Dhambi mpya Hiihapa : Mch Abiud Misholi

Музыка

Пікірлер: 354

  • @evadanielgunze977
    @evadanielgunze977Күн бұрын

    Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye4145 күн бұрын

    Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @felistervenance8863
    @felistervenance88635 күн бұрын

    Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;; Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...

  • @jonathandulle8921

    @jonathandulle8921

    5 күн бұрын

    Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa

  • @BustaniniKwaBwana

    @BustaniniKwaBwana

    4 күн бұрын

    Ni hakika na kweli

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye4145 күн бұрын

    Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿

  • @apostlepetermponzi8690
    @apostlepetermponzi86905 күн бұрын

    Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu

  • @BustaniniKwaBwana

    @BustaniniKwaBwana

    4 күн бұрын

    Hakika

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia5 күн бұрын

    Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako

  • @faithe4063

    @faithe4063

    5 күн бұрын

    Bure uwesi kaa katika uwepo wake?

  • @EsterNgasa-vq5zx

    @EsterNgasa-vq5zx

    5 күн бұрын

    God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU

  • @kichwachafamilia

    @kichwachafamilia

    5 күн бұрын

    @@EsterNgasa-vq5zx aame

  • @kichwachafamilia

    @kichwachafamilia

    5 күн бұрын

    @@EsterNgasa-vq5zx aam

  • @kichwachafamilia

    @kichwachafamilia

    5 күн бұрын

    @@faithe4063 bless

  • @ChachaFashion-i3s
    @ChachaFashion-i3sКүн бұрын

    Niko Burundi 🇧🇮 mchungaji asante sana kwa injili Mungu wa mbinguni akubariki na akuongeze mafuta,umenisaidia sananaa😢😢

  • @eunicesemere5555
    @eunicesemere5555Күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️

  • @BarakaMathew-zv1yy
    @BarakaMathew-zv1yy5 күн бұрын

    Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi

  • @samuelthiga4776
    @samuelthiga4776Күн бұрын

    Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031Күн бұрын

    Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi

  • @user-ed4hn1kv2q
    @user-ed4hn1kv2q4 күн бұрын

    Thank you for preaching the true gospel

  • @henrychfestobrown
    @henrychfestobrownКүн бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏

  • @geofreymwasaka2602
    @geofreymwasaka26027 сағат бұрын

    Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke

  • @VeronicaEdesiusBernard
    @VeronicaEdesiusBernard5 күн бұрын

    Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi

  • @neemakawogo5479
    @neemakawogo54792 күн бұрын

    Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Neema ya Mungu ikuwezeshe.

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in5 күн бұрын

    Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone

  • @user-od2mc4mj4e

    @user-od2mc4mj4e

    4 күн бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @dastankalinga442

    @dastankalinga442

    2 күн бұрын

    Barikiwa kwa kujali

  • @dastankalinga442

    @dastankalinga442

    2 күн бұрын

    Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;

  • @RachelRachel-zx6dx

    @RachelRachel-zx6dx

    2 күн бұрын

    Ameeni kwauponyaji

  • @user-fq9mx6fx1r
    @user-fq9mx6fx1r4 күн бұрын

    Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza84343 күн бұрын

    Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.

  • @PaulNdonga-ns1vd
    @PaulNdonga-ns1vdКүн бұрын

    CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .

  • @veronicahkhaikwa4929

    @veronicahkhaikwa4929

    Күн бұрын

    Wow amen

  • @user-sg7hj3ik2k
    @user-sg7hj3ik2k5 күн бұрын

    Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu

  • @user-xd7uj8sz5w
    @user-xd7uj8sz5w5 күн бұрын

    That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD

  • @AnethSam
    @AnethSamКүн бұрын

    Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa

  • @dominicmuoki
    @dominicmuoki2 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @SamwelMchungaj
    @SamwelMchungajКүн бұрын

    Ubarikiwe Sana Baba mchunga Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph27332 күн бұрын

    Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.

  • @ruganoantony
    @ruganoantony22 сағат бұрын

    Hakika tupate Watumishi kama wewe watano tu apa Tz kanisa lingekua mbali sana

  • @MimyBinenunyer
    @MimyBinenunyerКүн бұрын

    Mutumishi wa Mungu ubarikiwe umenibariki sana 🇨🇩 bunia ituri

  • @user-dn6tu7zq2h
    @user-dn6tu7zq2h16 сағат бұрын

    MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih3 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu paza sauti tupone, Asante Mungu kutupa maonyo

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239Күн бұрын

    Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤

  • @mutindamuthama4124
    @mutindamuthama4124Күн бұрын

    Mungu nisaindie , nisamehe Mimi ni mwenye dhambi natubu sasa

  • @martinmligo302
    @martinmligo3022 күн бұрын

    Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya32683 күн бұрын

    Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl2 күн бұрын

    Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu

  • @ReubenSimwanza
    @ReubenSimwanza2 күн бұрын

    Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.

  • @JENIPHAIBRAHIM
    @JENIPHAIBRAHIM3 күн бұрын

    Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba

  • @Derrickcontez-sj3qf
    @Derrickcontez-sj3qf2 күн бұрын

    Amen man of God nehema ikutoshe

  • @Lilianmbeyu-ev2rw
    @Lilianmbeyu-ev2rw2 күн бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-nx9qt3tp5s
    @user-nx9qt3tp5s3 күн бұрын

    Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @ElishaBenson
    @ElishaBensonКүн бұрын

    Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo

  • @hbwayesuphilibert-lv1kg
    @hbwayesuphilibert-lv1kgКүн бұрын

    Ujumbe mdhuli sana mtumishi Wa Mungu

  • @loveandrew9694
    @loveandrew96945 күн бұрын

    Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.

  • @maernov4257
    @maernov42573 күн бұрын

    Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo77795 күн бұрын

    Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.

  • @BustaniniKwaBwana

    @BustaniniKwaBwana

    4 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @PrityKinitha

    @PrityKinitha

    3 күн бұрын

    Na pia vifua 😨😨

  • @janengaga2928

    @janengaga2928

    3 күн бұрын

    Amina

  • @jothammakenzi934
    @jothammakenzi9343 күн бұрын

    Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @nursechunga4470
    @nursechunga44704 күн бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934Күн бұрын

    Unafundisha ukwel kabisa! Ubarikiwe!

  • @andrewkasongo1368
    @andrewkasongo13685 күн бұрын

    Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb5 күн бұрын

    Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7xКүн бұрын

    Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambiya makanisa

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael3 күн бұрын

    ❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤

  • @user-tf7vm1rq3l
    @user-tf7vm1rq3lКүн бұрын

    Papa alisema yesu hata Rudi hivi karibuni.mungu saidia watu wako

  • @RachelRachel-zx6dx
    @RachelRachel-zx6dx2 күн бұрын

    Ameeni pastor ubarikiwe sana

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd19315 күн бұрын

    Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏

  • @kizuben
    @kizuben4 күн бұрын

    Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi88965 күн бұрын

    Sema baba ni kweli. Mungu atusaidie sana

  • @MichaelWilliamsNyirenda
    @MichaelWilliamsNyirenda2 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana

  • @user-ru4sj5lp8b
    @user-ru4sj5lp8b2 күн бұрын

    Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi

  • @SikujuaEmmanuel-fj4mg
    @SikujuaEmmanuel-fj4mg3 күн бұрын

    Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa

  • @barakajohn
    @barakajohn3 күн бұрын

    Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @mesamale

    @mesamale

    Күн бұрын

    ​@@mch.abiudmisholi Baba Nina jambo naomba nikufuate inbox

  • @AnnaAdriano-yv2ru
    @AnnaAdriano-yv2ru2 күн бұрын

    Amina Baba, asante kwa somo zuri sana

  • @pastormakongoro2994
    @pastormakongoro29943 күн бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila30814 күн бұрын

    Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.

  • @GroliaKamugisha

    @GroliaKamugisha

    2 күн бұрын

    Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?

  • @augenmagabila3081

    @augenmagabila3081

    2 күн бұрын

    @@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.

  • @ashamuhenga
    @ashamuhenga5 күн бұрын

    Amina Baba..Mungu akubariki kwa Mahubili haya

  • @mariahyera3737
    @mariahyera37375 күн бұрын

    Neno lisilogoshiwa, Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU.

  • @luciamajula4719
    @luciamajula47192 күн бұрын

    Powerful God bless you man of God

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw5 күн бұрын

    Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Karibu sana

  • @naomichristopher3941
    @naomichristopher39414 күн бұрын

    Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo39475 күн бұрын

    Mungu nipe mwisho mwema ❤❤

  • @BarakaEnockKangoma
    @BarakaEnockKangoma5 күн бұрын

    I agree with you Pastor Misholi

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn
    @MeshackmarwaKihengu-in3sn3 күн бұрын

    Daah moyo unauma! Mungu atusaidie wat wake

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja94732 күн бұрын

    Mimi mwenyewe huwa napata sana shida ninapoona watumishi wa Mungu wanafanya vitu kama hivyo wachungaji Siku hizi hata massage wanafanyiwa huko saloon yaani sijui huwa wanataka nini na wanajipamba kwa sababu ya nani ni aibu sana

  • @user-kv4ub1mr3s
    @user-kv4ub1mr3s5 күн бұрын

    Mungu akubariki kwa neno zuri kama hili asante baba

  • @CateringAmare
    @CateringAmare15 сағат бұрын

    Mungu azidi kukuongezea nguvu

  • @jescakazungu5027
    @jescakazungu50272 күн бұрын

    AMEN,Baba Mungu Akubariki

  • @jeremykamwela1229
    @jeremykamwela12292 сағат бұрын

    Kweli kabisa mtumishi ni Mungu kabsa, watu tunaleta ukisasa ndani ya ukristo 😥

  • @PhilipMgala
    @PhilipMgala4 күн бұрын

    This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa

  • @BustaniniKwaBwana

    @BustaniniKwaBwana

    4 күн бұрын

    Amina

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameeen, God bless you

  • @PhilmonAkonaay-yw5ll
    @PhilmonAkonaay-yw5ll5 күн бұрын

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel46142 күн бұрын

    Uko sawa mchungaji wangu

  • @NewlifeChavakaliVihigabh7xp
    @NewlifeChavakaliVihigabh7xp4 күн бұрын

    More Grace servant of God 🙏🙏🙏

  • @JacqueJoseph
    @JacqueJoseph5 күн бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi ❤

  • @elwinsimumba
    @elwinsimumba3 күн бұрын

    Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan63302 күн бұрын

    Hongera sana mchungaji

  • @Zimnana-rp6dq
    @Zimnana-rp6dq5 күн бұрын

    Amen Baba mchungaji,,,,,kuingia mbinguni sio rahisi

  • @sheubwazae9564
    @sheubwazae95643 күн бұрын

    Ubarikiwe baba Mchungaji

  • @johnshauri86
    @johnshauri86Күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @BarkaHaidary
    @BarkaHaidary2 күн бұрын

    Amen baba ubarikiwe sanaa kwa mafundisho mazuri tumejifunzaa

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    2 күн бұрын

    Ameen

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh57553 күн бұрын

    Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid

  • @RachelRachel-zx6dx
    @RachelRachel-zx6dx2 күн бұрын

    Hakika ujumbe umepita hadi wahubili hawasemi Ameeni

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470Күн бұрын

    Hekima ya kiwango cha juu, naomba walau nipate mawasiliano tuzungumze baba

  • @StivinWambuto-zy5ft
    @StivinWambuto-zy5ft5 күн бұрын

    Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.

  • @eliasjaphet4297
    @eliasjaphet42972 күн бұрын

    Khàa nimechoka,Mungu nisamehe

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto66694 күн бұрын

    Mungu nisamehe sikujua.

  • @user-wo2ht2ei9o
    @user-wo2ht2ei9o3 күн бұрын

    Mungu akubariki sana kwa mafunndisho haya hadimu duniani

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw3 күн бұрын

    Asante sana Mtumishi eti ni ukisasa

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n22 сағат бұрын

    Mungu atupe rehema

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be4 күн бұрын

    Mungu akukumbuke baba yangu

  • @bahatiMwandiga
    @bahatiMwandiga5 күн бұрын

    Mungu akutunze baba🙏🙏

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds2 күн бұрын

    Mafundisho yananiingia mungu akubariki mch Abiud

Келесі