BIBI MCHAWI ALIEROGA FAMILIA YAKE AGARAGARA MADHABAONI AKIOMBA MSAMAHA / USINIUE PART-1
BIBI MCHAWI ALIEROGA FAMILIA YAKE AGARAGARA MADHABAONI AKIOMBA MSAMAHA / USINIUE PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Пікірлер: 153
Naita chales Naomba baba ukani inue kwasiku yaleo ukafungue milango yangu yamafanikio katika jina la yesu amina
Jamani Huwa natamani kuona mpaka mwisho,lkn inaishia patamu
Amina nabii na mimi kupitia huyo aliye jaribu uzao wangu na kuharibu maisha yangu afe kwa jina la yesu
Mimi Gloria Ndunguru naomba unisaidie mtoto wangu Chizostomus haelewi shuleni kwasasa baba yake tuliachana na ameniachia watoto
Naitwe dani naomba nabii uniombee nadawa pesa nyingi niweze kulipa nauzagari Nanyumba. Sipati wateja wakija kuangalia awarudi niombee mtuwamungu
Baba na mimi naomba maombi yako kupitia jina la yesu aniponye aniondolee matatizo kwenye familia yangu mwanangu pia amponye siko cell
Nabii naomba uniombee nyota yangu irudishwe yoyote aliyoichukuwa,naitwa ritha nickolaus mwakasege,natokea kisemvule
Yeyote anayeniloga au kuloga watoto wangu natamka kwa jina la yesu afe
baba njoo arusha
Baba nawomba unitabiriye na Mimi nani anaye niaribiya maisha yangu naitwa supat kukay
Namie aliyeroga maisha yangu ade kwa jina la Yesu kristo aliye hai😊
Naomba baba uni funguliye milango ya baraka ni fanikiwe maishani mwangu
Bwana yes asifiwr nabii naumwa sana miguu naomba uniombee
mm naitwa Amina kutoka bg moyo baba yangu nimekuelew San nitakutafuta baadae
Naomba Mungu akumbuke maisha yangu Leo,yoyote anaye niroga afe Kwa jina la YESU
Tunamshukulu mungu Kwa kutuletea mtumishiwa kututetea wanyonge mungu akupe miaka mingi ya kuishi
Njoo kenya tumetezeka sana..niombee pia mm nabii
Amina baba nimekuelewa sana hakika nitakufuata
Nabii kiboko ya wachawi mungu akuinuwi Tena mungu akutie nguvu
Kila aliyecheza na Mimi kidogo kidg ndani ya familia yangu awe ndugu yeyote asiishi,yeyote anayeniroga,yeyote ambaye ni sababu ya mateso ninayoyapitia asiishi wafe,amen mtumishi