KIBOKO YA WACHAWI AINGIA PABAYA AMTAJA PAUL MAKONDA | NITAGAWA PESA ARUSHA

#kibokoyawachawi #paulmakonda

Пікірлер: 76

  • @APPOSTLEIbrahimuNangale
    @APPOSTLEIbrahimuNangale13 күн бұрын

    Makonda mtu wa mungu usimtaje taje mtu wa mungu pambana kuzimu umekubali kuitumikia

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n7 күн бұрын

    Mungu amnusuru Makonda asije kumpoteza Mungu aliyemuinua kwa mungu asiejulikana

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama440722 күн бұрын

    Watanzania tumtake Bwana na nguvu zakeeeeee Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @TheresiaSteven-bq6ze
    @TheresiaSteven-bq6ze18 күн бұрын

    Woteeeee mnaomchukia kiboko ya wachawi mjue kuwapiga kitu kizitooo😂,ila mimi nampenda kibokoo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ishi miaka baba na mungu azidi kukupabaraka

  • @CatherineMbatta

    @CatherineMbatta

    16 күн бұрын

    Hata Mimi kweli nampenda niwe Tu mkweli

  • @JICHOLA3MADHABAHUNI
    @JICHOLA3MADHABAHUNI11 күн бұрын

    Mtumishi yeyote anaye tumia matatizo ya watu kama fursa ya kujitengenezea kipato ni nabii wa uongoe

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation12 күн бұрын

    Mungu akubariki Dady kwa kufika Arusha wachawi watakoma Mwe!

  • @RubensaroSaro-ip6by
    @RubensaroSaro-ip6by24 күн бұрын

    Hatutaki ujio wako, wala hatujakuambia tunashida na pesa wala upako wako MUNGU aliye hai atakuadhibu Kwa viboko vikali unamajigambo ya kizimu kabisaa

  • @kinogekimbeho3781

    @kinogekimbeho3781

    16 күн бұрын

    wivu tu.endelea na uamasikini wako

  • @hellenyosse1302
    @hellenyosse130223 күн бұрын

    Usichanganye wana wa Mungu

  • @saimongilala8938
    @saimongilala893819 күн бұрын

    ww pumbavu zako taper mkubwa ww

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn11287 күн бұрын

    Huna uwezo wa kugawa pesa Arusha yote wew bado sana endelea kujitafta

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle22 күн бұрын

    CHEKI ALIVYONYOA KWANZA ETI MTUMISHI WA MUNGU SHINDWA KABISA

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    20 күн бұрын

    Jamani wakristo tunapenda mserereko mno nyakati hiziii kulikoniii

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    17 күн бұрын

    Yoa haiusiani wa UK NA USA MBONA HUWASEMI

  • @victorkalolo5350
    @victorkalolo53508 күн бұрын

    Namakonda atagawiwa hela jaman dunia inavituko hiii

  • @Elimuyaufalmewambinguni
    @Elimuyaufalmewambinguni24 күн бұрын

    Ewe inchi(ardhi) na Anga (mbingu) ARUSHA,Kwa Neno la Bwana msipokee uchawi,Uganga na unajimu naviamuru kwa Damu ya Yesu Kristo na kwaJina la Yesu Kristo visifanikiwe,Nalituma Neno ZABURI 107:20 , Amina.

  • @LatiphaMwanga

    @LatiphaMwanga

    21 күн бұрын

    ★ chuga ni chuga = chuga + chaga

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    20 күн бұрын

    @@LatiphaMwanga🙄🙄🙄

  • @JaneChissawilo-dr7nn

    @JaneChissawilo-dr7nn

    20 күн бұрын

    Yaani hivyo vyote vipo upande wa mtumishi wa Mungu Dominic utajua baadaye kuwa nani yupo upande wa MUNGU.Mnataka Yesu afanye Kazi kupitia ufahamu mdogo wa kwenu? Nakuhakikishia mbingu imemkubali hakuna atakayepinga.Do you know Jesus?

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele21 күн бұрын

    Shetan wewe pumbavu pepo wewe ndio mchaw mwenyewe

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka21 күн бұрын

    Ushindwe Tena ushindwe makonda mungu akupe macho ya ndani ya rohoni huyo huyo no no Tena noo ameni

  • @user-kv8jh5kr5h
    @user-kv8jh5kr5h21 күн бұрын

    Pumbavu zako shetan wwe, utakufa vibaya ww

  • @sandrangoma-jn9qw
    @sandrangoma-jn9qw14 күн бұрын

    Wachawi na washirikina wanachukia sana mtumishi ambae anatabiri Coz anatoa siri zao uko juu baba fufua walio kufa kimsukule ndani ya Arusha

  • @user-nf5zd7wg1f
    @user-nf5zd7wg1f23 күн бұрын

    Sikupendi weewe ni Ibilisi live. Ulimrubuni mke wangu akakuletea laki 5 na hukumuombea zaidi ulimwambie aandike majina katika karatasi utayaombea mwenyewe hayo majina baadae. Haufaai kabisa ww ni nabii wa kuzimu.. Mwenye jicho haambiiwi tazama.

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    20 күн бұрын

    Kaka pole watu wanatafuta Pesa kwa kutumia jina la YESUU tuweni machoo

  • @SeifJuma-yt1pk

    @SeifJuma-yt1pk

    18 күн бұрын

    Kumbe Tena kuombewa mpka Hela?mmi nilitaka kuja kuombewa kumbe maombezi ya pesa kwanza?bc hapo akuna yesu live

  • @JICHOLA3MADHABAHUNI

    @JICHOLA3MADHABAHUNI

    11 күн бұрын

    Manabii wa uongo wote hutumia matatizo ya watu kama fursa ya kutengeneza kipato tuwe makini.

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    9 күн бұрын

    Eeh wajinga ndo waliwao,huyu ni tapeli jamani na amesema live,ye hana mda wa kukwambia Habari za Yesu,wala utakatifu,amesema kabisa ye anataka pesa afanye mambo yake.sasa nyie mnaomfata ndo wenye shida.tafuteni kuongozwa na roho

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo357711 күн бұрын

    Bonge la tapeli hana uchungaji wala nini ni mazingaombwe ndio anayo wa si mchungaji siku za mwisho mtawatambua kwa matendo yao

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb21 күн бұрын

    Paul Makonda Yesu.akufiche usikutane na huyu agent..

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u5 күн бұрын

    Pesa hazigaiwi kama karanga,acha kupotosha

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert19920 күн бұрын

    Jamani hizi dini za nowadays jamaniii mhmhm

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l15 күн бұрын

    Tunamtaguta mungu lakini kwa apa apana sasa najiuliza hizo pesa yeye anazipata wapi waumini wezangu tuweni makini apa tunapigwa

  • @hellenyosse1302
    @hellenyosse130223 күн бұрын

    Mtumwa wa shetani hatukutaki aes

  • @WansolaLuther-tq8qm
    @WansolaLuther-tq8qm23 күн бұрын

    Sifa tu, sikupendi kabisa.

  • @najmqhamisi5637
    @najmqhamisi563717 күн бұрын

    Mimi nataka kuhombewa lakini Niko mbali nihombe aki

  • @dubai8594
    @dubai859424 күн бұрын

    HUYU NI SHETANI MZIMA MZIMA

  • @lukresiatemba293
    @lukresiatemba29320 күн бұрын

    Wewe ni wa mungu kweli

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    19 күн бұрын

    Huyo unayomuita Mungu ni shetani na wewe ni pepo MUNGU HAJAZAA WALA HAKUZALIWA HANA MSHIRIKA..

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo357711 күн бұрын

    Makonda umwache kabisa tena umkome wewe ni Tapeli na ni mazingaombwe huyo anao

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g20 күн бұрын

    Mh Makonda kuwa makini Na huyo Ajent

  • @RamadhaniMusa-jg2cu
    @RamadhaniMusa-jg2cu18 күн бұрын

    Unabenki?,hacha upambe Kiana; wewe rais?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala13816 күн бұрын

    Hivi ndiyo vinabii vipumbavu vya kuchomwa moto vinawataabisha watu kwa utapel

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba20 күн бұрын

    Kwenda tapeli

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    17 күн бұрын

    Ukimtukana mtumishi haikusaidii kitu dada asha baki ma imani yako tu

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c18 күн бұрын

    Yani wewe unagawa hela sikuza mwisho makonda huyo ,mtu unakubalianae ,,wewe nimklisto waukweri sana makonda

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp13 күн бұрын

    Mbona hajaongea vibaya kWa makonda

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa18 күн бұрын

    Shetani wewe,,wadanganye hao misukule wako

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale922715 күн бұрын

    Makonda kuwa makini na huyo mtu yaana hata aside we kibali cha kuja huko

  • @AbdulMsafiri-s6c
    @AbdulMsafiri-s6c7 күн бұрын

    KUTOKA KUCHOMA MAHINDI BUZA MPAKA KUUWA MCHUNGAJI ......MUNGU TUOKOWE KWENYE HILIII MANA MATAPEL NI WENG SANA

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c18 күн бұрын

    Makonda usikubali hata kumpa mkono huyo

  • @WansolaLuther-tq8qm
    @WansolaLuther-tq8qm23 күн бұрын

    Wana Arusha hatukutaki

  • @TheresiaSteven-bq6ze

    @TheresiaSteven-bq6ze

    18 күн бұрын

    Ww ndy awakutak nenda kwenye kongamano kama ujafa mchaw ww

  • @benotayari5970
    @benotayari597017 күн бұрын

    Mmeshaanza kumuiga mwamposa kila tu fanyeni yenu hata aibu auoni

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph787718 күн бұрын

    Mwizi tuu huyu

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn21 күн бұрын

    Jihadharini ninyii mnaomtukana kijana mtumishi wa Mungu!Fikiri kabla ya kutenda! Usifuate mkumbo.MUNGUhachunguziki.Wayahudi wote walinyanyuka kwa nia moja mkataa Yesu. Msije mkafanana nao.

  • @erickmsigala138

    @erickmsigala138

    16 күн бұрын

    Huyu si Mtumishi wa Mungu ni kinyesi cha Ibilisi wanao msikiliza tapel ni wapumbvu walio filisika kiroho

  • @fidemikaeli8145

    @fidemikaeli8145

    15 күн бұрын

    Kabisa

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    9 күн бұрын

    Kinyesi cha ibilisi na tapeli ila wajinga ndo waliwao

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv19 күн бұрын

    Wivu tu unamwiga mwambosa huna chochote

  • @lukresiatemba293
    @lukresiatemba29320 күн бұрын

    Si kila mtu asemaye bwana bwana atakaye ingia mbingun uyu mtoa Tano sijawai ona ameshika biblia

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729521 күн бұрын

    Bhangi huyu

  • @user-ot5lo9oh6m
    @user-ot5lo9oh6m10 күн бұрын

    Porojo

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u6 күн бұрын

    Husk kiboko ya wachawi wewe nikiboko ya wajinga eti wa watu watapona hata kama hajafika hmm makafiri muna mambo

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s23 күн бұрын

    Muongo ugawe hela wakati wewe nilikuja kwako kukuona ukataka 50000 ili uniombee.waongopee hao mm nimestuka na usimchanganye baba kigani na mambo yako yaliyojificha kupitia jina la mwokozi wetu kwendraaaaa wee mwenye unataka hela😂😂😂😂.chei

  • @RoseMayige-gn9qb

    @RoseMayige-gn9qb

    21 күн бұрын

    Itakua hizo hela amezifanyia jambo, si bure!!

  • @idrisajaphary8275

    @idrisajaphary8275

    20 күн бұрын

    Hahaha kwa hiyo unamkubali Ila pesa ndio tatizo

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    20 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 Watu waamke Ibilisi anapita mchana kweupeee peeeee

  • @SeifJuma-yt1pk

    @SeifJuma-yt1pk

    18 күн бұрын

    Kumbe helakwanza maombezi baadae?duh ndio nimetambua hakuna yesu apo

  • @fidemikaeli8145

    @fidemikaeli8145

    15 күн бұрын

    Yesu anarudi, kanisa tuwemacho

  • @billyblankscleophas8517
    @billyblankscleophas851720 күн бұрын

    Shetan mkubwa mbwa ww

  • @TheresiaSteven-bq6ze

    @TheresiaSteven-bq6ze

    18 күн бұрын

    Mungu akusamehee bureee Woote mmeubwa na mungu kwann umkosoe mwenzio we uliekamilika unakipi😅

  • @SeifJuma-yt1pk

    @SeifJuma-yt1pk

    18 күн бұрын

    ​@@TheresiaSteven-bq6zewengi wanampinga huyu nabii bc kuna kitu sio bure na hakuna maombezi ya pesa kwanza maana imeandikwa toeni bure

  • @user-xr4cd3ki4i
    @user-xr4cd3ki4i18 күн бұрын

    Makonda usimpe huyo mkono ni mchawi mkongo aoñdoke kwetu

Келесі