Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kazi njema ya injili
@marymgeji3 ай бұрын
Amen amen baba MUNGU akubariki sana natamani sana uniambukize na Mimi roho iliyopo ndani yako
@mariamgaya42062 ай бұрын
Injili hii Ni injili halisi isiyoghoshiwa na kwa nyakati hizi za mwisho ndio injili inayotakiwa kuhubiriwa Mtumishi wa MUNGU,MUNGU aishiye aendelee kukutunza na kukuonekania ili watu wake waokolewe kwa wingi kupitia wewe.
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu mwenzengu
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu kwako mwenzangu
@mariajuliusjoseph8 күн бұрын
Mungu azidii kukuinua hallelujah
@user-nx9qt3tp5s3 ай бұрын
MUNGU akubariki mtumishi usichoke kunena ukuu wa muumba mbingu naendelea kubarikiwa AMINA.🇰🇪
@josephnyanje74883 ай бұрын
Barikiwa sana baba! Tutakupata vizuri na kujengeka Lungalunga -Kenya
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun2 ай бұрын
ubarikiwe baba Mungu akutiye nguvu baba tuko tayari kabisa kwa lolotte Mungu atu wezeshe tusi fanane n'a kizazi hiki ili tufanane n'a Christo yesu wetu aliye ishinda mauti nasisi tuta shinda.
@lydiabenjaminmgalula61897 күн бұрын
Amen baba🙏🙌
@fredykiluka66063 ай бұрын
Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤❤
@neemakameka36316 күн бұрын
Amen and Amen
@mahirmohd19312 ай бұрын
Injiri kama hizi zimekuwa hadim sana.. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISH akuite nguvu uendelee kufanya kazi yake🙏
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@madopriyan657625 күн бұрын
Injili ni uweza uletao wakovu amen MUTUMISHI WA KRITO YESU
@mch.abiudmisholi
24 күн бұрын
Ameen
@yustinalegembo901Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@user-rc3ii5qz1p2 ай бұрын
Baba Mungu akutunze, nabarikiwa sana.
@happyalbert50893 ай бұрын
Asante sana baba
@bonfacekenga10743 ай бұрын
Nikweli kabsa lazima injili yakweli ihubiriwe barikiwa baba
@JacintaOnoka28 күн бұрын
Ujumbe mzuri ila sauti haikua sawasawa
@GodfreyMushi-kn3nb2 ай бұрын
Wewe unajihusisha na kweli ya MUNGU kweli mapambo hayakemewi hamna tofaut ya mkristo na mtu wa tamaa malaya
@user-xd7uj8sz5w2 ай бұрын
MUNGU akubariki Mtumishi Abiudi wewe ni mkweli
@JuliusKiua2 ай бұрын
Mtu wa MUNGU si upange mkutano mmoja wa inje utuletee uhuo uamsho hapa makueni kenya
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu kwako mwenzangu. ata n'a Sisi kongo twa muitaji maana kabisa ana gusiya abari za uamusho kabisa ii ndiyo maubiri inayo itajika Siku izi
Пікірлер: 26
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kazi njema ya injili
Amen amen baba MUNGU akubariki sana natamani sana uniambukize na Mimi roho iliyopo ndani yako
Injili hii Ni injili halisi isiyoghoshiwa na kwa nyakati hizi za mwisho ndio injili inayotakiwa kuhubiriwa Mtumishi wa MUNGU,MUNGU aishiye aendelee kukutunza na kukuonekania ili watu wake waokolewe kwa wingi kupitia wewe.
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu mwenzengu
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu kwako mwenzangu
Mungu azidii kukuinua hallelujah
MUNGU akubariki mtumishi usichoke kunena ukuu wa muumba mbingu naendelea kubarikiwa AMINA.🇰🇪
Barikiwa sana baba! Tutakupata vizuri na kujengeka Lungalunga -Kenya
ubarikiwe baba Mungu akutiye nguvu baba tuko tayari kabisa kwa lolotte Mungu atu wezeshe tusi fanane n'a kizazi hiki ili tufanane n'a Christo yesu wetu aliye ishinda mauti nasisi tuta shinda.
Amen baba🙏🙌
Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤❤
Amen and Amen
Injiri kama hizi zimekuwa hadim sana.. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISH akuite nguvu uendelee kufanya kazi yake🙏
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
Injili ni uweza uletao wakovu amen MUTUMISHI WA KRITO YESU
@mch.abiudmisholi
24 күн бұрын
Ameen
Ubarikiwe mtumishi
Baba Mungu akutunze, nabarikiwa sana.
Asante sana baba
Nikweli kabsa lazima injili yakweli ihubiriwe barikiwa baba
Ujumbe mzuri ila sauti haikua sawasawa
Wewe unajihusisha na kweli ya MUNGU kweli mapambo hayakemewi hamna tofaut ya mkristo na mtu wa tamaa malaya
MUNGU akubariki Mtumishi Abiudi wewe ni mkweli
Mtu wa MUNGU si upange mkutano mmoja wa inje utuletee uhuo uamsho hapa makueni kenya
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
2 ай бұрын
salamu kwako mwenzangu. ata n'a Sisi kongo twa muitaji maana kabisa ana gusiya abari za uamusho kabisa ii ndiyo maubiri inayo itajika Siku izi
Haya mahubiri uyarudie tena tena