Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
@BenardSaimon19 күн бұрын
Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe
@rachelmosha5619Ай бұрын
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
@BarakaDonasiani-pj9bx4 ай бұрын
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
@richardmboyo872425 күн бұрын
Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa
@ZumlattiАй бұрын
Amina niombee namim nateseka
@JanethEmmanuel-mr5leАй бұрын
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfan
Ай бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
@muhasatv92453 ай бұрын
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
@josephkileo-wk6yeАй бұрын
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
@JosephMollel-wz7knАй бұрын
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
@SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk
4 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
@sharonjosephine6252Ай бұрын
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
@user-zs6kw8ks4m3 ай бұрын
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@JacobMaganga-re9ji
5 күн бұрын
😂
@bonithakankerauwera23234 ай бұрын
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
@lusajoully2 ай бұрын
Amina
@user-yj2wm7rh6u4 ай бұрын
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md
4 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@sautiyamzalendo
3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm
3 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
@aishatest4451Ай бұрын
hongera sana
@sixmundleonard21354 ай бұрын
👏👏
@Prolimina-im2foАй бұрын
Amina baba
@felicianathomas33193 күн бұрын
Mungu anakuona
@HappyEquestrianHelmet-iw5co2 ай бұрын
Hongera. Sana baba
@estermohammed4335Ай бұрын
Amen Baba
@salmamose42443 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sir
@user-on5pu8wv4gАй бұрын
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
@charlesfaru4852 ай бұрын
hongela sana baba mchungaji
@SalomeKyamba-mk6zq29 күн бұрын
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
@wilfredjohn482922 күн бұрын
Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...
@felisianafelisiani75192 ай бұрын
Ameeni
@amanmaleko30854 ай бұрын
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
@Stella-1184 ай бұрын
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky1088
4 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga4656
3 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
@NaomiSilayo2 ай бұрын
Amina baba tusaidie
@norahmajaliwa38414 ай бұрын
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
@Prolimina-im2foАй бұрын
Amina baba naomba uniombee
@LuluJackson-u6e19 күн бұрын
Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku
@Yusta-vx6ns4 ай бұрын
❤🎉
@richardmboyo872425 күн бұрын
Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu
@lightnessgamasa60392 ай бұрын
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
@NaimaAlly-bh6yn3 ай бұрын
❤
@deogratiusmsafiriАй бұрын
Amen
@JoyceMassawe-f5iАй бұрын
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
@Stella-1184 ай бұрын
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db
3 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm
3 ай бұрын
Polen sana
@FreeGod368
Күн бұрын
Wenye matatizo ya akili mpo wengi, we taaahira kweli ambulance ipeleke mtu kansan
@MageLuvanda20 күн бұрын
Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi
@EvaSadala-vv8jnАй бұрын
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
@StellaRupia21 күн бұрын
Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,
@nataliedayana9824Ай бұрын
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
@user-bj6bs9do2f4 ай бұрын
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika3627
4 ай бұрын
Iman haba
@MartinKimbwereza2 ай бұрын
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
@VeiceNasson29 күн бұрын
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
@christinewomanoffaith547924 күн бұрын
Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua
@DenisSimon-u2oАй бұрын
amee
@DrAmiijmpembaThedon6 күн бұрын
Nakurespect baba
@Eunice-kb8yzАй бұрын
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
@fanuelMndemeАй бұрын
Ubariwe
@estermohammed4335Ай бұрын
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
@winniejohnson945827 күн бұрын
baba na mimi naitaji msaada wa maombi nina roho ya kukataliwa
@JamilaAdamu-nr1wu3 ай бұрын
🙏🙏
@sautiyamzalendo
3 ай бұрын
Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz
@FridaMtui-pp3lt3 ай бұрын
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
@user-kh5xu3vu1x4 ай бұрын
Mmmmmm
@JosephNnko-nz6kk2 ай бұрын
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
@sarahkeivaly3351Ай бұрын
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
@SixtenTengaАй бұрын
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@ScopionScopion-zj9cd
27 күн бұрын
IyO ishapga mweleka
@devotamwambola83034 ай бұрын
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani7740
2 ай бұрын
Muombe mungu wako ww
@user-nt1lf8rr9gАй бұрын
Tz kwishaaaa
@michealkasanga292727 күн бұрын
Kiboko kisiwepo la kukuvunja moyo unaeleweka
@patrickmalewo50984 ай бұрын
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
@rambostalon288821 күн бұрын
Safi mtumishi huna kinyongo na mtu
@rehemakudra8682 ай бұрын
Nimekukubali
@nancyg86644 ай бұрын
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
@ernestkatyega5781Ай бұрын
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
@AishaNasolo-j2u24 күн бұрын
Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada
@user-rs4vz2vt9z2 ай бұрын
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
@ernestkatyega5781Ай бұрын
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
@merrynancesimon15624 ай бұрын
❤❤❤❤❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@savinosalamba91744 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@Malkia012 ай бұрын
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
@VeronicaChaudeleАй бұрын
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
@petermuturi45643 ай бұрын
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
@estermohammed4335Ай бұрын
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
@BahatiMrema-lc3zv2 ай бұрын
Amina baba natamani uniombee
@JacobMaganga-re9ji
5 күн бұрын
😂😂😂
@FadhilFadhil-zr1xs2 ай бұрын
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
@adamkapolo88172 ай бұрын
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@TinahSteve
25 күн бұрын
N kweli
@JaphetIramba2 ай бұрын
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
@AgnessGeorge-bg1bvАй бұрын
Baba naitwa agness nasumbuliwa nakifua nakohoa sana mchungaji
@sautiyamzalendo
Ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia
@GraceSilo-vt6keАй бұрын
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@sautiyamzalendo
Ай бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
@MartinKimbwereza2 ай бұрын
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
@clouartmichael72964 ай бұрын
Mathayo 7:15
@JoyceMassawe-f5iАй бұрын
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
@AminatwahilyАй бұрын
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
@claudiokatucha66523 ай бұрын
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
@DerckMchomvu-kw4ro2 ай бұрын
Nisaidie nabii
@samwelmatemu88734 ай бұрын
Kwanini unavaa kihuni kwanini
@user-nb6yh2bn9y
4 ай бұрын
Pia linajichubua Dume zima mitaperi hii 😢😢😢
@Zainab-sq1tc
4 ай бұрын
Mcongo man @@user-nb6yh2bn9y
@ruthmuja7792
4 ай бұрын
Kujichubua haipendezi hata kidogo tena mtumishi wa Mungu 😢
@user-tt1nm9xs4n
4 ай бұрын
Ndivyo wanavyojichubua hao manabii vijana
@user-tt1nm9xs4n
4 ай бұрын
Wasipojichubua wanatisha sura zao
@user-wy1or9fm2s2 ай бұрын
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
@AlphonceSoselaАй бұрын
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
@boniphaceemmanuel6604Күн бұрын
KWA HIYO UMEAMUWA KUSAIDIA SERIKALI KUJENGA BARABARA ILI WASIKUCHUKULIE HATUWA😂😂😂😂 DINI UMEIGEUZA BIASHARA UNAJIITA KIBOKO WA WACHAWI ACHA TUKUZOOM NYUMA YA PAZIA....
@user-cp3uo9gz2xАй бұрын
Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana
@WinifridaNgalamika2 ай бұрын
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
@StanleyChibweteАй бұрын
Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana
Пікірлер: 351
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa
Amina niombee namim nateseka
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfan
Ай бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk
4 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
@agneskawamala618
4 ай бұрын
Mwizi tu
@janethelly4986
4 ай бұрын
Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@JacobMaganga-re9ji
5 күн бұрын
😂
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
Amina
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md
4 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@sautiyamzalendo
3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm
3 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
hongera sana
👏👏
Amina baba
Mungu anakuona
Hongera. Sana baba
Amen Baba
Bwana Yesu asifiwe sir
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
hongela sana baba mchungaji
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...
Ameeni
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky1088
4 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga4656
3 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
Amina baba tusaidie
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
Amina baba naomba uniombee
Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku
❤🎉
Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
❤
Amen
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db
3 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm
3 ай бұрын
Polen sana
@FreeGod368
Күн бұрын
Wenye matatizo ya akili mpo wengi, we taaahira kweli ambulance ipeleke mtu kansan
Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika3627
4 ай бұрын
Iman haba
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua
amee
Nakurespect baba
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
Ubariwe
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
baba na mimi naitaji msaada wa maombi nina roho ya kukataliwa
🙏🙏
@sautiyamzalendo
3 ай бұрын
Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
Mmmmmm
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@ScopionScopion-zj9cd
27 күн бұрын
IyO ishapga mweleka
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
@KuruthumuMakana-tb9fx
3 ай бұрын
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani7740
2 ай бұрын
Muombe mungu wako ww
Tz kwishaaaa
Kiboko kisiwepo la kukuvunja moyo unaeleweka
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
Safi mtumishi huna kinyongo na mtu
Nimekukubali
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
❤❤❤❤❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Safi sana mtumishi
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
Amina baba natamani uniombee
@JacobMaganga-re9ji
5 күн бұрын
😂😂😂
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@TinahSteve
25 күн бұрын
N kweli
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
Baba naitwa agness nasumbuliwa nakifua nakohoa sana mchungaji
@sautiyamzalendo
Ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@sautiyamzalendo
Ай бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
Mathayo 7:15
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
Nisaidie nabii
Kwanini unavaa kihuni kwanini
@user-nb6yh2bn9y
4 ай бұрын
Pia linajichubua Dume zima mitaperi hii 😢😢😢
@Zainab-sq1tc
4 ай бұрын
Mcongo man @@user-nb6yh2bn9y
@ruthmuja7792
4 ай бұрын
Kujichubua haipendezi hata kidogo tena mtumishi wa Mungu 😢
@user-tt1nm9xs4n
4 ай бұрын
Ndivyo wanavyojichubua hao manabii vijana
@user-tt1nm9xs4n
4 ай бұрын
Wasipojichubua wanatisha sura zao
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
KWA HIYO UMEAMUWA KUSAIDIA SERIKALI KUJENGA BARABARA ILI WASIKUCHUKULIE HATUWA😂😂😂😂 DINI UMEIGEUZA BIASHARA UNAJIITA KIBOKO WA WACHAWI ACHA TUKUZOOM NYUMA YA PAZIA....
Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana
Mbona msg hujibu