Masanja TV

Masanja TV

Karibu katika Kurasa Rasmi ya Masanja TV.
Ili Usipitwe na Habari Mbalimbali za GOSPEL hakikisha ume SUBSCRIBE katika Channel yetu.

Пікірлер

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya20342 сағат бұрын

    Hongera broo

  • @annachales9623
    @annachales96232 сағат бұрын

    Ungeomba ndoa isivunjike wewe mama kila unaloongea haliingii akilini mwangu kwa ulichokifanya

  • @pielefrank4087
    @pielefrank40873 сағат бұрын

    Daah kumbe na lolinga nae ni walewale.!!!

  • @MarrySanga-n1f
    @MarrySanga-n1f4 сағат бұрын

    😱😱😱😱😱😱😱😱😱

  • @JohnLusaya-n2j
    @JohnLusaya-n2j7 сағат бұрын

    Naona masanja na yeye ni mwana chama Kama kiboko ya wa chawi muliona wapi giza na nulu vinachangamana

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz12 сағат бұрын

    Hii nchi yangu 😂😂😂 naipenda

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz13 сағат бұрын

    😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi

  • @LusekeloMwambene
    @LusekeloMwambene22 сағат бұрын

    Mungu atusaidie 😭😭😭😭😭😭

  • @VenanceMsoka
    @VenanceMsokaКүн бұрын

    alafu ni mwingizaji😅😅😅

  • @DennisFandi
    @DennisFandiКүн бұрын

    Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe

  • @SINGLEBOY75458
    @SINGLEBOY75458Күн бұрын

    Atarii

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathiniКүн бұрын

    Mungu utusaidie

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathiniКүн бұрын

    Uuuuuwiiiii😮

  • @christophermarwa1538
    @christophermarwa1538Күн бұрын

    Kama namwona IPM.

  • @faridymtobozi7086
    @faridymtobozi70862 күн бұрын

    Apo ni kibaha ua mail moja?😮

  • @ben_digital
    @ben_digital2 күн бұрын

    Matapeli wamekutana

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu80402 күн бұрын

    Unafiki wa kubembeleza pesa

  • @K-go1qj
    @K-go1qj2 күн бұрын

    Freemason wote hao

  • @user-jt3fi6bk8w
    @user-jt3fi6bk8w2 күн бұрын

    Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.

  • @abdallahsaidi2300
    @abdallahsaidi2300Күн бұрын

    Jamann

  • @eliakefas9300
    @eliakefas93002 күн бұрын

    Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!

  • @IsraelLekumok
    @IsraelLekumok3 күн бұрын

    Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites3 күн бұрын

    Genge la Sarakasi ya Kiroho

  • @giftmusa6543
    @giftmusa65433 күн бұрын

    Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?

  • @dainamichael5624
    @dainamichael56243 күн бұрын

    Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...

  • @user-wc6wq7rm7x
    @user-wc6wq7rm7x3 күн бұрын

    Vitu vya kawaida kufanya kazi bira kupumzika kuna mazara makubwa,unashauliwa mda wakupumzika ni lazima upumzike hata kwa saa moja.ukikaidi mazhara yake ndiyo hayo. Nukipiga shafya umeinama kupyatuka pingilli za kiuno uaweza kutokea kwa sababu unakuwa umeinama unatumia nguvu sana.Tumuombee Mungu amponye.

  • @klmhardware2993
    @klmhardware29933 күн бұрын

    Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢

  • @january_Tattoo
    @january_Tattoo3 күн бұрын

    Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын

    Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын

    Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya

  • @StevenFaustine-mb7qo
    @StevenFaustine-mb7qo4 күн бұрын

    Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe

  • @edouardnsengiyumva1145
    @edouardnsengiyumva11454 күн бұрын

    Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi

  • @drmahwa8166
    @drmahwa81665 күн бұрын

    Hahahaha.makafiri silimuni msalimike.

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1285 күн бұрын

    Miungu yake imempiga kwakukose masharti😂😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz99915 күн бұрын

    Kwani hakumlipa mganga

  • @OCTAVIANSINZO
    @OCTAVIANSINZO5 күн бұрын

    😅hahahahahaha

  • @OCTAVIANSINZO
    @OCTAVIANSINZO5 күн бұрын

    😅hahahahahaha

  • @Joseph-tf8sc
    @Joseph-tf8sc5 күн бұрын

    Hiyo ni vita ya mapepo na inatokana na uzembe wa maombi, biblia inasema Mtume Yakobo aliuawa baada ya uzembe wa maombi na Petro alipowekwa Gerezani kanisa likaomba kwa bidii ndio akaachiliwa kumbe wasingeomba angeuawa Matendo 12:1--

  • @Machinootz
    @Machinootz5 күн бұрын

    Hili somo nimefundishwa leo tu online

  • @yasintajoseph7495
    @yasintajoseph74955 күн бұрын

    Ni kweli watumishi kutokana na kufanya huduma Muda mrefu Bila kupumzika wanaweza pata changamoto za kiafya lkn sio kwamba Mungu amemwacha...anajua lipo ndani ya uwezo wake ndio maana halijamfanya kumwacha Mungu Bali anasonga mbele ktk Hali Iyo iyo

  • @user-gb9el6xk5d
    @user-gb9el6xk5d6 күн бұрын

    Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu88456 күн бұрын

    Tushangae nini na yeye ni Mwanadamu ameumbwa kwa damu na nyama!!Mungu amponye!

  • @tlotwe.01.
    @tlotwe.01.6 күн бұрын

    Ushauri wangu......Kwa situation aliyo nayo aende Uganda Kampala Kwa Kakande Ministries atapona very easily! Mungu amrehemu na kumponya ktk jina kuu la YESU KRISTO Aliye Hai.

  • @drmahwa8166
    @drmahwa81665 күн бұрын

    Hahahaha MAKAFIRI silimuni msalimike.

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema86316 күн бұрын

    KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃

  • @doulosjohngamba8985
    @doulosjohngamba89857 күн бұрын

    Hongera sana mtu wa Mungu

  • @papaamishael4115
    @papaamishael41157 күн бұрын

    ni kweli

  • @papaamishael4115
    @papaamishael41157 күн бұрын

    ni kweli

  • @KabestarMusic-l2o
    @KabestarMusic-l2o8 күн бұрын

    Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba

  • @KabestarMusic-l2o
    @KabestarMusic-l2o8 күн бұрын

    Freee church dah

  • @israeltango9126
    @israeltango91269 күн бұрын

    Mama yangu mungu akubariki Kazi yoyote ni maadui we songs mbele

  • @user-vk6so5bb7u
    @user-vk6so5bb7u9 күн бұрын

    Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢

  • @verroallex9144
    @verroallex91449 күн бұрын

    Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.

  • @BahatiMdoe
    @BahatiMdoe10 күн бұрын

    Usijl wajina wangu

  • @user-in6eg5np7l
    @user-in6eg5np7l10 күн бұрын

    Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu