MCH: NDACHA :ETI? MUHAMMED SI MTUME WA MUNGU!

Музыка

Je kuna ukweli juu ya hili? kwako mpendwa mtazamaji

Пікірлер: 138

  • @SYLIVESTERKAWONGA
    @SYLIVESTERKAWONGA3 күн бұрын

    nakukubali sana ndacha , umenifanya nipate nguvu kumtumikia Mungu, Mungu akupe nguvu zaidi nipo Tz nakupa mwalimu

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis17 сағат бұрын

    Ndacha mungu akubaliki sana amina

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65334 күн бұрын

    Mohamed hafai kabisa alikufa yesu ako hai hata waleo

  • @ibrahimmussa7478

    @ibrahimmussa7478

    2 күн бұрын

    Sio nyie mnaesema Yesu amekufa kwa dhambi zenu.

  • @jonasdaniel1025

    @jonasdaniel1025

    Күн бұрын

    Hadi na zakwako pia,, Kama utamkubari hata sass​@@ibrahimmussa7478

  • @abdulrazack9577

    @abdulrazack9577

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @tbm7tv257

    @tbm7tv257

    22 сағат бұрын

    Umepagawa na mapepo, ndo mana unasema hivyo. Maishani mwako unafata mafundisho ya mtume Muhammad ila hujijui maskini.

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    13 сағат бұрын

    QURANI 52:31. SEMA : " Ngojeni , Na Mimi Pia ni Pamoja Nanyi katika Wangojeao . ( Sifi mimi tu Peke yangu, Na Nyinyi Mtakufa Vile vile ,🙏🙏🙏 --- 🤣🤣🤣

  • @Bennymwangaza
    @Bennymwangaza4 күн бұрын

    Ndachaaaaa🎉🎉

  • @Bennymwangaza
    @Bennymwangaza4 күн бұрын

    Thanks Gospel Corner ☺️

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837Күн бұрын

    Ndiyo kama mtume Muhammad alirogwa hilo linakushangaza vipi kuhusu Mungu wenu aliekamatwa na kudhalilishwa, Kisha akauwawa lipi kubwa

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    17 сағат бұрын

    Kafufuka ila Muhammad karogwa kafa mpaka Leo hii Yuko kaburini

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga83842 күн бұрын

    Sio lazima uamini,tukiamin sisi waisalaam inatosha.

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk16 сағат бұрын

    Huawezi Jua mutu na hauya musoma. Ata ukatale mtume wetu, Sisi tuna mupenda sana. Sasa mbona una mfata na haujuwe?

  • @canamass5205
    @canamass520517 сағат бұрын

    Kweli kabisa💯

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511Күн бұрын

    Uyu ndie mwalimu Bora sasaivi Africa nadunia nzima ILO Alina ubishi kbs

  • @tbm7tv257

    @tbm7tv257

    22 сағат бұрын

    Kitabu cha methali 8:22 anasingiza maneno ya Yesu, soma wewe sasa methali 1:1 halafu useme je Pastor ndacha yuko sahihi au kakosea.

  • @111dudi
    @111dudiКүн бұрын

    Asome John 14:06, John 10:30-31, John 16:12-14, John 14:16, John 15:26,Corinthians 6:19-20,Acts 2:38 ,

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n3 күн бұрын

    Kweli kabsaaa ndacha nakukubalia

  • @Pablolookman
    @PablolookmanКүн бұрын

    Ambae hajapita shule ndio atakutana Mungu akiridhia mtihani ukupate ni manabii wangi walipitia kutoka Kwa wana damu iliupate Ili ya dini lazima usome waliopita kabla Yesu na Muhammad hata Yesualikimbilia misri Kwa kuogopa Cha ngamoto

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131Күн бұрын

    Hicho kitabu kitaje nausome Aya mwanzo sio uokota maneno ya kutengeneza

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w7 сағат бұрын

    Mwanadamu aliye na roho chafu na matusi kinywani unaweza elewa baba yao ni nani,jijazieni.😢

  • @salimobeid1470
    @salimobeid147023 сағат бұрын

    We ndacha ndo mtume wa mungu kama Mtume Muhammad SAW sie

  • @AbubakarRidhwan
    @AbubakarRidhwan2 күн бұрын

    Yesu hakufundisha Kwa Kiswahili Ndacha ni Mkikuyu atafuta Pesa tu

  • @moshantoj

    @moshantoj

    2 күн бұрын

    Unafikiria Yesu ni kama Allah wako ambaye hana uwezo wa kuelewa lugha nyinginezo? 😂😂😂

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    Sasa wewe waelewa kiarabu???Kama unaelewa pigia CHRISTIAN PRINCE kwa youtube mfanye debate kwa kiarabu

  • @McharoMshana-x6p
    @McharoMshana-x6p16 сағат бұрын

    Asant ndacha

  • @111dudi
    @111dudiКүн бұрын

    Wewe Ndacha acha ujanja kupotosha watu, mtume kurogwa kuna ajabu gani? mitume wangapi walipata mitihani? Umesahau kama mungu alimwambia mtume kuwa " sema mimi ni mtu kama nyinyi, tofauti ni kwamba mimi napata wahyi (ufunuo) ".Ndacha kasome kwanza kabla kujasema

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    😂😂😂😂sasa ukifanya mtiani alafu uanguke ni wapi katika hii dunia unaweza kukubalika? Kazi ya mtiani ni ya nini katika maisha?? Dakitari wa upasuaji anaweza anguka mtiani alafu bado aruhusiwe akuwe daktari na kama hawezi mtume anaweza anguka aje mtiani na bado akuwe mtume?

  • @user-pg6kv2nd3n
    @user-pg6kv2nd3n17 сағат бұрын

    Huyu jamaa kweli shetani alitaga na kutotoa ndani ya damu yake.hana anachofanya ila ni kwa idhini ya shetani.

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk2 күн бұрын

    Jikaze ukuwe muislamu, haezi juwa sema kuhisu uislamu na hauyakuwa naelimu.

  • @khambhai360
    @khambhai3602 күн бұрын

    Unashamgaa kurogwa mbona yesu alijaribiwa sana.Hata kurogwa ni kujaribiwa.

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    Toa andiko moja shetani alimjaribu na akashinda

  • @khambhai360

    @khambhai360

    16 сағат бұрын

    @@JeymanDuchman Hata Muhammad alirogwa lakini hakudhurika.

  • @CLIVEMNYASA
    @CLIVEMNYASA2 күн бұрын

    Amen Amen

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow6 сағат бұрын

    NDACHA UKO SAHIHI WAISILAMU Wanaabudu shetani sio MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI ndiomaana wanapenda fujo kuuwa

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu35613 күн бұрын

    hakuna muislamu anae kasirika kusikia Muhammad karogwa, mtu mbaya niyule anae fanya ubaya sio anae fanyiwa

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w7 сағат бұрын

    Ukitaka kujua zaidi kuhusu dini takatifu ya uislamu angalia christian prince videos on KZread, Nabi Asli animations on KZread.

  • @IbrahimuKalota
    @IbrahimuKalota3 күн бұрын

    Soma qur'an sura ya 48 aya 29 Inasema محمد رسول الله muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu Kwa mujibu wa qur'an muhammadi ni mtume wa mungu Tunafata qur'an na sio hisia za watu

  • @user-it7ih1it3m

    @user-it7ih1it3m

    2 күн бұрын

    Koran iliandikwa na nani??? Hapo ndo tatizo linapokuja Maana vitabu vya biblia vilishushwa kutoka mbinguni ikiwemo torati ya musa sasa koran ilitoka wapi😂😂😂😂

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    Күн бұрын

    @@user-it7ih1it3m Acha Uongo TORATI Amepewa Juu ya MLIMA SINAI 🙏🙏🙏

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    Mitume wote wanatoka kwa nyumba ya israel. Mungu alisema wala akisema habadiliki. Mohamed anatoka nyumba ya ishimilites. Mungu anaweza kwenda aje kinyume na maneno yake. Waisrael wote walikuwa watu weusi sio wazungu. Warabu siku hizi wote ni mbegu ya idomites ama wazungu

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    13 сағат бұрын

    @@user-it7ih1it3m QURANI 80 : 11 - 16 Sivyo! Hakika ( QURANI ) Hii ni Nasaha ( MAWAIDHA ) 12 Basi Kila Apendaye Atawadhika ( Asiyetaka basi - Muachilie Mbali ) 13 ( MAWAIDHA HAYA YANATOKA )?Katika KURASA Zikizohishimiwa ) 14 ZILIZO TUKUZWA , ZILIZO TAKASWA 15 Zilizomo MIKONONI Mwa ( MALAIKA ) Waandishi wa ( Mwenyezi MUNGU ) 16 WATUKUFU, WACHA MUNGU , 🙏🙏🙏 --- 😜😜😜😄😄😄😄

  • @YassinSauka
    @YassinSauka2 күн бұрын

    Mbona kuhojiana nao unashindwa vibaya sana waislam washinda kilamara

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru64024 күн бұрын

    Yaan jamaa anashangaa mtume mohammed kurogwa alafu na anashindwa kushangaa mungu wake aliyesurubiwa na kutundikwa msarabani

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    4 күн бұрын

    Muhammad ni fake prophet wa waarabu.yesu sio mungu ni mWana wa mungu.soma bibilia

  • @ashrafnuru6402

    @ashrafnuru6402

    3 күн бұрын

    @JamesMoses-jd1yq sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli inamaanisha nini? Alaf na mimi Nitolee andiko kwenye Quran Mohammed aseme nimetumwa kwa waarabu tu, kazi kujipendekeza kwa yesu wakati yeye hawatambui nyinyi wala nguruwe, nyamafu,walevi , mnaozini miaka nenda rudi alaf baadae utasikia tunabariki ndoa, kanisani vimini tu, alaf ety hiyo dini ya mungu duh

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    ​@@ashrafnuru6402Hujui lolote zaidi ya kubumba bumba maandiko,kama Yesu hakutumwa kwa walimwengu wote kwanini mnasema alikuwa mwislam wakati wayahudi siyo waislam,kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtuma mwenawe wa pekee ili kila mtu asipotee Yohana 3:16.Yesu na Isa ni watu wawili tofauti

  • @user-dt5wp5qo4n

    @user-dt5wp5qo4n

    3 күн бұрын

    Kurogwa ndo mbaya kabsaa,mungu awonyeshe njia ya haki

  • @desirengenerwasobanuka9015

    @desirengenerwasobanuka9015

    2 күн бұрын

    Yaani sijawahi ona mutume feki tena mwongo kama Muhammad.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837Күн бұрын

    Ndacha wewe si wa mwanzo kuwakataa mitume hivyo sisi waislamu haitushughulishi hiyo

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    Mitume wote halisi wametokea kwa nyumba ya jacob ama israel ambao walikuwa watu weusi. Sasa wewe unakubali kuwa mtume wako alikuwa ni mtu mweusi?

  • @AbubakarRidhwan
    @AbubakarRidhwan2 күн бұрын

    Yesu alikua hajui Kiswahili sasa km wewe ni Mkweli tuletee Kitabu cha Yesu Kwa lugha yake

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    17 сағат бұрын

    Yesu kristo alikua najua Kila lugha

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ldКүн бұрын

    Ndacha usichanganye watu sema umelipwa kufanya hiyo KAZI maana huna hoja zaidi ya ushindani😊

  • @jonasdaniel1025

    @jonasdaniel1025

    Күн бұрын

    Nenda nawewe ukalipwe iliuifanye kazi unayo ijua wewe

  • @AbubakarRidhwan
    @AbubakarRidhwan2 күн бұрын

    Km Yesu Yuko hai mbona hakulinda Kitabu chake

  • @DaboChani
    @DaboChaniКүн бұрын

    Hakuna mwesilamu anaekata km mtume Harongwa sawa usiseme unafik ww kafir

  • @rizikiyahya5254
    @rizikiyahya52542 күн бұрын

    Hivi huyu jamaa ni kweli anaamini anachokisema toka moyoni au kuna vitu anaficha? Nikimuangalia nashindwa kuamini kuwa kweli ufahamu wake unaishia hapo

  • @zuhraall02

    @zuhraall02

    14 сағат бұрын

    ITAKUA VIXUR ZAIDI UMFATILIE KWA UKARIBU NAUHAKIKISHE KILA ANACHOKIZUNGUMZA KIMEANDIKWA WAPI NA DHAMIRI ZA MWANDISHI NI ZIPO..HAPO UTAPATA UHAKIKA.WA KUA NI MKWELI AU ANAONGOPA.

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuКүн бұрын

    Weeee hio akili yako baki nayo n ujinga mwingii ulionao mtume mwache hivyo kama humtambui usimchafue kama humwamini ,,,,Tena hicho kitabi baki nacho mwenyewe n sulle ndo wenyewe mambo y kichawi

  • @AHMEDMNEMO
    @AHMEDMNEMO12 сағат бұрын

    Unaonekana Bado mchanga wa elimu , pata muda u some zaidi,usipendelee kamera kabla hoja zako zikiwa hazina mashiko

  • @basilejuma
    @basilejuma3 күн бұрын

    Ndacha hoyeeee

  • @clewis520
    @clewis520Күн бұрын

    … Kwa nini waislamu wanahabudu mawe meusi huko makkah?

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    Күн бұрын

    Wewe umeyaona naje umesoma wapi tupe ushahidi wahayo mawe

  • @clewis520

    @clewis520

    Күн бұрын

    @@abubakarimussa9131 … Pilgrimage to Meccah is to Kiss black stones.

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    Күн бұрын

    Acha story za Google njoo tukusomeshe

  • @ChemmbayaAbdul
    @ChemmbayaAbdul15 сағат бұрын

    Hakuna Muislamu aliesoma kuraani na asijuwe kisa Mtume muhammadi kurogwa. Kwa sababu Muhammadi ni Binadamu kama Mimi na wewe. hivyo kurogwa siyo jambo geni kwa umati huu.

  • @hubahonlinetz2071
    @hubahonlinetz2071Күн бұрын

    Ndacha unashangaaa kurogwa? Mbona yesu alichezewa na shetani ?

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati95992 күн бұрын

    Waacheni wakristo wajifarij kwa kumfuata mlumi poul et ni nabii musishangae kumlaani Mohammad wakristo wanamlaani hata nabii Ibrahim baba wa imani wanamwita mzinifu kisa alioa wake watatu musiwa sumbue wakristo jamani wapo na munguwao tofaut kabisaa

  • @lenardkenedy542

    @lenardkenedy542

    2 күн бұрын

    Uwe na Hoja Ili useonekane Unalalamika

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk2 күн бұрын

    Hauna elimu . Hâta ndani ya biblia hâta ndani ya Quran . Jikaze usome aca kuwa na danganya watu.

  • @MohamedAmede-p5w
    @MohamedAmede-p5w3 күн бұрын

    Ww kma ni mchungaj na msom niambie mtume yupi ambaye hajapewa mitihani au majaribu pia nitajie mtume hata mmoja alietoka bara la ulaya

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    Muhammad hakupewa mtihani wowote zaidi ya tamaa zake za kitaka utume wa kulazimisha.Mitume na manabii walitoka kwa wayahudi siyo waarabu na maisha machafu ya Muhammad na uuaji wake ndiyo maana tunamkataa kwamba hana sifa za utume

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    2 күн бұрын

    ​@@FridayMwassamwamposa vipi unamkubalu maana na yeye ni mtume halafu Muhammad alikufa,jee mwamposa na wewe mtaruka kifo ruka basi nitakuona Kama nawewe ni jabali

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Күн бұрын

    @@hassanjuma2772 Maisha yake yanaweza kumthibitisha kwamba ni mtume au magumashi

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    Күн бұрын

    ​@@FridayMwassaHebu tuambie mtume gani ambae una muamini wewe

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ldКүн бұрын

    Unaushindani huna hoja

  • @Dearm-ome2in1huba
    @Dearm-ome2in1huba7 сағат бұрын

    People like this, don't debate with them because they don't know how to read the Quran, they didn't recite it, this one knows the truth, but if he accepts Islam, he will lack money, there are people who pay him

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga83842 күн бұрын

    Ndacha bado tope halijakutoa kichwani.

  • @moshantoj

    @moshantoj

    2 күн бұрын

    Tope gani... mbona una ujinga kama ya mtume wako?

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapaneКүн бұрын

    Hivi NDACHA Nikuulize Swali , MUHAMMAD Kurugwa na MUNGU wenu YESU Amesilibiwa na kuuwawa na Aliyewaumba ,Lipi Kubwa ZAIDI ? AU Lipi BAYA ZAIDI ???

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n3 күн бұрын

    Ndugu zangu waesilamu kwanini nyinyi comment zenu nimatusi nakejeli

  • @user-fu6fx8if6w

    @user-fu6fx8if6w

    7 сағат бұрын

    Kila mtu huonekana Kwa matunda yake,tuwaombee tu.

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapaneКүн бұрын

    Yesu Anasema MATHAYO 11:29 Jitieni Nira yangu, Na Mjifunze Kwangu kwa kuwa Mimi ni Mpole na Mnyenyekevu wa MOYO , Sasa NDACHA wewe Humfuati YESU wewe Unamfuata PAULO , MARKO 7:6-9 🤣🤣🤣😹😹😹

  • @mwinyijuma2686
    @mwinyijuma26862 күн бұрын

    Kwangu sishangai kusikia hivyo kutoka kwa ndacha sababu hana elimu ya kuelewa bibilia au Quran.Huyu ni mshindani tuu kwa mfano je hivi huyo yesu alikubaliwa na mayahudi kuwa ni mtume? Kama ndio mbona walitaka kumuua haswa sababu nini? Mungu pekee ndie anaechaguwa mitume Wala sio Paulo aliyejichaguwa mwenyewe.

  • @MohamedAmede-p5w
    @MohamedAmede-p5w3 күн бұрын

    Alafu mafundisho ya kigen hiyo bibria imeandikwa kwa lugha gan na ni lagha ya nchi gani kasome kwanza historia ya madhehebu tumia akili yako uliosoma ndio ujue kufundisha

  • @user-yk9hx9jg8o
    @user-yk9hx9jg8oКүн бұрын

    Quran hilitoka wapi

  • @abuhaniyaruqya
    @abuhaniyaruqya2 күн бұрын

    Hakuna mtuu atasema hivo kwa sababu tumefundishwa kutoka udogo ya kwamba mtume muhammad alieogwa hii sio geni kwetu sisi tunaifahamu ni wewe ndio unajua sasa mambo hayo

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapaneКүн бұрын

    Nikuulize tena WEWE Unavikataa VITABU Vilivyoandikwa na WAKRISTO Lakini Unanishangaza sana MBONA Wewe Hutumii QURANI Katika kupinga Hoja za UISLAMU Badala yake Muda Mwingi Unasoma VITABU Vya vilivyo Mawazo ya WANADAMU ???

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6rКүн бұрын

    Waislam yani hakuna hata mmoja anaweza debate na Ndacha kuhusu anayoongea?

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    Күн бұрын

    Fatilia midahalo yake yote kachemka

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    Күн бұрын

    Tatizo lenu mnakua mshachagua upande kama wewe anasema kuhusu mtume karogwa kuna ajabu gani wakati yeye ni mwana adamu na kila linalo mtokea yeye ni fundisho kwetu sisi, ni jambo linalo ingia akilini; sasa wewe jee inaingia akilini Mungu wako kukamatwa na wana adamu kupigwa misumari mbaka akafa. Sasa itakua uyo Mungu jamn hebu kueni serious jamani

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    Күн бұрын

    @@MohamedAhmada-ie7ke Mbona unajishuku na kusema vitu ambavyo sijasema.Ni kweli kawaida ya mtu muoga hukimbia hata kabla hajakimbizwa.Nimeuliza kama Kuna muislamu anaweza debate na Ndacha,wewe Unaleta mambo ambayo hayana uhusiano wowote na swali langu😂

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843Күн бұрын

    Mimi napenda ukristo shida ushoga wakristo mnautetea ushoga na mpaka Sasa mmeurusu na mmeuararisha toka enzi za serekali ya kirumi iliruusu ushoga

  • @peterrulagora7403

    @peterrulagora7403

    Күн бұрын

    Ukristo hausapoti ushoga sabb ni dhambi bali nchi za wazungu ndio wanasapoti,hata ukristo umewashinda

  • @user-fu6fx8if6w

    @user-fu6fx8if6w

    7 сағат бұрын

    Biblia inapinga ushoga imeandikwa ndani ya biblia ushoga ni chukizo mbele ya Mungu wetu.

  • @user-sm1zu2mo4b
    @user-sm1zu2mo4b2 күн бұрын

    Nikweli mtume Muhammad alilogwa ndo ijulikane yule ni binaadamu wa kawaidatu ila yesu mnaemfanya mungu anapigwa na alie waumba nyie mnasoma kweli?

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    Күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014Күн бұрын

    ndacha hakuna shehe au mwalimu yeyote wa kiislam ambae hakubaliani na suala la kurogwa kwa mtume muhamad na tiba yake ipo ktk qur an hiyo hiyo lakini wewe moyo wako tayari ulishapigwa muhuri hata iweje na wala usijidanganye kabisa labda ubadili aliekua hakuwahi kusoma kabisa na kama ni msomi labda wa kutengeneza hivyo ibaki tu nyie na dini yenu nasi na dini yetu mungu atahukumu mwisho

  • @JeymanDuchman

    @JeymanDuchman

    Күн бұрын

    Ni nani mwingine alirogwa katika mitume wote

  • @athumaniathanac4714
    @athumaniathanac47143 күн бұрын

    Apo kwa ndacha amna elim .. kashazoea maandamano hana akili ata kdog uyo

  • @daudmtoba191

    @daudmtoba191

    2 күн бұрын

    Wewe ndo huna hakili unamfuata mtu ambae yupo kabrini

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    Күн бұрын

    ​@@daudmtoba191kwani mathayo yuko hai eeh

  • @daudmtoba191

    @daudmtoba191

    Күн бұрын

    @@MohamedAhmada-ie7ke Ana ubili kwa mifano

  • @daudmtoba191

    @daudmtoba191

    Күн бұрын

    @@MohamedAhmada-ie7ke Mathayo 13:9-11 (KJV) Mwenye masikio na asikie. Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano? Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai46514 күн бұрын

    Ama kamutu ata nikama hana elimu sababu huezi fananisha bibilia na Quran

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    4 күн бұрын

    ni kweli bro maanake quran ni ya waarabu

  • @IgnacioAndrew-rj8pd
    @IgnacioAndrew-rj8pd3 күн бұрын

    Kwaní mpinga kristo ni nani

  • @charlesboniphace2249

    @charlesboniphace2249

    3 күн бұрын

    Shetani na mtume wake

  • @JojoSrena
    @JojoSrena3 күн бұрын

    Ukitaka kujuwa Comment za waislam huwa ni matusi tu

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    Күн бұрын

    Koment gani Imetukana ?

  • @33salii
    @33salii9 сағат бұрын

    Yu gonna lie till grave ndacha... You are not to blame for masses transgression but they who blindly listen to your lies are like those who listened to makenzi and they are learnt it the hardway and too late.

  • @ibrahimmussa7478
    @ibrahimmussa74782 күн бұрын

    Ndacha elimu yako ndogo sana kama utakaa kwenye vyombo vya habari na kuongelea mada ya Muhammad kulongwa, Maana kwa munibu wenu alisurubiwa sasa tena na zaid ameuliwa, pia mashetani walimpa majalibio na kumpeleka baadhi ya sehemu sasa hayo huyaoni.

  • @lutuimomadebuachaquemomade2176
    @lutuimomadebuachaquemomade21764 күн бұрын

    Wewe nado mjinga ndiomana ukijisaidia utumii maji

  • @osmundmtavangu

    @osmundmtavangu

    4 күн бұрын

    Inamaana huwa unaenda nae chooni?

  • @fxair2103

    @fxair2103

    4 күн бұрын

    Hahaha atuambie kama anaendaga nae chooni

  • @user-vl1gn6xh5n

    @user-vl1gn6xh5n

    4 күн бұрын

    Acha matusi, kosowa kwa hekima

  • @japhetndoro6533

    @japhetndoro6533

    4 күн бұрын

    Maji ndio inaondoa dhambi Kila siku mnathawadha Kama huamini yesu Kristo ni mwana wa Mungu umepotea

  • @JojoSrena

    @JojoSrena

    3 күн бұрын

    Wa islam wamebarikiwa kwamatusi hawana hoja za kumutetey uyo mtume wawo ila nimatusi tu

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131Күн бұрын

    Wakristo kweli Hawana akili hakiyamungu huyu mpumbavu eti mnamuamini nakumsifu 😂😂😂 pumbavu kweli kabisa

  • @MohamedAmede-p5w
    @MohamedAmede-p5w3 күн бұрын

    Alafu mafundisho ya kigen hiyo bibria imeandikwa kwa lugha gan na ni lagha ya nchi gani kasome kwanza historia ya madhehebu tumia akili yako uliosoma ndio ujue kufundisha

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    Hiyo lugha itakusaidia nini kama ulishapotea

Келесі