UWEZO WA NDACHA KATIKA KUJIBU MASWALI YA HAINA YA MTEGO KATISHA ZAIDI

WAISILAMU HAWAKUDHANI KAMA NDACHA NI MCHUNGU KIASI HICHI KWA MASWALI MAJIBU NA HOJA ZENYE NGUVU MUNGU AENDELEE KUMLINDA NA KUMVUSHA KATIKA YOTE #Pastor Francis Ndacha #islamic center #Dr Sulue

Пікірлер: 163

  • @charlesmwangi5834
    @charlesmwangi58346 ай бұрын

    Ndacha umepewa uwezo huo na roho mtakatifu

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65333 ай бұрын

    Waislmu haiwez hii mada

  • @user-yp3eo4up3l
    @user-yp3eo4up3l3 ай бұрын

    Tayari mchungaji ubalikiwe. Bwana yesu asifiwe.

  • @user-ct7pc9xw8e
    @user-ct7pc9xw8e6 ай бұрын

    Ndacha niko msumbiji jimbo la caboDelgado nakupenda,napenda na kazi mungu amekupa ubarkiwe

  • @esthersawiga9979
    @esthersawiga99796 ай бұрын

    Nakuombea sana Ndacha Mungu aendelee kukupa OPOLE, HEKIMA, BUSARA NA MAARIFA na kuepuka dhihaka zinazofanywa na watu hapa duniani juu ya Mungu. AMINA🙏🙏

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    Amina

  • @henrysizya239
    @henrysizya2397 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Mwalimu Ndacha! Unafaa kupewa Honorary PhD ya Theology. Kitu ambacho nimejifunza hapa Mwalimu Ndacha anawaweza kwasababu anasoma pia vitabu vyao hivyo hoja zao kwa mwalimu zinakuwa nyepesi tu.

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Uko sahii

  • @paulkamula9117

    @paulkamula9117

    Ай бұрын

    Hapa alichemshwa!!!

  • @georgeobegi3687
    @georgeobegi368723 күн бұрын

    Ndacha ubarikiwe na mungu kwa kunena neno la mungu

  • @user-nw1uk1vr2q
    @user-nw1uk1vr2q7 ай бұрын

    Ndaaaaaachaaaaaa amazing teacher!!!

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x5 ай бұрын

    Kwanza unahoja nzito hakuna anaewez kuvunja hoja zako nahakuna swali ambalo unashindwa kujibu

  • @McharoMshana-lc8zr
    @McharoMshana-lc8zr6 ай бұрын

    Wakirsto ndacha abarikiwe sana

  • @under848
    @under8487 ай бұрын

    Thats. Why they hate him for he knows the truth ndacha tufundishe kabisa

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Barikiwa

  • @user-cf6yw1rn9i
    @user-cf6yw1rn9i5 ай бұрын

    Pastor Ndacha, você é melhor, Dr. sule e Mazinge e outros nunca vão t conseguir.

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n7 ай бұрын

    Ndacha ubarikiwe wewe nimpambanaji kabisa Mungu akubariki n'a akuzidishiye baraka na elimu bora

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Amina kaka

  • @user-yr9jo9ow6j

    @user-yr9jo9ow6j

    6 ай бұрын

    Ndacha hana elimu ya kutosha anajua ukweli ila anajibu swal lisilo haitoshi mboga ende asome

  • @upendomaduhu1310

    @upendomaduhu1310

    5 ай бұрын

    ​@@user-yr9jo9ow6j😂😂😂chiz kwel ww

  • @jonathanwekesa3045

    @jonathanwekesa3045

    5 ай бұрын

    Lll😊😊

  • @abdulkalume7233

    @abdulkalume7233

    Ай бұрын

    Ndacha awache uongo wake tumechoka

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel80226 ай бұрын

    Swali rahisi sana kwa mwalimu wangu ndacha

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    asante ndugu

  • @TheodomileNdizeye
    @TheodomileNdizeye7 күн бұрын

    Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam

  • @victorgasper7563
    @victorgasper75636 ай бұрын

    ukweli ushajurikana toctor sule hana elimu ya kupambana na ndacha

  • @emmyndunge6406

    @emmyndunge6406

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    Ай бұрын

    Sule muuni kama wauni wengine tu

  • @WillyAlfred-n4t
    @WillyAlfred-n4t11 күн бұрын

    Hatari saana Waislam

  • @joabmogusu9708
    @joabmogusu970822 күн бұрын

    Mungu aendelee kukuelimisha

  • @user-xf8ge2uk5w
    @user-xf8ge2uk5w2 ай бұрын

    Hongera sana past ndacha

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5yАй бұрын

    Mdacha yesu akulinde sana

  • @user-ky1rl8mb8s
    @user-ky1rl8mb8s7 ай бұрын

    Wewe ndacha nakuerewa sana

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime22 күн бұрын

    Ndasha ni kali sana🇲🇿

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y5 ай бұрын

    Ndacha Mungu akubatiki sana mtumishi 🙏

  • @dickson1820
    @dickson18207 ай бұрын

    Hakuna siku muislamu atashinda mkristo aliye wa rohoni.

  • @raphaelmuhia8985
    @raphaelmuhia89852 ай бұрын

    Ndacha pongezi🙏

  • @ss-bw9ef
    @ss-bw9ef5 ай бұрын

    ❤ubarikiwe ndacha

  • @FranklineRioba-ek8wp
    @FranklineRioba-ek8wp5 ай бұрын

    May God bless you ndacha

  • @FrankOsward
    @FrankOsward2 ай бұрын

    Siku zote mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe,wengi wanaushamburia ukristo na Shetani ameuingilia ukristo ili kuhuaribu mungu atusaidie sana wakristo.

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y6 ай бұрын

    Ubarikie sana mtumishi ndacha

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xbАй бұрын

    Mwalimu ndacha mungo akubariki

  • @paulduke6712
    @paulduke671213 күн бұрын

    MUNGU akubariki mutumishi ndacha

  • @barakafondo8090
    @barakafondo80907 ай бұрын

    Ndacha be blessed

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Same to you

  • @masubukopita7201
    @masubukopita72016 ай бұрын

    Yesu hoyeeee

  • @user-jl8cy8nc7u
    @user-jl8cy8nc7u5 ай бұрын

    Nampenda sana huu mtu wa Mungu Hakika Mungu akutie nguvu.

  • @janepherjackson9693
    @janepherjackson96937 ай бұрын

    Pastor nimekupa kidole,bwana yesu asifiwe

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa62067 ай бұрын

    Ndacha ubarikiwe,unauhakika na unaye mtumikia,huwezi babaishwa Wala kukokotwa

  • @abuuhassani497

    @abuuhassani497

    7 ай бұрын

    Ndacha nishetani. Anaepoteza watu

  • @martoo539

    @martoo539

    2 ай бұрын

    Kumbali ukwl broo Uislam.n dini ya Mohammed fuata MUNGU ​@@abuuhassani497

  • @salimkondo3354
    @salimkondo3354Ай бұрын

    Ndacha aiseee upo vizuri saana yani daar tukupe tuu uwe professor

  • @emmyndunge6406
    @emmyndunge64066 ай бұрын

    Ndacha do mwalimu wao

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @user-nc3ho5zc2b
    @user-nc3ho5zc2b4 ай бұрын

    Ndacha ni mkamilifu kabisa katika neno la Mungu shetani hamuezi

  • @georgemwarogo9254
    @georgemwarogo92542 ай бұрын

    Ndacha MUNGU Akubariki sana

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga24347 ай бұрын

    Mlicho haribu ni kutuwekea mziki kwenye haya mawaidha, 😢😢😢 hatusikii vizuri tunasikia maneno na makelele

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb2 ай бұрын

    Mwalim ndacha ubarikiwe

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba44136 ай бұрын

    Kubishana na watu kama hawa nisawa na kubishana na Shetani anaepingana na Mungu siku zote

  • @BensonMasai-cd6fv
    @BensonMasai-cd6fv5 ай бұрын

    Pastor Ndacha ako sawa kabisa.naulliza Ndacha anashiriki kanisa gani?Please mtu anijibu

  • @daudmtoba191

    @daudmtoba191

    5 ай бұрын

    Wana matengezo

  • @humphreyhassan8197

    @humphreyhassan8197

    2 ай бұрын

    Sabato

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    Ай бұрын

    Sabato la wanamatengenezo mpendwa

  • @fumugora7596
    @fumugora75967 ай бұрын

    Alhamdullilah najivunia kuuwa Muislamu ni neema kubwa ambyo Allah amewakosesha wegne

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Allah amewakosesha....nani mbaya

  • @JosephMauki

    @JosephMauki

    7 ай бұрын

    Allah sio mungu

  • @jackienico3833

    @jackienico3833

    7 ай бұрын

    Na wewe kelele

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    ​@@hirammbugua7593😅😅Allah amemkoseasha nani? Kwahiyo unataka kuniambia huyo huyo Allah aliyekupa wewe ndo kakosesha wengine ..... hebu tusiongee upuuzi kumuhusu Mungu jamani ......

  • @DINIYAWAMASIHI.

    @DINIYAWAMASIHI.

    6 ай бұрын

    duh kwahiyo alla anaupendeleo?

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid68477 ай бұрын

    Kuruani zipo tofauti wewe!!

  • @mwatimampagama1779
    @mwatimampagama17797 ай бұрын

    Alafu mbona Awana utulivu .

  • @npiperito19
    @npiperito197 ай бұрын

    Ndacha ana jibu, bibilia inamgongano sana😮😮😮

  • @ChaburumaMkude
    @ChaburumaMkude16 күн бұрын

    Uwislamu nimzigo wamavi tu

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk9 күн бұрын

    Unayesema Qur'uan kwa kiarabh ni moja umepitwa sana na wakati. Kuna zaidi ya Qur'uan 26 tafautitafauti za kiarabu.

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa72487 ай бұрын

    Hakuna swali wa waislamu mwalimu Ndacha anawezashindwa kujibu swali nyepesi sana. Jameni bibilia ina vitabu 66 sasa utaulizaje swali kwenye vitabu hatuvitambui kama andiko rasmi ilhali Ndacha anawasomea quaran.

  • @twahahamisi9924

    @twahahamisi9924

    7 ай бұрын

    Acha uongo

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Ata Mimi nashindwa, eti pastor mkorofi, ni wao wakorofi ama ni huyo pastor Tena anajiita mkorofi???😂😂😂😂

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    7 ай бұрын

    @@hirammbugua7593 😩🤣🤣 labda alikua modi ..huyo pastor mkorofi..🤣

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis19 күн бұрын

    Waslam ni majini

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip34267 ай бұрын

    Wakatoliki na wakristo Ni vtu viwl tofaut

  • @silvamoz6299

    @silvamoz6299

    7 ай бұрын

    Uongo

  • @audifansisafari5587

    @audifansisafari5587

    5 ай бұрын

    Sema wakristu ni Wakatoliki nyiye ndiyo sielewi

  • @user-vo3ni9so7e
    @user-vo3ni9so7e6 ай бұрын

    The truth is the 2 books used the 2 different calendars. One uses Julien calendar that's 25 and the other is Gregorian calender that is eastern calender .

  • @user-ih7gv4us4u
    @user-ih7gv4us4u16 күн бұрын

    Umeulizwa tu umesoma aya gani unakuja na pressure sana

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x5 ай бұрын

    Ndacha unafichua ukweli w kuruan wakina mwaipopo tanzania waliwonea wachungaji ilala mwaipopo akikutana na wew kwa hizo hoja zako lazima akimbie

  • @user-cp6my5qq3u
    @user-cp6my5qq3u6 ай бұрын

    Mauwa ni ya kwako ndacha unatisha.

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9gАй бұрын

    Ndacha kwani kanisa lako liko wapi nije kuanzia leo mi msabato tena wa zaman sio hawa wapya

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel80226 ай бұрын

    Hiyo ni dalili ya kushindwa waislam mnapokuwa mnapiga kelele

  • @msemakweli243
    @msemakweli2436 ай бұрын

    Kwanza hakuna kitabu cha mungu usituongopee

  • @nourlaboratory
    @nourlaboratory7 ай бұрын

    Uislam ndo ulivyo yaani bila maswali ya uongo huwez jibu

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Kabisa

  • @BarazilLwezaula
    @BarazilLwezaula6 ай бұрын

    Siku zote waisalim ni wavurugaji ona wanavwo piga kelele

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    Kabisa kaka

  • @myself4128
    @myself41286 ай бұрын

    Shetani anawachezea waislamu! wanakwambia hawaamini Biblia halafu kutwa kucha wanaisoma😂😂 na Hapo ndio wanazidi Kuvurugwa sababu wanakula faida...siku ya hukumu watajikuta wana ushahidi kama wote

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @Linkythebox
    @Linkythebox7 ай бұрын

    Huyo muhuni tu

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu94987 ай бұрын

    Tatizo watunzi wa biblia ni wengi sana

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul4 күн бұрын

    Sio yesu ni nabii issa kwn nyny wkristo mungu wenu anaitwa nani? Na huyu yesu ni yupi?

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar45206 ай бұрын

    Mm niwe muislam mm huyuuu, hata mganga aniroge ninavyouchukia muislam hta dawa za mganga zitaniogopa, hta majini wanishawishi siwezi kua muislam aixeee uislam ni ⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e7 ай бұрын

    ndacha hoi kujibu swali ameshindwa kati ya 15 na 25 ipi sahihi

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Sasa nyinyi mnasoma vitabu zenye wakristo hawaamini eti ni hoja ,mpaka pastor mkorofi?? Wee unaona ni pastor alijiita hivo??????mmetunga kītabu mnaandika yesu alirogwa saabu tunasoma Quran mhmd alirogwa eti ni tit for tat,jinga za mwisho,soma vitabu tunavyokumbaliana navyo,, aaaiiii 😢😢😢😢

  • @victorgasper7563

    @victorgasper7563

    6 ай бұрын

    ww umelewa nn mbona ueleweki

  • @user-qh9ei6qi8b

    @user-qh9ei6qi8b

    6 ай бұрын

    Ndacha kajibu swali kitambo,nyie mbona kuna quran zilichomwa na hiyo yenye mwatumia pia haieleweki,quran 2:2 kuna utashi kwaio quran pia ni chenga tu😂😂😂😂😂😂

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato99096 ай бұрын

    Sasa mbona jamaa anauliza kama ugomvi, hii ndio shida ya waislam wao ni vurugu tu

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    6 ай бұрын

    afadhali umeona kaka

  • @davidkamando9630
    @davidkamando96307 ай бұрын

    Ila hao ndugu zetu hao wavaa kobasi maarifa madogo kabisa... Mwalimu ndacha anajibu... Wao takbiiiiriii!! 😅😂 Sasa sijui takbiri ya nini sijui....

  • @callennyabonyi5580

    @callennyabonyi5580

    7 ай бұрын

    Hao waislamu ni ushabiki tu😊

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    Ndo kawaida yao makelele .... hata ukiwakuta kwenye mashuhuri hadi wanaume wanakata mauno ndani ya kanzu na kucheza taarabu vidole juu ..... tuwazoee tu kiukweli wengi wao hawajaumbiwa utulivu

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics18887 ай бұрын

    Huwa nina sema siku zote. Usione watu wamekunyamazia ukazani uko salama ni vile tu hawatak kuangaika na wew. Quran yenyewe inajichanganya hiyo moja hahahaha haha Quran 2:2 zote ziko tofauti

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    BarikiwA

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti60477 ай бұрын

    Ndacha Huwa Hana hojo, kitabu anacho kikataa ndicho baadae anakitumia kujenga hoja zake

  • @LovelyComputerChip-cj4wz

    @LovelyComputerChip-cj4wz

    7 ай бұрын

    Sasa Kitabu cha mungu kinasura ya majini mungu ana uhusiano gani na majini na shetani🤣🤣

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Eeeh wakati sulle anasoma pastor mkorofi unaiona hoja ya msingi saana Hadi unachapa takbir😂😂😂😂

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    ​@@LovelyComputerChip-cj4wzwee unasema hivo na wanafuga majini,enda mombasa uone, hata Mimi hushangaa Tena shetwani alisilimishwa na mhmd na wanajivunia hiyo😂😂😂😂

  • @user-qh9ei6qi8b

    @user-qh9ei6qi8b

    6 ай бұрын

    Mbona quran yenyewe chenga😂😂😂😂😂😂

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia63067 ай бұрын

    Biblia takatifu haina kitabu kama makabayo...waka tobit...haya ni makala ya wakatoliki...si biblia.

  • @BernardMwaipopo

    @BernardMwaipopo

    7 ай бұрын

    Huu ni ukweli

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani4977 ай бұрын

    Ukristo nikupoteza mudatu

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha38537 ай бұрын

    Allahu Akbar najivuniya kuwa n'a neemah ya uislam

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    I hope hujaoa mtoto wa 6 yrs

  • @profs.a5412
    @profs.a54126 ай бұрын

    😂😂😂 utasikia Quran ni mojaaaaa

  • @user-ou5pp9yw4k
    @user-ou5pp9yw4k6 ай бұрын

    Ukiwa na uhakka na unachokiamin lazma ufurah nyie

  • @maxgerad5083
    @maxgerad50837 ай бұрын

    Hakuna haka ya malumbano hebu ubilini Mungu mmoja swala huyu dini furani na anatumia kitabu furani sizani kama lina maana sana, mmtoka kwenye kutoa mafundisho yenye tija katika jamii mmbaki kutuchanganya na mmekuwa kama wana siasa kila mtu anavutia kwake mwisho tutawaona woote wababaishaji

  • @salummbuleti6047

    @salummbuleti6047

    7 ай бұрын

    Ndugu haya Yana msingi sana ,haiwezekani mmoja aende mashariki mwengine magharibi alafu useme wanaenda sehemu moja.

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    7 ай бұрын

    Kuna maelezo yanayotubabaisha halafu hawafundishi ipasavyo ila ni mabishano tu,kwa mfano waislamu wanasema nabii issa as ndio yesu lkn wakiristo wanakataa issa na yesu ni tofauti,waislamu wanasema nabii issa amezaliwa na Mariam,wakiristo wanasema,mariamu wa kwenye biblia sie wa kwenye koran na wakitaka kuweka hoja wanatoa kwenye suratul Mariam,jee hapa tuelewe vp sisi tunaotaka kujifunza?

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Toka Kwa hii page uhubiri kikwako boss

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga24347 ай бұрын

    Uzuri tuliambiwa wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu, ivyo uislam ume yatangulia yoteeeeee, watu hata hawajielewi yani dini moja ila vitabu kibao

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    7 ай бұрын

    Samahani naomba nikuulize,mbona jina lako limekuja la kikiristo au jina ni alama tu

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    6 ай бұрын

    Huna akili Kwan waislam wao wanavitabu vingap? Au unaandika tu hata hujui unachoandika

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    😂😂😂 UISILAM UMEYATANGULIA MADINI YOTE WAKATITI QURAN IMEANDIKA HAPO MWANZO POMBE/ HAUKUWA HARAMU ALAFU MKASEMA ADAMU ALIKUWA MUISILAMU SASA KABLA YA ADAMU ALIYEKUWA MUISILAMU NA MLEVI ALIKUWA NANI ? WEWE AU?😂😂😂😂

  • @Linkythebox
    @Linkythebox7 ай бұрын

    Huyo kijana ndacha hajui kujibu hujajibu hilo swali mbona unazungusha tu

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Hawezi jibu utakavyo anajibu kulingana na hoja.

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    7 ай бұрын

    Hasa si anajibu kutumia vitabu. 🤣🤣 ama wamngoja profesa na dokta ..wa kuuza samaki hapo buza...waje waongee..ndo utoe pamba maskioni..😩🤣

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    😅😅Mlipoulizwa kwamba kama ulevi ulikuwa sio harama kabla ya uisilamu kama Quran ilivyoandikwa na mkasema adamu alikuwa muisilamu ..... mmeulizwa kuwa kabla ya Adamu hao walevi kabla yake walikuwa wakinanani ...... hamjajibu mpaka leo/ Mpaka mnakufa Mnajichekesha tu😂😂

  • @clewis520
    @clewis52020 күн бұрын

    … Waizilamu waliandika Quran kutoka kwa biblia.

  • @twahahamisi9924
    @twahahamisi99247 ай бұрын

    Ukiona mhubiri anaikataa biblia ujuemada hawezi itabidi midahalo mingine muwe mnachagua vitabu kabisa tuwe tunajua madahii hamtumii agano jipya au lakale

  • @deepestmathematics1888

    @deepestmathematics1888

    7 ай бұрын

    Hapana wakistro wote ukiwatoa romani katoriki wanatumia yenye vitabu 66 tu hiyo ya makabayo siyo ya wakristo bali ni wakatoriki

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Sasa wewe pastor mkorofi ni biblia??? Acheni upastor mkorofi alafu mnatusomea makabayo aiseee hizo hutuzijui, tafuteni hoja Kwa 66 books bible buana😂😂😂

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын

    Ndacha is just a liar quran ni moja wewe unasoma tasfiri tu anawalisha tango pori wasiojua biblia zipo nyingi hakuna nabii aliepewa biblia biblia mara 78 mara 66 mara 72 ndio nini sasa

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf7 ай бұрын

    Ndacha atakwepa ukweli mpaka?

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    Mpaka Mungu atakapompa taji ya kutetea imani yake❤❤❤

  • @user-qh9ei6qi8b

    @user-qh9ei6qi8b

    6 ай бұрын

    Na wewe jibu mbona quran yenu pia kumbe chenga😂😂😂😂😂😂

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule76677 ай бұрын

    Makabayo? Ndo kitabu kipi 😂

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Ni waislamu wanajua

  • @abednegokimeu7100

    @abednegokimeu7100

    7 ай бұрын

    Maccabees..kwenye bibilia ya katoliki

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    7 ай бұрын

    Makabayo...😩🤣🤣🤣😒 Duuuh balaa ...mara pastor mkorofi..🤣

  • @esthersawiga9979

    @esthersawiga9979

    6 ай бұрын

    Wanatumia vitabu vya kumdhihaki Mungu sijui pastor mkorofi na wanajuwa kabisa kuwa hivyo vitabu sio sahihi ..... hakika wanamkosea sana Mungu tena wanafurahi kwa hilo kifupi hawajamuheshimu Mungu bado .... wanavuka mipaka

  • @user-tt3bq7no4t
    @user-tt3bq7no4t7 ай бұрын

    Ndacha Hana Uwezo Mtoto Mdogo Anajibu Pumba Tu

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    7 ай бұрын

    Mwenye mchele ni yupi ? Ipo tofauti ya mwezi wa 12 na mwezi uitwao Desemba.

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23747 ай бұрын

    Ndacha Ana akili sana kuruka maswali, Ila kajibu kwa usahihi zipo bibilia katika ukristo hazitambiliki Qur'an Iko moja tu haina tofauti.

  • @LovelyComputerChip-cj4wz

    @LovelyComputerChip-cj4wz

    7 ай бұрын

    Majini pia Wana akili Sana siku ya hukumu mtakuwa nao motoni Imani moja

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    7 ай бұрын

    @@LovelyComputerChip-cj4wz kama moto umeumbwa ajili ya wanao muabudu Mungu wa kweli basi hakuna atakaye ingia katika bustani za milele, sabab wachungaji wa wakristu wanakubali kuwa bibilia zipo ambazo hazitambuliki halaf zote ni za wakristu wakiamin ni za Mungu huoni kuwa hii sio dini ya kweli? Majini n VIUMBE kama wew na mm wanaabudu kama sisi Wana damu ispokua wapo walio muasi Mungu kama wew unaye jion uko kwenye dini ya kweli. Unapo fatilia mambo ya midahalo wacha ushabiki mbembeni kisha elewa nini kinajadiliwa halaf jitahid kuelewa hoja.

  • @igurusitv6553

    @igurusitv6553

    7 ай бұрын

    ​@@ibnayub2374mkuu Biblia ni moja tu, yenye vitabu 66, hivyo vitabu vyote alivyosoma muuliza swali ni vitabu vya maelezo tu, na ndio maana bado vinakopi kwenye Biblia takatifu. Wanachokifanya hao waalimu ni kupotosha tu ili washangiliwe, lakini kama kila mtu angesema ukweli tungepata dini nzuri ya kuifuata

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    Shinda sio Quran mbili shinda ni zenye mlichapa moto.

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    7 ай бұрын

    ​@@ibnayub2374majini ni roho chafu za shetani na ni malaika waliofuata shetani,hakuna jini mzuri acha kutufundisha mapya soma yaliyokuwa kabla ya quran

  • @TheodomileNdizeye
    @TheodomileNdizeye7 күн бұрын

    Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m7 ай бұрын

    Waislam hamna Mungu ndo maana mnatafuta tafuta hamna uhakika

  • @OmanOman-fb8mj

    @OmanOman-fb8mj

    7 ай бұрын

    Mungu ulie nae wew ni yupi

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    7 ай бұрын

    anataka baba ake ndo awe mungu wetu

  • @user-xo2tq7zs2c

    @user-xo2tq7zs2c

    5 ай бұрын

    Sio mzima www