MWAMPOSA ATAJA VIGEZO UKITAKA AKUOMBEE PRIVATE "NAUZA MAFUTA YA UPAKO, MAJI, JAMBO NYETI NJOO"

Пікірлер: 696

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d21 күн бұрын

    Huyu baba ni habari ya Dunia ! Mungu akuongezee hekima Mtume,kupitia ww Mungu amenitendea vingi sana. Amen

  • @dorahwillson1807

    @dorahwillson1807

    19 күн бұрын

    Tupo wengi yaan abarikiwe saana

  • @anevelymkambi5389

    @anevelymkambi5389

    18 күн бұрын

    Kwa nini hufundishi masomo ya uzima wa milele? Kwa maana Hao watu hata wakipata miujiza, lakini ipo siku watakufa. Lingine washirika wako mbona wanashika watu uchawi. Nisaidie sielewi hapo!!!!!

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    15 күн бұрын

    siyo habari ya Mbingu ni ya Dunia

  • @user-ez9qc2jo1x

    @user-ez9qc2jo1x

    13 күн бұрын

    @@anevelymkambi5389 hata hao wanaosifia ni watu wake maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @regnaldkessy8793

    @regnaldkessy8793

    12 күн бұрын

  • @glorymanga3650
    @glorymanga365022 күн бұрын

    Kamaa hujawahi kupata matatizo ukasaidika na huyu baba kamwe huwezi kumwelewa.... Nakupenda sana Apostle na Mungu akutunze zaidi❤❤❤

  • @user-yb3kx5gw7f

    @user-yb3kx5gw7f

    18 күн бұрын

    Kama hujawahi kupata matatizo ukasaidika na Mungu kupitia watumishi wake huwezui kuwa kuwaelewa sio wao wanaoponya bali ni Mungu

  • @Thisisgrace979

    @Thisisgrace979

    12 күн бұрын

    ​@@user-yb3kx5gw7f upo sahihi sana, ni Mungu ty, ila unamkuta mtu anamuabudu mtumishi wa Mungu kuliko Mungu mwenyewe

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    9 күн бұрын

    ​@@Thisisgrace979😂😂😂😂😂hatar

  • @happyalexander9580
    @happyalexander958020 күн бұрын

    Sikuzote wachawi ndo wanaowapinga watumishi wa Mungu coz wanaharibiwa mambo yao kwa upako Amen 😂😂

  • @pheymack6682
    @pheymack668222 күн бұрын

    Mwamposa una hekima sana kwenye kujibu maswali mungu aendeleee kukupa hekima zaidiiiii❤

  • @NMY-UInternationalMinistry

    @NMY-UInternationalMinistry

    21 күн бұрын

    Amina

  • @iamnick8547

    @iamnick8547

    20 күн бұрын

    Sanaaa this man he is so wise watu kumuelewa wanajizima data tu

  • @MariamKileo-mu8rv

    @MariamKileo-mu8rv

    20 күн бұрын

    Vibaya mno kuna mmoja akihojiwa kwanza anaangalia kwa dharau na pia anaongea huku kaweka mikono mfukon

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k22 күн бұрын

    Mimi sisalali kwako lakini sisubutu kumtukana mtumishi wa Mungu kama anadanganya hayanihusu mimi ninachojua anaponya kwa jina la yesu ole wako unesubutu kumtukana mtumishi wa Mungu

  • @iamnick8547

    @iamnick8547

    20 күн бұрын

    Nilikuwa namsema vibaya sana huyu mtumishii ila kuna siku Mungu alisema na mm kupitia mtu juu ya huyu mtumishii aisee niliomba tobaa kwa machozi nikasema sitarudia kuongea jambo lolote kwa mtumishi yoyote wa Mungu

  • @evalineemmanuel8178

    @evalineemmanuel8178

    19 күн бұрын

    kwakweli ujui mtu anapatano ghn na mungu tusihukumu wacha mungu aonae sirin ndio ajuwaye yupi aliemuit nayupi aliejiita mwenyewe

  • @JonathanNtauta
    @JonathanNtauta23 күн бұрын

    Injili ya kweli ni ile inayoanza kuziponya Roho zinazoangamia wala si kuuponya mwili tu kwa kuudanganya kwa vitu vizuri vya muda hapa iko siri Ajuwae Mungu wala tusihukumu tukaja kuhukumiwa.

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    @@JonathanNtauta anaeumwa mwili ni ngumu kupona roho. Mwenye njaa anahitaji chakula ndipo umpe neno la Mungu. Asiposhiba hata uongee vp hakusikilizi hata Mungu anajua hilo ndo maana Yesu alifanya kazi kubwa ya kuponya miili ya watu

  • @RobertsonNandime-eo9fp

    @RobertsonNandime-eo9fp

    23 күн бұрын

    Umeongea ukweli mimi nilikuwa mtu wa Dunia nikafatilia mtumishi aneitwa Bishop elibariki sumbe nikwa na hofu na Mungu kwanza ndio nikaacha tibia mbaa unalolisema upo sahihi

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    23 күн бұрын

    ​@@RobertsonNandime-eo9fp sijaelewa kwa sumbe ulivuna nini?? Kwamini kwa sumbe nilivuna kikubwa mnoo namshukuru mungu sana

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    23 күн бұрын

    ​​@@abelmbata37kakwamia nani ni ngumu😂 muujiza yesu alifanya kwa wakati wake ila the news was Ufalme wa Mungu

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    @@richardcastromzena5136 kama rahisi nenda kawaambie wale walio hospitali watoke waende kuhubiriwa injili maana wanatakiwa kupona roho. Uponyaji wa roho unaanza na utayari wa anayeponywa nani aliye tayari kuhubiriwa injili akiwa ana maumivu? Mwenye uwezo huo ni yule aliye na roho wa Mungu ndani yake. Hata Yesu alipoletewa wagonjwa hakuwahubiria kwanza bali aliwaponya ndipo alipohubir habar za ufalme. Hata wachungaji tulio nao wakiumwa wanaenda hospitali hata kama ni siku ya ibada huo ndio ukweli. Waru wengi hatufaham uponyaji ni sawa na kuhubir maana wapo wanaomwamin Mungu kupitia watu walioponywa. Hata watu walijaa kumsikiliza Yesu na kumwamini kwa miujiza aliyoifanya.

  • @eliadahmhina4125
    @eliadahmhina412523 күн бұрын

    Mm Mungu amenitendea mambo mengi sana makubwa,kupitia madhabahuu hii ,nasonga mbele

  • @fredykanju8811

    @fredykanju8811

    22 күн бұрын

    Hivi ashawahi kuhubiri habari ya wokovu kweli au anatangaza tu miujiza.

  • @NMY-UInternationalMinistry

    @NMY-UInternationalMinistry

    21 күн бұрын

    Amina

  • @NMY-UInternationalMinistry

    @NMY-UInternationalMinistry

    21 күн бұрын

    ​@@fredykanju8811uatilia mahubiri yake ni Moja ya watu wanafafanua Neno kinaga ubaga

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    15 күн бұрын

    wewe songa ila Mbinguni utapasikia

  • @paulMlela

    @paulMlela

    12 күн бұрын

    ​@@fredykanju8811 Miujiza sio Habari za wokovu? Unamjua Simioni Mchawi wa kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume aliokoka kwa sababu ya kuona miujiza, watu Wana matatizo una hubiri wokovu unamwacha bado karogwa huyo ni Yesu kweli? Yesu alikuwa anahubiri na kuwaweka watu huru.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa29923 күн бұрын

    Mafutaaaa majii haaaa mbunguni ni mbali tutubu dhambi na kuacha baada ya kifo ni hukumu. Mmhhh MUNGU AIKUMBUKE TZ

  • @user-gu3ol1rv8g

    @user-gu3ol1rv8g

    22 күн бұрын

    Umeongea kitu cha maana mpedwa

  • @tiffanykerubo5327
    @tiffanykerubo532715 күн бұрын

    Thank you so much apostal My God bless you ,through your ministry i and my family we are nolonger the same the Jesus you have has changed our life for good we love you

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya394822 күн бұрын

    May God Keep on blessing you true Man of God🙏🏿Huna baya Baba yetu mpendwa ,umeokoa Wengi mno ndani na nje ya Nchi,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na kukubariki sana sana.

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn11 күн бұрын

    Hunabaya mwamposa wet tunazidi kukuombea mungu akupe maisha marefu uzidi kutufungua

  • @vero57
    @vero574 күн бұрын

    MUNGU akupe maisha marefu mtumishi mwamposa, asante sana baba kwa kutukomboa 🙏🏾🙏🏾

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m23 күн бұрын

    Bwana Yesu alitumia neno kumponya mgojwa wa yule akida, katika kitabu cha Mathayo 8:5-13. Alimwambia yule akida, enenda zako, iwe hivo kama ulivyoamini. Yule mgojwa alipona. Petro na Yohana walitumia neno la Mungu kumponya yule kiwete ambaye alikuwa anakaa mlangoni mwa hekalu, alisema nilichonacho ndicho nikupacho, simama uende zako, katika jina la Yesu Kristo, . Yule kiwete alianza kutembea vizuri. Matendo ya Mitume3:1-9. Sasa mwamposa hii mafuta ya upako umetoa wapi? Watumishi wa Mungu hawatumii mafuta ya upako. Wanatumia jina la Bwana Yesu Kristo. Haleluyaaaa.

  • @ASANTEMAMAHERBAL

    @ASANTEMAMAHERBAL

    23 күн бұрын

    Katika Marko 6:13, wanafunzi wanawapaka mafuta wagonjwa na kuwaponya. Katika Luka 7:46, Maria anatia mafuta miguu ya Yesu kama ibada. Katika Yakobo 5:14, wazee wa kanisa wanatia wagonjwa mafuta ya uponyaji. Katika Waebrania 1: 8-9, Mungu anasema kwa Kristo Anaporudi kwa ushindi mbinguni, "Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitakaa milele na milele ..." na Mungu anamtia mafuta Yesu "kwa mafuta ya furaha".

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    23 күн бұрын

    @@ASANTEMAMAHERBALhawezi kurudi huyu umempa nyundo kwelikweli

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    23 күн бұрын

    @@Leeeeeeee-96 nisirudi? Acha ushamba

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    23 күн бұрын

    @@ASANTEMAMAHERBAL mafuta inayozungumzwa hapa sio hiyo mafuta kama mafuta. Ni swala la uelewa tu. Ww bado ni kiongozi kipofu.

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    23 күн бұрын

    @@ASANTEMAMAHERBAL Yakobo 5:14, inasema hivi, mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa, nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Hapo hamaanishi mafuta kama mafuta, ila jina la Bwana ndio mafuta. Afu tafsiri nyingine ya mafuta bac ujue ni neno la Mungu. Oky? Kwanini umepotoka kiasi hiki? Yesu Kristo akusaidie. Amen.

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius755421 күн бұрын

    Mtumishi anasaidia wengi sana sababu huwezi kusema kwamba watu elfu tano wote wakose akili kumfata mtumishi ukiona una akili za hivo ujue hujakutana na matatizo barikiwa sana mtumishi 🙏🙏

  • @manswetitsuut

    @manswetitsuut

    20 күн бұрын

    Soma biblia Mathayo 24:15-30

  • @lawrence-xk1km

    @lawrence-xk1km

    17 күн бұрын

    @@manswetitsuut sasa mbona ulichojibu hakiendani na andiko ulilosema wasome?

  • @manswetitsuut

    @manswetitsuut

    17 күн бұрын

    Sorry nime note vibaya

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint987419 күн бұрын

    Asante Yesu kwaajili ya mtumishi ulietupa ninatembea kifua mbele chini ya Upako wa Mungu alie hai,glory to God🙏

  • @Ushashi26

    @Ushashi26

    16 күн бұрын

    Duh hahahahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ooooh hah😂😂 haha aahhaah 😂😂😂oouuhuuuhahaa wajinga ndiyo wakowao haah😂😂huuuu

  • @user-ez9qc2jo1x

    @user-ez9qc2jo1x

    13 күн бұрын

    unaushaidi gani Yesu kakupa huyu?

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks23 күн бұрын

    Maji, mafuta ndio nini uchawi, au unaagua, hakuna mungu hapo, hapo unapotosha watu

  • @johnsyonetz8323

    @johnsyonetz8323

    22 күн бұрын

    Hivi kwanini watu wanaenda kuhijj macca na kwanini wanachukua maji ya zamu zam?

  • @user-dn7gn6ib4k

    @user-dn7gn6ib4k

    22 күн бұрын

    ​@@johnsyonetz8323 have respect don't insult other people religion mind your business

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    22 күн бұрын

    Bora wewe ni Mkristo lakini unae akili ningeandika mimi muslim wangesema sana😂😂😂🎉🎉

  • @GilgariMinistryTanzania

    @GilgariMinistryTanzania

    22 күн бұрын

    @@GodfridMbele-sb1ks umelazimishwa kuangalia au kwenda mshamba ww

  • @jamesjoseph6825

    @jamesjoseph6825

    22 күн бұрын

    Vipi kuhusu ndugu zetu na maji ya zam zam? Vipi yesu alivyomponya yule kipovu kwa tope alilolitengeneza kwa mate? Vipi kuhusu kwenda kunawa mtoni mara 7?

  • @GraceMwazembe-fu8js
    @GraceMwazembe-fu8js19 күн бұрын

    Mtumishi mungu akuongezee siku za ishi hapa duniani unaokoa wengi na unaponya roho za watu kwa kupitia jina la yesu

  • @dorahwillson1807

    @dorahwillson1807

    19 күн бұрын

    Abarikiwe saana

  • @noahchepe8036
    @noahchepe803622 күн бұрын

    Siandiki kitu😮 maana watu wanafoka tukikosoa miujiza ya. Maji na mafuta😂

  • @tuzakavera534
    @tuzakavera53419 күн бұрын

    Huyu mtumishi ni wa kweli kabisa,ni mtumishi wa kweli wa Mungu

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m23 күн бұрын

    Swala la muda tu ngoja inyeshe tujue panapo vuja

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    23 күн бұрын

    Word

  • @goodneighbour2638

    @goodneighbour2638

    22 күн бұрын

    Naunga mkono pia kauli hii

  • @SymonJon-o3q

    @SymonJon-o3q

    20 күн бұрын

    Unacbria anguko lamtu bado aujaawa mtu mzima bado unahtaji maziwa

  • @ufahamuoriginal4092

    @ufahamuoriginal4092

    19 күн бұрын

    Hakika ni suala la muda tu

  • @shaffihsiraji3141

    @shaffihsiraji3141

    13 күн бұрын

    Unachukulia historia ya Babu wa roliondo😂

  • @goodluckkiget6359
    @goodluckkiget635923 күн бұрын

    “Ikabidi Mungu anipe hekima” kweli watu wanopotea kwakukosa maarifa.

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    @@goodluckkiget6359 we maarifa unayo? Basi wasaidie hao wanaoenda kwa Mwamposa ili waje kwako

  • @apostlej.rministiryprophet2219

    @apostlej.rministiryprophet2219

    22 күн бұрын

    Unajuwa bei ya kuandaa hayo mafuta?

  • @joycefrances4516

    @joycefrances4516

    22 күн бұрын

    We mjinga,mafuta yachangiwa sadaka ili ipatikane garama yakuandaa mengine,we nenda dukani ukachukue bure,ukatumie nyumbani kwako,nyie ndio mashoga mnaotaka vya bure,loh aibu,kaa kimya Mungu atakudhalilisha na uzao wako,uwe kichekesho,

  • @victorvenantkaigarula6255

    @victorvenantkaigarula6255

    22 күн бұрын

    @@joycefrances4516 mmmh!

  • @Bambagatz

    @Bambagatz

    22 күн бұрын

    @@joycefrances4516 Hili jibu ni kama mtu aliyepotoka 😂

  • @bibip9181
    @bibip918112 күн бұрын

    Mungu akuepushe na maradhi akupe afya na furaha miaka 1000,Mimi Rose kyara ninaushuhuda kitabu nasijawahi toa ushuhuda❤❤

  • @user-zx4zr3hc7y
    @user-zx4zr3hc7y15 күн бұрын

    Huyu ni mtumishi wa Mungu kweli hakuna wakupinga na hata anayepingq anajua moyoni mwake

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha141123 күн бұрын

    Wewe ni mfanya biashara kupitia Jina la MUNGU.. hakuna tafsiri nyingine..endelea kula hela za wajinga kwani imeshaandikwa "watu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA" ni wizi tu.

  • @user-hy4zb3eg1z

    @user-hy4zb3eg1z

    23 күн бұрын

    Kwan biashara ni dhambi.....foolish mind

  • @richardmbasha1411

    @richardmbasha1411

    23 күн бұрын

    @@user-hy4zb3eg1z you're as brainwashed as everyone else.... bogus mind...

  • @sylivanusbernard3325

    @sylivanusbernard3325

    23 күн бұрын

    Kwanini na ww usiifanye hiyo biashara mkuu,kaifanye uone utaingiza pesa kiasi gan

  • @NeemaEmmanuel-yl7dp

    @NeemaEmmanuel-yl7dp

    22 күн бұрын

    Si ni bora anatumia jina la Mungu kufanya biashara kuliko nyie mnaotumia waganga. You gotta be reasonable

  • @GraceKazi-z8d

    @GraceKazi-z8d

    21 күн бұрын

    Kafanye na ww upate faida Muraaa

  • @user-rb9pe8ip1e
    @user-rb9pe8ip1e23 күн бұрын

    Kuna njia nyingi za uponyaji, tuwe makini sana kwenye kuwatuhumu watumishi wa MUNGU, Nabii Mtumishi wa MUNGU wa kweli Boniface Mwamposa ametusaidia wengi, Chondechonde muacheni msimvunje moyo

  • @fredykanju8811

    @fredykanju8811

    22 күн бұрын

    Anasaidia au anawapoteza

  • @user-tc7lp2fb9d

    @user-tc7lp2fb9d

    22 күн бұрын

    @@fredykanju8811 amekupoteza wewe na ukoo wenu 😏

  • @dorahwillson1807
    @dorahwillson180719 күн бұрын

    ❤❤❤naomba Mungu aendelee kukuweka kwa ajili yetu ubarikiwe saana baba yaan ❤❤❤❤

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g21 күн бұрын

    Kweli apostle barikiwa baba tunafuraha kwa hajili yko tunapona na kufunguliwa 🙏🙏🙏

  • @neemacocorico2022
    @neemacocorico202222 күн бұрын

    Mungu bariki mtume Mwamposa.Wengine mafuta ni Gali Sana na kumuona ningali Sana.Ila yeye ni bure.

  • @amanmalima940
    @amanmalima94022 күн бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rz3 күн бұрын

    sisi tutaangaikia ufalme wako ee YAHWEH,YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai na ikikupendeza Mungu wetu hayo mengine tutazidishiwa , Asante YESU maana ni MUNGU hakuna kama Wewe,ni mwema, mpole na wala umhukumu mtu ila asiye liamini jina lako

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32313 күн бұрын

    Usichukue sadaka tokakwa masikini😢😢.Yesu hakuwa hivyo

  • @GabrielMwamlima
    @GabrielMwamlimaКүн бұрын

    Mungu amubariki sana mtumishi

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela17922 күн бұрын

    business kam business zingine 😂😂😂

  • @stephenjoseph1322
    @stephenjoseph132223 күн бұрын

    Amazing how the whole message not a single mention of Jesus.

  • @bernardmushi4869

    @bernardmushi4869

    22 күн бұрын

    JESUS IS HARMFUL TO HIS ALTAR.YOUR OBSERVATION IS VERY SPIRITUAL.THE BLIND DON'T SEE THIS!

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    22 күн бұрын

    He was not preaching..but interviewed

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    22 күн бұрын

    ​@@bernardmushi4869...shame on you being a fake witnessed 😅😅speaking without evidence...he has been mentioning Jesus Christ in his altar a thousands times

  • @iamnick8547

    @iamnick8547

    20 күн бұрын

    ​@@bernardmushi4869usilitaje bure Jina La Bwana Munguu wako😂😂😂

  • @deograciakashaigili5973

    @deograciakashaigili5973

    20 күн бұрын

    Ni hapo sasa!

  • @JonathanNtauta
    @JonathanNtauta23 күн бұрын

    Tatizo watu wanaamini miujiza wala siyo kuamini kuwa Yesu anaponya hapa kuna siri nzito

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    @@JonathanNtauta umejuaje kama hawaamini uponyaji wa Yesu? Kwani yesu si anaponya kupitia watumishi wake? Kwa hiyo walioenda kwa mitume akina Petro na Paulo nao hawakuamini kuwa Yesu anaponya?

  • @shijandobehe4953

    @shijandobehe4953

    23 күн бұрын

    ​@@abelmbata37anaponya bila watumishi

  • @imeldaalbert5328

    @imeldaalbert5328

    23 күн бұрын

    Sasa yesu akikuponya hiyo SI ndo miujiza

  • @PrudencePaul-mr1ge

    @PrudencePaul-mr1ge

    23 күн бұрын

    Changanoto ya Hawa watu hawajui miujiza ni nini

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    23 күн бұрын

    Wakristo mtatuonyesha mambo kwani anaeponya ni mungu au yesu??​@@abelmbata37

  • @user-im7wv1dn
    @user-im7wv1dn23 күн бұрын

    Mwamposaaaa moto unakusubl na mganga wanu tunamjua uko nigeria paschal cassian mtumishi na mwimbaj anajua sana suala hilo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 BUKOBA TZ

  • @Chakol123-k7s

    @Chakol123-k7s

    23 күн бұрын

    Na ww nenda Nigeria Kwa huyo mganga

  • @user-im7wv1dn

    @user-im7wv1dn

    23 күн бұрын

    Mambo ya walawi,waefeso na nyakati hizi mambo zinaisha na mwisho wake mbay yuk wap Tb joshua wa nigeria kuna mtu aliwahi kukusanya umati km ule njoo uganda yupo kakande pia mwamposa cha mtoto ila the ending of dis is🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @samehewaliokukoseya2605

    @samehewaliokukoseya2605

    23 күн бұрын

    ​@@user-im7wv1dnISUUKUMU USIJE UKAUKUMIWA

  • @AGM19697

    @AGM19697

    23 күн бұрын

    @@user-im7wv1dn Ingekuwa hivyo basi waganga wooote wangekimbilia huko. Maana pake kawe Vipofu wanaona, viziwi wanasikia, wasiozaa wanazaa, mapepo yanafikuzwa na vidungu vyoote kufunguliwa. Jina la Bwana litukuzwe

  • @nuruosward8161

    @nuruosward8161

    23 күн бұрын

    Kichaaa ww Ww ni mganga ndio anawachoma moto na maombi mnakuja huku mnaongea pumba😂

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha8817 күн бұрын

    MCHAWI ORIGINAL, Mwenda KUZIMU.... MTAALAMU WA KAFARA TANZANIA

  • @japhetbukuru5300
    @japhetbukuru530023 күн бұрын

    Hata Yesu alifanya miujiza mingi zaidi ya hii ya Leo. Tatizo hujawahi pata shida wewe!. Siku utamtafuta TU mwamposa

  • @chrisshonga

    @chrisshonga

    22 күн бұрын

    Aliyeandika NENO kuwa AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU ni nani mjomba wako?????

  • @charlietz7125

    @charlietz7125

    22 күн бұрын

    We nae ni zuzu... so tukipata shida kimbilio letu ni Mwamposa na sio kupiga magoti ku muomba Mungu?

  • @user-cd9nd9wd5q

    @user-cd9nd9wd5q

    22 күн бұрын

    @@chrisshongaYesu anaaminiwa ila watumishi wake kama huwaamin Yesu utamuamini 😂😂😂 ulitaka Yesu aje umuone

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    ​@@user-cd9nd9wd5q kila kitu kinamtumikia YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai-mwenyezi Mungu jamani sisi ametuonesha kwenye roho na mwili kuwa haka ni kapepo ka kuzimu

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole15 күн бұрын

    Mungu akuongezee baba yetu miaka mingi akuzishie

  • @ciscojr2277
    @ciscojr227723 күн бұрын

    Unafanya biashara kwa jina la Mungu...Yesu hakuwa mjinga kufukuza wale wafanyabiashara sinagogi

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o23 күн бұрын

    Ngozi nyeusi Shida hatutumi Akili kabisa Dini watu Saizi ni biashala ibada Nzuli Ni kufanya yaliyo Mapenzi Ya Mungu Vinana saizi wamejua wa kinga wengi mmoo paka wana kela

  • @user-im7wv1dn

    @user-im7wv1dn

    23 күн бұрын

    Akil mingi

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude751123 күн бұрын

    Wapo wapi akina Kakobe?wapo wapi akina Mzee wa Upako mpaka leo?na huyu naye atapita....watu wetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa.karama za Mungu huwa aziuzwi.bali karama za muovu zinapangiwa bei.

  • @iamnick8547

    @iamnick8547

    20 күн бұрын

    Elewa alichosema 😂😂 hizo kopo za kuwekea majii unampaga wewe!? Yeye na waumi wake walikubaliana kuchangia hela ya kopo sio maji wala mafuta asa unaumia nini

  • @iamnick8547

    @iamnick8547

    20 күн бұрын

    Alfu kijana Mwamposa umeanza kumskia leo au 😂😂😂😂 usifananishe na kina mzee wa upako....

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    15 күн бұрын

    ​@@iamnick8547Mafuta ya nini??Amuombe Mungu asitumie Maji au Mafuta

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    15 күн бұрын

    ​@@iamnick8547mmh Ndugu

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    Ni kweli YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai ndo Mwenyezi MUNGU

  • @MarmasMarah
    @MarmasMarah14 күн бұрын

    Namkumbuka sana akiwa Moshi Machame mianzini 🎉🎉kwa mzee massawe 😊😊

  • @AndreaHango
    @AndreaHango12 күн бұрын

    Nyie watu, hamkumbuki maneno ya Yesu? Manabii wengi(sio wachache) watatokea duniani na kudanganya wengi ( sio wachache) maneno ya Yesu lazima yatimie. Kwa hiyo ya mwamposa na wengine wengi wao ndiyo wanaojua kama wanamtukia au la, Sisi wengine hatuelewi siku moja itajulikana tu. Ila elewa mahali dunia iko ni hatari kuliko kawaida.

  • @puregamers4215
    @puregamers421523 күн бұрын

    wajinga ndio waliwao😂😂

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    23 күн бұрын

    Haaa nimecheka

  • @hamisimkoma7380

    @hamisimkoma7380

    23 күн бұрын

    Kweli kabisa.wacha tapeli ajinufaishe maana wajinga ni wengi mnoo

  • @gidionkadaraja1403

    @gidionkadaraja1403

    23 күн бұрын

    Mjinga ni wew usiyekubal ATA kujifunzaa kila mtu aliefanikiwa kwenye Jambo flan anahitaj pongez sio rahs Kama unavyozan

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    23 күн бұрын

    Wewe mjanja unanini mpaka sasa😂😂😂

  • @shabankitinga141

    @shabankitinga141

    23 күн бұрын

    Akili huna ww

  • @teresiafrancis8549
    @teresiafrancis854910 күн бұрын

    Be bless servant of JESUS

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rz3 күн бұрын

    kati ya vitu ulivyovifundisha ee YAHWEH, YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ni kuangaikia mwili

  • @GabriellaWiseman
    @GabriellaWiseman22 күн бұрын

    Ee Mungu utuokoe kwa njia ya msalaba wako mtakatifu amina

  • @DanielAllys
    @DanielAllys22 күн бұрын

    Mungu ampe maisha marefu sana mwamposa

  • @AuletaDausoni
    @AuletaDausoni21 күн бұрын

    Mungu akupe maisha malefu sana❤

  • @tfelician
    @tfelician9 күн бұрын

    Uponyaji na miujiza ni products sikuhz 😂😂😂

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky22 күн бұрын

    Jamaa anawapiga sana wamama hela

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah652422 күн бұрын

    Ubarikiwe sana baba. Nakuelewa

  • @jullymwaikenda564
    @jullymwaikenda56421 күн бұрын

    Mganga wako mzuri mm napokea upako, tuwaache waangamie kwa kukosa maarifa, Mungu akubaliki Sana mtumishi

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa33123 күн бұрын

    Mzee una hekima sana Ktk kujibu maswali

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    23 күн бұрын

    Kabisa

  • @ivonaevarista4654

    @ivonaevarista4654

    21 күн бұрын

    Hekima ya kipepo na kuzimu.

  • @aminamzawa5630
    @aminamzawa563023 күн бұрын

    Munguu akulindee mwaposaaa

  • @halimahassaniiyami3485
    @halimahassaniiyami348523 күн бұрын

    Bulldozer Mungu akupe umri mrefu anaejua ww n mtumish wa shetan ni Mungu pekee waache waongee wakichoka watakaa kimy huna baya

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz23 күн бұрын

    The world icon🌍

  • @FatnaMfinanga
    @FatnaMfinanga23 күн бұрын

    Wetapeli hunalote majibu yatapatikana

  • @user-dn8ok2io4l
    @user-dn8ok2io4l22 күн бұрын

    Tunao kuelewa tupo Mtumishi wa Mungu, sio lazima kila mtu akuelewe. Ndomana kuna imani tofauti dunian, ukristu wenyew umegawanyika -walokole,waingrikan,wakatolik,wasabato, mashahid wa yehova nakazalika...... Wanaoelewz na waelewe wasio elewa ba waacheee..

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu845821 күн бұрын

    Nikwer kabisaa nilikuwepo vatkan Bei tulitaja wenyewe nabarikiwa sana nawewe baba yangu Mungu akubariki sana

  • @soothingnaturesounds1209
    @soothingnaturesounds120922 күн бұрын

    Imani huja kwa kusikia, kusikia neno la Mungu, mara nyingi watu wanaocomment vibaya, walisikia jambo kuhusu yeye ambalo si zuri, na bila kufuatilia wakasema ni kweli na kuendeleza sumu waliyoipata kwa wengine, Maana Chuki siku zote hupandikizwa, na wanaocomment vizuri walisikia, kuhusu yeye habari njema, wako hapa. wanaoamini na wanaopinga Amani iwe nanyi.

  • @hellenmwayole8715
    @hellenmwayole871522 күн бұрын

    Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rz3 күн бұрын

    umezifupisha siku zetu,miaka yetu ni michache, BWANA hatutauhangaikia mwili unaokufa kesho ila ufalme wako na watu wote ni watumishi wako ila kuna mashetani wala kondoo kati yetu ambao sehemu yao ni kwenye ziwa la moto na wao wanajua hilo,wakakufulu kwa kulitumia jina lako wakadharau damu yako pale msalabani na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai uwaondoe na watu wote waone

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr21 күн бұрын

    Tapeli aliejipata Anakula vichwa vya watu 😂😂😂

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    20 күн бұрын

    Na watatapeliwa sanaaa😂 mpaka wakome

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ametuonesha haka ni kashetani tukiwa katika roho na mwili

  • @caesar7745
    @caesar774523 күн бұрын

    Watu ni wavivu kufanya kazi wanakimbilia makanisani ili kupata kazi😂😂. Unafanya kazi then unaenda kanisani kutoa sadaka

  • @MauBonde
    @MauBonde23 күн бұрын

    Mwisho wa mchezo yanakuja mambo ya bushiri wa south na tb joshua Nigeria

  • @imanimwanjoka2671

    @imanimwanjoka2671

    23 күн бұрын

    Kwani kazi zake si zinaendelea pamoja na kwamba hayupo , kazi ya Mungu haifi watu wanakufa

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    22 күн бұрын

    ​@@imanimwanjoka2671mpotevu😂

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    22 күн бұрын

    ​@@imanimwanjoka2671😂😂😂

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand202222 күн бұрын

    Mimi na Wengi tunaokupinga, tunasimamia kwamba "Siku za Mwisho watakuwepo Manabii wa Uongo" na tunakataa kabisa kwamba "Mungu anatenda Miujiza" na tunakataa na kudai kwamba "Siku za mwisho Mungu hatamwaga Roho Wake na watu hawataponywa", mimi na wote tunaokupinga tunahekima sana, tunakataa kabisa na kusema "Mungu sio mwenye huruma na Upendo hata amtendee binadamu fadhila", Tunakataa na kusema kwamba "Mungu yuko ndani ya Madhehebu yetu tu na siyo nje ya madhehebu yetu", mimi na pumbavu wenzangu tuliologwa na kulogeka, tunaamini kwamba, "wanaoweza kutenda Miujiza ni mapdri na wachungaji wa madhehebu yetu kwa kuwa wamesoma sanaaaaa biblia!" Mimi na wenzangu, tuko vizuri sana ktk maandiko na werevu sana ktk maongezi, lakini, KAMA HATUWEZI KUFANYA MUUJIZA WOWOTE, NA TUNACHOWEZA KUFANYA NI KUONGEA TU , NA KAMA WATU HAWASOMI MAANDIKO NA KUJUWA NYAKATI ZA KUJILIWA KWAO, KWANINI MIMI NA WATU FULANI-FULANI TUSIENDELEDELEEE KUWAFUNGIA WATU HAO MILANGO YA NEEEMA YA DAMU YA KRISTO?

  • @SARAKAMBARAGE
    @SARAKAMBARAGE21 күн бұрын

    Yupo smart kichwani.

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku123323 күн бұрын

    Tapeli wa matapeli

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    22 күн бұрын

    😂😂 na wewe ukiwa katapeli kadogo 😂😂😂

  • @Alexismadimo

    @Alexismadimo

    22 күн бұрын

    Katapel na wewe kama n rahis

  • @user-tc7lp2fb9d

    @user-tc7lp2fb9d

    22 күн бұрын

    Kwani wew umeshindwa nn kutapeli na wew

  • @QmSteezy

    @QmSteezy

    22 күн бұрын

    Sio kila mtu anataka kua tapeli.

  • @brendasamson2086

    @brendasamson2086

    21 күн бұрын

    Wewe ndo tapeli pepo wewe jina lako ninasomeka kama nuksi nini

  • @moshially2543
    @moshially254318 күн бұрын

    Namshukuru mungu ameniponya kupitia huduma hii ya madhabahu yainuka uangaze

  • @chamaibra5966
    @chamaibra596623 күн бұрын

    Kweli tanzania ndio nchi yenye wapumbavu wengi duniani

  • @chrisshonga

    @chrisshonga

    22 күн бұрын

    Ha ha ha ha ha ha ha! hakika

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    kweli bro, lakini huyu jamaa ashaamua kumtukana YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu,ni ka shetani ka motoni

  • @francessimilanzi4545
    @francessimilanzi454522 күн бұрын

    Mungu anakwelewa na anakweshim sana baba uzidi kuinuka

  • @RenathaElias
    @RenathaElias13 күн бұрын

    Mungu akuzidishie baraka umenitoa mbali

  • @salumjabir813
    @salumjabir8139 күн бұрын

    Watu weusi wanaangamia kwa kukosa maarifa...yan huyu ndo mtume wa kwanza kumiliki lodge😂😂😂😂

  • @Asheri-k5k
    @Asheri-k5k23 күн бұрын

    Mm binafsi siamini juu ya iman ya huyu jamaa

  • @GilgariMinistryTanzania

    @GilgariMinistryTanzania

    23 күн бұрын

    Siyo lazima uamin ww

  • @FredCharles-u3z

    @FredCharles-u3z

    21 күн бұрын

    Nikweli kaka

  • @user-ne2pr6vk6e

    @user-ne2pr6vk6e

    21 күн бұрын

    Unajua hujui, nenda kwa waganga wako

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho18 күн бұрын

    Kubali kataa haijalishi umetendewa jambo gani kupitia huyu mtumishi lakin ukweli ni kwamba hajaitwanna mungu kwa vigezi vya kibibilia

  • @mucky_perfume_store
    @mucky_perfume_store23 күн бұрын

    Kaja na akili tu mjini 😂

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    23 күн бұрын

    We akili unayo na hela huna😂😂😂masikini wa kutupaaa

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    huyu jamaa anatumia jina la MUNGU kuleta uharibifu kwenye roho za watu,nalichukia hili li shetani, Asante YESU KRISTO wa Nazareth uliye hai kwa kunifunulia la sivyo ningekuwa kama wao wajinga

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    ​@@magrethmbuma3045 maskini ni nini? maskini ni kuwa mbali na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai,sisi wakristo wa kweli hatuhitaji chochote

  • @IreneLyimo-l8o
    @IreneLyimo-l8o12 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @rizikiquelcinerizikiquelci2492
    @rizikiquelcinerizikiquelci249223 күн бұрын

    Kwa kweli mim nimekuja tz nimekuona bure kabisa, mungu akubariki zaidi mtumishi wa mungu maana nimeona muujiza wa mungu

  • @imanimussalacky3078

    @imanimussalacky3078

    23 күн бұрын

    Ulitoa kwa mtindo wa sadaka

  • @godiegodie1336

    @godiegodie1336

    23 күн бұрын

    ​@@imanimussalacky3078sasa sadaka si kila dini inatoa sadaka 😂

  • @imanimussalacky3078

    @imanimussalacky3078

    23 күн бұрын

    @@godiegodie1336 ndipo anapowapasua hapo unadhan apartment zake pesa anatolea wp, biashara hiyo

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    hata shetani hutenda kama hayo,soma Ayubu soma ufunuo,atafanya mpaka moto kushuka toka mbinguni

  • @rizikiquelcinerizikiquelci2492

    @rizikiquelcinerizikiquelci2492

    2 күн бұрын

    @@kelvinpius-ne9rz kwani mungu atendi muujiza au mungu ni maskini ? maana akitokea mtumishi wa mungu yoyote mungu kamuinua wanadam amkosi kumuhukumu

  • @DianaLyimo-be7yp
    @DianaLyimo-be7yp23 күн бұрын

    Nyie endeleeni kubwabwaja wenzenu tunaona mkono wa bwana kupitia mtumishi huyuhyu mnachelewa shauri en😂😂😂

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    23 күн бұрын

    Time, usifute hii comment

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    23 күн бұрын

    ​@@richardcastromzena5136😅😂😅😅

  • @marcelinebyamungu3463

    @marcelinebyamungu3463

    22 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu23 күн бұрын

    Shindwa kwa jina la Yesu, rikabato reee sikatelekaa, Ee Mungu tukomboe sis wanao tunaohangaishwa na matapeli wa injil

  • @VeronicaRugoyi

    @VeronicaRugoyi

    23 күн бұрын

    Stella😂😂😂

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    23 күн бұрын

    umeambiwa uende 😂

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂Sawa Mungu

  • @laninjeje8290

    @laninjeje8290

    22 күн бұрын

    Rikabato ree ndo Nini Kuma wewe, biblia imeandika walionena kwa lugha walikuwa wanaelewana na pia ukinena kwa lugha bila jamii kukuelewa ni Malaya tu😂

  • @joyjackson258
    @joyjackson25823 күн бұрын

    Sasa wewe kama humuelewi nyamaza kwa usalama wako , hakuna kitu kibaya kama kumnenea Mtumishi wa Mungu kwa kashifa utakutana na kitu kizito haya . Jifunze kunyamaza

  • @barakabusima

    @barakabusima

    23 күн бұрын

    Jifunze kuuliza ipo siku utauziwa mbuzi kwa gunia..

  • @HelenAbel-yq4tr

    @HelenAbel-yq4tr

    23 күн бұрын

    Nimekupenda bure🥰

  • @LovelyBoardGames-mc6zu

    @LovelyBoardGames-mc6zu

    23 күн бұрын

    Kwenda huko usitishe watu

  • @FOODMATTER144
    @FOODMATTER14421 күн бұрын

    Mimi nimempenda sana huyu mtumishi kwakua anatumia mafuta.

  • @Aginha235
    @Aginha23517 күн бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @zulfafengu3783
    @zulfafengu378322 күн бұрын

    Ubalikiwe mtumishi wa mungu

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d21 күн бұрын

    Mungu akutunze Mwamposa

  • @pceodhc
    @pceodhc23 күн бұрын

    Hallelujah!

  • @tusiimeroy3157
    @tusiimeroy315723 күн бұрын

    Mwamposa Tunaomba uende muhimbili, Oven road na sehemu nyingi watu wanateseka kawape upako Au mpaka wake hapo kawe? Upako wako aundi mahospitalini?

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    Hospitalini kuna madaktari kwa hiyo unataka hospitalini waende wachungaji, masheikh, waganga wa jadi hivyo hiyo itakuwa hospitali au fujo?

  • @Official83640

    @Official83640

    23 күн бұрын

    ​@@abelmbata37Sasa ma Dr si wanataka wagonjwa wapone kwahy akienda si atawasaidia ma Dr kutibu itakuwa vizuri 😂😂😂

  • @emmanuelmwendo2073

    @emmanuelmwendo2073

    23 күн бұрын

    Hakuna kitu hicho mambo ya kiroho yana madhabahu sio kila eneo linaruhisiwa kufanya mambo ya kiroho

  • @edchrisbeatz8976

    @edchrisbeatz8976

    23 күн бұрын

    @@abelmbata37kwani mwamposa kazi yake si nikuponya watu kwa kutumia mafuta !!? Au ni stupidty tricks anazo fanya 😂😂 hebu amkeni nyie mazombiiiiii mbona vichwa sisimiz ..u can be mwamposa of ur own stupid..ombea maji yako,ombea mafuta yako,weka imani juu yake kuwa atatenda thats all..mnajiingiza kwenye dhambi isiyo na maana kabisa..soma bible(hii inatokana na kutosoma bible asee mbona vtu vpo waz 😂

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    23 күн бұрын

    @@Official83640 unatoa hoja kama umeingia duniani ss hivi huelewi namna mambo yanavyoendeshwa duniani. Kwanza elewa kila kitu kinaendeshwa kwa utaratibu ndo maana unaona tunaishi kwa amani. Hospitali sio mahali pa kukusanyika wagonjwa ila ni mahali inapotolewa tiba ya kisayansi. Duniani kuna tiba za aina nyingi za kisayansi na kiroho. Tiba za kiroho nazo zinapatikana kwenye maeneo mahsusi ndi maana masheikh nao wana maeneo yao wanafanya dua mahali pake waganga wa jadi vilevile. Lakini pia ujue hospitali huiingii tu kuna sheria zake kwani kuna wagonjwa wanahitaji utulivu huwezi ingia ukipiga kelele kwa hoja ya kuombea watu.

  • @cyrusregnald1718
    @cyrusregnald171822 күн бұрын

    Kilicho andikwa na yanayosemwa ni vitu viwili tofauti ,,, watu wa Mungu wanapingwa sana😢

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu23 күн бұрын

    Mimi mwamposa hapana unatumia ngumu za kishetani sio MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI unamiungu yako

  • @AGM19697

    @AGM19697

    23 күн бұрын

    Tuonyeshe za Mungu zikoje ili tukuamini kama itadhibitika

  • @Alphonce-em2xi

    @Alphonce-em2xi

    23 күн бұрын

    Wewe Mungu wako Yuko wapi tukuamini

  • @kengeleloya9598

    @kengeleloya9598

    23 күн бұрын

    Bora huyu kuliko ww mwenye Mungu wakweli usie na faida kwa jamii

  • @ShukraniChomolla

    @ShukraniChomolla

    23 күн бұрын

    Huwa mnatumia wote hizo nguvu za kishetani umejuaje

  • @givenessdavid3743

    @givenessdavid3743

    23 күн бұрын

    Nna uhakika Huwa mpo pamona huko

  • @laninjeje8290
    @laninjeje829022 күн бұрын

    Paschal casian mbona nae ni shoga tu ni hao hao tu wa shetani

  • @pastormarkokabisatv6821
    @pastormarkokabisatv682115 күн бұрын

    Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake hata ajapo Bwana ambaye atayamulikisha yaliyo sitirika ya Giza na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo ndipo kila mtu atakapo ipata sifa yake kwa Mungu 1kor 4:5. Kwa andiko hilo niwaombeni wapendwa muachieni Mungu kazi msimseme vibaya mtumishi yeyote, Mungu ndiye atakaye wahukumu wenye haki na wasio haki soma mhubiri 3:17.

  • @eliadahmhina4125
    @eliadahmhina412523 күн бұрын

    Nakukubali sana mtumishi wa Mungu

  • @Bless510
    @Bless51017 күн бұрын

    Dady ❤❤❤

  • @mzumbesda
    @mzumbesda17 күн бұрын

    Na waenende kwa sheria na ushuhuda ikiwa hawasemi sawasawa na neno hilo, bila shaka kwao hapana asubuhi..! Waambie watu watubu dhambi yesu anarudi. Habari za maji na mafuta na kuhubiri mafanikio peke yake ni injili iliyokinyume kabisa na neno la Mungu. Sasa kama maandiko yanasema manabii wa uongo watatokea mnadhani ni akina nani kama sio hawa?! Wachache sana wanaiona njia ya kwenda uzimani.

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks23 күн бұрын

    Hizo ni nguvu za giza

  • @GilgariMinistryTanzania

    @GilgariMinistryTanzania

    23 күн бұрын

    Katafute na ww kama laisi kuzipata

  • @kelvinpius-ne9rz

    @kelvinpius-ne9rz

    3 күн бұрын

    YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai-mwenyezi Mungu ametuonesha haka ni kashetani tukiwa katika roho na mwili

  • @isunga1964
    @isunga196423 күн бұрын

    Safi sana mtumishi mwezi wa 12 ntavuka na changu na mimi Arise and Shine usiogope amini tu ❤

  • @mwilemwasenga7066
    @mwilemwasenga706623 күн бұрын

    Ok

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala221723 күн бұрын

    Nakukubali mtumishi shida yangu ni haya mambo ya mafuta na maji mmmh😏

  • @FrankDavid-en6on

    @FrankDavid-en6on

    23 күн бұрын

    Ndo Nini unapenda nyama hutaki mchuzi wake?

  • @augustinofifi

    @augustinofifi

    22 күн бұрын

    Msikilize akifundisha na soma maandiko utamuelewa

Келесі