Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani
@noahchepe80365 күн бұрын
Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa
@neema20719 сағат бұрын
Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana
@user-cr6fc7nt8k8 күн бұрын
Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana
@JasminBabulal4 күн бұрын
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
@NURU-YA-BWANA-TV
16 сағат бұрын
Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.
@pendopatrick212010 сағат бұрын
Ww siyo mtumshi WA mungu Kwa Nini unawasema vibaya mungu awezi kuku baliki kabisa
@user-wm2uj3bm8c2 күн бұрын
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
@ContentClam-df1vy4 күн бұрын
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
@ZamdaAllyHassan9 сағат бұрын
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
@MaggiemugoNjabini8 күн бұрын
Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏
@AlfredyLimu
5 күн бұрын
Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha
@MaggiemugoNjabini
19 сағат бұрын
@@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍
@Jacksonswai685Күн бұрын
Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian
@FrenkJoseph-sz3msКүн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
@evelynemitima580917 сағат бұрын
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
@ZacchaeusIsaya8 күн бұрын
Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa
@UpendoMbonica5 күн бұрын
Mungu atupe macho ya rohoni
@annanjoki68264 күн бұрын
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
@JustinKituyamaana-og3bg2 күн бұрын
Naomba Mungu akulinde na kila ubaya yoyote maana kiukweli uko mu vita kubwa
@garamakalama4078 күн бұрын
Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto
@Namaize-lc8sh2 күн бұрын
Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka
@user-uq3cp6cc3d
12 сағат бұрын
Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi
@nadiatanzania7 күн бұрын
Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘
@ShuhudaSilungwe8 күн бұрын
Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk
@PatriciaFelix-hx9wc2 күн бұрын
Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa
@VickyMbona10 сағат бұрын
Jaman wapendwa ulisema mungu kwa herufi ndogo ni WA duniani wa Mbinguni Jehovah unatumia herrfi kubwa jaman Mungu
@ericosambi27365 күн бұрын
Sasa hapaa ukweelii ni upii maanaa wakoo watuu Wana saidiaa na wamesaidika kupitiaa hawaa manabii TEENAA Sanaa JEE huyuu anae wasemaa wenginee yukoo sahihi kumbukeni mashitaka aliee shitakiwa nayoo YESUU na aliponya alifufua na aka hukumiwa na akafa JEE ukweli ukoo wapii kumbukeni mpakaa pilato alikimbiaa kumhukumu YESUU AKA waambiaa sioni makosaa ya mtuu huyuu na wanadamu wenyewe waka mhukumu wakasema afunguliwe baraba YESUU ahukumiwe JEE baraba alikuaa mtakatifuu kuliko Yesuu😂😂😊😊
@FRENKMATONANGE-dx6ql6 күн бұрын
Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏
@gib38885 күн бұрын
mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you
@JacklineKalinga-y4j8 күн бұрын
Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee
@ivongailo46008 күн бұрын
Mungu akulinde na huduma yako
@JAckayaJoohn11 сағат бұрын
Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza
@YuenPonsiano5 күн бұрын
Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde
@user-ey2xx1lo1cКүн бұрын
Eeee Mwenyezi Mungu hiki ni chombo chako umekishusha kusema ukweli. Mtunze na mpiganie.
@EzekielNdabalinzeКүн бұрын
Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake
@janethmwihumbo12897 күн бұрын
Yaani kiboko ya wachawi mavazi tu Yana ashiria
@gfydfdf88697 күн бұрын
Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila
@LevinaModesti9 сағат бұрын
Nawakubal Kuhani Musa Richald Mwacha na Kiboko ya Wachawi asilimia 100 niwatumishi wa Mungu hubirini kivyenu achen kuwajadil
@ZamdaAllyHassan10 сағат бұрын
KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni ..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu
@victoriamtangi32878 күн бұрын
Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂
@MariaJerome-u7j5 күн бұрын
Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!
@bulengepetite60625 күн бұрын
Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤
@amisamaurid18823 күн бұрын
Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili
@hadijasalim7769Күн бұрын
Igekua mungu anawazibu ingekua bora zaidi ndomaan mm musimu
@angelemmanuel714322 сағат бұрын
Mungu akutenzi
@emmanuelmateru21902 күн бұрын
Acha kumtaja Kuhani Mussa kwenye ishu ya huyo mchawi wa Congo. Wewe Cassian ni mpuuzi sana hujui unasimamia nini.
@PFD1238 күн бұрын
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
@happnesskitumbo5713
8 күн бұрын
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli
@SurprisedBoombox-od9dr
4 күн бұрын
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
@elishampoki87518 күн бұрын
Sema mtumishi wa Mungu Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki, Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
@mwakipiano4568
5 күн бұрын
Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa
@floramaziku6091Күн бұрын
Uko sawa mtumishi wa Mungu
@OmiMuhija2 күн бұрын
Hata mm na kuelewa sn kasian mungu akupe maixha maref sn na utufumbue macho weng
@JacklineKalinga-y4j8 күн бұрын
Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star
@MariamBright-v3m2 күн бұрын
Mungu afungue macho yetu
@user-ii1qk9xn9z8 күн бұрын
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo. Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
@WilsonEmmanuel-bs6op
8 күн бұрын
Mtumishi nakufatilia sana
@ImeldaMyingaКүн бұрын
Jamani mungu atusaidie sana
@LucyKapinga-fg4dk8 күн бұрын
Mungu Awafungue
@user-kl6zb6so3i7 күн бұрын
Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.
@saidemuamedeali267811 сағат бұрын
Allah na mshukuru kuwa muislamu
@EasterGlory3 күн бұрын
I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako
@idrisajaphary82756 күн бұрын
Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu
@LusajoKabuka7 күн бұрын
Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina
@KundaelGeorge-tv8mz7 күн бұрын
Mungu atusaidie sana
@LilyMaganga4 күн бұрын
Mungu atusaidie na atupe neema kubwa sana ya kuwatambua manabii wa uongo
@user-ih3zu6zt6m7 күн бұрын
Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu
@user-wd1ey8vy5u8 күн бұрын
Mungu tusaidie
@NyukiliabingwaКүн бұрын
Usichoke KUKEMEA MAOVU,,SIMAMA IMARA MUNGU AKUKUZE,,
@HASSANNGITU3 күн бұрын
Mmm Yesu yu karibu.
@Ushindiemmanuelushindi8 күн бұрын
Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤
@rechojohn1909Күн бұрын
Hapanilichoelewa mm unaponda wengine iliwajekwako na watoke kwahao waliopo dunia ipo mwisho kilamtu anaimani yake jmn tuwwemakini na hawawachungaji wanaoibuka kilasiku kwa nguvu tofauti
@FestoJemsi-lr8pw
9 сағат бұрын
Hahaha unakichwa kigumu sana kuelewa MUNGU AKUSAIDIE KICHWA KIWENAMACHO YA ROHONI
@OmAn-jw4jt8 күн бұрын
Nikweli kabisa mtumishi hawa watu wamechanganyikiwa sana jamani Mungu awasaidie
@uswegetunsalilemwasonya18247 күн бұрын
Mungu akupiganie mtumishi, unatufumbua macho
@michaelwanyanga6 күн бұрын
Paschal Cassian, you are real a man of YHWH-God. May the Lord Yahshua protect you against these crazy baldheads tormenting the nowadays church. I give you right hand to stand against these folks.
@barikimaluli61075 күн бұрын
Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa
@PascalSabonga8 күн бұрын
Watu hawa ni watu waliotekwa, wamefungwa kwenye mashimo wala hapana asemaye rudisha
@agnessndabhalu5 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi Cassian
@veronicahkhaikwa49295 күн бұрын
Hatari weeee Mungu atusaidie
@NizaLuka-gi8hf4 күн бұрын
Mungu Turehemu
@PaulinaNyanzalashija5 күн бұрын
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
@boniventurematta1419
5 күн бұрын
Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?
@EdmundTemba-pz8ui
4 күн бұрын
Pole mingu akusaidie
@jonsonigwakisa1162
2 күн бұрын
Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu
@kigongomasalu7402
2 күн бұрын
Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni
@rosemarykimath9337
14 сағат бұрын
Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine
@PriscaNzegenza2 күн бұрын
Mtu wa Mungu Fundisha Neno la Mungu ndio litawaweka watu huru kurusha Crip za hao ni kupoteza in Muda pia unawasadie kuwatangaza mkuu kazi zitapimwa
@FestoJemsi-lr8pw
9 сағат бұрын
Jama unakichwa kigumu hujaelewa
@Pendopasilika8 күн бұрын
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
@user-tt1nm9xs4n
6 күн бұрын
Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika
@Pendopasilika
5 күн бұрын
@@user-tt1nm9xs4nLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA
@estonmnthali37198 күн бұрын
Eish nyakati za mwisho kweri
@NancyMatuli-fb5jp5 күн бұрын
Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu
@gilliansiara33244 күн бұрын
Hapo kwa zumaridi mpya
@annehaysanday92143 күн бұрын
Huyu kiboko ya wachawi nilikuwa napenda kumfuatilia lakini sasa hivi naogopa hata kuangalia ibada zake siku moja alikuwa anasema mtu hata akionyesha chupi yake yy ataangalia tu na pia yy hawezi kukemea dhambi.Nimeogopa sana ni Mungu yupi anayemuhubiri!
Mbona wa tz nimatapeli kuliko wa congo 🇨🇩, Kuna wanao amini Mungu wa kweli congo tena bila shaka, lakini nyanya moja ikihoza usichanganye na nzima mtumishi, sio kuchanganya watu ahiza taifa nzima.
@victoriamtangi32878 күн бұрын
Mtumishi damu ya YESU ikufunike sijui wanakuelewa??? Au tunafuata miracle tu
@GeofreyMfipa9 сағат бұрын
Bora kusali moyoni mwako
@AminaMohammed-hb9kd2 күн бұрын
Kwanini unamuongelea MTU Kwa kumtaja Kwa. Jina Wewe ukitaka kutoka neno autakiwii kumtaja MTU Jina ikiwa wao awakuingelei ila mti wenye matunda ndio upigwa mawe mwache kiboko ya wachawi awachalaze
@EmmyJerremiah8 күн бұрын
Dahh 😂ngachoka mie
@mwana38872 күн бұрын
Mtumishi wa matukio juzi alikua anamsema Geordavie sasa hivi pastor dominick WAKATI HAKUNA HATA THELUSI YA ALICHOKIFANYA DHIDI YA HAWA ANAOWASEMA NI WATUMISHI WA SHETANI
Пікірлер: 284
Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani
Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa
Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana
Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
@NURU-YA-BWANA-TV
16 сағат бұрын
Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.
Ww siyo mtumshi WA mungu Kwa Nini unawasema vibaya mungu awezi kuku baliki kabisa
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏
@AlfredyLimu
5 күн бұрын
Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha
@MaggiemugoNjabini
19 сағат бұрын
@@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍
Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa
Mungu atupe macho ya rohoni
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
Naomba Mungu akulinde na kila ubaya yoyote maana kiukweli uko mu vita kubwa
Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto
Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka
@user-uq3cp6cc3d
12 сағат бұрын
Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi
Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘
Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk
Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa
Jaman wapendwa ulisema mungu kwa herufi ndogo ni WA duniani wa Mbinguni Jehovah unatumia herrfi kubwa jaman Mungu
Sasa hapaa ukweelii ni upii maanaa wakoo watuu Wana saidiaa na wamesaidika kupitiaa hawaa manabii TEENAA Sanaa JEE huyuu anae wasemaa wenginee yukoo sahihi kumbukeni mashitaka aliee shitakiwa nayoo YESUU na aliponya alifufua na aka hukumiwa na akafa JEE ukweli ukoo wapii kumbukeni mpakaa pilato alikimbiaa kumhukumu YESUU AKA waambiaa sioni makosaa ya mtuu huyuu na wanadamu wenyewe waka mhukumu wakasema afunguliwe baraba YESUU ahukumiwe JEE baraba alikuaa mtakatifuu kuliko Yesuu😂😂😊😊
Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏
mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you
Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee
Mungu akulinde na huduma yako
Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza
Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde
Eeee Mwenyezi Mungu hiki ni chombo chako umekishusha kusema ukweli. Mtunze na mpiganie.
Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake
Yaani kiboko ya wachawi mavazi tu Yana ashiria
Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila
Nawakubal Kuhani Musa Richald Mwacha na Kiboko ya Wachawi asilimia 100 niwatumishi wa Mungu hubirini kivyenu achen kuwajadil
KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni ..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu
Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂
Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!
Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤
Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili
Igekua mungu anawazibu ingekua bora zaidi ndomaan mm musimu
Mungu akutenzi
Acha kumtaja Kuhani Mussa kwenye ishu ya huyo mchawi wa Congo. Wewe Cassian ni mpuuzi sana hujui unasimamia nini.
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
@happnesskitumbo5713
8 күн бұрын
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
@aaronswai3092
5 күн бұрын
Hongera Yesu kakukomboa!
@EdmundTemba-pz8ui
5 күн бұрын
Usijaribu ndugu tenaaaaaaaaaaa soma neno, biblia inasema wanitafutao kwabidii wataniona
@michaelmasasila7615
5 күн бұрын
Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli
@SurprisedBoombox-od9dr
4 күн бұрын
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
Sema mtumishi wa Mungu Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki, Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
@mwakipiano4568
5 күн бұрын
Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa
Uko sawa mtumishi wa Mungu
Hata mm na kuelewa sn kasian mungu akupe maixha maref sn na utufumbue macho weng
Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star
Mungu afungue macho yetu
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo. Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
@WilsonEmmanuel-bs6op
8 күн бұрын
Mtumishi nakufatilia sana
Jamani mungu atusaidie sana
Mungu Awafungue
Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.
Allah na mshukuru kuwa muislamu
I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako
Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu
Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina
Mungu atusaidie sana
Mungu atusaidie na atupe neema kubwa sana ya kuwatambua manabii wa uongo
Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu
Mungu tusaidie
Usichoke KUKEMEA MAOVU,,SIMAMA IMARA MUNGU AKUKUZE,,
Mmm Yesu yu karibu.
Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤
Hapanilichoelewa mm unaponda wengine iliwajekwako na watoke kwahao waliopo dunia ipo mwisho kilamtu anaimani yake jmn tuwwemakini na hawawachungaji wanaoibuka kilasiku kwa nguvu tofauti
@FestoJemsi-lr8pw
9 сағат бұрын
Hahaha unakichwa kigumu sana kuelewa MUNGU AKUSAIDIE KICHWA KIWENAMACHO YA ROHONI
Nikweli kabisa mtumishi hawa watu wamechanganyikiwa sana jamani Mungu awasaidie
Mungu akupiganie mtumishi, unatufumbua macho
Paschal Cassian, you are real a man of YHWH-God. May the Lord Yahshua protect you against these crazy baldheads tormenting the nowadays church. I give you right hand to stand against these folks.
Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa
Watu hawa ni watu waliotekwa, wamefungwa kwenye mashimo wala hapana asemaye rudisha
Barikiwa sana mtumishi Cassian
Hatari weeee Mungu atusaidie
Mungu Turehemu
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
@boniventurematta1419
5 күн бұрын
Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?
@EdmundTemba-pz8ui
4 күн бұрын
Pole mingu akusaidie
@jonsonigwakisa1162
2 күн бұрын
Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu
@kigongomasalu7402
2 күн бұрын
Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni
@rosemarykimath9337
14 сағат бұрын
Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine
Mtu wa Mungu Fundisha Neno la Mungu ndio litawaweka watu huru kurusha Crip za hao ni kupoteza in Muda pia unawasadie kuwatangaza mkuu kazi zitapimwa
@FestoJemsi-lr8pw
9 сағат бұрын
Jama unakichwa kigumu hujaelewa
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
@user-tt1nm9xs4n
6 күн бұрын
Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika
@Pendopasilika
5 күн бұрын
@@user-tt1nm9xs4nLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA
Eish nyakati za mwisho kweri
Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu
Hapo kwa zumaridi mpya
Huyu kiboko ya wachawi nilikuwa napenda kumfuatilia lakini sasa hivi naogopa hata kuangalia ibada zake siku moja alikuwa anasema mtu hata akionyesha chupi yake yy ataangalia tu na pia yy hawezi kukemea dhambi.Nimeogopa sana ni Mungu yupi anayemuhubiri!
Alimuona huyo mwenzake hamshangilii,hasemi amen haonyeshi kumkubali ndipo akakasirika akamtimua
Mimi nafikili ungekuwa bize kumuhubori kristo kuliko kufatilia ya wengine
@Namaize-lc8sh
4 сағат бұрын
@@bethmahela2182 uko sahihi ndugu
Kwa wenye huduma inaelekea kama Kuna wenye maelekezo ya sirikali na walio na maono.Sasa hii maana kunatokea kushangaana na kuraruana mitandaoni
Mungu awe nawe, ukweli nikwamba watu wamefungwa hapo
Kweli baba yetu ume tuvunja mioyo yetu kuhusu chupi jamani baba utaangalia kweli
Kweli kabisaaa
Jamani hiyo ni madhabu gn 😢😢 huyu kufuru anatesa watu huyu kiboko ya wachawi. Angeobwa uhai angeuwa watu 😢Mungu tupe macho ya rohon
@user-tt1nm9xs4n
6 күн бұрын
Anaua wachaw
Yesu yu karibu malangoni. KANISA limevamiwa na mashetani
Mungu awasaidie. Wana macho lakini hawaoni, Wana masikio lakini hawasikii.
Hapa umekosea. Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Kabisa kabisa
@Namaize-lc8sh
2 күн бұрын
Hata usimjbu kimya nayo ni baraka acha apambane
@WilliamMsungu
Күн бұрын
Umejuaje kama wa ukwel
@NathanLeonard-eq5fc
18 сағат бұрын
Wewe zombi kweli 😅😅😅😅
Jamaa yangu alienda kule nikamwambia wafaaaaa, akatoka haraka😂😂
Mbona wa tz nimatapeli kuliko wa congo 🇨🇩, Kuna wanao amini Mungu wa kweli congo tena bila shaka, lakini nyanya moja ikihoza usichanganye na nzima mtumishi, sio kuchanganya watu ahiza taifa nzima.
Mtumishi damu ya YESU ikufunike sijui wanakuelewa??? Au tunafuata miracle tu
Bora kusali moyoni mwako
Kwanini unamuongelea MTU Kwa kumtaja Kwa. Jina Wewe ukitaka kutoka neno autakiwii kumtaja MTU Jina ikiwa wao awakuingelei ila mti wenye matunda ndio upigwa mawe mwache kiboko ya wachawi awachalaze
Dahh 😂ngachoka mie
Mtumishi wa matukio juzi alikua anamsema Geordavie sasa hivi pastor dominick WAKATI HAKUNA HATA THELUSI YA ALICHOKIFANYA DHIDI YA HAWA ANAOWASEMA NI WATUMISHI WA SHETANI
Yesu akutunze
Nimekuelewa
Ni kweli