MASANJA MBELE YA MANABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA UNABII MZITO

Ойын-сауық

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 121

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa762310 күн бұрын

    YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    18 сағат бұрын

    kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya

  • @chrispinkyaruzi1110
    @chrispinkyaruzi11103 күн бұрын

    Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    2 күн бұрын

    Mazingaombwe

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson7 күн бұрын

    Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    18 сағат бұрын

    naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao

  • @atuganileagrey5041

    @atuganileagrey5041

    4 сағат бұрын

    Yaan Mungu aturehemu

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram6 күн бұрын

    Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu

  • @selegioelias9076

    @selegioelias9076

    2 күн бұрын

    Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo15628 күн бұрын

    Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli217 күн бұрын

    Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,

  • @user-nx5og4cz7b

    @user-nx5og4cz7b

    Күн бұрын

    Kwishaa iyo

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika75763 күн бұрын

    I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏

  • @thestkim6625
    @thestkim66252 күн бұрын

    Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    18 сағат бұрын

    ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter61064 күн бұрын

    Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn15 күн бұрын

    Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba

  • @prchMichael
    @prchMichael3 сағат бұрын

    Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-qg5sc7ie3q
    @user-qg5sc7ie3q6 күн бұрын

    Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    3 күн бұрын

    @@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!

  • @user-wc6yw1or4n

    @user-wc6yw1or4n

    3 күн бұрын

    kweli namtafuta MUNGU kibinasfi

  • @samuelakanga5586
    @samuelakanga55867 сағат бұрын

    1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa13462 күн бұрын

    Huyo aliyevaa shera nae ni nabii au macho yangu😢😢😢…dah ngoja nimuachie Mungu ndio wa kuhukumu ila nawashauri watu wabaki na wadhehebu zao maana Mungu yupo kwa kila aaminie

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram6 күн бұрын

    Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San

  • @hosannakamwela9286
    @hosannakamwela92867 сағат бұрын

    MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba

  • @SamooTz-pi5ok
    @SamooTz-pi5ok3 күн бұрын

    Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏

  • @eliasselemani1963
    @eliasselemani196311 күн бұрын

    AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI

  • @eliasselemani1963

    @eliasselemani1963

    11 күн бұрын

    MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    7 күн бұрын

    @@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao

  • @Joyceisaka

    @Joyceisaka

    3 күн бұрын

    Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa

  • @marrynaftali7969

    @marrynaftali7969

    Күн бұрын

    Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno

  • @MonicaBeni

    @MonicaBeni

    23 сағат бұрын

    Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA9 күн бұрын

    Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488Күн бұрын

    OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA

  • @victorcephas3618
    @victorcephas361815 күн бұрын

    Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda56316 күн бұрын

    Pole sana masanja

  • @user-nx5og4cz7b
    @user-nx5og4cz7bКүн бұрын

    Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s3 күн бұрын

    Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda56316 күн бұрын

    Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani

  • @annambembela6661
    @annambembela6661Күн бұрын

    Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame

  • @user-go9ec5jn6l
    @user-go9ec5jn6l4 күн бұрын

    Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    3 күн бұрын

    @@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn57272 күн бұрын

    Mtatubu kwa lazima

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w9 күн бұрын

    Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    9 күн бұрын

    Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly33515 күн бұрын

    Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i6 күн бұрын

    Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu

  • @RhodaChilambo-sj3df
    @RhodaChilambo-sj3df17 сағат бұрын

    Hana kosa masanja hawez kukataa wageni lzm awapokee

  • @judithminja770
    @judithminja770Күн бұрын

    Nini hiki YESU😢😢

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga2 күн бұрын

    Jamani pitieni mlango ulio mwembamba

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus134710 күн бұрын

    TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    7 күн бұрын

    @@manaseliberatus1347 kaz tunayo!

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday92144 күн бұрын

    Rehema ipite..

  • @peterrichard9644
    @peterrichard96444 күн бұрын

    Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya569315 күн бұрын

    Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂

  • @ednakawau9842
    @ednakawau98426 күн бұрын

    Kumbe masanja ni wale wale

  • @barakanatus5676

    @barakanatus5676

    6 күн бұрын

    Ulikuwa ujui ni wale wale

  • @hosannakamwela9286

    @hosannakamwela9286

    7 сағат бұрын

    Hakika ni walewale

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday92144 күн бұрын

    Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshima11 күн бұрын

    Ninaona wahuni watupu tu.

  • @moseshaule586

    @moseshaule586

    6 күн бұрын

    Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?

  • @NoelChambo
    @NoelChambo9 сағат бұрын

    Hapo kakosekana baba yao Geor devie 😂

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z6 күн бұрын

    Vipofu wana wa majoka

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava918411 күн бұрын

    Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana

  • @ndayikengurukiyemandalene7027
    @ndayikengurukiyemandalene7027Күн бұрын

    Nimeamini yesu yupo mlangoni.halafu nimejifunza kwamba usiamini mtuyoyote

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure3 күн бұрын

    Amen

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi17566 күн бұрын

    Waganga walio vua kaniki wakavaa suti

  • @HappyFlowers-ee8ru

    @HappyFlowers-ee8ru

    6 күн бұрын

    Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika9 күн бұрын

    Dunia imeisha

  • @WTC492
    @WTC4924 күн бұрын

    Ngojeni MBARIKIWA awaone mi simo.

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya7 күн бұрын

    Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo64796 күн бұрын

    Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava918411 күн бұрын

    Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni

  • @merabKitundu
    @merabKitundu10 күн бұрын

    Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu

  • @DettyKakonge
    @DettyKakonge2 күн бұрын

    Mukusanyiko ya ma nabii wa uongo

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya7 күн бұрын

    Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d9 күн бұрын

    Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    9 күн бұрын

    Ha ha haaaaaaaaaaaa!

  • @merabKitundu
    @merabKitundu10 күн бұрын

    Kweli mbinguni ni mbali

  • @ombendaud5938
    @ombendaud59387 күн бұрын

    Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula52615 күн бұрын

    May God open Ur children's eyes....the church of God is lost

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher07211 күн бұрын

    Stendi ya kuzimu.

  • @user-qn6rs7km3z

    @user-qn6rs7km3z

    9 күн бұрын

    Hatari sana

  • @AtuganileGodson

    @AtuganileGodson

    7 күн бұрын

    Kweli Mungu anazihakiwa sana

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    7 күн бұрын

    @@Kelvinchristopher072 duuuu

  • @user-kb8wv6kg8g
    @user-kb8wv6kg8g2 күн бұрын

    Mungu hadhihakiwi jamani muwe makini

  • @TheofiloKihongosi
    @TheofiloKihongosi2 күн бұрын

    Pole myawe kweugenda

  • @kmotivation1130
    @kmotivation11306 күн бұрын

    wazee wa kazi kazi

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz15 күн бұрын

    Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam304215 күн бұрын

    Bodyguard sasa 😂

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92187 күн бұрын

    Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn57272 күн бұрын

    Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu

  • @user-qw8tm3jz2u
    @user-qw8tm3jz2u7 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii

  • @janengaga2928
    @janengaga29285 күн бұрын

    Yesu anahubiriwa kwa kila njia

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    3 күн бұрын

    @@janengaga2928 mh!

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula52615 күн бұрын

    Jokers of the gospel

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg9 күн бұрын

    Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    3 күн бұрын

    @@IssaPara-bt9hg mh

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula52615 күн бұрын

    Hii Jina ya yesu yatumika kila Mahali......yesu tusamehe

  • @ushindimbwilo1398
    @ushindimbwilo13988 күн бұрын

    Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo

  • @mbalilax162
    @mbalilax1625 күн бұрын

    kumbe na wewe masanja ni mshenzi tu....MUNGU NA AKUPePERUSHIE MBALI KATIKA JINA LA YESU!!!

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdom14 күн бұрын

    Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    12 күн бұрын

    Umeona ee shida

  • @deborahmchona5584

    @deborahmchona5584

    12 күн бұрын

    Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    9 күн бұрын

    Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.

  • @sophiaommy8343

    @sophiaommy8343

    9 күн бұрын

    ​@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana

  • @AtuganileGodson

    @AtuganileGodson

    7 күн бұрын

    Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana

  • @RosePallangyo-rc6sl
    @RosePallangyo-rc6sl2 күн бұрын

    Masanjanlichawi ili

  • @user-gf9pb5jz9j
    @user-gf9pb5jz9j10 күн бұрын

    Mmh

  • @josephatmwayeya5660
    @josephatmwayeya5660Күн бұрын

    Yaani hapa kuna kitu cha kujifunza,hili ni kundi la wachumia tumbo ambao wanaongea lugha moja....nahisi wanajuana na kuwacheka mazuzu kwamba wajinga ndio waliwaooo

  • @prosperiamani
    @prosperiamani3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @rambostalon2888
    @rambostalon28883 күн бұрын

    Kudadadeki

  • @Ushindiemmanuelushindi
    @Ushindiemmanuelushindi11 күн бұрын

    IPM tabili juu yahiyo fimbo ya kiboko

  • @anthonyassenga2365
    @anthonyassenga23656 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/e4N72o-ymsq0hrA.html

  • @anyosisyedaniel1790
    @anyosisyedaniel17909 күн бұрын

    Akifufuoa Mtume Paulo, ama laana iwale kwa kibadili injili ya Kristo kwa ajili ya njaa yenu.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo128914 күн бұрын

    Ukitaka kujua manabii wa kweli na wauongo angalia kwenye mikussnyiko yao utajua tu ni wale wale kazi ipo ila tz mmejaa sana

  • @DettyKakonge
    @DettyKakonge2 күн бұрын

    Mabii wa uongo nyote

Келесі