TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@aderanderwa762310 күн бұрын
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
@chrispinkyaruzi11103 күн бұрын
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577
2 күн бұрын
Mazingaombwe
@AtuganileGodson7 күн бұрын
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041
4 сағат бұрын
Yaan Mungu aturehemu
@SifaelaYoram6 күн бұрын
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076
2 күн бұрын
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
@nicksonlyimo15628 күн бұрын
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
@bonifasiemanueli217 күн бұрын
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7b
Күн бұрын
Kwishaa iyo
@dorahisinika75763 күн бұрын
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
@thestkim66252 күн бұрын
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
@magdalenapeter61064 күн бұрын
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
@BeniJohn-xd3cn15 күн бұрын
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
@prchMichael3 сағат бұрын
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-qg5sc7ie3q6 күн бұрын
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4n
3 күн бұрын
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
@samuelakanga55867 сағат бұрын
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
@robertkisasa13462 күн бұрын
Huyo aliyevaa shera nae ni nabii au macho yangu😢😢😢…dah ngoja nimuachie Mungu ndio wa kuhukumu ila nawashauri watu wabaki na wadhehebu zao maana Mungu yupo kwa kila aaminie
@SifaelaYoram6 күн бұрын
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
@hosannakamwela92867 сағат бұрын
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
@SamooTz-pi5ok3 күн бұрын
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
@eliasselemani196311 күн бұрын
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963
11 күн бұрын
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@Joyceisaka
3 күн бұрын
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969
Күн бұрын
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeni
23 сағат бұрын
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
@MAONYOTVTANZANIA9 күн бұрын
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
@ismaelgadiye4488Күн бұрын
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
@victorcephas361815 күн бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
@josephgnzunda56316 күн бұрын
Pole sana masanja
@user-nx5og4cz7bКүн бұрын
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
@user-zs7eq8up5s3 күн бұрын
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
@josephgnzunda56316 күн бұрын
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
@annambembela6661Күн бұрын
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
@user-go9ec5jn6l4 күн бұрын
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
@jacklinejohn57272 күн бұрын
Mtatubu kwa lazima
@user-jc1do5gf3w9 күн бұрын
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
@sarahkeivaly33515 күн бұрын
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
@user-up8uq3ih2i6 күн бұрын
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
@RhodaChilambo-sj3df17 сағат бұрын
Hana kosa masanja hawez kukataa wageni lzm awapokee
@judithminja770Күн бұрын
Nini hiki YESU😢😢
@MathiasKunnanga2 күн бұрын
Jamani pitieni mlango ulio mwembamba
@manaseliberatus134710 күн бұрын
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
@annehaysanday92144 күн бұрын
Rehema ipite..
@peterrichard96444 күн бұрын
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
@bensonmgaya569315 күн бұрын
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
@ednakawau98426 күн бұрын
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676
6 күн бұрын
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286
7 сағат бұрын
Hakika ni walewale
@annehaysanday92144 күн бұрын
Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu
@AyubuHeshima11 күн бұрын
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586
6 күн бұрын
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
@NoelChambo9 сағат бұрын
Hapo kakosekana baba yao Geor devie 😂
@user-kz5en5tq2z6 күн бұрын
Vipofu wana wa majoka
@andrewkissava918411 күн бұрын
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
@ndayikengurukiyemandalene7027Күн бұрын
Nimeamini yesu yupo mlangoni.halafu nimejifunza kwamba usiamini mtuyoyote
@VeronicaMungure3 күн бұрын
Amen
@mercycharlesmsiagi17566 күн бұрын
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
@HappyFlowers-ee8ru
6 күн бұрын
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
@Pendopasilika9 күн бұрын
Dunia imeisha
@WTC4924 күн бұрын
Ngojeni MBARIKIWA awaone mi simo.
@HellenLemilya7 күн бұрын
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
@jacklinakinabo64796 күн бұрын
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
@andrewkissava918411 күн бұрын
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
@merabKitundu10 күн бұрын
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
@DettyKakonge2 күн бұрын
Mukusanyiko ya ma nabii wa uongo
@HellenLemilya7 күн бұрын
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
@user-im7vi2yf2d9 күн бұрын
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
@merabKitundu10 күн бұрын
Kweli mbinguni ni mbali
@ombendaud59387 күн бұрын
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
@agnesmbula52615 күн бұрын
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
@Kelvinchristopher07211 күн бұрын
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3z
9 күн бұрын
Hatari sana
@AtuganileGodson
7 күн бұрын
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@Kelvinchristopher072 duuuu
@user-kb8wv6kg8g2 күн бұрын
Mungu hadhihakiwi jamani muwe makini
@TheofiloKihongosi2 күн бұрын
Pole myawe kweugenda
@kmotivation11306 күн бұрын
wazee wa kazi kazi
@mwanawamfalmetz15 күн бұрын
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
@raymondwilliam304215 күн бұрын
Bodyguard sasa 😂
@valenakomba92187 күн бұрын
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
@jacklinejohn57272 күн бұрын
Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu
@user-qw8tm3jz2u7 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
@janengaga29285 күн бұрын
Yesu anahubiriwa kwa kila njia
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@janengaga2928 mh!
@agnesmbula52615 күн бұрын
Jokers of the gospel
@IssaPara-bt9hg9 күн бұрын
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@IssaPara-bt9hg mh
@agnesmbula52615 күн бұрын
Hii Jina ya yesu yatumika kila Mahali......yesu tusamehe
@ushindimbwilo13988 күн бұрын
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
@mbalilax1625 күн бұрын
kumbe na wewe masanja ni mshenzi tu....MUNGU NA AKUPePERUSHIE MBALI KATIKA JINA LA YESU!!!
@Mwakibinga_wisdom14 күн бұрын
Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa
@geitandelwa299
12 күн бұрын
Umeona ee shida
@deborahmchona5584
12 күн бұрын
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@sophiaommy8343
9 күн бұрын
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
@AtuganileGodson
7 күн бұрын
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana
@RosePallangyo-rc6sl2 күн бұрын
Masanjanlichawi ili
@user-gf9pb5jz9j10 күн бұрын
Mmh
@josephatmwayeya5660Күн бұрын
Yaani hapa kuna kitu cha kujifunza,hili ni kundi la wachumia tumbo ambao wanaongea lugha moja....nahisi wanajuana na kuwacheka mazuzu kwamba wajinga ndio waliwaooo
@prosperiamani3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@rambostalon28883 күн бұрын
Kudadadeki
@Ushindiemmanuelushindi11 күн бұрын
IPM tabili juu yahiyo fimbo ya kiboko
@anthonyassenga23656 күн бұрын
kzread.info/dash/bejne/e4N72o-ymsq0hrA.html
@anyosisyedaniel17909 күн бұрын
Akifufuoa Mtume Paulo, ama laana iwale kwa kibadili injili ya Kristo kwa ajili ya njaa yenu.
@janethmwihumbo128914 күн бұрын
Ukitaka kujua manabii wa kweli na wauongo angalia kwenye mikussnyiko yao utajua tu ni wale wale kazi ipo ila tz mmejaa sana
Пікірлер: 121
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577
2 күн бұрын
Mazingaombwe
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041
4 сағат бұрын
Yaan Mungu aturehemu
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076
2 күн бұрын
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7b
Күн бұрын
Kwishaa iyo
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3oz
18 сағат бұрын
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4n
3 күн бұрын
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
Huyo aliyevaa shera nae ni nabii au macho yangu😢😢😢…dah ngoja nimuachie Mungu ndio wa kuhukumu ila nawashauri watu wabaki na wadhehebu zao maana Mungu yupo kwa kila aaminie
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963
11 күн бұрын
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@Joyceisaka
3 күн бұрын
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969
Күн бұрын
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeni
23 сағат бұрын
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
Pole sana masanja
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
Mtatubu kwa lazima
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
Hana kosa masanja hawez kukataa wageni lzm awapokee
Nini hiki YESU😢😢
Jamani pitieni mlango ulio mwembamba
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
Rehema ipite..
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676
6 күн бұрын
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286
7 сағат бұрын
Hakika ni walewale
Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586
6 күн бұрын
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
Hapo kakosekana baba yao Geor devie 😂
Vipofu wana wa majoka
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
Nimeamini yesu yupo mlangoni.halafu nimejifunza kwamba usiamini mtuyoyote
Amen
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
@HappyFlowers-ee8ru
6 күн бұрын
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
Dunia imeisha
Ngojeni MBARIKIWA awaone mi simo.
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
Mukusanyiko ya ma nabii wa uongo
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
Kweli mbinguni ni mbali
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3z
9 күн бұрын
Hatari sana
@AtuganileGodson
7 күн бұрын
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665
7 күн бұрын
@@Kelvinchristopher072 duuuu
Mungu hadhihakiwi jamani muwe makini
Pole myawe kweugenda
wazee wa kazi kazi
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
Bodyguard sasa 😂
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
Yesu anahubiriwa kwa kila njia
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@janengaga2928 mh!
Jokers of the gospel
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665
3 күн бұрын
@@IssaPara-bt9hg mh
Hii Jina ya yesu yatumika kila Mahali......yesu tusamehe
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
kumbe na wewe masanja ni mshenzi tu....MUNGU NA AKUPePERUSHIE MBALI KATIKA JINA LA YESU!!!
Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa
@geitandelwa299
12 күн бұрын
Umeona ee shida
@deborahmchona5584
12 күн бұрын
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
@chrisdeoglatias8665
9 күн бұрын
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@sophiaommy8343
9 күн бұрын
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
@AtuganileGodson
7 күн бұрын
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana
Masanjanlichawi ili
Mmh
Yaani hapa kuna kitu cha kujifunza,hili ni kundi la wachumia tumbo ambao wanaongea lugha moja....nahisi wanajuana na kuwacheka mazuzu kwamba wajinga ndio waliwaooo
😂😂😂😂😂
Kudadadeki
IPM tabili juu yahiyo fimbo ya kiboko
kzread.info/dash/bejne/e4N72o-ymsq0hrA.html
Akifufuoa Mtume Paulo, ama laana iwale kwa kibadili injili ya Kristo kwa ajili ya njaa yenu.
Ukitaka kujua manabii wa kweli na wauongo angalia kwenye mikussnyiko yao utajua tu ni wale wale kazi ipo ila tz mmejaa sana
Mabii wa uongo nyote