Mungu apewe sifa ,,milele na milele Amina ,,mch ubarikiwe
@InjiliyaUfalmetv21 күн бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@Fredy_masangala15 күн бұрын
Amina.baba yangu wa kiroho
@frankmpoto534722 күн бұрын
Nilikupenda tangu wakati unaimba nyimbo zile zenyeupako hadi leo hazichuji, nafurahi mno ninapoona tena unahubiri injili ya kweli yakulisafisha Kanisa la Mungu nakuwahimiza wengine waingie katika Safina , watumishi wanaohubiri kweli ya Mungu ya namna hii kwa dunia ya sasa wamebak wachache, watumishi wa namna hii tuendelee kuwaombea lakini pia Mungu aendelee kuinua wengine waimalizie kazi hii katikati ya ukengeufu huu wakizazi hiki cha wimbi Kubwa la Mitume na mnabii wengi wauongo waliozagaa kila Kona katika nchi yetu Tz na dunia zima kwaujumla
@user-ob7xc8gg7h24 күн бұрын
mungu akubariki babayangu
@user-fy5wc8gt2o18 күн бұрын
Mungu ani saidie
@Fredy_masangala15 күн бұрын
MUNGU wa mbinguni azidi Sana kukutetea baba yangu.
@user-nx9qt3tp5s25 күн бұрын
Uyu muumba MBINGU ana nguvu kama nini barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🇰🇪
@JoyceMlelwa27 күн бұрын
Mungu akubariki baba kwa neno zuri
@damarisnyaata27 күн бұрын
Baba asantii sana kwa neno nzuri
@QueenApondi23 күн бұрын
Amen .
@Hebroni-nr2hp24 күн бұрын
🤣🤣🤣ame amee🎉🎉🎉🎉🎉waaooo hiiio❤
@albamwanja430427 күн бұрын
Asante sana baba mchungaji
@damarisnyaata27 күн бұрын
Yesu tulehemu Baba.
@benard885327 күн бұрын
❤ mtumishi wa mungu balikiwa sana ndungu ,neno unalo liubili ndilo mimi napenda ,nimekuwa mwanafunzi wako kwa hii mtandao sana uwa unanibaliki sana balikiwa❤
@MosesMussa-lp6ck27 күн бұрын
Ubarikiwe baba
@jacquelinebyaombe972927 күн бұрын
Amen 🙏
@michaelwanyanga25 күн бұрын
Hakika Yesu Kristo ni NURU YA ULIMWENGU, kila ajaye kwake hatakwenda gizani kamwe.
@samuelakanga558627 күн бұрын
Amen
@EvansInzara27 күн бұрын
Mchungaji mimi niko kenya nimemteleza mke wangu nimeumia sana maana hataki kuniona kabisa nashindwa kumkaribia
@LindaJohn-fy1in27 күн бұрын
Amina
@benard885327 күн бұрын
Baba mchungaji mm ni mkenya na pia Niko Kenya nawezapataje maogezi na wewe?
Пікірлер: 26
Mungu akubaliki mutumishi wamungu
Amen Bwana Yesu nifungue nikujue wewe pekeyako
Mungu apewe sifa ,,milele na milele Amina ,,mch ubarikiwe
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Amina.baba yangu wa kiroho
Nilikupenda tangu wakati unaimba nyimbo zile zenyeupako hadi leo hazichuji, nafurahi mno ninapoona tena unahubiri injili ya kweli yakulisafisha Kanisa la Mungu nakuwahimiza wengine waingie katika Safina , watumishi wanaohubiri kweli ya Mungu ya namna hii kwa dunia ya sasa wamebak wachache, watumishi wa namna hii tuendelee kuwaombea lakini pia Mungu aendelee kuinua wengine waimalizie kazi hii katikati ya ukengeufu huu wakizazi hiki cha wimbi Kubwa la Mitume na mnabii wengi wauongo waliozagaa kila Kona katika nchi yetu Tz na dunia zima kwaujumla
mungu akubariki babayangu
Mungu ani saidie
MUNGU wa mbinguni azidi Sana kukutetea baba yangu.
Uyu muumba MBINGU ana nguvu kama nini barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🇰🇪
Mungu akubariki baba kwa neno zuri
Baba asantii sana kwa neno nzuri
Amen .
🤣🤣🤣ame amee🎉🎉🎉🎉🎉waaooo hiiio❤
Asante sana baba mchungaji
Yesu tulehemu Baba.
❤ mtumishi wa mungu balikiwa sana ndungu ,neno unalo liubili ndilo mimi napenda ,nimekuwa mwanafunzi wako kwa hii mtandao sana uwa unanibaliki sana balikiwa❤
Ubarikiwe baba
Amen 🙏
Hakika Yesu Kristo ni NURU YA ULIMWENGU, kila ajaye kwake hatakwenda gizani kamwe.
Amen
Mchungaji mimi niko kenya nimemteleza mke wangu nimeumia sana maana hataki kuniona kabisa nashindwa kumkaribia
Amina
Baba mchungaji mm ni mkenya na pia Niko Kenya nawezapataje maogezi na wewe?
@mch.abiudmisholi
24 күн бұрын
Muandikie WhatsApp kwa +254754054328
Amen