KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1

KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig

Пікірлер: 748

  • @RamaMsimbe
    @RamaMsimbeАй бұрын

    Kutakuwa na dhiki kubwa siku za mwisho manabii wa uwongo watakuwepo halo ndipo naamini masiha yupo karibu kurdi mungu tusamehe 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ColethaLucassingaile

    @ColethaLucassingaile

    20 күн бұрын

    Watu wanaangamia Kwa kukosa maarifa,mtu anateseka hapo na madrip watu wapo bussy kusikiliza umbeya kama anavosema mwenyewe,mungu si mwepesii wa kutulipiza mabaya tunayofanya,ndo maana ukitubu Kwa kumaanisha anasamehe na kusahau,mungu Bado nalitumain jina lako,hapo mwishoni umesema sahihi usihukum usije ukahukum

  • @neemarosedawson3154
    @neemarosedawson31547 күн бұрын

    Ugumu wa maisha unawafanya watu wengi wahangaike Sana kwenye Imani potofu

  • @AbuuSwafwaan
    @AbuuSwafwaan19 күн бұрын

    Alhamdilillah kwa neema ya uislamu

  • @margretdionese493

    @margretdionese493

    Күн бұрын

    Yesu kristo anarudi tubuni na kuiamini injili bila Yesu hakuna mbingu WA Islam wote motoni

  • @DemetriaDomishen
    @DemetriaDomishenАй бұрын

    Dady nakukubali,papaaa, niguse ktk nahitaji yangu, nimefukuzwa mkataba Lisa nimekutaja wewe, my dady

  • @AsiaMsemo-ox1tg
    @AsiaMsemo-ox1tg27 күн бұрын

    Eee bwana yesu naomba uumsaidie huyu kijana wangu aache pombe apate kazi kwa jina la yesu amen

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79356 ай бұрын

    Bwana asifiwe sana ❤ Ila uandishi kwa mfano hajazaa huku imeandikwa ajazaa mwandishi angalia sana

  • @fatyherman9705
    @fatyherman97052 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe,mimi ninashida naomba unisaidiye,uniondoleye mshawi anaye angaisha maisha yangu,heri ningekuwa dar ningelifika hapo shida niko Kenya.ubarikiwe

  • @princessezekiel1549
    @princessezekiel15492 ай бұрын

    Ameen mungu azidi kukubariki mtumishi wa mungu

  • @JescaMpweza
    @JescaMpwezaАй бұрын

    Mtumishi wa mungu napenda sana maombi yako I receive i receive

  • @AsiaMsemo-ox1tg
    @AsiaMsemo-ox1tg27 күн бұрын

    Naomba unisaidie anayeniroga mimi na familia yangu aonekane kwa jina la yesu amen

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es3 ай бұрын

    Glory be to God for this man of God

  • @RebekaJohn-vt8xf
    @RebekaJohn-vt8xf3 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi na bii ,mim naitwa rebeka msuya nasikiza mahubiri yako naomba unisaidie uzao wangu na mume wangu apate kipato kikubwa ,na mimi biashara yangu haiendelei naomba nisaidie asant sana baba

  • @RamadhanSoah-ss6ij
    @RamadhanSoah-ss6ij20 күн бұрын

    Mtumish wa mungu naomba unitolee maradh yaliyopo mwilin mwangu nimesumbuka miaka ming sana

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su3 ай бұрын

    Mungu ananusuru watu wake na siyo kuhuwa

  • @ZakayoKalinga-nq5qy
    @ZakayoKalinga-nq5qy3 ай бұрын

    AMEN nabii Kiboko ya Wachawi Mungu akubariki

  • @user-dp9pw9uu7z
    @user-dp9pw9uu7z3 ай бұрын

    Ameen mtumishi wa mungu nafuatilia huduma zako nikiwa mwanga Kilimanjaro nimefungwa kimaisha na hata kuzaa naomba unisaidie past

  • @Duniawatu
    @Duniawatu2 ай бұрын

    Amina pastor

  • @valentinaanthony
    @valentinaanthony3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana, naomba namm nipate nafasi ya utabiri mana nimejaribu Kwa simu mara kazaa bila mafanikio

  • @ellymbwambo331
    @ellymbwambo3312 ай бұрын

    Piga KAZI mzee NEEMA ya Mungu ni kubwa

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx2 ай бұрын

    Najiungamanisha na madhabahu hii ya kiboko ya wachawi nisaidie niongezewe mshahala wangu mwez huu wa sita npokee ela ya kuzid amen

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn4 ай бұрын

    Mungu akazane kukupa uwezo zaidi ulliyonawo God bless you 1🥰 💯 🙏

  • @ClarrahGerrad
    @ClarrahGerradАй бұрын

    Amen mtumishi

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he11 күн бұрын

    Polee sana kibaka,,

  • @sospetermussa-ub3er
    @sospetermussa-ub3erАй бұрын

    baba nimesumbuliwa na malaz kwa mda najisikia kufunguliwa maisha yangu na familia yangu tuondokane na Magonjwa pamoja na ugumu wa maisha yetu mungu akupe nguvu utusaidie Amen,

  • @FadhilaMhando
    @FadhilaMhando5 ай бұрын

    Mungu atusaidie Sana

  • @BEATRICEMASSAWE-oc1kc
    @BEATRICEMASSAWE-oc1kc2 ай бұрын

    Amina bab

  • @festomaswaga-ht5yi
    @festomaswaga-ht5yi2 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa bwana🙏🙏🙏

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti27 күн бұрын

    Ni mtumishi wa Mungu namkubali tuponye baba.

  • @niyiesther6571
    @niyiesther65716 ай бұрын

    Ameeen baba Siri zifichiliwe

  • @eunice1552
    @eunice15526 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe naomba msaada wa maombi mamaangu ni mgonjwa wa kukohoa na kutapika damu

  • @OlesailepuLesinoi
    @OlesailepuLesinoi2 ай бұрын

    Mungu akubariki uwa ponye watu kwa jina la mwenyesi mungu

  • @FrankDeo-xu7zw
    @FrankDeo-xu7zw5 ай бұрын

    eti mm nimkorofi aisee 😢Mungu nisaidie mm walai tena sio Tanzania wala kenya wala ulaya sijawahi kuwaamini hawa manabii wala mitume na sijawah kuwapenda wala kuwaelewa jmn au mm ndo natatzo ila siku za mwisho ndo hizi, mambo yanaenda kiganga gang tu

  • @mbwamboruth

    @mbwamboruth

    4 ай бұрын

    Magumu hayakupata my dear ukiona mtu kaenda pale,huyo amepitia mapito sasa hana budi kufanya hivyo,Mungu atupe neema tu

  • @ZainabuOmary-nt7xf

    @ZainabuOmary-nt7xf

    3 ай бұрын

    Kweli

  • @emmanuelmakenzi1830

    @emmanuelmakenzi1830

    2 ай бұрын

    kiboko ya wachawi. naombaunisaidie nasumbuliwa na magonjwa nina ngoli, bawa siri na mashine. yangu Iko lege lege sana

  • @Esmark-lp7hu

    @Esmark-lp7hu

    Ай бұрын

    Yaaani

  • @EufranciaNgombo
    @EufranciaNgombo2 ай бұрын

    Naitwa Eufransia ng'ombo baba naomba uniombee familia yangu kiafya watoto 2 wafaulu mitihani yao pia tumeshuka kiuchumi na mume wangu biashara haindelei vizuri naomba unisaidie baba asante

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa17 күн бұрын

    Aminaa mtumish wakomeshe wachaw tena wauwe wametutesa sanaaa

  • @AnnamarySeth
    @AnnamarySethАй бұрын

    Inaumiza sana. Mungu azidi kukubariki Baba.

  • @agathakimatile4999
    @agathakimatile49996 ай бұрын

    Sema tupone baba🙏🙏

  • @MonikaSaimoni
    @MonikaSaimoni2 ай бұрын

    Ubaarikiwe

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso24246 ай бұрын

    Amen mtumishi wa Mungu naomba uniombee napitia mapito magumu kimaisha kila kazi ya mikono yangu haistawi

  • @monicakiwia5649

    @monicakiwia5649

    5 ай бұрын

    Kwasababu bado hujamjua Mungu ukimjua Mungu kazi za mikono yako zitastawi muombe Mungu akupe Neema yakumjua yeye

  • @user-bf7ce8tx2y
    @user-bf7ce8tx2y4 ай бұрын

    Nahitaji Nimalize nyumba yangu kwa kina la yesu na nipate biashara kubwa sana mwaka huu

  • @PeterPeter-tb7nx
    @PeterPeter-tb7nx3 ай бұрын

    Ameni mtumishi wa mungu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul18665 ай бұрын

    Mmmmm kesi izo

  • @winfridamalunguja3287
    @winfridamalunguja32876 ай бұрын

    Sema bhana unatumaliziaa mb zetu

  • @user-bv9ce5sd7u

    @user-bv9ce5sd7u

    5 ай бұрын

    Hahahahahaha

  • @VivvaaMgee
    @VivvaaMgee3 ай бұрын

    Amina afu nyie mnaokaa nakusema watu wanadanganywa kwann nyny mnalazimishwa kusikiliza kama unaona kinacho hubiliwa wewe hakikufai unaweza kuacha kufatiria au nyie ndowale wachawi moto wamungu unawachoma mnaishia kutoa lgha chafu

  • @hillarycypriankimath7201
    @hillarycypriankimath72012 ай бұрын

    God bless us

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76866 ай бұрын

    Bwana Yetu atukuzwe sanaa.

  • @user-ql2rj2np1l
    @user-ql2rj2np1l4 ай бұрын

    Nione na mim mtumishi ameeni

  • @FridaMtui-pp3lt
    @FridaMtui-pp3ltАй бұрын

    Mungu niinulie mtu sahii, unipe kazi amen

  • @MagretLukumay-bv6zq
    @MagretLukumay-bv6zq5 ай бұрын

    Sema wabadilike

  • @ezekealpaulo-ny7ox
    @ezekealpaulo-ny7ox2 ай бұрын

    Nabii naomba uniombee baba mungu anibariki nifanikiwe haliyamasha yangu imekuwa ngumu baba nikipata pesa haikai nabii kilajambo nikifanya haliendi kabisa baba nashindwa kuelewa hata nimejenga nyumba yakuku nimehindwa kumaliza mtumishi naomba unisaidie baba

  • @ibrahimswai8412
    @ibrahimswai8412Ай бұрын

    Mungu Ni mwema kila wkt...nipo Moshi

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-79402 ай бұрын

    Watching from kenya God bless you pray for my ministry

  • @BensonRichard-dl1gz
    @BensonRichard-dl1gz2 ай бұрын

    Mungu atubarik sana

  • @veronicachongolo3023
    @veronicachongolo3023Ай бұрын

    Mungu naomba nianze uduma ndani ya week huu kama kuna nguvu ya giza ndani yake imeshindwa na nainuka kwa kazi ya mungu

  • @ShadreckMaombi
    @ShadreckMaombi2 ай бұрын

    Semaaa baba

  • @user-bl8ht3dx4v
    @user-bl8ht3dx4v16 күн бұрын

    Amin baba

  • @adilimmuru9615
    @adilimmuru96152 ай бұрын

    Nipo Moshi naitwa Adili nakufatilia mtumishi sijapata chance kuongea na wewe. Barikiwa sana

  • @CuttyLushazy
    @CuttyLushazyАй бұрын

    Kwenye familia yetu tunateseka sna baba tufungueee

  • @Mainatongwe

    @Mainatongwe

    4 күн бұрын

    Urogwi wew acha ujinga fanya kaz

  • @BetinaMalima
    @BetinaMalima16 күн бұрын

    Mungu akubarki mtumish

  • @swaynice1719
    @swaynice17192 ай бұрын

    Amina🙏 mtumshi

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah83235 ай бұрын

    Yooooo aliwaua jaman

  • @MakaleJuma-go5kf
    @MakaleJuma-go5kf2 ай бұрын

    mungu atusaidie waja wake

  • @edwinikalangula-sq8zh
    @edwinikalangula-sq8zh5 ай бұрын

    mimi Edwin salim kalangula amina baba naona kazi zako nakufatilia sana

  • @cyruskarimi8837
    @cyruskarimi88376 ай бұрын

    Amen Amen 🇰🇪

  • @Stellahnakhabalewanyonyi
    @Stellahnakhabalewanyonyi14 күн бұрын

    Mungu tuhurumie ss bnadamu mungu hatujui apacho 2nafanya

  • @yahayafikiri6395
    @yahayafikiri63953 ай бұрын

    Amina baba

  • @denisgroupfun
    @denisgroupfun6 ай бұрын

    @ mungu nimwema kahusa

  • @AmotheBrandtv26
    @AmotheBrandtv265 ай бұрын

    Emwenyezi mungu naomba unsaidie nifaulu Gp 3 ya mitihani yangu

  • @rukiamkumbwa

    @rukiamkumbwa

    3 ай бұрын

    Na Mimi naomba nipate kazl

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed692 ай бұрын

    Naitwa Hamza hamadi hongera Sana nabii wetu naomba nisaidie uondoe Matatzo yangu yote

  • @HalimaShabani-ij4mi
    @HalimaShabani-ij4mi3 ай бұрын

    Mmmmmmmmmh!!!!!!!!!! Basi tu mungu ajueeeeeee

  • @user-hi5ch2lp3t
    @user-hi5ch2lp3tАй бұрын

    Mungu akuinuliye nuru nabii

  • @rosemarysombe-es5gc
    @rosemarysombe-es5gc3 ай бұрын

    Naomba kufunguliwa Baba 🙏

  • @user-cx4zm4qc6o
    @user-cx4zm4qc6o5 ай бұрын

    munguakubaliki mtumishi naombauniombee fmiliamagonjwa nakazizamikonoyanguzikabalikiwe

  • @nelsonnyamle

    @nelsonnyamle

    5 ай бұрын

    Mjinga wewe soma maandiko umjue huyu mtu kuwa si mtumishi wa mungu mwakilishi wa shetani jamsni

  • @NoraMsangi
    @NoraMsangi2 ай бұрын

    Naomba mungu anisaidie nimalizie jengo langu na biashara zangu zsimame

  • @JumaKiondo-te2qc
    @JumaKiondo-te2qc3 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe naitwa JUMA SAlDI KIONDO mtumishi nisaidie maisha yangu siyaelewi kila nnachofanya matokeo ni ziro afu siko dar Niko ARUSHA nisaidie baba

  • @petermbugi2579

    @petermbugi2579

    3 ай бұрын

    Yesu atakusaidia

  • @hellenjohn3484
    @hellenjohn34843 ай бұрын

    Amen Amen Mtumishi wa Mungu naitwa Hellen John Mushi

  • @meshachkigumbi6034

    @meshachkigumbi6034

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-zk8sg3iw1z

    @user-zk8sg3iw1z

    3 ай бұрын

    Hellen John Mushi naomba kukufahamu zaidi Kwa kuwa nahisi kuwa wewe ni ndugu yangu!!! Coz na Mimi naitwa Selemani Thomasi Ringia Mushi! Je wewe ni Mushi wa wapi? Coz Mimi natokea kishumundu mtaa wa mararo matemboni!??

  • @user-gu3px5me6u
    @user-gu3px5me6u4 ай бұрын

    Mkasome biblia mathayo 24 meeleza wazi kwa habari ya manabii wa uongo, Mwenyezi Mungu akatusamehe na atusaidie Sana

  • @ZainabuIsmaili-b1g
    @ZainabuIsmaili-b1g28 күн бұрын

    Pasta dominic kiboko ya uchawi unisaidie watoto wangu wakike nawakiume wako wawili na wakike mmoja aolewe na Hawa wengine mguu apone mdogo haoni dalasani haoni

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    19 күн бұрын

    Ndugu waume wenyewe wako wapi we mshauri tuu apate kazi ajijenge mwanaume atakuja mwenyewe

  • @alfredtem591
    @alfredtem5912 ай бұрын

    Ubalikiwe xana

  • @pascalkiwia-wm2lb
    @pascalkiwia-wm2lb6 ай бұрын

    wonderfulllllllllllllllll Kiboko.

  • @LuclaJohn
    @LuclaJohnАй бұрын

    Naomba unisaidie nateseka sana mwanaume kanizalisha bado mtt hamtunzi nakuna dada alichukua pesa za watu kupitia mm kaniachia mm kesi nasumbuliwa nateseka sana mtumishi.

  • @fetyalmas698

    @fetyalmas698

    25 күн бұрын

    My dear poleee

  • @InoccentLucas
    @InoccentLucas3 ай бұрын

    Tabiri juu yangu baba

  • @user-wy3gr4zj2s
    @user-wy3gr4zj2s6 ай бұрын

    Mungu tuhurumie🤲🤲🤲

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s3 ай бұрын

    Nabii wa Mungu alieumba mbingu na nchi, mnaopinga hii huduma mnamapepo na ni makristo wa uongo

  • @AjayKorea-lf6wq

    @AjayKorea-lf6wq

    Ай бұрын

    Kwanini mnapinga huduma ya mungu wote mnaompinga huyu nabii mtakufa kama sisimizi wachawi wakubwa na mtakufa

  • @user-xp8bh6xy4f
    @user-xp8bh6xy4f5 ай бұрын

    Naitwa Mary KISAKA, niombee kwa mungu mume wàngu apone kisukari kinamsumbua karibu miaka kumi

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly

    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly

    5 ай бұрын

    Kwa Mwamposa hujujui?? Mpeleke kule Kawe.

  • @user-cc1ru5xe1t
    @user-cc1ru5xe1t25 күн бұрын

    Mungu atuhurumie sisi nadunia nzima

  • @AgnethaGodfrey-dn7dt
    @AgnethaGodfrey-dn7dt4 ай бұрын

    Naomba nipate kazi🙏

  • @user-js4bu1jp7n
    @user-js4bu1jp7n2 ай бұрын

    Kauwa watoto kisa mwanaumeeeee mungu anatuhukumuuuu

  • @vickyedward
    @vickyedward4 ай бұрын

    Mungu aturehemu sana muwe macho mmh

  • @felistermdeshi7013
    @felistermdeshi70136 ай бұрын

    Utusaidiemtuanaeuloga❤

  • @MarthaSulle-qr6lo
    @MarthaSulle-qr6lo2 ай бұрын

    Hallelujah

  • @YohanaThomasi-zk8uo
    @YohanaThomasi-zk8uo5 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana babaa ,naomba unifungue mume wangu ananificha Kila kitu Mwema Justine wa kimara

  • @agnessima5032

    @agnessima5032

    5 ай бұрын

    Mbona inaonekana we ndo mume?😂

  • @user-sy5nk5mo3p
    @user-sy5nk5mo3pАй бұрын

    Naitwa medard nipo mwanza Mungu akubariki pia nahitaji msaada wako

  • @GalganoPasian
    @GalganoPasian2 ай бұрын

    mungu naomba umponye mama mkwe wangu

  • @user-gf4dj8uv3f
    @user-gf4dj8uv3f6 ай бұрын

    Nabii tusaindie baba mungu akukumbuke

  • @user-kx5iw6pj8h
    @user-kx5iw6pj8hАй бұрын

    Mm ninan nisie eendana nawegine❤❤

  • @user-uj7mm1jv5n
    @user-uj7mm1jv5nАй бұрын

    Profesai to me dady

  • @user-uj7mm1jv5n

    @user-uj7mm1jv5n

    Ай бұрын

    Receive grace in Jesus

  • @user-pp6sz2uz8j
    @user-pp6sz2uz8j2 ай бұрын

    Napokea uponyaji

  • @FlorahKamayugi
    @FlorahKamayugi2 ай бұрын

    Nakata chuma ullete nabi naomba nisaidie maisha yangu mimi na familia yetu ayaelweki

  • @OnesphoriusKabig-ch8dj
    @OnesphoriusKabig-ch8djАй бұрын

    Amen Amen

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zlАй бұрын

    Jmn ,si mnajua Mimi nilivutaga bangii kweli huu ni utmishi aina gani

  • @AggyEmmanuel

    @AggyEmmanuel

    Ай бұрын

    shangaa naww

  • @kemmymartine4884

    @kemmymartine4884

    Ай бұрын

    😂

Келесі