HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA PART-1
HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion
Пікірлер: 186
We dada kua na moyo wahuruma msamehe mwenzio wewe Unamkosea mangapi Mungu naanakusamehe ukweli huyo dada hajachukua hiyo pesa mumeo ndio aliyo chukua unatakiwa umlipe fidia ya kumzalilisha Hadi mie imeniuma .
Bwanayesu asifiwe mtumishi yani Mimi napenda unavyo wahambiya watu ukweli
Huyo ndo kiboko Dunia nzima hayupo wa kufanana na wewe mungu akupe maisha 10000000000
Mtumishi bwana yesu asifiwe Mimi Kwa majina yangu ninaitwa maiko kutoka Arusha nimekubali sana unabiii wako endelea kuwakomesha wachawi
Nabii naitwa Stella naomba uniombee mwanangu amexhumbiwa na mahari imetolewa mara ghafla upande wa mwanaume wakavunja uchumba na wkiwa wamesha mzalisha naomba unisaidie
Iki kipindi nakipenda kama ivi ni kweli ya wasafi tv wanajua kuigiza dadeki,muwe munatuonesha behind seen na nyieee
Naomba mwanangu apone, hata sasa amesafir kuja dar ili kupata huduma ya maombi. Ana miaka mi tano na amesafir na mama Ake.
Nakuomba umusaidia mke wangu haoni ndani ya miaka 3 nakuomba sana na bii uni saaidia juu muke wangu haoonikabisa
Nimekoswa nauli mchungaji ningekuja huko unaweza kwamungu hashindwi kitu
Umasikiwetu unatuponza hata ukisema ukweri ausikirizw mungu yupo pamoja nawe
Nabii mungu akuweke utukomboe na xixi bado hsujatuona japo unajitahidi. Kusikilliz vipindi vysko Amiin mtetexi wa wanyonge
Asante mungu kwakua unawasumbua waovu na kutuweka Hulu wanyonge
Baba ubarikiwe sana kiukweri nko safari congo kirasiku uwanabarikiwa sana naposikiriza maubiriyako nakufatiria sana baba nataman sikunifike kwako baba
Mwenyezi Mungu akusimamie kiboko wetu,
Pole dada usiriye wanawake tunadangayika na wanaume akikwambiya Sina mke unakuwa upo pekeyako
Adinimecheza Mimi nikiwa nimekaaa jmn daaaaa achan na mungu
Mungu akulinde sana mtumishi wa mungu Kwa kazi unayoifanya
Baba naomba nisaidie uchumi wangu umekuwa mgumu baba
NABII NISAIDIE NAITWA MSAFIRI MRISHO KIPONZA.UCHUMI WANGU UMEANGUKA NINA UMWA NINA MALAZI MENGI TU NA FAMILIA NI MATATIZO MKE WATOTO HAKUNA MAENDELEO.
Amina baba mungu akuinue