MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA

MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig

Пікірлер: 398

  • @MosesMbise-p2r
    @MosesMbise-p2rКүн бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi Mama yangu anaumwa na hawezi kutembea miguu Haina nguvu

  • @user-ol1mv8fc3t
    @user-ol1mv8fc3t4 күн бұрын

    Mm naitwa Emanuel Habibu Nyenzi nakuja japo sijawahi kukutana na wewe mm ni dreva wa mabasi ya kwenda nchi za nje Mungu naomba tuonane Ubarkiwe na Bwana Yesu uishi kama Mungu aishivyo

  • @deborambanga5759
    @deborambanga57592 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe nabii kiboko ya wachawi naitwa Debora Mbanga nipo dodoma naomba ufungue maisha yangu.

  • @John12Mapunda-iw4mq
    @John12Mapunda-iw4mq4 ай бұрын

    Amina baba naomba nitabilie toka kwa wazazi wangu na kwangu naitwa john toka kinyerezi

  • @StelaKomugisha-cb3zb
    @StelaKomugisha-cb3zb2 ай бұрын

    Amina baba nisaidie nikomboe mm na familia yangu

  • @DanielDhahabu-bk9hd
    @DanielDhahabu-bk9hdАй бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Nabii kiboko ya wachawi naomba mchawi anayefuatilia maisha yangu na makusudi ya Mungu aliyoyaweka katika maisha yangu afe kwa jina la Yesu leo.Amen.

  • @DativaMassawe-wk2nz
    @DativaMassawe-wk2nz14 күн бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Nabii wa Mungu naomba uniondolee hii roho ya uhari ifu iliyo tumwa na wachawi kufuatilia maisha yangu na kunisababishia magonjwa nndoto mbaya uangushe hiyo roho na kuirudisha huko iliko toka kwa jina la Yesu

  • @amanibalama5251
    @amanibalama52514 ай бұрын

    Asante Mungu kwa kutuletea pastor dominic Mungu akupe maisha marefu-Amani

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson73524 ай бұрын

    Ila na sisi ifike mahara tumtafute mungu wa kwel kuliko kutafuta miujiza hyu mchungaji mwenyewe amejichubua hvi na mijitu imekalisha makalio inamsikiliza kwel jaman hapana

  • @athumannyungundileki9799

    @athumannyungundileki9799

    3 ай бұрын

    Igizo hao wote hapo wanaigiza mchungaji kajikoboa kama enock inonga

  • @kandilesteven7889

    @kandilesteven7889

    Ай бұрын

    Wanaigiza, hadi mtoto mdogo akiangalia anaona maigizo

  • @ThadeusShao-er5jq

    @ThadeusShao-er5jq

    Ай бұрын

    Mlichofanywa nyie mm sijui hii ni kweli

  • @JanethNathan

    @JanethNathan

    28 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @HappyMallya-mg1gr

    @HappyMallya-mg1gr

    27 күн бұрын

    Hayajakupata dada acha kuongea mdm utakuponza ,ndo nyinyi wachawi mnatutesa pumbafu zetu amekuja kiboko yenu acha awaue hata kama anajivhubua muache ni sehemu ya kupenda ngozi yake na ni asili yao achana nae

  • @AnaMauricioPatricio
    @AnaMauricioPatricio3 күн бұрын

    Nami mume wag anagufu mungu msaidie mume wag

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u4 ай бұрын

    Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41

  • @user-wu1kl8ci5z
    @user-wu1kl8ci5z5 ай бұрын

    Naomba mungu wa kiboko ya wachawi anisaidie nso yangu inateketea uchumi wangu ufunguke naitwa coreta Niko buguruni

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os3 ай бұрын

    Ameen nabii ubarikiwe 2:48

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda537522 сағат бұрын

    Kuna dini moja tu duniani ,yenye utukufu sana ,nyumba zao za ibada ni tukufu mno ,wakiinama na kuinuka kutwa mara 5 kumuomba mola wao mlezi.

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp5 ай бұрын

    Mama Amina mwenyewe Kama akili zake hazipo sawa 🤣🤣🤣

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd15895 ай бұрын

    Yesu mkono wako si mfupi ha usiweze kuokoa mao u yeti yametufarakanisha na uso wako Niokoe Mimi na uzao wa tumbo langu Amina

  • @aishaoman138
    @aishaoman1387 күн бұрын

    Naitwa maria nabii naomba unitabirie mm na mme wangu pamoja na familiy yangu maana najiona mwenye mikosi kwenye maisha yangu😭😭

  • @DevothaMichael-hp4oj
    @DevothaMichael-hp4oj3 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe mchungaji wng... Naitwa Devotha Michael mteng Naomba maombi yko nimjue anaye niroga baba!!

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os3 ай бұрын

    Ameen nabii ubarikiwe 2:48 3:08

  • @user-nt6ng4ey1z
    @user-nt6ng4ey1z4 ай бұрын

    MUNGU akulinde baba

  • @DativaMassawe-wk2nz
    @DativaMassawe-wk2nz14 күн бұрын

    Naomba roho iliyotumwa kufuatilia na kuharibu maisha yangu iharibiwe na kurudi huko ilikotoka kwa jina la Yesu

  • @JumaIddy-jr6lj
    @JumaIddy-jr6lj2 ай бұрын

    Amina baba nabii kiboko ya wachawe naitwa BILALI ABDi BAKALI naomba uni fungulie kiuchumi

  • @user-yp9pt8tw1p
    @user-yp9pt8tw1p4 ай бұрын

    Amina naamini ilo mtumishi

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67603 ай бұрын

    Absolutely right indeed Daddy

  • @amanterry5427
    @amanterry54273 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe naitwa Aman niko goba naomba nitabirie uchumi wangu mbaya

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy5 ай бұрын

    Sikuamini unatembea na bodigadi wa nn kaka ww ni nabii istoshe hayo ni maigizo mungu akubomoe

  • @shubilabenjamin6597

    @shubilabenjamin6597

    5 ай бұрын

    Kama ni maigizo na wewe fungua kanisa uigize

  • @user-eg7ur6pk6u

    @user-eg7ur6pk6u

    5 ай бұрын

    Umeona ee

  • @margaritoraphael3805

    @margaritoraphael3805

    5 ай бұрын

    Humwamini halafu unamwangalia au unmflow

  • @peterrulagora7403

    @peterrulagora7403

    5 ай бұрын

    Walinzi wake km majambaz

  • @modestagobe8678

    @modestagobe8678

    4 ай бұрын

    Hujui kazi ya bodigad au kusudu tu jamani

  • @Marjeby
    @Marjeby4 ай бұрын

    Acha sanaa wee mchungaji unatuletea michezo ya kuigiza na mateja wenzio unawapa mtuletee story za kichoko choko hapa

  • @ZawadianaMwangosi-is2jm

    @ZawadianaMwangosi-is2jm

    4 ай бұрын

    Hayo mambo yapo ktk familia zingine

  • @SadickIssa-cw6kj
    @SadickIssa-cw6kj2 ай бұрын

    Mimi. Naitwa sadick Jerome Niko wazo. Mivumon. Ninashida Kuna. Mtu namdai million. Tisa. Hataki. Kunilipa nisaidie pasta

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os3 ай бұрын

    Ameen nabii ubarikiwe

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67603 ай бұрын

    Thank you 🙏 Lord Jesus

  • @user-nx4lx6jl6c
    @user-nx4lx6jl6c29 күн бұрын

    Bwana yesu asifiwe pole na kazi Baba

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os3 ай бұрын

    Ameen nabii ubarikiwe katika kaz zako

  • @MozahGreyson
    @MozahGreyson2 ай бұрын

    1.Wathesolanike 5:20 amina m2mishi. Mungu aendelee kukupa uzima

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @Marjeby

    @Marjeby

    4 ай бұрын

    Acheni ujinga nyie mtumishi wa mungu tupi huyo?!

  • @LovenessGrayson
    @LovenessGrayson3 ай бұрын

    Amina baba naomba unifungulie nipate kazi

  • @user-ww8pv5qw2v
    @user-ww8pv5qw2v4 ай бұрын

    Amina mtumixhi wa mungu

  • @SwaleheSimba
    @SwaleheSimba2 ай бұрын

    Pasta kiboko yawachawi miim Amina bilali niangalie maisha yangu mom namwanangu mohamedy nnamaisha yaashida sana mwanangu nae Ivo ivo

  • @user-yu9vw3db1p
    @user-yu9vw3db1pАй бұрын

    Kwa majina naitwa ibrahimu baba mm nimekuwa sifanikiwa kwenye kila jambo nalofanya na mjomba aliniambia ananipa miezi sita nitakuwa nimepotea

  • @vickymeikasi1628
    @vickymeikasi16285 ай бұрын

    Hongera sanaaaa mtumishi wa Mungu

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga65603 ай бұрын

    Mungu amuinue zaidi

  • @jasmineissa3778
    @jasmineissa37785 ай бұрын

    Amina baba naomba maombi nipate mume nakipato maisha nimagumusana

  • @othmanothman4849
    @othmanothman48492 ай бұрын

    Mimi Othman nina matatizo nguvu za kiume na uchumi mdogo mno nami nipo Zanzibar

  • @othmanothman4849
    @othmanothman48492 ай бұрын

    Baba Mimi Othman Wazir nipo Zanzibar shida ni nguvu za kiume nana uchumi mdogo nilikuwa nnavua kazi imekataa nipo sinakazi

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s3 ай бұрын

    Jambo usilojuwa kaa kimya, huyu ni Nabii wa Mungu kwelikweli

  • @geofreymaina3838

    @geofreymaina3838

    3 ай бұрын

    Hakuna nabii wa Mungu anayegombanisha watu soma vitabu vyote vya dini kama utakuta kuna nabii alikuwa wa hivi, huyu ni mganga wa kienyeji tu

  • @TheddyBasili-gv5tz

    @TheddyBasili-gv5tz

    3 ай бұрын

    Ombeni muwe na macho ya rohoni watu wa Mungu, Mungu wetu sio wa style hii 😢

  • @JastiNjau
    @JastiNjauАй бұрын

    Bwana asifiwe baba naitwa jastini mamboyangu yameyumba sana baba

  • @AndrewMbembati
    @AndrewMbembatiАй бұрын

    Baba naomba ufungue maisha yangu, fungua uchumi wangu, na Vito vyote walivuonifanyiya

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo87246 күн бұрын

    Ubarikiwe nabii hakika wewe ni kiboko ya wachawi

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda50053 ай бұрын

    Awa wajinga kwelikweli unaona watu wamepangwa na huyo anaonekana ni mteja kabisa 😂😂😂😂😂😂😂 dah! Na sadaka wanatoa wapumbavu kweli awa..

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku10963 ай бұрын

    Amen. Amen. Amen. Nitabirie Mtumishi wa Mungu. Mimi Dr Maselle

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940Ай бұрын

    I love prophecy man of God

  • @Yahaya-o5m
    @Yahaya-o5m14 күн бұрын

    Aitwa yahaya mkewangu alifaliki miaka2 je alikufa kwahalali au❤❤

  • @SalomeMkada-su4qg
    @SalomeMkada-su4qg2 ай бұрын

    Baba mimi nina shida naomba nisaidie ninaota nalishwa vitu ndotoni na kuna vitu vime nikaba kooni sina ata rahaa naomba uni saidie vitoke baba nakuomba sana pia naomba nipate kazi baba niinuke kiuchumi

  • @SalomeKundaely
    @SalomeKundaely2 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe kwa majina naitwa Angel naomba uniombee mume wangu amenitelekeza na mtoto nisaidie mume wangu arudi

  • @dainessjoseph9296
    @dainessjoseph92964 ай бұрын

    Unawapeleka jehanam watu hao kwa uongo unaotengeneza.....Mungu aliye hai hatakuacha salama

  • @neemajafali4468

    @neemajafali4468

    4 ай бұрын

    Kanisa la wakongo matapeli wote.Shuhuda zote za usiku zimerekodiwa ni COMEDY, hata zile za kanisani zimepangwa wanaigiza Dominick anafanya mazingaombwe tu,hakuna huduma yeyote ya kiroho. Amkeni watanzania.

  • @stellamsokwa6785

    @stellamsokwa6785

    Ай бұрын

    Amka mwenyewe,

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088Ай бұрын

    Mungu Akubariki sn Mtumishi.

  • @user-jl2jg2dt1i
    @user-jl2jg2dt1i12 күн бұрын

    Mtumishi naomb uniombee nmeachana na mume wng mwaka na nusu chanzo ni mama mkwe

  • @Hitixkari
    @Hitixkari4 ай бұрын

    Nimesikia Kuna mama kaibiwa tulubai kanisani Kwa kiboko mpaka sasa ajalipwa ukizingatia kiboko wewe tunakuamini uyu mama inakuaje tulubai lake au habali ujaisikia 😢😢😢😢😢

  • @Marjeby

    @Marjeby

    4 ай бұрын

    😂😂😂 Kiboko mwenyewe mwizi unamtafuta mwizi kwa kumshtakia mwizi mwenyewe

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u4 ай бұрын

    Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41 😢

  • @rauhiyasoudy9988
    @rauhiyasoudy9988Ай бұрын

    Baba naomba ufungue maisha yangu ya kupata watoto na kurudishwa kazini kwangu nilikokuwa nikifanya kazi

  • @sophiahalfani1870
    @sophiahalfani18705 ай бұрын

    Jamani nakuelewa Sana nafunga safar kuja hapo mungu anitangulie

  • @ShebyKandome
    @ShebyKandome3 ай бұрын

    Amen nabii mm ninamatatizo Kuna mtu namdai hatak kunilipa naomba unisaidie nataka nizipate pesa zangu

  • @ABDALAHSALUM-rf3dt
    @ABDALAHSALUM-rf3dt2 ай бұрын

    Baba naomba unitabirie unachokiona ndan ya maisha yng kwan nakuamini

  • @johnbanga1055
    @johnbanga10552 ай бұрын

    Nabii sema na maisha yangu pamoja na familia yangu mungu akubariki sana

  • @floridandayisaba
    @floridandayisabaАй бұрын

    Habari yako mutumishi Namm naomba maombi nifunguriwe.nikama nimefungwa Kwasababu natafta spati mtoto Wangu mutundu sana naomba uniombee niko inchini.marecani mafanikio.sion

  • @JamilaHija
    @JamilaHija2 ай бұрын

    Baba tembea kwenye maisha Yangu. Niondolee dhiki nipate kuwasaidia wenye huitaji pia

  • @SaraAloyce-hm2vu
    @SaraAloyce-hm2vu3 ай бұрын

    Nabii naomba nitabirie maisha yangu

  • @SaimonEmmanuel-qm2xk
    @SaimonEmmanuel-qm2xk2 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe nabii naomba msaada baba

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd15895 ай бұрын

    Mungu ni wa aja bu sana

  • @mercyjohn9676
    @mercyjohn96762 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu

  • @osbonmusa2619
    @osbonmusa26193 ай бұрын

    Mmh Mungu tusaidie

  • @user-qt2ht7sk5f
    @user-qt2ht7sk5f5 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii

  • @user-ow6tx2is8b
    @user-ow6tx2is8b5 ай бұрын

    Abii nisaidie nimedhulumiwa mahindi maroba 60 Nimehangaika sana Niko manyara uwezo wa kuja dar sina Nisaidie nabii

  • @ticia950

    @ticia950

    5 ай бұрын

    Badala umuombe Mungu unamuomba binadamu mwenzio ila nyie😢

  • @mercyjohn9676
    @mercyjohn96762 ай бұрын

    Nahitaji kutabiliwa mtumishi wa mungu maisha yangu siyaelewi

  • @Cecelia-hn8bx
    @Cecelia-hn8bx3 ай бұрын

    Amina sana baba

  • @pamelaroya5693
    @pamelaroya56932 ай бұрын

    Tabiri juu ya maisha yangu mtumishi

  • @angelsaid7869
    @angelsaid78695 ай бұрын

    Sema ukweli baba siku zote msem kweli apendwi ila sisi tunakupenda bwana aimidiwe🙏

  • @user-nq7rm3lr7w
    @user-nq7rm3lr7w5 ай бұрын

    Amina baba naitwa Rita damiani naomba umuombee baba watoto wangu anipe mtaji baba

  • @user-mf9tu4yu3p

    @user-mf9tu4yu3p

    4 ай бұрын

    Mpenda tu mumeo naanza kuomba wewe na kumshirikisha wewe zaidi

  • @user-jz5wz3mz6h
    @user-jz5wz3mz6h5 ай бұрын

    Naomba mungu aniteende

  • @user-gh9ph2xl7f
    @user-gh9ph2xl7f5 ай бұрын

    Bwana asifiwe baba

  • @bensonmoris463
    @bensonmoris4633 ай бұрын

    god bles u

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena94335 ай бұрын

    Mungu atu saidie na family zetu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed86374 ай бұрын

    WACHA kupoteza watu..hio ni ZINAA kubwa sanaa.DUA GANI HIZOO MNAZOZISOMAA

  • @StellaVicent-lg6yy
    @StellaVicent-lg6yy29 күн бұрын

    Amen postar

  • @HamisSalmin
    @HamisSalmin3 ай бұрын

    Nataka Kuona mafanikio ktk maisha yangu maana naona shetani ameniwekea mfumo wake nataka utoke pesanine mm naitwa Andrew jelemia

  • @ABDALAHSALUM-rf3dt
    @ABDALAHSALUM-rf3dt2 ай бұрын

    Baba naomba unitabirie unachokiona kwangu

  • @angolina1768
    @angolina17684 ай бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @Marjeby

    @Marjeby

    4 ай бұрын

    Achana na ujinga wewe baba yupi huyo acheni kutuletea michezo ya kisenge kucheza na maisha ya watu

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67603 ай бұрын

    Aminaaaaaaaa Daddy

  • @elikanamagomba4407
    @elikanamagomba44074 ай бұрын

    Asante nabii kiboko ya wachawi...

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni4 ай бұрын

    Acheni manabii wa mungu wagichue kweli ya mungu

  • @user-uz6ke4kv9e
    @user-uz6ke4kv9e4 ай бұрын

    Amina baba

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s2 ай бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri. Mbona cm yako sio rahisi kukupata! Ninaswali langu cm yako bize. Nakupataje. Niko mkoani

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u4 ай бұрын

    Amina Baba

  • @FloraAMassawe
    @FloraAMassawe4 ай бұрын

    Naitwa Flora .Naomba unitafute Baba

  • @pendoufinyu1830
    @pendoufinyu18302 ай бұрын

    Naitwa Pendo nipo dodoma,naumwa mgongo nakiuno mda mrefu,tena namwanaume kanitelekezea watoto,naomba nitabilie,nakutafuta sikupati

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc5 ай бұрын

    Amen yesu ni kweli tuseme kweli nakweli itatuweka huru.

  • @user-ow6tx2is8b

    @user-ow6tx2is8b

    4 ай бұрын

    Paulina mombo Babati manyara

  • @user-ow6tx2is8b

    @user-ow6tx2is8b

    4 ай бұрын

    Paulina mombo Babati manyara Nabii na mwomba mungu anisaide nilipwe mahindi niliyo dhulumiwa maroba 60 na Abdala manyungu aweze kunilipa naomba nabii unisaidie katika maombi Inaniuma mno nabii Bwana yesu asifiwe sana

  • @user-tj5ff3dg2f
    @user-tj5ff3dg2f5 ай бұрын

    Amen 🙏 baba kazi ienderee mungu alikupa ufunuo kweli nabii kiboko ya wachawi

  • @hellenjohn3484
    @hellenjohn34842 ай бұрын

    Amen Amen Nabii kiboko ya uchawi naitwa Hellen John Mushi

  • @ValeNtini-nl7vy
    @ValeNtini-nl7vy2 ай бұрын

    Valentine bofaai njiku nine chaga Gamoto mtoto wangu ana umwa uvibe kwenye shavu pampa na taya nabishala ya ngu inakuwangum na ndowa inasubua sana baba nao Mba unisadie baba

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lАй бұрын

    Kujichubua siyo issue. Sisi tunaangalia mambo ya ajabu. Huyu ni mkongo. Wakongo wengi wanajipenda sana wasafi. Siyo wanaume siyo wanawake ni culture ya wakongo. Muombèeni Awe kufanya kazi kusaidia watu.

  • @user-wu1kl8ci5z
    @user-wu1kl8ci5z5 ай бұрын

    Mungu anitetee naitwa coleta Niko bugurun

Келесі