KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1
KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Пікірлер: 748
Kutakuwa na dhiki kubwa siku za mwisho manabii wa uwongo watakuwepo halo ndipo naamini masiha yupo karibu kurdi mungu tusamehe 😢😢😢😢😢😢😢😢
@ColethaLucassingaile
20 күн бұрын
Watu wanaangamia Kwa kukosa maarifa,mtu anateseka hapo na madrip watu wapo bussy kusikiliza umbeya kama anavosema mwenyewe,mungu si mwepesii wa kutulipiza mabaya tunayofanya,ndo maana ukitubu Kwa kumaanisha anasamehe na kusahau,mungu Bado nalitumain jina lako,hapo mwishoni umesema sahihi usihukum usije ukahukum
Ugumu wa maisha unawafanya watu wengi wahangaike Sana kwenye Imani potofu
Alhamdilillah kwa neema ya uislamu
@margretdionese493
Күн бұрын
Yesu kristo anarudi tubuni na kuiamini injili bila Yesu hakuna mbingu WA Islam wote motoni
Dady nakukubali,papaaa, niguse ktk nahitaji yangu, nimefukuzwa mkataba Lisa nimekutaja wewe, my dady
Eee bwana yesu naomba uumsaidie huyu kijana wangu aache pombe apate kazi kwa jina la yesu amen
Bwana asifiwe sana ❤ Ila uandishi kwa mfano hajazaa huku imeandikwa ajazaa mwandishi angalia sana
Bwana yesu asifiwe,mimi ninashida naomba unisaidiye,uniondoleye mshawi anaye angaisha maisha yangu,heri ningekuwa dar ningelifika hapo shida niko Kenya.ubarikiwe
Ameen mungu azidi kukubariki mtumishi wa mungu
Mtumishi wa mungu napenda sana maombi yako I receive i receive
Naomba unisaidie anayeniroga mimi na familia yangu aonekane kwa jina la yesu amen
Glory be to God for this man of God
Bwana yesu asifiwe mtumishi na bii ,mim naitwa rebeka msuya nasikiza mahubiri yako naomba unisaidie uzao wangu na mume wangu apate kipato kikubwa ,na mimi biashara yangu haiendelei naomba nisaidie asant sana baba
Mtumish wa mungu naomba unitolee maradh yaliyopo mwilin mwangu nimesumbuka miaka ming sana
Mungu ananusuru watu wake na siyo kuhuwa
AMEN nabii Kiboko ya Wachawi Mungu akubariki
Ameen mtumishi wa mungu nafuatilia huduma zako nikiwa mwanga Kilimanjaro nimefungwa kimaisha na hata kuzaa naomba unisaidie past
Amina pastor
Mungu akubariki sana, naomba namm nipate nafasi ya utabiri mana nimejaribu Kwa simu mara kazaa bila mafanikio
Piga KAZI mzee NEEMA ya Mungu ni kubwa
Najiungamanisha na madhabahu hii ya kiboko ya wachawi nisaidie niongezewe mshahala wangu mwez huu wa sita npokee ela ya kuzid amen
Mungu akazane kukupa uwezo zaidi ulliyonawo God bless you 1🥰 💯 🙏
Amen mtumishi
Polee sana kibaka,,
baba nimesumbuliwa na malaz kwa mda najisikia kufunguliwa maisha yangu na familia yangu tuondokane na Magonjwa pamoja na ugumu wa maisha yetu mungu akupe nguvu utusaidie Amen,
Mungu atusaidie Sana
Amina bab
Ubarikiwe mtumishi wa bwana🙏🙏🙏
Ni mtumishi wa Mungu namkubali tuponye baba.
Ameeen baba Siri zifichiliwe
Bwana Yesu asifiwe naomba msaada wa maombi mamaangu ni mgonjwa wa kukohoa na kutapika damu
Mungu akubariki uwa ponye watu kwa jina la mwenyesi mungu
eti mm nimkorofi aisee 😢Mungu nisaidie mm walai tena sio Tanzania wala kenya wala ulaya sijawahi kuwaamini hawa manabii wala mitume na sijawah kuwapenda wala kuwaelewa jmn au mm ndo natatzo ila siku za mwisho ndo hizi, mambo yanaenda kiganga gang tu
@mbwamboruth
4 ай бұрын
Magumu hayakupata my dear ukiona mtu kaenda pale,huyo amepitia mapito sasa hana budi kufanya hivyo,Mungu atupe neema tu
@ZainabuOmary-nt7xf
3 ай бұрын
Kweli
@emmanuelmakenzi1830
2 ай бұрын
kiboko ya wachawi. naombaunisaidie nasumbuliwa na magonjwa nina ngoli, bawa siri na mashine. yangu Iko lege lege sana
@Esmark-lp7hu
Ай бұрын
Yaaani
Naitwa Eufransia ng'ombo baba naomba uniombee familia yangu kiafya watoto 2 wafaulu mitihani yao pia tumeshuka kiuchumi na mume wangu biashara haindelei vizuri naomba unisaidie baba asante
Aminaa mtumish wakomeshe wachaw tena wauwe wametutesa sanaaa
Inaumiza sana. Mungu azidi kukubariki Baba.
Sema tupone baba🙏🙏
Ubaarikiwe
Amen mtumishi wa Mungu naomba uniombee napitia mapito magumu kimaisha kila kazi ya mikono yangu haistawi
@monicakiwia5649
5 ай бұрын
Kwasababu bado hujamjua Mungu ukimjua Mungu kazi za mikono yako zitastawi muombe Mungu akupe Neema yakumjua yeye
Nahitaji Nimalize nyumba yangu kwa kina la yesu na nipate biashara kubwa sana mwaka huu
Ameni mtumishi wa mungu
Mmmmm kesi izo
Sema bhana unatumaliziaa mb zetu
@user-bv9ce5sd7u
5 ай бұрын
Hahahahahaha
Amina afu nyie mnaokaa nakusema watu wanadanganywa kwann nyny mnalazimishwa kusikiliza kama unaona kinacho hubiliwa wewe hakikufai unaweza kuacha kufatiria au nyie ndowale wachawi moto wamungu unawachoma mnaishia kutoa lgha chafu
God bless us
Bwana Yetu atukuzwe sanaa.
Nione na mim mtumishi ameeni
Mungu niinulie mtu sahii, unipe kazi amen
Sema wabadilike
Nabii naomba uniombee baba mungu anibariki nifanikiwe haliyamasha yangu imekuwa ngumu baba nikipata pesa haikai nabii kilajambo nikifanya haliendi kabisa baba nashindwa kuelewa hata nimejenga nyumba yakuku nimehindwa kumaliza mtumishi naomba unisaidie baba
Mungu Ni mwema kila wkt...nipo Moshi
Watching from kenya God bless you pray for my ministry
Mungu atubarik sana
Mungu naomba nianze uduma ndani ya week huu kama kuna nguvu ya giza ndani yake imeshindwa na nainuka kwa kazi ya mungu
Semaaa baba
Amin baba
Nipo Moshi naitwa Adili nakufatilia mtumishi sijapata chance kuongea na wewe. Barikiwa sana
Kwenye familia yetu tunateseka sna baba tufungueee
@Mainatongwe
4 күн бұрын
Urogwi wew acha ujinga fanya kaz
Mungu akubarki mtumish
Amina🙏 mtumshi
Yooooo aliwaua jaman
mungu atusaidie waja wake
mimi Edwin salim kalangula amina baba naona kazi zako nakufatilia sana
Amen Amen 🇰🇪
Mungu tuhurumie ss bnadamu mungu hatujui apacho 2nafanya
Amina baba
@ mungu nimwema kahusa
Emwenyezi mungu naomba unsaidie nifaulu Gp 3 ya mitihani yangu
@rukiamkumbwa
3 ай бұрын
Na Mimi naomba nipate kazl
Naitwa Hamza hamadi hongera Sana nabii wetu naomba nisaidie uondoe Matatzo yangu yote
Mmmmmmmmmh!!!!!!!!!! Basi tu mungu ajueeeeeee
Mungu akuinuliye nuru nabii
Naomba kufunguliwa Baba 🙏
munguakubaliki mtumishi naombauniombee fmiliamagonjwa nakazizamikonoyanguzikabalikiwe
@nelsonnyamle
5 ай бұрын
Mjinga wewe soma maandiko umjue huyu mtu kuwa si mtumishi wa mungu mwakilishi wa shetani jamsni
Naomba mungu anisaidie nimalizie jengo langu na biashara zangu zsimame
Bwana yesu asifiwe naitwa JUMA SAlDI KIONDO mtumishi nisaidie maisha yangu siyaelewi kila nnachofanya matokeo ni ziro afu siko dar Niko ARUSHA nisaidie baba
@petermbugi2579
3 ай бұрын
Yesu atakusaidia
Amen Amen Mtumishi wa Mungu naitwa Hellen John Mushi
@meshachkigumbi6034
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-zk8sg3iw1z
3 ай бұрын
Hellen John Mushi naomba kukufahamu zaidi Kwa kuwa nahisi kuwa wewe ni ndugu yangu!!! Coz na Mimi naitwa Selemani Thomasi Ringia Mushi! Je wewe ni Mushi wa wapi? Coz Mimi natokea kishumundu mtaa wa mararo matemboni!??
Mkasome biblia mathayo 24 meeleza wazi kwa habari ya manabii wa uongo, Mwenyezi Mungu akatusamehe na atusaidie Sana
Pasta dominic kiboko ya uchawi unisaidie watoto wangu wakike nawakiume wako wawili na wakike mmoja aolewe na Hawa wengine mguu apone mdogo haoni dalasani haoni
@user-po8hz7xw9j
19 күн бұрын
Ndugu waume wenyewe wako wapi we mshauri tuu apate kazi ajijenge mwanaume atakuja mwenyewe
Ubalikiwe xana
wonderfulllllllllllllllll Kiboko.
Naomba unisaidie nateseka sana mwanaume kanizalisha bado mtt hamtunzi nakuna dada alichukua pesa za watu kupitia mm kaniachia mm kesi nasumbuliwa nateseka sana mtumishi.
@fetyalmas698
25 күн бұрын
My dear poleee
Tabiri juu yangu baba
Mungu tuhurumie🤲🤲🤲
Nabii wa Mungu alieumba mbingu na nchi, mnaopinga hii huduma mnamapepo na ni makristo wa uongo
@AjayKorea-lf6wq
Ай бұрын
Kwanini mnapinga huduma ya mungu wote mnaompinga huyu nabii mtakufa kama sisimizi wachawi wakubwa na mtakufa
Naitwa Mary KISAKA, niombee kwa mungu mume wàngu apone kisukari kinamsumbua karibu miaka kumi
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
5 ай бұрын
Kwa Mwamposa hujujui?? Mpeleke kule Kawe.
Mungu atuhurumie sisi nadunia nzima
Naomba nipate kazi🙏
Kauwa watoto kisa mwanaumeeeee mungu anatuhukumuuuu
Mungu aturehemu sana muwe macho mmh
Utusaidiemtuanaeuloga❤
Hallelujah
Ubarikiwe Sana babaa ,naomba unifungue mume wangu ananificha Kila kitu Mwema Justine wa kimara
@agnessima5032
5 ай бұрын
Mbona inaonekana we ndo mume?😂
Naitwa medard nipo mwanza Mungu akubariki pia nahitaji msaada wako
mungu naomba umponye mama mkwe wangu
Nabii tusaindie baba mungu akukumbuke
Mm ninan nisie eendana nawegine❤❤
Profesai to me dady
@user-uj7mm1jv5n
Ай бұрын
Receive grace in Jesus
Napokea uponyaji
Nakata chuma ullete nabi naomba nisaidie maisha yangu mimi na familia yetu ayaelweki
Amen Amen
Jmn ,si mnajua Mimi nilivutaga bangii kweli huu ni utmishi aina gani
@AggyEmmanuel
Ай бұрын
shangaa naww
@kemmymartine4884
Ай бұрын
😂