Naomba umkaribishe Mazinge kwenye mdahalo, na umbatize aje kwa Yesu
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Furahini Mbise atakimbia mazinge wao hawa jamaa ni shida asee
@Mazinge-ze8ym
3 жыл бұрын
Mazinge hawezi
@amanicarlumehabel7575
3 жыл бұрын
Ndacha Jembe Lao,,,Elisha of our time....Mazinge,,,,Hapa asithubutu....
@alexsambu2369
Жыл бұрын
Kabisa
@joackimmutulu
Жыл бұрын
This man ndacha is very knowledgeable
@paulothoo5 жыл бұрын
Bro. Ndacha anawasaidia wakristo nawaislamu kuelewa dini kwa njia ya ukweli.Mungu akuzidishie maarifa na nguvu mtumishi.
@biblianabibliapekee81134 жыл бұрын
Roho yule aliyemuongoza mtume paul sasa yupo kwa paster ndachaaaaaa i love that preach
@richardmakweba2292
4 жыл бұрын
Huyu pastor mungu amuongezee maisha na hekima maana anamtumia kwa kaz yake
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
He is preaching false...
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
First christian to preach jesus mother is not marry ....maajabu duniani
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
Matayo 24.24
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@issackabdi7001 lzm ujue kutofautisha kati ya mwili wa Yesu na roho ya Yesu .....Maria alizaa. Mwili elewa apo lkn Yesu alikuwepo kbl dunia kuumbwa soma yohana 1.....uyo neno alie kua Mungu na akaishi mbinguni na akaja duniani akafanyika mwili na akakaa kwetu .soma ufunuo wa yohana....na Yesu alisemaibrahim ajakuwako yy yuko so soma uelewe maandiko
@youngthug6044 жыл бұрын
Napenda maubili yako nazan niwakat wangu wa kuhokoka
@eliyakyaolang85045 жыл бұрын
asante sana kutupa neno la MUNGU kwakuwajibu wenye mashaka
@isaacnyongesa7586 Жыл бұрын
Ndacha is filled by the spirit of God.......May he reach the whole world.
@samuelmuiruri44056 жыл бұрын
Tupe neno kabisa ....napenda kukusikiza sana.
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Samuel Muiruri soma ufunuo 1:1utajua Yesu sio Mungu
@nyatugaokinyi3351
5 жыл бұрын
Mtakufa katika dhambi zenu kama hamwamini yesu ndiye John 8:24
@mombasa0076
2 жыл бұрын
YESU SIO MUNGU. WAKRISTO SOMENI MSIKUBALI KUDANGANYWA HAWA AKINA NDACHA WSNATETEA IMANI YAO KUTOKANA NA KUWA HAWANA ELIMU YA KUTOSHA....... NI WATU WA PROPAGANDA TU
@erastusmwanyule16564 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Ndacha kwa ufunuo ulioko ndani yako,waneno LA Mungu.
@mainahuhu90273 жыл бұрын
Mhubiri dacha God bless you.
@maxjofrey70 Жыл бұрын
Mwalimu ndacha umenifanya niwe proud sana nauwa na tumia mafundisho aya kuwaubiliaga wengine Asante sana mwalimu naomba Kama upo na group lamafundisho zaidi naomba unijumuishe katika mafundisho nami naitaji nihifaham Bible zaidi naomba nisaidie mwalimu .
@denisngetich10705 ай бұрын
Asande pastor kwa kazi yako ya kupeana ujumpe wa kweli may God bless you 🙏
@benfordnyabuti13184 жыл бұрын
Ndacha waeleze
@godfreymsuyawaukweli46476 жыл бұрын
nakuelewa sana mwalimu
@isaiahstadius23834 жыл бұрын
Safi sana ,pastor naona hapo kuna vitabu nawezaje kuvipata vitabu vyako.
@josephkirimi54532 жыл бұрын
Nampenda sana mwalimu Ndacha, anajua bibilia sana ila tu yuko kwa ndini wala sio kanisa la Mungu. SDA si kanisa la Mungu bali ni ndini kama singinezo. Hawa ndiyo mafarisayo ambao Kristo alisema juu yao. Wanajua sheria ni ya sabbath na hawaitimishi. Hawa jui ushuunda wa Kristo ni neno lake kutoka Mathayo handi Ufunuo, ndiyo unaona hawatii hata mafundisho ya Paul.
@kenidaki89424 жыл бұрын
Wonderful.can I have mwalimu wakikristo please
@abcdg19953 жыл бұрын
Please Teacher Francis Ndasha pray for me to follow your path. .. kindly am lost guys
@amanicarlumehabel7575
3 жыл бұрын
Why lost?
@gidombawala31114 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafunuo hayo. Mungu adhidi kubariki na waislamu karibu katika ufunuo 14:12.
@furahakonde62594 жыл бұрын
Asante iyo injili kweli nakufata sawasawa Niko us
@damsonmywanga44055 жыл бұрын
Tangaza tena, Usiogope, sema imeandikwa katika Biblia, injili inaenda popote pale Duniani.
@josmovertv4813 Жыл бұрын
Hapo ndipo HABARI ndio hiyo👏👏👏👏👏👏
@lisagrace4317 Жыл бұрын
May Almighty Lord bless you for your good teachings of the true gospel
@mosesmwasanga46976 жыл бұрын
Aisee!! Safi Sana, Tena Sana!!
@josephkendeiya20106 жыл бұрын
Wooow am at a point of attending the right church that is Sabbath and being baptized
@BIBLIANURUYADUNIA
6 жыл бұрын
Welcome brother at our home SDA .
@samuelmussa4809
5 жыл бұрын
joseph Kendeiya you are welcome brother njoo ujifunze biblia taa ya miguu watu wanapotea wanaimba asubuhu hadi jioni nakukaa gizani karibu sana.
@abdirazaqgedi1912
5 жыл бұрын
Nikupotea unazidi kupotea
@edwinkiptum5202
5 жыл бұрын
Aman bro ua eyes will open to see well
@danielfesto9966
5 жыл бұрын
joseph Kendeiya welcome on the church of god
@estonmnthali37195 жыл бұрын
yes i like Bible king James version
@davidwainaina38992 жыл бұрын
Pastor ndacha Asante sana, God bless you brother and your family, I love you very much Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏❤️
@erickbyamungu973 Жыл бұрын
Ndacha wewe ni mwalimu kbs ❤❤
@frankmgendi89856 жыл бұрын
nampendaa mnoo uyu mwalimu majib akee ikoo stleight of the point kama kuna mwenyee no ake anisaidiee
@pantaleomchomvu247 Жыл бұрын
Mungu akubaliki ndacha wape mafunzo hao waislaim wamwamin yesu
@BabaAzariYah5 ай бұрын
I love the knowledge of Dacha ..my only problem with him is following Ellen G the white colonizer's religions..we were in slavery when SDA was made..
@edwinchweya34365 жыл бұрын
Waislam kweli huyu Kaka anawapea dose ya kutosha.Yale machungu wanaropokwa hapa ni dhihirisho tosha,msichali kaka na dada zangu,ukweli kawaida huuma.
@user-zh4np7kf5i
Ай бұрын
😅😅kwaio yesu mama yake sio mariamu😊😊
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Ndacha unaokoa wengi mnoo Mungu wa mbinguni akubariki apa ndo naamini bible maana Yesu alisema watatokea manabii wa uongo watadanganya watu na watatokea manabii wa ukweli kuokoa watu ...sasa we ndo yule wa ukweli Yesu akuweke sana baba wamejitaidi kupinga mpaka police waislam walikuletea lkn bado unasonga mbele tembeza injili baba ili neno lake litimie maana alisema injili itaubiriwa ulimwengu kote baba nakupata apa nikiwa UK....
@robenmassawe41252 жыл бұрын
Karibu tanzania
@shafiihssan7383 жыл бұрын
wonderful pastor,the ndacha kiboko ya uislamu
@bakariomari3692
Жыл бұрын
Atapata tabu sana na waislamu huyo ndacha wenu
@bakariomari3692
Жыл бұрын
Hao wafuasi hata hawaulizi maswali ya maana
@johnsonoyugi17734 жыл бұрын
God bless you brother Ndacha
@godfreyfrancis84794 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@maxwellokeyo98314 жыл бұрын
Very wonderful. I like this discussion so much may God bless you so much pastor Ndacha
@jamarilee5162
2 жыл бұрын
instablaster...
@mosesmungai39865 жыл бұрын
God bless you mtumishi. Tunakuombea zaidi
@godisgreat18454 жыл бұрын
Kristo Mungu halafu mwana wa Mungu naona unajichanganya kujibu maana uongo hakuna kificho Sasa huyu kristo kama yeye ndie Mungu mkuu Nani alimwambia Marian utazaa mwana nae itamwita kristo kwa nini asiwaambie Mariam utanizaa na utaniita kristo
@biblianabibliapekee81134 жыл бұрын
AMen pasta ndacho
@abcdg19953 жыл бұрын
Iam a new subscribe here. .This guy has talked so much But I feel like we need to have so much of him. He so humbly and understand what he does in life What a lovely Teacher Francis Ndasha MAY GOD Almighty CONTINUE to cover you under his umbrella You never know who you are inspiring Nothing comes easy in life guys NO success without hardworking No human ix limited Greetings from Santa Monica California American people never learn till they drop dead No gains without pain. .. A candle can not lose it's light by lightening other candles if you are born with a silver spoon it's so easy to judge
@danielmahela24364 жыл бұрын
Upendo ndio sheria yote ukimpenda mungu kwako kila siku Ni sabatho sio mpaka ifike siku hiyo.
@erastomasaba4154
4 жыл бұрын
Toa andiko
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Fungu
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Toa Fungu
@gilbertkakokyogilbert1517Ай бұрын
Sama hani mina uliza chee mkutano ile ya kenya yawa islam wa tanzania vipi, Mimi nimu congomani🇨🇩
@amanicarlumehabel75753 жыл бұрын
Hallelujah!!!! This man of God is Elisha of our Time,,,,Peleka injili wote wamjuwe Yesu....God needs men who cannot be bought by silver,,,,Najua waislamu wanang'ang'ana kukununua shikilia Imani Mtumishi
@charlesmerrill7714 жыл бұрын
Bwana Ndacha, Hii Video ina mafundisho mazuri sana ila tu haikuweza kumalizika. Kuna uwezekano unaweza ku upload video mzima ili iweze kuwa barak kwetu? Asant
@ngumomessanger57124 жыл бұрын
Badala ya kuhubiri yesu ni mabishano Kati ya makanisa. Kanisa ni mtu mwenyewe na Kristo ni bwana wa sabatto. Everyday is Sabbath.
@ericosoro7617
3 жыл бұрын
Hiyo ni akili zako toa andiko kila siku ni sabato
@daud8785
3 жыл бұрын
Waislam hawawezi kukuelewa kwa Bwana Yesu asifiwe hazitawatoa huko waliko waujue ukweli.
@erastomasaba4154
3 жыл бұрын
Toa andiko linalosema kila siku ni sabato
@samminyori78145 жыл бұрын
Wonderful pastor. Where can I get those full teachings online??
@jonahmburu97384 жыл бұрын
Barikiwa dacha
@mombasa00762 жыл бұрын
Kwani mtu anaposema EWE BABA MUNGU WANGU NISAMEHE DHAMBI ZANGU. ndio ataitwa mtoto wa mungu ? MAMBO MENGINE NI UJINGA TU. MUNGU HANA MTOTO. BINAADAMU WOTE WAMEUMBWA NA MUNGU LAKINI SI WATOTO WA MUNGU. MUNGU NI MMOJA TU. HANA MTOTO HAKUZAA HAKUZALIWA. HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE Wanao sema mungu ana mtoto adhabu inawasubiri
@CharlesOgendo3 күн бұрын
Je Michael Ni maraika ama Ni yesu
@emjey284 Жыл бұрын
Wewe dacha Sina doubt naww.uko straight sana mungu amekupea ufunuo mkubwa sana
@pantaleomchomvu247 Жыл бұрын
Yesu ndiye njia ya ukweli na uzima
@abcdg19953 жыл бұрын
Praise God Brethrens Greetings Teacher Francis Ndasha keep grinding brother worth it
@davisrotich1165 жыл бұрын
Amen
@wycliffea.okwaro83523 жыл бұрын
mafundisho mazuri sana
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Yesu siku atarudi atamutoa mbiyo kwa hizo makanisa zenu zenye hazina mwelekeo, example upande gari alafu uone dere anaendesha gari pia akimwangalia, hiyo gari iyaelekea wapi? Hivo ndio mnafanya
@dannyosolo27524 жыл бұрын
Barikiwa sana
@joshuantongai6418 Жыл бұрын
Mwalimu ndancha karibu Meru bana
@reaganbaba4vees5524 жыл бұрын
kama matendo yote aliyoyafanya au maneno yote aliyoyasema Yesu yangaliandikwa katika Bibilia hata ulimwengu haungetoshea, ila haya yameandikwa ili mpate kusadiki.
@oscaromolo6388
Жыл бұрын
All sabaths belongs to the lord.
@user-ek7ip4tx7i Жыл бұрын
GOD bless you ndacha
@chachamwita83506 жыл бұрын
Mwalimu Mungu azidi kukulinda na kuokoa wengi na kujua iliyo kweli
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
mwalimu mrongo uyo 😕
@janenjenga56395 жыл бұрын
Kwa mungu kuna raha
@dennispangu34772 жыл бұрын
Mmmmh kristo sio mungu bhana hapa tumepigwa
@timamomuileva10710 ай бұрын
I lov mazingue
@samuelmutava7822 жыл бұрын
Hapa nakataa na hili neno la mtumishi ....pia kabisa izi zingine siku ya sabato zinatimiza ...kwa sababu wanafanyaa kazi siku sita na siku ya Saba wanaenda wanaenda kumwabudu mungu...kwa bibilia akuna pahali pameandikwa siku ya kwanza ilikua jumapili ama jumatatu ....akuna mtu ajuae siku ya kwanza ilikua ni gani ....
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Na ukipata?
@samuelomwenga33946 жыл бұрын
wonderful
@thetruewordt.v65253 жыл бұрын
Hapo mwalimu Ndacha kwa sabato umendanganya kabisaa!!
@peternduati8877
Жыл бұрын
Anafaa aseme aje nisaidie juu naona kama anasema ukweli?
@alexzandaevaristi58425 жыл бұрын
Wape upon vzr
@benardmbaga5193 Жыл бұрын
Mengi ya mafundisho yako ni mazuri Lakini kwa habari za sheria Havana Sheria imekuja na musa Kabla musa Hapana sheria Na Ujion wa kristo ni utimilifu wa sheria Na hatuko tena Chini ya sharia
@mfaumemfaume12465 жыл бұрын
Bibilia ziko tofauti duh
@priscafuime4031
5 жыл бұрын
Mfaume Mfaume utajueje akati upo kwa jabari Na mhamadi
@godisgreat18454 жыл бұрын
Yessu aluwaambia umsujudie Mungu wako wakristo lini mlimsujudia Mungu
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Tumia mafungu
@aliabdallah8456
3 жыл бұрын
Hilo la kumsujudia Mungu kama Yesu alivyosema hawalitaki kazi nikuimba tu
@nyatugaokinyi33515 жыл бұрын
This is the gospel let people choose hell or salvation
@wycliffea.okwaro83523 жыл бұрын
nduku ako sawa lakini alijanginyikiwa kwa kukosa kujua maneno ya Mungu vizuri
@mombasa00762 жыл бұрын
Watu kama ndacha walikuwepo tangu enzi za mitume wakipinga UKWELI. Si ajabu wakati wa sasa kutokea hayo. HATA YESU WALIMPINGA NA KUMTESA. SI AJABU NDACHA NA WENGINE KUSIMAMA KUTETEA HOJA ZISIZO NA MSINGI BALI NI UPOTOSHAJI. KILA MTU AMEPEWA AKILI APIME MWENYEWE UKWELI UPO WAPI. DINI YA HAKI NI UISLAM
@odagodan43396 жыл бұрын
Wow this channel is good for sure, I believe it will come a time when people will have to defend their faith to death. Can you people have a one on one debate with the Catholics or other Sunday churches please
@donaldmwahalende4841
4 жыл бұрын
Hawawez kupambana na msabato
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Hii sabatoh yenu hata place zingine haijulikani
@Jkipsa3 жыл бұрын
This man of God Francis Ndacha is a blessed man.
@sabbatariantv82344 жыл бұрын
Amina
@godisgreat18454 жыл бұрын
Toa ndiko Yessu amejenga kanisa
@izoomwenyewe15472 жыл бұрын
Almighty God is so clear in His word. May God bless you Ndasha and your team.
@abcdg19953 жыл бұрын
I feel blessed beyond human understanding to be a part of this channel Teacher Francis Ndasha. .Thanks for uploading this Episode Iam also following from Diaspora
@makenzigarage2557
3 жыл бұрын
Hello
@abcdg1995
3 жыл бұрын
@@makenzigarage2557 Yes my sweetheart Welcome again Mr handsome soul TnQ buddy for your speed feed back reply
@peternduati8877
Жыл бұрын
Wonderful teachings be blessed man of God 🙏
@man.uarsenalmanchestercity65634 жыл бұрын
I never knew mary is not the mother of jesus 🤔
@thegospelmessage5039
3 жыл бұрын
mary was the mother of jesus in humanity.but divinity has no beginning
@markmwau83874 жыл бұрын
Quoting from "Genesis 3:19">>> death means separation of body and spirit. when Adam sinned he separated from God's presence and providence.
@moseskayan37055 жыл бұрын
Kuna raha kuijua bibilia
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Moses Kayan ni kweli ungelijua bibilia usingelikua kafiri Yuda 4-1 soma hio utajua kua kafiri ni nani
@moseskayan3705
5 жыл бұрын
Maulid Khamis sasa were mcristo ama muhislamu? Coz kama were muisilamu kaa mbali nami kaabudu majini huko
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Moses Kayan Mimi ni muislamu ila nakusihi soma bibilia uifahamu sio kubishana
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
ndio nimetumwa kazi asubuhi inatakiwa
@lucymwega784
5 жыл бұрын
@@maulidkhamis9446 Yesu ndiye uzima wa milele
@bigmanfish63468 ай бұрын
Jiongo kweli
@markmwau83874 жыл бұрын
Quoting again from Revelation 12:1.... we find that Christ was born by Church not by Mary,and if so then catholics have something to praise Mary.
@gordfreysangawe75354 жыл бұрын
Nipo Tz napataje kitabu cha maubiri yako Mchungaj???
@sabbatariantv82344 жыл бұрын
Ndugu kila siku kunamtu ananisumbua kuhusu wagalatia 4:10 mnashika siku ,miezi na miaka
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Naomba unisaidie kulifafanua hili fungu maana biblia huwa inajitafsiri yenyewe sasa kunawatu wanaforce itafsiri wanavyo taka
@chancelinechuchu73335 жыл бұрын
neno ndio uzima wamilele barikiw mcungaji mungu atakulipo
@sbcheruiyot44196 жыл бұрын
Eti anatoa zaidi ya neno??
@junicnamuwenge6957 Жыл бұрын
Amina Amina 👏🙌🙌👏👏😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💃💃💃🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@faithfultoyeshua45762 жыл бұрын
Wenye walikuwa wanawahukumu ni Corinthians greek people na walikuwa na sheria zao na dini zao ..romans ruled kuangalia map inasidia pamoja na historia Na kutahiri haikutoka kwa musa .ilitoka kwa Abraham
@janekariuku8181 Жыл бұрын
The point is work 4 6 days then itakase siku ya saba .wote wasabatu na wa Sunday hufanya ivyo.hufanya kazi cku sita then kiutakasa siku ya saba .iyo ndo kutimiza maadiko.ingine Ni propagada
@Maya_arsenal2 жыл бұрын
Injili iendelee
@sabbatariantv82344 жыл бұрын
Wakolosai 2:16 ningependa kuongezea yakuwa hilo fungu watu wanalitafsiri vibaya kabisa lakini lilikuwa na maana yakuwa Mungu alipola mamlaka ya wanadamu kuhukumu wanadamu wenzao juu ya vyakula, sabato na kadharika kwa sababu kabla yakuja yesu wanadamu kwa wanadamu walikuwa wakihukumiana pale mtu anapo vunja sheria za MUNGU wakati mwanadamu yoyote ni dhaifu ko mamlaka yalichukuliwa na Mungu mwenyewe na yeye ndiye mhukumu na sio mwanadamu tena
@godisgreat18454 жыл бұрын
Huyo kijana anakusabanisha ukatae biblia
@benadolphabiandustan41095 жыл бұрын
Huyu jamaa anayo biblia lakini haijui anafundishwa haelewi tu
@peterdaiman58132 жыл бұрын
Madhehebu mawili sio kanisa mbili the church of Christ is invisible
@issackabdi70013 жыл бұрын
Mwanamke nabii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lilianakombe9907
2 жыл бұрын
Unacheka kwa nini
@ismailmalimyarow74795 ай бұрын
Muna cheka nini huyo ako swa
@amadeuskimey55216 жыл бұрын
yani wakristo motoni hamuezi kwenda daah hadi rahaaa
Пікірлер: 274
Naomba umkaribishe Mazinge kwenye mdahalo, na umbatize aje kwa Yesu
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Furahini Mbise atakimbia mazinge wao hawa jamaa ni shida asee
@Mazinge-ze8ym
3 жыл бұрын
Mazinge hawezi
@amanicarlumehabel7575
3 жыл бұрын
Ndacha Jembe Lao,,,Elisha of our time....Mazinge,,,,Hapa asithubutu....
@alexsambu2369
Жыл бұрын
Kabisa
@joackimmutulu
Жыл бұрын
This man ndacha is very knowledgeable
Bro. Ndacha anawasaidia wakristo nawaislamu kuelewa dini kwa njia ya ukweli.Mungu akuzidishie maarifa na nguvu mtumishi.
Roho yule aliyemuongoza mtume paul sasa yupo kwa paster ndachaaaaaa i love that preach
@richardmakweba2292
4 жыл бұрын
Huyu pastor mungu amuongezee maisha na hekima maana anamtumia kwa kaz yake
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
He is preaching false...
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
First christian to preach jesus mother is not marry ....maajabu duniani
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
Matayo 24.24
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@issackabdi7001 lzm ujue kutofautisha kati ya mwili wa Yesu na roho ya Yesu .....Maria alizaa. Mwili elewa apo lkn Yesu alikuwepo kbl dunia kuumbwa soma yohana 1.....uyo neno alie kua Mungu na akaishi mbinguni na akaja duniani akafanyika mwili na akakaa kwetu .soma ufunuo wa yohana....na Yesu alisemaibrahim ajakuwako yy yuko so soma uelewe maandiko
Napenda maubili yako nazan niwakat wangu wa kuhokoka
asante sana kutupa neno la MUNGU kwakuwajibu wenye mashaka
Ndacha is filled by the spirit of God.......May he reach the whole world.
Tupe neno kabisa ....napenda kukusikiza sana.
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Samuel Muiruri soma ufunuo 1:1utajua Yesu sio Mungu
@nyatugaokinyi3351
5 жыл бұрын
Mtakufa katika dhambi zenu kama hamwamini yesu ndiye John 8:24
@mombasa0076
2 жыл бұрын
YESU SIO MUNGU. WAKRISTO SOMENI MSIKUBALI KUDANGANYWA HAWA AKINA NDACHA WSNATETEA IMANI YAO KUTOKANA NA KUWA HAWANA ELIMU YA KUTOSHA....... NI WATU WA PROPAGANDA TU
Mungu akubariki sana Ndacha kwa ufunuo ulioko ndani yako,waneno LA Mungu.
Mhubiri dacha God bless you.
Mwalimu ndacha umenifanya niwe proud sana nauwa na tumia mafundisho aya kuwaubiliaga wengine Asante sana mwalimu naomba Kama upo na group lamafundisho zaidi naomba unijumuishe katika mafundisho nami naitaji nihifaham Bible zaidi naomba nisaidie mwalimu .
Asande pastor kwa kazi yako ya kupeana ujumpe wa kweli may God bless you 🙏
Ndacha waeleze
nakuelewa sana mwalimu
Safi sana ,pastor naona hapo kuna vitabu nawezaje kuvipata vitabu vyako.
Nampenda sana mwalimu Ndacha, anajua bibilia sana ila tu yuko kwa ndini wala sio kanisa la Mungu. SDA si kanisa la Mungu bali ni ndini kama singinezo. Hawa ndiyo mafarisayo ambao Kristo alisema juu yao. Wanajua sheria ni ya sabbath na hawaitimishi. Hawa jui ushuunda wa Kristo ni neno lake kutoka Mathayo handi Ufunuo, ndiyo unaona hawatii hata mafundisho ya Paul.
Wonderful.can I have mwalimu wakikristo please
Please Teacher Francis Ndasha pray for me to follow your path. .. kindly am lost guys
@amanicarlumehabel7575
3 жыл бұрын
Why lost?
Nashukuru sana kwa mafunuo hayo. Mungu adhidi kubariki na waislamu karibu katika ufunuo 14:12.
Asante iyo injili kweli nakufata sawasawa Niko us
Tangaza tena, Usiogope, sema imeandikwa katika Biblia, injili inaenda popote pale Duniani.
Hapo ndipo HABARI ndio hiyo👏👏👏👏👏👏
May Almighty Lord bless you for your good teachings of the true gospel
Aisee!! Safi Sana, Tena Sana!!
Wooow am at a point of attending the right church that is Sabbath and being baptized
@BIBLIANURUYADUNIA
6 жыл бұрын
Welcome brother at our home SDA .
@samuelmussa4809
5 жыл бұрын
joseph Kendeiya you are welcome brother njoo ujifunze biblia taa ya miguu watu wanapotea wanaimba asubuhu hadi jioni nakukaa gizani karibu sana.
@abdirazaqgedi1912
5 жыл бұрын
Nikupotea unazidi kupotea
@edwinkiptum5202
5 жыл бұрын
Aman bro ua eyes will open to see well
@danielfesto9966
5 жыл бұрын
joseph Kendeiya welcome on the church of god
yes i like Bible king James version
Pastor ndacha Asante sana, God bless you brother and your family, I love you very much Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏❤️
Ndacha wewe ni mwalimu kbs ❤❤
nampendaa mnoo uyu mwalimu majib akee ikoo stleight of the point kama kuna mwenyee no ake anisaidiee
Mungu akubaliki ndacha wape mafunzo hao waislaim wamwamin yesu
I love the knowledge of Dacha ..my only problem with him is following Ellen G the white colonizer's religions..we were in slavery when SDA was made..
Waislam kweli huyu Kaka anawapea dose ya kutosha.Yale machungu wanaropokwa hapa ni dhihirisho tosha,msichali kaka na dada zangu,ukweli kawaida huuma.
@user-zh4np7kf5i
Ай бұрын
😅😅kwaio yesu mama yake sio mariamu😊😊
Ndacha unaokoa wengi mnoo Mungu wa mbinguni akubariki apa ndo naamini bible maana Yesu alisema watatokea manabii wa uongo watadanganya watu na watatokea manabii wa ukweli kuokoa watu ...sasa we ndo yule wa ukweli Yesu akuweke sana baba wamejitaidi kupinga mpaka police waislam walikuletea lkn bado unasonga mbele tembeza injili baba ili neno lake litimie maana alisema injili itaubiriwa ulimwengu kote baba nakupata apa nikiwa UK....
Karibu tanzania
wonderful pastor,the ndacha kiboko ya uislamu
@bakariomari3692
Жыл бұрын
Atapata tabu sana na waislamu huyo ndacha wenu
@bakariomari3692
Жыл бұрын
Hao wafuasi hata hawaulizi maswali ya maana
God bless you brother Ndacha
Mungu akubariki mtumishi
Very wonderful. I like this discussion so much may God bless you so much pastor Ndacha
@jamarilee5162
2 жыл бұрын
instablaster...
God bless you mtumishi. Tunakuombea zaidi
Kristo Mungu halafu mwana wa Mungu naona unajichanganya kujibu maana uongo hakuna kificho Sasa huyu kristo kama yeye ndie Mungu mkuu Nani alimwambia Marian utazaa mwana nae itamwita kristo kwa nini asiwaambie Mariam utanizaa na utaniita kristo
AMen pasta ndacho
Iam a new subscribe here. .This guy has talked so much But I feel like we need to have so much of him. He so humbly and understand what he does in life What a lovely Teacher Francis Ndasha MAY GOD Almighty CONTINUE to cover you under his umbrella You never know who you are inspiring Nothing comes easy in life guys NO success without hardworking No human ix limited Greetings from Santa Monica California American people never learn till they drop dead No gains without pain. .. A candle can not lose it's light by lightening other candles if you are born with a silver spoon it's so easy to judge
Upendo ndio sheria yote ukimpenda mungu kwako kila siku Ni sabatho sio mpaka ifike siku hiyo.
@erastomasaba4154
4 жыл бұрын
Toa andiko
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Fungu
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Toa Fungu
Sama hani mina uliza chee mkutano ile ya kenya yawa islam wa tanzania vipi, Mimi nimu congomani🇨🇩
Hallelujah!!!! This man of God is Elisha of our Time,,,,Peleka injili wote wamjuwe Yesu....God needs men who cannot be bought by silver,,,,Najua waislamu wanang'ang'ana kukununua shikilia Imani Mtumishi
Bwana Ndacha, Hii Video ina mafundisho mazuri sana ila tu haikuweza kumalizika. Kuna uwezekano unaweza ku upload video mzima ili iweze kuwa barak kwetu? Asant
Badala ya kuhubiri yesu ni mabishano Kati ya makanisa. Kanisa ni mtu mwenyewe na Kristo ni bwana wa sabatto. Everyday is Sabbath.
@ericosoro7617
3 жыл бұрын
Hiyo ni akili zako toa andiko kila siku ni sabato
@daud8785
3 жыл бұрын
Waislam hawawezi kukuelewa kwa Bwana Yesu asifiwe hazitawatoa huko waliko waujue ukweli.
@erastomasaba4154
3 жыл бұрын
Toa andiko linalosema kila siku ni sabato
Wonderful pastor. Where can I get those full teachings online??
Barikiwa dacha
Kwani mtu anaposema EWE BABA MUNGU WANGU NISAMEHE DHAMBI ZANGU. ndio ataitwa mtoto wa mungu ? MAMBO MENGINE NI UJINGA TU. MUNGU HANA MTOTO. BINAADAMU WOTE WAMEUMBWA NA MUNGU LAKINI SI WATOTO WA MUNGU. MUNGU NI MMOJA TU. HANA MTOTO HAKUZAA HAKUZALIWA. HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE Wanao sema mungu ana mtoto adhabu inawasubiri
Je Michael Ni maraika ama Ni yesu
Wewe dacha Sina doubt naww.uko straight sana mungu amekupea ufunuo mkubwa sana
Yesu ndiye njia ya ukweli na uzima
Praise God Brethrens Greetings Teacher Francis Ndasha keep grinding brother worth it
Amen
mafundisho mazuri sana
Yesu siku atarudi atamutoa mbiyo kwa hizo makanisa zenu zenye hazina mwelekeo, example upande gari alafu uone dere anaendesha gari pia akimwangalia, hiyo gari iyaelekea wapi? Hivo ndio mnafanya
Barikiwa sana
Mwalimu ndancha karibu Meru bana
kama matendo yote aliyoyafanya au maneno yote aliyoyasema Yesu yangaliandikwa katika Bibilia hata ulimwengu haungetoshea, ila haya yameandikwa ili mpate kusadiki.
@oscaromolo6388
Жыл бұрын
All sabaths belongs to the lord.
GOD bless you ndacha
Mwalimu Mungu azidi kukulinda na kuokoa wengi na kujua iliyo kweli
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
mwalimu mrongo uyo 😕
Kwa mungu kuna raha
Mmmmh kristo sio mungu bhana hapa tumepigwa
I lov mazingue
Hapa nakataa na hili neno la mtumishi ....pia kabisa izi zingine siku ya sabato zinatimiza ...kwa sababu wanafanyaa kazi siku sita na siku ya Saba wanaenda wanaenda kumwabudu mungu...kwa bibilia akuna pahali pameandikwa siku ya kwanza ilikua jumapili ama jumatatu ....akuna mtu ajuae siku ya kwanza ilikua ni gani ....
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Na ukipata?
wonderful
Hapo mwalimu Ndacha kwa sabato umendanganya kabisaa!!
@peternduati8877
Жыл бұрын
Anafaa aseme aje nisaidie juu naona kama anasema ukweli?
Wape upon vzr
Mengi ya mafundisho yako ni mazuri Lakini kwa habari za sheria Havana Sheria imekuja na musa Kabla musa Hapana sheria Na Ujion wa kristo ni utimilifu wa sheria Na hatuko tena Chini ya sharia
Bibilia ziko tofauti duh
@priscafuime4031
5 жыл бұрын
Mfaume Mfaume utajueje akati upo kwa jabari Na mhamadi
Yessu aluwaambia umsujudie Mungu wako wakristo lini mlimsujudia Mungu
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Tumia mafungu
@aliabdallah8456
3 жыл бұрын
Hilo la kumsujudia Mungu kama Yesu alivyosema hawalitaki kazi nikuimba tu
This is the gospel let people choose hell or salvation
nduku ako sawa lakini alijanginyikiwa kwa kukosa kujua maneno ya Mungu vizuri
Watu kama ndacha walikuwepo tangu enzi za mitume wakipinga UKWELI. Si ajabu wakati wa sasa kutokea hayo. HATA YESU WALIMPINGA NA KUMTESA. SI AJABU NDACHA NA WENGINE KUSIMAMA KUTETEA HOJA ZISIZO NA MSINGI BALI NI UPOTOSHAJI. KILA MTU AMEPEWA AKILI APIME MWENYEWE UKWELI UPO WAPI. DINI YA HAKI NI UISLAM
Wow this channel is good for sure, I believe it will come a time when people will have to defend their faith to death. Can you people have a one on one debate with the Catholics or other Sunday churches please
@donaldmwahalende4841
4 жыл бұрын
Hawawez kupambana na msabato
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Hii sabatoh yenu hata place zingine haijulikani
This man of God Francis Ndacha is a blessed man.
Amina
Toa ndiko Yessu amejenga kanisa
Almighty God is so clear in His word. May God bless you Ndasha and your team.
I feel blessed beyond human understanding to be a part of this channel Teacher Francis Ndasha. .Thanks for uploading this Episode Iam also following from Diaspora
@makenzigarage2557
3 жыл бұрын
Hello
@abcdg1995
3 жыл бұрын
@@makenzigarage2557 Yes my sweetheart Welcome again Mr handsome soul TnQ buddy for your speed feed back reply
@peternduati8877
Жыл бұрын
Wonderful teachings be blessed man of God 🙏
I never knew mary is not the mother of jesus 🤔
@thegospelmessage5039
3 жыл бұрын
mary was the mother of jesus in humanity.but divinity has no beginning
Quoting from "Genesis 3:19">>> death means separation of body and spirit. when Adam sinned he separated from God's presence and providence.
Kuna raha kuijua bibilia
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Moses Kayan ni kweli ungelijua bibilia usingelikua kafiri Yuda 4-1 soma hio utajua kua kafiri ni nani
@moseskayan3705
5 жыл бұрын
Maulid Khamis sasa were mcristo ama muhislamu? Coz kama were muisilamu kaa mbali nami kaabudu majini huko
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
Moses Kayan Mimi ni muislamu ila nakusihi soma bibilia uifahamu sio kubishana
@maulidkhamis9446
5 жыл бұрын
ndio nimetumwa kazi asubuhi inatakiwa
@lucymwega784
5 жыл бұрын
@@maulidkhamis9446 Yesu ndiye uzima wa milele
Jiongo kweli
Quoting again from Revelation 12:1.... we find that Christ was born by Church not by Mary,and if so then catholics have something to praise Mary.
Nipo Tz napataje kitabu cha maubiri yako Mchungaj???
Ndugu kila siku kunamtu ananisumbua kuhusu wagalatia 4:10 mnashika siku ,miezi na miaka
@sabbatariantv8234
4 жыл бұрын
Naomba unisaidie kulifafanua hili fungu maana biblia huwa inajitafsiri yenyewe sasa kunawatu wanaforce itafsiri wanavyo taka
neno ndio uzima wamilele barikiw mcungaji mungu atakulipo
Eti anatoa zaidi ya neno??
Amina Amina 👏🙌🙌👏👏😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💃💃💃🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Wenye walikuwa wanawahukumu ni Corinthians greek people na walikuwa na sheria zao na dini zao ..romans ruled kuangalia map inasidia pamoja na historia Na kutahiri haikutoka kwa musa .ilitoka kwa Abraham
The point is work 4 6 days then itakase siku ya saba .wote wasabatu na wa Sunday hufanya ivyo.hufanya kazi cku sita then kiutakasa siku ya saba .iyo ndo kutimiza maadiko.ingine Ni propagada
Injili iendelee
Wakolosai 2:16 ningependa kuongezea yakuwa hilo fungu watu wanalitafsiri vibaya kabisa lakini lilikuwa na maana yakuwa Mungu alipola mamlaka ya wanadamu kuhukumu wanadamu wenzao juu ya vyakula, sabato na kadharika kwa sababu kabla yakuja yesu wanadamu kwa wanadamu walikuwa wakihukumiana pale mtu anapo vunja sheria za MUNGU wakati mwanadamu yoyote ni dhaifu ko mamlaka yalichukuliwa na Mungu mwenyewe na yeye ndiye mhukumu na sio mwanadamu tena
Huyo kijana anakusabanisha ukatae biblia
Huyu jamaa anayo biblia lakini haijui anafundishwa haelewi tu
Madhehebu mawili sio kanisa mbili the church of Christ is invisible
Mwanamke nabii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lilianakombe9907
2 жыл бұрын
Unacheka kwa nini
Muna cheka nini huyo ako swa
yani wakristo motoni hamuezi kwenda daah hadi rahaaa
@choba7101
5 жыл бұрын
Amadeus kimey Soma kwanza ndugu