya biblia na ya Qur'an ili upate radhi za walimwengu. Unajua fika kwamba Qur'an yote ipo kwaajili ya kuipinga biblia unawezaje kutuchanganyia mafundisho yanayopingana yawe chakula cha roho zetu?
@coolpara81928 ай бұрын
Ww umepokea tena una wazimu
@user-gh8ur3bh7l3 ай бұрын
Ipm badilisha msimamo wako kabla hujafa dini ya kwel mbele ya mungu ni uislam😂
@SamMako-qm8cs Жыл бұрын
Kumbuka shetani yupo kazini kupambana na huduma yako
@shabanisefu1229 Жыл бұрын
Jay plus
@user-gh8ur3bh7l3 ай бұрын
Acha uongo njaa tu inakusumbua wew
@ahmedalbalushi6239Ай бұрын
Wewe umetoka kwenye uislam ukajiita mtume Na njaa Wadanganye hao wahayawani 😊
@awadhsalim26803 ай бұрын
Njaa inamsababisha mtu asiekuwa na iman yakweli kuchukua maamuzi mabaya.
Пікірлер: 24
Hongera sana mtumishi wa Mungu, Mwenyenzi Mungu atembee na wew
Mungu akusaidiyw mtumishi wa Mungu ipm usigeuze mawazo yako ya kurudi maana aliyekuleta kwa ukristo si watu Bali ni Mungu
Ongela San namungu akubaliki sana
Jipe Moyo❤ mkuu utashinda majalibu❤
Amen
Kwanini unagangania kwamba Ukiwa mkiristo mpaka ushambulie waislamu hivo Ni visingizio mbona watumishi wa Mungu wengine wakikirusto hawashambulii waislamu ,Wewe cha kufanya hubiri injili ulioitiwa bila kuchanganya wislamu madhabahuni ,Wala bila kuwashambulia waislamu
Kama umeitwa kweli na kristo endelea kuomba tu yesu hashidwi na jambo lolote,
Hongera kwa kutoka kwa shetani na kuingia kwenye Nuru
Ipm mimi nakukubali endelea na huduma ikiwezekana ukianza tour nitakuja
Ame
Mwenyezi Mungu akusamehe . Njaa mbaya sana 😊
Safiii
Ww Yesu unamjuwa au alikutokea shetani
Nimependa ushuhuda wako
Bwana Yesu alikuita kutoka kwenye uislamu ili umtumikie yeye kikamilifu, ni kama vile Yesu alivyo muita sauli ambaye baadaye aliitwa Paulo ili amtumikie kikamilifu. lakini wewe kwa kuipenda dunia umeamua uchanganye ya biblia na ya Qur'an ili upate radhi za walimwengu. Unajua fika kwamba Qur'an yote ipo kwaajili ya kuipinga biblia unawezaje kutuchanganyia mafundisho yanayopingana yawe chakula cha roho zetu?
Ww umepokea tena una wazimu
Ipm badilisha msimamo wako kabla hujafa dini ya kwel mbele ya mungu ni uislam😂
Kumbuka shetani yupo kazini kupambana na huduma yako
Jay plus
Acha uongo njaa tu inakusumbua wew
Wewe umetoka kwenye uislam ukajiita mtume Na njaa Wadanganye hao wahayawani 😊
Njaa inamsababisha mtu asiekuwa na iman yakweli kuchukua maamuzi mabaya.
Wew muongo ulikua c imam unadanganya waislam tu
Amen