MKUTANO WA INJILIULIO FANYIKA ARUSHA 2024: SOMO YESU NI NURU MUHUR MCH. ABIUD

Музыка

Пікірлер: 26

  • @user-ic6de4gk7z
    @user-ic6de4gk7z27 күн бұрын

    Mungu akubaliki mutumishi wamungu

  • @faithe4063
    @faithe406315 күн бұрын

    Amen Bwana Yesu nifungue nikujue wewe pekeyako

  • @brendammasi3304
    @brendammasi330416 күн бұрын

    Mungu apewe sifa ,,milele na milele Amina ,,mch ubarikiwe

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv21 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @Fredy_masangala
    @Fredy_masangala15 күн бұрын

    Amina.baba yangu wa kiroho

  • @frankmpoto5347
    @frankmpoto534722 күн бұрын

    Nilikupenda tangu wakati unaimba nyimbo zile zenyeupako hadi leo hazichuji, nafurahi mno ninapoona tena unahubiri injili ya kweli yakulisafisha Kanisa la Mungu nakuwahimiza wengine waingie katika Safina , watumishi wanaohubiri kweli ya Mungu ya namna hii kwa dunia ya sasa wamebak wachache, watumishi wa namna hii tuendelee kuwaombea lakini pia Mungu aendelee kuinua wengine waimalizie kazi hii katikati ya ukengeufu huu wakizazi hiki cha wimbi Kubwa la Mitume na mnabii wengi wauongo waliozagaa kila Kona katika nchi yetu Tz na dunia zima kwaujumla

  • @user-ob7xc8gg7h
    @user-ob7xc8gg7h24 күн бұрын

    mungu akubariki babayangu

  • @user-fy5wc8gt2o
    @user-fy5wc8gt2o18 күн бұрын

    Mungu ani saidie

  • @Fredy_masangala
    @Fredy_masangala15 күн бұрын

    MUNGU wa mbinguni azidi Sana kukutetea baba yangu.

  • @user-nx9qt3tp5s
    @user-nx9qt3tp5s25 күн бұрын

    Uyu muumba MBINGU ana nguvu kama nini barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🇰🇪

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa27 күн бұрын

    Mungu akubariki baba kwa neno zuri

  • @damarisnyaata
    @damarisnyaata27 күн бұрын

    Baba asantii sana kwa neno nzuri

  • @QueenApondi
    @QueenApondi23 күн бұрын

    Amen .

  • @Hebroni-nr2hp
    @Hebroni-nr2hp24 күн бұрын

    🤣🤣🤣ame amee🎉🎉🎉🎉🎉waaooo hiiio❤

  • @albamwanja4304
    @albamwanja430427 күн бұрын

    Asante sana baba mchungaji

  • @damarisnyaata
    @damarisnyaata27 күн бұрын

    Yesu tulehemu Baba.

  • @benard8853
    @benard885327 күн бұрын

    ❤ mtumishi wa mungu balikiwa sana ndungu ,neno unalo liubili ndilo mimi napenda ,nimekuwa mwanafunzi wako kwa hii mtandao sana uwa unanibaliki sana balikiwa❤

  • @MosesMussa-lp6ck
    @MosesMussa-lp6ck27 күн бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @jacquelinebyaombe9729
    @jacquelinebyaombe972927 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga25 күн бұрын

    Hakika Yesu Kristo ni NURU YA ULIMWENGU, kila ajaye kwake hatakwenda gizani kamwe.

  • @samuelakanga5586
    @samuelakanga558627 күн бұрын

    Amen

  • @EvansInzara
    @EvansInzara27 күн бұрын

    Mchungaji mimi niko kenya nimemteleza mke wangu nimeumia sana maana hataki kuniona kabisa nashindwa kumkaribia

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in27 күн бұрын

    Amina

  • @benard8853
    @benard885327 күн бұрын

    Baba mchungaji mm ni mkenya na pia Niko Kenya nawezapataje maogezi na wewe?

  • @mch.abiudmisholi

    @mch.abiudmisholi

    24 күн бұрын

    Muandikie WhatsApp kwa +254754054328

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene797527 күн бұрын

    Amen

Келесі