MCH: NDACHA SI KILA MTU ANAFAA KUWA MCHUNGAJI
Музыка
Kazi ya Mungu ni wito na si kila mtu ana witu wa kuwa mchungaji ama askofu angalia video hii Jinsi Mchungaji ndacha anavyo elezea jinsi watu wanavyobiwa kutoka kwa watu wanaoweza kujiita wachungaji wakati kiukweli hawana wito ila wakafanya uchungaji Kama Biashara.
Kama utaguswa na ungependa kuchangia katika kuendeleza channeli hii na Kusapoti kazi ya Mungu kwa ujumla Namba yetu ni +255 757 398 269. Mungu akubariki Sana.
Пікірлер: 8
Mch ubarikiwe Kwa KAZI nzuri unayoifanya,nimemjua Mackenzie Kwa siku nyingi sana,alikua anahubiri injili ya kweli sana ila sijui alipotelea wapi,akaanza kufunga na kufa.
Mtumishi ubarikiwe wewe roho wa Mungu anakutumia ninakuombea japo mimi ni mzambi Mungu akupe afya na maisha marefu ili tumjue mungu wa kweli
Weye ni wa kwanza haufai kuwa mcungaji weye ndaca. Weye njo haufai kuwa mcungaji.
Mwalimu Ndacha Kwa hakika umetumwa na Mungu wewe si wakawaida watu watakuita Ndacha lakini jina lako litaonekana kwa wale waaminio Mwana wa Mungu na wale wapendao kweli ya Mungu yaani wasio fanyia Neno la Mungu biashara umenipanda Kwa mzingi wa kweli atakaye patana na wewe na akufaham unacho kisema ni kweli basi Ole week ule mtu Mungu amekutmia kama John the Baptist ama Elijah soma Zekeria 10:2:5 Barikiwa mtumishi wa Mungu
@salimchimwaga8384
3 күн бұрын
Kapewa kitabu gani na Mungu??
Naomba namba yako yako ya wasap
Chizi wewe msabato unadhani kudharau watu wa Sunday kutakusaidia umeshindwa na waislamu sasa unawageukia sisi we ovyo
𝑵𝒂𝒌𝒖𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒔𝒂𝒏𝒂𝒂𝒂 𝒖𝒏𝒂𝒄𝒉𝒐 𝒔𝒆𝒎𝒂🎉🎉🎉🎉 𝑳𝒂𝒌𝒏 𝒍𝒊𝒍𝒆 𝒏𝒆𝒏𝒐 𝒍𝒊𝒔𝒆𝒎𝒂𝒍𝒐 𝒖𝒔𝒊 𝒎𝒘𝒂𝒄𝒉𝒆 𝒆𝒍𝒊𝒎𝒖 𝒂𝒆𝒏𝒅𝒆 𝒛𝒂𝒌𝒆?