MCH NDACHA AKIWASHA KONGO YESU VS MUHAMMED NANI WA KWELI?

Музыка

Kati ya yesu na Muhammed ni yupi alitoka kwa Mungu?

Пікірлер: 100

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba918210 күн бұрын

    IM PROUD TO BE A CHRISTIAN AND GAVE MY LIFE TO SERVE THE LORD. THANK YOU JESUS FOR ALL YOU HAVE DONE FOR US ALL ❤️🙏🏾

  • @SasentyNtiMaWake
    @SasentyNtiMaWake15 күн бұрын

    Mungu akulinde sana .warrudishe walio potea

  • @MlalawiClemence
    @MlalawiClemence15 күн бұрын

    Ndacha ni mwalimu mkubwa sana kuwahi kutokea katika dunia hii, Mungu akubaliki sana

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    14 күн бұрын

    Kabisa

  • @tbm7tv257

    @tbm7tv257

    14 күн бұрын

    Anaewaaminisha Yesu Mungu pia, mnamuona ndo mwalimu. Wakati Yesu ni mwanadamu soma (1) Timotheo 2:5

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    14 күн бұрын

    @@tbm7tv257 tuongee uhalisia hivi ADF Ala Kaida Al shabab Abu Sayav Hesbulaa hao woteee ni zao la mafundisho ya mtume wa washetani mafundisho yaliyoletwa na muhamad ibilisi mukubwa alie laaniwa yeye majini

  • @silveriusfungilwa5995

    @silveriusfungilwa5995

    14 күн бұрын

    Kweli kabisa namkubali sana

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    14 күн бұрын

    @@tbm7tv257 we endelea kumwamini mtume wa shetani muhamad

  • @henrysizya239
    @henrysizya23911 күн бұрын

    Nimaombi yangu kwa Mungu aendelee kumjalia afya na kumuongezea maarifa mwalimu Ndacha

  • @TimoteoKajinake
    @TimoteoKajinake13 күн бұрын

    Mungu hakubariki sana tena sana. Mwalimu ndacha

  • @user-ui9ez8ye4c
    @user-ui9ez8ye4c13 күн бұрын

    Ndacha ww ni mwlimu Mwenyezi Mungu akupe afya njema saluti kwako mwalimu

  • @user-hh7pz3ey1u
    @user-hh7pz3ey1u14 күн бұрын

    Mungu Akulinde mwalim Seema Aisilam nivichwa vingum

  • @JojoSrena
    @JojoSrena15 күн бұрын

    Maneno ya mu bibilia ni matamu muno ni yakuokowa watu

  • @user-el9bd4yz2h
    @user-el9bd4yz2h10 күн бұрын

    Nakukubali sana Ndacha mungu akubaliki

  • @KizaChandja
    @KizaChandja4 күн бұрын

    ❤ Mungu ni mwema kwa wote waliyo mfata yesu

  • @fredykiluka6606
    @fredykiluka66068 күн бұрын

    Ndacha ni mtu sjawai ona kwanza yuko perfect sana

  • @user-xy1cj9wo7x
    @user-xy1cj9wo7x15 күн бұрын

    Amina

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA9 күн бұрын

    Asante Kwa elimu

  • @LaizaLaiza-oj9uw
    @LaizaLaiza-oj9uw8 күн бұрын

    Mungu akubariki sana ndacha

  • @BonifaceLameck-bx5xe
    @BonifaceLameck-bx5xe10 күн бұрын

    Waislam mikonojuu sioni au waosio wenyemwilii😂😂😂

  • @ObadiaRaphael
    @ObadiaRaphael8 күн бұрын

    Ni fereeeeeeee God bless you

  • @majamberemoses6329
    @majamberemoses632911 күн бұрын

    Amen

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch41626 күн бұрын

    Eeh BABA wa MBINGUNI fungua ufahamu wa binadamu uliopumbazwa na mungu wa dunia hii

  • @user-wr7io8lh6j
    @user-wr7io8lh6j8 күн бұрын

    Waislamu ni makafiro hao hawawezi kukuelewa mchungaji......we waache waje waone wenyewe.....

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge21483 күн бұрын

    Ndacha umeona Sasa ukadanganye wacongo baada ya kushindwa uku

  • @israelhamiskiobya903
    @israelhamiskiobya90313 күн бұрын

    Kwa sasa hakuna mwanazuoni kama Ndacha

  • @joshpraisebuzaniye2958
    @joshpraisebuzaniye29588 күн бұрын

    Kiukweli aina hii ya injili huwafanya wajue ukweli lakini haiwezi kuwafanya wajue KWELI inayookoa. Hapo wamejua ukweli na wakabaki kufyonyaa tu na hawawezi kumpokea Yesu aliye kweli.

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Kila mtu kapewa karama yake wapo watakaopeleka kwa staili tofauti na hii ROHO MTAKATIFU ndiye asadikishae moyo

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l15 күн бұрын

    Ndacha si Mwalimu, yesu Mwenyewe alituma wanafunzi wake wakafanye watu kua wanafunzi duniani

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    14 күн бұрын

    Soma vyema are hangup hata wengine baada ya wanafunzi...wengine kuwa walimu wachungaji sikiza hoja wacha wivu mjoli

  • @user-ib1yl3zp5v
    @user-ib1yl3zp5v10 күн бұрын

    Ndacha unadaganya watu aiii quran haimanishi hivyo door ama were ni muovu

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p10 күн бұрын

    Ndacha utawadanganya hao makafiri wenzako humalizi aya unazikata kata aya za quran hazisomi mpaka mwisho na maudhui yake unaweka tafsiri zako huwezi kutetea ukristo kupitia quran abadani

  • @SYLIVESTERKAWONGA
    @SYLIVESTERKAWONGA12 күн бұрын

    mpiga picha msaada wa sauti inakuwa chini sana

  • @gospelcorner1885

    @gospelcorner1885

    12 күн бұрын

    Tutalifanyia kazi video zinazofuata ahsante na endelea kutufuatilia.

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge21483 күн бұрын

    Na uwambiye vile unamwamini Allen G white kama mtu wako Mwanamke iyo usisahau uko Congo

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m15 күн бұрын

    Mpiga picha mbona huoneshi waislamu kama wamenyanyua mikono😂😂 umezingua

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata1709 күн бұрын

    Utapeli mwingi yaani unauliza swali na unajijibu mwenyewe alafu na vile wakristo wengi hawajui wala hataki kujisomea na kufuata ukweli, Acheni chuki na kukufuru na kuhubiri injili kwa hila na uongo bila ushahidi na haki na kwelli, Yesu mwenyewe hajawai kufundisha Kama hivi, wala hajawai kuwa tapeliwa Wa maandiko kama hivi. Hubirini ukweli mwenye akili timamu ataona na kuufuuta tu.

  • @user-kr9xx8br4o

    @user-kr9xx8br4o

    2 күн бұрын

    JIBU KWA KUTANGUA MAANDIKO ALIYOTUMIA KWA MAANDIKO, NA SIYO KULALAMIKA BILA KUSEMA NI ANDIKO GANI LISILO SAWA.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 күн бұрын

    @@user-kr9xx8br4o Akili zenu bado finyu, Yaani Wewe unataka maandiko wakati yeye kaweka clip ya mdahalo, Sasa maandiko yalitakiwa kujibiwa na mwislam alie kuwa anafanya nae mdahalo, Badala yake ameweka clip ya upande wenu bila kuweka clip ya majibu ya shekh kwenye mdahalo huo. Au kwenye hio clip umeona wapi mhadhiri wa kiislam Akijibu? Huu ndio uhuni walio nao, Wanaogopa kuweka majibu upande wa wawaislam wakijua mkijua ukweli mnaifuata haki ilipo.

  • @fxair2103
    @fxair210315 күн бұрын

    Hahaha mtakuwa wanakwaya

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge21483 күн бұрын

    Muhammad nimtume wa mwenyezimungu na Yesu ni Mtume wa Mungu jee kiongoz wa Sda na ni Mtume Mwanamke alitumwa na nani wambiye watu wa congo

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Muhamadi ni mtume wa mungu wa Dunia hii 2Wakorintho 4 3 Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea; 4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

  • @clewis520
    @clewis52011 күн бұрын

    … Mohammandi alioa mtoto wa miaka sita…..😢😢

  • @johnngige5794

    @johnngige5794

    10 күн бұрын

    Si hilo tu, Muhammad alioa bibi wa mtoto wake

  • @clewis520

    @clewis520

    9 күн бұрын

    @@johnngige5794 … sheyiiitaaaan kabisa

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    9 күн бұрын

    @@johnngige5794 Yakobo alipigana na MUNGU na kumshinda ndani ya biblia yenu ikoje hio? Huyo ni MUNGU feki tena wamchongo kama Kweli anapigika na viumbe wake hafai kuitwa MUNGU.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    9 күн бұрын

    @@clewis520 Biblia inasema Yesu alikuwa na wanafunzi wa wili ambao ni mashetani jee ilikuaje Yesu mwenyewe achague wanafunzi ambao ni mashetani?

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    9 күн бұрын

    @@johnngige5794 Biblia inasema kiti cha enzi cha shetani kipo kanisani kwenu au hujui hilo.

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p10 күн бұрын

    Yani ukafiri bana huyu ndacha kawaslisha hoja na sasa anatoa majibu huyo aliejibu hatukumsikia uongo huu wa ndacha ndio unazidisha imani kweli uislamu dini ya mungu anauliza maswali anajijibu mwenyewe

  • @user-kr9xx8br4o

    @user-kr9xx8br4o

    2 күн бұрын

    JIBU WEWE BASI. MAANA WENZIO WAMEKOSA MAJIBU

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    2 күн бұрын

    @@user-kr9xx8br4o hakuna hoja haina majibu wamekosa majibu ina maana hawakuzungumza hapo huo ndacha hawahubirii waislamu bali nyie kuwaliwaza tu ili kanisa lisipungue

  • @SurprisedClownfish-ks3fn
    @SurprisedClownfish-ks3fn12 күн бұрын

    Hawa wanasubiri kusema "ningelijua nigebatizwa na kuokoka "

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    9 күн бұрын

    Unabatizwa wakati YESU mnadai alikufa msalabani kwa ajili dhambi zenu za asili. Unabatizwa unaombewa bado na kanisani unaenda kufuata nini? Ubatizo asili yake ni ondoleo la dhambi vipi ukibatizwa ndoo wokovu au unasubiri hukumu ya MUNGU? Someni maandiko wenyewe.

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    ​@@abdullahmasakata170Waebrania 9 28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Waebrania 10 26 Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi; 27 bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao. 29 Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema? 31 Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Waebrania 10 25 wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 сағат бұрын

    @@CaltonMallya-zj6cp Nionyeshe wapi katika maandiko Yesu mwenyewe alipo wahi kuwabatiza watoto wadogo, watu Wazima, wanafunzi wake na wazee. Ukinipa andiko hilo nakuamini na kukufuata mwelekeo wako na dini yako.

  • @twahahamisi9924
    @twahahamisi992415 күн бұрын

    Vipande walivyo ongea waislam umeviondoa

  • @CLIVEMNYASA

    @CLIVEMNYASA

    15 күн бұрын

    zipo walizopost nzima kabisa, yani mwalimu wa kiislamu, alipotea hado huruma

  • @user-ib1yl3zp5v
    @user-ib1yl3zp5v10 күн бұрын

    Sasa munaogopa nini mbona hii clip iko upande wenu tu hamuja changanya hoja za waisilamu kama wewe nimkweli.

  • @user-kr9xx8br4o

    @user-kr9xx8br4o

    2 күн бұрын

    Kuna dalili labda hawakujibu hoja

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p12 күн бұрын

    Makafiri wanafurahi wenyewe wanavoingizwa motoni na na huyo kafiri ndacha analisha tu matango pori hapo

  • @jameskilasa759

    @jameskilasa759

    10 күн бұрын

    Uzur hoja hapo inasomwa kupitia maandiko au huna akili

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    10 күн бұрын

    @jameskilasa759 hoja gani mtu anapindisha maandiko anaweka tafsiri anavotaka yeye lete hoja yake moja nikujibu hamna majibu nabii muhammad kufa ni haki yake sisi hatumuabudu mtume muhammad ukisikia muisalamu anaabudu mtume muhammad huyo sio muislam sasa tunawaona hamjielewi mungu wenu mnamfananisha na nabii wa mungu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    10 күн бұрын

    Dah yani hizo tafsri za ndacha mtihani eti katoa ushihidi waislam wale nguruwe katika quran 😃😃 eti ndio mwalimu huyo na anafundisha kwa uongo huo utawapata hao hao wavivu wa kuabudu

  • @user-kr9xx8br4o

    @user-kr9xx8br4o

    2 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2p LUKA 16:16-17 16 Torati na manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu. 17 Lakini ni vyepesi zaidi mbingu na nchi vitoweke, kuliko itanguke nukta moja ya torati. MANABII NI KABLA YA UJIO WA YESU KRISTO, NA BAADA YA YESU HAKUJA NABII TENA.

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    9 сағат бұрын

    Kafiri ni muhamadi aliyekuja kutumika kupinga maandiko matakatifu na mungu wa Dunia (Alla)2 Wakorintho 4 4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga838415 күн бұрын

    Kwanza hiyo injili ya Yesu iko wap wewe ndacha😂

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    15 күн бұрын

    Swali gani hiyo kweli? Nyinyi wafuasi wa marehemu Muhammad mnasema mnaamini injili, taurati na zaburi. Injili, taurati na zaburi zenye mnaamini ziko wapi?

  • @CLIVEMNYASA

    @CLIVEMNYASA

    15 күн бұрын

    Inasomwa hapo alafu unauliza iko wapi? 😅😅

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    15 күн бұрын

    @@CLIVEMNYASA Hawa wafuasi wa marehemu Muhammad ni balaa kabisa. Hawajielewi hata. Ni kama majini yanawasumbua

  • @Khalidmwangwai4651

    @Khalidmwangwai4651

    13 күн бұрын

    Hee tunamfwata Mohammed kabirin sababu sisi ni umma wake

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    13 күн бұрын

    @@Khalidmwangwai4651 Kwani yeye ndiye wakwanza kuingia kaburini? Hivi yeye alifwata nani huko? Nyinyi mwamfwata marehemu kaburini katika kifo, sisi tunamfwata Yesu kristo aliye hai katika uzima wa milele

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo983712 күн бұрын

    Siamini kuona wajinga baado wafwatilia ujinga wa ndacha! Lakini kwa ajili vitabu vimesema Jusus nyakati za ujinga basi endeleeni na ujinga wenu!

  • @FabianSimkonda

    @FabianSimkonda

    10 күн бұрын

    Bwana yesu asifiweeeee

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    9 күн бұрын

    @@FabianSimkonda Asifiwe amepata msiba mpaka afiwe?

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    9 сағат бұрын

    2 Petro 2 11 Wenye ushupavu, wenye kujikinai, hawatetemeki wakiyatukana matukufu; ijapokuwa malaika ambao ni wakuu zaidi kwa uwezo na nguvu, hawaleti mashitaka mabaya juu yao mbele za Bwana. 12 Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao;

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 сағат бұрын

    @@CaltonMallya-zj6cp Kwenu hata mashetani nao wana amini Yakobo 2:19,Utaniambia nini nikuelewe. Soma Ufunuo juu ya arabuni 21,13-17.Alafu uje useme hayo maandiko mimi ndio nimeyatunga.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 сағат бұрын

    Kitabu cha Isaya

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga838415 күн бұрын

    Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya 👉 Israel. SASA NYIE WAKRISTO NI WAISRAEL??? UKISOMA QURAN HAUEEZ ONA ANDIKO ET MUHAMMAD NI WA WAARAB TU HAKUNA NA HALITOTOKEA.

  • @jpmanotaofficial639

    @jpmanotaofficial639

    15 күн бұрын

    Yesu akasema enendeni ulimwenguni pote mkahiubiri injili

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    14 күн бұрын

    Q80:1

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    11 күн бұрын

    @@jpmanotaofficial639 Yeye alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya 👉 Israel hakusema nimetumwa kwa ulimwengu wote

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Yohana 1 11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;​@@salimchimwaga8384

  • @CaltonMallya-zj6cp

    @CaltonMallya-zj6cp

    10 сағат бұрын

    Marko 16 15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Келесі