YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO

#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Пікірлер: 546

  • @abuurasshaad
    @abuurasshaadАй бұрын

    Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam

  • @salimMohammed-v5m
    @salimMohammed-v5m6 күн бұрын

    Wana macho hawaoni wanamaskio hawasikiii leo sio Muislam kasema kukwambia Mungu ni mmoja bali mzee wa Upako ndio anakuwekeni wazi kuwa Mungu mmoja na Yesu sio mungu

  • @DaudiSangella
    @DaudiSangellaАй бұрын

    Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.

  • @rizikilukali1558

    @rizikilukali1558

    28 күн бұрын

    Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke

  • @NicholasMacharia-nt5jf

    @NicholasMacharia-nt5jf

    26 күн бұрын

    Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.

  • @dstaroficial

    @dstaroficial

    3 күн бұрын

    Kuna watu walikuja kuwapoteza kwa kuwatia iman nakuwafanya wasitumie akil na ndo mana wanajifichia kwa roho mtakatifu pale unapowambia ukwel ila naamin kupitia mchungaj wao kuna vitu vtawafanya watafakar

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68807 күн бұрын

    Ck zte ukiamua kua mkweli jipange mawe utakayopigwa n mengi sn, keep up Lusekelo Allah is the only God✌️

  • @FadhiliMakasi-vb9dl
    @FadhiliMakasi-vb9dl6 күн бұрын

    Yesu sio mungu

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hcАй бұрын

    Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu

  • @elizabethmusyoka453

    @elizabethmusyoka453

    7 күн бұрын

    Mnapotozwa Alafu mnasema mnafunzwa

  • @kizasebaziga8135
    @kizasebaziga8135Ай бұрын

    Mzee wa upoko ni muukweli

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434Ай бұрын

    Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee

  • @amedeusmtui5495
    @amedeusmtui549527 күн бұрын

    Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu

  • @gdswai4479

    @gdswai4479

    2 күн бұрын

    Hii ndio njia sahihi ya kutetea Yesu Kristo kuwa Mungu. Neno litasimama milele. 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)

  • @elijahmediaservices
    @elijahmediaservicesАй бұрын

    Yesu ni Mungu. Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. Isaya 9:6

  • @HansiKatumbi

    @HansiKatumbi

    Ай бұрын

    Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu

  • @kimwerimhando3383

    @kimwerimhando3383

    Ай бұрын

    Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho

  • @thekingdragon8358

    @thekingdragon8358

    Ай бұрын

    mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu

  • @farajisewe7416

    @farajisewe7416

    Ай бұрын

    acha kukalili someni maandiko jamani, acheni mambo ya kurithi Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje

  • @dinocastico8495

    @dinocastico8495

    Ай бұрын

    Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha85854 күн бұрын

    Mzee wangu nimekuelewa❤❤🎉🎉

  • @user-jo2qv2qw9x
    @user-jo2qv2qw9x24 күн бұрын

    Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenziАй бұрын

    Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.

  • @rockevarist4299

    @rockevarist4299

    Ай бұрын

    Jeremiah 10:16,19 Warumi 9:5

  • @smprotz
    @smprotz29 күн бұрын

    Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana

  • @castorchipalo84
    @castorchipalo84Ай бұрын

    kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti

  • @BensonNevele
    @BensonNeveleАй бұрын

    Asante cheef Kwa mafundisho yako

  • @bakariadamu6068
    @bakariadamu6068Ай бұрын

    Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima

  • @rogatimushi689

    @rogatimushi689

    Ай бұрын

    Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu

  • @bakariadamu6068

    @bakariadamu6068

    Ай бұрын

    @@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha

  • @cadiaOnesmo-hd5lr

    @cadiaOnesmo-hd5lr

    Ай бұрын

    Pole

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837Ай бұрын

    Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,

  • @HappyKiteboarder-du9th

    @HappyKiteboarder-du9th

    Ай бұрын

    Swadakta

  • @WinfridaCreitus-bf3zn

    @WinfridaCreitus-bf3zn

    Ай бұрын

    Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.

  • @WinfridaCreitus-bf3zn

    @WinfridaCreitus-bf3zn

    Ай бұрын

    Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.

  • @anoldpotentin2446

    @anoldpotentin2446

    29 күн бұрын

    Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?

  • @drmauji1126
    @drmauji11264 күн бұрын

    Mzee wa upako unanena vema sana barikiwa sana

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h5 күн бұрын

    Upo sahihi sana

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116Ай бұрын

    Lazima wapinga kristo watokee ili unabii hutimie kwahiyo Mimi sishangai hiyo kwasababu na juwa tupo mwisho wa Dunia na hayo yote yalisha tabiliwa habali za mpinga kristo

  • @charlesyotham7977
    @charlesyotham79776 күн бұрын

    😂😂 Mzee mbona unajichanganya tena Mara Yesu sio Mungu mara Mungu.

  • @KhamisiMohamed
    @KhamisiMohamedАй бұрын

    Hakika upo saw yesu sio mungu na ana sifa ya uungu wala usimuingize yesu kwenye mtihani siku ya kihama aulizwe na mwenyez mung

  • @josephatmahango3869

    @josephatmahango3869

    Ай бұрын

    Kwani wewe unajua hiyo kiama Nani atahukumu

  • @user-wq4pl5dv6b

    @user-wq4pl5dv6b

    Ай бұрын

    Naye neno ni Mungu, naye neno akafanyika mwili, yaani wakristo wa siku hizi jau kweli

  • @user-hk1dz8de2x

    @user-hk1dz8de2x

    Ай бұрын

    Sio wote,.Wale aliojifunua kwao wanamjua na kumuelewa ,achana na huyu mtumishi ambaye anahararisha kutoelewa kwake,mathayo 11;27

  • @malkiarosemuhando3310

    @malkiarosemuhando3310

    Ай бұрын

    Na Kila jicho litamwona, na hao waliomchoma watamwona, YESU NI MUNGU KWELI KUTOKA KATIKA MUNGU KWELI,!!!!!

  • @andrewmhagama9816

    @andrewmhagama9816

    Ай бұрын

    ​@user-wq4pl5dv6b Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.

  • @jamesmwakyusa7719
    @jamesmwakyusa7719Ай бұрын

    Ukweli tusiopenda kusikia

  • @shabanramadhan7632

    @shabanramadhan7632

    Ай бұрын

    Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha

  • @WinfridaCreitus-bf3zn

    @WinfridaCreitus-bf3zn

    Ай бұрын

    Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.

  • @joshuandone468

    @joshuandone468

    Ай бұрын

    soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu

  • @iysser

    @iysser

    16 күн бұрын

    ​@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.

  • @JoshuaMutesa
    @JoshuaMutesa9 сағат бұрын

    Mzee huyu tuwe nae Makin Sana

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    bado kitambo kidogo tu mzee wa upako utaweka wazi ukweli wote

  • @Mwalamidihimbwa
    @MwalamidihimbwaАй бұрын

    Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud8605Ай бұрын

    Huo ndo ukweli mungu Hali,hashikwi na usingizi Wala kulala,halii Bali anachukia,hacheki Bali anafurahi,haendi chooni, hakuzaa Wala kuzaliwa, hafi Wala kufufuka ukiona mungu unaye muabudu anasifa hizo jua umepotea upotofu ulio dhahiri Wala usilete ujanja ujanja maana wengine wanasema Kuna mungu wa mwili na waroho uo ni uhuni2

  • @Faya884
    @Faya884Ай бұрын

    Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏

  • @shadrackmwamaso2201
    @shadrackmwamaso22017 күн бұрын

    divine guidance

  • @zenajuma1745
    @zenajuma1745Ай бұрын

    MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......

  • @ChanilaKitwima-zc6ko
    @ChanilaKitwima-zc6ko6 күн бұрын

    Hakika Hekima za wanadamu mbele za Mungu ni upuuzi Anthony lusekelo rudi miguuni pa Yesu ukatubu nafasi bado ingalipo😥

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1nАй бұрын

    Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.

  • @user-wq4pl5dv6b

    @user-wq4pl5dv6b

    Ай бұрын

    Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe

  • @nduwimanaamidou4009

    @nduwimanaamidou4009

    Ай бұрын

    Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu

  • @IbrahimuMaselo

    @IbrahimuMaselo

    7 күн бұрын

    ​@@user-wq4pl5dv6bpia hajamaansha hvyo ulvyoelewa ww. Anamaansha pnd akfanya km shetan alvyomuamulu bc atakuw kamjaribu Mungu baba

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid832611 күн бұрын

    Upo sahihi Sana Mzee wa upako, wafundishe watu wanahubiri utamaduni wa Warumi wanafanya kua Injili.

  • @nehemiagwalusako596
    @nehemiagwalusako596Ай бұрын

    Lkn ktk yote najua Mungu uliniamin kuwa kwenye kizazi hiki,one day nitayang'oa haya mana mi nyundo yako uliniambia wazi YESU WEWE NI MUNGU

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4dАй бұрын

    Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele

  • @mkilwaabdul9230

    @mkilwaabdul9230

    Ай бұрын

    soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua

  • @josephmtikile-yf3pq

    @josephmtikile-yf3pq

    15 күн бұрын

    Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa

  • @HansiKatumbi
    @HansiKatumbiАй бұрын

    Lusekelo yupo sahihi na namuomba MUNGU hamfishe hali ya kuwa muislam

  • @SamhhIlo-ib4ij
    @SamhhIlo-ib4ijАй бұрын

    Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125Ай бұрын

    Yohana akumuona yesu, aliona mfano wa mwanadamu, Mzee muongo sana uyu yani anasoma Biblia aelewi sijui ni mlevi😂😂

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq15 күн бұрын

    Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu

  • @Moses-yw5mb
    @Moses-yw5mb26 күн бұрын

    Mzee wa upako anaelewa Bible na haubiri kama kibaraka Yesu ni mshirika wa Mungu na sio Mungu hata yeye alisema "mimi ni mzaliwa wa kwanza wa baba yaani Mungu" lakini alisema kwanini kuniita mwema mwemani Mungu pekee yake" kwavyo Yesu anatutambulisha ukuu wa Mungu

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v22 күн бұрын

    WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5 20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE. AMEN!!!💖💖💖

  • @adamcharo9327
    @adamcharo932715 күн бұрын

    Mzee wa upako ako sawa kabisa na watu wajifunze kutoka kwake

  • @DaudiSangella
    @DaudiSangellaАй бұрын

    Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4dАй бұрын

    Token KWA huyu mtu ni NABII WA MWONGO ,Yesu ni MUNGU MILELE

  • @rogatimushi689

    @rogatimushi689

    Ай бұрын

    We bado sana nakushauri usikubali kusomewa maandiko jitahidi kuchunguza maandiko matakatifu ya biblia utamjua yesu ni nani maana yeye mwenyewe anasema ni mwana wa mungu

  • @mchopacalvin2986
    @mchopacalvin2986Ай бұрын

    Na ndio maana unaelewa? Ila unaidhalilisha sana diploma yako. Hujui hata maana ya Neno akavaa mwili????

  • @user-ce5ed5tt5j
    @user-ce5ed5tt5j5 күн бұрын

    Nyie Wafata mkumbo tuna mungu wangapi tumia akiri mungu amewapa akiri msiwe mnakula nguruwe ili mjue ukweli

  • @AyubuBenard
    @AyubuBenardАй бұрын

    Yesu ni mungu tu wew endelea kukataa na yesu ndiyo njia ya kweli na uzima na mtu aendi kwa baba pasipo yeye yesu ambaye ni njia

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    Amen

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Na ni mwisho wa sheria

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    16 күн бұрын

    Sasa ndio nini 😂😂😂 Ati Yesu ni mungu, mtu haendi kwa baba pasina yeye😂😂😂 Ndio maana Mungu akaanda Jehanam kwa vilaza wajinga kama hawa.

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770Ай бұрын

    Mathayo 1:23 [23]Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.

  • @JumahAShabani
    @JumahAShabani10 күн бұрын

    Sahihi kabisa Yani Uumbe viumbe mwenyew Kisha wakuuwe ili wachukue Ufalme wako au yani hii ni kwawenye akili timamu2 ambae hana akilitimamu ataendelea kumuita yesu Mungu

  • @DeoMwampamba-ru3yo
    @DeoMwampamba-ru3yo6 күн бұрын

    NI kweli baba ni mkuu kuliko mimi yesu alisema

  • @user-ov6np8yb2r
    @user-ov6np8yb2r8 күн бұрын

    Kama waliitwa ndinyi miungu wale waliobarikiwa na mungu itakuwa yeye aliotoka kwamungu.

  • @SamsunSamsung-dq4bc
    @SamsunSamsung-dq4bcАй бұрын

    Tatizo la afya akili ni hatari mno hasa wajiitao viongozi😢

  • @apostel.jofreymkumbwa6092
    @apostel.jofreymkumbwa6092Ай бұрын

    Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia

  • @gdswai4479
    @gdswai44792 күн бұрын

    Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu. ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemiАй бұрын

    Mzee wa upoko umeongea ukwel wachie wanunu ukwel ndo uwo

  • @shefatiakeleye897
    @shefatiakeleye8974 күн бұрын

    Ukuu wa Mungu haufikiliki kwa akili za kibinadamu. Chukua hiyo.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6mАй бұрын

    Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    Ай бұрын

    Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    Ай бұрын

    @@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    Ай бұрын

    @@user-cw8zn2dn6m Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    Ай бұрын

    @@user-cw8zn2dn6m Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    Ай бұрын

    @@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke

  • @user-ce5ed5tt5j
    @user-ce5ed5tt5j5 күн бұрын

    Kama yesu ni Mungu siku ile Yuko msalaban alisema eloieloi Mungu wangu mbona unaniacha?

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga362628 күн бұрын

    a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295Ай бұрын

    Yesu anajitambulisha kuwa ni Mungu Yohana 1:1_5

  • @idinado-wk3lx

    @idinado-wk3lx

    Ай бұрын

    Wewe hauna akili nasiyo kosa LAKO na ndio maana bibilia zenu Kila mwaka Zinabadilishwa vifungu mala viongezwe mala viondowe ondeo vifungu siyo kola lako Mimi nawalaumu mashetani wanao potosha watu 😢😢😢😢

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470Ай бұрын

    Jitathmini mzee

  • @burkardkayombo4608
    @burkardkayombo460818 күн бұрын

    Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako. Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako (1) Hujaokoka (2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani. (3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.

  • @lilyg2134

    @lilyg2134

    16 күн бұрын

    HANA AKILI, NA HAJUI ROHO NGAPI ZA WATU KAZIPOTOSHA!! KAZI YAKE ANATAWANYA KONDOO WA BWANA , HUYU NI MPINGA KRISTO NAWAONEA HURUMA HAO WANAOENDA KANISANI KWAKE

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq13 күн бұрын

    Soma mathayo 1:23 Tazama bikira atachukua mimba naye atamzaa mwana nao watamwita jina lake Emmanuel mungu pamoja nasi.

  • @ramadhaniyusufu5216
    @ramadhaniyusufu52167 күн бұрын

    jamani hiv kwenye tv asaivi anaonekana Chanel gani Masada plz

  • @Sheba4651
    @Sheba465116 күн бұрын

    Karibu kwenye Uislamu, muda unaisha huo. Achana na music, muda ndio huu. Mjadala uungu wa Yesu kwenye Uislamu una majibu ya wazi.

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7pАй бұрын

    Sisi WaUNITARIAN japo nasi pia ni wa Kristo kwetu sisi Yesu si Mungu ila Mtoto au Mtumishi wa Mungu au Kikomboleo pekee na kiumbe wa Kwanza wa Mungu na ni mpatanishi pekee kati yetu na Mungu yaani Yahwe. Someni Biblia Yote enyi wakristo jina.

  • @idinado-wk3lx

    @idinado-wk3lx

    Ай бұрын

    Wanao amini yesu ni Mungu siyo kola lao wanastali maombi na kuelimishwa vizuli

  • @FaustineRichard-kk5xt
    @FaustineRichard-kk5xtАй бұрын

    Safi sana

  • @rashidhemed5331
    @rashidhemed53316 күн бұрын

    Wakristo weng hawasom bibilia ni wafata mkumbo wakat yesu akiwa tumbon mwa mam ake nan alikuw anaongoza dunia kama yesu ni mungu mzee wa upako uko sawa

  • @elinisafimndeme2971

    @elinisafimndeme2971

    5 күн бұрын

    Swali la kijinga kabisa😅😅

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8xАй бұрын

    W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    Amena amen

  • @lilyg2134

    @lilyg2134

    Ай бұрын

    kabisa yaani hata sijaimaliza kuangalia upuuzi wake wote....namuona kichaa tu maana msingi wangu biblia...akawadanganye vipofu wenzie huko kanisani kwake

  • @user-ob9mc5zc1k
    @user-ob9mc5zc1kАй бұрын

    UBARIKIWE SANA KWA UKWELI MZEE WA UPAKO

  • @emmanuelmwakibolwa735

    @emmanuelmwakibolwa735

    Ай бұрын

    roho ya upotevu hujishuhudia yenyewe kwa yenyewe. Nabii Isaya alishaona na kutabiri kuja kwa "MUNGU MWENYE NGUVU", lakini kizazi cha leo baadhi wanapinga kwa kutokujua kwao, kwa kuwa hawamjui Mungu, wanajitumikia wenyewe na kuwadanganya wengi ili waangamie pamoja naye.

  • @Hapomwanzo
    @HapomwanzoАй бұрын

    Pombe sio nzuri jamani.

  • @kelvinmurithi7255
    @kelvinmurithi7255Ай бұрын

    Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin244629 күн бұрын

    Ambae anabisha Yesu sio Mungu atuambie Mungu wake anafananaje? Au amlete kabisa tumuone Mungu wake

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755Ай бұрын

    YOHANA 8:58-59 58 Yesu akawa jibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ” 59 Ndipo wakainua mawe wamwue; lakini Yesu akajificha wasim wone; akatoka Hekaluni. YOHANA 10:18 Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena.

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm23 күн бұрын

    Ukweli huu wakristo wengi hawataki kuusikia.Mzee wa upako umefanya sehemu yako,kazi ni kwao wenyewe siku ya kiama hutawajibika ktk jambo kama hili.Mara nyingi maubili yako huwa ni logical sana.M.Mungu akuongoze uzidi kuiona na kuisimamia kweli.

  • @gbreezy_tz
    @gbreezy_tzАй бұрын

    😂😂uyu mzee kashachanganyikiwa maneno yote ayo anayoyatoa ni ili apewe hela duuh ndo maana kafulia

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328Ай бұрын

    Kwa nini hawa viongozi wa kikristo ni wanafki na kuukataa ukweli ni matapeli wataishia jehanamu

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    ❤❤

  • @user-hk1dz8de2x
    @user-hk1dz8de2xАй бұрын

    Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx

  • @hajimasoud7210

    @hajimasoud7210

    Ай бұрын

    Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo

  • @user-hk1dz8de2x

    @user-hk1dz8de2x

    Ай бұрын

    @@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh

  • @WinfridaCreitus-bf3zn

    @WinfridaCreitus-bf3zn

    Ай бұрын

    Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.

  • @yessesamson741

    @yessesamson741

    Ай бұрын

    ​@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    Amen amen

  • @emmanuelmwakibolwa735
    @emmanuelmwakibolwa735Ай бұрын

    ROHO MTAKATIFU anaitwa pia ROHO WA MUNGU, pia anaitwa ROHO WA KRISTO. WARUMI 8: 9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake. Haiwezekani Roho akawa wa Mungu na akawa wa Kristo, halafu Kristo asiwe Mungu.

  • @user-cm5xv7gb2e
    @user-cm5xv7gb2e14 күн бұрын

    Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely7487Ай бұрын

    Dah kiukwel nimesikitika sana , kuona hadi wateule nao wameanza kukengeuka

  • @abbymdee8920
    @abbymdee892029 күн бұрын

    Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.

  • @paulrwechungura4284

    @paulrwechungura4284

    29 күн бұрын

    Kanisa ni moja tu ,katoliki la mitume

  • @user-bw5pp3vk3r
    @user-bw5pp3vk3r24 күн бұрын

    Upo sahihi sana. Na Mungu akuongoze uzidi kuiona nuru.Ameen.

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yjАй бұрын

    Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu4103Ай бұрын

    Mzee wa Upako ana matatizo binafsi. Yesu ni Mungu,ndio. Anatakiwa kusoma Biblia kutoka Mwanzo mpaka Ufunuo,na sio kutegatega watu kwa maneno yake matamu ya utapeli.

  • @user-ft4cp2tt5c
    @user-ft4cp2tt5cАй бұрын

    Ukiona unapongezwa na wapinzani wako, yaani wenye imani nyingine, jiulize umekosea wapi.

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    Ай бұрын

    Huo ndio ukweli hata kama unauma mmedanywa sana

  • @ZuhuraMwanafuno

    @ZuhuraMwanafuno

    Ай бұрын

    Watu wamemsubilia shakahola yesu hajaja wamekufa kwa njaaa jamani Imani nyingine hizi 😭😭

  • @zenajuma1745
    @zenajuma1745Ай бұрын

    HATUNA MANENO YA KIBINADAMU YATOSHAYO KUSEMA YESU NI NANI NA UKATOSHEKA.....HATUNA NENO LILILOKAMILIKA LA KUMUELEZEA YESU NI NANI...NDIO MAAANA WATU WANAISHIWA NA MANENO WANAISHIA KUSEMA YESU SIO MUNGU. ...

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9eАй бұрын

    Lusekelo,huna maana kuitumia Biblia kama hivi ndivyo ulivyo!beba vitabu ama tunga chako uwe na wafuasi na mungu wako asiyemtambua YESU KRISTO kuwa MUNGU!kafilie mbali na upotoshaji wako usiye na haya wewe!

  • @kanisalatecjcusofficial

    @kanisalatecjcusofficial

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @realramjen3270
    @realramjen3270Ай бұрын

    Luka 9:20 Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.

  • @KaristusiMnyagala-ci8kb
    @KaristusiMnyagala-ci8kbАй бұрын

    Mzee wa upako uko sahihi kabisa

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i25 күн бұрын

    Kaeni Chocho hikinikiama chawazungu nawarabu wanahiria afrka wafanye wananaume kuzaa kama mwanamuke mungu tusahidie namajaribu yawatu weupe

  • @hajimasoud7210
    @hajimasoud7210Ай бұрын

    Eti kazaliwa mtoto yaani kuna siku mungu alikuwa ni mtoto anafungwa nepi kama watoto wengine jamani mataira punguzei huo utaira wenu

  • @elihurumamushi2521

    @elihurumamushi2521

    Ай бұрын

    nakuuliza swali wewe mjiga mtume muhamad aliyemwambia yeye ni mtume ni nani nijibu tafadhali

  • @DANIEL_KISANGAU
    @DANIEL_KISANGAU28 күн бұрын

    Mzee wa upako get the revelation of the bible

  • @emanuelyohana3049
    @emanuelyohana304924 күн бұрын

    uko sawa

  • @user-tr1jm1ux9f
    @user-tr1jm1ux9f25 күн бұрын

    Nakukubali sana mungu akupe umri mrefu

  • @dicksonkimanthi5242
    @dicksonkimanthi524229 күн бұрын

    Ni ni mwana wa mungu lakini lakini ni mungu kwa asili but sio nafsi

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885Ай бұрын

    Kumbe ni Katoto kwenye maandiko .aibu sana hiii huyu siwezi msikiliza

  • @jumasukari7866
    @jumasukari7866Ай бұрын

    Kweli kuyaelewa maandiko kazi ngum sana aiseee