mdahalo uliofanyika tar 1 -2 Maada ikiwa inahusu YESU NI MUNGU?
Жүктеу.....
Пікірлер: 164
@amaningalla942017 күн бұрын
Mwalimu Ndacha upo vizuri sana,japo hao ni sikio la kufa.
@user-kx4vr5ix4e
16 күн бұрын
Pole kwa wasioelewa maana ukweli ndio huo! Ndacha kaongea ukweli mtupu
@user-xu6ny5ko2n
4 күн бұрын
Salamu zangu za dhati kwa nabii wa Bwana Dhacha.
@user-fu6fx8if6w15 күн бұрын
Yesu Kristo ni Mungu wakati amekaa katika kiti cha enzi,ni mwokozi wa ulimwengu alipokuwa katika mwili na akafa msalabani,anakuwa roho mtakatifu aliporudi akiwa katika roho,wote ni mungu moja,jinsi mwanadamu alivyo na mwili,roho na nafsi,flesh,soul and spirit.
@user-vv9wb9he2x13 күн бұрын
Mch.Ndanda hakika wewe ni Mwalimu wa neno la mungu na ubarikiwe sana
@byamasumakali21393 күн бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu Ndacha
@solomoneglesias975213 күн бұрын
Ni bora tuseme Yesu ni Mungu na tukute si Mungu kuliko tuseme Yesu si Mungu na tukute ni Mungu!!!!
@magrethherin711015 күн бұрын
Yesu ni mungu halisi na nuru halisi ni mungu mkuu alie hai
@mwaikoleernest3411
13 күн бұрын
heri wewe uliyejariwa
@jacksonmunisi91434 күн бұрын
Ndacha Mungu akubark,nakuombea Sana umujue YESU KRISTO vzr ili akuondoe kwenye kind la wagalatia
@IngianaelMshana5 күн бұрын
Hakika mtumishi uko vizuri barikiwa na Bwana
@elishampoki87519 күн бұрын
Mtumishi hakika wewe umenikuna moyo wangu mno maana unaipiga roho ya mpinga kristo kwa neno ,Asie mjua Yesu kristo yupo chini ya rana, Jina lake Mungu ni Yesu kristo,
@GodfreyMeshack-gy2yt2 күн бұрын
Amina mtumishi, ubarikiwe sana.
@JamesMoses-jd1yq20 күн бұрын
Ndacha wew ni hatari 🎉
@zakariaandrew131413 күн бұрын
Yesu wangu. Yesu wa Nazareth. Ni Mungu Mkuu
@IshmaelSimon4 күн бұрын
Very nice! Ipo hivi, ili uwe mtu au binadamu lazma uwe na mwili na roho, na hii ni kutokana na sheria za Mungu mwenyewe, so kimoja kikikosekana maana yake sio binadamu tena. Ni hivyo hivyo kwa Mungu, yeye alie Mungu yu katika Baba na pia yu na Mwana ndani yake, maana ni Neno lake na maana lilikuwepoa na Baba toka mwanzo na Roho wake maana yu ndani ya Mungu mwenyewe. Hivyo huyo Neno alikuwa mwili ili aje awaokoe wanadamu ili arithi na wanadamu pamoja nae.
@user-km8qt2dy8s17 сағат бұрын
I really agree with pastor ndacha. When you read bible in the book of John, the bible says that in the beginning was the word, (jesus), and the word was with God, and the word was God.
@jacksonmunisi91434 күн бұрын
Luka 22:19 Akatwaa mkate,akashukuru,akaumega,,akawapa,akisema,(Huu ndio mwili Wangu unaotolewa kwaajili yenu,fanyeni hivi Kwa ukumbusho wangu
@user-jl5uh1xq9f14 күн бұрын
Ndana waisilamu Awana elimu Ya kiroho.utapanda shida BURE.awaezi kukuelewa waache waende janamu.mungu Huwa ana asala
@elijahotungu55108 сағат бұрын
Amen mtumishi wa mungu
@PaulinaMlelwa-pv9fw12 күн бұрын
Amina sana Mungu awabaliki sana 🙏🙏
@festinamwakipale391914 күн бұрын
Tena kama hukumu kubwa.mwanadamu.atahukumiwa.kukataa kuwa yesu sio.Mungu nabii isaya anasema jina.lake.imanueli Mungu pamoja.na wanadamu yesu kwa wanadamu ni Mungu .tusimkosee Mungu wanadamu tusome sana vitabu
@hosianaeliud24314 күн бұрын
Uko sawa mtumishi ata mmi nimefunguka leo kama Yesu ni mwana wa Mungu yye ataitwa Nani na uyu mwana akuagi hadi leo na kwann hilo jina limanguvu linaweza kubadilisha kila kitu....kwa maan hiyo YESU ni MUNGU
@user-bw6pt1yo5s2 күн бұрын
Mwalimu vizuri sana
@aliabdallah84566 күн бұрын
Wakristo hacheni ushabiki Yesu siyo Mungu ni binadamu kama binadamu wengine
@petergoyandi5699
5 күн бұрын
Rudi shule kwanza umjue yesu mana naona. Unamjua yesu kipengele tu ila humjui
@denismugisha216 күн бұрын
Tangu Yesu alisema mimi niko alikuwa amejitambulisha yeye ni MUNGU Rudi kwa Musa alipomuuliza MUNGU wakiniuliza huyo aliyekutuma ututoe misri ni nani? MUNGU akasema waambie mimi NIKO ambaye NIKO amenituma na alipowaambia hivo hawakubisha Na sasa Yesu mwenyewe anasema kabla ya Ibrahimu mimi NIKO Hapo mwenye akili na ajue
@user-un2td1no5f
14 күн бұрын
Kabisa umenena vyema Yesu ni Mungu
@daudiazizi849512 күн бұрын
Tumuombee sana ndacha Mana anajenga ufalme wa mungu
@alexmayemba860614 күн бұрын
Yesu ni mungu hakika
@user-yl9fb8uw3kКүн бұрын
Jamani Yesu kristo ni mwana wa Mungu aliye hai hata petro alipata ufunuo huo pale alipo uliza kwamba watu hubeba mimi ni Nan
@nancyisoyi816410 күн бұрын
YESU NI MUNGU🙏🏾 YESU NI BWANA🙏🏾
@NoelMwita14 күн бұрын
YESU NI MUNGU
@magrethherin711015 күн бұрын
Yesu ni mungu
@mbukumagiubukumagu40617 күн бұрын
Yesu si Mungu
@user-it7ih1it3m2 күн бұрын
Wasabato pia wanashabihiana na waisram maana mambo mengi ya agano la kale wanayatukuza pasina kumtukuza mwenyez mungu
@ellymakongo656
21 сағат бұрын
Hivi unaejua hivyo huyo anaefundisha hapo ni tunda la wasabato?
@johnwabulasa208512 күн бұрын
Siyo jambo la kubishia,Yesu ni Mungu
@user-bh7nb2kn5o10 күн бұрын
Hivyo yesuu si . Munguu
@shammhagama252713 күн бұрын
Yesu ni Mungu wa kweli
@mwaikoleernest341113 күн бұрын
Yesu ni Mungu milele
@AizackKalenge-ro5rc15 күн бұрын
Ndiyo maana sisi wasomi na watafiti wa Maandiko Tunasema Yesu ni Mungu %100 ni Mwanadamu,,Sababu za kuwa Mungu ni Katika Roho ni baba wa Milele, na Katika mwili ni mwanadamu,Ndo Kule kuchukuliana na sisi Ebrania415
@user-un9ie3hh6y15 күн бұрын
Mchungaji Hao WaPo katika Giza yesu Kristo Ni mungu wakweli
@SamsongimongeMairi-ih1jr14 күн бұрын
Amen 🙏
@Fedrick-jb8xb15 күн бұрын
Ndacha mungu akubariki
@user-fw3jq3ff5s2 күн бұрын
Kwani sisi ni Wana wa nani na aliyemtahili yesu ni mwana wa nani
@YOSHUAMWAMPETA16 күн бұрын
JAMANI NAOMBA NIWAHABARISHE kidogo kuwa NDACHA ALIMALIZA DARASALA SABA TU WAKTI SULE NI PHD HOLDER .Kwahiyo NDACHA ANAONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU wakati DR.Sule anaongozwa na akili zake tu.Mubarikiwe kwa kunielewa
@evodiusbahegwa6557
16 күн бұрын
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
@evodiusbahegwa6557
16 күн бұрын
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
@JoyceMonewa8 күн бұрын
Yesu ni mungu mkuu tito 2-13
@swafiirbulbul819
6 күн бұрын
Dada @JoyceMonewa ... Hivyo, Mungu Mkuu aliuwawa ..!??? 🤔
@jacksonmunisi91434 күн бұрын
Shida mlyonayo hamtaki mafundisho Ya YESU KRISTO
@ErickSaidi-ib7mz14 күн бұрын
Yesu anasifa la mungu baba yake
@nemsonmsongole289214 күн бұрын
Yesu ni Mungu asilimia 100 na mkristo yeyote asiye amini anamwabudu Yesu kama nani? Yesu ni Mungu.
@user-fi4qy9se4r15 күн бұрын
Ndacha kapimwe akili
@user-ho7ci2fq1c11 күн бұрын
Very nice
@Suleiman-p5d4 сағат бұрын
5:72 QURAN
@manirakizaally18 күн бұрын
Sijui akili inakuwa imeruka au!Ati nini?
@MbavuMasha13 күн бұрын
Yesu ni mugu
@daudiazizi849512 күн бұрын
Kuwafundisha haitosh wawaombee wawatoe mapepo ya kislamu
@hashimchaoga95669 күн бұрын
Yesu ni Mungu. Je Yesu kazaliwa na nani? Na Mariam .Mariam ni mzao wa nani .Wa Adam na Hawa .Adam na Hawa wa hawa wameumbwa na Mungu. Ina maana Mungu kaumba binadamu aliyemzaa Maria halafu Maria tena azae Mungu!!!!! Jamani mbona mnajichanganya? Yesu si Mungu ni mtume wa 24 wa Mungu Mungu hana dini na si Mkatoliki na si Myahudi
@emanuelswai396616 күн бұрын
Mzee wa upako , chukua hiyo itakusaidia kuwa Yesu ni Mungu
@solomoneglesias9752
13 күн бұрын
Mzee wa mtako ni poromota tu🤣🤣
@richardodoyo755812 күн бұрын
Mtumishi karibu sabato uje ubiri injili ndyo mala sahii
@mustafamsati959916 күн бұрын
Mungu kala mikate kamamimi? Hahaha
@jacksonmunisi91434 күн бұрын
Hapo hawapataki swal je Ni wafuasi Wa Kristo kwel?
@Suleiman-p5d4 сағат бұрын
YESU SIO MUNGU YOHANA 17:3 NA 8:40 YOHANA
@diananaswa484214 күн бұрын
Yesu ni MUNGU
@rabecamapunda6389Күн бұрын
YESU NI MUNGU MKUU, MAANDIKO YANASEMA
@julioclememtejumbe271913 күн бұрын
Jesus Cristo é verdadeiro Deus
@salimchimwaga838417 күн бұрын
Sasa Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani hapo???
@JamesJastin-bg1rx15 күн бұрын
Upuuzi
@DanielMartins-th4z5 күн бұрын
❤
@AizackKalenge-ro5rc15 күн бұрын
Sule ni Dk wa uganga na majini,
@Suleiman-p5d4 сағат бұрын
UKISEMA YESU NI MUNGU SOMA 5:72 QURAN AU 17; 3 YOHANA. ACHENI KUKUFURU MUNGU HAWEZI KUZALIWA
@hashimchaoga95669 күн бұрын
Haiwezekani Mungu aumbe binadamu akiwemo Maria halafu Maria tena amzae Mungu huyo huyo. Watu wanapiga tu makelele na kushindwa kuchambua vitu vilivyo wazi kabisa
@mustafamsati959916 күн бұрын
Sasa mungu anazaliwa huo so wazimu?
@MbappeHeritie-rx1hq15 күн бұрын
Awakupe wa roho yamungu bali yamasheteni hao waslm.
@BenJohnson-es4go17 күн бұрын
Ndacha10 sule 1
@user-be8mu6fm3t13 күн бұрын
Yesu ni mwana wa Muñgu
@swafiirbulbul819
6 күн бұрын
😂 ... Jitahidini Mumalize Tofauti zenu .. Mnatuvuruga, YESU ni Mungu au Ni Mwana wa Mungu..!??
@user-km2fj5cs4v14 күн бұрын
eeh!!Ndacha wewe ni moto wa waisilamu
@yusubila355717 күн бұрын
Yesu sio mungu mana mungu anajua yote na jesu aliwahi kuulizwa siku ya kiama (mark 13.32)inasema:The Day and Hour Unknown - “But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.......mana yake iyo siku hakuna anae ijuwa hata malaika ao yeye yesu isipokua mungu tu......sasa atakuaje mungu wakati hajuwi kiama kitakua lini?
@mosesoduor221
16 күн бұрын
AKIWA KATIKA NAFSI YA KIBINADAMU
@asifiwempagama27
15 күн бұрын
Umepewa Dalili za cku ya mwisho, Mathayo 24. Ujisomee andiko hilo.
@asifiwempagama27
15 күн бұрын
Sura nzima
@yusubila3557
6 күн бұрын
#Numbers23.19....mungu sio mtu.
@yusubila3557
6 күн бұрын
Dalili nakujuwa nibitu biwili tofauti kabisa......mungu inabidi ajuwe tu yote.
@AmerdaKavishe-pu3cf17 күн бұрын
Yesu sio mungu bali nimwana wa mungu ila alicho beba ndani ni roho wa mungu ndani yake alijifika ndani ya mwili wa yesu kwaiyo mungu ni mungu na yesu ni yesu ndo maana tunapo amba tunasema baba ni mungu mwana niyesu na roho mtakatifu niroho pia mfano wamalaika
@petromachanga5538
17 күн бұрын
Yaani wewe
@mustafamsati9599
16 күн бұрын
Wakristo mpomafungu mangapi?
@user-un2td1no5f
14 күн бұрын
Yaani wewe ndio umechanganyikiwa kuliko huyo sule huyajui maandiko hata moja achana na mambo ya kihoro sio yako
@AmerdaKavishe-pu3cf
14 күн бұрын
@@user-un2td1no5f yesu sio mungu bali ni mwana wa mungu nimtume tusichanganyane kwanza tuache ubabaishaji wa siasa uwezi tafuta kiwanja nakuitana nakufanya siasa za dini eti dini yaukweli nauwongo akuna dini yakweli wala dini ya uwongo ila lipo neno la mungu nalo niuzima mungu atutambui kwa dini bali kwakweli nayo kweli inapatikana kwenye uzima maana uzima ndio ulio beba mnavyo pingana uwa sioni tafauti nawachezaji wa mpira au kipindi cha kampeni au mbio za mwenge uwa najisikia vibaya sana anae abudu shetani au malaika au roho mtakatifu niimani yake wewe ninani tuache mungu atumike nawatu wake shetani niwa mungu malaika niwa mungu roho mtakatifu niwa mungu kwainyo vyote vipo mikononi mwake ukiona mwisila afai chukua jembe kalime ukiona mkristo afai chukua jembe mkalime inatosha kusiyakiana inauma inatia asira inakatisha tamaa
@user-fk2vs6kk8u
8 күн бұрын
Wote ni Mungu mmoja
@mwinyijuma268619 күн бұрын
😂😂Ama kweli aliyewaroga wakiristo amekufa kitambo eti yesu ni mungu!!! Ukosefu wa akili.
@sefaniaslyvestertv1498
18 күн бұрын
Andiko gani Yesu si Mungu
@mwinyijuma2686
18 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 Naenda kwa Baba yangu ambae ni Baba yenu na kwa Mungu wangu ambae ni mungu wenu.
WEWE UNAMUAMBIA MUHAMAD NI MTUME, WEWE YUNA AKILI PUNGUANI
@user-wr1el4ep2b
15 күн бұрын
Wewe ndo umekosa akili
@EmmanuelChesoli13 күн бұрын
Na mungu ni nani sasa
@mwaikoleernest3411
13 күн бұрын
Mungu ni Neno Yoh 1:1-2 na Neno ni Roho hivyo Neno alipotaka kuja huku duniani ili aonekane mana ni roho ikabidi neno avae mwili ilia ampate mwnadamu Yoh 1:12
@miltonjohn9779
12 күн бұрын
Hadi wewe mkeisto unauliza swali la kitoto hivyo, loo! Makubwa
@user-fq9dd4mu6y19 күн бұрын
Kama yesu mungu kwanini wakati anasulubiwa alisema ELOI eloi lamasabaktan yaan mungu wangu mungu wangu mbona unaniacha
@0badiaMwasongwe-rt1wr
18 күн бұрын
Kwanza elewa alifanyikaa mwili kwa kufanyikaa mwili uungu wake aliuacha mbinguni ndomaana wakati anapaa akasema Baba kazi ulionipa nimeifanyaa niludishie utukufu wangu niliokuwa nao kabla ya ulimwengu kuwepo. Sasa jiulize kablda ya ulimwengu kuwepo huko mbinguni alikuwa naniii???? Shidaa mnamuangalia yesu alipofanyikaa mwanadam jee kabla hajawa mwanadam huko mbinguni alikuwa naniii??
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wrNyinyi mnashangaza na kuchekesha kwa kujitungia yenu wenyewe na kudanganyana. Hivi hujasoma Yesu akisema baba mbona unaniacha au wasamehe hawajui watendalo na alisema msiniabudu mimi wala masanamu muabuduni Mungu baba yangu. Mwana wa Mungu wote sisi ni wana wa Mungu lakini Waislam katika Kur ani imeandikwa Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mfanowe katika sura ya Ikhlas. Mungu wa Judaism ambayo ni dini ya Wayahudi ni Yehova ambao hawakumkubali Yesu.Haya ni mambo ya Shakahola tu. Ni kweli Yesu aliomba kwa Mungu kucha ikiwa na maana yeye si Mungu. Mungu ni mmoja tu kwa kila dini wengi hawaelewi maana ya Allah ambapo ni neno tu la kiarabu Mungu ni mmoja tu waislam wanaamini. Uongo wa Shakahola watu wanauleta mitandaoni
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Imeandikws Yesu alisema msiniabudu mimi binadamu wala masanamu muabuduni Mungu baba yangu hiyo ndio hoja ya kila kitu Hata siku moja hakusema yeye ni Mungu siku zote alizungumzia kuhusu Mungu baba yake. Sasa watu wanapotosha tu.Allah ni kugoogle tu uelewe maana yake. Mungu kwa kiarabu ni Allah ambae ni mmoja tu hakuzaa hakuzaliwa. Hivi jata huyu muhubiri nae haelewi maana ya Allah. Ni uongo tu umejaa kwa huyu muhubiri .Mungu ambae ni mmoja tu ndio aliumba vyote na si yesu.
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Muhubiri hebu tafuta katika biblia yenu Yesu aliposema msiniabudu mimi wala masanamu kwani mimi ni binadamu muabuduni Mungu baba yangu. Na mengi tu kuielezea kwamba yeye si Mungu mwana wa Mungu . Na huo umwana wa Mungu ni wa kila kiumbe cha Mungu. Mchungaji hajasikia mapadri wakisema Mungu baba. Na sijui muhibiri yeye ni mwana wa Shetani au wa nani
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Ndasha bora tu uenda ukahubiri Shakahola
@hashimchaoga956619 күн бұрын
Mwenyewe alisema msiniabudu mimi au masanamu kwani mimi ni binadamu muabuduni Mungu baba yangu. Je nani tena haelewi na kubadili ya kwake binafsi? Bado kasema baba mbona unaniacha? Wasamehe hawajui watendalo n.k Mungu awe myahudi?!??
@sefaniaslyvestertv1498
18 күн бұрын
Wapi kasema asiabudiwe
@user-fq9dd4mu6y
18 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 kwahyo Ww kumuabudu yesu unaona Ni Sawa kabisa
@jescahakhonya9986
17 күн бұрын
Yesu ni mungu ubarikiwe sana pastor
@hashimchaoga9566
16 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 soma biblia mwenyewe na kuielewa usisomewe na kupotoshwa
@hashimchaoga9566
16 күн бұрын
Yesu ni Myahudi na ni binadamu msitunge yakwenu. Mungu hawezi kua muahudi. Na elewa kuna dini nyingi tu zinamuabudu Mungu mmoja tu na si Yesu wa wakristo hata Wayahudi hawamkubali
@asifiwempagama2715 күн бұрын
Ndacha MUNGU
@AbelMwakilembembwate10 күн бұрын
Me naona mchugaji uko sawa ila hao wabishi sana
@Elisha-zr8ms15 күн бұрын
Unachokataa ni hivi yesu ni ma Mungu mgu sikio mfupa vote nimwili
@Jonathan-gf9lj15 күн бұрын
Kama Yesu ni Mungu nani ni Kristo? Yesu akasema mwapotea kwa kutoyajua maandiko wala uweza wa Mungu. Mathayo 22:29 Yesu kama ni Mungu ni kwa nini alipakwa mafuta ? Isaya 61:1-2, Luka 4:14-21 Tatizo kubwa hapa ni tafSiri lakini Neno liko dhahiri Hakuna msamiati
@AhmadNurudin-ch6mn10 күн бұрын
Nyinyi amuna ilimu yasu ni mungu nani kasema
@festinamwakipale391914 күн бұрын
Hata katika.dunia hii mtoto.wa mfalme.anakuwa mfalme tunahitaji.walimu.wasomi.wenye.hofu ya Mungu na loho.mtakatifu haaa kumbe Mungu alivomtuma.yesu.waislamu.walivomkataa anawaombea yy.kama yeye kwa yesu ma'ana yesu ndo amepewa mamlaka waislamiki.achana na mambo ya din
Пікірлер: 164
Mwalimu Ndacha upo vizuri sana,japo hao ni sikio la kufa.
@user-kx4vr5ix4e
16 күн бұрын
Pole kwa wasioelewa maana ukweli ndio huo! Ndacha kaongea ukweli mtupu
@user-xu6ny5ko2n
4 күн бұрын
Salamu zangu za dhati kwa nabii wa Bwana Dhacha.
Yesu Kristo ni Mungu wakati amekaa katika kiti cha enzi,ni mwokozi wa ulimwengu alipokuwa katika mwili na akafa msalabani,anakuwa roho mtakatifu aliporudi akiwa katika roho,wote ni mungu moja,jinsi mwanadamu alivyo na mwili,roho na nafsi,flesh,soul and spirit.
Mch.Ndanda hakika wewe ni Mwalimu wa neno la mungu na ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana mwalimu Ndacha
Ni bora tuseme Yesu ni Mungu na tukute si Mungu kuliko tuseme Yesu si Mungu na tukute ni Mungu!!!!
Yesu ni mungu halisi na nuru halisi ni mungu mkuu alie hai
@mwaikoleernest3411
13 күн бұрын
heri wewe uliyejariwa
Ndacha Mungu akubark,nakuombea Sana umujue YESU KRISTO vzr ili akuondoe kwenye kind la wagalatia
Hakika mtumishi uko vizuri barikiwa na Bwana
Mtumishi hakika wewe umenikuna moyo wangu mno maana unaipiga roho ya mpinga kristo kwa neno ,Asie mjua Yesu kristo yupo chini ya rana, Jina lake Mungu ni Yesu kristo,
Amina mtumishi, ubarikiwe sana.
Ndacha wew ni hatari 🎉
Yesu wangu. Yesu wa Nazareth. Ni Mungu Mkuu
Very nice! Ipo hivi, ili uwe mtu au binadamu lazma uwe na mwili na roho, na hii ni kutokana na sheria za Mungu mwenyewe, so kimoja kikikosekana maana yake sio binadamu tena. Ni hivyo hivyo kwa Mungu, yeye alie Mungu yu katika Baba na pia yu na Mwana ndani yake, maana ni Neno lake na maana lilikuwepoa na Baba toka mwanzo na Roho wake maana yu ndani ya Mungu mwenyewe. Hivyo huyo Neno alikuwa mwili ili aje awaokoe wanadamu ili arithi na wanadamu pamoja nae.
I really agree with pastor ndacha. When you read bible in the book of John, the bible says that in the beginning was the word, (jesus), and the word was with God, and the word was God.
Luka 22:19 Akatwaa mkate,akashukuru,akaumega,,akawapa,akisema,(Huu ndio mwili Wangu unaotolewa kwaajili yenu,fanyeni hivi Kwa ukumbusho wangu
Ndana waisilamu Awana elimu Ya kiroho.utapanda shida BURE.awaezi kukuelewa waache waende janamu.mungu Huwa ana asala
Amen mtumishi wa mungu
Amina sana Mungu awabaliki sana 🙏🙏
Tena kama hukumu kubwa.mwanadamu.atahukumiwa.kukataa kuwa yesu sio.Mungu nabii isaya anasema jina.lake.imanueli Mungu pamoja.na wanadamu yesu kwa wanadamu ni Mungu .tusimkosee Mungu wanadamu tusome sana vitabu
Uko sawa mtumishi ata mmi nimefunguka leo kama Yesu ni mwana wa Mungu yye ataitwa Nani na uyu mwana akuagi hadi leo na kwann hilo jina limanguvu linaweza kubadilisha kila kitu....kwa maan hiyo YESU ni MUNGU
Mwalimu vizuri sana
Wakristo hacheni ushabiki Yesu siyo Mungu ni binadamu kama binadamu wengine
@petergoyandi5699
5 күн бұрын
Rudi shule kwanza umjue yesu mana naona. Unamjua yesu kipengele tu ila humjui
Tangu Yesu alisema mimi niko alikuwa amejitambulisha yeye ni MUNGU Rudi kwa Musa alipomuuliza MUNGU wakiniuliza huyo aliyekutuma ututoe misri ni nani? MUNGU akasema waambie mimi NIKO ambaye NIKO amenituma na alipowaambia hivo hawakubisha Na sasa Yesu mwenyewe anasema kabla ya Ibrahimu mimi NIKO Hapo mwenye akili na ajue
@user-un2td1no5f
14 күн бұрын
Kabisa umenena vyema Yesu ni Mungu
Tumuombee sana ndacha Mana anajenga ufalme wa mungu
Yesu ni mungu hakika
Jamani Yesu kristo ni mwana wa Mungu aliye hai hata petro alipata ufunuo huo pale alipo uliza kwamba watu hubeba mimi ni Nan
YESU NI MUNGU🙏🏾 YESU NI BWANA🙏🏾
YESU NI MUNGU
Yesu ni mungu
Yesu si Mungu
Wasabato pia wanashabihiana na waisram maana mambo mengi ya agano la kale wanayatukuza pasina kumtukuza mwenyez mungu
@ellymakongo656
21 сағат бұрын
Hivi unaejua hivyo huyo anaefundisha hapo ni tunda la wasabato?
Siyo jambo la kubishia,Yesu ni Mungu
Hivyo yesuu si . Munguu
Yesu ni Mungu wa kweli
Yesu ni Mungu milele
Ndiyo maana sisi wasomi na watafiti wa Maandiko Tunasema Yesu ni Mungu %100 ni Mwanadamu,,Sababu za kuwa Mungu ni Katika Roho ni baba wa Milele, na Katika mwili ni mwanadamu,Ndo Kule kuchukuliana na sisi Ebrania415
Mchungaji Hao WaPo katika Giza yesu Kristo Ni mungu wakweli
Amen 🙏
Ndacha mungu akubariki
Kwani sisi ni Wana wa nani na aliyemtahili yesu ni mwana wa nani
JAMANI NAOMBA NIWAHABARISHE kidogo kuwa NDACHA ALIMALIZA DARASALA SABA TU WAKTI SULE NI PHD HOLDER .Kwahiyo NDACHA ANAONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU wakati DR.Sule anaongozwa na akili zake tu.Mubarikiwe kwa kunielewa
@evodiusbahegwa6557
16 күн бұрын
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
@evodiusbahegwa6557
16 күн бұрын
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
Yesu ni mungu mkuu tito 2-13
@swafiirbulbul819
6 күн бұрын
Dada @JoyceMonewa ... Hivyo, Mungu Mkuu aliuwawa ..!??? 🤔
Shida mlyonayo hamtaki mafundisho Ya YESU KRISTO
Yesu anasifa la mungu baba yake
Yesu ni Mungu asilimia 100 na mkristo yeyote asiye amini anamwabudu Yesu kama nani? Yesu ni Mungu.
Ndacha kapimwe akili
Very nice
5:72 QURAN
Sijui akili inakuwa imeruka au!Ati nini?
Yesu ni mugu
Kuwafundisha haitosh wawaombee wawatoe mapepo ya kislamu
Yesu ni Mungu. Je Yesu kazaliwa na nani? Na Mariam .Mariam ni mzao wa nani .Wa Adam na Hawa .Adam na Hawa wa hawa wameumbwa na Mungu. Ina maana Mungu kaumba binadamu aliyemzaa Maria halafu Maria tena azae Mungu!!!!! Jamani mbona mnajichanganya? Yesu si Mungu ni mtume wa 24 wa Mungu Mungu hana dini na si Mkatoliki na si Myahudi
Mzee wa upako , chukua hiyo itakusaidia kuwa Yesu ni Mungu
@solomoneglesias9752
13 күн бұрын
Mzee wa mtako ni poromota tu🤣🤣
Mtumishi karibu sabato uje ubiri injili ndyo mala sahii
Mungu kala mikate kamamimi? Hahaha
Hapo hawapataki swal je Ni wafuasi Wa Kristo kwel?
YESU SIO MUNGU YOHANA 17:3 NA 8:40 YOHANA
Yesu ni MUNGU
YESU NI MUNGU MKUU, MAANDIKO YANASEMA
Jesus Cristo é verdadeiro Deus
Sasa Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani hapo???
Upuuzi
❤
Sule ni Dk wa uganga na majini,
UKISEMA YESU NI MUNGU SOMA 5:72 QURAN AU 17; 3 YOHANA. ACHENI KUKUFURU MUNGU HAWEZI KUZALIWA
Haiwezekani Mungu aumbe binadamu akiwemo Maria halafu Maria tena amzae Mungu huyo huyo. Watu wanapiga tu makelele na kushindwa kuchambua vitu vilivyo wazi kabisa
Sasa mungu anazaliwa huo so wazimu?
Awakupe wa roho yamungu bali yamasheteni hao waslm.
Ndacha10 sule 1
Yesu ni mwana wa Muñgu
@swafiirbulbul819
6 күн бұрын
😂 ... Jitahidini Mumalize Tofauti zenu .. Mnatuvuruga, YESU ni Mungu au Ni Mwana wa Mungu..!??
eeh!!Ndacha wewe ni moto wa waisilamu
Yesu sio mungu mana mungu anajua yote na jesu aliwahi kuulizwa siku ya kiama (mark 13.32)inasema:The Day and Hour Unknown - “But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.......mana yake iyo siku hakuna anae ijuwa hata malaika ao yeye yesu isipokua mungu tu......sasa atakuaje mungu wakati hajuwi kiama kitakua lini?
@mosesoduor221
16 күн бұрын
AKIWA KATIKA NAFSI YA KIBINADAMU
@asifiwempagama27
15 күн бұрын
Umepewa Dalili za cku ya mwisho, Mathayo 24. Ujisomee andiko hilo.
@asifiwempagama27
15 күн бұрын
Sura nzima
@yusubila3557
6 күн бұрын
#Numbers23.19....mungu sio mtu.
@yusubila3557
6 күн бұрын
Dalili nakujuwa nibitu biwili tofauti kabisa......mungu inabidi ajuwe tu yote.
Yesu sio mungu bali nimwana wa mungu ila alicho beba ndani ni roho wa mungu ndani yake alijifika ndani ya mwili wa yesu kwaiyo mungu ni mungu na yesu ni yesu ndo maana tunapo amba tunasema baba ni mungu mwana niyesu na roho mtakatifu niroho pia mfano wamalaika
@petromachanga5538
17 күн бұрын
Yaani wewe
@mustafamsati9599
16 күн бұрын
Wakristo mpomafungu mangapi?
@user-un2td1no5f
14 күн бұрын
Yaani wewe ndio umechanganyikiwa kuliko huyo sule huyajui maandiko hata moja achana na mambo ya kihoro sio yako
@AmerdaKavishe-pu3cf
14 күн бұрын
@@user-un2td1no5f yesu sio mungu bali ni mwana wa mungu nimtume tusichanganyane kwanza tuache ubabaishaji wa siasa uwezi tafuta kiwanja nakuitana nakufanya siasa za dini eti dini yaukweli nauwongo akuna dini yakweli wala dini ya uwongo ila lipo neno la mungu nalo niuzima mungu atutambui kwa dini bali kwakweli nayo kweli inapatikana kwenye uzima maana uzima ndio ulio beba mnavyo pingana uwa sioni tafauti nawachezaji wa mpira au kipindi cha kampeni au mbio za mwenge uwa najisikia vibaya sana anae abudu shetani au malaika au roho mtakatifu niimani yake wewe ninani tuache mungu atumike nawatu wake shetani niwa mungu malaika niwa mungu roho mtakatifu niwa mungu kwainyo vyote vipo mikononi mwake ukiona mwisila afai chukua jembe kalime ukiona mkristo afai chukua jembe mkalime inatosha kusiyakiana inauma inatia asira inakatisha tamaa
@user-fk2vs6kk8u
8 күн бұрын
Wote ni Mungu mmoja
😂😂Ama kweli aliyewaroga wakiristo amekufa kitambo eti yesu ni mungu!!! Ukosefu wa akili.
@sefaniaslyvestertv1498
18 күн бұрын
Andiko gani Yesu si Mungu
@mwinyijuma2686
18 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 Naenda kwa Baba yangu ambae ni Baba yenu na kwa Mungu wangu ambae ni mungu wenu.
@mwinyijuma2686
18 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 Naona mnanitafuta kuniua mimi MTU.
@mosesoduor221
16 күн бұрын
WEWE UNAMUAMBIA MUHAMAD NI MTUME, WEWE YUNA AKILI PUNGUANI
@user-wr1el4ep2b
15 күн бұрын
Wewe ndo umekosa akili
Na mungu ni nani sasa
@mwaikoleernest3411
13 күн бұрын
Mungu ni Neno Yoh 1:1-2 na Neno ni Roho hivyo Neno alipotaka kuja huku duniani ili aonekane mana ni roho ikabidi neno avae mwili ilia ampate mwnadamu Yoh 1:12
@miltonjohn9779
12 күн бұрын
Hadi wewe mkeisto unauliza swali la kitoto hivyo, loo! Makubwa
Kama yesu mungu kwanini wakati anasulubiwa alisema ELOI eloi lamasabaktan yaan mungu wangu mungu wangu mbona unaniacha
@0badiaMwasongwe-rt1wr
18 күн бұрын
Kwanza elewa alifanyikaa mwili kwa kufanyikaa mwili uungu wake aliuacha mbinguni ndomaana wakati anapaa akasema Baba kazi ulionipa nimeifanyaa niludishie utukufu wangu niliokuwa nao kabla ya ulimwengu kuwepo. Sasa jiulize kablda ya ulimwengu kuwepo huko mbinguni alikuwa naniii???? Shidaa mnamuangalia yesu alipofanyikaa mwanadam jee kabla hajawa mwanadam huko mbinguni alikuwa naniii??
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wrNyinyi mnashangaza na kuchekesha kwa kujitungia yenu wenyewe na kudanganyana. Hivi hujasoma Yesu akisema baba mbona unaniacha au wasamehe hawajui watendalo na alisema msiniabudu mimi wala masanamu muabuduni Mungu baba yangu. Mwana wa Mungu wote sisi ni wana wa Mungu lakini Waislam katika Kur ani imeandikwa Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mfanowe katika sura ya Ikhlas. Mungu wa Judaism ambayo ni dini ya Wayahudi ni Yehova ambao hawakumkubali Yesu.Haya ni mambo ya Shakahola tu. Ni kweli Yesu aliomba kwa Mungu kucha ikiwa na maana yeye si Mungu. Mungu ni mmoja tu kwa kila dini wengi hawaelewi maana ya Allah ambapo ni neno tu la kiarabu Mungu ni mmoja tu waislam wanaamini. Uongo wa Shakahola watu wanauleta mitandaoni
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Imeandikws Yesu alisema msiniabudu mimi binadamu wala masanamu muabuduni Mungu baba yangu hiyo ndio hoja ya kila kitu Hata siku moja hakusema yeye ni Mungu siku zote alizungumzia kuhusu Mungu baba yake. Sasa watu wanapotosha tu.Allah ni kugoogle tu uelewe maana yake. Mungu kwa kiarabu ni Allah ambae ni mmoja tu hakuzaa hakuzaliwa. Hivi jata huyu muhubiri nae haelewi maana ya Allah. Ni uongo tu umejaa kwa huyu muhubiri .Mungu ambae ni mmoja tu ndio aliumba vyote na si yesu.
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Muhubiri hebu tafuta katika biblia yenu Yesu aliposema msiniabudu mimi wala masanamu kwani mimi ni binadamu muabuduni Mungu baba yangu. Na mengi tu kuielezea kwamba yeye si Mungu mwana wa Mungu . Na huo umwana wa Mungu ni wa kila kiumbe cha Mungu. Mchungaji hajasikia mapadri wakisema Mungu baba. Na sijui muhibiri yeye ni mwana wa Shetani au wa nani
@hashimchaoga9566
17 күн бұрын
Ndasha bora tu uenda ukahubiri Shakahola
Mwenyewe alisema msiniabudu mimi au masanamu kwani mimi ni binadamu muabuduni Mungu baba yangu. Je nani tena haelewi na kubadili ya kwake binafsi? Bado kasema baba mbona unaniacha? Wasamehe hawajui watendalo n.k Mungu awe myahudi?!??
@sefaniaslyvestertv1498
18 күн бұрын
Wapi kasema asiabudiwe
@user-fq9dd4mu6y
18 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 kwahyo Ww kumuabudu yesu unaona Ni Sawa kabisa
@jescahakhonya9986
17 күн бұрын
Yesu ni mungu ubarikiwe sana pastor
@hashimchaoga9566
16 күн бұрын
@@sefaniaslyvestertv1498 soma biblia mwenyewe na kuielewa usisomewe na kupotoshwa
@hashimchaoga9566
16 күн бұрын
Yesu ni Myahudi na ni binadamu msitunge yakwenu. Mungu hawezi kua muahudi. Na elewa kuna dini nyingi tu zinamuabudu Mungu mmoja tu na si Yesu wa wakristo hata Wayahudi hawamkubali
Ndacha MUNGU
Me naona mchugaji uko sawa ila hao wabishi sana
Unachokataa ni hivi yesu ni ma Mungu mgu sikio mfupa vote nimwili
Kama Yesu ni Mungu nani ni Kristo? Yesu akasema mwapotea kwa kutoyajua maandiko wala uweza wa Mungu. Mathayo 22:29 Yesu kama ni Mungu ni kwa nini alipakwa mafuta ? Isaya 61:1-2, Luka 4:14-21 Tatizo kubwa hapa ni tafSiri lakini Neno liko dhahiri Hakuna msamiati
Nyinyi amuna ilimu yasu ni mungu nani kasema
Hata katika.dunia hii mtoto.wa mfalme.anakuwa mfalme tunahitaji.walimu.wasomi.wenye.hofu ya Mungu na loho.mtakatifu haaa kumbe Mungu alivomtuma.yesu.waislamu.walivomkataa anawaombea yy.kama yeye kwa yesu ma'ana yesu ndo amepewa mamlaka waislamiki.achana na mambo ya din
❤