HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA PART-1

HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion

Пікірлер: 186

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964

    We dada kua na moyo wahuruma msamehe mwenzio wewe Unamkosea mangapi Mungu naanakusamehe ukweli huyo dada hajachukua hiyo pesa mumeo ndio aliyo chukua unatakiwa umlipe fidia ya kumzalilisha Hadi mie imeniuma .

  • @user-nl4jx2zw6e
    @user-nl4jx2zw6e

    Bwanayesu asifiwe mtumishi yani Mimi napenda unavyo wahambiya watu ukweli

  • @user-qu2ky6mi6v
    @user-qu2ky6mi6v

    Huyo ndo kiboko Dunia nzima hayupo wa kufanana na wewe mungu akupe maisha 10000000000

  • @MichaelAkyoo-o6c
    @MichaelAkyoo-o6c19 сағат бұрын

    Mtumishi bwana yesu asifiwe Mimi Kwa majina yangu ninaitwa maiko kutoka Arusha nimekubali sana unabiii wako endelea kuwakomesha wachawi

  • @anithamgina3365
    @anithamgina33659 сағат бұрын

    Nabii naitwa Stella naomba uniombee mwanangu amexhumbiwa na mahari imetolewa mara ghafla upande wa mwanaume wakavunja uchumba na wkiwa wamesha mzalisha naomba unisaidie

  • @mozstorrytv7982
    @mozstorrytv798214 күн бұрын

    Iki kipindi nakipenda kama ivi ni kweli ya wasafi tv wanajua kuigiza dadeki,muwe munatuonesha behind seen na nyieee

  • @PhestoChidobi
    @PhestoChidobiКүн бұрын

    Naomba mwanangu apone, hata sasa amesafir kuja dar ili kupata huduma ya maombi. Ana miaka mi tano na amesafir na mama Ake.

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete

    Nakuomba umusaidia mke wangu haoni ndani ya miaka 3 nakuomba sana na bii uni saaidia juu muke wangu haoonikabisa

  • @tatumaganga-zx1qo
    @tatumaganga-zx1qo

    Nimekoswa nauli mchungaji ningekuja huko unaweza kwamungu hashindwi kitu

  • @RizikiMbuki-xd3rr
    @RizikiMbuki-xd3rr

    Umasikiwetu unatuponza hata ukisema ukweri ausikirizw mungu yupo pamoja nawe

  • @user-ly6qh2ip9e
    @user-ly6qh2ip9e

    Nabii mungu akuweke utukomboe na xixi bado hsujatuona japo unajitahidi. Kusikilliz vipindi vysko Amiin mtetexi wa wanyonge

  • @user-le4gi5bk1z
    @user-le4gi5bk1z14 күн бұрын

    Asante mungu kwakua unawasumbua waovu na kutuweka Hulu wanyonge

  • @user-qi4ut1zr6d
    @user-qi4ut1zr6d

    Baba ubarikiwe sana kiukweri nko safari congo kirasiku uwanabarikiwa sana naposikiriza maubiriyako nakufatiria sana baba nataman sikunifike kwako baba

  • @tamashasembuli115
    @tamashasembuli11514 сағат бұрын

    Mwenyezi Mungu akusimamie kiboko wetu,

  • @user-mt9qg2br8p
    @user-mt9qg2br8p

    Pole dada usiriye wanawake tunadangayika na wanaume akikwambiya Sina mke unakuwa upo pekeyako

  • @ElizabethJoseph-oj9lj
    @ElizabethJoseph-oj9lj

    Adinimecheza Mimi nikiwa nimekaaa jmn daaaaa achan na mungu

  • @JohnkhalfanGody
    @JohnkhalfanGody

    Mungu akulinde sana mtumishi wa mungu Kwa kazi unayoifanya

  • @Ma4leMamiro
    @Ma4leMamiro

    Baba naomba nisaidie uchumi wangu umekuwa mgumu baba

  • @MsafiriMrisho
    @MsafiriMrisho

    NABII NISAIDIE NAITWA MSAFIRI MRISHO KIPONZA.UCHUMI WANGU UMEANGUKA NINA UMWA NINA MALAZI MENGI TU NA FAMILIA NI MATATIZO MKE WATOTO HAKUNA MAENDELEO.

  • @williummtenga5386
    @williummtenga5386

    Amina baba mungu akuinue

Келесі