MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Пікірлер: 398
Bwana yesu asifiwe mtumishi Mama yangu anaumwa na hawezi kutembea miguu Haina nguvu
Mm naitwa Emanuel Habibu Nyenzi nakuja japo sijawahi kukutana na wewe mm ni dreva wa mabasi ya kwenda nchi za nje Mungu naomba tuonane Ubarkiwe na Bwana Yesu uishi kama Mungu aishivyo
Bwana yesu asifiwe nabii kiboko ya wachawi naitwa Debora Mbanga nipo dodoma naomba ufungue maisha yangu.
Amina baba naomba nitabilie toka kwa wazazi wangu na kwangu naitwa john toka kinyerezi
Amina baba nisaidie nikomboe mm na familia yangu
Bwana Yesu asifiwe Nabii kiboko ya wachawi naomba mchawi anayefuatilia maisha yangu na makusudi ya Mungu aliyoyaweka katika maisha yangu afe kwa jina la Yesu leo.Amen.
Bwana Yesu asifiwe Nabii wa Mungu naomba uniondolee hii roho ya uhari ifu iliyo tumwa na wachawi kufuatilia maisha yangu na kunisababishia magonjwa nndoto mbaya uangushe hiyo roho na kuirudisha huko iliko toka kwa jina la Yesu
Asante Mungu kwa kutuletea pastor dominic Mungu akupe maisha marefu-Amani
Ila na sisi ifike mahara tumtafute mungu wa kwel kuliko kutafuta miujiza hyu mchungaji mwenyewe amejichubua hvi na mijitu imekalisha makalio inamsikiliza kwel jaman hapana
@athumannyungundileki9799
3 ай бұрын
Igizo hao wote hapo wanaigiza mchungaji kajikoboa kama enock inonga
@kandilesteven7889
Ай бұрын
Wanaigiza, hadi mtoto mdogo akiangalia anaona maigizo
@ThadeusShao-er5jq
Ай бұрын
Mlichofanywa nyie mm sijui hii ni kweli
@JanethNathan
28 күн бұрын
Kweli kabisa
@HappyMallya-mg1gr
27 күн бұрын
Hayajakupata dada acha kuongea mdm utakuponza ,ndo nyinyi wachawi mnatutesa pumbafu zetu amekuja kiboko yenu acha awaue hata kama anajivhubua muache ni sehemu ya kupenda ngozi yake na ni asili yao achana nae
Nami mume wag anagufu mungu msaidie mume wag
Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41
Naomba mungu wa kiboko ya wachawi anisaidie nso yangu inateketea uchumi wangu ufunguke naitwa coreta Niko buguruni
Ameen nabii ubarikiwe 2:48
Kuna dini moja tu duniani ,yenye utukufu sana ,nyumba zao za ibada ni tukufu mno ,wakiinama na kuinuka kutwa mara 5 kumuomba mola wao mlezi.
Mama Amina mwenyewe Kama akili zake hazipo sawa 🤣🤣🤣
Yesu mkono wako si mfupi ha usiweze kuokoa mao u yeti yametufarakanisha na uso wako Niokoe Mimi na uzao wa tumbo langu Amina
Naitwa maria nabii naomba unitabirie mm na mme wangu pamoja na familiy yangu maana najiona mwenye mikosi kwenye maisha yangu😭😭
Bwana yesu asifiwe mchungaji wng... Naitwa Devotha Michael mteng Naomba maombi yko nimjue anaye niroga baba!!
Ameen nabii ubarikiwe 2:48 3:08
MUNGU akulinde baba
Naomba roho iliyotumwa kufuatilia na kuharibu maisha yangu iharibiwe na kurudi huko ilikotoka kwa jina la Yesu
Amina baba nabii kiboko ya wachawe naitwa BILALI ABDi BAKALI naomba uni fungulie kiuchumi
Amina naamini ilo mtumishi
Absolutely right indeed Daddy
Bwana yesu asifiwe naitwa Aman niko goba naomba nitabirie uchumi wangu mbaya
Sikuamini unatembea na bodigadi wa nn kaka ww ni nabii istoshe hayo ni maigizo mungu akubomoe
@shubilabenjamin6597
5 ай бұрын
Kama ni maigizo na wewe fungua kanisa uigize
@user-eg7ur6pk6u
5 ай бұрын
Umeona ee
@margaritoraphael3805
5 ай бұрын
Humwamini halafu unamwangalia au unmflow
@peterrulagora7403
5 ай бұрын
Walinzi wake km majambaz
@modestagobe8678
4 ай бұрын
Hujui kazi ya bodigad au kusudu tu jamani
Acha sanaa wee mchungaji unatuletea michezo ya kuigiza na mateja wenzio unawapa mtuletee story za kichoko choko hapa
@ZawadianaMwangosi-is2jm
4 ай бұрын
Hayo mambo yapo ktk familia zingine
Mimi. Naitwa sadick Jerome Niko wazo. Mivumon. Ninashida Kuna. Mtu namdai million. Tisa. Hataki. Kunilipa nisaidie pasta
Ameen nabii ubarikiwe
Thank you 🙏 Lord Jesus
Bwana yesu asifiwe pole na kazi Baba
Ameen nabii ubarikiwe katika kaz zako
1.Wathesolanike 5:20 amina m2mishi. Mungu aendelee kukupa uzima
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@Marjeby
4 ай бұрын
Acheni ujinga nyie mtumishi wa mungu tupi huyo?!
Amina baba naomba unifungulie nipate kazi
Amina mtumixhi wa mungu
Pasta kiboko yawachawi miim Amina bilali niangalie maisha yangu mom namwanangu mohamedy nnamaisha yaashida sana mwanangu nae Ivo ivo
Kwa majina naitwa ibrahimu baba mm nimekuwa sifanikiwa kwenye kila jambo nalofanya na mjomba aliniambia ananipa miezi sita nitakuwa nimepotea
Hongera sanaaaa mtumishi wa Mungu
Mungu amuinue zaidi
Amina baba naomba maombi nipate mume nakipato maisha nimagumusana
Mimi Othman nina matatizo nguvu za kiume na uchumi mdogo mno nami nipo Zanzibar
Baba Mimi Othman Wazir nipo Zanzibar shida ni nguvu za kiume nana uchumi mdogo nilikuwa nnavua kazi imekataa nipo sinakazi
Jambo usilojuwa kaa kimya, huyu ni Nabii wa Mungu kwelikweli
@geofreymaina3838
3 ай бұрын
Hakuna nabii wa Mungu anayegombanisha watu soma vitabu vyote vya dini kama utakuta kuna nabii alikuwa wa hivi, huyu ni mganga wa kienyeji tu
@TheddyBasili-gv5tz
3 ай бұрын
Ombeni muwe na macho ya rohoni watu wa Mungu, Mungu wetu sio wa style hii 😢
Bwana asifiwe baba naitwa jastini mamboyangu yameyumba sana baba
Baba naomba ufungue maisha yangu, fungua uchumi wangu, na Vito vyote walivuonifanyiya
Ubarikiwe nabii hakika wewe ni kiboko ya wachawi
Awa wajinga kwelikweli unaona watu wamepangwa na huyo anaonekana ni mteja kabisa 😂😂😂😂😂😂😂 dah! Na sadaka wanatoa wapumbavu kweli awa..
Amen. Amen. Amen. Nitabirie Mtumishi wa Mungu. Mimi Dr Maselle
I love prophecy man of God
Aitwa yahaya mkewangu alifaliki miaka2 je alikufa kwahalali au❤❤
Baba mimi nina shida naomba nisaidie ninaota nalishwa vitu ndotoni na kuna vitu vime nikaba kooni sina ata rahaa naomba uni saidie vitoke baba nakuomba sana pia naomba nipate kazi baba niinuke kiuchumi
Bwana yesu asifiwe kwa majina naitwa Angel naomba uniombee mume wangu amenitelekeza na mtoto nisaidie mume wangu arudi
Unawapeleka jehanam watu hao kwa uongo unaotengeneza.....Mungu aliye hai hatakuacha salama
@neemajafali4468
4 ай бұрын
Kanisa la wakongo matapeli wote.Shuhuda zote za usiku zimerekodiwa ni COMEDY, hata zile za kanisani zimepangwa wanaigiza Dominick anafanya mazingaombwe tu,hakuna huduma yeyote ya kiroho. Amkeni watanzania.
@stellamsokwa6785
Ай бұрын
Amka mwenyewe,
Mungu Akubariki sn Mtumishi.
Mtumishi naomb uniombee nmeachana na mume wng mwaka na nusu chanzo ni mama mkwe
Nimesikia Kuna mama kaibiwa tulubai kanisani Kwa kiboko mpaka sasa ajalipwa ukizingatia kiboko wewe tunakuamini uyu mama inakuaje tulubai lake au habali ujaisikia 😢😢😢😢😢
@Marjeby
4 ай бұрын
😂😂😂 Kiboko mwenyewe mwizi unamtafuta mwizi kwa kumshtakia mwizi mwenyewe
Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41 😢
Baba naomba ufungue maisha yangu ya kupata watoto na kurudishwa kazini kwangu nilikokuwa nikifanya kazi
Jamani nakuelewa Sana nafunga safar kuja hapo mungu anitangulie
Amen nabii mm ninamatatizo Kuna mtu namdai hatak kunilipa naomba unisaidie nataka nizipate pesa zangu
Baba naomba unitabirie unachokiona ndan ya maisha yng kwan nakuamini
Nabii sema na maisha yangu pamoja na familia yangu mungu akubariki sana
Habari yako mutumishi Namm naomba maombi nifunguriwe.nikama nimefungwa Kwasababu natafta spati mtoto Wangu mutundu sana naomba uniombee niko inchini.marecani mafanikio.sion
Baba tembea kwenye maisha Yangu. Niondolee dhiki nipate kuwasaidia wenye huitaji pia
Nabii naomba nitabirie maisha yangu
Bwana yesu asifiwe nabii naomba msaada baba
Mungu ni wa aja bu sana
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu
Mmh Mungu tusaidie
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii
Abii nisaidie nimedhulumiwa mahindi maroba 60 Nimehangaika sana Niko manyara uwezo wa kuja dar sina Nisaidie nabii
@ticia950
5 ай бұрын
Badala umuombe Mungu unamuomba binadamu mwenzio ila nyie😢
Nahitaji kutabiliwa mtumishi wa mungu maisha yangu siyaelewi
Amina sana baba
Tabiri juu ya maisha yangu mtumishi
Sema ukweli baba siku zote msem kweli apendwi ila sisi tunakupenda bwana aimidiwe🙏
Amina baba naitwa Rita damiani naomba umuombee baba watoto wangu anipe mtaji baba
@user-mf9tu4yu3p
4 ай бұрын
Mpenda tu mumeo naanza kuomba wewe na kumshirikisha wewe zaidi
Naomba mungu aniteende
Bwana asifiwe baba
god bles u
Mungu atu saidie na family zetu
WACHA kupoteza watu..hio ni ZINAA kubwa sanaa.DUA GANI HIZOO MNAZOZISOMAA
Amen postar
Nataka Kuona mafanikio ktk maisha yangu maana naona shetani ameniwekea mfumo wake nataka utoke pesanine mm naitwa Andrew jelemia
Baba naomba unitabirie unachokiona kwangu
Ubarikiwe baba
@Marjeby
4 ай бұрын
Achana na ujinga wewe baba yupi huyo acheni kutuletea michezo ya kisenge kucheza na maisha ya watu
Aminaaaaaaaa Daddy
Asante nabii kiboko ya wachawi...
Acheni manabii wa mungu wagichue kweli ya mungu
Amina baba
Hongera kwa kazi nzuri. Mbona cm yako sio rahisi kukupata! Ninaswali langu cm yako bize. Nakupataje. Niko mkoani
Amina Baba
Naitwa Flora .Naomba unitafute Baba
Naitwa Pendo nipo dodoma,naumwa mgongo nakiuno mda mrefu,tena namwanaume kanitelekezea watoto,naomba nitabilie,nakutafuta sikupati
Amen yesu ni kweli tuseme kweli nakweli itatuweka huru.
@user-ow6tx2is8b
4 ай бұрын
Paulina mombo Babati manyara
@user-ow6tx2is8b
4 ай бұрын
Paulina mombo Babati manyara Nabii na mwomba mungu anisaide nilipwe mahindi niliyo dhulumiwa maroba 60 na Abdala manyungu aweze kunilipa naomba nabii unisaidie katika maombi Inaniuma mno nabii Bwana yesu asifiwe sana
Amen 🙏 baba kazi ienderee mungu alikupa ufunuo kweli nabii kiboko ya wachawi
Amen Amen Nabii kiboko ya uchawi naitwa Hellen John Mushi
Valentine bofaai njiku nine chaga Gamoto mtoto wangu ana umwa uvibe kwenye shavu pampa na taya nabishala ya ngu inakuwangum na ndowa inasubua sana baba nao Mba unisadie baba
Kujichubua siyo issue. Sisi tunaangalia mambo ya ajabu. Huyu ni mkongo. Wakongo wengi wanajipenda sana wasafi. Siyo wanaume siyo wanawake ni culture ya wakongo. Muombèeni Awe kufanya kazi kusaidia watu.
Mungu anitetee naitwa coleta Niko bugurun