YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO
#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Пікірлер: 546
Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam
Wana macho hawaoni wanamaskio hawasikiii leo sio Muislam kasema kukwambia Mungu ni mmoja bali mzee wa Upako ndio anakuwekeni wazi kuwa Mungu mmoja na Yesu sio mungu
Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.
@rizikilukali1558
28 күн бұрын
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke
@NicholasMacharia-nt5jf
26 күн бұрын
Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.
@dstaroficial
3 күн бұрын
Kuna watu walikuja kuwapoteza kwa kuwatia iman nakuwafanya wasitumie akil na ndo mana wanajifichia kwa roho mtakatifu pale unapowambia ukwel ila naamin kupitia mchungaj wao kuna vitu vtawafanya watafakar
Ck zte ukiamua kua mkweli jipange mawe utakayopigwa n mengi sn, keep up Lusekelo Allah is the only God✌️
Yesu sio mungu
Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu
@elizabethmusyoka453
7 күн бұрын
Mnapotozwa Alafu mnasema mnafunzwa
Mzee wa upoko ni muukweli
Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee
Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu
@gdswai4479
2 күн бұрын
Hii ndio njia sahihi ya kutetea Yesu Kristo kuwa Mungu. Neno litasimama milele. 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
Yesu ni Mungu. Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. Isaya 9:6
@HansiKatumbi
Ай бұрын
Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu
@kimwerimhando3383
Ай бұрын
Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho
@thekingdragon8358
Ай бұрын
mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu
@farajisewe7416
Ай бұрын
acha kukalili someni maandiko jamani, acheni mambo ya kurithi Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje
@dinocastico8495
Ай бұрын
Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh
Mzee wangu nimekuelewa❤❤🎉🎉
Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr
Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi
❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.
@rockevarist4299
Ай бұрын
Jeremiah 10:16,19 Warumi 9:5
Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana
kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti
Asante cheef Kwa mafundisho yako
Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima
@rogatimushi689
Ай бұрын
Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu
@bakariadamu6068
Ай бұрын
@@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha
@cadiaOnesmo-hd5lr
Ай бұрын
Pole
Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,
@HappyKiteboarder-du9th
Ай бұрын
Swadakta
@WinfridaCreitus-bf3zn
Ай бұрын
Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.
@WinfridaCreitus-bf3zn
Ай бұрын
Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.
@anoldpotentin2446
29 күн бұрын
Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?
Mzee wa upako unanena vema sana barikiwa sana
Upo sahihi sana
Lazima wapinga kristo watokee ili unabii hutimie kwahiyo Mimi sishangai hiyo kwasababu na juwa tupo mwisho wa Dunia na hayo yote yalisha tabiliwa habali za mpinga kristo
😂😂 Mzee mbona unajichanganya tena Mara Yesu sio Mungu mara Mungu.
Hakika upo saw yesu sio mungu na ana sifa ya uungu wala usimuingize yesu kwenye mtihani siku ya kihama aulizwe na mwenyez mung
@josephatmahango3869
Ай бұрын
Kwani wewe unajua hiyo kiama Nani atahukumu
@user-wq4pl5dv6b
Ай бұрын
Naye neno ni Mungu, naye neno akafanyika mwili, yaani wakristo wa siku hizi jau kweli
@user-hk1dz8de2x
Ай бұрын
Sio wote,.Wale aliojifunua kwao wanamjua na kumuelewa ,achana na huyu mtumishi ambaye anahararisha kutoelewa kwake,mathayo 11;27
@malkiarosemuhando3310
Ай бұрын
Na Kila jicho litamwona, na hao waliomchoma watamwona, YESU NI MUNGU KWELI KUTOKA KATIKA MUNGU KWELI,!!!!!
@andrewmhagama9816
Ай бұрын
@user-wq4pl5dv6b Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.
Ukweli tusiopenda kusikia
@shabanramadhan7632
Ай бұрын
Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha
@WinfridaCreitus-bf3zn
Ай бұрын
Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.
@joshuandone468
Ай бұрын
soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu
@iysser
16 күн бұрын
@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.
Mzee huyu tuwe nae Makin Sana
bado kitambo kidogo tu mzee wa upako utaweka wazi ukweli wote
Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa
Huo ndo ukweli mungu Hali,hashikwi na usingizi Wala kulala,halii Bali anachukia,hacheki Bali anafurahi,haendi chooni, hakuzaa Wala kuzaliwa, hafi Wala kufufuka ukiona mungu unaye muabudu anasifa hizo jua umepotea upotofu ulio dhahiri Wala usilete ujanja ujanja maana wengine wanasema Kuna mungu wa mwili na waroho uo ni uhuni2
Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏
divine guidance
MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......
Hakika Hekima za wanadamu mbele za Mungu ni upuuzi Anthony lusekelo rudi miguuni pa Yesu ukatubu nafasi bado ingalipo😥
Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.
@user-wq4pl5dv6b
Ай бұрын
Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe
@nduwimanaamidou4009
Ай бұрын
Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu
@IbrahimuMaselo
7 күн бұрын
@@user-wq4pl5dv6bpia hajamaansha hvyo ulvyoelewa ww. Anamaansha pnd akfanya km shetan alvyomuamulu bc atakuw kamjaribu Mungu baba
Upo sahihi Sana Mzee wa upako, wafundishe watu wanahubiri utamaduni wa Warumi wanafanya kua Injili.
Lkn ktk yote najua Mungu uliniamin kuwa kwenye kizazi hiki,one day nitayang'oa haya mana mi nyundo yako uliniambia wazi YESU WEWE NI MUNGU
Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele
@mkilwaabdul9230
Ай бұрын
soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua
@josephmtikile-yf3pq
15 күн бұрын
Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa
Lusekelo yupo sahihi na namuomba MUNGU hamfishe hali ya kuwa muislam
Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua
Yohana akumuona yesu, aliona mfano wa mwanadamu, Mzee muongo sana uyu yani anasoma Biblia aelewi sijui ni mlevi😂😂
Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu
Mzee wa upako anaelewa Bible na haubiri kama kibaraka Yesu ni mshirika wa Mungu na sio Mungu hata yeye alisema "mimi ni mzaliwa wa kwanza wa baba yaani Mungu" lakini alisema kwanini kuniita mwema mwemani Mungu pekee yake" kwavyo Yesu anatutambulisha ukuu wa Mungu
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5 20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE. AMEN!!!💖💖💖
Mzee wa upako ako sawa kabisa na watu wajifunze kutoka kwake
Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.
Token KWA huyu mtu ni NABII WA MWONGO ,Yesu ni MUNGU MILELE
@rogatimushi689
Ай бұрын
We bado sana nakushauri usikubali kusomewa maandiko jitahidi kuchunguza maandiko matakatifu ya biblia utamjua yesu ni nani maana yeye mwenyewe anasema ni mwana wa mungu
Na ndio maana unaelewa? Ila unaidhalilisha sana diploma yako. Hujui hata maana ya Neno akavaa mwili????
Nyie Wafata mkumbo tuna mungu wangapi tumia akiri mungu amewapa akiri msiwe mnakula nguruwe ili mjue ukweli
Yesu ni mungu tu wew endelea kukataa na yesu ndiyo njia ya kweli na uzima na mtu aendi kwa baba pasipo yeye yesu ambaye ni njia
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
Amen
@drelizakilili
Ай бұрын
Na ni mwisho wa sheria
@Sheba4651
16 күн бұрын
Sasa ndio nini 😂😂😂 Ati Yesu ni mungu, mtu haendi kwa baba pasina yeye😂😂😂 Ndio maana Mungu akaanda Jehanam kwa vilaza wajinga kama hawa.
Mathayo 1:23 [23]Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
Sahihi kabisa Yani Uumbe viumbe mwenyew Kisha wakuuwe ili wachukue Ufalme wako au yani hii ni kwawenye akili timamu2 ambae hana akilitimamu ataendelea kumuita yesu Mungu
NI kweli baba ni mkuu kuliko mimi yesu alisema
Kama waliitwa ndinyi miungu wale waliobarikiwa na mungu itakuwa yeye aliotoka kwamungu.
Tatizo la afya akili ni hatari mno hasa wajiitao viongozi😢
Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia
Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu. ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
Mzee wa upoko umeongea ukwel wachie wanunu ukwel ndo uwo
Ukuu wa Mungu haufikiliki kwa akili za kibinadamu. Chukua hiyo.
Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
@user-cw8zn2dn6m
Ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.
@user-cw8zn2dn6m
Ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke
Kama yesu ni Mungu siku ile Yuko msalaban alisema eloieloi Mungu wangu mbona unaniacha?
a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM
Yesu anajitambulisha kuwa ni Mungu Yohana 1:1_5
@idinado-wk3lx
Ай бұрын
Wewe hauna akili nasiyo kosa LAKO na ndio maana bibilia zenu Kila mwaka Zinabadilishwa vifungu mala viongezwe mala viondowe ondeo vifungu siyo kola lako Mimi nawalaumu mashetani wanao potosha watu 😢😢😢😢
Jitathmini mzee
Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako. Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako (1) Hujaokoka (2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani. (3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.
@lilyg2134
16 күн бұрын
HANA AKILI, NA HAJUI ROHO NGAPI ZA WATU KAZIPOTOSHA!! KAZI YAKE ANATAWANYA KONDOO WA BWANA , HUYU NI MPINGA KRISTO NAWAONEA HURUMA HAO WANAOENDA KANISANI KWAKE
Soma mathayo 1:23 Tazama bikira atachukua mimba naye atamzaa mwana nao watamwita jina lake Emmanuel mungu pamoja nasi.
jamani hiv kwenye tv asaivi anaonekana Chanel gani Masada plz
Karibu kwenye Uislamu, muda unaisha huo. Achana na music, muda ndio huu. Mjadala uungu wa Yesu kwenye Uislamu una majibu ya wazi.
Sisi WaUNITARIAN japo nasi pia ni wa Kristo kwetu sisi Yesu si Mungu ila Mtoto au Mtumishi wa Mungu au Kikomboleo pekee na kiumbe wa Kwanza wa Mungu na ni mpatanishi pekee kati yetu na Mungu yaani Yahwe. Someni Biblia Yote enyi wakristo jina.
@idinado-wk3lx
Ай бұрын
Wanao amini yesu ni Mungu siyo kola lao wanastali maombi na kuelimishwa vizuli
Safi sana
Wakristo weng hawasom bibilia ni wafata mkumbo wakat yesu akiwa tumbon mwa mam ake nan alikuw anaongoza dunia kama yesu ni mungu mzee wa upako uko sawa
@elinisafimndeme2971
5 күн бұрын
Swali la kijinga kabisa😅😅
W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
Amena amen
@lilyg2134
Ай бұрын
kabisa yaani hata sijaimaliza kuangalia upuuzi wake wote....namuona kichaa tu maana msingi wangu biblia...akawadanganye vipofu wenzie huko kanisani kwake
UBARIKIWE SANA KWA UKWELI MZEE WA UPAKO
@emmanuelmwakibolwa735
Ай бұрын
roho ya upotevu hujishuhudia yenyewe kwa yenyewe. Nabii Isaya alishaona na kutabiri kuja kwa "MUNGU MWENYE NGUVU", lakini kizazi cha leo baadhi wanapinga kwa kutokujua kwao, kwa kuwa hawamjui Mungu, wanajitumikia wenyewe na kuwadanganya wengi ili waangamie pamoja naye.
Pombe sio nzuri jamani.
Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa
Ambae anabisha Yesu sio Mungu atuambie Mungu wake anafananaje? Au amlete kabisa tumuone Mungu wake
YOHANA 8:58-59 58 Yesu akawa jibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ” 59 Ndipo wakainua mawe wamwue; lakini Yesu akajificha wasim wone; akatoka Hekaluni. YOHANA 10:18 Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena.
Ukweli huu wakristo wengi hawataki kuusikia.Mzee wa upako umefanya sehemu yako,kazi ni kwao wenyewe siku ya kiama hutawajibika ktk jambo kama hili.Mara nyingi maubili yako huwa ni logical sana.M.Mungu akuongoze uzidi kuiona na kuisimamia kweli.
😂😂uyu mzee kashachanganyikiwa maneno yote ayo anayoyatoa ni ili apewe hela duuh ndo maana kafulia
Kwa nini hawa viongozi wa kikristo ni wanafki na kuukataa ukweli ni matapeli wataishia jehanamu
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
❤❤
Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx
@hajimasoud7210
Ай бұрын
Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo
@user-hk1dz8de2x
Ай бұрын
@@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh
@WinfridaCreitus-bf3zn
Ай бұрын
Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.
@yessesamson741
Ай бұрын
@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
Amen amen
ROHO MTAKATIFU anaitwa pia ROHO WA MUNGU, pia anaitwa ROHO WA KRISTO. WARUMI 8: 9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake. Haiwezekani Roho akawa wa Mungu na akawa wa Kristo, halafu Kristo asiwe Mungu.
Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua
Dah kiukwel nimesikitika sana , kuona hadi wateule nao wameanza kukengeuka
Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.
@paulrwechungura4284
29 күн бұрын
Kanisa ni moja tu ,katoliki la mitume
Upo sahihi sana. Na Mungu akuongoze uzidi kuiona nuru.Ameen.
Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani
Mzee wa Upako ana matatizo binafsi. Yesu ni Mungu,ndio. Anatakiwa kusoma Biblia kutoka Mwanzo mpaka Ufunuo,na sio kutegatega watu kwa maneno yake matamu ya utapeli.
Ukiona unapongezwa na wapinzani wako, yaani wenye imani nyingine, jiulize umekosea wapi.
@Hussein-gx4qu
Ай бұрын
Huo ndio ukweli hata kama unauma mmedanywa sana
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
Watu wamemsubilia shakahola yesu hajaja wamekufa kwa njaaa jamani Imani nyingine hizi 😭😭
HATUNA MANENO YA KIBINADAMU YATOSHAYO KUSEMA YESU NI NANI NA UKATOSHEKA.....HATUNA NENO LILILOKAMILIKA LA KUMUELEZEA YESU NI NANI...NDIO MAAANA WATU WANAISHIWA NA MANENO WANAISHIA KUSEMA YESU SIO MUNGU. ...
Lusekelo,huna maana kuitumia Biblia kama hivi ndivyo ulivyo!beba vitabu ama tunga chako uwe na wafuasi na mungu wako asiyemtambua YESU KRISTO kuwa MUNGU!kafilie mbali na upotoshaji wako usiye na haya wewe!
@kanisalatecjcusofficial
Ай бұрын
❤❤❤❤
Luka 9:20 Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.
Mzee wa upako uko sahihi kabisa
Kaeni Chocho hikinikiama chawazungu nawarabu wanahiria afrka wafanye wananaume kuzaa kama mwanamuke mungu tusahidie namajaribu yawatu weupe
Eti kazaliwa mtoto yaani kuna siku mungu alikuwa ni mtoto anafungwa nepi kama watoto wengine jamani mataira punguzei huo utaira wenu
@elihurumamushi2521
Ай бұрын
nakuuliza swali wewe mjiga mtume muhamad aliyemwambia yeye ni mtume ni nani nijibu tafadhali
Mzee wa upako get the revelation of the bible
uko sawa
Nakukubali sana mungu akupe umri mrefu
Ni ni mwana wa mungu lakini lakini ni mungu kwa asili but sio nafsi
Kumbe ni Katoto kwenye maandiko .aibu sana hiii huyu siwezi msikiliza
Kweli kuyaelewa maandiko kazi ngum sana aiseee