Mwalimu Ndacha Mungu amempa hekima ya maandiko anajibu maswali kama Yesu alivyokuwa anajibu this is so inspiring
@moseskimani60882 жыл бұрын
Mwalimu uko na kazi ngumu
@carolinendasala935
2 жыл бұрын
Kabisaa
@samlomnyaki57492 жыл бұрын
Wee pastor MUNGU akuzidishie NEEMA zaidi na akubariki sana....umefurahisha roho yangu.+.
@muhojawilliam4156
Жыл бұрын
Ee baba wambinguni umtunze ndacha
@mustaphagairo19362 жыл бұрын
Hyu jamaa hatar, yaan biblia yte ipo kichwani
@shomariamurihassani16702 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mkatoliki kabisaaaaa
@makalajonas7 ай бұрын
Mchungaji Ndacha mungu akubariki sana hao wapo kimwili sana
@lewiskimathi96152 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwajidishia hekima na neema yake
@saimonjohn11662 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki
@amanicarlumehabel75752 жыл бұрын
Heheheheeeeeee unacheza Na Ndacha Wewe...... Piga injjili mtumishi mteule
@johnlichungu26952 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa yote Asante sana watumishi hoping that Tanzania meeting will be successful.
@nancyabura7432 жыл бұрын
Imenilazimu nirejelee kamusi nione maana ya vua. Ubarikiwe sana Mr Ndacha
@STEPHENAUNGOАй бұрын
Anayeuliza swali ana upungufu wa kupuuza maandiko mengine
@lucykamangu50302 жыл бұрын
Mbarikiwe zaidi mwalimu
@calebleyian28564 ай бұрын
Mwalimu ndacha naomba ukuje kilgoris siku Moja watu wamepotea uku hawajui neno la kweli
@user-fs6rz4zn6c6 ай бұрын
Great!!! nimesoma leo
@izoomwenyewe15472 жыл бұрын
The grace of our Lord, my Lord and God and saviour is amazingly great.
@antonymachogu30512 жыл бұрын
Barikiwa saana mtumishi
@BibliaMwangawaDunia10 ай бұрын
Ubarikiwe sanaaaaaaaaa mchungaji
@erickangima970 Жыл бұрын
Mwalimu Ndacha uko sawa
@rafaelbern26302 жыл бұрын
Amina sanaaaa Pastor
@HbStv-el1zf2 жыл бұрын
hallelujah, watu wapashwe habari njema ya wokovu
@Earth-Final-Alarms10 ай бұрын
Mungu akubarik ndacha
@sdasongswithlyrics39782 жыл бұрын
Amen amejibiwa na neno lililo hai
@stanleymulama7811 Жыл бұрын
safi mwalimu wangu
@dennismajesonlenamunyi77612 жыл бұрын
Always Following you . Francis Ndacha and Paulo
@daglassqweed2482 Жыл бұрын
Mungu akubariki Ndacha
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Kweli Ndacha ni dawanol
@user-bj5wf8lr4e8 ай бұрын
God bless u ndacha
@judithmoturi34022 жыл бұрын
Barikiwa sir mwalimu ndacha
@yvonnesarah3534 Жыл бұрын
Sisi wote kama tunge funza watu kama ndacha.aki YESU WETU.huko mbinguni angefurshi saaaaana
@samwelilulandala2384 Жыл бұрын
Mtumishi mtumishi tuko pamoja
@chiefmkalikibz15032 жыл бұрын
Hahaaa Baba La WAJINGA.... Leo umepatikana. Yani wakristo wenzako pia wagongana na Wewe kwa ubozo wako
@qerysir4410
2 жыл бұрын
Tatizo kila umuonaye barabarani ni mkristo, eti! Mtu yeyote anawezasema ni dini fulani ila Biblia yesema 'utawajua kwa matendo yao'. Hivi wale Al-shabaab ni Waislamu? Kwa matendo yao?!!!! Mbona wewe hujajiunga nao???
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Huyu anae bisha hana tofauti ya uelewa kama wewe, umemezeshwa na kuburuzwa maneno na kiongozi wako wa Dini toka ukiwa mtoto ndio maana ulipewa muda wa kupevuka na kujitambua na kujua lipi baya na lipi zuri, kama kwako Uislam ndio sahihi! Sasa nikikuuliza kwanini wenye makundi ya mauaji ni waislam haohao? Na wanajitetea Qurani imeruhusu na mnapo Ua lazima mseme Allhakibal na Bismilah na maneno hayohayo unatumia Msikitini. Ndio makundi kama hayo ya Osama bin Ladeen, Alshababu, Boko Haramu, Allzakawi, Libya walomgeuka Gadafi, Saadam Hussein, Magaidi ya Somalia, Wanao jilipua kwa kuvaa Mabomu wote hao ni Waislam, Sasa mbona na wewe aujiungi na hayo Makundi? Umejua kama hawako sahihi ila umeona wapi Makundi ya Wakristo wanajiunga kuua watu? Jitafakari na ubaki na njia ya kweli na uzima
@justinmulewa2654 Жыл бұрын
...na Mungu apewe sifa
@stoispapi23802 жыл бұрын
I WISH UNGEKUWA UNATOA ANDIKO MUISLAMU AKIKUULIZA SWALI SIO KUUNGA UNGA VIRAKA HAVINA MWELEKEO.
@judithmoturi34022 жыл бұрын
😂😂😂hii kazi ni ngumu watu awakubali ukweli 😅😅wanapinga Bible haha 😂 😂😂 God have mercy
@justinmulewa2654 Жыл бұрын
Habari hizi ziendelee kuhubiriwa pande zote za ulimwengu
@ThomasMasha-qs2zp Жыл бұрын
Kwani inayoabudu mungu ni roho ama ni siku? John 4:23-24
@chiefmkalikibz15032 жыл бұрын
Wacha urongo Wewe Bonzo... Ati Hakuna and iko Yesu amuita Mariam mama!!!! Yohana 2:1-4😂😂😂
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Wapi mamayangu si mama leta kwa kizungu
@Patrick199092 жыл бұрын
@mwalimu dacha we want the all video of this
@evantospear82602 жыл бұрын
Dacha uko sawa but uko arrogant kimpango
@johnmjata26752 жыл бұрын
Huyujaa mpumbavu Sana anamaswali yahovyo
@alexnshimiyimana55262 жыл бұрын
Amen
@philipkoskei869710 ай бұрын
Ndacha uko kazi ngumu,mungu akuongoze
@IntelligentCreatures2 жыл бұрын
Umesema YESU hajawahi kumuita MARIAM mama yake? Ukitumia njia hiyo kuthihitisha basi pia tumia njia hiyo hiyo kuthihitisha YESU ni Mungu kwa maneno ya Yesu mwenyewe akisema MIMI YESU NI MUNGU la sivyo ni blaa blaa tu. Yohana 19:26 Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao. Yohana 2:3 Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. Yohana 2:4 Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. Yohana 2:5 Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni.
@abednegokimeu7100
Жыл бұрын
KJV John 2:4 4 Jesus saith unto her, WOMAN, what have I to do with thee? mine hour is not yet come.
@abednegokimeu7100
Жыл бұрын
KJV John 19:26 26 When Jesus therefore saw his mother, and the disciple standing by, whom he loved, he saith unto his mother, WOMAN, behold thy son!
@Pixe_lify2 жыл бұрын
Ati yesu hajawai ita mariamu mama katika bibilia..ai ndacha really WACHA KUDANGANYA WATU...YOHANA 2:1-4
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Wapi andiko ina sema mamayangu. Ama toa kwa bibilia ya kizungu. Mimi uwita mwanamke yoyote mama ila si mamayangu
@Pixe_lify
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 ubishi to swali linasema nini
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
@@Pixe_lify nkt Mama yangu ama masikiyo huna?😎
@john.j.george418
2 жыл бұрын
Ujui kitu unalopokatu ww msahili ungekuwa na hakili unaabudu majin pole ukipata elimu utajuwa unakufa unaenda na majin yako uku 🔥🔥🔥🔥🔥
@warningvoiceoflastdays58232 жыл бұрын
Mko wapi
@kelvinkamau31745 ай бұрын
45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana,Luka1:45
@abdillahmbarak74182 жыл бұрын
Ndacha umepatikana sasa kwasababu unapoteza watu sana
@moseskimani6088
2 жыл бұрын
We Sugulika na waislamu
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Nyie mnaopata neema ya kusikia ukweli na bado mnaupinga! basi tambueni hata muda wahukumu ukifika ndio nyie mtakua mnaongozana na kumpokea Mpinga Kristo na Dunia nzima inajua Yesu ndie atakuja Kuuhukumu Ulimwengu ndio maana tunasubiria ujio wa Mpinga Kristo na kila kilichotabiriwa kwenye Biblia kitabu cha zamani kuliko Quran vitu kibao vimesha tokea na vinaendelea kutokea sasa sijui kipi kinawafanya mnakuwa wagumu kuelewa kwa faida ya Roho zenu. Muhamad mwenyewe yupo aridhini nae anasubiria Hukumu na kashasema hajui atafanywa nini siku hiyo ya Hukumu.
@chiefmkalikibz15032 жыл бұрын
Mungu yuwazaa😂😂😂😂😂😂😂
@crispuskasanga8487
2 жыл бұрын
Chief mkali Mungu huzaa kwa Neno
@alicemangat31652 жыл бұрын
When anyone says unkind things about our Blessed Mother Mary, to me it is clear he is not serving Jesus but other powers. Mary was most favoured with very special blessings which no other woman in this world ever received from Almighty God. God chose her among all women on earth to carry His Son in her precious Woumb! She carried the Word of God. She was put right in the middle of salvation plan. She cared forJesus from infant to adulthood. No other woman has ever received these kinds of blessings. Jesus called her "Woman" to fulfil the prophesy in Genesis. Mary became the New Eve. We do not worship her, she is created like all of us, but she definitely deserve our respect, honour and thankfulness for bearing for all humanity a saviour. I love her because through her I have learned to love and adore her Divine Son more deeply. She is the mother of faith in Jesus and we should follow her example.
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wapi Andiiko ndiye muombezo?
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wapi Andiko yeye ni muombezi
@alicemangat3165
2 жыл бұрын
@@BIBLIANURUYADUNIA sina haja ya kukupa andiko. Unaijua biblia, na yote nimeyaandika yanafahamika kutokana na maandiko ya biblia tukisoma kwa maakini bila kupuuza.
Wewe ndacha pamoja Na hao wapofu wenzako hamukielewi Kiswahili Ukisema amebarikiwa katika wanawake maana yake Maria amebarikiwa kuliko mwanamke yeyote duniani wacha.ujinga.wewe.ndacha hujuwi kiswahili
@chiefmkalikibz1503
2 жыл бұрын
Huyu ampangia siku ili nimfundishe lunga tu lakini nataka nijifanye mbara Kwanza Kisha akione cha moto. Sababu huyu azengua watu wa Bara kwa kuwatafsiria na kueleza Maandiko na maneno ya Kiswahili KI-MCHUZI MIX
@qerysir4410
2 жыл бұрын
@@mngwaliussi2668 kwa hiyo mtu akisema 'mimi naishi KULIKO mji huu' itamaanisha 'mimi naishi KATIKA mji huu'??? Labda iwe kisukuma, msomi wa Kiswahili kweli WEWE!!!!
@lewiskimathi96152 жыл бұрын
Kwanni waisilam wanapenda kubishana na ukweli?
@ustadhfarouq7729
2 жыл бұрын
Ukweli gani eti kuwa mungu anazaa 🤣🤣🤣 mungu nimuumbaji mungu hazai ww Isaya 64:8
@qerysir4410
2 жыл бұрын
@@ustadhfarouq7729 Mungu anazaa kwa NENO wala sio kwa Ngono. Mungu anauwezo wa kufanya lolote, ikiwa Allah hana uwezo huo basi ni dhaifu na amepungukiwa!
@albassambakili3757
2 жыл бұрын
Ao wakristo enyewee hawafamiani hhhh
@ireneochieng1002 жыл бұрын
Ndacha hapo kwa katika wanawake nimekataana na wewe
@alukochannel336
Жыл бұрын
Wamefanya nn dadangu
@vincentasava15292 жыл бұрын
Ukweli ni mchungu
@abdillahmbarak74182 жыл бұрын
Wakristo wanapambana AllahuAkubaru
@qerysir4410
2 жыл бұрын
kama vile Shiya na Suni; waislamu wanaopingana. Au ulidhani watu hawajui Waislamu wana madhehebu mbalimbali?!!!
@crispuskasanga8487
2 жыл бұрын
Abdullah wasiojua wanapambana kujua hakuna makosa hapa
@hemoasna4138 Жыл бұрын
this guy is asking rhetorical questions....
@janekwada68052 жыл бұрын
Kama vile nyinyi munatumia history maneno ya watu kwa siku ya saba ni jumamosi, lakini Bible ni siku ya kwanza ya week ambayo ni jumapili, ndiyo siku ya sababu.
@qerysir4410
2 жыл бұрын
Wewe umepotoka, jiulize Good Friday ni nini. Hata wakatholiki wanajua Ijumaa ndio siku Yesu alikufa na akazikwa upesi kwa kuwa Sabato ilikua karibu kuingia yaani Jumamosi! Hiyo ni Biblia inasema, vitabu vya historia vinaunga mkono tu! Au wewe unamaandiko yanayothibitisha Yesu hakufa na kuzikwa siku ya Ijumaa?!
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Hahaha ati jumamosi ni siku ya kwanza kwa bibilia hahaha hatari sana
@janekwada6805
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 nani kasema jomamosi soma mandiko siyo history tutaishi kwa neno la Mungu siyo ya wanadamu. Ufunuwo 1 :3
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
@@janekwada6805 nkt Yesu alifufuka siku ya kwanza ya juma yani jumapili. Wewe una kuja kusema sabato ni siku ya kwanza ya juma yani jumapili 😂😂😂😂duu. History inaendana na bibilia wewe una soma vitabu kweli? Alafu unatoa ufunuo 1:3. Iyo andiko inakusaidia nini wakati ujui siku ya saba ni lini😂😂😂
@janekwada6805
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 it's like you don't understand what I say. Plz I don't say Sabato is a day no it's meaning it is Luke 23 :56. Plz don't answer what you didn't understand
Пікірлер: 95
Mwalimu Ndacha Mungu amempa hekima ya maandiko anajibu maswali kama Yesu alivyokuwa anajibu this is so inspiring
Mwalimu uko na kazi ngumu
@carolinendasala935
2 жыл бұрын
Kabisaa
Wee pastor MUNGU akuzidishie NEEMA zaidi na akubariki sana....umefurahisha roho yangu.+.
@muhojawilliam4156
Жыл бұрын
Ee baba wambinguni umtunze ndacha
Hyu jamaa hatar, yaan biblia yte ipo kichwani
Huyu jamaa ni mkatoliki kabisaaaaa
Mchungaji Ndacha mungu akubariki sana hao wapo kimwili sana
Mungu aendelee kuwajidishia hekima na neema yake
Mungu azidi kuwabariki
Heheheheeeeeee unacheza Na Ndacha Wewe...... Piga injjili mtumishi mteule
Nashukuru Mungu kwa yote Asante sana watumishi hoping that Tanzania meeting will be successful.
Imenilazimu nirejelee kamusi nione maana ya vua. Ubarikiwe sana Mr Ndacha
Anayeuliza swali ana upungufu wa kupuuza maandiko mengine
Mbarikiwe zaidi mwalimu
Mwalimu ndacha naomba ukuje kilgoris siku Moja watu wamepotea uku hawajui neno la kweli
Great!!! nimesoma leo
The grace of our Lord, my Lord and God and saviour is amazingly great.
Barikiwa saana mtumishi
Ubarikiwe sanaaaaaaaaa mchungaji
Mwalimu Ndacha uko sawa
Amina sanaaaa Pastor
hallelujah, watu wapashwe habari njema ya wokovu
Mungu akubarik ndacha
Amen amejibiwa na neno lililo hai
safi mwalimu wangu
Always Following you . Francis Ndacha and Paulo
Mungu akubariki Ndacha
Kweli Ndacha ni dawanol
God bless u ndacha
Barikiwa sir mwalimu ndacha
Sisi wote kama tunge funza watu kama ndacha.aki YESU WETU.huko mbinguni angefurshi saaaaana
Mtumishi mtumishi tuko pamoja
Hahaaa Baba La WAJINGA.... Leo umepatikana. Yani wakristo wenzako pia wagongana na Wewe kwa ubozo wako
@qerysir4410
2 жыл бұрын
Tatizo kila umuonaye barabarani ni mkristo, eti! Mtu yeyote anawezasema ni dini fulani ila Biblia yesema 'utawajua kwa matendo yao'. Hivi wale Al-shabaab ni Waislamu? Kwa matendo yao?!!!! Mbona wewe hujajiunga nao???
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Huyu anae bisha hana tofauti ya uelewa kama wewe, umemezeshwa na kuburuzwa maneno na kiongozi wako wa Dini toka ukiwa mtoto ndio maana ulipewa muda wa kupevuka na kujitambua na kujua lipi baya na lipi zuri, kama kwako Uislam ndio sahihi! Sasa nikikuuliza kwanini wenye makundi ya mauaji ni waislam haohao? Na wanajitetea Qurani imeruhusu na mnapo Ua lazima mseme Allhakibal na Bismilah na maneno hayohayo unatumia Msikitini. Ndio makundi kama hayo ya Osama bin Ladeen, Alshababu, Boko Haramu, Allzakawi, Libya walomgeuka Gadafi, Saadam Hussein, Magaidi ya Somalia, Wanao jilipua kwa kuvaa Mabomu wote hao ni Waislam, Sasa mbona na wewe aujiungi na hayo Makundi? Umejua kama hawako sahihi ila umeona wapi Makundi ya Wakristo wanajiunga kuua watu? Jitafakari na ubaki na njia ya kweli na uzima
...na Mungu apewe sifa
I WISH UNGEKUWA UNATOA ANDIKO MUISLAMU AKIKUULIZA SWALI SIO KUUNGA UNGA VIRAKA HAVINA MWELEKEO.
😂😂😂hii kazi ni ngumu watu awakubali ukweli 😅😅wanapinga Bible haha 😂 😂😂 God have mercy
Habari hizi ziendelee kuhubiriwa pande zote za ulimwengu
Kwani inayoabudu mungu ni roho ama ni siku? John 4:23-24
Wacha urongo Wewe Bonzo... Ati Hakuna and iko Yesu amuita Mariam mama!!!! Yohana 2:1-4😂😂😂
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Wapi mamayangu si mama leta kwa kizungu
@mwalimu dacha we want the all video of this
Dacha uko sawa but uko arrogant kimpango
Huyujaa mpumbavu Sana anamaswali yahovyo
Amen
Ndacha uko kazi ngumu,mungu akuongoze
Umesema YESU hajawahi kumuita MARIAM mama yake? Ukitumia njia hiyo kuthihitisha basi pia tumia njia hiyo hiyo kuthihitisha YESU ni Mungu kwa maneno ya Yesu mwenyewe akisema MIMI YESU NI MUNGU la sivyo ni blaa blaa tu. Yohana 19:26 Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao. Yohana 2:3 Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. Yohana 2:4 Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. Yohana 2:5 Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni.
@abednegokimeu7100
Жыл бұрын
KJV John 2:4 4 Jesus saith unto her, WOMAN, what have I to do with thee? mine hour is not yet come.
@abednegokimeu7100
Жыл бұрын
KJV John 19:26 26 When Jesus therefore saw his mother, and the disciple standing by, whom he loved, he saith unto his mother, WOMAN, behold thy son!
Ati yesu hajawai ita mariamu mama katika bibilia..ai ndacha really WACHA KUDANGANYA WATU...YOHANA 2:1-4
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Wapi andiko ina sema mamayangu. Ama toa kwa bibilia ya kizungu. Mimi uwita mwanamke yoyote mama ila si mamayangu
@Pixe_lify
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 ubishi to swali linasema nini
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
@@Pixe_lify nkt Mama yangu ama masikiyo huna?😎
@john.j.george418
2 жыл бұрын
Ujui kitu unalopokatu ww msahili ungekuwa na hakili unaabudu majin pole ukipata elimu utajuwa unakufa unaenda na majin yako uku 🔥🔥🔥🔥🔥
Mko wapi
45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana,Luka1:45
Ndacha umepatikana sasa kwasababu unapoteza watu sana
@moseskimani6088
2 жыл бұрын
We Sugulika na waislamu
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Nyie mnaopata neema ya kusikia ukweli na bado mnaupinga! basi tambueni hata muda wahukumu ukifika ndio nyie mtakua mnaongozana na kumpokea Mpinga Kristo na Dunia nzima inajua Yesu ndie atakuja Kuuhukumu Ulimwengu ndio maana tunasubiria ujio wa Mpinga Kristo na kila kilichotabiriwa kwenye Biblia kitabu cha zamani kuliko Quran vitu kibao vimesha tokea na vinaendelea kutokea sasa sijui kipi kinawafanya mnakuwa wagumu kuelewa kwa faida ya Roho zenu. Muhamad mwenyewe yupo aridhini nae anasubiria Hukumu na kashasema hajui atafanywa nini siku hiyo ya Hukumu.
Mungu yuwazaa😂😂😂😂😂😂😂
@crispuskasanga8487
2 жыл бұрын
Chief mkali Mungu huzaa kwa Neno
When anyone says unkind things about our Blessed Mother Mary, to me it is clear he is not serving Jesus but other powers. Mary was most favoured with very special blessings which no other woman in this world ever received from Almighty God. God chose her among all women on earth to carry His Son in her precious Woumb! She carried the Word of God. She was put right in the middle of salvation plan. She cared forJesus from infant to adulthood. No other woman has ever received these kinds of blessings. Jesus called her "Woman" to fulfil the prophesy in Genesis. Mary became the New Eve. We do not worship her, she is created like all of us, but she definitely deserve our respect, honour and thankfulness for bearing for all humanity a saviour. I love her because through her I have learned to love and adore her Divine Son more deeply. She is the mother of faith in Jesus and we should follow her example.
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wapi Andiiko ndiye muombezo?
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wapi Andiko yeye ni muombezi
@alicemangat3165
2 жыл бұрын
@@BIBLIANURUYADUNIA sina haja ya kukupa andiko. Unaijua biblia, na yote nimeyaandika yanafahamika kutokana na maandiko ya biblia tukisoma kwa maakini bila kupuuza.
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Leta andiko dada plz
@josephmwai4535
Жыл бұрын
@@alicemangat3165 confused Catholics, oooooh Catholic
Sauti
@mngwaliussi2668
2 жыл бұрын
Wewe ndacha pamoja Na hao wapofu wenzako hamukielewi Kiswahili Ukisema amebarikiwa katika wanawake maana yake Maria amebarikiwa kuliko mwanamke yeyote duniani wacha.ujinga.wewe.ndacha hujuwi kiswahili
@chiefmkalikibz1503
2 жыл бұрын
Huyu ampangia siku ili nimfundishe lunga tu lakini nataka nijifanye mbara Kwanza Kisha akione cha moto. Sababu huyu azengua watu wa Bara kwa kuwatafsiria na kueleza Maandiko na maneno ya Kiswahili KI-MCHUZI MIX
@qerysir4410
2 жыл бұрын
@@mngwaliussi2668 kwa hiyo mtu akisema 'mimi naishi KULIKO mji huu' itamaanisha 'mimi naishi KATIKA mji huu'??? Labda iwe kisukuma, msomi wa Kiswahili kweli WEWE!!!!
Kwanni waisilam wanapenda kubishana na ukweli?
@ustadhfarouq7729
2 жыл бұрын
Ukweli gani eti kuwa mungu anazaa 🤣🤣🤣 mungu nimuumbaji mungu hazai ww Isaya 64:8
@qerysir4410
2 жыл бұрын
@@ustadhfarouq7729 Mungu anazaa kwa NENO wala sio kwa Ngono. Mungu anauwezo wa kufanya lolote, ikiwa Allah hana uwezo huo basi ni dhaifu na amepungukiwa!
@albassambakili3757
2 жыл бұрын
Ao wakristo enyewee hawafamiani hhhh
Ndacha hapo kwa katika wanawake nimekataana na wewe
@alukochannel336
Жыл бұрын
Wamefanya nn dadangu
Ukweli ni mchungu
Wakristo wanapambana AllahuAkubaru
@qerysir4410
2 жыл бұрын
kama vile Shiya na Suni; waislamu wanaopingana. Au ulidhani watu hawajui Waislamu wana madhehebu mbalimbali?!!!
@crispuskasanga8487
2 жыл бұрын
Abdullah wasiojua wanapambana kujua hakuna makosa hapa
this guy is asking rhetorical questions....
Kama vile nyinyi munatumia history maneno ya watu kwa siku ya saba ni jumamosi, lakini Bible ni siku ya kwanza ya week ambayo ni jumapili, ndiyo siku ya sababu.
@qerysir4410
2 жыл бұрын
Wewe umepotoka, jiulize Good Friday ni nini. Hata wakatholiki wanajua Ijumaa ndio siku Yesu alikufa na akazikwa upesi kwa kuwa Sabato ilikua karibu kuingia yaani Jumamosi! Hiyo ni Biblia inasema, vitabu vya historia vinaunga mkono tu! Au wewe unamaandiko yanayothibitisha Yesu hakufa na kuzikwa siku ya Ijumaa?!
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
Hahaha ati jumamosi ni siku ya kwanza kwa bibilia hahaha hatari sana
@janekwada6805
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 nani kasema jomamosi soma mandiko siyo history tutaishi kwa neno la Mungu siyo ya wanadamu. Ufunuwo 1 :3
@saitotisapiyo9446
2 жыл бұрын
@@janekwada6805 nkt Yesu alifufuka siku ya kwanza ya juma yani jumapili. Wewe una kuja kusema sabato ni siku ya kwanza ya juma yani jumapili 😂😂😂😂duu. History inaendana na bibilia wewe una soma vitabu kweli? Alafu unatoa ufunuo 1:3. Iyo andiko inakusaidia nini wakati ujui siku ya saba ni lini😂😂😂
@janekwada6805
2 жыл бұрын
@@saitotisapiyo9446 it's like you don't understand what I say. Plz I don't say Sabato is a day no it's meaning it is Luke 23 :56. Plz don't answer what you didn't understand