KIBOKO YA WACHAWI AINGIA PABAYA AMTAJA PAUL MAKONDA | NITAGAWA PESA ARUSHA
#kibokoyawachawi #paulmakonda
Жүктеу.....
Пікірлер: 76
@APPOSTLEIbrahimuNangale13 күн бұрын
Makonda mtu wa mungu usimtaje taje mtu wa mungu pambana kuzimu umekubali kuitumikia
@user-eu6ql9zl7n7 күн бұрын
Mungu amnusuru Makonda asije kumpoteza Mungu aliyemuinua kwa mungu asiejulikana
@mwanyongamama440722 күн бұрын
Watanzania tumtake Bwana na nguvu zakeeeeee Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai
@TheresiaSteven-bq6ze18 күн бұрын
Woteeeee mnaomchukia kiboko ya wachawi mjue kuwapiga kitu kizitooo😂,ila mimi nampenda kibokoo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ishi miaka baba na mungu azidi kukupabaraka
@CatherineMbatta
16 күн бұрын
Hata Mimi kweli nampenda niwe Tu mkweli
@JICHOLA3MADHABAHUNI11 күн бұрын
Mtumishi yeyote anaye tumia matatizo ya watu kama fursa ya kujitengenezea kipato ni nabii wa uongoe
@mbwawafillingstation12 күн бұрын
Mungu akubariki Dady kwa kufika Arusha wachawi watakoma Mwe!
@RubensaroSaro-ip6by24 күн бұрын
Hatutaki ujio wako, wala hatujakuambia tunashida na pesa wala upako wako MUNGU aliye hai atakuadhibu Kwa viboko vikali unamajigambo ya kizimu kabisaa
@kinogekimbeho3781
16 күн бұрын
wivu tu.endelea na uamasikini wako
@hellenyosse130223 күн бұрын
Usichanganye wana wa Mungu
@saimongilala893819 күн бұрын
ww pumbavu zako taper mkubwa ww
@dominickjohn11287 күн бұрын
Huna uwezo wa kugawa pesa Arusha yote wew bado sana endelea kujitafta
@nelsonnyamle22 күн бұрын
CHEKI ALIVYONYOA KWANZA ETI MTUMISHI WA MUNGU SHINDWA KABISA
Namakonda atagawiwa hela jaman dunia inavituko hiii
@Elimuyaufalmewambinguni24 күн бұрын
Ewe inchi(ardhi) na Anga (mbingu) ARUSHA,Kwa Neno la Bwana msipokee uchawi,Uganga na unajimu naviamuru kwa Damu ya Yesu Kristo na kwaJina la Yesu Kristo visifanikiwe,Nalituma Neno ZABURI 107:20 , Amina.
@LatiphaMwanga
21 күн бұрын
★ chuga ni chuga = chuga + chaga
@upendogreutert199
20 күн бұрын
@@LatiphaMwanga🙄🙄🙄
@JaneChissawilo-dr7nn
20 күн бұрын
Yaani hivyo vyote vipo upande wa mtumishi wa Mungu Dominic utajua baadaye kuwa nani yupo upande wa MUNGU.Mnataka Yesu afanye Kazi kupitia ufahamu mdogo wa kwenu? Nakuhakikishia mbingu imemkubali hakuna atakayepinga.Do you know Jesus?
@DaimonMwapelele21 күн бұрын
Shetan wewe pumbavu pepo wewe ndio mchaw mwenyewe
@LusajoKabuka21 күн бұрын
Ushindwe Tena ushindwe makonda mungu akupe macho ya ndani ya rohoni huyo huyo no no Tena noo ameni
@user-kv8jh5kr5h21 күн бұрын
Pumbavu zako shetan wwe, utakufa vibaya ww
@sandrangoma-jn9qw14 күн бұрын
Wachawi na washirikina wanachukia sana mtumishi ambae anatabiri Coz anatoa siri zao uko juu baba fufua walio kufa kimsukule ndani ya Arusha
@user-nf5zd7wg1f23 күн бұрын
Sikupendi weewe ni Ibilisi live. Ulimrubuni mke wangu akakuletea laki 5 na hukumuombea zaidi ulimwambie aandike majina katika karatasi utayaombea mwenyewe hayo majina baadae. Haufaai kabisa ww ni nabii wa kuzimu.. Mwenye jicho haambiiwi tazama.
@upendogreutert199
20 күн бұрын
Kaka pole watu wanatafuta Pesa kwa kutumia jina la YESUU tuweni machoo
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
Kumbe Tena kuombewa mpka Hela?mmi nilitaka kuja kuombewa kumbe maombezi ya pesa kwanza?bc hapo akuna yesu live
@JICHOLA3MADHABAHUNI
11 күн бұрын
Manabii wa uongo wote hutumia matatizo ya watu kama fursa ya kutengeneza kipato tuwe makini.
@olivernyange2349
9 күн бұрын
Eeh wajinga ndo waliwao,huyu ni tapeli jamani na amesema live,ye hana mda wa kukwambia Habari za Yesu,wala utakatifu,amesema kabisa ye anataka pesa afanye mambo yake.sasa nyie mnaomfata ndo wenye shida.tafuteni kuongozwa na roho
@mossyfimbo357711 күн бұрын
Bonge la tapeli hana uchungaji wala nini ni mazingaombwe ndio anayo wa si mchungaji siku za mwisho mtawatambua kwa matendo yao
@RoseMayige-gn9qb21 күн бұрын
Paul Makonda Yesu.akufiche usikutane na huyu agent..
@user-gv4jx2fp4u5 күн бұрын
Pesa hazigaiwi kama karanga,acha kupotosha
@upendogreutert19920 күн бұрын
Jamani hizi dini za nowadays jamaniii mhmhm
@user-zm7kk1tr5l15 күн бұрын
Tunamtaguta mungu lakini kwa apa apana sasa najiuliza hizo pesa yeye anazipata wapi waumini wezangu tuweni makini apa tunapigwa
@hellenyosse130223 күн бұрын
Mtumwa wa shetani hatukutaki aes
@WansolaLuther-tq8qm23 күн бұрын
Sifa tu, sikupendi kabisa.
@najmqhamisi563717 күн бұрын
Mimi nataka kuhombewa lakini Niko mbali nihombe aki
@dubai859424 күн бұрын
HUYU NI SHETANI MZIMA MZIMA
@lukresiatemba29320 күн бұрын
Wewe ni wa mungu kweli
@ayububakari9942
19 күн бұрын
Huyo unayomuita Mungu ni shetani na wewe ni pepo MUNGU HAJAZAA WALA HAKUZALIWA HANA MSHIRIKA..
@mossyfimbo357711 күн бұрын
Makonda umwache kabisa tena umkome wewe ni Tapeli na ni mazingaombwe huyo anao
Hivi ndiyo vinabii vipumbavu vya kuchomwa moto vinawataabisha watu kwa utapel
@AshaMwamba20 күн бұрын
Kwenda tapeli
@kellyngogo3319
17 күн бұрын
Ukimtukana mtumishi haikusaidii kitu dada asha baki ma imani yako tu
@user-yj5es1jw8c18 күн бұрын
Yani wewe unagawa hela sikuza mwisho makonda huyo ,mtu unakubalianae ,,wewe nimklisto waukweri sana makonda
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp13 күн бұрын
Mbona hajaongea vibaya kWa makonda
@hadijatwahadossa18 күн бұрын
Shetani wewe,,wadanganye hao misukule wako
@saidakiwale922715 күн бұрын
Makonda kuwa makini na huyo mtu yaana hata aside we kibali cha kuja huko
@AbdulMsafiri-s6c7 күн бұрын
KUTOKA KUCHOMA MAHINDI BUZA MPAKA KUUWA MCHUNGAJI ......MUNGU TUOKOWE KWENYE HILIII MANA MATAPEL NI WENG SANA
@user-yj5es1jw8c18 күн бұрын
Makonda usikubali hata kumpa mkono huyo
@WansolaLuther-tq8qm23 күн бұрын
Wana Arusha hatukutaki
@TheresiaSteven-bq6ze
18 күн бұрын
Ww ndy awakutak nenda kwenye kongamano kama ujafa mchaw ww
@benotayari597017 күн бұрын
Mmeshaanza kumuiga mwamposa kila tu fanyeni yenu hata aibu auoni
@omaryyusuph787718 күн бұрын
Mwizi tuu huyu
@JaneChissawilo-dr7nn21 күн бұрын
Jihadharini ninyii mnaomtukana kijana mtumishi wa Mungu!Fikiri kabla ya kutenda! Usifuate mkumbo.MUNGUhachunguziki.Wayahudi wote walinyanyuka kwa nia moja mkataa Yesu. Msije mkafanana nao.
@erickmsigala138
16 күн бұрын
Huyu si Mtumishi wa Mungu ni kinyesi cha Ibilisi wanao msikiliza tapel ni wapumbvu walio filisika kiroho
@fidemikaeli8145
15 күн бұрын
Kabisa
@olivernyange2349
9 күн бұрын
Kinyesi cha ibilisi na tapeli ila wajinga ndo waliwao
@apostlemussaonlinetv19 күн бұрын
Wivu tu unamwiga mwambosa huna chochote
@lukresiatemba29320 күн бұрын
Si kila mtu asemaye bwana bwana atakaye ingia mbingun uyu mtoa Tano sijawai ona ameshika biblia
@jumakapilima729521 күн бұрын
Bhangi huyu
@user-ot5lo9oh6m10 күн бұрын
Porojo
@user-es4uf6gj7u6 күн бұрын
Husk kiboko ya wachawi wewe nikiboko ya wajinga eti wa watu watapona hata kama hajafika hmm makafiri muna mambo
@user-fq3bf4cd1s23 күн бұрын
Muongo ugawe hela wakati wewe nilikuja kwako kukuona ukataka 50000 ili uniombee.waongopee hao mm nimestuka na usimchanganye baba kigani na mambo yako yaliyojificha kupitia jina la mwokozi wetu kwendraaaaa wee mwenye unataka hela😂😂😂😂.chei
@RoseMayige-gn9qb
21 күн бұрын
Itakua hizo hela amezifanyia jambo, si bure!!
@idrisajaphary8275
20 күн бұрын
Hahaha kwa hiyo unamkubali Ila pesa ndio tatizo
@upendogreutert199
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Watu waamke Ibilisi anapita mchana kweupeee peeeee
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
Kumbe helakwanza maombezi baadae?duh ndio nimetambua hakuna yesu apo
@fidemikaeli8145
15 күн бұрын
Yesu anarudi, kanisa tuwemacho
@billyblankscleophas851720 күн бұрын
Shetan mkubwa mbwa ww
@TheresiaSteven-bq6ze
18 күн бұрын
Mungu akusamehee bureee Woote mmeubwa na mungu kwann umkosoe mwenzio we uliekamilika unakipi😅
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
@@TheresiaSteven-bq6zewengi wanampinga huyu nabii bc kuna kitu sio bure na hakuna maombezi ya pesa kwanza maana imeandikwa toeni bure
@user-xr4cd3ki4i18 күн бұрын
Makonda usimpe huyo mkono ni mchawi mkongo aoñdoke kwetu
Пікірлер: 76
Makonda mtu wa mungu usimtaje taje mtu wa mungu pambana kuzimu umekubali kuitumikia
Mungu amnusuru Makonda asije kumpoteza Mungu aliyemuinua kwa mungu asiejulikana
Watanzania tumtake Bwana na nguvu zakeeeeee Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai
Woteeeee mnaomchukia kiboko ya wachawi mjue kuwapiga kitu kizitooo😂,ila mimi nampenda kibokoo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ishi miaka baba na mungu azidi kukupabaraka
@CatherineMbatta
16 күн бұрын
Hata Mimi kweli nampenda niwe Tu mkweli
Mtumishi yeyote anaye tumia matatizo ya watu kama fursa ya kujitengenezea kipato ni nabii wa uongoe
Mungu akubariki Dady kwa kufika Arusha wachawi watakoma Mwe!
Hatutaki ujio wako, wala hatujakuambia tunashida na pesa wala upako wako MUNGU aliye hai atakuadhibu Kwa viboko vikali unamajigambo ya kizimu kabisaa
@kinogekimbeho3781
16 күн бұрын
wivu tu.endelea na uamasikini wako
Usichanganye wana wa Mungu
ww pumbavu zako taper mkubwa ww
Huna uwezo wa kugawa pesa Arusha yote wew bado sana endelea kujitafta
CHEKI ALIVYONYOA KWANZA ETI MTUMISHI WA MUNGU SHINDWA KABISA
@upendogreutert199
20 күн бұрын
Jamani wakristo tunapenda mserereko mno nyakati hiziii kulikoniii
@kellyngogo3319
17 күн бұрын
Yoa haiusiani wa UK NA USA MBONA HUWASEMI
Namakonda atagawiwa hela jaman dunia inavituko hiii
Ewe inchi(ardhi) na Anga (mbingu) ARUSHA,Kwa Neno la Bwana msipokee uchawi,Uganga na unajimu naviamuru kwa Damu ya Yesu Kristo na kwaJina la Yesu Kristo visifanikiwe,Nalituma Neno ZABURI 107:20 , Amina.
@LatiphaMwanga
21 күн бұрын
★ chuga ni chuga = chuga + chaga
@upendogreutert199
20 күн бұрын
@@LatiphaMwanga🙄🙄🙄
@JaneChissawilo-dr7nn
20 күн бұрын
Yaani hivyo vyote vipo upande wa mtumishi wa Mungu Dominic utajua baadaye kuwa nani yupo upande wa MUNGU.Mnataka Yesu afanye Kazi kupitia ufahamu mdogo wa kwenu? Nakuhakikishia mbingu imemkubali hakuna atakayepinga.Do you know Jesus?
Shetan wewe pumbavu pepo wewe ndio mchaw mwenyewe
Ushindwe Tena ushindwe makonda mungu akupe macho ya ndani ya rohoni huyo huyo no no Tena noo ameni
Pumbavu zako shetan wwe, utakufa vibaya ww
Wachawi na washirikina wanachukia sana mtumishi ambae anatabiri Coz anatoa siri zao uko juu baba fufua walio kufa kimsukule ndani ya Arusha
Sikupendi weewe ni Ibilisi live. Ulimrubuni mke wangu akakuletea laki 5 na hukumuombea zaidi ulimwambie aandike majina katika karatasi utayaombea mwenyewe hayo majina baadae. Haufaai kabisa ww ni nabii wa kuzimu.. Mwenye jicho haambiiwi tazama.
@upendogreutert199
20 күн бұрын
Kaka pole watu wanatafuta Pesa kwa kutumia jina la YESUU tuweni machoo
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
Kumbe Tena kuombewa mpka Hela?mmi nilitaka kuja kuombewa kumbe maombezi ya pesa kwanza?bc hapo akuna yesu live
@JICHOLA3MADHABAHUNI
11 күн бұрын
Manabii wa uongo wote hutumia matatizo ya watu kama fursa ya kutengeneza kipato tuwe makini.
@olivernyange2349
9 күн бұрын
Eeh wajinga ndo waliwao,huyu ni tapeli jamani na amesema live,ye hana mda wa kukwambia Habari za Yesu,wala utakatifu,amesema kabisa ye anataka pesa afanye mambo yake.sasa nyie mnaomfata ndo wenye shida.tafuteni kuongozwa na roho
Bonge la tapeli hana uchungaji wala nini ni mazingaombwe ndio anayo wa si mchungaji siku za mwisho mtawatambua kwa matendo yao
Paul Makonda Yesu.akufiche usikutane na huyu agent..
Pesa hazigaiwi kama karanga,acha kupotosha
Jamani hizi dini za nowadays jamaniii mhmhm
Tunamtaguta mungu lakini kwa apa apana sasa najiuliza hizo pesa yeye anazipata wapi waumini wezangu tuweni makini apa tunapigwa
Mtumwa wa shetani hatukutaki aes
Sifa tu, sikupendi kabisa.
Mimi nataka kuhombewa lakini Niko mbali nihombe aki
HUYU NI SHETANI MZIMA MZIMA
Wewe ni wa mungu kweli
@ayububakari9942
19 күн бұрын
Huyo unayomuita Mungu ni shetani na wewe ni pepo MUNGU HAJAZAA WALA HAKUZALIWA HANA MSHIRIKA..
Makonda umwache kabisa tena umkome wewe ni Tapeli na ni mazingaombwe huyo anao
Mh Makonda kuwa makini Na huyo Ajent
Unabenki?,hacha upambe Kiana; wewe rais?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi ndiyo vinabii vipumbavu vya kuchomwa moto vinawataabisha watu kwa utapel
Kwenda tapeli
@kellyngogo3319
17 күн бұрын
Ukimtukana mtumishi haikusaidii kitu dada asha baki ma imani yako tu
Yani wewe unagawa hela sikuza mwisho makonda huyo ,mtu unakubalianae ,,wewe nimklisto waukweri sana makonda
Mbona hajaongea vibaya kWa makonda
Shetani wewe,,wadanganye hao misukule wako
Makonda kuwa makini na huyo mtu yaana hata aside we kibali cha kuja huko
KUTOKA KUCHOMA MAHINDI BUZA MPAKA KUUWA MCHUNGAJI ......MUNGU TUOKOWE KWENYE HILIII MANA MATAPEL NI WENG SANA
Makonda usikubali hata kumpa mkono huyo
Wana Arusha hatukutaki
@TheresiaSteven-bq6ze
18 күн бұрын
Ww ndy awakutak nenda kwenye kongamano kama ujafa mchaw ww
Mmeshaanza kumuiga mwamposa kila tu fanyeni yenu hata aibu auoni
Mwizi tuu huyu
Jihadharini ninyii mnaomtukana kijana mtumishi wa Mungu!Fikiri kabla ya kutenda! Usifuate mkumbo.MUNGUhachunguziki.Wayahudi wote walinyanyuka kwa nia moja mkataa Yesu. Msije mkafanana nao.
@erickmsigala138
16 күн бұрын
Huyu si Mtumishi wa Mungu ni kinyesi cha Ibilisi wanao msikiliza tapel ni wapumbvu walio filisika kiroho
@fidemikaeli8145
15 күн бұрын
Kabisa
@olivernyange2349
9 күн бұрын
Kinyesi cha ibilisi na tapeli ila wajinga ndo waliwao
Wivu tu unamwiga mwambosa huna chochote
Si kila mtu asemaye bwana bwana atakaye ingia mbingun uyu mtoa Tano sijawai ona ameshika biblia
Bhangi huyu
Porojo
Husk kiboko ya wachawi wewe nikiboko ya wajinga eti wa watu watapona hata kama hajafika hmm makafiri muna mambo
Muongo ugawe hela wakati wewe nilikuja kwako kukuona ukataka 50000 ili uniombee.waongopee hao mm nimestuka na usimchanganye baba kigani na mambo yako yaliyojificha kupitia jina la mwokozi wetu kwendraaaaa wee mwenye unataka hela😂😂😂😂.chei
@RoseMayige-gn9qb
21 күн бұрын
Itakua hizo hela amezifanyia jambo, si bure!!
@idrisajaphary8275
20 күн бұрын
Hahaha kwa hiyo unamkubali Ila pesa ndio tatizo
@upendogreutert199
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Watu waamke Ibilisi anapita mchana kweupeee peeeee
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
Kumbe helakwanza maombezi baadae?duh ndio nimetambua hakuna yesu apo
@fidemikaeli8145
15 күн бұрын
Yesu anarudi, kanisa tuwemacho
Shetan mkubwa mbwa ww
@TheresiaSteven-bq6ze
18 күн бұрын
Mungu akusamehee bureee Woote mmeubwa na mungu kwann umkosoe mwenzio we uliekamilika unakipi😅
@SeifJuma-yt1pk
18 күн бұрын
@@TheresiaSteven-bq6zewengi wanampinga huyu nabii bc kuna kitu sio bure na hakuna maombezi ya pesa kwanza maana imeandikwa toeni bure
Makonda usimpe huyo mkono ni mchawi mkongo aoñdoke kwetu