No video

MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYA

Пікірлер: 887

  • @irenemwanry121
    @irenemwanry12121 күн бұрын

    Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤

  • @blasiustibwakawa6258

    @blasiustibwakawa6258

    15 күн бұрын

    Nomaa halafu saana😂

  • @gratusvlogs
    @gratusvlogs24 күн бұрын

    Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa

  • @Rogathe-Rogathe

    @Rogathe-Rogathe

    23 күн бұрын

    Kijana kbs

  • @bakariomary5781

    @bakariomary5781

    23 күн бұрын

    Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂

  • @florabuzoya3948

    @florabuzoya3948

    23 күн бұрын

    Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    18 күн бұрын

    ​ HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️

  • @user-eu5ly2sk8w

    @user-eu5ly2sk8w

    9 күн бұрын

    Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu

  • @humphreyonlinetv2739
    @humphreyonlinetv273923 күн бұрын

    MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat677321 күн бұрын

    Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja214823 күн бұрын

    Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌

  • @Rogathe-Rogathe

    @Rogathe-Rogathe

    23 күн бұрын

    Aminaaa

  • @msafirimaulidi5054

    @msafirimaulidi5054

    23 күн бұрын

    Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂

  • @benjaminalfa3098

    @benjaminalfa3098

    23 күн бұрын

    Ameen

  • @Japanese-lz1or

    @Japanese-lz1or

    23 күн бұрын

    ​@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko

  • @suzanalucasemanuel7006

    @suzanalucasemanuel7006

    23 күн бұрын

    Amen

  • @eusebiusthilia7908
    @eusebiusthilia790814 күн бұрын

    Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele

  • @nairakiboko
    @nairakiboko20 күн бұрын

    Mwamposa bado ni kijana Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa

  • @perpetuakicheleri-zk5ly
    @perpetuakicheleri-zk5ly21 күн бұрын

    Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz23 күн бұрын

    Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya394823 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja891723 күн бұрын

    Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤

  • @ujenziimaratv1192

    @ujenziimaratv1192

    21 күн бұрын

    Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja Akili kichwani

  • @fumotv7914

    @fumotv7914

    18 күн бұрын

    ​@@ujenziimaratv1192unauhakika

  • @Salesiamalekela-i2h

    @Salesiamalekela-i2h

    18 күн бұрын

    Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana

  • @ElizabethKazimoto-uc8zo
    @ElizabethKazimoto-uc8zo21 күн бұрын

    Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet

  • @salumsiraji-ou3uo

    @salumsiraji-ou3uo

    21 күн бұрын

    hahaha

  • @ElizabethKazimoto-uc8zo

    @ElizabethKazimoto-uc8zo

    19 күн бұрын

    @@salumsiraji-ou3uo yeah

  • @StelaMwambemba-qd3tr
    @StelaMwambemba-qd3tr21 күн бұрын

    Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana

  • @user-ex1cn3bc2h
    @user-ex1cn3bc2h21 күн бұрын

    Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-9623 күн бұрын

    mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jackycharles6419
    @jackycharles641923 күн бұрын

    Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God

  • @user-is6np5vf6b

    @user-is6np5vf6b

    23 күн бұрын

    Umeona eeh 🎉🎉🎉

  • @florabuzoya3948

    @florabuzoya3948

    23 күн бұрын

    Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana

  • @heavenlightmalisa1112

    @heavenlightmalisa1112

    17 күн бұрын

    Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba

  • @Apox_eric

    @Apox_eric

    17 күн бұрын

    Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia. Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo .... The nan is humble, No show offs, proudness. He only says It si the hand of Almighty God. Text me on whatsApp +255753694154

  • @user-qb3cb2zl5l
    @user-qb3cb2zl5l19 күн бұрын

    Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki

  • @AllglorytoGod22

    @AllglorytoGod22

    10 күн бұрын

    😂

  • @user-yb8jq9xw2o

    @user-yb8jq9xw2o

    9 күн бұрын

    😂😂

  • @benernest5125

    @benernest5125

    9 күн бұрын

    MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EstherMhagama-s1n

    @EstherMhagama-s1n

    7 күн бұрын

    na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika

  • @user-dz3rl1ki6u

    @user-dz3rl1ki6u

    4 күн бұрын

    😂😂😂 umepiga panapouma

  • @AngelBoniface-oe8ug
    @AngelBoniface-oe8ug21 күн бұрын

    Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki

  • @user-sp8zu7oh2n

    @user-sp8zu7oh2n

    21 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @eusebiusthilia7908

    @eusebiusthilia7908

    14 күн бұрын

    Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!

  • @PaulineMajengo

    @PaulineMajengo

    10 күн бұрын

    Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3

  • @LATIFAMUSSANAMANORO
    @LATIFAMUSSANAMANORO3 күн бұрын

    Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina

  • @user-hm2oc6en9s
    @user-hm2oc6en9s23 күн бұрын

    Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.

  • @FurahaCosmas

    @FurahaCosmas

    10 күн бұрын

    Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb

  • @emmanueldaudi3797
    @emmanueldaudi379723 күн бұрын

    Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.

  • @christeternallifetv5959

    @christeternallifetv5959

    23 күн бұрын

    Ameniiii

  • @atuganilemsomba3028

    @atuganilemsomba3028

    23 күн бұрын

    Ukweli ambao watu wengi hawautaki

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    21 күн бұрын

    Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu

  • @user-vc4xr1mf5q

    @user-vc4xr1mf5q

    20 күн бұрын

    Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka

  • @user-fy9uk4oh7x

    @user-fy9uk4oh7x

    17 күн бұрын

    Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz160724 күн бұрын

    Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like

  • @RoseOdilo

    @RoseOdilo

    24 күн бұрын

    Kabisa❤❤❤

  • @joelbtz8277

    @joelbtz8277

    24 күн бұрын

    Umenena vyema mno🎉

  • @veronicapatrice436
    @veronicapatrice43623 күн бұрын

    Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤

  • @sylviadanford9138
    @sylviadanford913820 күн бұрын

    Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz23 күн бұрын

    Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l22 күн бұрын

    Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima

  • @BabaD-fu9io
    @BabaD-fu9io3 күн бұрын

    Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele

  • @ngowidyness3464
    @ngowidyness346422 күн бұрын

    Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno

  • @martingeorge9468

    @martingeorge9468

    20 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏 Amina

  • @eclinemaro7677

    @eclinemaro7677

    20 күн бұрын

    Amen

  • @hendrylema5640

    @hendrylema5640

    20 күн бұрын

    dyness upo

  • @ngowidyness3464

    @ngowidyness3464

    18 күн бұрын

    @@hendrylema5640 nipo kabisa

  • @IsaackPaulo
    @IsaackPaulo20 күн бұрын

    Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    20 күн бұрын

    Mtume feki😂

  • @IsaackPaulo

    @IsaackPaulo

    19 күн бұрын

    @@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    17 күн бұрын

    @@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    17 күн бұрын

    @@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii

  • @IsaackPaulo

    @IsaackPaulo

    17 күн бұрын

    @@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo23 күн бұрын

    Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.

  • @ianbryse1417
    @ianbryse141723 күн бұрын

    Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️

  • @julyethiema1220
    @julyethiema122020 күн бұрын

    Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4

  • @Wakwe

    @Wakwe

    18 күн бұрын

    Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅

  • @winfridahaule4364

    @winfridahaule4364

    18 күн бұрын

    ​@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu

  • @FurahaCosmas

    @FurahaCosmas

    10 күн бұрын

    Weuweeee🎉

  • @jovitustoroto4

    @jovitustoroto4

    4 күн бұрын

    kweliiii

  • @petermadata7803
    @petermadata780323 күн бұрын

    Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso23 күн бұрын

    Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho675419 күн бұрын

    mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika

  • @michaelezekiel4297

    @michaelezekiel4297

    11 күн бұрын

    😂😂

  • @FurahaCosmas

    @FurahaCosmas

    10 күн бұрын

    Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo

  • @EstherMhagama-s1n

    @EstherMhagama-s1n

    7 күн бұрын

    Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo949323 күн бұрын

    Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @barutiabuu9492

    @barutiabuu9492

    23 күн бұрын

    Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    23 күн бұрын

    Amen

  • @MaurenEmmanuely-nc9id

    @MaurenEmmanuely-nc9id

    23 күн бұрын

    Laana unayo ww​@@barutiabuu9492

  • @user-nm1re5kp7m

    @user-nm1re5kp7m

    23 күн бұрын

    Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume ​@@barutiabuu9492

  • @devisshirima6780
    @devisshirima678023 күн бұрын

    Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    23 күн бұрын

    usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂

  • @malkiarosemuhando3310

    @malkiarosemuhando3310

    23 күн бұрын

    Haja❤!!

  • @africanbeez3644

    @africanbeez3644

    23 күн бұрын

    @@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂

  • @rerisamba

    @rerisamba

    23 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote

  • @milanozanzibar

    @milanozanzibar

    9 күн бұрын

    ni kweli

  • @user-eh5il7pw2f
    @user-eh5il7pw2f23 күн бұрын

    Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho

  • @F60hustlerF60hustler

    @F60hustlerF60hustler

    23 күн бұрын

    Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    23 күн бұрын

    Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote

  • @HappyChalamila-wd2wl
    @HappyChalamila-wd2wl7 күн бұрын

    nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf23 күн бұрын

    Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe

  • @glorygadielmshana1070
    @glorygadielmshana107023 күн бұрын

    Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️

  • @user-wl7xj6dy4u
    @user-wl7xj6dy4u23 күн бұрын

    Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤

  • @user-li1ux1xh4m
    @user-li1ux1xh4m18 күн бұрын

    Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.

  • @amanmalima940
    @amanmalima94023 күн бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana 14:6 , Warumi 10:9 -10).

  • @benardbonephace4896
    @benardbonephace489624 күн бұрын

    Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako

  • @Alphonce-em2xi

    @Alphonce-em2xi

    23 күн бұрын

    @@benardbonephace4896 safi sna

  • @Rogathe-Rogathe

    @Rogathe-Rogathe

    23 күн бұрын

    Umenena vema kabs udugu

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    23 күн бұрын

    Ameeeeen

  • @reginaringo5167

    @reginaringo5167

    23 күн бұрын

    Utukufu kwa YESU

  • @anethkitambi3140

    @anethkitambi3140

    22 күн бұрын

    Mungu aendelee kukulinda, kukutunza

  • @nicaswaziri
    @nicaswaziri21 күн бұрын

    Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l23 күн бұрын

    Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini. Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.

  • @ciscojr2277

    @ciscojr2277

    23 күн бұрын

    Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu

  • @StelaMwambemba-qd3tr

    @StelaMwambemba-qd3tr

    21 күн бұрын

    Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa

  • @user-ut4wf9vq6g
    @user-ut4wf9vq6g3 күн бұрын

    Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu

  • @josephmtoro9606
    @josephmtoro960614 күн бұрын

    Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8 ) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.

  • @Mcsceo
    @Mcsceo22 күн бұрын

    I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l23 күн бұрын

    Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo. Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza. Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu

  • @user-wi8og3sv4j

    @user-wi8og3sv4j

    23 күн бұрын

    @@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure

  • @ciscojr2277

    @ciscojr2277

    23 күн бұрын

    Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu

  • @zachariamakoba8368

    @zachariamakoba8368

    23 күн бұрын

    ​@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho

  • @mrjulius5840
    @mrjulius584019 күн бұрын

    Mathayo 7:21 -23 [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

  • @modestamshana1279
    @modestamshana127923 күн бұрын

    Mtume ni handsome🥰

  • @claudia1500

    @claudia1500

    21 күн бұрын

    Kabisaaaaa

  • @mansoorburuhan6791

    @mansoorburuhan6791

    21 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @mansoorburuhan6791

    @mansoorburuhan6791

    21 күн бұрын

    Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂

  • @NestoryMhagama-ci5pq
    @NestoryMhagama-ci5pq23 күн бұрын

    Be blessed man of God

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654123 күн бұрын

    Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata

  • @Dianamwansasu

    @Dianamwansasu

    23 күн бұрын

    Na wewe si uanze kuwakamata

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    23 күн бұрын

    Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii

  • @jacobnyosole1774

    @jacobnyosole1774

    21 күн бұрын

    Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂

  • @Dianamwansasu

    @Dianamwansasu

    21 күн бұрын

    @@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili

  • @mycrown3567
    @mycrown356722 күн бұрын

    I like the way he is humbling himself…mahusiano yangu na Mungu yameimarika kwasababu ya huyu baba🙌🏼

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s20 күн бұрын

    Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu

  • @user-sc9zl2hx1c
    @user-sc9zl2hx1c23 күн бұрын

    Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤

  • @MariamuMkonge
    @MariamuMkonge20 күн бұрын

    Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe

  • @pceodhc
    @pceodhc24 күн бұрын

    Hallelujah!

  • @heavenlightmalisa1112
    @heavenlightmalisa111217 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako

  • @eclinemaro7677
    @eclinemaro767720 күн бұрын

    Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana

  • @JoyceMbano
    @JoyceMbano2 күн бұрын

    100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju

  • @Alphonce-em2xi
    @Alphonce-em2xi24 күн бұрын

    Amen Apostle Mwamposa

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    23 күн бұрын

    Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki

  • @stellanakaaya2331
    @stellanakaaya233119 күн бұрын

    Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏

  • @ConfusedBloomingFlower-wv1gf
    @ConfusedBloomingFlower-wv1gf20 күн бұрын

    Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu

  • @vero57
    @vero5723 күн бұрын

    KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge447623 күн бұрын

    Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉

  • @nancykaseko
    @nancykasekoКүн бұрын

    Yesu akutunze man of God...

  • @user-wp2ww7mf7r
    @user-wp2ww7mf7r24 күн бұрын

    Arise and sheni

  • @TedyEmanuel
    @TedyEmanuel21 күн бұрын

    Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee

  • @JohnOkwom
    @JohnOkwom19 күн бұрын

    Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua917523 күн бұрын

    The man of God Ubarikiwa baba we love you 🎉

  • @geeoutfitdesgner
    @geeoutfitdesgner23 күн бұрын

    tunakupenda baba etu wa kiroho binafsi ni muumini wako kindakindaki kwasbb najua mungu alipo nitoa mimi na familia yangu,,baba kaacha pombe kwasbb ya arise and shine,mama ameinuliwa kiuchumi kwasabb ya yesu ,mdogo wngu Luca amefaulu vzur sasa yupo chuo cha livestock tengeru ,mm mwenyew ndo nabarikiwa had nashangaa...halafu kuna dada alikuwa kichaa alifikia kwetu tukampeleka akapona..mungu akutunze wewe mtumishi wa mungu kupitia maombi yako kwa jesu kristo...

  • @user-cd9nd9wd5q

    @user-cd9nd9wd5q

    22 күн бұрын

    Ameeeeeen

  • @festomandari3773
    @festomandari37739 күн бұрын

    Might God enich you with more wisdom Apostle

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse151023 күн бұрын

    Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉

  • @estambuya3901
    @estambuya390120 күн бұрын

    Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.

  • @EstherMhagama-s1n

    @EstherMhagama-s1n

    7 күн бұрын

    Hongera ongeza juhudi

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma304523 күн бұрын

    Nimefuraahii saanaa kumuona mtumishii hapa❤❤❤❤we love babaa

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or23 күн бұрын

    Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko

  • @onlyyoujesus8232

    @onlyyoujesus8232

    19 күн бұрын

    Ujumbe mzuri

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika199619 күн бұрын

    Nakupenda sana mtumishi wa mungu mwamposa naomba mungu akulinde miaka mingi zaidi ili tuzidi kupona ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwamposa 🙏🙏🙏🙏

  • @TheJagadimedia-my4xt
    @TheJagadimedia-my4xt23 күн бұрын

    Mungu aendelee kukuongoza mtumishi , uendelee kufanya kazi yake🙏🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727923 күн бұрын

    Hallelujah hallelujah Glory to God 😢😢

  • @reytn2494
    @reytn249423 күн бұрын

    Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.

  • @renatustinsimile5410
    @renatustinsimile541022 күн бұрын

    Mwamposa wewe ni Mtumishi wa mungu,nitakuamini mpaka kufa kwangu

  • @pendomushi9319
    @pendomushi931913 күн бұрын

    Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.

  • @silviamassawe2587
    @silviamassawe258720 күн бұрын

    Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤

  • @BahaaBundala
    @BahaaBundala22 күн бұрын

    Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako

  • @EmmanuelYohana-km8xe
    @EmmanuelYohana-km8xe4 күн бұрын

    MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA

  • @NuruSanga-yo2sl
    @NuruSanga-yo2sl23 күн бұрын

    Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l22 күн бұрын

    Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa

  • @Yadah_poultry_foundation
    @Yadah_poultry_foundation23 күн бұрын

    Amen apostle ❤

  • @janethjerald1737
    @janethjerald173720 күн бұрын

    Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy123 күн бұрын

    Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.

  • @user-wy4yn2xi3n
    @user-wy4yn2xi3n19 күн бұрын

    Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.

  • @priscadaniel6459
    @priscadaniel645923 күн бұрын

    Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe

  • @songombingo108
    @songombingo10821 күн бұрын

    Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂

  • @NoelMwita
    @NoelMwita24 күн бұрын

    MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU . KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉

  • @mtangag774
    @mtangag77424 күн бұрын

    Noted

  • @BeatriceMlowe-iz5uj
    @BeatriceMlowe-iz5uj18 күн бұрын

    Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-nn7dq9pu2s
    @user-nn7dq9pu2s8 күн бұрын

    Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5

Келесі